Monday, 31 December 2012

[wanabidii] Salamu Za Mwaka Mpya Kutoka Mjengwablog!

Ndugu zangu, 

Imekuwa ni utamaduni wangu kutuma salamu za Mwaka Mpya kwa wanakijiji wa Mjengwablog, marafiki zangu kwenye FB na wengine walio ndani na nje ya mitandao ya kijamii.

 Nimefanya hivyo tangu mwaka 2006 ilipoanzishwa Mjengwablog. Na mwaka huu naendeleza utamaduni huo. Nina mambo makubwa mawili kwenye salamu za mwaka huu, lakini, nitaanza salamu hizi kwa kukumbushua ahadi muhimu ya Mwana –TANU; kwamba; 

 " Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa manufaa ya wote". 

 Ndugu zangu, 

Siku kama ya leo miaka 30 iliyopita nilikuwa ndani ya garimoshi la Tazara nikielekea Dar kutokea kijijini kwetu Nyeregete. 

Nikiwa Nyeregete kwenye likizo ndefu ya kusubiri matokeo ya Kidato cha Nne, zilinifikia taarifa kuwa nahitajika haraka Dar es salaam kwenda kufanya maandalizi ya kuanza Kidato cha Kwanza shule ya Sekondari Tambaza. Masomo yetu pale Tambaza yalianza Januari 13, 1983. 

 Siku kama ya leo miaka 30 iliyopita nilivuka kwa kuogelea korongo la Lihamile ili kuifikia Rujewa na hatimaye stesheni ya Tazara kule Ihanga. Korongo hilo lilijaa maji ya mvua ya masika yaliyokuwa yakipita kwa kasi. 

Hakukuwa na daraja. Baadae likajengwa daraja la magogo wakati wa kipindi cha Ubunge wa Kanali Mstaafu, Edmund Mjengwa. Daraja hilo sasa limeoza. Halipitiki. Ahadi nyingi zimetolewa kulijenga upya. Zimebaki kuwa ahadi. Ni daraja muhimu kiuchumi na kijamii kwa watu wa Nyeregete na wengine wengi wenye kulitumia. Ni kero kubwa kwa wananchi wa Nyeregete. 

Nimeongea na baadhi ya viongozi wa Nyeregete. Na nimewaambia, kuwa tushirikiane kuhakikisha, kuwa mwaka 2013 daraja hizo linajengwa hata kama ni kwa nguvu za wananchi. Tayari tumeshafanya utafiti na kuona inawezekana likajengwa kwa kiwango cha zege na chini ya shilingi milioni 20. 

Hivyo basi, mwaka 2013 nitashirikiana na wananchi wa Nyeregete na wengine wote watakaokuwa tayari kusaidia kuhakikisha tunapitisha harambee ya kujenga daraja hilo. Miaka 30 baada ya mimi kuvuka Lihamile kwa kuogelea itakuwa ni aibu kubwa kuwaona tena wananchi wa Nyeregete na wengine wakivuka korongo hilo kwa kuogelea. Ni nini basi maana ya kwenda shule?

 Ndugu zangu, 

Maji ni kero kubwa kwa wananchi wengi wa Bonde la Usangu, Mbarali Mbeya. 

Badala tu ya kuilalamikia na kuisubiri Serikali iwasaidie wananchi kutatua kero ya maji, mwaka 2013 nimeazimia nitashirikiana na wanakijiji wa vijiji vya Magwalisi na Lihamile wilayani Mbarali ili tuweze kuchangisha fedha za kuchimba visima vya pampu kimoja katika kila kijiji husika. 

Nitashiriki kuchangisha sehemu ya fedha zinazohitajika kugharamia visima hivyo kwa kupanda Mlima Kilimanjaro, kitu ambacho nimependa nikifanye katika maisha yangu lakini sijapata bahati ya kufanya. 

Ndugu zangu, 

Hayo ni mawili makubwa niliyotaka kuyasema kupitia salamu za mwaka mpya wa 2013. 

Ni matumaini yangu, Desemba 31, 2013 Mungu atanijalia uhai na kurudi tena hapa kutoa tena salamu za mwaka mpya huku hayo mawili yakiwa tayari yameshafanyiwa kazi kwa nguvu za pamoja, ikiwamo ushirikiano wenu. Nawatakia Heri na Fanaka Za Mwaka Mpya wa 2013. 

Maggid Mjengwa, 

 Morogoro

 0788 111 765
http://mjengwablog.com

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "[wanabidii] Salamu Za Mwaka Mpya Kutoka Mjengwablog!"

Re: [wanabidii] G-Mail Filling up

Thanks John. I'll try if I can do the outlook. I have outlook at work but not in my computer at home.

Courage


On Sat, Dec 29, 2012 at 12:28 PM, John George <georgejn2000@gmail.com> wrote:
You may create Microsoft outlook account for those email. Pia unaweza
kuzihamishia kwenye emial ingine mpya ya yahoo.au gmail kwa kutuma
emails zote mpya kwenye new email.

On 12/29/12, Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com> wrote:
> My G-Mail address is filling up but I do not want to delete some mail. I'm
> now at 98% full. Does anyone know how I can store some of the mail ? Are
> there archives on g-mail that can absorb such material?
>
> Courage
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> DELL LATITUDE D 620 & D30
>
> 80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
> DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
>
> TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
>
> CALL : 0786 806028
> Free Delivery in Dar es salaam
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>
>

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] G-Mail Filling up"

Re: [wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002


-----Original Message-----
From: KULWA MAGWA
Sent: 12/31/2012 3:05:57 PM
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002
kwa maana nyingie kwa kazi ua kuzaliana tuliyonayo kwa sasa mpaka mwezi Februari mwakani tunaweza kuwa milioni 45! sensa ijayo itakuwa na watanzania milioni 70 hivi, inabidi tupunguze kuzaana jamani maana ongezeko la changamoto na kuzaana huku ni ni balaa nyingine katika taifa letu

On Mon, Dec 31, 2012 at 12:33 PM, Barnabas <drbmbogo@gmail.com> wrote:
safi hii

tunaelekea pazuri

On 31 December 2012 10:59, Hermengild Mayunga <drmayunga@gmail.com> wrote:
Rais ametangaza kwamba kwa Sensa ya mwaka huu tupo watanzania 44,929,002

tbc source

--
drmayunga@ores.or.tz
admin@ores.or.tz
info@ores.or.tz
www.ores.or.tz
www.twitter.com/drmayunga
Tel +255 784 520680
Tel +255 25 2600419
Fax +255 25 2600352

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.





--
Barnabas
 "tunajua mnalindana, na kulindana huko sio bure..Mh Deo Filikunjombe, April 2012"

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002"

Re: [wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002

Dear Kaka Jovias Mwesiga,
 
>Re: [wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002
Doooooooooooooooo!!!
Hizi ndio hangovers za sherehe za mwaka mpya.
Nilikusudia hii msg kukuletea wewe tu, lakini ndio hivyo tena!
Anyway, nishairejesha kwenye mstari!
Kila la kheri / Said

From: Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, December 31, 2012 11:47:50 AM
Subject: Re: [wanabidii] Kaka Mwesiga!!!

Mkuu Issa umebadili kichwa cha habari tutapoteza mada. African black TV iko straight hiyo mkuu. Kwa mnaozunguka zunguka tanzania mtakubaliana na mie sehemu kama kigoma hawana umeme na ni kawaida kukuta mama alizaa watoto 15, maeneo ya kabila la wairaque sijui kama nimepatia vizuri jina hili ni kawaida kukuta mama alishabeba mimba 9 labda watoto 2-3 kwanini vile wanapoteza sana mimba na watoto wakati wa kujifungua hili ni tatizo wahusika wangefuatilia hili labda.

Kule Pemba ni kawaida kukuta mama ana watoto 14 wote hai na niliogopa nilipofika kwa mkojani katoto kana miaka 12 kalikuwa kamejifungua nikaambiwa mama yake mwenye alimzaa anamiaka 14 kwa haraka haraka ni african black tv hii.

Hivi watu wanaingia kulala saa 12 jioni, shuguli za uzalishaji wa mtanzania tunazifahamu ni zero, recreational zero kifuatacho ITV??? Ukirudi mijini tokana na umasikini na watoto kuanza majukumua ya kutunza familia wakiwa wadogo unakuta mwanamke wa miaka 21 tayari ana watoto 4 ambao kawazaa almost kila mwaka na baba tofauti mnao kaa mijini mtakubaliana nami na halii hiii nimeikuta na marekani vile vile kwa jamii ya watu weusi na spanish ambao wengi wao hawana kazi na wamegubikwa umasikini.

Jamaa wengine watajitete kuwa vijijini wanzaa sana vile wanachakula lolol then African tv bado ipooooooooo.

Kwa serikali nafikiri sasa haii hiii inatakiwa iangaliwe kwa haraka kama nchi haizalishi wananci watazaa zaidi

On Mon, Dec 31, 2012 at 9:18 AM, Said Issa <saidissa100@yahoo.com> wrote:
Jamani hio African Black TV ni nini?
Naona vibaya hata kukuuliza ukumbini!
Rgds / Said.

From: Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, December 31, 2012 11:08:22 AM
Subject: Re: [wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002

HAHAHA tatizo la kuzaliana haliwezi kuisha wakati watu kila siku hawana umeme hivyo wanaangalia African black tv if u know what am talkin about lol Heri ya mwaka mpya kwetu wote

On Mon, Dec 31, 2012 at 9:05 AM, KULWA MAGWA <magwakulwa12@gmail.com> wrote:
kwa maana nyingie kwa kazi ua kuzaliana tuliyonayo kwa sasa mpaka mwezi Februari mwakani tunaweza kuwa milioni 45! sensa ijayo itakuwa na watanzania milioni 70 hivi, inabidi tupunguze kuzaana jamani maana ongezeko la changamoto na kuzaana huku ni ni balaa nyingine katika taifa letu


On Mon, Dec 31, 2012 at 12:33 PM, Barnabas <drbmbogo@gmail.com> wrote:
safi hii

tunaelekea pazuri

On 31 December 2012 10:59, Hermengild Mayunga <drmayunga@gmail.com> wrote:
Rais ametangaza kwamba kwa Sensa ya mwaka huu tupo watanzania 44,929,002

tbc source

--
drmayunga@ores.or.tz
admin@ores.or.tz
info@ores.or.tz
http://www.ores.or.tz/
www.twitter.com/drmayunga
Tel +255 784 520680
Tel +255 25 2600419
Fax +255 25 2600352

--
Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.





--
Barnabas
 "tunajua mnalindana, na kulindana huko sio bure..Mh Deo Filikunjombe, April 2012"

--
Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


Read More :- "Re: [wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002"

Re: [wanabidii] Kaka Mwesiga!!!

Mkuu Issa umebadili kichwa cha habari tutapoteza mada. African black TV iko straight hiyo mkuu. Kwa mnaozunguka zunguka tanzania mtakubaliana na mie sehemu kama kigoma hawana umeme na ni kawaida kukuta mama alizaa watoto 15, maeneo ya kabila la wairaque sijui kama nimepatia vizuri jina hili ni kawaida kukuta mama alishabeba mimba 9 labda watoto 2-3 kwanini vile wanapoteza sana mimba na watoto wakati wa kujifungua hili ni tatizo wahusika wangefuatilia hili labda.

Kule Pemba ni kawaida kukuta mama ana watoto 14 wote hai na niliogopa nilipofika kwa mkojani katoto kana miaka 12 kalikuwa kamejifungua nikaambiwa mama yake mwenye alimzaa anamiaka 14 kwa haraka haraka ni african black tv hii.

Hivi watu wanaingia kulala saa 12 jioni, shuguli za uzalishaji wa mtanzania tunazifahamu ni zero, recreational zero kifuatacho ITV??? Ukirudi mijini tokana na umasikini na watoto kuanza majukumua ya kutunza familia wakiwa wadogo unakuta mwanamke wa miaka 21 tayari ana watoto 4 ambao kawazaa almost kila mwaka na baba tofauti mnao kaa mijini mtakubaliana nami na halii hiii nimeikuta na marekani vile vile kwa jamii ya watu weusi na spanish ambao wengi wao hawana kazi na wamegubikwa umasikini.

Jamaa wengine watajitete kuwa vijijini wanzaa sana vile wanachakula lolol then African tv bado ipooooooooo.

Kwa serikali nafikiri sasa haii hiii inatakiwa iangaliwe kwa haraka kama nchi haizalishi wananci watazaa zaidi

On Mon, Dec 31, 2012 at 9:18 AM, Said Issa <saidissa100@yahoo.com> wrote:
Jamani hio African Black TV ni nini?
Naona vibaya hata kukuuliza ukumbini!
Rgds / Said.

From: Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, December 31, 2012 11:08:22 AM
Subject: Re: [wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002

HAHAHA tatizo la kuzaliana haliwezi kuisha wakati watu kila siku hawana umeme hivyo wanaangalia African black tv if u know what am talkin about lol Heri ya mwaka mpya kwetu wote

On Mon, Dec 31, 2012 at 9:05 AM, KULWA MAGWA <magwakulwa12@gmail.com> wrote:
kwa maana nyingie kwa kazi ua kuzaliana tuliyonayo kwa sasa mpaka mwezi Februari mwakani tunaweza kuwa milioni 45! sensa ijayo itakuwa na watanzania milioni 70 hivi, inabidi tupunguze kuzaana jamani maana ongezeko la changamoto na kuzaana huku ni ni balaa nyingine katika taifa letu


On Mon, Dec 31, 2012 at 12:33 PM, Barnabas <drbmbogo@gmail.com> wrote:
safi hii

tunaelekea pazuri

On 31 December 2012 10:59, Hermengild Mayunga <drmayunga@gmail.com> wrote:
Rais ametangaza kwamba kwa Sensa ya mwaka huu tupo watanzania 44,929,002

tbc source

--
drmayunga@ores.or.tz
admin@ores.or.tz
info@ores.or.tz
http://www.ores.or.tz/
www.twitter.com/drmayunga
Tel +255 784 520680
Tel +255 25 2600419
Fax +255 25 2600352

--
Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.





--
Barnabas
 "tunajua mnalindana, na kulindana huko sio bure..Mh Deo Filikunjombe, April 2012"

--
Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] Kaka Mwesiga!!!"

[wanabidii] Kaka Mwesiga!!!

Jamani hio African Black TV ni nini?
Naona vibaya hata kukuuliza ukumbini!
Rgds / Said.

From: Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, December 31, 2012 11:08:22 AM
Subject: Re: [wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002

HAHAHA tatizo la kuzaliana haliwezi kuisha wakati watu kila siku hawana umeme hivyo wanaangalia African black tv if u know what am talkin about lol Heri ya mwaka mpya kwetu wote

On Mon, Dec 31, 2012 at 9:05 AM, KULWA MAGWA <magwakulwa12@gmail.com> wrote:
kwa maana nyingie kwa kazi ua kuzaliana tuliyonayo kwa sasa mpaka mwezi Februari mwakani tunaweza kuwa milioni 45! sensa ijayo itakuwa na watanzania milioni 70 hivi, inabidi tupunguze kuzaana jamani maana ongezeko la changamoto na kuzaana huku ni ni balaa nyingine katika taifa letu


On Mon, Dec 31, 2012 at 12:33 PM, Barnabas <drbmbogo@gmail.com> wrote:
safi hii

tunaelekea pazuri

On 31 December 2012 10:59, Hermengild Mayunga <drmayunga@gmail.com> wrote:
Rais ametangaza kwamba kwa Sensa ya mwaka huu tupo watanzania 44,929,002

tbc source

--
drmayunga@ores.or.tz
admin@ores.or.tz
info@ores.or.tz
http://www.ores.or.tz/
www.twitter.com/drmayunga
Tel +255 784 520680
Tel +255 25 2600419
Fax +255 25 2600352

--
Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.





--
Barnabas
 "tunajua mnalindana, na kulindana huko sio bure..Mh Deo Filikunjombe, April 2012"

--
Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


Read More :- "[wanabidii] Kaka Mwesiga!!!"

Re: [wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002

HAHAHA tatizo la kuzaliana haliwezi kuisha wakati watu kila siku hawana umeme hivyo wanaangalia African black tv if u know what am talkin about lol Heri ya mwaka mpya kwetu wote

On Mon, Dec 31, 2012 at 9:05 AM, KULWA MAGWA <magwakulwa12@gmail.com> wrote:
kwa maana nyingie kwa kazi ua kuzaliana tuliyonayo kwa sasa mpaka mwezi Februari mwakani tunaweza kuwa milioni 45! sensa ijayo itakuwa na watanzania milioni 70 hivi, inabidi tupunguze kuzaana jamani maana ongezeko la changamoto na kuzaana huku ni ni balaa nyingine katika taifa letu


On Mon, Dec 31, 2012 at 12:33 PM, Barnabas <drbmbogo@gmail.com> wrote:
safi hii

tunaelekea pazuri

On 31 December 2012 10:59, Hermengild Mayunga <drmayunga@gmail.com> wrote:
Rais ametangaza kwamba kwa Sensa ya mwaka huu tupo watanzania 44,929,002

tbc source

--
drmayunga@ores.or.tz
admin@ores.or.tz
info@ores.or.tz
www.ores.or.tz
www.twitter.com/drmayunga
Tel +255 784 520680
Tel +255 25 2600419
Fax +255 25 2600352

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.





--
Barnabas
 "tunajua mnalindana, na kulindana huko sio bure..Mh Deo Filikunjombe, April 2012"

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002"