| You are subscribed to Press Releases for U.S. Department of State. This information has recently been updated, and is now available. 07/31/2015 08:04 PM EDT Readout of Secretary Kerry's Meetings With Mohamed SoltanTaken Question Office of the Spokesperson Washington, DC July 31, 2015
Attribution is on-the-record from Deputy Spokesperson Mark Toner. Question: Please provide a readout of Secretary Kerry's meetings with Mohamed and Hanaa Soltan. Answer: Secretary Kerry met with Mohamed Soltan and his sister yesterday, and expressed his happiness to see him out of prison and safely home in America. They discussed Mohamed's experiences in Egypt, the conditions of his detention, and the importance of distinguishing between peaceful dissent and violent extremism in the fight against terrorism. The Secretary reaffirmed America's commitment to promoting respect for human rights and space for civil society as part of our engagement with Egypt. |
Friday, 31 July 2015
[wanabidii] Press Releases: Taken Question: Readout of Secretary Kerry's Meetings With Mohamed Soltan
[wanabidii] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS
Lakini zaidi nimeongeza imani yangu kwa Lowassa baada ya kubaini kuwa hata Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere alimuona kama kijana makini mwenye maono na dhamira safi ya kuwatumikia Watanzania. Mwaka 1995 wakati Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi anamaliza muda wake mwandishi wa habari Mwita Matinyi alimuliza Mwalimu Nyerere alikuwa anafikiri ni nani angeweza kumrithi Mwinyi kuiongoza Tanzania. Mwalimu alijibu Matinyi hivi. Nanukuu:
Ni kweli Mzee Mwinyi anaondoka lakini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wenye sifa za kuwaongoza Watanzania, kikubwa tu awe na dhamira kwa mfano wapo wakina Warioba, Mzee Msuya na Mark Bomani na wapo vijana hodari na wenye upeo mkubwa sana kama Mkapa, Kikwete na Lowassa ni jambo la heri sana CCM kuwa na watu kama hawa (Majira 26/5/1995) ukurasa wa 3; na Nipashe 26/5/95 ukurasa wa 3).
Pia nikiwa ripota Radio Tanzania Dar es Salaam niliwahi kufanya kazi na Lowassa katika miaka ya 90. Nilivyouona utendaji wake wa kazi zama hizo nashawishika kwamba anafaa kuwa kiongozi wa nchi yetu. Nilishuhudia akijituma kweli kweli kwenye kazi za umma zama hizo.
Kadhalika namuunga mkono Lowassa kwa sababu hagombei Urais kupitia chama cha CCM ambacho kinakumbatia mfumo wa kuwadhawau na kuwafukarisha wananchi huku watawala wachache wakineemeka kwa kutumia rasilimali za nchi kama vile nchi hii ni mali ya watawala, familia zao na marafiki za. Ninaamini kwa kugombea Urais kupitia UKAWA, CCM itapunguziwa dharau na jeuri yake dhidi ya wananchi ambao ndio wenye mamlaka ya mwisho kuhusu hatma ya nchi yetu. Mfano CCM mwaka jana 2014 ilionyesha dharau kubwa sana kwa wananchi kwa kuizika Rasimu ya Katiba iliyotengenezwa kwa kutumia maoni ya wananchi wakati fedha zaidi ya bilioni 130 zilitumika. Kwa kutumia mabilioni hayo bila Katiba Mpya kupatikana ni kufisadi mali za wananchi mchana kweupe. Haikubaliki.
Vile vile namuunga mkono Lowassa kwa kwa sababu anaukataa hadharani umaskini wa kuchongwa ambao watawala wanautumia kwa faida yao ili waendelee kuwanunua wananchi mafukara wakati wa uchaguzi na wakishapata madaraka waendelee kujineemesha na mali za nchi.
Nchi yetu siyo maskini bali watawala wanaendekeza matakwa ya wawekezaji (wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi) ambao wanaliibia taifa rasilimali nyingi na na hatimaye nchi za wawekezaji hao (donors)wanawapoza watawala kwa vijimisaadaa uchwara. Ni aibu sana kwa kiongozi wa Tanzania kijipitisha nchi moja hadi nyingine Marekani, Ulaya, China, India na Ausralia n.k kutembeza bakuli (omba omba kama matonya vile) huku nchi yetu ikiwa na rasilimali tele. Tena wakati watawala wanakwenda kuomba eti wanapanda ndege daraja la kwanza. Huu ni wenda wazimu. Ni kuiaibisha Tanzania na Afrika.
Sina chama cha siasa ninachofungamana nacho kwa sasa, lakini namuunga mkono Lowassa kugombea Urais kupitia UKAWA kwa sababu naamini akiwa Rais wa nchi yetu upuuzi huu wa kuendekeza umaskini kwa kuomba omba nchi za nje huku tukitoa mali za nchi honyo hovyo kwa wageni na kuamini kuwa maendeleo ya nchi yetu yataletwa kwa misaada kutoka nje, kutakomeshwa. Naamini hata hao wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi wanajua Lowassa hatachekacheka nao.
Lakini zaidi namuunga mkono Lowassa kwa sababu Watanzania wakiridhia kwenye sanduku huru la kura hapo Oktoba awe Rais wa Tanzania, vyama vinavyounda UKAWA vitasimamia kuhakikisha kuwa mamlaka ya wanannchi hayaporwi hivyo hovyo tena. Kwa hiyo Rasimu ya Katiba ya wananchi itaheshimiwa na nchi yetu itapata Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi. Kwa kufanya hivyo taifa hili litaanza kupiga hatua kubwa ya kuondoa ufukarishwaji wa wananchi walio wengi unaofanya na watawala wa CCM kwa kushirikiana na wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi.
Naridhia andiko langu hili lichapishwe na yeyote anayetaka
Ananilea Nkya
E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
[wanabidii] Press Releases: Assistant Secretary of State for Democracy, Human Rights, and Labor Tom Malinowski Travels to Egypt and Vietnam
| You are subscribed to Press Releases for U.S. Department of State. This information has recently been updated, and is now available. 07/31/2015 05:07 PM EDT Assistant Secretary of State for Democracy, Human Rights, and Labor Tom Malinowski Travels to Egypt and VietnamMedia Note Office of the Spokesperson Washington, DC July 31, 2015
Assistant Secretary of State for Democracy, Human Rights, and Labor Tom Malinowski will travel to Cairo, Egypt from August 1-3, joining Secretary of State John Kerry for the U.S.-Egypt Strategic Dialogue. In addition to participating in meetings led by Secretary Kerry, Assistant Secretary Malinowski will also meet with members of Egyptian civil society and political parties. Assistant Secretary Malinowski will be in Ho Chi Minh, Vietnam, on August 5 to meet with government officials, religious leaders, and members of civil society. Assistant Secretary Malinowski will then join the U.S. delegation led by Secretary Kerry in Hanoi, Vietnam, from August 6-9 to discuss bilateral and regional issues. For updates, follow Democracy, Human Rights and Labor Assistant Secretary Malinowski on Facebook (Facebook.com/StateDRL), Twitter @Malinowski, and Instagram (Instagram/tpmalinowski). The Office of Website Management, Bureau of Public Affairs, manages this site as a portal for information from the U.S. State Department. Stay connected with the State Department:
External links found in this content or on Department of State websites that go to other non-Department websites should not be construed as an endorsement of the views or privacy policies contained therein. Update your subscriptions, modify your password or email address, or stop subscriptions at any time on your Subscriber Preferences Page. You will need to use your email address to log in. If you have questions or problems with the subscription service, please visit subscriberhelp.govdelivery.com. This service is provided to you at no charge by U.S. Department of State. |
Re: [wanabidii] Lowassa ni mzigo, Slaa angekuwa chaguo sahihi!
Ndugu zangu, kama bunge sasa linachangamka na linasimama kidete kupambana na ufisadi nchini (mfano Escrow), ni kwa sababu huko nyuma kulikuwa na kina Slaa ndani ya bunge hilo waliojitolea "kufa kidogo" kutetea wanyonge na ambao walionyesha ujasiri wa kutoiogopa serikali kwa kuibana kweli kweli. Hawa wa sasa wanafuata tu njia iliyoanzishwa na hao waliowatangulia – yaani Dk. Slaa na wenzake.
Niwakumbushe kitu Dk. Slaa ndiye aliyestahili kuwa chaguo sahihi la kumkabili Dk.
Magufuli, na si Lowassa, Lipumba, Mbowe au Mbatia. kwa kumkubali Lowassa kuwa mmojawao, Chadema na Ukawa 'wameipoteza' kabisa agenda ya ufisadi. Itabidi sasa wafunge midomo yao kuzungumzia vita ya ufisadi, kwa sababu sasa Watanzania wanaamini kuwa walikuwa wakibwabwaja tu maneno lakini si waumin wa kweli wa vita hiyo!
Niambieni; ni wapi ambako kuna ushahidi kuwa Lowassa alipata kukubali "kufa kidogo" kuwatetea wanyonge na masikini wa nchi hii. Ni mjinga tu ndiye asiyejua kwamba Lowassa ndiye chaguo la urais la mabilionea wa Tanzania ambao wengi wao mapesa yao hawakuyapata kihalali.
Hakuna namna yoyote ambayo Lowassa anaweza kudai kuwa katika patashika zake za kuusaka urais anawakilisha maslahi ya masikini waliozagaa vijijini! Tiketi yake ni ya mabilionea wenzake na ndiyo atakaowawakilisha kwenye kampeni. Mtu wa namna hiyo akiingia Ikulu, kamwe hawezi kuwakumbuka masikini wala wanyonge bali atawakumbuka mabilionea wenzake waliomwingiza Ikulu.
Rejeeni ile hafla yake ya Arusha ya kutangaza nia ya kuwania urais ilivyokuwa ya mapesa mengi ndo utaelewa ninachomaanisha ninaposema ya kuwa si mwakilishi wa masikini na wanyonge. Na ndiyo maana, kwangu mimi, bado nitaendelea kuamini ya kuwa The Chosen One kutoka Upinzani wa kumkabili Dk. Magufuli alistahili kuwa Dk. Slaa.
Young Journalist.
+255753337420
"Vijana kwanza"
Victor, umechangia vizuri sana! Hata sisi humu tukijiangalia kila mmoja wetu, unakuta ndoa zetu bado zinadumu baada ya kusameheana mambo ambayo kila mmoja alimhisi/tuhumu mwenzake. Na watu wakishayamaliza kuendelea kurudisha nyuma maisha mpya/ya leo kurudi kipindi kile kwa mfarakano ni upuuzi. Hata kwenye siasa na hivi kuna maadui wanageuka kuwa marafiki na kuna marafiki wanageuka kuwa maadui. Cha muhimu na kuangalia vipaumbele/mambo ambayo waliokubalina kuwa pamoja wameamua kuvisimamia. Hili ndilo la msingi. Ku'reverse' as if maisha bado ni kama vile zamani ni kupoteza muda. Siasa hubadilika kuendana na wakati na mazingira mapya.--2015-07-31 14:21 GMT+03:00 'john msinde' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:Big up Victor!Kwa nini watu wapoteze mda kumjadili mtu aliyehama chama chao? CCM wajadili wanajipanga vipi baada ya Lowasa kuondoka ili kushinda uchaguzi. maana hakutakua na ushindi mwepesi labda kwa wizi wa kura. Na UKAWA wajadili namna Lowasa anavyoweza kuwasaidia. kujadili kwamba Lowasa alikua fisadi sasa mbona amehamia chadema, chama kinachopinga ufisadi, kwa sasa halitasaidia sana kwa hao wa CCM. Hizi bado ni siasa, na mambo yanaenda yakibadilika.Victor umetoa mifano dhahiri,AhsanteJohnOn Friday, July 31, 2015 12:38 PM, Victor Mwita <victormwita@gmail.com> wrote:
Mm nadhani sisi wana-CCM wa kweli hatutakiwi kuendelea kuzungumzia hbr za EL na CDM kama wamefanya blunders au la. Tungehangaika na kupata wanachama wengine na kuachana wapinzani. Uchambuzi wwt wa kwenye mitandao hautujengei chama chetu. Siasa za Afrika zinafanana zote.
Kama mtakumbuka miaka ya hivi karibuni William Ruto alijiuzulu ukatibu mkuu wa KANU kwa sababu Mzee Moi alimpendekeza kijana Uhuru Kenyatta kuwa mgombea urais kupitia KANU. Matokeo chama Uhuru akashindwa na the same people 2007 walikuwa maadui wakubwa kiasi cha kusababisha vita vya ukabila huko kwao. Now the same people wanaongoza Kenya. Hata akina Amama Mbabazi na Daktari Byesigye walikuwa na Mu7 huko msituni now ni wapinzani. Bado kina Pierre Nkurunzinza na Agaton Rwasa wa Burundi ni hivyo hivyo. EL na CDM waliitana majina lkn kama tujuavyo wote ni wanasiasa na sio vigumu kufanya kazi pamoja.
Sioni cha kugombanisha watu kwenye mitandao. Ni afadhali kutumia muda kuzungumzia issues muhimu kitaifa badala ya kuzungumzia watu.
Kwanza hakuna mbaya absolutely au mtu mzuri bila kasoro.
CDM wameona potential ya EL wamemchukua naye pia ameona anaweza kufaidika kwa kuwa ukawa. Kwa hiyo kwao wao ni win win situation.
Sisi tuliopoteza ndio tutafute namna ya kukabiliana nao sio kuwapa faida kwa kusema mapungufu yao mtandaoni. Je wakiyaona wakarekebisha si watatushinda!!! Tuwe makini wapendwaSent from My IpadOn 31 Jul 2015 13:14, "Ireneus Kakuru Mushongi" <ireneuskakurumushongi@gmail.com> wrote:--Moja ya makosa ambayo wanasiasa wa kiafrika wanafanya ni kutokuwa na washauri wa kisaikolojia. Wengi wanakuwa na washauri wa kiuchumi zaidi. (ni mawazo yangu binafsi) kuwa baada ya shughuli ya Dodoma, ENL alikuwa somehow stressed, aliathirika sana kisaikolojia. Kama angelipata vacation ya mwezi mzima huko Hawaii au popote mbali; akarefresh kabisa nje ya upepo huu wa Bongo na akawa yuko peke yake kwa muda, NA asintaentertain hizi "Pole Mzee lakini never give up"; baada ya mwezi mmoja, usingem-approach na habari au hadithi za UKAWA au ndugu zake na UKAWA akakuelewa; hapa wamecheza na wakati na akili yake ikiwa haijakaa sawasawa! Unless uniambie ENL ni comedian.Yeye anadhani anautumia UKAWA kuachieve political ambition zake, but wao wana agenda zaidi ya kumtumia yeye kujitengeneza kisiasa zaidi. kupitia yeye watavuna wanachama, watapandisha status yao kisiasa; they know that he might not make it kwa urais; but watakuwa wamegain zaidi kuliko wangemsimamisha Dr au Proffessor kwenye mbio hizi. Next move itakuwa ya kuunganisha nguvu na kuunda chama kimoja kikubwa cha siasa after the expected popularity. In politics watapretend kumpenda; watamsifia sana (but kinafiki) but with hidden agendas...Huyu Bwana Mkubwa akija kustuka tayari wako mbali. Kwani Mrema ilikuwaje baada ya kuondoka CCM? Watu walikuwa wanasukuma gari kila pahali huku akiitwa Rais Rais but where did it end? Alikuwa despaired, akaanza kupelekwa mahakamani, and guess what... hadi alipobend tena, sasa ana kaposition ka ubunge at least kumkeep alive kisiasa; but is a pro-CCM. Siamini kwamba ENL sio mwanaCCM kwa ghafla hivi kwani pia si wa kwanza kufanya haya....but tusubiri tuone..--Omukunirwa Ireneus2015-07-31 2:26 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:Email moja humu imekuwa hacked???
--------------------------------------------
On Fri, 7/31/15, 'Lesian Mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] Lowassa ni mzigo, Slaa angekuwa chaguo sahihi!
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, July 31, 2015, 1:59 AM
Ndio maana wana habar wkt mwingine
mnachukiwa na watu mnaandika as if iko hvyo kumbe
umepelekewa na maono yako,better u write bila kujichukulia
kama wewe,analysis nayojua mimi, ni ile ambayo ni research
based,i did journalism for 8 years nikaacha,mbwambo was my
editor kasuku newspaper pale jet,sikudhani kama angeandika
hv,kachemka kweli.ametumwa na fikra zake.
Anyway tunaheshim mawazo yake na ionekane ni mawazo yake sio
ndivyo ilivyo
Lesian
Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:
Umeona, eeh? Naheshimu maandiko ya Mbwambo lakini
katika hili amebugi.em
Sent from my iPhone
On Jul 30, 2015, at 8:48 AM, Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com>
wrote:
Mhu! Naona
roho ya CCM ndani ya makala hii na hivyo inaegemea upande
fulani na siyo uchambuzi huru.
2015-07-30 15:21
GMT+03:00 fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com>:
Johnson Mbwambo
Lowassa ni mzigo, Slaa
angekuwa chaguo sahihi!
WAKATI naandika makala
hii, habari zilikuwa zimezagaa ya
kuwa Umoja wa Vyama vya Upinzani nchini (Ukawa), na hasa
Chadema walikuwa
wamekubaliana kumpokea Edward Lowassa na kumfanya kuwa
mgombea urais wao kwenye
Uchaguzi Mkuu wa Oktoba. Nathubutu kueleza wazi kwamba hilo
ni kosa ambalo
watalijutia kwa miaka mingi.
Sijui nini kilikuwa
kinaendelea katika vichwa vya viongozi
wa Ukawa wakati wakifanya maamuzi ya mwisho ya kumpokea
Edward Lowassa na hata
kumfikiria kuwa ndiye anayestahili kupeperusha bendera yao
kumkabili Dk. John
Magufuli wa chama tawala, CCM, kwenye patashika ya Oktoba ya
kuwania kukamata
dola.
Najua ya kwamba
'siasa ni mchezo mchafu', lakini bado
najiuliza maswali kibao kichwani mwangu ya ni hoja zipi
Chadema ilizizingatia
katika kumkubali Lowassa – mtu ambaye chama hicho
kilimuorodhesha katika ile
orodha ya Mwembe Yanga ya watuhumiwa wakuu wa ufisadi nchini
– List of shame
(orodha ya aibu).
Chadema haikupata
kumuondoa Lowassa katika orodha hiyo. Na
ndiyo sababu wengi wetu tumepigwa na butwaa kwa hatua yake
ya ghafla ya
kumkubali mtu huyo kuwa anakifaa chama hicho kubeba bendera
yao ya kuwania
urais.
Je, ni kwa sababu labda
ana maono (vision) ya namna ya
kuikomboa nchi hii au ni kwa sababu tu ya mapesa yake? Au
tuseme ni kwa sababu
ya 'umaarufu' wake? Au labda ni kwa sababu ya uwezo wake
kiutendaji? Au ni kwa
sababu ya marafiki zake matajiri atakaohama nao? Vyovyote
vile, umma unawadai
viongozi wa Chadema na Ukawa majibu ya maswali haya.
Hivi Chadema (achilia
mbali CUF) inawezaje kusimama jukwaani
na kumnadi urais (au hata kuwa naye tu jukwaani) mtu ambaye
yumo katika orodha
yao ya mafisadi papa nchini? Wataanzia wapi na wataficha
wapi nyuso zao? Au
labda ni kwa kuwa IQ ya Watanzania ni ya kiwango cha chini,
na ndiyo maana
wanaamini watasahau ya jana kuhusu mgombea urais huyo?
Hivi nani asiyejua ya
kuwa Lowassa anahamia Chadema si kwa
sababu ya kukipenda chama hicho na sera zake, lakini ni kwa
sababu ya kuikomoa
CCM iliyomtosa? Hivi kweli mtu anayeingia chama kulipa
visasi au kukikomoa
chama chake cha zamani anaweza kuwa na faida yoyote kubwa na
endelevu kwa chama
hicho alichohamia na kwa Watanzania kwa ujumla? Tangu lini
visasi binafsi na
kukomoana vikachukua nafasi ya mustakabali wa taifa?
Vyovyote vile, Chadema
na Ukawa yao itabidi, kwenye kampeni
ya urais waanze kwanza na kumsafisha Lowassa (sijui kwa
sabuni gani) ndipo
waeleze sera zao kwa wapiga kuwa. Itabidi kwanza wazifute
hadharani kauli zote
za nyuma ambazo ziko kwenye kumbukumbu walizozitamka dhidi
ya Lowassa
kumhusisha na ufisadi, na ndipo waanze kumnadi au hata
kuhalalisha tu kuwa naye
kwenye jukwaa wakati wa kampeni.
Baba wa Taifa, Mwalimu
Nyerere, alipata kusema ya kuwa mtu
akishakuwa tu na tuhuma kubwa za ufisadi hafai kufikiriwa
urais, na naamini ni
kwa hoja hiyo hiyo CCM iliamua kumtosa Lowassa hata bila ya
kufikisha jina lake
kwenye vikao vya juu kabisa vya maamuzi – Kamati Kuu, NEC
na Mkutano Mkuu.
Sasa, ni 'maajabu'
kwamba Chadema, badala ya kujisifu
kwamba, kimechangia kuifanya CCM imtose urais mtu aliyekuwa
kwenye orodha yao
ya 'list of shame', ndicho hicho kinachompokea kwa
mbwembwe – yaani mtu yule
yule kiliyempiga vita kuwa ni fisadi!!! Jamani, ni kwa
sababu ya mapesa yake tu
au ni kwa sababu ya maslahi binafsi na si maslahi mapana ya
chama na
Watanzania?
Nimedadisidadisi ni vipi
Chadema na Ukawa walikubali
kumpokea mtu ambaye chama tawala CCM kilimtosa kwa sababu ya
tuhuma za ufisadi
- mtu ambaye Chadema kilishiriki kueneza habari nchini nzima
kuwa ni fisadi.
Jibu nililopewa na
ninalopewa ni kwamba eti Lowassa ni 'mwathirika' tu wa
mfumo
(system) wa kifisadi wa Serikali ya CCM. Eti sasa wanadai ya
kuwa Lowassa ni
msafi ila mfumo wa kifisadi ndiyo tatizo kuu linalopaswa
kupigiwa kelele! Mbona
haya hawakutueleza tangu mwanzo? Au ndo wameyajua baada ya
yeye kutoswa na CCM?
Lakini hapa kuna swali
jingine. Huo mfumo (mimi nauita
mtandao) uliwekwa na unaendeshwa na kina nani? Si kweli
kwamba nyuma ya mfumo
huo kuna watu na Lowassa, kama mmoja wa watu walioshika
nafasi za juu za
uongozi nchini, ni sehemu ya mfumo huo? Kweli
Watanzania tumepoteza
uwezo wa
kufikiri (we have gone crazy)!
Ndugu zangu, nasisitiza
tena ya kwamba Chadema na Ukawa
wamefanya kosa ambalo watalijutia. Nadiriki kusema ya kuwa
kama kweli
watamsimamisha Lowassa kuwa mgombea urais wao, basi
wameshindwa uchaguzi wa
Oktoba hata kabla hawajaingia kwenye kampeni zenyewe.
Kama wamesahau,
waulize
kilichomkumba Augustine Mrema kwenye uchaguzi wa mwaka 1995
baada ya kutoka CCM
akiwa na huo unaoitwa 'umaarufu' ambao leo tunaaminishwa
Lowassa anao hivi sasa
nchini!
Binafsi, sioni namna
yoyote ambayo Rais Kikwete na CCM yake
ataukabidhi urais kwa Lowassa Novemba mwaka huu.
Ninachokiona ni kwamba sasa
Kikwete na CCM yake watafanya kazi usiku na mchana
kuhakikisha Lowassa hakamati
Ikulu.
CCM watapindua kila
jiwe kuhakikisha Lowassa hawi rais wa nchi hata kama
atasimama kwa tiketi ya Ukawa. Kama mnabisha, subirini
Oktoba muone matokeo!
Kwa mtazamo wangu,
niliamini, na bado naamini ya kuwa 'The
Chosen
One' kutoka Ukawa
alistahili kuwa Dk. Slaa wa Chadema. Takwimu za
uchaguzi wa mwisho wa mwaka 2010 zinaonyesha ya kwamba
walijiandikisha wapiga
kura 20,137,303 lakini waliopiga kura ni 8,626,283. Kati ya
kura hizo
zilizopigwa Rais Kikwete alipata kura 5,276,827, Dk. Slaa
kura 2,271,941 na Lipumba
kura 695,667.
Kwa takwimu hizo, na
kwa kigezo cha lojiki, Slaa anampiku
Lipumba kwa mbali. Ingawa katika siasa kuna mambo mengi ya
kuzingatia kabla
chama husika hakijateua mgombea urais wake, lakini utahitaji
maelezo ya
kuridhisha kumtosa mtu ambaye uchaguzi uliopita alipata kura
2,271,941 na
badala yake kumteua mtu ambaye aliambulia kura 695,667 tu.
Kwa hiyo, kwangu
mimi, uteuzi wa Dk. Slaa ungekuwa ni uteuzi sahihi awepo
Lowassa au kwenye
Upinzani au asiwepo.
Kiupambanaji, Dk. Slaa
ni zaidi ya Lowassa. Ana ujasiri. Kumbukumbu
zinaonyesha kwamba damu yake na ya mkewe Josephine (sijui
kama wameshaoana)
iliwahi kumwagika akipambana na dola kuwatetea wanyonge.
Aidha, ni mwadilifu,
mweledi, ana busara, na hana maamuzi ya jazba kama Lowassa
(rejea skandali ya
Richmond) au Magufuli.
Katika kipindi cha
miaka 15 iliyopita, Dk. Slaa amewaongoza
Watanzania (wakiwemo wabunge) kubadilisha kabisa mwelekeo wa
uwajibikaji wa
watawala wetu Tanzania. Aidha, amehangaika huku na kule
nchini kuwaamsha wapiga
kura usingizini ili wawatathmini watawala wao (siwaiti
viongozi) wakiwa na upeo
mkubwa wa ufahamu.
Ninadiriki kusema kuwa
hata kufungwa jela kwa hivi karibuni
kwa mawaziri wawili wa zamani – Daniel Yona na Basil
Mramba, ni matunda ya kazi
ya muda mrefu ya kupambana na ufisadi ya Dk. Slaa na wenzake
kadhaa pamoja na
vyombo vya habari.
Tofauti na wagombea
urais wengine ambao wangeweza kuteuliwa
kutoka Upinzani – Lowassa, Lipumba, Mbowe nk, Dk. Slaa
yeye anaingia katika
kinyang'anyiro hicho akiwa na rekodi safi ya nyuma ya
utendaji jimboni na hata
alipokuwa ndani ya Bunge. Hadi leo rekodi hiyo haijapata
kuchafuliwa na kashfa
yoyote ya ufisadi au nyingine yoyote kubwa.
Kama, mpaka sasa,
Halmashauri ya Wilaya ya Karatu inaendelea
kuwa mfano wa kuigwa nchini wa halmashauri zinazochacharika
kuwaletea wananchi
wake maendeleo makubwa, ni kwa sababu ya msingi mkubwa wa
Dk. Willbroad Slaa
aliouweka akiwa mbunge wa jimbo hilo.
Ndugu zangu, kama
bunge sasa linachangamka na linasimama
kidete kupambana na ufisadi nchini (mfano Escrow), ni kwa
sababu huko nyuma
kulikuwa na kina Slaa ndani ya bunge hilo waliojitolea
"kufa kidogo" kutetea
wanyonge na ambao walionyesha ujasiri wa kutoiogopa serikali
kwa kuibana kweli
kweli. Hawa wa sasa wanafuata tu njia iliyoanzishwa na hao
waliowatangulia –
yaani Dk. Slaa na wenzake.
Ndugu zangu,
nihitimishe kwa kusisitiza mambo mawili. La
kwanza ni
kwamba Dk. Slaa ndiye
aliyestahili kuwa chaguo sahihi la kumkabili
Dk.
Magufuli, na si
Lowassa, Lipumba, Mbowe au Mbatia. La pili ni kwamba kwa
kumkubali Lowassa kuwa mmojawao, Chadema na Ukawa
'wameipoteza' kabisa agenda
ya ufisadi. Itabidi sasa wafunge midomo yao kuzungumzia vita
ya ufisadi, kwa
sababu sasa Watanzania wanaamini kuwa walikuwa wakibwabwaja
tu maneno lakini si
waumin wa kweli wa vita hiyo!
Niambieni; ni wapi
ambako kuna ushahidi kuwa Lowassa alipata
kukubali "kufa kidogo" kuwatetea wanyonge na masikini wa
nchi hii. Ni mjinga tu
ndiye asiyejua kwamba Lowassa ndiye chaguo la urais la
mabilionea wa Tanzania
ambao wengi wao mapesa yao hawakuyapata kihalali.
Hakuna namna yoyote
ambayo Lowassa anaweza kudai kuwa katika
patashika zake za kuusaka urais anawakilisha maslahi ya
masikini waliozagaa
vijijini! Tiketi yake ni ya mabilionea wenzake na ndiyo
atakaowawakilisha
kwenye kampeni. Mtu wa namna hiyo akiingia Ikulu, kamwe
hawezi kuwakumbuka
masikini wala wanyonge bali atawakumbuka mabilionea wenzake
waliomwingiza
Ikulu.
Rejeeni ile hafla yake
ya Arusha ya kutangaza nia ya kuwania
urais ilivyokuwa ya mapesa mengi ndo utaelewa
ninachomaanisha ninaposema ya
kuwa si mwakilishi wa masikini na wanyonge. Na ndiyo maana,
kwangu mimi, bado
nitaendelea kuamini ya kuwa The Chosen One kutoka Upinzani
wa kumkabili Dk.
Magufuli alistahili kuwa Dk. Slaa.
Ni bora CCM, ambayo
sasa inaanza kujirudi na kujisafisha kwa
kuwatosa watuhumiwa wa ufisadi miongoni mwao kuliko Chadema
na Ukawa ambao sasa
wanapokea makapi ya CCM yanayokimbia tuhuma za ufisadi.
Lowassa, kama
alivyokuwa mzigo kwa CCM, atakuwa tu mzigo kwa Chadema na
Ukawa yao! Time will
tell! Tafakari.
Raia Mwema
Toleo la 416
29 Jul 2015-
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI
Tunataka mageuzi. Mgeuzi tulitarajia kuyapata CDM 2015. yameyeyuka na kama hujaona subiri kidogo.
narudia lugha niliyoitumia tulipokuwa tunapambana kuzuia shirikisho la Africa Mashariki kwa kutumia fast Track. Nilisema\ katika mjadala huo tulikuwa tunarutubisha uranium lakini kwa matumizi ya kiraia. naona sasa tumeanza. Kufikia October tutakuwa na mapipa
--------------------------------------------
On Fri, 7/31/15, fatma_elia via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, July 31, 2015, 4:31 PM
Muhingo
Mkapa aliingia Ikulu akiwa malaika. Msafi kabisa lakini
tizama alivyoondoka. Watanzania wasiwe waoga kwa mabadiliko
ingawa mimi mwenyewe ni CCM. Kama Kibaki alikuwa fisadi KANU
lakini aliiongoza tena Kenya kupitia chama cha Upinzani
vizuri sana na wametupita kwa mambo mengi
Tusiogope
Fatma
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel
Tanzania.
-----Original Message-----
From: "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Fri, 31 Jul 2015 05:10:38
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE
RADHI
Ufisadi ni criminal offence ambayo CCM ilinyamazia na CDM
ikaupigia kelele. Ufisadi kama ulivyo wizi huwezi kuuona ila
unaweza kuwaona wezi. na CDM iliwataja waziwazi bila
kificho. Tunataka kuijenga nchi maadui wakubwa walikuwa
rushwa iliyokomaa na kuitwa ufisadi. hatuhitaji kubadili
mfumo wa ufisadi bali kuacha kuwavumilia mafisadi (kosa
lililotendwa na CCM). Tukisha jisafisha na ufisadi (ulio
ndani ya mafisadi) tutaanza kujenga mifumo. Agenda ya CDM ni
kupambana na ufisadi kama njia ya kusafisha ARDHI uweze
kulima. CCM wamejua muda kumbe. Ufisadi ulistawishwa na
mtandao uliotupatia rais 2005. Sasa CCM imeanza kwa muukataa
mtandao huo kuendelea kuliongoza taifa ndiyo maana kinyume
na matakwa ya wenye nguvu Lowasa na Membe wakatupwa (na kama
Vladmil Putin) akaibuka Dr. magufuli. Tukiwa tunatarajia na
kinara wa mabadiliko (CDM) kuendelea kuongoza mabadiliko kwa
kumleta wengi tuliyemtarajia (Dr. Slaa) tunashangaa (CDM)
inaibuka na wale iliokuwa
inawashambulia kwa sababu zilizopo hapo juu. Mtu wa kawaida
kama mimi unawaza nini kinachokuja? CCM licha ya kuvumilia
ouzo wa ufisadi mpaka ikaishia kupoteza popularity yake
itakaa kimya kuona ufisadi unahama na kuendelea kuliongoza
taifa tena nje ya CCM?? taifa hili ni letu wote. Ni la vyama
vyote. Nyerere aliwahi kusema 'Huwezi kuwa Mkatoliki kuliko
baba Mtakatifu' kwa neno hilo "Huwezi kulipenda taifa hili
kuliko CCM. Nina maana kipindi hiki CCM imelitelekeza taifa
kwa faida yake yenyewe. Je sasa itakuwa tayari kulitelekeza
kwa manufaa ya ufisadi. Hata Wazimbabwe hawakukubali na hata
wangekubali ZanuPF isingekubali. naomba kutafsiliwa vizuri.
Sijasema CCM haiwezi kukabidhi madaraka kwa CDM. Nina maana
haiwezi kukabidhi kwa UFISADI hasa ulio nje yake.
Nimekufuru????
--------------------------------------------
On Fri, 7/31/15, 'john msinde' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE
RADHI
To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, July 31, 2015, 11:30 AM
Ufisadi ni
sehemu ya mfumo huo wa utawala. Kwa hiyo basi ufisadi
unaweza kujengwa kwenye hiyo mifumo ya kiutawala, Kama
ulivyoitaja hapo Muhingo. Lakini la pili mimi sijui kama
kulikua na hayo majizi ya richmond kwa nini hadi leo
hakuna
aliyefikishwa mahakamani kwa ajili ya ufisadi huo. Sasa
basi
kumwita Lowasa fisadi si sahihi, kilichopo ni shutuma,
ambazo amezijibu kwa ufasaha. Kwa nini tusiende kuwauuliza
hao wakubwa aliosema walitoa maagizo mkataba wa Richmond,
tunaendelea kumsakama Lowasa. He has
arleady threw the ball..Sasa kama
hiyo richmond ni ufisadi na hao walioitwa mafisadi
hawajachuliwa hatua yeyote, basi ufisadi ni sehemu ya huo
mfumo wa utawala. Mimi huu ndio uelewa wangu wa hili
swala.bado
nasema haitatusaidia sana kuendelea kumshambulia lowasa,
kama lengo letu ni kubadili mfumo huo wa kiutawala unaleta
ufisadi na madhila mengine kama kukataa katiba ya wananchi
ambayo ilikua na mazuri mengi ya kupinga huo
ufisadi. AhsanteJohn
On Friday, July 31,
2015 1:22 AM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Agenda kuu peoples
power sadi. Unasema ufisadi uko CCM Lakini mafisadi
wanahamia Peoplespower. kazi yao ya kwanza ni kuwaambia
tusijadili ufisadi. Na wewe unakubali. Yaani gari letu ni
bovu. Wakati wa kuondoka umefika. Tusijicheleweshe
kuangalia
kama limetengenezwa tuwashe tu tuondoke. Hii ni nini?
Narudia maneno yako UFISADI uko CCM. lakini wale peopless
iliowaita mafisadi wako CDM Ufisadi umebaki CCM
kweli?????
--------------------------------------------
On Fri, 7/31/15, 'Lesian Mollel' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: Re:
[wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, July 31, 2015, 1:54 AM
I mean kwa sasa mzee muhingo
hatuna
mda huo wa kuanza kudiscuss ufisadi
na nani
kahusika'waliohusika wako ccm
bhaaas
Nimesma nikarudia mara mia hata
wenzangu wamekuambia acha
kudiscuss
hizo'vaa ngwada sema peeeeoooples...vite for us
for change bhaaas
Lesian
'ELISA MUHINGO' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
>Mollel
>somavizur kilichoandkwa
halafu ongelea ndqani ya track
najua uliko
(nilikuwako) tena najua niliko (hujafika)
Jitahidi kwenda na mantiki. Utaelewa kinachoongelewa.
Nimejadili maana ya mfumo na maana ya ufisadi
nakudhani kuwa
ufisadi sio mfumo-Hilo
tu-Lijibu au liache twende mbele.
Hukumuelewa John alipokusaidia usijitukane kwa kutumia
maneno yasiyochangia mada. Ona hata muundo na
muumbo wa
maneno
>--------------------------------------------
>On Fri, 7/31/15, 'Lesian Mollel'
via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
>
> Subject: Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI
TUMUOMBE RADHI
> To: wanabidii@googlegroups.com
> Date: Friday, July 31, 2015, 1:36 AM
>
> Elisa wee mtu
mzima badilika
> Richmlnd haimuhusu
lowasa hata toneeeee mzeee heh
> Wee
chuki uliojijengea kwa lowasa ni za bure utaingia
> jehanam kwa kujilazimisha,umei tune akili
yako
kutokukubali
>
tuuuuu,kuendelea kua conservative with no
logic....richmond
> omba pr confr
kamuulize jk sku anatua airport toka
aliko
> Cc utatukuta mbele kwa mbele
tukiwaumiza wana ccm na
mfumo
> wao mbovu,nakushaur acha tabia yako ya
kuaattack watu
attack
>
parties,usikomae na jambo moja lisilo na maslah ya
kitaifa
> kwa sasa tuko
busy tunapogania maslahi ya kitaifa wewe
> unadiscuss watu....ooh richmond,ooh mafisadi or
lowasa
> kaingia cdm
> Talk of what should we do to overthrow ccm bhaaas
ndo
habar
> ya mujini
mzeeee
> Lesian
>
> 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
> wrote:
>
> >Hii ndugu zangu naomba kuiza. Ufisadi
ni mfumo?
Mfumo
> gani.
Kuna mifumo ya utawala au siasa kama ubepari,
ujamaa
> nakadhalika. Mimi
nilifikiri ufisadi ni vitendo vya
jinai
> ambavyo vinaweza kukua kutegemeana na
watu kuona aibu
> kuvikosoa. au watu
kuogopa kuwakosoa mafisadi.
nafikiri
> ufisadi ni vitendo ambavyo mtu anaweza
kufanya jambo
> litakalowatia hasara
waliowengi ili yeye afaidike.
Mfano wa
> mkataba wa Richmond ambamo watu
walipitisha mkataba
ambamo
> wat majizi wanalipwa capacity charges kubwa bila
sababu
za
> msingi na
mapato hayo wanayatumia kununua uongozi.
> >Mimi nahitaji maelezo ili twende wote. Kama
maelezo
> yangu ni sahihi
kuhusu ufisadi basi dawa ni kuwaondoa
>
mafisadi wala si mfumo tena na wanaweza kuwa popote
kwa
> sababu watahama kama
wamasai kufuata malisho.
>
>Nisaidieni hapo
>
>--------------------------------------------
> >On Thu, 7/30/15, 'john
msinde' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
> wrote:
> >
> > Subject: Re: [wanabidii] TULIOMWITA
LOWASSA
FISADI
>
TUMUOMBE RADHI
> > To: "wanabidii@googlegroups.com"
> <wanabidii@googlegroups.com>
> > Date: Thursday, July 30, 2015, 4:06
PM
> >
> >
Telesphor,Umeongea
> > kitu cha
msingi sana, ambacho na mimi ndio
mtazamo
> wangu.
>
> Haitatusaidia
> > sana
kuwajadili watu, nani fisadi? nani sio
fisadi. La
> > msingi ni kuujadili na
kuubadilsha huo mfumo
unaoleta
> hao
> > mafisadi.
Kama huo mfumo uko UKAWA au CCM, kila
mtu
> anajua.
> >
John
> >
>
>
> >
>
> On Thursday, July
> >
30, 2015 2:52 PM, Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com>
> > wrote:
> >
> >
>
> Kwa sasa hakuna haja ya
> >
kuzungumzia mtu/watu bali kubadilisha/kuboresha
mfumo
> wa
> > utawala tu na kilichofanyika ndani
ya Chadema au
Ukawa
>
> kinaonyesha mwelekeo huu.
> >
> > 2015-07-30 15:07
> > GMT+03:00 emmbaga <emmbaga@hotmail.com>:
> >
> >
> >
> >
> >
> >
Nimefarijika sana kusoma habari , Dr. Slaa
amekataa
> > usanii huo na amejitoa
rasmi Chadema. subiri
> utasikia
> > zaidi. na narudia tena maana naona
huelewi.
Ufidadi wa
>
> Richmond ni kitu kidogo mno ktk ufisadi wa mtu
wenu
> na
> > wala haukufanikiwa (
siuliumbuliwa
> > na kamati)
nazungumzia wa tangu enzi za
Nyerere
> na
> > ambao ndio
unampa kiburi ya fwedha anazowanunua
watu
> > sampuli enu. anaweza asiwape
Cash wengine wenu lkn
kwa
> > kutumia taaluma ake a usanii kupitia Media,
> > Makanisa,Misikiti...... ndio
ninaozungumzia.
amepata
> > wapi mihela yote hio akiwa mtumishi wa Umaaa.
> hebu
> >
tufafanulie hapo. mabadiliko sio kumtumia
mtuhumiwa
> kuyaleta
> > sababu tu ana wafuasi wengi kama unavyodhani na
> anavyotaka
> >
tuamini. haya akisha upata Urais??.Jisikieni
aibu
> > kutetea
uozo.
> > "Hongera Dr .W.
Slaa"
> >
>
>
> >
> >
hawa vibaraka waliobaki tutapambana nao kwa uwezo
wa
> > Mungu.
> > ernest
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > Sent from
> >
Samsung mobile
> >
> >
> >
>
> 'john msinde' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
> > wrote:
> >
> >
> >
> > Ernest, -time will tell kama
> > ulivyosema.
>
> Mungu atatuonesha adui yetu ni nani.
> >
> > kuna mambo mawili
tuyaweke sawa
> > hapa.La
kwanza mtandao ulikuwepo ccm, huo ni
mfumo
> > uliotumika kufanikisha
ushindi uchaguzi kipindi
hiko.
> > Anayehamia CDM si
> > mtandao ni Lowasa. Watakaomuunga mkono kuhama
nae
> sio wana
> > mtandao. Ni watu wanaoamini katika
utendaji wake
na
> >
ambao wako tayari kwa mageuzi ya kimfumo wa
kiutawala.
> Maana
>
> mageuzi hayo ndiyo yatatuletea maendeleo.
> > Jambo la pili, ni lazima
kuutazama
> > ufisadi kama ni mfumo
uliojengeka kwenye ccm. Sio
> tatizo
la
> > mtu mmoja. Wewe unafahamu
kwamba Mkapa aliingia
> akiitwa
> > mr clean, lakini kilichotokea
tulikiona,
> > sababu ya
huo mfumo. Hili somo ni rahisi kama
>
> ukiwa tayari kujifunza. lakini usipokubali
kupanua
> mtazamo
> > wako itakua ngumu. Lakini pia Huyo
lowasa ameongea
na
>
> amésema hiyo habari ya richmond ni agizo la
> > 'wakubwa'.
> > Sasa hamisheni kesi yenu kwa hao wakubwa
kuliko
> kuendelea
>
> kumsimanga mtu asiye na kosa. Mnaogopa?
> >
> >
> >
> > 'in
the war between falsehood
> > and
truth, falsehood wins the first battle and
truth
> the
> >
last' (anaglizo
> > huu si
usemi wangu sikumbuki chanzo
> >
nilichoutoa.)
> >
> >
> >
>
> John
> >
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > On
Thursday, July
> > 30, 2015 12:34 PM,
Ernest Philemon <emmbaga@hotmail.com>
> > wrote:
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > Ngugu
John ee !!
> >
>
> huo usafi wa Kikwete
> >
unauzungumza wewe, alafu unajaribu
> > kufanya taasisis ya Urais kama
> > ya kikundi fulani hivi
eti
> > kama alimweka kua
waziri mkuu
> > kwani hakujua
ni fisadi.
> >
> >
> >
>
> unafahamu kuhusu CCM mtandao??
> > ambao ulifanya mapinduzi baridi 2005
> > na kumwingiza Kikwete. na huo
ndio
> > ulijaribu tena
kumwingiza huyu mtu
> > wenu
Lowassa kwa njia zilezile, sasa
>
> imeshindikana , amepata mwanya
> > wa walafi wengine eti apitie
> > CDM mradi tu awe
rais,
> > na mtandao wake
uendeleee
> > kutawala nchi
ukiongeza na wapya
> > toka
CDM doo!!! mnataka
> >
wafanya watanzania milioni zaidi ya
> > 45 mali yenu au mazezeta??
> >
> >
> >
> >
> > binafsi
> >
sikuwahi kupiga kura kumchagua
>
> Kikwetea. na hii ni sababu
> > jinsi alivyoupata urai kupitia
> > Mtandao. safari hii
nampongeza
> > kwa kutusaidia
ku- block Mtandao
> > usiteke
tena nchi, kupitia CCM
> >
> >
> >
> >
> >
> > sasa wanajaribu
> > kupitia CDM ambao nao
> > wametushtua na kutushangaza , hee!! kumbe
yote
> > ilikua
ghilia tu , hata fisadi
> >
kwao ni mali mradi aje na
>
> wafuasi kuongeza kura. nitamshangaa
> > mno Dr. Slaa akibaki huko
> > , naamini pia wengi wa
> > waelewa ktk chama hicho CDM
hawatakubali.
> >
> >
> >
>
>
> > najua mtapata
> > watu wachache waliokua mtandao
kuhamia
> > CDM kuendeleza
usanii wake kua
> > anakubalika
na wananchi na hata
> >
atapokelewa kwa shangwe hasa akienda
> > Arusha ambao wengi ni wafuasi wa CDM
> > .
> >
> >
> >
> >
> >
> > lakini
>
> watanzania makini na wanaoipenda
> > nchi yao wakisaidiwa na
mwenyezi
> > Mungu,hawata kubali
ghiliba hizo,
> >
> >
> >
> >
> > tuna
taka mtu
> > safi asie na
kashfa kama zake na
> > wako
wengi tu, huyo wenu kaeni
> >
nae mkimshangilia lakini uraisi
> > atausikia kwa TB jushua alikokimbiliaga
> > nanyi wapambe mtabaki na
aibu
> > yenu tu.
> >
> >
> >
> >
"time will
> > tell"
> >
> >
> >
> >
> >
> >
Ernest
> >
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > 2015-07-30 11:59 GMT+03:00 'john
msinde' via
> > Wanabidii
> > <wanabidii@googlegroups.com>:
> >
> >
> >
> >
> > Ila pia huyo mtu
safi aliyeambiwa
> > mda wake
haujafika badae alimteua kuwa waziri
mkuu
> huyo
> >
aliyeambiwa fisadi. Sasa leo nongwa inatoka wapi?.
huu
> sio
> > unafiki? Tubadilishe mitazamo yetu na kufikiri
kwa
> upana
> > zaidi. Hapo ndipo tutaujua
ukweli.
> > John
> >
> >
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > On Thursday, July
> > 30, 2015 8:06 AM, emmbaga <emmbaga@hotmail.com>
> > wrote:
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
Hakumtuhumu Kikwete lolote alimwambia mda wake
bado.
> > lakini
alimtuhumu Lowassa. haitafutika kamwe
labda
> > angejitetea kipindi kile
tungemwelewa labda lkin
sasa
> > anatumia advantage ya Baba wa Taifa
hatunae
tena!!!
>
> mizimu itazungumza.
> >
Ernest
> >
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > Sent
from
> > Samsung mobile
> >
> >
> >
> >
fatma_elia via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
> > wrote:
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
Ernest
> >
>
>
> >
> >
Baba wa Taifa alimkataa Lowassa na Kikwete. Mbona
> mlimtakasa
> >
Kikwete mnamkataa Lowassa?
> >
> >
> >
> > Fatma
> >
> > Sent from my BlackBerry® smartphone
provided by
> Airtel
> > Tanzania.
> >
> > From: Ernest Philemon <emmbaga@hotmail.com>
> >
> > Sender:
wanabidii@googlegroups.com
> >
> > Date:
Thu, 30 Jul 2015 04:54:38 +0000
> >
To: wanabidii<wanabidii@googlegroups.com>
> > ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
> >
> > Subject:
RE: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA
>
> FISADI TUMUOMBE RADHI
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > Tuache unafiki, Baba wa
> > taifa alimkataa Lowassa
hata
> > mambo ya Richmond
hayakuwepo,
> > nae Lowassa
hajawahi kanusha
> > chochote
alichosema baba wa
> >
taifa marehemu Mwalimu Julius Nyerere,
> > leo hii we Mama unasema
> > aombwe radhi !!!! duuu
kweli
> > hizi njaa
zinapoteza
> > hata utu wa
mtu.
> >
>
>
> >
> >
ernest
> >
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> > Date:
Thu, 30 Jul 2015 04:22:00 +0000
> >
> > From: wanabidii@googlegroups.com
> >
> > To: wanabidii@googlegroups.com
> >
> > Subject:
Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA
FISADI
> TUMUOMBE
>
> RADHI
> >
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > Kila anayetubu kwa dhati
husamehewa
> > Nkya. Lakini uwe
mwangalifu na siasa. Umesikiliza
>
upande
> > mmoja tu kwamba EL alipewa
amri ya simu, kutoka
juu,
> kupitia
> > kwa Katibu Mkuu
kwamba mkataba usivunjwe. Haingii
>
akilini
> > katika taratibu za
utawala
> > kupokea maagizo na
kutekeleza katika mtiririko
> huu!
Agizo
> > haliendi hivyo, na mimi
binafsi siwezi kutekeleza
agizo
> la
> > jinsi hii.
Je anayesemekana alitoa agizo akisema
>
hajawahi
> > kupiga simu kuzuia
kuvunja mkataba? Na hii
inawezekana
> sana
> > katika
hali ya mambo
> > sasa hivi -
kurukana! Nani atakuwa mkweli? Ni
>
kupakana
> > matope, tupate upande
mwingine wa shilingi, kwamba
ni
> kweli
> > lilikuwa
agizo? Kwa nini EL haku test authenticity
ya
> agizo
> >
hilo? Unaridhika na maelezo/maagizo ya
subordinate
> > wako?
> >
> >
> >
> >
Please
> >
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > From: 'ananilea
> > nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
> >
> > To:
> > mabadilikotanzania@googlegroups.com
>
> >
> > Cc: WANA BIDII
>
> <wanabidii@googlegroups.com>
> >
> >
> > Sent:
> >
Wednesday, July 29, 2015 4:43 PM
> >
> > Subject:
>
> [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE
RADHI
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
Nimemsikiliza Edward Lowassa kwenye you tube
> > tuliyowekewa humu jukwaani akiulizwa
maswali na
> wanahabari
> > kuhusu kashfa ya Richmond iliyotokea alipokuwa
Waziri
> Mkuu
> > miaka minane iliyopita. Kulingana
na majibu
> aliyoyatoa
> > hata mimi kama mwanahabari
niliwahi
> > kumwita fisadi kwa
sababu ya kashfa hiyo.
> Lakini
> > kulingana na maelezo aliyoyatoa
ninakiri
nilifanya
>
dhambi
> > maana kumsingizia mtu
uongo ni dhambi na binafsi
baada
> ya
> > kusikia
upande wake mimi kwa upande wangu
namuomba
> radhi.
>
>
> >
>
>
> > Kumbe kinara wa kashfa ya
Richmond alikuwa bosi
> wake.
> > Lo! Sasa inaingia akilini ni kwa
nini TOR za
> Mwakyembe
> > hakikumuweka Lowassa kama sample ya kuhojiwa
kashfa ya
> > Richmond
ilipotokea. Lakini kwa unyenyekevu
Lowassa
> > alijiuzulu kuinusuru
serikali nzima isianguke.
> >
Mungu mwema miaka minane baadaye ukweli
kamili
> wa
> >
Richmond unajulikana. Kama ulichokisema ni kweli
> Lowassa,
> > Mungu
atakupigania kwa sababu ni wewe na Mzee
Mwinyi
> > peke yenu mna rekodi ya
kujiuzulu kuonyesha
> uwajibikaji
> > kutokana na nafasi zenu na siyo
kosa
> > mlilolitenda ninyi
wenyewe. Viongozi wengine
> mpaka
> > umma upige kelele sana ndipo
wajibaraguze
kujiuzulu
> mfano
> > kashfa ya escrow 2014.
Sasa ninaelewa ni kwa nini
> baadhi
ya
> > watu wana hofu baada ya
LOwassa kukubaliwa na
UKAWA
> > kuwa mgombea Urais.
> >
> >
>
>
> > Namshukuru sana
aliyetuwekea hii you-tube huku
>
jukwaani
> > maana baadhi yetu ambao
hatuko site tungeweza
> kuendelea
> > kufanya uchambuzi wetu kwa kutumia
habari nusu
nusu
> >
tulizopewa miaka iliyopita kuhusu kashfa ya
Richmond.
> >
>
>
> >
> >
Ananilea Nkya
> >
> >
> >
>
> E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
> >
> >
> >
> > --
> >
> > Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> Utapata
ya kudhibitisha ukishatuma
> >
> >
> >
> > Disclaimer:
>
>
> > Everyone posting to this
Forum bears the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to
> > abide by our Rules and
Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii"
group.
> >
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving
> > emails from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
> >
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > --
> >
> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> > Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
> >
>
>
> >
>
> Disclaimer:
> >
> > Everyone posting to this Forum bears
the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to
> > abide by our Rules and
Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii"
group.
> >
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving
> > emails from it, send an email to
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
> >
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
> >
> >
> >
> > --
> >
> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> > Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
> >
>
>
> >
>
> Disclaimer:
> >
> > Everyone posting to this Forum bears
the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to
> > abide by our Rules and
Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii"
group.
> >
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving
> > emails from it, send an email to
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
> >
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
> >
--
> >
> >
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> > Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
> >
>
>
> >
>
> Disclaimer:
> >
> > Everyone posting to this Forum bears
the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to
> > abide by our Rules and
Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii"
group.
> >
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving
> > emails from it, send an email to
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
> >
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> > --
> >
> > Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> > Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
> >
>
>
> >
>
> Disclaimer:
> >
> > Everyone posting to this Forum bears
the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to
> > abide by our Rules and
Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii"
group.
> >
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving
> > emails from it, send an email to
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
> >
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > --
> >
> > Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> > Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
> >
>
>
> >
>
> Disclaimer:
> >
> > Everyone posting to this Forum bears
the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to
> > abide by our Rules and
Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii"
group.
> >
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving
> emails
> > from
it, send an email to
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
> >
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > --
> >
> > Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> > Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
> >
>
>
> >
>
> Disclaimer:
> >
> > Everyone posting to this Forum bears
the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to
> > abide by our Rules and
Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii"
group.
> >
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving
> emails
> > from
it, send an email to
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
> >
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
> >
> >
> >
> > --
> >
> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> > Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
> >
>
>
> >
>
> Disclaimer:
> >
> > Everyone posting to this Forum bears
the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to
> > abide by our Rules and
Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii"
group.
> >
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving
> emails
> > from
it, send an email to
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
> >
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > --
> >
> > Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> > Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
> >
>
>
> >
>
> Disclaimer:
> >
> > Everyone posting to this Forum bears
the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to
> > abide by our Rules and
Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii"
group.
> >
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving
> emails
> > from
it, send an email to
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
>
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > --
> >
> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> > Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
> >
>
>
> >
>
> Disclaimer:
> >
> > Everyone posting to this Forum bears
the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
> Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You
received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii" group.
> >
> > To
unsubscribe from this group and stop receiving
> emails
> > from
it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
>
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
> >
> >
> >
> >
> > --
> >
> > Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> Utapata Email ya
>
> kudhibitisha ukishatuma
> >
> >
> >
> > Disclaimer:
>
>
> > Everyone posting to this
Forum bears the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
> Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You
received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii" group.
> >
> > To
unsubscribe from this group and stop receiving
> emails
> > from
it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
>
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
>
>
> >
> >
> >
>
> --
> >
>
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >
> >
> >
Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> Utapata Email ya
>
> kudhibitisha ukishatuma
> >
> >
> >
> > Disclaimer:
>
>
> > Everyone posting to this
Forum bears the sole
> responsibility
> > for any legal consequences of his or
her postings,
and
>
hence
> > statements and facts must
be presented
responsibly.
> Your
> > continued membership
signifies that you agree to
this
> > disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
> Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You
received this message because you are
subscribed to
> the
> > Google Groups "Wanabidii" group.
> >
> > To
unsubscribe from this group and stop receiving
> emails
> > from
it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more
options, visit
>
https://groups.google.com/d/optout.
>
>
> >
>
>--
> >Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >Kujiondoa
Tuma Email kwenda
> >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
> >
>
>Disclaimer:
> >Everyone posting
to this Forum bears the sole
>
responsibility for any legal consequences of his or
her
> postings, and hence
statements and facts must be
presented
> responsibly. Your continued membership
signifies that
you
>
agree to this disclaimer and pledge to abide by our
Rules
> and Guidelines.
> >---
> >You
received this message because you are
subscribed to
> the Google Groups
"Wanabidii" group.
> >To
unsubscribe from this group and stop receiving
emails
> from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >For more options, visit
> https://groups.google.com/d/optout.
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma
Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
> Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
>
>
Disclaimer:
> Everyone posting to this
Forum bears the sole
responsibility
> for any legal consequences of his or her
postings, and
hence
>
statements and facts must be presented responsibly.
Your
> continued
membership signifies that you agree to this
> disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
> ---
> You received this message because you are
subscribed to
the
>
Google Groups "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
> from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit
> https://groups.google.com/d/optout.
>
>--
>Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email
kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the
sole
responsibility for any legal
consequences of his or her
postings, and
hence statements and facts must be presented
responsibly. Your continued membership
signifies that you
agree to this disclaimer
and pledge to abide by our Rules
and
Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed
to
the Google Groups "Wanabidii"
group.
>To unsubscribe from this group
and stop receiving emails
from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are
subscribed to the
Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.