Wednesday, 1 June 2016

Re: [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa kwanza Tanzania kurithiwa na chaguo lake?

Unyerere haukwahi kutoweka myoyoni mwa watanzania. Kilichomaanisha ni Nyerere kutofanikiwa kumwanchia nchi chGUO LAKE AMBAYE ANGEWEZA kuendeleza siasa zake. na kingine ni nafasi ya Magufuli (kama ataendelea na moyo huu hadi kipindi/vipindi vyake) kuisha na kuweza kumwachia chaguo lAKE ambalo litatokana na watu aliowaweka akifanikiwa kuwalea mpaka mwisho
--------------------------------------------
On Wed, 5/25/16, lugamba2001 <lugamba2001@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa kwanza Tanzania kurithiwa na chaguo lake?
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, May 25, 2016, 1:29 PM

Kwa vyovyote mimi naamini kuna jambo,
lililojificha au malengo maalum, vinginevyo si rahisi kwa
mtu aliyemsoma na kumfatilia Nyerere, leo kusema umagufuli
utadumu zaidi ya unyerere. Mi nawaona sawa tu na wale
waliojaribu kusema mkapa aongezwe muda, katiba irekebishwe
kwa kigezo kwamba alikuwa rais bora zaidi, kuliko hata
Nyerere, na wengine wakamfananisha kikwete na rais 
sakozy wa ufaransa na kusema ni tumaini lililorejea! Kwa
nini hawajaniaminisha kuwa magufuri tayari amefanya
yanayostahili kuwa kama au zaidi ya Nyerere.
1. Sijaelewa hasa dira ya magufuri kiitikadi, sijasoma
andishi lake linaloonyesha Imani na undani wa vision yake
kwa nchi hii zaidi ya kumsikia akisema tz ni tajiri.
2. Muda alioitumikia nchi ktk nafasi ya urais ni Mdogo mno,
kujua hasa nia na uwezo wake. Tumemuona masika tu.. Ikija
kiangazi je  hatabadirika??
3. Yapo mengi kuhusu matumizi mabaya ya madaraka,
yameshaandikwa kumhusu, wakati akiwa waziri, sijui kesho
yake hasa kipindi chake cha Pili madaraka yatakapomnogea
atafanya nini!
4. Tuna uzoefu sasa watatu waliomtangulia wamekuwa wakifanya
vizuri kipindi cha kwanza na kulewa madaraka kipindi cha
Pili, kinachofanya wengine mseme kuwa huyu jamaa ni tofauti
na mkapa ni nini!!? On May 25, 2016 09:04, 'ELISA MUHINGO'
via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
>
> Bado Magufuli ana nafasi ya kufanya masahihisho ya
makosa waliyofanya watangulizi wake. Yatakayomsaidia ni
haya:
> 1) Kuna makosa yaliyofanyika na watangulizi wake.
> 2) magufuli ana akili za kuyaelewa yote.
> 3) Ana nia njema na taifa hili na anajua hawezi
kuyatimiza yote anayoyawaza kulielekeza taifa hili katika
kipindi cha myaka 10.
> 4) haya tunayoyajadili anayasoma na ana akili ya kujua
tunasema nini. Ndiyo maana tunayasema wala hatusemi
kujifurahisha.
>
> --------------------------------------------
> On Wed, 5/25/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
wrote:
>
> Subject: Re: [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa kwanza
Tanzania kurithiwa na chaguo lake?
> To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

> Date: Wednesday, May 25, 2016, 2:19 AM
>
> JKamala,Kwa sababu naijua CCM. Ilimshinda
> Nyerere mpaka akalazimika kurudisha multiparty. I am
> essentially an optimist by nature,but not like
> this. Akina Mkapa, Kikwete, Lowassa wote walilelewa na

> Nyerere, lakini walikuwa chui waliovaa ngozi za kondoo.

> Unaposemawatu walioonekana wenye vichwa
> walilazimika kumkimbia Nyerere unamaanisha the likes of

> Kambona? What did he do to show alikuwakichwa? Si
> alifika London akabaki tu kunywa pombe. Angalia watu
ambao
> Magufuli anaona ni mahiri. Makonda? Na huyu waziri
> aliyefukuzwa kazi karibuni?I am an optimist who
> has been turned around by realities on the
> ground.em
> 2016-05-24 12:11 GMT-04:00
> J L Kamala <jlkamala@gmail.com>:

> Muganda.
> Kwann unaamini wasioshabikia anachokifanya Magu
> watawashinda wale wanoshabikia? Pessimistic mbaya hiyo.

> Harafu ujue kosa kubwa alilolifanya Nyerere
> nikutokuwalea watu makini wa kimrith. Wale walioonekana

> vichwa walilazimika kumkimbia Nyerere apart from
Magufuri
> anayewakumbatia na kuwalea vyema wakimsaidia kutekeleza

> dhana yake ya hapa job tu
> On May 24, 2016 6:11
> PM, "Emmanuel Muganda" <emuganda@gmail.com>

> wrote:
> Elisa,Hatujawahi kuwa na rais mzuri, makini,
> mzalendo kama Julius Nyerere. Lakini hata kabla
hajaodoka
> wenzake, kuanzia Mwinyi walihakikisha Unyerere unafutwa

> nakushindwa. Ndivyo hivyo itakavyokuwa na
> Magufuli. Sidhani kila mtu ndani ya CCM anashabikia
> anachofanya mheshimiwa. Hence my conclusion kwamba
> utashindwa.Nyerere alituwekea misingi kwa miaka
> 23 lakini katika kipindi cha miaka miwili tu Mwinyi
alianza
> kuifuta akaja kumalizia Mkapa. Tuombe Mungu tuwepo
halafu
> tuje tupimemaneno yako na ya
> kwangu.em
> 2016-05-24 7:10 GMT-04:00
> 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

> Afadhali ungesema Umagufuli
> ''unaweza kushindwa'' kuliko kusema
> ''utashindwa'. Ninatamani tuwepo wote wakati huo
> tukumbushane. Umagufuli unaweza kuendelea mpaka rais wa
tatu
> kutoka kwake. Kuna sababu nyingi: Watu walichoka na
kuonewa
> na watu waliokuwa ndani ya CCM. Wakafikia kuichukua
CCM. CCM
> imenusulika kwa sababu ya kusambaratika upinzani. Baada
ya
> hapo CCM kumpata Magufuli akainusulu. Asipopepesuka
> ataendelea kuishi baada yake. Kingine ni hiki cha
kutafuta
> watu na kuanza kuwalea. Sikumuongeza Makonda kwenye
orodha
> ya wanaolelewa makusudi. Magufuli akilenga kumuweka
mrithi
> na akatumia njia zinazotajwa humu, basi umagufuli
utaishi
> baada yake.
>
> --------------------------------------------
>
> On Tue, 5/24/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>

> wrote:
>
>
>
>  Subject: Re: [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa
kwanza
> Tanzania kurithiwa na chaguo lake?
>
>  To: "wanabidii@googlegroups.com"

> <wanabidii@googlegroups.com>

>
>  Date: Tuesday, May 24, 2016, 1:20 AM
>
>
>
>  Ndani ya
>
>  CCM hakuna linaloweza kutabirika. Unyerere ulishindwa

>
>  kuendelea, Umwinyi ulishindwa na vile vile Umkapa na

>
>  Ukikwete.Hata Umagufuli utashindwa
>
>  tu.em
>
>  2016-05-23 16:30 GMT-04:00
>
>  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

>
>  Kumbukumbu zizizo rasmi na zilizo
>
>  rasmi Tanzania zinaonyesha marais wote waliotangulia

>
>  walishindwa kuwaweka watu watakaorithi nafasi zao
mara
> baada
>
>  yao kumaliza vipindi vyao.
>
>
>
>  Mwalimu Nyerere inasemekana alishindwa kuhakikisha
> chaguo
>
>  lake linapita na badala yake Ndugu Ali Hasan Mwinyi
>
>  akaichukua nafasi hiyo. Inasemekana chaguo la Mwalimu

>
>  alikuwa Ndugu Salim Ahmed Salim.
>
>
>
>  Ndugu Ali Hasan Mwinyi angalau huyo tunafahamu hakuwa

> na
>
>  chaguo. Ushawishi wake uliporomoka sana na karibu
> Mwalimu
>
>  Nyerere alikuwa strongman. Hotuba zake zinazotoka
kila
> mara
>
>  kwenye luninga zinajieleza. Mwalimu Nyerere
alifanikiwa
>
>  kumpigia chepuo Ndugu Mkapa kwa hiyo Mwinyi
> hakufanikiwa
>
>  kumpachika chaguo lake.
>
>
>
>  Wakati wa Benjamin Mkapa kung'atuka ilionekana
alikuwa
> na
>
>  chaguo lake japo kwa umahili wake haikuwa rais
kumjua.
>
>  Lakini kuna dalili kuwa Jakaya Kikwete hakuwa chaguo

> lake.
>
>  Wakati wa mkutano mkuu

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa kwanza Tanzania kurithiwa na chaguo lake?"

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Documents

You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
Immeuble du Centre de commerce International d'Abidjan CCIA
Avenue Jean-Paul II
01 BP 1387
Abidjan 01, Côte d'Ivoire
Phone: +225 20 26 10 20
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Expressions of interest

Documents

You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
Immeuble du Centre de commerce International d'Abidjan CCIA
Avenue Jean-Paul II
01 BP 1387
Abidjan 01, Côte d'Ivoire
Phone: +225 20 26 10 20
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

Re: [wanabidii] HEKO BUNGE KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI

Nimesoma makala yako Happyness na kuielewa kiasi cha kutoa maoni.
Sikubalianai na baadhi ya mambo na nakubaliana na mengine. Sijui kama ninayokubaliana nayo ndiyo mengi lakini nadhani ndiyo.
Moja kati ya mambo nisiyokubaliana nayo ni kuwaita\ wabunge waliokosa wWAHUNI. Sikubali kuwaita wahuni la sivyo na waliotunga kanuni zilizowaadhibu wanaweza kuitwa wahuni. Ninaamini kanuni zilitungwa na adhabu zake kwa sababu hiyo ilitarajiwa. Mfano siamini kuwa kuna sheria au kanuni inayomzuia Mbunge kuvua nguo bungeni. Kosa hilo halitarajiwe na likifanyika litakuwa la kihuni. Haya mengine yanatarajiwa na baada ya kutumikia adhabu watarudi bungeni na kuendelea kuitwa\ waheshimiwa wawakilishi wa wananchi.

Nakubaliana na wewe kuwa Bulaya kuhamia CHADEMA amekuwa mwana harakati badal\a ya kuwa mwanasiasa.
Moja katiya tofauti ya Mwana harakati na Mwanasiasa ni hii haitarajiwi kuwa mwanaharakati akikosoa atakabidhiwa madaraka kusahihisha anachokikosoa. Ukwseli upinzani unaoonekana Tanzania wapinzani wanaelekea kuwaaminisha kuwa kazi yao ni kukosoa serikali wala sio kujiandaa kuingia madarakani.
Jinsi wanavyotaka kuonekana live kwa wananchi; jinsi wanavyochukua hatua na kadhalika tutafikia mahala watakuwa wapinzani milele na CCm itakuwa chama tawala milele. Hii ni hatari.Watanzania wa sasa wanachambua. Kama chama cha siasa kitapiga kelele bila kuangalia kitapoteza heshima mbele za umma. Mfano kipindi kilichopita wabunge walipotoka Bungeni nwalikuta umma uko upande wao. Sababu kubwa wabunge hao walikuwa swanatoka nje kwa sababu ya matatizo ya wananchi na wananchiu walikuwa wanawaelewa. sasa wabunge kutoka nje kwa sababu ya Job Description ya waziri! Mtu mzima ukasusa kujadili bajeti ya waziri mkuu. Au kutoka bungeni kwa sababu ya bunge kutoonekana live. Bunge kuonekana imekuwepo toka 2005. lakini tulikuwa tunaliona bunge kwa vipindi na tuliwaelewa wabunge wetu. Tuliokuwepo tulimfahamu sana Tuntemeke Sanga, Njeru kasaka na wengine. Bunge halikuwa live. japo ipo haja kwa wabunge wetu kutetea hilo loakini lazima wajue si kiasi cha kususa bunge. Ni mjadala bungeni. Uanaharakati huo hautawapeleka tunakotaka.
Ninawashangaa hata wanaharakati wanaopinga adhabu iliyotolewa kwa wabunge. Sera ya awamu ya tano ni kubana matumizi. nani anapinga hilo? Sasa wabunge kuamua kusimama hamsini na kusema kwa pamoja kwa hiyo siku ikapita bila kuamua lolote na hivypo kupata posho ya bure inachangia nini katika mwelekeo wa kubana matumizi? Mtu anayewatetea kuwa ni kosa kuwaadhibu waliofanya hivyo ana akili gani? Uanaharakati mwingine unaweaa kutafsiriwa ili vyo kuwa watu hawa wanatumwa na wanaowafadhili. Mimi hao dnio najua wana nia mbaya na mataifa haya. lakini wabaya zaidi ni hawa wanaopokea fedha kokote bila kujali ni za nini. Zinawaaibisha wanaposimama na kutetea utumbo kama huo wa kuwalaumu waliowaadhibu wakosaji.

HIVI AKILI NI KUKOSOA SERIKALI TU? HAKUNA KUWAKOSOA WAKOSOAJI? HAKUNA KUIKUBLIA SERIKALI AU KUISHUKURU? HIVI NDIVYO VIKUNDI NA VINGO VYA KUFUTA.
--------------------------------------------
On Wed, 6/1/16, 'Happiness Katabazi' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: [wanabidii] HEKO BUNGE KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI
To: "WANABIDII" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, June 1, 2016, 10:32 AM


HEKO BUNGE KWA KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI 
Na Happiness Katabazi
MHUNI ni neno linalotumika wakati mwingine
kumtambulisha mtu Mfulani Kuwa mhuni kwasababu hadhi yake
haimruhusu kutenda matendo ya kihuni sehemu usiyostahili
Kutenda matendo ya kihuni  yakiwemo matendo ya kuvunja
Sheria, ustaarabu, miiko na Kutenda matendo yanayothibitisha
kudharau mamlaka Fulani wakati kuna Sheria ,Kanuni, Taratibu
na busara azimruhusu Kutenda matendo ya kihuni.
Nimelazimika  kutumia neno mhuni kwasababu
makala yangu ya Leo itajadili "Azimio la Bunge kuhusu
Adhabu kwa wabunge waliofanya vurugu na Bungeni na kudharau
mamlaka ya Spika Katika Kikao cha pili  cha mkutano wa
pili wa Bunge  ,27/1/2016"
Uamuzi huo wa Bunge uliotolewa Bungeni Dodoma,
Mei 30 Mwaka huu , chini ya Kifungu  cha 30A(1) cha
Sheria ya Haki,Kinga na Madaraka ya Bunge  Sura ya 296
na Kanuni ya 74(4) na (6).
Kwa mujibu wa nakala ya azimio Hilo la Bunge
linasomeka kama ifuatavyo; 
" Na Kwa Kuwa ,Sheria na Kanuni hizo
zimeweka Masharti Kuhusu utaratibu Unatakiwa kufuatwa Katika
majadiliano Bungeni na kwamba Katika majadiliano hayo,
Wabunge wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya
Spika;
" Na kwa Kuwa siku ,Siku ya tarehe 27
Januari 2016 baadhi ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni
walifanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika ;
"Na kwa Kuwa , Mheshimiwa Spika alipeleka
suala la baadhi ya wabunge Hao kufanya vurugu na kudharau
mamlaka ya Spika Kwenye Kamati ya Haki ,Maadili na Madaraka
ya kuwataja wabunge wafuatao;
" Ester Bulaya ,Tundu Lissu waliudhurie
vikao vyote Vya mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyobaki
kaunzia Mei 30 Mwaka huu pamoja na vikao vyote Vya mkutano
wa nne wa Bunge la 11 kwa Kuwa walipatikana NA makosa ya
ukiukwaji wa Kanuni na Kuonyesha dharau kubwa kwa Mamlaka ya
Spika na pia walihusika kwa kiasi kikubwa kuchochea vurugu
zilizotokea siku ya 27/1/
2016 ;
"Aidha Bunge limeadhimia wabunge Pauline
Gekul,GodblessLema,Kabwe Zitto na Halima Mdee ,waliudhurie
vikao vyote Vya Mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyosalia
kuanzia Mei 30 Mwaka huu ,kwa walifanya vitendo ambavyo ni
Vya utovu wa nidhamu na dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika.
Vitendo hivyo Vya vurugu walivyovifanya vilisababisha
kuvurugika kwa shughuli za Bunge."
Binafsi Naunga mkono azimio Hilo la Bunge la
kuwapatia Adhabu hiyo wabunge hao Saba  waliopatikana
na hatia ya kuvunja Kanuni ya Bunge kwa Kutenda matendo Yao
ya kihuni ndani ya Bunge ya kudharau nafasi ya
Spika.
Nikiwa ni muumini wa Sheria ambaye nakerwa na
tabia ya watu wasiyo penda  kutii Sheria bila shuruti
wakiwemo baadhi ya wabunge wetu ambao ni watunga Sheria
lakini wameamua kujifanya ni wahuni na bila aibu uhuni huo
wamekuwa wakiupeleka hadi ndani ya Bunge ambalo mambo mengi
ya mustakabali wa taifa letu yanajadiliwa humo .
Enzi za Utawala wa Spika Mstaafu Anne Makinda
enzi za utawala wa serikali ya awamu ya nne niliwahi
kuandika makala zaidi ya mbili za kukemea tabia chafu na za
kihuni  zinazofanywa na baadhi ya wabunge wa CCM na
upinzani bila mafanikio yoyote Matokeo.
Lakini Mei 30 Mwaka huu, Bunge letu chini ya
Spika mpya Job Ndugai ' Mzee Kifimbo cheza' Mhadhiri
wa Sheria Naibu Spika Dk.Tulia Ackson wameamua kuacha kulea
 wabunge wanaofanya matendo ya kihuni ndani ya Bunge na
imewapatia Adhabu ya Kifungo cha kutoudhuria vikao Kadhaa
Vya Bunge.Safi.
Ifike mahali baadhi ya wabunge mnajifanya sijui
mnawazimu vichwani Muweke pembeni huo wazimu wenu na mjue
kabisa hizi siyo zama zile mlizokuwa mmezoea kufanya uhuni
ndani ya Bunge Mnachekewa na kuachwa bila kuchukuliwa
Hatua.
Kila zama na kitabu Chake , mtambue kabisa kwanza
Watanzania wenye akili timamu Tunawafahamu kwa Majina baadhi
ya wabunge wanaofanya vitendo Vya kihuni bungeni licha Bunge
halionyeshwi Live ila kwa kuwa mhuni ni mhuni baadhi yenu
mmekuwa mkitumia simu Zenu kurekodi sauti Zenu mnapata
michango yenu bungeni na wakati huo kuna sauti za baadhi ya
wabunge wahuni wanaowaunga mkono wanatoa manasikika wakitoa
maneno ya kihuni ndani ya Bunge.Upuuzi mtupu.
Hivi hata siku Moja kwanini msijipe muda Mkae
 chini mkatafakari ni Kwanini wanasiasa hasa wabunge
zama hizi mnadhaurika sana Mbele ya Jamii ya watu wastaarabu
, wasomi ?
Ni kwasababu baadhi yenu hamjiheshimu
,hamuheshimi Kanuni zinazowaongoza, mnatenda matendo ya ovyo
ndani ya Bunge tena wazi wazi .
Sasa kama Nyie baadhi ya wabunge tena ni watunga
Sheria mnakuwa wa kwanza kunajisi  Sheria,Kanuni na
kudharau Kiti cha Spika mnafikiri huku nje watu
watawaheshimu?
Bunge limewekwa thamani nzuri za gharama
ukilinganisha na thamani za Hali ya chini zilizopo Katika
Mahakama zetu nchini. 
Lakini wananchi,Mahakimu wanakuwa na heshima ya
Hali ya juu na hawatendi mambo ya kipuuzi wakati kesi
zikiendelea au wawapo nje ya viwanja vya mahakama licha
 baadhi ya mahakama majengo yake ni mabovu.
Ni kwasababu mahakimu, majaji na watumishi wa
mahakama wanajiheshimu sana ndiyo maana hata wananchi
hawadharau huo mhilimi wa mahakama wanauheshimu na kuogopa
pia.
Bungeni kule kwasababu baadhi ya Maspika
walilegeza kamba sana wakaruhusu baadhi ya wabunge wafanye
matendo ya kihuni ndani ya bunge ya kuvunja kanuni,
kubwatuka ovyo matokeo yake leo hii wabunge mnasemwa vibaya
na kudharauliwa .
Mfano wanasheria wakutanapo wanapojadili mambo
yao wanamtaka mwanasheria mwenzao ajadili kama msomi wa
sheria azungumze kwa vielelezo aache kuwa kama mwanasiasa
ambao wanazungumza porojo .
Zitto na wabunge wenzake wamepewa adhabu hiyo kwa
mujibu wa Kanuni alali za Bunge na walistahili kupewa Adhabu
hiyo .
Kwasababu  wametenda matendo ya kihuni
ambayo siyo tu yaliiletea rabsha bungeni pia Adhabu hiyo
imewashushia heshima Mbele ya Jamii kwasababu sasa tunahaki
ya kuwaita wabunge wahuni ambao  wamevunja Kanuni za
Bunge kutoka na Adhabu hiyo ya Bunge.
Hivyo Napingana na wale wote wanaosema wabunge
walioadhibiwa yaani Zitto na wenzake wameonewa, eti ni kosa
Lao la kwanza hivyo Adhabu waliyopewa ni kubwa
halikustahili, ni mikakati wa serikali ya CCM kwa kumtumia
Naibu Spika Dk.Tulia Kuwafunga midomo wapinzani
bungeni,Adhabu hiyo inanyima Haki wabunge Hao kuingia
bungeni kuwawakilisha wananchi. upuuzi mtupu tena wa aina
yake.
Kama Adhabu hiyo kweli ina Lengo la Kufunga
midomo ya wapinzani bungeni ,Mbona haijatolewa kwa wabunge
wote wa upinzani?mbona bado wabunge wa upinzani Jana
Tumewashuhudia wakiendelea kutoa michango Yao ndani ya Bunge
bila kubughudhiwa?
Hoja kuhusu  wabunge Hao walioadhibiwa Kuwa
Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imepotezwa
kutokana na Adhabu hiyo ya Bunge, haina mashiko kwasababu
kwanza kabla ya adhabu kutolewa ,walipewa haki zao zote
ikiwemo haki ya kuitwa, kuelezwa kosa na wakajieleza na
hatimaye hukumu imetolewa na wamepatikana na hatia na makosa
waliyotuhumiwa nao.
Katiba ya nchi yetu inatoa haki kwa wananchi wake
na pia Katiba hiyo hiyo inatoa wajibu kwa wananchi
wake.Huwezi kudai haki yako bila kutimiza wajibu
wako.
Wanasheria wanasema Haki yako inapoishia ndiyo
Haki ya mwenzake inaooanzia.Hao wabunge walikuwa wanatumia
Haki Yao ya kutoa mawazo Yao kwa mujibu wa a ibara ya 18 (a)
ya Katiba ya Nchi ya Mwaka 1977 lakini pia Haki hiyo
inaendana na wajibu .Na pia 
Kwa Mujibu wa  Kanuni ya 74(4)(6) ya Sheria
ya Haki ,Kinga Maadili ya Bunge  Inawataka wabunge
wakati Katika majadiliano ndani ya Bung wanapaswa kuheshimu
na kutii mamlaka ya Spika.
Sasa hawa wabunge 'wafungwa,wahuni'
walishindwa kutimiza wajibu huo wa kuheshimu na kutii
mamlaka ya Spika walitenda matendo ya kihuni yaliyosababisha
wakashindwa Kutimiza wajibu wao ndiyo maana wameadhibiwa na
Bunge.
Kwa hiyo hoja ya Kudai Haki Yao ya kuwawakilisha
wananchi bungeni imeporwa,uamuzi huo ni ukandamizaji wa
kidemokrasia  ni ya kipuuzi kabisa.
Wametenda makosa ,wakaadhiwa.Kama walikuwa
wanaipenda sana hiyo Haki  yao ya kuwawakilisha wapiga
kula wao bungeni kwanini walishindwa kutimiza wajibu wao
kuheshimu mamlaka ya Spika ?
Na Ieleweke wazi Wapiga kura wa wabunge Hao
hawakuwatuma wabunge hao wahuni kwenda Bunge kuwasemea
matatizo Yao Kwanjia za kihuni ,kunajisi Kanuni za
Bunge.
Bali wananchi waliwatuma  wabunge Hao
wakawawakilishe Wapiga kura wao kwa kufuata Sheria ,Kanuni
na Taratibu Wawapo ndani ya Bunge.
Tanzania ni Taifa linaloongozwa kwa mujibu wa
Sheria na siyo vinginevyo .Na Ibara ya 13 ( 1) ya Katiba ya
nchi inasomeka hivi ; " Watu wote ni sawa Mbele ya
Sheria Na wanayo Haki ,bila ya ubaguzi wowote kulindwa na
kupata Haki sawa Mbele ya Sheria".
Kwa Tafsiri ya Ibara hiyo wabunge
'wafungwa' hawakuwa juu ya Sheria licha ni watunga
Sheria wameadhibiwa kwa mujibu wa Sheria kwasababu Ibara
hiyo ya 13 (1) ya Katiba inatoa Usawa Mbele ya Sheria
.
Wameadhibiwa kwasababu wa mepatikana na hatia za
Kutenda kosa na kisheria huwezi kumshitaki mtu hadi ukamtia
 hatiani bila kuwepo na kosa liloandishwa kwa mujibu wa
Sheria ,Kanuni.
Hivyo Adhabu iwe ni Funzo kwa wabunge  '
Wafungwa 'kama wanapenda kujifunza lakini,na wabunge
wengine wawe wa CCM na vyama vya upinzani maana ndani ya
bunge pia kuna wabunge wa CCM na wamekuwa wakitoa maneno
yasiyo faa kwa wabunge wa upinzani licha hatujaona
wakichukuliwa Hatua kama hizo na kupewa Adhabu .
Tambueni Hilo Bunge ni Chombo kilichoanzishwa kwa
mujibu wa Ibara ya 62 (1)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ya Mwaka 1977 nikasome sekta hiki

" Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano
ambalo litakuwa na sehemu mbili,Rais na
Wabunge".
Na ibara 33(1) ya Katiba ya nchi inasomeka
;" Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano
.
Ibara 33(2) ya Katiba hiyo inasema : " Rais
atakuwa Mkuu wa Nchi , Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi
Mkuu.".

Hivyo nyie baadhi ya wabunge na wanaharakati
uchwara mtambue vyema Kuwa Rais ni sehemu ya Bunge licha pia
ndiyo Mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali na Amir Jeshi
Mkuu. 
Hivyo mtakayoyafanya humo bungeni Ana Haki ya
kuyafahamu kwasababu Na yeye ni sehemu ya Bunge
.
Na Rais  Magufuli Katika Kipindi hiki anacho
endelea kuijenga serikali na kuakikisha ahadi zote
alizozitoa kwa wananchi Katika Kampeni za uchaguzi Mkuu
Mwaka 2015 wakati akiomba a chaguliwa Kuwa rais , nilazima
pia kuendane sambamba na yeye na safu yake kuisuka  pia
mihimili mingine ambayo ni Bunge na Mahakama.Kwani yeye Rais
ni sehemu ya Bunge  na hakatazwi kuwafanya mawasiliano
ya wazi,Siri na Spika na Naibu Spika wake.
Nchi haiendeshwi kihuni kama mnavyozani,huwezi
Kuwa na serikali imara halafu serikali hiyo ikubali Kuwa na
Bunge la ovyo ovyo .Nchi itayumba .
Tunataka Bunge imara ambalo lina wabunge
 imara Ambao  wanajua Kujenga hoja bila kufanya
vitendo vya kihuni ndani ya bunge  ili Tujenge nchi
yenye uwajibikaji.
Kuwa mwanasiasa sio tiketi ya kufanya vitendo Vya
kihuni, kuvunja Kanuni kwa kisingizio Kuwa eti Naibu Spika,
Spika wanapendelea CCM au wanatumiwa na Mhimili wa Serikali
kugandamiza wapinzani .
Muunganwa asifiwi ushenzi, hata kama ni kweli
Spika, Naibu Spika wanatumika na serikali ,wanawagandamiza
wapinzani, wabunge wa upinzani mlipaswa mtumie njia sahihi
kupinga vitendo hivyo Vya Naibu Spika na Spika kuliko kuamua
kuvunja Kanuni Matokeo yake hata kama ni kweli hoja Zenu
zilikuwa ni za Msingi ,mmeishazipoteza,
mmeadhibiwa.
Mimi Mwenyewe siungi mkono Bunge kuto onyesha
Live lakini hata siku Moja sijawahi kufanya vitendo Vya
Uvunjifu wa Sheria Kuonyesha napingana uamuzi wa Bunge wa
kukataa Bunge lisionyweshwe Live. 
Hakuna ubishi CHADEMA ya sasa baada ya uchaguzi
Mkuu wa Mwaka 2015 kumalizika siyo Chadema ya Kipindi kile
iliyokuwa imestawi, Chadema ya sasa tuwe wa kweli tu najua
baadhi ya wafuasi wengine wa Chadema wana Maradhi ya
kutokubali Chama chao kikosolewe watapinga , Chadema hivi
sasa ni kama imepoteza dira na Taratibu Umaarufu wake
utapungua.Huo Ndio ukweli mchungu.
Kambi ya upinzani Bungeni katika Utawala huu wa
serikali ya awamu ya Tano,chini ya Rais Magufuli ,imeyumba
sana .
Tazama Katika ukurasa wa Facebook wa  Zitto
Kabwe utetezi wake kuhusu Adhabu hiyo waliyopewa ni sawa na
wa mtoto Mdogo ambaye ametega kwenda shule Akaamua kwenda
kinyemeleza ziwani kuvua SamakiWajinga wachache
ndiyo wanaamini utetezi wake wake Kwenye mitandao usiyo kuwa
na kichwa wa miguu.
Zitto hafai Kuwa kiongozi anafaha Kuwa
Mwanaharakati. Zitto na Chadema wapi na wapi?Kwanza sera za
Chama Chake cha  ACT Wazalendo na Chadema ni tofauti.
Ajabu sana!
Mbunge wa Bunda (Chadema )  Esta Bulaya
namchukulia kama ni mwanasiasa kijana aliyepotea mwelekeo
.
Aiingii akilini haraka ,Bulaya Huyo Aliyehama CCM
Mwaka Jana akajiunga na Chadema  licha ni Haki yake kwa
mujibu wa Ibara ya 20(1) ya Katiba  ya nchi ya kujiunga
na Chama chochote anachokitaka .
Siasa za kiuanaharakati uchwara anazozifanya
Bulaya tangu ajiunge na Chadema zimeshindwa kumpambanua
Lengo lake analolitaka Katika ulingo wa siasa ni lipia zaidi
ya Kufanikiwa Mzee wa Steven Wassira na kufanikiwa kurudi
bungeni kwa awamu ya pili.
Bulaya ameshindwa kuleta Mageuzi
 yanayowavutia  wanawake vijana wavutiwe naye
 zaidi ya kila kukicha kutoka nje ya Bunge na
Kulalamika Katika vyombo Vya Habari  kwasauti ya juu
 Mithili ya mtu aliyepandisha mashetani.
Mfano mzuri ni wa Mama Samia Suluhu alipokuwa
Mbunge, waziri alichaguliwa Kuwa Naibu Spika Bunge Maalum la
Katiba licha ni mwanamke alikuwa na staha ,unyeyekevu na
aliweza kushirikiana na Spika wake Samwel Sitta kuliendesha
Bunge lile lilokuwa lina vioja Vya kila aina .
Na mwisho CCM Mwaka Jana ikampendekeza Kuwa
Mgombea Mwenza wa kwanza mwanamke tangu CCM ianzishwe na
ndiyo amekuwa Makamu wa Rais wa kwanza Tanzania,tangu
Tanzania ipate Uhuru.
Leo hii wanawake tu namchukulia Samia kama mfano
bora wa wanawake wanaweza kwasababu wakati alipokuwa mbunge
,Naibu Spika hakufanya ufedhuli wa kudharau Kanuni kama Nyie
baadhi ya wabunge  wanawake vijana Bulaya, Mdee
mnavyomfanya ufedhuli ndani na nje Bunge hadi
mmeadhibiwa.
Leo hii Nyie wanasiasa wanawake vijana mmeshindwa
Kujenga matumaini  kwa wanawake vijana ili waige kutoka
kwenu zaidi zaidi hivi sasa Mara kwa Mara mmekuwa mkionekana
Kwenye Televisheni mkibwatuka tu ,kuropokaropoka hivyo
 kujitengenezea sifa  Mbaya ambazo hamstahili Kuwa
nazo kama wabunge wa kuchaguliwa wanawake
vijana.
Angalau hivi sasa Mbunge wa Arusha Mjini(
Chadema) , Godbless Lema Ukimtazama na kumsikiliza wakati
akitoa baadhi ya michango  yake  ndani ya Bunge
unapenda unamsikiliza licha U Lema wake bado
haujamtoka.
Lema angeweza kuandaliwa na Chama Chake angeweza
kuipeleka Mbele Chadema .
Hivi sasa Lema anaonekana ameanza kukomaa kisiasa
,ule uhuni wake wa zamani wa kuongea ovyo,umeanza
kumtoka.Hakika Godbles  Lema amebadilika
kidogo.
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Freeman
Mbowe Leo hii Hana sauti zaidi ya wabunge wahuni .Simsikii
Mbowe akitoa matamko ya Kujenga Chama kama
awali.Kulikoni?
Ni hitimishe kwa Kulishauri Bunge hizo Kanuni
walizotumia wa kuwadhibu  wabunge Hao Saba wa upinzani,
basi Mbele ya safari pia zitumike kuwaadhibu baadhi ya
wabunge wa CCM ambao nao wanalalamikiwa Kuwa wanawatolea
maneno yasiyofaha wabunge wa upinzani.
Pia Spika Ndugai na Dk.Tulia jiepusheni na tuhuma
zinazowaandama  hasa wewe Naibu Spika Dk.Tulia Kuwa
unatumiwa na serikali Kwani msipojiepusha nazo kama ni kweli
hamtoaminika.
Mimi binafsi sina ushahidi na Hilo ila ukweli
mnaujua Nyie .Ila kama ni kweli wakati mkitekeleza majukumu
yenu ndani ya Bunge jaribuni  Kuwa 'umpire' ,
yaani muwe katikati yaani refa ,msionyeshe Kupendelea upande
wowote .
Aidha na Nyie wabunge wakorofi, msiotaka
 kuheshimu Kanuni,Sheria Mabadilike anze ni Kujenga
Utamaduni wa kuheshimu Kanuni na Kujenga Utamaduni wa
kuvumilia.
Sheria, Kanuni zipo tena mmezitunga wenyewe
,mziiti na mziheshimu mkishindwa kufanya hivyo Mkae mkijua
Naibu Spika Dk.Tulia ni Mhadhiri wa Sheria hivyo sidhani
 atakubali kuona Kanuni na Sheria mnazivunja awache
 bila kuwachukulia Hatua. 
Wabunge  Saba Tayari wameishaadhibiwa bila
kujali Umaarufu  wao, na Bunge linaendelea vizuri bila
wao kuwepo na Matokeo yake Jamii hivi sasa inawachukulia ni
wabunge hao saba wahuni ambao wamepatikana na hatia ya
kudharau mamlaka ya Spika .
Mwisho nawashauri wabunge 'wahuni au wabunge
wafungwa,Tulieni mtu mike Adhabu Zenu kwa ni
dhamu.
Tabia  ya baadhi yenu kukaa Kwenye mitandao
na kuwatafuta mazuzu huko mitaani wawatetee kwa Jamii
kupitia Mlango wa nyuma ili muonekane mmeonewa haitowasaidia
Kabisa maana Mimi Binfasi tangu Juzi nimekuwa nikipambana
vikali na baadhi ya watu tena wengine wakiwa waandishi
wakongwe ambao walikuwa wanajaribu kupotosha ukweli wa
hukumu hiyo ya Kamati ya Haki ,Madaraka ya Bunge
inayoongozwa na George Mkuchika kwasababu za kijinga tu kisa
wana  mahusiano na wabunge Hao, waandishi Hao ni
wanachama wa baadhi Chama wanachotoka baadhi ya wabunge
wahuni .Na wamefyata Mkia.
Na Mbaya zaidi nakala ya uamuzi wa Bunge ipo
inayooelezwa makosa mliyotenda ,Kanuni iliyomtumika
 kuwaadhibu, lini mlifanya makosa hayo.
Hivyo Tulieni Nyie wabunge wahuni mtumikie Adhabu
yenu iliyotokana na matendo ya kihuni mliyoyatenda ndani ya
Bunge Januari 27 Mwaka huu, mkavunja Kanuni na kudharau
mamlaka ya Spika wakati kwa hadhi yenu hamkumpaswa
kujivunjia heshima kwa kutenda uhuni ule wa kudharau mamlaka
ya Spika .Ifike mahala Utawala wa Sheria uheshimiwe kwa
vitendo.
Mungu ibariki Tanzania
Facebook: Happy KatabaziBlogg: www.katabazihappy.blogspot.com0716
7744941/6/2016.















Sent from my iPad



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] HEKO BUNGE KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI"

Re: [wanabidii] HEKO BUNGE KWA KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI

You're most probably a masochist.

2016-06-01 11:40 GMT+03:00 'Happiness Katabazi' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
HEKO BUNGE KWA KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI

Na Happiness Katabazi

MHUNI ni neno linalotumika wakati mwingine kumtambulisha mtu Mfulani Kuwa mhuni kwasababu hadhi yake haimruhusu kutenda matendo ya kihuni sehemu usiyostahili Kutenda matendo ya kihuni  yakiwemo matendo ya kuvunja Sheria, ustaarabu, miiko na Kutenda matendo yanayothibitisha kudharau mamlaka Fulani wakati kuna Sheria ,Kanuni, Taratibu na busara azimruhusu Kutenda matendo ya kihuni.

Nimelazimika  kutumia neno mhuni kwasababu makala yangu ya Leo itajadili "Azimio la Bunge kuhusu Adhabu kwa wabunge waliofanya vurugu na Bungeni na kudharau mamlaka ya Spika Katika Kikao cha pili  cha mkutano wa pili wa Bunge  ,27/1/2016"

Uamuzi huo wa Bunge uliotolewa Bungeni Dodoma, Mei 30 Mwaka huu , chini ya Kifungu  cha 30A(1) cha Sheria ya Haki,Kinga na Madaraka ya Bunge  Sura ya 296 na Kanuni ya 74(4) na (6).

Kwa mujibu wa nakala ya azimio Hilo la Bunge linasomeka kama ifuatavyo;

" Na Kwa Kuwa ,Sheria na Kanuni hizo zimeweka Masharti Kuhusu utaratibu Unatakiwa kufuatwa Katika majadiliano Bungeni na kwamba Katika majadiliano hayo, Wabunge wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika;

" Na kwa Kuwa siku ,Siku ya tarehe 27 Januari 2016 baadhi ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni walifanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika ;

"Na kwa Kuwa , Mheshimiwa Spika alipeleka suala la baadhi ya wabunge Hao kufanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika Kwenye Kamati ya Haki ,Maadili na Madaraka ya kuwataja wabunge wafuatao;

" Ester Bulaya ,Tundu Lissu waliudhurie vikao vyote Vya mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyobaki kaunzia Mei 30 Mwaka huu pamoja na vikao vyote Vya mkutano wa nne wa Bunge la 11 kwa Kuwa walipatikana NA makosa ya ukiukwaji wa Kanuni na Kuonyesha dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika na pia walihusika kwa kiasi kikubwa kuchochea vurugu zilizotokea siku ya 27/1/ 2016 ;

"Aidha Bunge limeadhimia wabunge Pauline Gekul,GodblessLema,Kabwe Zitto na Halima Mdee ,waliudhurie vikao vyote Vya Mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyosalia kuanzia Mei 30 Mwaka huu ,kwa walifanya vitendo ambavyo ni Vya utovu wa nidhamu na dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika. Vitendo hivyo Vya vurugu walivyovifanya vilisababisha kuvurugika kwa shughuli za Bunge."

Binafsi Naunga mkono azimio Hilo la Bunge la kuwapatia Adhabu hiyo wabunge hao Saba  waliopatikana na hatia ya kuvunja Kanuni ya Bunge kwa Kutenda matendo Yao ya kihuni ndani ya Bunge ya kudharau nafasi ya Spika.

Nikiwa ni muumini wa Sheria ambaye nakerwa na tabia ya watu wasiyo penda  kutii Sheria bila shuruti wakiwemo baadhi ya wabunge wetu ambao ni watunga Sheria lakini wameamua kujifanya ni wahuni na bila aibu uhuni huo wamekuwa wakiupeleka hadi ndani ya Bunge ambalo mambo mengi ya mustakabali wa taifa letu yanajadiliwa humo .

Enzi za Utawala wa Spika Mstaafu Anne Makinda enzi za utawala wa serikali ya awamu ya nne niliwahi kuandika makala zaidi ya mbili za kukemea tabia chafu na za kihuni  zinazofanywa na baadhi ya wabunge wa CCM na upinzani bila mafanikio yoyote Matokeo.

Lakini Mei 30 Mwaka huu, Bunge letu chini ya Spika mpya Job Ndugai ' Mzee Kifimbo cheza' Mhadhiri wa Sheria Naibu Spika Dk.Tulia Ackson wameamua kuacha kulea  wabunge wanaofanya matendo ya kihuni ndani ya Bunge na imewapatia Adhabu ya Kifungo cha kutoudhuria vikao Kadhaa Vya Bunge.Safi.

Ifike mahali baadhi ya wabunge mnajifanya sijui mnawazimu vichwani Muweke pembeni huo wazimu wenu na mjue kabisa hizi siyo zama zile mlizokuwa mmezoea kufanya uhuni ndani ya Bunge Mnachekewa na kuachwa bila kuchukuliwa Hatua.

Kila zama na kitabu Chake , mtambue kabisa kwanza Watanzania wenye akili timamu Tunawafahamu kwa Majina baadhi ya wabunge wanaofanya vitendo Vya kihuni bungeni licha Bunge halionyeshwi Live ila kwa kuwa mhuni ni mhuni baadhi yenu mmekuwa mkitumia simu Zenu kurekodi sauti Zenu mnapata michango yenu bungeni na wakati huo kuna sauti za baadhi ya wabunge wahuni wanaowaunga mkono wanatoa manasikika wakitoa maneno ya kihuni ndani ya Bunge.Upuuzi mtupu.

Hivi hata siku Moja kwanini msijipe muda Mkae  chini mkatafakari ni Kwanini wanasiasa hasa wabunge zama hizi mnadhaurika sana Mbele ya Jamii ya watu wastaarabu , wasomi ?

Ni kwasababu baadhi yenu hamjiheshimu ,hamuheshimi Kanuni zinazowaongoza, mnatenda matendo ya ovyo ndani ya Bunge tena wazi wazi .

Sasa kama Nyie baadhi ya wabunge tena ni watunga Sheria mnakuwa wa kwanza kunajisi  Sheria,Kanuni na kudharau Kiti cha Spika mnafikiri huku nje watu watawaheshimu?

Bunge limewekwa thamani nzuri za gharama ukilinganisha na thamani za Hali ya chini zilizopo Katika Mahakama zetu nchini.

Lakini wananchi,Mahakimu wanakuwa na heshima ya Hali ya juu na hawatendi mambo ya kipuuzi wakati kesi zikiendelea au wawapo nje ya viwanja vya mahakama licha  baadhi ya mahakama majengo yake ni mabovu.

Ni kwasababu mahakimu, majaji na watumishi wa mahakama wanajiheshimu sana ndiyo maana hata wananchi hawadharau huo mhilimi wa mahakama wanauheshimu na kuogopa pia.

Bungeni kule kwasababu baadhi ya Maspika walilegeza kamba sana wakaruhusu baadhi ya wabunge wafanye matendo ya kihuni ndani ya bunge ya kuvunja kanuni, kubwatuka ovyo matokeo yake leo hii wabunge mnasemwa vibaya na kudharauliwa .

Mfano wanasheria wakutanapo wanapojadili mambo yao wanamtaka mwanasheria mwenzao ajadili kama msomi wa sheria azungumze kwa vielelezo aache kuwa kama mwanasiasa ambao wanazungumza porojo .

Zitto na wabunge wenzake wamepewa adhabu hiyo kwa mujibu wa Kanuni alali za Bunge na walistahili kupewa Adhabu hiyo .

Kwasababu  wametenda matendo ya kihuni ambayo siyo tu yaliiletea rabsha bungeni pia Adhabu hiyo imewashushia heshima Mbele ya Jamii kwasababu sasa tunahaki ya kuwaita wabunge wahuni ambao  wamevunja Kanuni za Bunge kutoka na Adhabu hiyo ya Bunge.

Hivyo Napingana na wale wote wanaosema wabunge walioadhibiwa yaani Zitto na wenzake wameonewa, eti ni kosa Lao la kwanza hivyo Adhabu waliyopewa ni kubwa halikustahili, ni mikakati wa serikali ya CCM kwa kumtumia Naibu Spika Dk.Tulia Kuwafunga midomo wapinzani bungeni,Adhabu hiyo inanyima Haki wabunge Hao kuingia bungeni kuwawakilisha wananchi. upuuzi mtupu tena wa aina yake.

Kama Adhabu hiyo kweli ina Lengo la Kufunga midomo ya wapinzani bungeni ,Mbona haijatolewa kwa wabunge wote wa upinzani?mbona bado wabunge wa upinzani Jana Tumewashuhudia wakiendelea kutoa michango Yao ndani ya Bunge bila kubughudhiwa?

Hoja kuhusu  wabunge Hao walioadhibiwa Kuwa Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imepotezwa kutokana na Adhabu hiyo ya Bunge, haina mashiko kwasababu kwanza kabla ya adhabu kutolewa ,walipewa haki zao zote ikiwemo haki ya kuitwa, kuelezwa kosa na wakajieleza na hatimaye hukumu imetolewa na wamepatikana na hatia na makosa waliyotuhumiwa nao.

Katiba ya nchi yetu inatoa haki kwa wananchi wake na pia Katiba hiyo hiyo inatoa wajibu kwa wananchi wake.Huwezi kudai haki yako bila kutimiza wajibu wako.

Wanasheria wanasema Haki yako inapoishia ndiyo Haki ya mwenzake inaooanzia.Hao wabunge walikuwa wanatumia Haki Yao ya kutoa mawazo Yao kwa mujibu wa a ibara ya 18 (a) ya Katiba ya Nchi ya Mwaka 1977 lakini pia Haki hiyo inaendana na wajibu .Na pia

Kwa Mujibu wa  Kanuni ya 74(4)(6) ya Sheria ya Haki ,Kinga Maadili ya Bunge  Inawataka wabunge wakati Katika majadiliano ndani ya Bung wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika.

Sasa hawa wabunge 'wafungwa,wahuni' walishindwa kutimiza wajibu huo wa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika walitenda matendo ya kihuni yaliyosababisha wakashindwa Kutimiza wajibu wao ndiyo maana wameadhibiwa na Bunge.

Kwa hiyo hoja ya Kudai Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imeporwa,uamuzi huo ni ukandamizaji wa kidemokrasia  ni ya kipuuzi kabisa.

Wametenda makosa ,wakaadhiwa.Kama walikuwa wanaipenda sana hiyo Haki  yao ya kuwawakilisha wapiga kula wao bungeni kwanini walishindwa kutimiza wajibu wao kuheshimu mamlaka ya Spika ?

Na Ieleweke wazi Wapiga kura wa wabunge Hao hawakuwatuma wabunge hao wahuni kwenda Bunge kuwasemea matatizo Yao Kwanjia za kihuni ,kunajisi Kanuni za Bunge.

Bali wananchi waliwatuma  wabunge Hao wakawawakilishe Wapiga kura wao kwa kufuata Sheria ,Kanuni na Taratibu Wawapo ndani ya Bunge.

Tanzania ni Taifa linaloongozwa kwa mujibu wa Sheria na siyo vinginevyo .Na Ibara ya 13 ( 1) ya Katiba ya nchi inasomeka hivi ; " Watu wote ni sawa Mbele ya Sheria Na wanayo Haki ,bila ya ubaguzi wowote kulindwa na kupata Haki sawa Mbele ya Sheria".

Kwa Tafsiri ya Ibara hiyo wabunge 'wafungwa' hawakuwa juu ya Sheria licha ni watunga Sheria wameadhibiwa kwa mujibu wa Sheria kwasababu Ibara hiyo ya 13 (1) ya Katiba inatoa Usawa Mbele ya Sheria .

Wameadhibiwa kwasababu wa mepatikana na hatia za Kutenda kosa na kisheria huwezi kumshitaki mtu hadi ukamtia  hatiani bila kuwepo na kosa liloandishwa kwa mujibu wa Sheria ,Kanuni.

Hivyo Adhabu iwe ni Funzo kwa wabunge  ' Wafungwa 'kama wanapenda kujifunza lakini,na wabunge wengine wawe wa CCM na vyama vya upinzani maana ndani ya bunge pia kuna wabunge wa CCM na wamekuwa wakitoa maneno yasiyo faa kwa wabunge wa upinzani licha hatujaona wakichukuliwa Hatua kama hizo na kupewa Adhabu .

Tambueni Hilo Bunge ni Chombo kilichoanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 62 (1)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 nikasome sekta hiki ;

" Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili,Rais na Wabunge".

Na ibara 33(1) ya Katiba ya nchi inasomeka ;" Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano .

Ibara 33(2) ya Katiba hiyo inasema : " Rais atakuwa Mkuu wa Nchi , Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.".


Hivyo nyie baadhi ya wabunge na wanaharakati uchwara mtambue vyema Kuwa Rais ni sehemu ya Bunge licha pia ndiyo Mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali na Amir Jeshi Mkuu.

Hivyo mtakayoyafanya humo bungeni Ana Haki ya kuyafahamu kwasababu Na yeye ni sehemu ya Bunge .

Na Rais  Magufuli Katika Kipindi hiki anacho endelea kuijenga serikali na kuakikisha ahadi zote alizozitoa kwa wananchi Katika Kampeni za uchaguzi Mkuu Mwaka 2015 wakati akiomba a chaguliwa Kuwa rais , nilazima pia kuendane sambamba na yeye na safu yake kuisuka  pia mihimili mingine ambayo ni Bunge na Mahakama.Kwani yeye Rais ni sehemu ya Bunge  na hakatazwi kuwafanya mawasiliano ya wazi,Siri na Spika na Naibu Spika wake.

Nchi haiendeshwi kihuni kama mnavyozani,huwezi Kuwa na serikali imara halafu serikali hiyo ikubali Kuwa na Bunge la ovyo ovyo .Nchi itayumba .

Tunataka Bunge imara ambalo lina wabunge  imara Ambao  wanajua Kujenga hoja bila kufanya vitendo vya kihuni ndani ya bunge  ili Tujenge nchi yenye uwajibikaji.

Kuwa mwanasiasa sio tiketi ya kufanya vitendo Vya kihuni, kuvunja Kanuni kwa kisingizio Kuwa eti Naibu Spika, Spika wanapendelea CCM au wanatumiwa na Mhimili wa Serikali kugandamiza wapinzani .

Muunganwa asifiwi ushenzi, hata kama ni kweli Spika, Naibu Spika wanatumika na serikali ,wanawagandamiza wapinzani, wabunge wa upinzani mlipaswa mtumie njia sahihi kupinga vitendo hivyo Vya Naibu Spika na Spika kuliko kuamua kuvunja Kanuni Matokeo yake hata kama ni kweli hoja Zenu zilikuwa ni za Msingi ,mmeishazipoteza, mmeadhibiwa.

Mimi Mwenyewe siungi mkono Bunge kuto onyesha Live lakini hata siku Moja sijawahi kufanya vitendo Vya Uvunjifu wa Sheria Kuonyesha napingana uamuzi wa Bunge wa kukataa Bunge lisionyweshwe Live.

Hakuna ubishi CHADEMA ya sasa baada ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 kumalizika siyo Chadema ya Kipindi kile iliyokuwa imestawi, Chadema ya sasa tuwe wa kweli tu najua baadhi ya wafuasi wengine wa Chadema wana Maradhi ya kutokubali Chama chao kikosolewe watapinga , Chadema hivi sasa ni kama imepoteza dira na Taratibu Umaarufu wake utapungua.Huo Ndio ukweli mchungu.

Kambi ya upinzani Bungeni katika Utawala huu wa serikali ya awamu ya Tano,chini ya Rais Magufuli ,imeyumba sana .

Tazama Katika ukurasa wa Facebook wa  Zitto Kabwe utetezi wake kuhusu Adhabu hiyo waliyopewa ni sawa na wa mtoto Mdogo ambaye ametega kwenda shule Akaamua kwenda kinyemeleza ziwani kuvua Samaki
Wajinga wachache ndiyo wanaamini utetezi wake wake Kwenye mitandao usiyo kuwa na kichwa wa miguu.

Zitto hafai Kuwa kiongozi anafaha Kuwa Mwanaharakati. Zitto na Chadema wapi na wapi?Kwanza sera za Chama Chake cha  ACT Wazalendo na Chadema ni tofauti. Ajabu sana!

Mbunge wa Bunda (Chadema )  Esta Bulaya namchukulia kama ni mwanasiasa kijana aliyepotea mwelekeo .

Aiingii akilini haraka ,Bulaya Huyo Aliyehama CCM Mwaka Jana akajiunga na Chadema  licha ni Haki yake kwa mujibu wa Ibara ya 20(1) ya Katiba  ya nchi ya kujiunga na Chama chochote anachokitaka .

Siasa za kiuanaharakati uchwara anazozifanya Bulaya tangu ajiunge na Chadema zimeshindwa kumpambanua Lengo lake analolitaka Katika ulingo wa siasa ni lipia zaidi ya Kufanikiwa Mzee wa Steven Wassira na kufanikiwa kurudi bungeni kwa awamu ya pili.

Bulaya ameshindwa kuleta Mageuzi  yanayowavutia  wanawake vijana wavutiwe naye  zaidi ya kila kukicha kutoka nje ya Bunge na Kulalamika Katika vyombo Vya Habari  kwasauti ya juu  Mithili ya mtu aliyepandisha mashetani.

Mfano mzuri ni wa Mama Samia Suluhu alipokuwa Mbunge, waziri alichaguliwa Kuwa Naibu Spika Bunge Maalum la Katiba licha ni mwanamke alikuwa na staha ,unyeyekevu na aliweza kushirikiana na Spika wake Samwel Sitta kuliendesha Bunge lile lilokuwa lina vioja Vya kila aina .

Na mwisho CCM Mwaka Jana ikampendekeza Kuwa Mgombea Mwenza wa kwanza mwanamke tangu CCM ianzishwe na ndiyo amekuwa Makamu wa Rais wa kwanza Tanzania,tangu Tanzania ipate Uhuru.

Leo hii wanawake tu namchukulia Samia kama mfano bora wa wanawake wanaweza kwasababu wakati alipokuwa mbunge ,Naibu Spika hakufanya ufedhuli wa kudharau Kanuni kama Nyie baadhi ya wabunge  wanawake vijana Bulaya, Mdee mnavyomfanya ufedhuli ndani na nje Bunge hadi mmeadhibiwa.

Leo hii Nyie wanasiasa wanawake vijana mmeshindwa Kujenga matumaini  kwa wanawake vijana ili waige kutoka kwenu zaidi zaidi hivi sasa Mara kwa Mara mmekuwa mkionekana Kwenye Televisheni mkibwatuka tu ,kuropokaropoka hivyo  kujitengenezea sifa  Mbaya ambazo hamstahili Kuwa nazo kama wabunge wa kuchaguliwa wanawake vijana.

Angalau hivi sasa Mbunge wa Arusha Mjini( Chadema) , Godbless Lema Ukimtazama na kumsikiliza wakati akitoa baadhi ya michango  yake  ndani ya Bunge unapenda unamsikiliza licha U Lema wake bado haujamtoka.

Lema angeweza kuandaliwa na Chama Chake angeweza kuipeleka Mbele Chadema .

Hivi sasa Lema anaonekana ameanza kukomaa kisiasa ,ule uhuni wake wa zamani wa kuongea ovyo,umeanza kumtoka.Hakika Godbles  Lema amebadilika kidogo.

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Freeman Mbowe Leo hii Hana sauti zaidi ya wabunge wahuni .Simsikii Mbowe akitoa matamko ya Kujenga Chama kama awali.Kulikoni?

Ni hitimishe kwa Kulishauri Bunge hizo Kanuni walizotumia wa kuwadhibu  wabunge Hao Saba wa upinzani, basi Mbele ya safari pia zitumike kuwaadhibu baadhi ya wabunge wa CCM ambao nao wanalalamikiwa Kuwa wanawatolea maneno yasiyofaha wabunge wa upinzani.

Pia Spika Ndugai na Dk.Tulia jiepusheni na tuhuma zinazowaandama  hasa wewe Naibu Spika Dk.Tulia Kuwa unatumiwa na serikali Kwani msipojiepusha nazo kama ni kweli hamtoaminika.

Mimi binafsi sina ushahidi na Hilo ila ukweli mnaujua Nyie .Ila kama ni kweli wakati mkitekeleza majukumu yenu ndani ya Bunge jaribuni  Kuwa 'umpire' , yaani muwe katikati yaani refa ,msionyeshe Kupendelea upande wowote .

Aidha na Nyie wabunge wakorofi, msiotaka  kuheshimu Kanuni,Sheria Mabadilike anze ni Kujenga Utamaduni wa kuheshimu Kanuni na Kujenga Utamaduni wa kuvumilia.

Sheria, Kanuni zipo tena mmezitunga wenyewe ,mziiti na mziheshimu mkishindwa kufanya hivyo Mkae mkijua Naibu Spika Dk.Tulia ni Mhadhiri wa Sheria hivyo sidhani  atakubali kuona Kanuni na Sheria mnazivunja awache  bila kuwachukulia Hatua.

Wabunge  Saba Tayari wameishaadhibiwa bila kujali Umaarufu  wao, na Bunge linaendelea vizuri bila wao kuwepo na Matokeo yake Jamii hivi sasa inawachukulia ni wabunge hao saba wahuni ambao wamepatikana na hatia ya kudharau mamlaka ya Spika .

Mwisho nawashauri wabunge 'wahuni au wabunge wafungwa,Tulieni mtu mike Adhabu Zenu kwa ni dhamu.

Tabia  ya baadhi yenu kukaa Kwenye mitandao na kuwatafuta mazuzu huko mitaani wawatetee kwa Jamii kupitia Mlango wa nyuma ili muonekane mmeonewa haitowasaidia Kabisa maana Mimi Binfasi tangu Juzi nimekuwa nikipambana vikali na baadhi ya watu tena wengine wakiwa waandishi wakongwe ambao walikuwa wanajaribu kupotosha ukweli wa hukumu hiyo ya Kamati ya Haki ,Madaraka ya Bunge inayoongozwa na George Mkuchika kwasababu za kijinga tu kisa wana  mahusiano na wabunge Hao, waandishi Hao ni wanachama wa baadhi Chama wanachotoka baadhi ya wabunge wahuni .Na wamefyata Mkia.

Na Mbaya zaidi nakala ya uamuzi wa Bunge ipo inayooelezwa makosa mliyotenda ,Kanuni iliyomtumika  kuwaadhibu, lini mlifanya makosa hayo.

Hivyo Tulieni Nyie wabunge wahuni mtumikie Adhabu yenu iliyotokana na matendo ya kihuni mliyoyatenda ndani ya Bunge Januari 27 Mwaka huu, mkavunja Kanuni na kudharau mamlaka ya Spika wakati kwa hadhi yenu hamkumpaswa kujivunjia heshima kwa kutenda uhuni ule wa kudharau mamlaka ya Spika .

Ifike mahala Utawala wa Sheria uheshimiwe kwa vitendo.Na Ieleweke kwamba Bunge sio kijiwe wala genge la wahuni.Bunge ni sehemu tukufu ambalo wabunge wenye akili timamu wanakutana  Katika Ubunge kujadili mambo yanayohusu mustakabali wa Taifa la Tanzania.

Mungu ibariki Tanzania

Facebook: Happy Katabazi
Blogg: www.katabazihappy.blogspot.com
0716 774494
1/6/2016.



















Sent from my iPad

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] HEKO BUNGE KWA KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI"

[wanabidii] HEKO BUNGE KWA KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI

HEKO BUNGE KWA KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI

Na Happiness Katabazi

MHUNI ni neno linalotumika wakati mwingine kumtambulisha mtu Mfulani Kuwa mhuni kwasababu hadhi yake haimruhusu kutenda matendo ya kihuni sehemu usiyostahili Kutenda matendo ya kihuni yakiwemo matendo ya kuvunja Sheria, ustaarabu, miiko na Kutenda matendo yanayothibitisha kudharau mamlaka Fulani wakati kuna Sheria ,Kanuni, Taratibu na busara azimruhusu Kutenda matendo ya kihuni.

Nimelazimika kutumia neno mhuni kwasababu makala yangu ya Leo itajadili "Azimio la Bunge kuhusu Adhabu kwa wabunge waliofanya vurugu na Bungeni na kudharau mamlaka ya Spika Katika Kikao cha pili cha mkutano wa pili wa Bunge ,27/1/2016"

Uamuzi huo wa Bunge uliotolewa Bungeni Dodoma, Mei 30 Mwaka huu , chini ya Kifungu cha 30A(1) cha Sheria ya Haki,Kinga na Madaraka ya Bunge Sura ya 296 na Kanuni ya 74(4) na (6).

Kwa mujibu wa nakala ya azimio Hilo la Bunge linasomeka kama ifuatavyo;

" Na Kwa Kuwa ,Sheria na Kanuni hizo zimeweka Masharti Kuhusu utaratibu Unatakiwa kufuatwa Katika majadiliano Bungeni na kwamba Katika majadiliano hayo, Wabunge wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika;

" Na kwa Kuwa siku ,Siku ya tarehe 27 Januari 2016 baadhi ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni walifanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika ;

"Na kwa Kuwa , Mheshimiwa Spika alipeleka suala la baadhi ya wabunge Hao kufanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika Kwenye Kamati ya Haki ,Maadili na Madaraka ya kuwataja wabunge wafuatao;

" Ester Bulaya ,Tundu Lissu waliudhurie vikao vyote Vya mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyobaki kaunzia Mei 30 Mwaka huu pamoja na vikao vyote Vya mkutano wa nne wa Bunge la 11 kwa Kuwa walipatikana NA makosa ya ukiukwaji wa Kanuni na Kuonyesha dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika na pia walihusika kwa kiasi kikubwa kuchochea vurugu zilizotokea siku ya 27/1/ 2016 ;

"Aidha Bunge limeadhimia wabunge Pauline Gekul,GodblessLema,Kabwe Zitto na Halima Mdee ,waliudhurie vikao vyote Vya Mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyosalia kuanzia Mei 30 Mwaka huu ,kwa walifanya vitendo ambavyo ni Vya utovu wa nidhamu na dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika. Vitendo hivyo Vya vurugu walivyovifanya vilisababisha kuvurugika kwa shughuli za Bunge."

Binafsi Naunga mkono azimio Hilo la Bunge la kuwapatia Adhabu hiyo wabunge hao Saba waliopatikana na hatia ya kuvunja Kanuni ya Bunge kwa Kutenda matendo Yao ya kihuni ndani ya Bunge ya kudharau nafasi ya Spika.

Nikiwa ni muumini wa Sheria ambaye nakerwa na tabia ya watu wasiyo penda kutii Sheria bila shuruti wakiwemo baadhi ya wabunge wetu ambao ni watunga Sheria lakini wameamua kujifanya ni wahuni na bila aibu uhuni huo wamekuwa wakiupeleka hadi ndani ya Bunge ambalo mambo mengi ya mustakabali wa taifa letu yanajadiliwa humo .

Enzi za Utawala wa Spika Mstaafu Anne Makinda enzi za utawala wa serikali ya awamu ya nne niliwahi kuandika makala zaidi ya mbili za kukemea tabia chafu na za kihuni zinazofanywa na baadhi ya wabunge wa CCM na upinzani bila mafanikio yoyote Matokeo.

Lakini Mei 30 Mwaka huu, Bunge letu chini ya Spika mpya Job Ndugai ' Mzee Kifimbo cheza' Mhadhiri wa Sheria Naibu Spika Dk.Tulia Ackson wameamua kuacha kulea wabunge wanaofanya matendo ya kihuni ndani ya Bunge na imewapatia Adhabu ya Kifungo cha kutoudhuria vikao Kadhaa Vya Bunge.Safi.

Ifike mahali baadhi ya wabunge mnajifanya sijui mnawazimu vichwani Muweke pembeni huo wazimu wenu na mjue kabisa hizi siyo zama zile mlizokuwa mmezoea kufanya uhuni ndani ya Bunge Mnachekewa na kuachwa bila kuchukuliwa Hatua.

Kila zama na kitabu Chake , mtambue kabisa kwanza Watanzania wenye akili timamu Tunawafahamu kwa Majina baadhi ya wabunge wanaofanya vitendo Vya kihuni bungeni licha Bunge halionyeshwi Live ila kwa kuwa mhuni ni mhuni baadhi yenu mmekuwa mkitumia simu Zenu kurekodi sauti Zenu mnapata michango yenu bungeni na wakati huo kuna sauti za baadhi ya wabunge wahuni wanaowaunga mkono wanatoa manasikika wakitoa maneno ya kihuni ndani ya Bunge.Upuuzi mtupu.

Hivi hata siku Moja kwanini msijipe muda Mkae chini mkatafakari ni Kwanini wanasiasa hasa wabunge zama hizi mnadhaurika sana Mbele ya Jamii ya watu wastaarabu , wasomi ?

Ni kwasababu baadhi yenu hamjiheshimu ,hamuheshimi Kanuni zinazowaongoza, mnatenda matendo ya ovyo ndani ya Bunge tena wazi wazi .

Sasa kama Nyie baadhi ya wabunge tena ni watunga Sheria mnakuwa wa kwanza kunajisi Sheria,Kanuni na kudharau Kiti cha Spika mnafikiri huku nje watu watawaheshimu?

Bunge limewekwa thamani nzuri za gharama ukilinganisha na thamani za Hali ya chini zilizopo Katika Mahakama zetu nchini.

Lakini wananchi,Mahakimu wanakuwa na heshima ya Hali ya juu na hawatendi mambo ya kipuuzi wakati kesi zikiendelea au wawapo nje ya viwanja vya mahakama licha baadhi ya mahakama majengo yake ni mabovu.

Ni kwasababu mahakimu, majaji na watumishi wa mahakama wanajiheshimu sana ndiyo maana hata wananchi hawadharau huo mhilimi wa mahakama wanauheshimu na kuogopa pia.

Bungeni kule kwasababu baadhi ya Maspika walilegeza kamba sana wakaruhusu baadhi ya wabunge wafanye matendo ya kihuni ndani ya bunge ya kuvunja kanuni, kubwatuka ovyo matokeo yake leo hii wabunge mnasemwa vibaya na kudharauliwa .

Mfano wanasheria wakutanapo wanapojadili mambo yao wanamtaka mwanasheria mwenzao ajadili kama msomi wa sheria azungumze kwa vielelezo aache kuwa kama mwanasiasa ambao wanazungumza porojo .

Zitto na wabunge wenzake wamepewa adhabu hiyo kwa mujibu wa Kanuni alali za Bunge na walistahili kupewa Adhabu hiyo .

Kwasababu wametenda matendo ya kihuni ambayo siyo tu yaliiletea rabsha bungeni pia Adhabu hiyo imewashushia heshima Mbele ya Jamii kwasababu sasa tunahaki ya kuwaita wabunge wahuni ambao wamevunja Kanuni za Bunge kutoka na Adhabu hiyo ya Bunge.

Hivyo Napingana na wale wote wanaosema wabunge walioadhibiwa yaani Zitto na wenzake wameonewa, eti ni kosa Lao la kwanza hivyo Adhabu waliyopewa ni kubwa halikustahili, ni mikakati wa serikali ya CCM kwa kumtumia Naibu Spika Dk.Tulia Kuwafunga midomo wapinzani bungeni,Adhabu hiyo inanyima Haki wabunge Hao kuingia bungeni kuwawakilisha wananchi. upuuzi mtupu tena wa aina yake.

Kama Adhabu hiyo kweli ina Lengo la Kufunga midomo ya wapinzani bungeni ,Mbona haijatolewa kwa wabunge wote wa upinzani?mbona bado wabunge wa upinzani Jana Tumewashuhudia wakiendelea kutoa michango Yao ndani ya Bunge bila kubughudhiwa?

Hoja kuhusu wabunge Hao walioadhibiwa Kuwa Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imepotezwa kutokana na Adhabu hiyo ya Bunge, haina mashiko kwasababu kwanza kabla ya adhabu kutolewa ,walipewa haki zao zote ikiwemo haki ya kuitwa, kuelezwa kosa na wakajieleza na hatimaye hukumu imetolewa na wamepatikana na hatia na makosa waliyotuhumiwa nao.

Katiba ya nchi yetu inatoa haki kwa wananchi wake na pia Katiba hiyo hiyo inatoa wajibu kwa wananchi wake.Huwezi kudai haki yako bila kutimiza wajibu wako.

Wanasheria wanasema Haki yako inapoishia ndiyo Haki ya mwenzake inaooanzia.Hao wabunge walikuwa wanatumia Haki Yao ya kutoa mawazo Yao kwa mujibu wa a ibara ya 18 (a) ya Katiba ya Nchi ya Mwaka 1977 lakini pia Haki hiyo inaendana na wajibu .Na pia

Kwa Mujibu wa Kanuni ya 74(4)(6) ya Sheria ya Haki ,Kinga Maadili ya Bunge Inawataka wabunge wakati Katika majadiliano ndani ya Bung wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika.

Sasa hawa wabunge 'wafungwa,wahuni' walishindwa kutimiza wajibu huo wa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika walitenda matendo ya kihuni yaliyosababisha wakashindwa Kutimiza wajibu wao ndiyo maana wameadhibiwa na Bunge.

Kwa hiyo hoja ya Kudai Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imeporwa,uamuzi huo ni ukandamizaji wa kidemokrasia ni ya kipuuzi kabisa.

Wametenda makosa ,wakaadhiwa.Kama walikuwa wanaipenda sana hiyo Haki yao ya kuwawakilisha wapiga kula wao bungeni kwanini walishindwa kutimiza wajibu wao kuheshimu mamlaka ya Spika ?

Na Ieleweke wazi Wapiga kura wa wabunge Hao hawakuwatuma wabunge hao wahuni kwenda Bunge kuwasemea matatizo Yao Kwanjia za kihuni ,kunajisi Kanuni za Bunge.

Bali wananchi waliwatuma wabunge Hao wakawawakilishe Wapiga kura wao kwa kufuata Sheria ,Kanuni na Taratibu Wawapo ndani ya Bunge.

Tanzania ni Taifa linaloongozwa kwa mujibu wa Sheria na siyo vinginevyo .Na Ibara ya 13 ( 1) ya Katiba ya nchi inasomeka hivi ; " Watu wote ni sawa Mbele ya Sheria Na wanayo Haki ,bila ya ubaguzi wowote kulindwa na kupata Haki sawa Mbele ya Sheria".

Kwa Tafsiri ya Ibara hiyo wabunge 'wafungwa' hawakuwa juu ya Sheria licha ni watunga Sheria wameadhibiwa kwa mujibu wa Sheria kwasababu Ibara hiyo ya 13 (1) ya Katiba inatoa Usawa Mbele ya Sheria .

Wameadhibiwa kwasababu wa mepatikana na hatia za Kutenda kosa na kisheria huwezi kumshitaki mtu hadi ukamtia hatiani bila kuwepo na kosa liloandishwa kwa mujibu wa Sheria ,Kanuni.

Hivyo Adhabu iwe ni Funzo kwa wabunge ' Wafungwa 'kama wanapenda kujifunza lakini,na wabunge wengine wawe wa CCM na vyama vya upinzani maana ndani ya bunge pia kuna wabunge wa CCM na wamekuwa wakitoa maneno yasiyo faa kwa wabunge wa upinzani licha hatujaona wakichukuliwa Hatua kama hizo na kupewa Adhabu .

Tambueni Hilo Bunge ni Chombo kilichoanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 62 (1)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 nikasome sekta hiki ;

" Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili,Rais na Wabunge".

Na ibara 33(1) ya Katiba ya nchi inasomeka ;" Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano .

Ibara 33(2) ya Katiba hiyo inasema : " Rais atakuwa Mkuu wa Nchi , Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.".


Hivyo nyie baadhi ya wabunge na wanaharakati uchwara mtambue vyema Kuwa Rais ni sehemu ya Bunge licha pia ndiyo Mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali na Amir Jeshi Mkuu.

Hivyo mtakayoyafanya humo bungeni Ana Haki ya kuyafahamu kwasababu Na yeye ni sehemu ya Bunge .

Na Rais Magufuli Katika Kipindi hiki anacho endelea kuijenga serikali na kuakikisha ahadi zote alizozitoa kwa wananchi Katika Kampeni za uchaguzi Mkuu Mwaka 2015 wakati akiomba a chaguliwa Kuwa rais , nilazima pia kuendane sambamba na yeye na safu yake kuisuka pia mihimili mingine ambayo ni Bunge na Mahakama.Kwani yeye Rais ni sehemu ya Bunge na hakatazwi kuwafanya mawasiliano ya wazi,Siri na Spika na Naibu Spika wake.

Nchi haiendeshwi kihuni kama mnavyozani,huwezi Kuwa na serikali imara halafu serikali hiyo ikubali Kuwa na Bunge la ovyo ovyo .Nchi itayumba .

Tunataka Bunge imara ambalo lina wabunge imara Ambao wanajua Kujenga hoja bila kufanya vitendo vya kihuni ndani ya bunge ili Tujenge nchi yenye uwajibikaji.

Kuwa mwanasiasa sio tiketi ya kufanya vitendo Vya kihuni, kuvunja Kanuni kwa kisingizio Kuwa eti Naibu Spika, Spika wanapendelea CCM au wanatumiwa na Mhimili wa Serikali kugandamiza wapinzani .

Muunganwa asifiwi ushenzi, hata kama ni kweli Spika, Naibu Spika wanatumika na serikali ,wanawagandamiza wapinzani, wabunge wa upinzani mlipaswa mtumie njia sahihi kupinga vitendo hivyo Vya Naibu Spika na Spika kuliko kuamua kuvunja Kanuni Matokeo yake hata kama ni kweli hoja Zenu zilikuwa ni za Msingi ,mmeishazipoteza, mmeadhibiwa.

Mimi Mwenyewe siungi mkono Bunge kuto onyesha Live lakini hata siku Moja sijawahi kufanya vitendo Vya Uvunjifu wa Sheria Kuonyesha napingana uamuzi wa Bunge wa kukataa Bunge lisionyweshwe Live.

Hakuna ubishi CHADEMA ya sasa baada ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 kumalizika siyo Chadema ya Kipindi kile iliyokuwa imestawi, Chadema ya sasa tuwe wa kweli tu najua baadhi ya wafuasi wengine wa Chadema wana Maradhi ya kutokubali Chama chao kikosolewe watapinga , Chadema hivi sasa ni kama imepoteza dira na Taratibu Umaarufu wake utapungua.Huo Ndio ukweli mchungu.

Kambi ya upinzani Bungeni katika Utawala huu wa serikali ya awamu ya Tano,chini ya Rais Magufuli ,imeyumba sana .

Tazama Katika ukurasa wa Facebook wa Zitto Kabwe utetezi wake kuhusu Adhabu hiyo waliyopewa ni sawa na wa mtoto Mdogo ambaye ametega kwenda shule Akaamua kwenda kinyemeleza ziwani kuvua Samaki
Wajinga wachache ndiyo wanaamini utetezi wake wake Kwenye mitandao usiyo kuwa na kichwa wa miguu.

Zitto hafai Kuwa kiongozi anafaha Kuwa Mwanaharakati. Zitto na Chadema wapi na wapi?Kwanza sera za Chama Chake cha ACT Wazalendo na Chadema ni tofauti. Ajabu sana!

Mbunge wa Bunda (Chadema ) Esta Bulaya namchukulia kama ni mwanasiasa kijana aliyepotea mwelekeo .

Aiingii akilini haraka ,Bulaya Huyo Aliyehama CCM Mwaka Jana akajiunga na Chadema licha ni Haki yake kwa mujibu wa Ibara ya 20(1) ya Katiba ya nchi ya kujiunga na Chama chochote anachokitaka .

Siasa za kiuanaharakati uchwara anazozifanya Bulaya tangu ajiunge na Chadema zimeshindwa kumpambanua Lengo lake analolitaka Katika ulingo wa siasa ni lipia zaidi ya Kufanikiwa Mzee wa Steven Wassira na kufanikiwa kurudi bungeni kwa awamu ya pili.

Bulaya ameshindwa kuleta Mageuzi yanayowavutia wanawake vijana wavutiwe naye zaidi ya kila kukicha kutoka nje ya Bunge na Kulalamika Katika vyombo Vya Habari kwasauti ya juu Mithili ya mtu aliyepandisha mashetani.

Mfano mzuri ni wa Mama Samia Suluhu alipokuwa Mbunge, waziri alichaguliwa Kuwa Naibu Spika Bunge Maalum la Katiba licha ni mwanamke alikuwa na staha ,unyeyekevu na aliweza kushirikiana na Spika wake Samwel Sitta kuliendesha Bunge lile lilokuwa lina vioja Vya kila aina .

Na mwisho CCM Mwaka Jana ikampendekeza Kuwa Mgombea Mwenza wa kwanza mwanamke tangu CCM ianzishwe na ndiyo amekuwa Makamu wa Rais wa kwanza Tanzania,tangu Tanzania ipate Uhuru.

Leo hii wanawake tu namchukulia Samia kama mfano bora wa wanawake wanaweza kwasababu wakati alipokuwa mbunge ,Naibu Spika hakufanya ufedhuli wa kudharau Kanuni kama Nyie baadhi ya wabunge wanawake vijana Bulaya, Mdee mnavyomfanya ufedhuli ndani na nje Bunge hadi mmeadhibiwa.

Leo hii Nyie wanasiasa wanawake vijana mmeshindwa Kujenga matumaini kwa wanawake vijana ili waige kutoka kwenu zaidi zaidi hivi sasa Mara kwa Mara mmekuwa mkionekana Kwenye Televisheni mkibwatuka tu ,kuropokaropoka hivyo kujitengenezea sifa Mbaya ambazo hamstahili Kuwa nazo kama wabunge wa kuchaguliwa wanawake vijana.

Angalau hivi sasa Mbunge wa Arusha Mjini( Chadema) , Godbless Lema Ukimtazama na kumsikiliza wakati akitoa baadhi ya michango yake ndani ya Bunge unapenda unamsikiliza licha U Lema wake bado haujamtoka.

Lema angeweza kuandaliwa na Chama Chake angeweza kuipeleka Mbele Chadema .

Hivi sasa Lema anaonekana ameanza kukomaa kisiasa ,ule uhuni wake wa zamani wa kuongea ovyo,umeanza kumtoka.Hakika Godbles Lema amebadilika kidogo.

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Freeman Mbowe Leo hii Hana sauti zaidi ya wabunge wahuni .Simsikii Mbowe akitoa matamko ya Kujenga Chama kama awali.Kulikoni?

Ni hitimishe kwa Kulishauri Bunge hizo Kanuni walizotumia wa kuwadhibu wabunge Hao Saba wa upinzani, basi Mbele ya safari pia zitumike kuwaadhibu baadhi ya wabunge wa CCM ambao nao wanalalamikiwa Kuwa wanawatolea maneno yasiyofaha wabunge wa upinzani.

Pia Spika Ndugai na Dk.Tulia jiepusheni na tuhuma zinazowaandama hasa wewe Naibu Spika Dk.Tulia Kuwa unatumiwa na serikali Kwani msipojiepusha nazo kama ni kweli hamtoaminika.

Mimi binafsi sina ushahidi na Hilo ila ukweli mnaujua Nyie .Ila kama ni kweli wakati mkitekeleza majukumu yenu ndani ya Bunge jaribuni Kuwa 'umpire' , yaani muwe katikati yaani refa ,msionyeshe Kupendelea upande wowote .

Aidha na Nyie wabunge wakorofi, msiotaka kuheshimu Kanuni,Sheria Mabadilike anze ni Kujenga Utamaduni wa kuheshimu Kanuni na Kujenga Utamaduni wa kuvumilia.

Sheria, Kanuni zipo tena mmezitunga wenyewe ,mziiti na mziheshimu mkishindwa kufanya hivyo Mkae mkijua Naibu Spika Dk.Tulia ni Mhadhiri wa Sheria hivyo sidhani atakubali kuona Kanuni na Sheria mnazivunja awache bila kuwachukulia Hatua.

Wabunge Saba Tayari wameishaadhibiwa bila kujali Umaarufu wao, na Bunge linaendelea vizuri bila wao kuwepo na Matokeo yake Jamii hivi sasa inawachukulia ni wabunge hao saba wahuni ambao wamepatikana na hatia ya kudharau mamlaka ya Spika .

Mwisho nawashauri wabunge 'wahuni au wabunge wafungwa,Tulieni mtu mike Adhabu Zenu kwa ni dhamu.

Tabia ya baadhi yenu kukaa Kwenye mitandao na kuwatafuta mazuzu huko mitaani wawatetee kwa Jamii kupitia Mlango wa nyuma ili muonekane mmeonewa haitowasaidia Kabisa maana Mimi Binfasi tangu Juzi nimekuwa nikipambana vikali na baadhi ya watu tena wengine wakiwa waandishi wakongwe ambao walikuwa wanajaribu kupotosha ukweli wa hukumu hiyo ya Kamati ya Haki ,Madaraka ya Bunge inayoongozwa na George Mkuchika kwasababu za kijinga tu kisa wana mahusiano na wabunge Hao, waandishi Hao ni wanachama wa baadhi Chama wanachotoka baadhi ya wabunge wahuni .Na wamefyata Mkia.

Na Mbaya zaidi nakala ya uamuzi wa Bunge ipo inayooelezwa makosa mliyotenda ,Kanuni iliyomtumika kuwaadhibu, lini mlifanya makosa hayo.

Hivyo Tulieni Nyie wabunge wahuni mtumikie Adhabu yenu iliyotokana na matendo ya kihuni mliyoyatenda ndani ya Bunge Januari 27 Mwaka huu, mkavunja Kanuni na kudharau mamlaka ya Spika wakati kwa hadhi yenu hamkumpaswa kujivunjia heshima kwa kutenda uhuni ule wa kudharau mamlaka ya Spika .

Ifike mahala Utawala wa Sheria uheshimiwe kwa vitendo.Na Ieleweke kwamba Bunge sio kijiwe wala genge la wahuni.Bunge ni sehemu tukufu ambalo wabunge wenye akili timamu wanakutana Katika Ubunge kujadili mambo yanayohusu mustakabali wa Taifa la Tanzania.

Mungu ibariki Tanzania

Facebook: Happy Katabazi
Blogg: www.katabazihappy.blogspot.com
0716 774494
1/6/2016.



















Sent from my iPad

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] HEKO BUNGE KWA KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI"

[wanabidii] HEKO BUNGE KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI


HEKO BUNGE KWA KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI 

Na Happiness Katabazi

MHUNI ni neno linalotumika wakati mwingine kumtambulisha mtu Mfulani Kuwa mhuni kwasababu hadhi yake haimruhusu kutenda matendo ya kihuni sehemu usiyostahili Kutenda matendo ya kihuni  yakiwemo matendo ya kuvunja Sheria, ustaarabu, miiko na Kutenda matendo yanayothibitisha kudharau mamlaka Fulani wakati kuna Sheria ,Kanuni, Taratibu na busara azimruhusu Kutenda matendo ya kihuni.

Nimelazimika  kutumia neno mhuni kwasababu makala yangu ya Leo itajadili "Azimio la Bunge kuhusu Adhabu kwa wabunge waliofanya vurugu na Bungeni na kudharau mamlaka ya Spika Katika Kikao cha pili  cha mkutano wa pili wa Bunge  ,27/1/2016"

Uamuzi huo wa Bunge uliotolewa Bungeni Dodoma, Mei 30 Mwaka huu , chini ya Kifungu  cha 30A(1) cha Sheria ya Haki,Kinga na Madaraka ya Bunge  Sura ya 296 na Kanuni ya 74(4) na (6).

Kwa mujibu wa nakala ya azimio Hilo la Bunge linasomeka kama ifuatavyo; 

" Na Kwa Kuwa ,Sheria na Kanuni hizo zimeweka Masharti Kuhusu utaratibu Unatakiwa kufuatwa Katika majadiliano Bungeni na kwamba Katika majadiliano hayo, Wabunge wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika;

" Na kwa Kuwa siku ,Siku ya tarehe 27 Januari 2016 baadhi ya Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni walifanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika ;

"Na kwa Kuwa , Mheshimiwa Spika alipeleka suala la baadhi ya wabunge Hao kufanya vurugu na kudharau mamlaka ya Spika Kwenye Kamati ya Haki ,Maadili na Madaraka ya kuwataja wabunge wafuatao;

" Ester Bulaya ,Tundu Lissu waliudhurie vikao vyote Vya mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyobaki kaunzia Mei 30 Mwaka huu pamoja na vikao vyote Vya mkutano wa nne wa Bunge la 11 kwa Kuwa walipatikana NA makosa ya ukiukwaji wa Kanuni na Kuonyesha dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika na pia walihusika kwa kiasi kikubwa kuchochea vurugu zilizotokea siku ya 27/1/ 2016 ;

"Aidha Bunge limeadhimia wabunge Pauline Gekul,GodblessLema,Kabwe Zitto na Halima Mdee ,waliudhurie vikao vyote Vya Mkutano wa Tatu wa Bunge la 11 vilivyosalia kuanzia Mei 30 Mwaka huu ,kwa walifanya vitendo ambavyo ni Vya utovu wa nidhamu na dharau kubwa kwa Mamlaka ya Spika. Vitendo hivyo Vya vurugu walivyovifanya vilisababisha kuvurugika kwa shughuli za Bunge."

Binafsi Naunga mkono azimio Hilo la Bunge la kuwapatia Adhabu hiyo wabunge hao Saba  waliopatikana na hatia ya kuvunja Kanuni ya Bunge kwa Kutenda matendo Yao ya kihuni ndani ya Bunge ya kudharau nafasi ya Spika.

Nikiwa ni muumini wa Sheria ambaye nakerwa na tabia ya watu wasiyo penda  kutii Sheria bila shuruti wakiwemo baadhi ya wabunge wetu ambao ni watunga Sheria lakini wameamua kujifanya ni wahuni na bila aibu uhuni huo wamekuwa wakiupeleka hadi ndani ya Bunge ambalo mambo mengi ya mustakabali wa taifa letu yanajadiliwa humo .

Enzi za Utawala wa Spika Mstaafu Anne Makinda enzi za utawala wa serikali ya awamu ya nne niliwahi kuandika makala zaidi ya mbili za kukemea tabia chafu na za kihuni  zinazofanywa na baadhi ya wabunge wa CCM na upinzani bila mafanikio yoyote Matokeo.

Lakini Mei 30 Mwaka huu, Bunge letu chini ya Spika mpya Job Ndugai ' Mzee Kifimbo cheza' Mhadhiri wa Sheria Naibu Spika Dk.Tulia Ackson wameamua kuacha kulea  wabunge wanaofanya matendo ya kihuni ndani ya Bunge na imewapatia Adhabu ya Kifungo cha kutoudhuria vikao Kadhaa Vya Bunge.Safi.

Ifike mahali baadhi ya wabunge mnajifanya sijui mnawazimu vichwani Muweke pembeni huo wazimu wenu na mjue kabisa hizi siyo zama zile mlizokuwa mmezoea kufanya uhuni ndani ya Bunge Mnachekewa na kuachwa bila kuchukuliwa Hatua.

Kila zama na kitabu Chake , mtambue kabisa kwanza Watanzania wenye akili timamu Tunawafahamu kwa Majina baadhi ya wabunge wanaofanya vitendo Vya kihuni bungeni licha Bunge halionyeshwi Live ila kwa kuwa mhuni ni mhuni baadhi yenu mmekuwa mkitumia simu Zenu kurekodi sauti Zenu mnapata michango yenu bungeni na wakati huo kuna sauti za baadhi ya wabunge wahuni wanaowaunga mkono wanatoa manasikika wakitoa maneno ya kihuni ndani ya Bunge.Upuuzi mtupu.

Hivi hata siku Moja kwanini msijipe muda Mkae  chini mkatafakari ni Kwanini wanasiasa hasa wabunge zama hizi mnadhaurika sana Mbele ya Jamii ya watu wastaarabu , wasomi ?

Ni kwasababu baadhi yenu hamjiheshimu ,hamuheshimi Kanuni zinazowaongoza, mnatenda matendo ya ovyo ndani ya Bunge tena wazi wazi .

Sasa kama Nyie baadhi ya wabunge tena ni watunga Sheria mnakuwa wa kwanza kunajisi  Sheria,Kanuni na kudharau Kiti cha Spika mnafikiri huku nje watu watawaheshimu?

Bunge limewekwa thamani nzuri za gharama ukilinganisha na thamani za Hali ya chini zilizopo Katika Mahakama zetu nchini. 

Lakini wananchi,Mahakimu wanakuwa na heshima ya Hali ya juu na hawatendi mambo ya kipuuzi wakati kesi zikiendelea au wawapo nje ya viwanja vya mahakama licha  baadhi ya mahakama majengo yake ni mabovu.

Ni kwasababu mahakimu, majaji na watumishi wa mahakama wanajiheshimu sana ndiyo maana hata wananchi hawadharau huo mhilimi wa mahakama wanauheshimu na kuogopa pia.

Bungeni kule kwasababu baadhi ya Maspika walilegeza kamba sana wakaruhusu baadhi ya wabunge wafanye matendo ya kihuni ndani ya bunge ya kuvunja kanuni, kubwatuka ovyo matokeo yake leo hii wabunge mnasemwa vibaya na kudharauliwa .

Mfano wanasheria wakutanapo wanapojadili mambo yao wanamtaka mwanasheria mwenzao ajadili kama msomi wa sheria azungumze kwa vielelezo aache kuwa kama mwanasiasa ambao wanazungumza porojo .

Zitto na wabunge wenzake wamepewa adhabu hiyo kwa mujibu wa Kanuni alali za Bunge na walistahili kupewa Adhabu hiyo .

Kwasababu  wametenda matendo ya kihuni ambayo siyo tu yaliiletea rabsha bungeni pia Adhabu hiyo imewashushia heshima Mbele ya Jamii kwasababu sasa tunahaki ya kuwaita wabunge wahuni ambao  wamevunja Kanuni za Bunge kutoka na Adhabu hiyo ya Bunge.

Hivyo Napingana na wale wote wanaosema wabunge walioadhibiwa yaani Zitto na wenzake wameonewa, eti ni kosa Lao la kwanza hivyo Adhabu waliyopewa ni kubwa halikustahili, ni mikakati wa serikali ya CCM kwa kumtumia Naibu Spika Dk.Tulia Kuwafunga midomo wapinzani bungeni,Adhabu hiyo inanyima Haki wabunge Hao kuingia bungeni kuwawakilisha wananchi. upuuzi mtupu tena wa aina yake.

Kama Adhabu hiyo kweli ina Lengo la Kufunga midomo ya wapinzani bungeni ,Mbona haijatolewa kwa wabunge wote wa upinzani?mbona bado wabunge wa upinzani Jana Tumewashuhudia wakiendelea kutoa michango Yao ndani ya Bunge bila kubughudhiwa?

Hoja kuhusu  wabunge Hao walioadhibiwa Kuwa Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imepotezwa kutokana na Adhabu hiyo ya Bunge, haina mashiko kwasababu kwanza kabla ya adhabu kutolewa ,walipewa haki zao zote ikiwemo haki ya kuitwa, kuelezwa kosa na wakajieleza na hatimaye hukumu imetolewa na wamepatikana na hatia na makosa waliyotuhumiwa nao.

Katiba ya nchi yetu inatoa haki kwa wananchi wake na pia Katiba hiyo hiyo inatoa wajibu kwa wananchi wake.Huwezi kudai haki yako bila kutimiza wajibu wako.

Wanasheria wanasema Haki yako inapoishia ndiyo Haki ya mwenzake inaooanzia.Hao wabunge walikuwa wanatumia Haki Yao ya kutoa mawazo Yao kwa mujibu wa a ibara ya 18 (a) ya Katiba ya Nchi ya Mwaka 1977 lakini pia Haki hiyo inaendana na wajibu .Na pia 

Kwa Mujibu wa  Kanuni ya 74(4)(6) ya Sheria ya Haki ,Kinga Maadili ya Bunge  Inawataka wabunge wakati Katika majadiliano ndani ya Bung wanapaswa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika.

Sasa hawa wabunge 'wafungwa,wahuni' walishindwa kutimiza wajibu huo wa kuheshimu na kutii mamlaka ya Spika walitenda matendo ya kihuni yaliyosababisha wakashindwa Kutimiza wajibu wao ndiyo maana wameadhibiwa na Bunge.

Kwa hiyo hoja ya Kudai Haki Yao ya kuwawakilisha wananchi bungeni imeporwa,uamuzi huo ni ukandamizaji wa kidemokrasia  ni ya kipuuzi kabisa.

Wametenda makosa ,wakaadhiwa.Kama walikuwa wanaipenda sana hiyo Haki  yao ya kuwawakilisha wapiga kula wao bungeni kwanini walishindwa kutimiza wajibu wao kuheshimu mamlaka ya Spika ?

Na Ieleweke wazi Wapiga kura wa wabunge Hao hawakuwatuma wabunge hao wahuni kwenda Bunge kuwasemea matatizo Yao Kwanjia za kihuni ,kunajisi Kanuni za Bunge.

Bali wananchi waliwatuma  wabunge Hao wakawawakilishe Wapiga kura wao kwa kufuata Sheria ,Kanuni na Taratibu Wawapo ndani ya Bunge.

Tanzania ni Taifa linaloongozwa kwa mujibu wa Sheria na siyo vinginevyo .Na Ibara ya 13 ( 1) ya Katiba ya nchi inasomeka hivi ; " Watu wote ni sawa Mbele ya Sheria Na wanayo Haki ,bila ya ubaguzi wowote kulindwa na kupata Haki sawa Mbele ya Sheria".

Kwa Tafsiri ya Ibara hiyo wabunge 'wafungwa' hawakuwa juu ya Sheria licha ni watunga Sheria wameadhibiwa kwa mujibu wa Sheria kwasababu Ibara hiyo ya 13 (1) ya Katiba inatoa Usawa Mbele ya Sheria .

Wameadhibiwa kwasababu wa mepatikana na hatia za Kutenda kosa na kisheria huwezi kumshitaki mtu hadi ukamtia  hatiani bila kuwepo na kosa liloandishwa kwa mujibu wa Sheria ,Kanuni.

Hivyo Adhabu iwe ni Funzo kwa wabunge  ' Wafungwa 'kama wanapenda kujifunza lakini,na wabunge wengine wawe wa CCM na vyama vya upinzani maana ndani ya bunge pia kuna wabunge wa CCM na wamekuwa wakitoa maneno yasiyo faa kwa wabunge wa upinzani licha hatujaona wakichukuliwa Hatua kama hizo na kupewa Adhabu .

Tambueni Hilo Bunge ni Chombo kilichoanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 62 (1)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 nikasome sekta hiki ; 

" Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili,Rais na Wabunge".

Na ibara 33(1) ya Katiba ya nchi inasomeka ;" Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano .

Ibara 33(2) ya Katiba hiyo inasema : " Rais atakuwa Mkuu wa Nchi , Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.".


Hivyo nyie baadhi ya wabunge na wanaharakati uchwara mtambue vyema Kuwa Rais ni sehemu ya Bunge licha pia ndiyo Mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali na Amir Jeshi Mkuu. 

Hivyo mtakayoyafanya humo bungeni Ana Haki ya kuyafahamu kwasababu Na yeye ni sehemu ya Bunge .

Na Rais  Magufuli Katika Kipindi hiki anacho endelea kuijenga serikali na kuakikisha ahadi zote alizozitoa kwa wananchi Katika Kampeni za uchaguzi Mkuu Mwaka 2015 wakati akiomba a chaguliwa Kuwa rais , nilazima pia kuendane sambamba na yeye na safu yake kuisuka  pia mihimili mingine ambayo ni Bunge na Mahakama.Kwani yeye Rais ni sehemu ya Bunge  na hakatazwi kuwafanya mawasiliano ya wazi,Siri na Spika na Naibu Spika wake.

Nchi haiendeshwi kihuni kama mnavyozani,huwezi Kuwa na serikali imara halafu serikali hiyo ikubali Kuwa na Bunge la ovyo ovyo .Nchi itayumba .

Tunataka Bunge imara ambalo lina wabunge  imara Ambao  wanajua Kujenga hoja bila kufanya vitendo vya kihuni ndani ya bunge  ili Tujenge nchi yenye uwajibikaji.

Kuwa mwanasiasa sio tiketi ya kufanya vitendo Vya kihuni, kuvunja Kanuni kwa kisingizio Kuwa eti Naibu Spika, Spika wanapendelea CCM au wanatumiwa na Mhimili wa Serikali kugandamiza wapinzani .

Muunganwa asifiwi ushenzi, hata kama ni kweli Spika, Naibu Spika wanatumika na serikali ,wanawagandamiza wapinzani, wabunge wa upinzani mlipaswa mtumie njia sahihi kupinga vitendo hivyo Vya Naibu Spika na Spika kuliko kuamua kuvunja Kanuni Matokeo yake hata kama ni kweli hoja Zenu zilikuwa ni za Msingi ,mmeishazipoteza, mmeadhibiwa.

Mimi Mwenyewe siungi mkono Bunge kuto onyesha Live lakini hata siku Moja sijawahi kufanya vitendo Vya Uvunjifu wa Sheria Kuonyesha napingana uamuzi wa Bunge wa kukataa Bunge lisionyweshwe Live. 

Hakuna ubishi CHADEMA ya sasa baada ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 kumalizika siyo Chadema ya Kipindi kile iliyokuwa imestawi, Chadema ya sasa tuwe wa kweli tu najua baadhi ya wafuasi wengine wa Chadema wana Maradhi ya kutokubali Chama chao kikosolewe watapinga , Chadema hivi sasa ni kama imepoteza dira na Taratibu Umaarufu wake utapungua.Huo Ndio ukweli mchungu.

Kambi ya upinzani Bungeni katika Utawala huu wa serikali ya awamu ya Tano,chini ya Rais Magufuli ,imeyumba sana .

Tazama Katika ukurasa wa Facebook wa  Zitto Kabwe utetezi wake kuhusu Adhabu hiyo waliyopewa ni sawa na wa mtoto Mdogo ambaye ametega kwenda shule Akaamua kwenda kinyemeleza ziwani kuvua Samaki
Wajinga wachache ndiyo wanaamini utetezi wake wake Kwenye mitandao usiyo kuwa na kichwa wa miguu.

Zitto hafai Kuwa kiongozi anafaha Kuwa Mwanaharakati. Zitto na Chadema wapi na wapi?Kwanza sera za Chama Chake cha  ACT Wazalendo na Chadema ni tofauti. Ajabu sana!

Mbunge wa Bunda (Chadema )  Esta Bulaya namchukulia kama ni mwanasiasa kijana aliyepotea mwelekeo .

Aiingii akilini haraka ,Bulaya Huyo Aliyehama CCM Mwaka Jana akajiunga na Chadema  licha ni Haki yake kwa mujibu wa Ibara ya 20(1) ya Katiba  ya nchi ya kujiunga na Chama chochote anachokitaka .

Siasa za kiuanaharakati uchwara anazozifanya Bulaya tangu ajiunge na Chadema zimeshindwa kumpambanua Lengo lake analolitaka Katika ulingo wa siasa ni lipia zaidi ya Kufanikiwa Mzee wa Steven Wassira na kufanikiwa kurudi bungeni kwa awamu ya pili.

Bulaya ameshindwa kuleta Mageuzi  yanayowavutia  wanawake vijana wavutiwe naye  zaidi ya kila kukicha kutoka nje ya Bunge na Kulalamika Katika vyombo Vya Habari  kwasauti ya juu  Mithili ya mtu aliyepandisha mashetani.

Mfano mzuri ni wa Mama Samia Suluhu alipokuwa Mbunge, waziri alichaguliwa Kuwa Naibu Spika Bunge Maalum la Katiba licha ni mwanamke alikuwa na staha ,unyeyekevu na aliweza kushirikiana na Spika wake Samwel Sitta kuliendesha Bunge lile lilokuwa lina vioja Vya kila aina .

Na mwisho CCM Mwaka Jana ikampendekeza Kuwa Mgombea Mwenza wa kwanza mwanamke tangu CCM ianzishwe na ndiyo amekuwa Makamu wa Rais wa kwanza Tanzania,tangu Tanzania ipate Uhuru.

Leo hii wanawake tu namchukulia Samia kama mfano bora wa wanawake wanaweza kwasababu wakati alipokuwa mbunge ,Naibu Spika hakufanya ufedhuli wa kudharau Kanuni kama Nyie baadhi ya wabunge  wanawake vijana Bulaya, Mdee mnavyomfanya ufedhuli ndani na nje Bunge hadi mmeadhibiwa.

Leo hii Nyie wanasiasa wanawake vijana mmeshindwa Kujenga matumaini  kwa wanawake vijana ili waige kutoka kwenu zaidi zaidi hivi sasa Mara kwa Mara mmekuwa mkionekana Kwenye Televisheni mkibwatuka tu ,kuropokaropoka hivyo  kujitengenezea sifa  Mbaya ambazo hamstahili Kuwa nazo kama wabunge wa kuchaguliwa wanawake vijana.

Angalau hivi sasa Mbunge wa Arusha Mjini( Chadema) , Godbless Lema Ukimtazama na kumsikiliza wakati akitoa baadhi ya michango  yake  ndani ya Bunge unapenda unamsikiliza licha U Lema wake bado haujamtoka.

Lema angeweza kuandaliwa na Chama Chake angeweza kuipeleka Mbele Chadema .

Hivi sasa Lema anaonekana ameanza kukomaa kisiasa ,ule uhuni wake wa zamani wa kuongea ovyo,umeanza kumtoka.Hakika Godbles  Lema amebadilika kidogo.

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Freeman Mbowe Leo hii Hana sauti zaidi ya wabunge wahuni .Simsikii Mbowe akitoa matamko ya Kujenga Chama kama awali.Kulikoni?

Ni hitimishe kwa Kulishauri Bunge hizo Kanuni walizotumia wa kuwadhibu  wabunge Hao Saba wa upinzani, basi Mbele ya safari pia zitumike kuwaadhibu baadhi ya wabunge wa CCM ambao nao wanalalamikiwa Kuwa wanawatolea maneno yasiyofaha wabunge wa upinzani.

Pia Spika Ndugai na Dk.Tulia jiepusheni na tuhuma zinazowaandama  hasa wewe Naibu Spika Dk.Tulia Kuwa unatumiwa na serikali Kwani msipojiepusha nazo kama ni kweli hamtoaminika.

Mimi binafsi sina ushahidi na Hilo ila ukweli mnaujua Nyie .Ila kama ni kweli wakati mkitekeleza majukumu yenu ndani ya Bunge jaribuni  Kuwa 'umpire' , yaani muwe katikati yaani refa ,msionyeshe Kupendelea upande wowote .

Aidha na Nyie wabunge wakorofi, msiotaka  kuheshimu Kanuni,Sheria Mabadilike anze ni Kujenga Utamaduni wa kuheshimu Kanuni na Kujenga Utamaduni wa kuvumilia.

Sheria, Kanuni zipo tena mmezitunga wenyewe ,mziiti na mziheshimu mkishindwa kufanya hivyo Mkae mkijua Naibu Spika Dk.Tulia ni Mhadhiri wa Sheria hivyo sidhani  atakubali kuona Kanuni na Sheria mnazivunja awache  bila kuwachukulia Hatua. 

Wabunge  Saba Tayari wameishaadhibiwa bila kujali Umaarufu  wao, na Bunge linaendelea vizuri bila wao kuwepo na Matokeo yake Jamii hivi sasa inawachukulia ni wabunge hao saba wahuni ambao wamepatikana na hatia ya kudharau mamlaka ya Spika .

Mwisho nawashauri wabunge 'wahuni au wabunge wafungwa,Tulieni mtu mike Adhabu Zenu kwa ni dhamu.

Tabia  ya baadhi yenu kukaa Kwenye mitandao na kuwatafuta mazuzu huko mitaani wawatetee kwa Jamii kupitia Mlango wa nyuma ili muonekane mmeonewa haitowasaidia Kabisa maana Mimi Binfasi tangu Juzi nimekuwa nikipambana vikali na baadhi ya watu tena wengine wakiwa waandishi wakongwe ambao walikuwa wanajaribu kupotosha ukweli wa hukumu hiyo ya Kamati ya Haki ,Madaraka ya Bunge inayoongozwa na George Mkuchika kwasababu za kijinga tu kisa wana  mahusiano na wabunge Hao, waandishi Hao ni wanachama wa baadhi Chama wanachotoka baadhi ya wabunge wahuni .Na wamefyata Mkia.

Na Mbaya zaidi nakala ya uamuzi wa Bunge ipo inayooelezwa makosa mliyotenda ,Kanuni iliyomtumika  kuwaadhibu, lini mlifanya makosa hayo.

Hivyo Tulieni Nyie wabunge wahuni mtumikie Adhabu yenu iliyotokana na matendo ya kihuni mliyoyatenda ndani ya Bunge Januari 27 Mwaka huu, mkavunja Kanuni na kudharau mamlaka ya Spika wakati kwa hadhi yenu hamkumpaswa kujivunjia heshima kwa kutenda uhuni ule wa kudharau mamlaka ya Spika .Ifike mahala Utawala wa Sheria uheshimiwe kwa vitendo.

Mungu ibariki Tanzania

Facebook: Happy Katabazi
1/6/2016.
















Sent from my iPad
Read More :- "[wanabidii] HEKO BUNGE KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI"