Monday, 1 August 2016

Re: [wanabidii] Biashara ya kuku wa kienyeji inavyoweza kukuondolea umasikini.


Kama dhamira yako ni kufuga kuku wa kienyeji ili kuuza mayai(ya kula) unafuga jogoo wa nini?, au wewe ni mmoja kati ya wale wanaotaka kuiaminisha jamii kuwa kuku jike hawezi kutaga mayai bila jogoo, au kwamba kuku wa mayai wasio na majogoo hupewa dawa maalum ili kutaga mayai?
Sent from Yahoo Mail on Android

On Mon, Aug 1, 2016 at 2:55 PM, 'Charles Nazi' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuhusu namna ya kujikwamua kutoka kwenye umasikini.Leo hii nitawaelezea kuhusu biashara ya kufuga kuku wa kienyeji ambavyo inaweza kukukwamua kutoka kwenye umasikini. Lengo kuu ni kuwawezesha watu kutengeneza ajira kwao binafsi na watu wengine.
Takwimu za uzalishaji (kutaga, kuangua na kukuza kuku)
Utafiti uliofanywa na Dr. John Bishop kwa msaada wa shirika la kitaifa la utafiti wa kilimo nchini Equador na Chuo kikuu cha Florida nchini Marekani, umeonyesha kuwa ; Kama kuku akitunzwa vizuri kutokana na mbinu bora za ufugaji, anaweza Kuongeza uwezo wa kutaga mayai kutoka mayai 10 hadi mayai 12 kwa mwezi. Kwa mfano ukiwa na kuku 12 na jogoo 1 waliolishwa kilo 1 ya nafaka kila siku unaweza kuuza dazani 10 za mayai kila mwezi ambayo ni sawa na mayai 4 kila siku.
Jee unapenda kutajirika kwa kufuga na kuuza kuku?
Angalia mchanganuo wa mahesabu mapato yako yatakuwa kama ifuatavyo, Kwa kipindi cha miaka 2. K wa mtaji wa Sh. 500,000/= kama una eneo la eka 1 na mabanda ya kutosha kiasi cha kuku 10,000. Ukianza kwa kufuga kuku 25 ( kuku 20 na jogoo 5) ambao utawanunua kwa Sh. 250,000.00. Hao kuku 20 wakianza kutaga vifaranga 10 kila mmoja wataangua vifaranga 200 watunze vizuri katika vifaranga hao tuchukulie majike yanaweza kuwa 150 ambao ndani ya miezi 6 au zaidi nao wataanza kutaga. Kipindi hicho utakuwa na kuku (200+ 25 =225.) Baada ya hiyo miezi 6 kuku watakaotaga ni 170 kila mmoja akipata vifaranga 10 mpaka mwisho wa mwaka utakuwa na kuku (1700+20+55=1775) ukiuza kuku 1,000 kwa bei ya Tshs. 10,000 utapata Tshs. 10,000,000/=. Mwaka wa 2 majike 775 yakiangua vifaranga 10 kila mmoja utakuwa na kuku 7,550 mwisho wa mwaka ukiuza kuku 3,000 kwa bei ya Tshs. 10,000 utapata Tshs. 30,000,000/= Hesabu hizi ni kwa makadirio ya chini sana kwani kama nilivyoelezea hapo juu kuku mmoja kama atatunzwa vizuri anaweza kuataga mayai kati ya 10 hadi 12 kwa mwezi.
.Kuku wa kienyeji wamekuwa wakifugwa kwa wingi vijijini kwa malengo ya kupata nyama na mayai kwa ajili ya familia husika na kwa ajili ya kupata pesa za kujikimu. Kuku na mayai ya kienyeji yana faida kubwa kiafya kutofautisha na kuku wakisasa ambao hukuzwa kwa kemikali. Idadiya kuku Tanzania inakadiriwa kuwa na jumla ya kuku Milioni 34 wanaofugwa na takribani 60.5% ya kaya zinazojishughulisha na kilimo. Hata hivyo uzalishaji wake umebaki kuwa duni kutokana na changamoto za wafugaji zifuatazo; Utunzaji duni , Udhibiti mdogo wa magonjwa, lishe duni, makazi duni, Uzaliano wa karibu, Teknolojia duni, Kukosekana kwa mtazamo/mwamko wa kibiashara.
Faida ya kufuga kuku wa kienyeji.
Ufugaji wa kuku wa kienyeji una manufaa mengi kwa mfano; Kuku hutumia eneo dogo kuliko wanyama wengine wa kufugwa, pia hutumia chakula kidogo hivyo ufugaji unaweza kuendeshwa bila kutumia mtaji mkubwa. Kuku wanaweza kupewa mabaki ya chakula pamoja na vyakula vya kujitafutia kama vile wadudu,mbegu na majani. Kazi za usimamizi wa kuku zinaweza kufanywa na mama na watoto. Kuku na mayai humpatia mfugaji chakula bora na kumuongezea mapato. Pia mfugaji ni kama mtu aliyewekeza fedha zake benki au kwenye kitegauchumi kingine ambapo kuku huweza kuongezeka kutokana na kuku kutaga na kuangua vifaranga kama faida inavoongezeka benki na kwenye vitegauchumi vingine. Mfugaji ni sawa na mtu aliyeweka akiba benki kwani akipata shida anaweza kuuza kuku na kulipa ada, mahari matibabu ya hospitali pamoja na shida zingine. Kuku wa kienyeji anasaidia kusafisha mazingira kwa kula wadudu na kuongeza rutuba kwa mbolea inayotokana na kinyesi cha kuku ambacho hakina kemikali. Mbolea hii ni nzuri sana na kama inazalishwa kwa wingi inaweza kuwa chanzo kingine cha mapato kwa mfugaji wa kuku. Kuna mjasiriamali ninayemjua anafuga kuku wengi anazo tani nyingi za mbolea hii na anauza mbolea ya mavi ya kuku kwa Sh. 600 kwa kiloba cha kilo 50. Kuku wa kienyeji ana uwezo mkubwa wa kuhimili magonjwa, hutaga mayai na kutunza vifaranga badala ya kutumia mashine. Kuku wa kienyeji anaweza kuishi nchi yoyote duniani bila kuathiriwa na hali ya hewa.
Aina za magonjwa ya kuku na jinsi ya kukinga magonjwa.
Wapatie chanjo kuku wako kwa afya bora. Wapatie kinga mara kwamara kila baada ya miezi 3. Magonjwa yafuatayo ndiyo huwa yanawashambulia kuku.
New castle
Dalili za ugonjwa huu ni kuku kushindwa kupumua, kukohoa na kutokwa na mate,kuwa na kinyesi cha rangi ya kijani, ugonjwa huu hauna dawa. Chanjo hutolewa machoni kwa njia ya matone.
Minyoo.
Dalili za mionyoo ni kuku kukosa hamu ya kula uzalishaji wa mayai kupungua. Ukiona dalili hizo waone wataalamu wa mifugo upate dawa.
Wadudu.
Utitiri husumbua kuku, kwa kuwasababisha kukosa usingizi,ngozi kuharibika,huathiri uzalishaji wa mayai. Ukiona dalili hizi wasiliana na wataalamu wa mifugo upate dawa.
Magonjwa ya mapafu.
Huathiri sehemu za kupitishia hewa na kuwa na sauti ya kukoroma. Hali hii hupunguza uzalishaji wa mayai na uzito wa kuku kupungua. Ukiona dalili hizi wasiliana na wataalamu wa mifugo upate dawa.
Mambo mengine unayopaswa kuyajua kama mfugaji wa kuku
Inapokuja katika ufugaji wa kuku wa kienyeji ,mbinu inayotumiwa kijijini ile kuku huachwa azurure katika boma bila uchungaji ama na uchungaji mdogo.Kuna matatizo mengi ambayo kuku hukutana nayo. Kuku halishwi vyema kwani hula masalio ya.chakula na mabaki mengine wanayoyapata. Vifaranga wadogo huachwa washindanie chakula na kuku wakubwa na huwa nyama rahisi kwa wanyama wanaowinda na kula nyama na husambaza magonjwa. Kuku hawapati maji ya kutosha na hawana mahali pa kujisetiri dhidi ya upepo na mvua ama kuwaweka salama dhidi ya wanyama wanaowinda na kula nyama bila kusahau wezi. kuku hutaga mayai ardhini na yanaweza kuharibiwa kwa urahisi na kuliwa na wanyama wengine. Sio kawaida kuku kupewa chanjo na matibabu dhidi ya magonjwa na vimelea. Matokeo ni kuku wengi huwa wagonjwa na hukua pole pole,hutaga mayai machache na nyama kidogo.
Ili kuhakikisha mapato mazuri kutoka kwa kuku wako,fanya yafuatayo:
Kuwapatia kuku mgao mzuri wa vyakula tofauti na maji safi.Kutemeana na kipindi cha mwaka,wataweza kujitafutia chakula kwa kukwaruza ardhi katika boma. Wapatie chakula cha ziada ili kuku waongeze uzani na kuku watage mayai mengi zaidi. Walishe vifaranga na chakula kilicho na protini kama mchwa ili wakue kwa haraka na wawe na afya. Wajengee kuku mahali penye giza na patulivu ambapo wanaweza kutaga mayai yao.Kuku huhitaji kujisikia wakiwa salama kutoka kwa wanyama wanaowinda na kula nyama na wapita njia. Kama kuku watasumbuliwa mara kwa mara watakuwa wakiviacha viota vyao na hii huathiri uanguaji wa mayai. Ikiwa nia yako ni utoaji wa mayai,ni vizuri kufuga kuku wa kike pekee.Jogoo mmoja anaweza kufugwa aangalie wanyama wanaowinda na kula nyama na kuwahudumia kuku.Wakati jogoo wa ziada wanapofikia umri wa kuuzwa,wanafaa kuuzwa,kuchinjwa ama kutolewa kama zawadi kuzuia jogoo kula chakula ambacho ni adimu na kupigana na kuwataabisha kuku. Ukubwa wa kundi unafaa kuafikiana na ukubwa wa nyumba au banda ,kiasi cha chakula unachoweza kununua na raslimali za chakula katika maeneo yanayokuzunguka. Usinunue kuku kutoka katika vyanzo ambavyo havijathibitiwa haswa vipindi milipuko ya magonjwa ni kawaida kwa sababu wanaweza kusambaza magonjwa kwa wengine. Toa chanjo mara kwa mara kulingana na ushauri wa watoaji chanjo na madaktari wa wanyama wa nyumbani. Vifaranga wachanga wanapaswa kuchanjwa dhidi ya magonjwa ya kawaida ya kuambukizana wakifika umri wa wiki 2-3.
Ikiwa kuku watataabika kutoka kwa ugonjwa sugu unapaswa:
• Kuita daktari wa wanyama
• Kumwtenga kutoka kwa wengine
• kuku anafaa kuuliwa mara moja kwa kutegemea jinsi ugonjwa ulivyo mzito na
• Anafaa kuchomwa ama kuzikwa katika kina kirefu ili kuzuia mbwa na wanyama wengine kuwachimba na kusambaza ugonjwa.
Angalia ni kuku gani wana dalili za kutaka kuangua mara moja kwa mwezi na uwapatie matunzo ya ziada
CHARLES NAZI
Mwandishi wa makala hii ni Mkurugenzi wa Kampuni yaCPM Business Consultants kwa mawasiliano zaidi pigasimu namba 0755394701

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] Biashara ya kuku wa kienyeji inavyoweza kukuondolea umasikini."

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Vacancies

Position title Publication date Closing date
Senior Program Coordinator - OSGE 01/08/2016 18/08/2016

You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
Immeuble du Centre de commerce International d'Abidjan CCIA
Avenue Jean-Paul II
01 BP 1387
Abidjan 01, Côte d'Ivoire
Phone: +225 20 26 10 20
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

[wanabidii] Biashara ya kuku wa kienyeji inavyoweza kukuondolea umasikini.


Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuhusu namna ya kujikwamua kutoka kwenye umasikini.Leo hii nitawaelezea kuhusu biashara ya kufuga kuku wa kienyeji ambavyo inaweza kukukwamua kutoka kwenye umasikini. Lengo kuu ni kuwawezesha watu kutengeneza ajira kwao binafsi na watu wengine.
Takwimu za uzalishaji (kutaga, kuangua na kukuza kuku)
Utafiti uliofanywa na Dr. John Bishop kwa msaada wa shirika la kitaifa la utafiti wa kilimo nchini Equador na Chuo kikuu cha Florida nchini Marekani, umeonyesha kuwa ; Kama kuku akitunzwa vizuri kutokana na mbinu bora za ufugaji, anaweza Kuongeza uwezo wa kutaga mayai kutoka mayai 10 hadi mayai 12 kwa mwezi. Kwa mfano ukiwa na kuku 12 na jogoo 1 waliolishwa kilo 1 ya nafaka kila siku unaweza kuuza dazani 10 za mayai kila mwezi ambayo ni sawa na mayai 4 kila siku.
Jee unapenda kutajirika kwa kufuga na kuuza kuku?
Angalia mchanganuo wa mahesabu mapato yako yatakuwa kama ifuatavyo, Kwa kipindi cha miaka 2. K wa mtaji wa Sh. 500,000/= kama una eneo la eka 1 na mabanda ya kutosha kiasi cha kuku 10,000. Ukianza kwa kufuga kuku 25 ( kuku 20 na jogoo 5) ambao utawanunua kwa Sh. 250,000.00. Hao kuku 20 wakianza kutaga vifaranga 10 kila mmoja wataangua vifaranga 200 watunze vizuri katika vifaranga hao tuchukulie majike yanaweza kuwa 150 ambao ndani ya miezi 6 au zaidi nao wataanza kutaga. Kipindi hicho utakuwa na kuku (200+ 25 =225.) Baada ya hiyo miezi 6 kuku watakaotaga ni 170 kila mmoja akipata vifaranga 10 mpaka mwisho wa mwaka utakuwa na kuku (1700+20+55=1775) ukiuza kuku 1,000 kwa bei ya Tshs. 10,000 utapata Tshs. 10,000,000/=. Mwaka wa 2 majike 775 yakiangua vifaranga 10 kila mmoja utakuwa na kuku 7,550 mwisho wa mwaka ukiuza kuku 3,000 kwa bei ya Tshs. 10,000 utapata Tshs. 30,000,000/= Hesabu hizi ni kwa makadirio ya chini sana kwani kama nilivyoelezea hapo juu kuku mmoja kama atatunzwa vizuri anaweza kuataga mayai kati ya 10 hadi 12 kwa mwezi.
.Kuku wa kienyeji wamekuwa wakifugwa kwa wingi vijijini kwa malengo ya kupata nyama na mayai kwa ajili ya familia husika na kwa ajili ya kupata pesa za kujikimu. Kuku na mayai ya kienyeji yana faida kubwa kiafya kutofautisha na kuku wakisasa ambao hukuzwa kwa kemikali. Idadiya kuku Tanzania inakadiriwa kuwa na jumla ya kuku Milioni 34 wanaofugwa na takribani 60.5% ya kaya zinazojishughulisha na kilimo. Hata hivyo uzalishaji wake umebaki kuwa duni kutokana na changamoto za wafugaji zifuatazo; Utunzaji duni , Udhibiti mdogo wa magonjwa, lishe duni, makazi duni, Uzaliano wa karibu, Teknolojia duni, Kukosekana kwa mtazamo/mwamko wa kibiashara.
Faida ya kufuga kuku wa kienyeji.
Ufugaji wa kuku wa kienyeji una manufaa mengi kwa mfano; Kuku hutumia eneo dogo kuliko wanyama wengine wa kufugwa, pia hutumia chakula kidogo hivyo ufugaji unaweza kuendeshwa bila kutumia mtaji mkubwa. Kuku wanaweza kupewa mabaki ya chakula pamoja na vyakula vya kujitafutia kama vile wadudu,mbegu na majani. Kazi za usimamizi wa kuku zinaweza kufanywa na mama na watoto. Kuku na mayai humpatia mfugaji chakula bora na kumuongezea mapato. Pia mfugaji ni kama mtu aliyewekeza fedha zake benki au kwenye kitegauchumi kingine ambapo kuku huweza kuongezeka kutokana na kuku kutaga na kuangua vifaranga kama faida inavoongezeka benki na kwenye vitegauchumi vingine. Mfugaji ni sawa na mtu aliyeweka akiba benki kwani akipata shida anaweza kuuza kuku na kulipa ada, mahari matibabu ya hospitali pamoja na shida zingine. Kuku wa kienyeji anasaidia kusafisha mazingira kwa kula wadudu na kuongeza rutuba kwa mbolea inayotokana na kinyesi cha kuku ambacho hakina kemikali. Mbolea hii ni nzuri sana na kama inazalishwa kwa wingi inaweza kuwa chanzo kingine cha mapato kwa mfugaji wa kuku. Kuna mjasiriamali ninayemjua anafuga kuku wengi anazo tani nyingi za mbolea hii na anauza mbolea ya mavi ya kuku kwa Sh. 600 kwa kiloba cha kilo 50. Kuku wa kienyeji ana uwezo mkubwa wa kuhimili magonjwa, hutaga mayai na kutunza vifaranga badala ya kutumia mashine. Kuku wa kienyeji anaweza kuishi nchi yoyote duniani bila kuathiriwa na hali ya hewa.
Aina za magonjwa ya kuku na jinsi ya kukinga magonjwa.
Wapatie chanjo kuku wako kwa afya bora. Wapatie kinga mara kwamara kila baada ya miezi 3. Magonjwa yafuatayo ndiyo huwa yanawashambulia kuku.
New castle
Dalili za ugonjwa huu ni kuku kushindwa kupumua, kukohoa na kutokwa na mate,kuwa na kinyesi cha rangi ya kijani, ugonjwa huu hauna dawa. Chanjo hutolewa machoni kwa njia ya matone.
Minyoo.
Dalili za mionyoo ni kuku kukosa hamu ya kula uzalishaji wa mayai kupungua. Ukiona dalili hizo waone wataalamu wa mifugo upate dawa.
Wadudu.
Utitiri husumbua kuku, kwa kuwasababisha kukosa usingizi,ngozi kuharibika,huathiri uzalishaji wa mayai. Ukiona dalili hizi wasiliana na wataalamu wa mifugo upate dawa.
Magonjwa ya mapafu.
Huathiri sehemu za kupitishia hewa na kuwa na sauti ya kukoroma. Hali hii hupunguza uzalishaji wa mayai na uzito wa kuku kupungua. Ukiona dalili hizi wasiliana na wataalamu wa mifugo upate dawa.
Mambo mengine unayopaswa kuyajua kama mfugaji wa kuku
Inapokuja katika ufugaji wa kuku wa kienyeji ,mbinu inayotumiwa kijijini ile kuku huachwa azurure katika boma bila uchungaji ama na uchungaji mdogo.Kuna matatizo mengi ambayo kuku hukutana nayo. Kuku halishwi vyema kwani hula masalio ya.chakula na mabaki mengine wanayoyapata. Vifaranga wadogo huachwa washindanie chakula na kuku wakubwa na huwa nyama rahisi kwa wanyama wanaowinda na kula nyama na husambaza magonjwa. Kuku hawapati maji ya kutosha na hawana mahali pa kujisetiri dhidi ya upepo na mvua ama kuwaweka salama dhidi ya wanyama wanaowinda na kula nyama bila kusahau wezi. kuku hutaga mayai ardhini na yanaweza kuharibiwa kwa urahisi na kuliwa na wanyama wengine. Sio kawaida kuku kupewa chanjo na matibabu dhidi ya magonjwa na vimelea. Matokeo ni kuku wengi huwa wagonjwa na hukua pole pole,hutaga mayai machache na nyama kidogo.
Ili kuhakikisha mapato mazuri kutoka kwa kuku wako,fanya yafuatayo:
Kuwapatia kuku mgao mzuri wa vyakula tofauti na maji safi.Kutemeana na kipindi cha mwaka,wataweza kujitafutia chakula kwa kukwaruza ardhi katika boma. Wapatie chakula cha ziada ili kuku waongeze uzani na kuku watage mayai mengi zaidi. Walishe vifaranga na chakula kilicho na protini kama mchwa ili wakue kwa haraka na wawe na afya. Wajengee kuku mahali penye giza na patulivu ambapo wanaweza kutaga mayai yao.Kuku huhitaji kujisikia wakiwa salama kutoka kwa wanyama wanaowinda na kula nyama na wapita njia. Kama kuku watasumbuliwa mara kwa mara watakuwa wakiviacha viota vyao na hii huathiri uanguaji wa mayai. Ikiwa nia yako ni utoaji wa mayai,ni vizuri kufuga kuku wa kike pekee.Jogoo mmoja anaweza kufugwa aangalie wanyama wanaowinda na kula nyama na kuwahudumia kuku.Wakati jogoo wa ziada wanapofikia umri wa kuuzwa,wanafaa kuuzwa,kuchinjwa ama kutolewa kama zawadi kuzuia jogoo kula chakula ambacho ni adimu na kupigana na kuwataabisha kuku. Ukubwa wa kundi unafaa kuafikiana na ukubwa wa nyumba au banda ,kiasi cha chakula unachoweza kununua na raslimali za chakula katika maeneo yanayokuzunguka. Usinunue kuku kutoka katika vyanzo ambavyo havijathibitiwa haswa vipindi milipuko ya magonjwa ni kawaida kwa sababu wanaweza kusambaza magonjwa kwa wengine. Toa chanjo mara kwa mara kulingana na ushauri wa watoaji chanjo na madaktari wa wanyama wa nyumbani. Vifaranga wachanga wanapaswa kuchanjwa dhidi ya magonjwa ya kawaida ya kuambukizana wakifika umri wa wiki 2-3.
Ikiwa kuku watataabika kutoka kwa ugonjwa sugu unapaswa:
• Kuita daktari wa wanyama
• Kumwtenga kutoka kwa wengine
• kuku anafaa kuuliwa mara moja kwa kutegemea jinsi ugonjwa ulivyo mzito na
• Anafaa kuchomwa ama kuzikwa katika kina kirefu ili kuzuia mbwa na wanyama wengine kuwachimba na kusambaza ugonjwa.
Angalia ni kuku gani wana dalili za kutaka kuangua mara moja kwa mwezi na uwapatie matunzo ya ziada
CHARLES NAZI
Mwandishi wa makala hii ni Mkurugenzi wa Kampuni yaCPM Business Consultants kwa mawasiliano zaidi pigasimu namba 0755394701

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Biashara ya kuku wa kienyeji inavyoweza kukuondolea umasikini."

[wanabidii] News Digest: Rajan wants policy panel before he leaves RBI

THE TIMES OF INDIA
Monday, August 01, 2016
Today's Headlines

Rajan wants policy panel before he leaves RBI
India should quickly put in place a monetary policy committee (MPC) to institutionalize decision-making on interest rates and keep the focus on controlling inflation, outgoing RBI governor Raghuram Rajan said on Monday.

Steel industry owes Rs 3,00,000 crore to banks
The steel industry has outstanding loans of around Rs 3 lakh crore in various banks, thus making the sector one of the largest contributors to non-performing assets (NPA) in the country. With Chinese steel in the market, prices have fallen, resulting in the domestic producers suffering losses.

Steel industry owes Rs 3,00,000 crore to banks
The steel industry has outstanding loans of around rupees three lakh crore in various banks, thus making the sector one of the largest contributors to non-performing assets in the country.

More Business News»

Rice crops that can cut costs, reduce pollution

Mystery of missing Jai, India's most beloved tiger
A massive search operation is underway for the country's most famous tiger, with millions of adoring fans worried sick about the big cat known as Jai who went missing three months ago.

New varieties of butterflies discovered in Uttarakhand
With the discovery in Uttarakhand recently, the total number of varieties of butterflies found in the hill state is 453. Of the three new varieties, two were discovered and photographed in Nainital whereas the third was found in Haldwani.

More Environment News»

5 killed as Russian military chopper is shot down in Syria
The Russian Defence Ministry said on Monday that one of its helicopters had been shot down in Idlib Province in Syria with five people on board, the Interfax news agency reported. A pro-opposition television news outlet Orient News said that the pilot had died.

Turkey captures 11 involved in bid to seize Erdogan during coup attempt
Turkish special forces captured 11 fugitive commandos who were involved in a bid to seize President Tayyip Erdogan during an attempted coup attempt last month, state-run Anadolu Agency said on Monday.

Rogue pilot may have crashed MH370: Expert
A leading air crash expert on Monday said the missing Malaysia Airlines fight MH370 was likely to have been in controlled flight as it hit the water, giving life to the theory that it was brought down by a rogue pilot or hijacker.

More World News»

That's how our brain makes risky decisions

NASA set to unravel giant asteroid that can hit Earth
A near-Earth asteroid that is coming towards our planet after being dislodged by a gravitational pull can indeed strike us and and cause massive destruction. People living in the year 2135 would know whether the asteroid named Bennu posed an actual threat to hit Earth.

Juno set to reach farthest point in its Jupiter orbit

More Science News»

Buying an LED TV? 8 things to remember
Everyone wants a large TV in their living room.

Google's latest Android version Nougat to start rolling out this month
​Google, on its part, has not yet given exact dates as to when it would roll out the official version. Evan Blass, who was earlier known by his Twitter handle @evleaks, also claimed that Google Nexus 5 users will not be eligible to receive the new OS version.

Sony to sell only 'premium' smartphones in India
The move could very well be related to earlier reports suggesting that Sony plans to ‘defocus’ on India along with some other regions and will only sell premium devices to ensure better profitability.

More Technology News»

IIT Kharagpur join hands with MIT to launch urbanisation study course
The Indian Institute of Technology, Kharagpur, is joining hands with the Massachusetts Institute of Technology for a course to study urbanisation in the current developing world, where the concept is no longer limited to the precincts of what are administratively defined as "cities".

IIM's announce registration for CAT 2016
The Indian Institutes of Management (IIMs) have announced the registration for Common Admission Test 2016 (CAT 2016) on Sunday with the coveted All India management entrance examination scheduled to be conducted in two sessions (forenoon and afternoon sessions) on December 4 this year.

Learn-earn-return: IIT Kharagpur launches 'study first, pay later' scheme to raise funds
Faced with budgetary cuts from the central government, IIT Kharagpur has found a new way to raise funds through a 'Learn-Earn-Return Fund' scheme, where students will get a fee waiver if they pledge to donate money after getting a job.

More Education News»

Dam water level in Marathwada at 10%, higher than last year

Council disrupted over a separate vidarbha issue

Jacqueline wants to do a superwoman film
Mumbai, Aug 1 () Having played the love interest of a superhero in her upcoming film "A Flying Jatt", actress Jacqueline Fernandez is now keen on featuring as a superwoman in a movie.

More Mumbai News»

AIADMK MP alleges she was slapped by a "leader"
New Delhi, Aug 1 () AIADMK MP Sasikala Pushpa, who reportedly slapped DMK lawmaker Trichy Siva at Delhi airport on Saturday, today claimed she was slapped by a "leader" and faced threat to life in Tamil Nadu, alleging she was being forced to quit Rajya Sabha.

Delhi HC upholds blocking for pirate websites
A Division Bench of the Delhi High Court passed a landmark judgment on July 29, 2016, directing the blocking of pirate websites.

Experience Lenovo Vibe K5 exclusively on Ola app
India's largest ecommerce marketplace Flipkart has announced an exclusive partnership with Ola, India's leading mobile app for transportation, to offer its customers an opportunity to experience Lenovo Vibe K5 Note, straight from the Ola app before customers start buying it

More Delhi News»

Pourakarmikas plod on amid inhuman working conditions
It's 5am on a nippy Tuesday and the sound of alarm clocks creates a cacophony in BS Building on Pottery Road in Fraser Town as people from about 70 houses prepare for another day of hard and hazardous work. Tattered green overcoats in one hand and a set of brooms in the other, women rush to the main road to reach their attendance points by 6am.

Hariprriya sizzles at the audio launch of Neer Dose
Shivarajkumar was present at the meet

Rival kills real estate agent in love triangle
Jayanagar police are looking for the body of 26-year-old real estate agent, Yogesh, who was reported missing by his sister on July 21.

More Bangalore News»

Vizag woman comes out with short film on marital rape
Almost 98 per cent of rapes in the country are committed by people known to the victim.

Now, confusion over MBBS admission deadline
Even as they appear fated to deal with a third Telangana Eamcet exam, further trouble is brewing for aspirants to government medical colleges.

Cashing in on a good night's sleep!
Once curable with a few simple home remedies, sleep deprivation has grown into a booming business today.

More Hyderabad News»

When will Tamil Nadu govt bring down Aavin milk prices to Rs 25 as promised in AIADMK manifesto, asks Karunanidhi
DMK chief M Karunanidhi on Monday wanted to know when the Tamil Nadu government would bring down the prices of Aavin milk to Rs 25 per litre, as promised by the ruling AIADMK in its election manifesto.

Learning language the fun way
In 2000, a slum in Mumbai's Dharavi found an unlikely friend from down south -a storyteller bear who takes children on an exciting and magical journey with audiobooks and picture books. The teacher at the slum was using Karadi Tales to teach children English and C P Viswanath, the founder of Chennai based Karadi Tales, was intrigued.

Rename Madras high court as Tamil Nadu HC and not as Chennai HC, resolution passed by TN assembly says
The resolution comes after the central government introduced the High Courts (Alteration of Names) Bill, 2016 in the Lok Sabha to change the name of the Madras high court to Chennai high court.

More Chennai News»

Amdavadis, here's a guide to healthy substitutes

Three nabbed for kidnapping 10 year old boy
Ahmedabad crime branch late on Sunday night arrested three persons, including the mastermind Bharat Mackwana, for kidnapping a 10 year old boy Jay Patel, resident of Sola, and demanding a ransom of Rs 15 lakh.

Pradeep Sharma held for money laundering
The enforcement directorate (ED) on Sunday arrested suspended IAS officer, Pradeep Sharma, in connection with a money laundering case.

More Ahmedabad News»

Allahabad's dentist to train Pakistani counterparts

AU Central library to function all seven days a week
In a student friendly decision, the authorities of central library of Allahabad University would function in all days of the week including Sunday’s and that too for enhanced hours. Not only will the library function throughout the week but it will remain open for 357 days of the year and remain close only for just eight days of the year i.e. important holidays.

'Give details of cases against UP netas'
The Allahabad high court on Wednesday asked the state government to provide status report with regard to the criminal cases pending against UP's members of Parliament, members of legislative Assembly and legislative council.

More Allahabad News»

Odisha was never informed about Kelo project: Chief secretary

Trial run on Rajsunakhala-Bolagarh rail line

Shortage of IAS officers hits state

More Bhubaneswar News»

11-year-old falls into pit at BDA Colony, drowns

Hostel walls caving in, MANIT shifts students
Following several complaints regarding dilapidated old hostels, Maulana Azad National Institute of Technology (MANIT) has started shifting students to a new hostel from Sunday.

Rain unleashes fury after three-day lull
After a lull of three days, a strong spell of showers drenched the city on Sunday evening.

More Bhopal News»

Finally, Chandigarh to Dubai from September 26
Domestic budget airlines IndiGo would fly the first international flight from Chandigarh to Dubai from September 26, a much-awaited announcement that is bound to bring smiles on the faces of travellers.

Khemka says his appraisal withheld

Cong started canal work, not us: Harsimrat

More Chandigarh News»

Unsubscribe | To manage your newsletter subscription settings, click hereOther Newsletters from TOI :
Breaking News | Top Headlines | Tech | Entertainment | Movie Reviews | Life & Style
Read More :- "[wanabidii] News Digest: Rajan wants policy panel before he leaves RBI"