Saturday, 1 August 2015

Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI

Magobe
Wa kumwita fisadi ni jk msikwepeshe maneno na anatakiwa akimaliza madaraka awajibishwe kwa hilo,lowasa katoa tamko juz na ndio maana anatumiakila mbinu asikamate dla a,idhania kua jamaa atamlipiza kisas kwa jinsi akivyomchomokea.....lowasa si fisadi hata tone na kashfa ambayo inaimbwa miaka yote pekee ni hii ya richmond,for that reason kwa kua ameshaisemea wa kumtwika mzigo ni rais na luhanjo wake.
Kilichoshindijana kipindi kile ni kuogopa kuangusha dola lakini kiukweli anatakiwa awajibishwe baadae kwa kutupa mzigo huo na kujificha kwa kivuli cha presidential immunities na lowasa akatolewa kafara
Ufisadi wa lowasa haupo bali ni kumsingizia asije akainhia ili awawaibishe.....kisasi si tiba ya uongzi na bythe way wakristo hatunaga tabia ya kulipiza baya kwa baya bali baya kwa wema
Lesian

Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com> wrote:

Mkuu Mnzava2 ni kweli kwamba kutopeleka mahakamani siyo kuwa mtu hana makosa. Lakini kwa aina ya tuhuma alizo nazo Lowassa (ufisadi wa kuisababishia serikali na walipa kodi hasara ya mabilioni ya shilingi) kutopelekwa mahakamani (shtakiwa) kunaweza kuwa sababu kuwa hakuna ushahidi Lowassa kama yeye alihusika. Hivyo, huwezi kusema pia kwa vile Lowassa hajapelekwa mahakamani/shtakiwa kwa hivyo ni fisadi. Lazima tuwe na ushahidi unaomtia hatiani na kama hadi leo hii hakuna, mimi naona pia hakuna sababu ya kuendelea kumtaja yeye binafsi kama fisadi. Kama kutajitokeza ushahidi utakaoonyesha kuwa ni fisadi, mimi nitakuwa na sababu za kusema Lowassa ni fisadi. But for the time being sina sababu hizo na hivyo hata mimi nimeamua on this basis kutomwita fisadi.


2015-08-01 8:21 GMT+03:00 'mnzava2@yahoo.com' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

Kutopelekwa Mahakamani siyo kuwa mtu hana makosa. . . . Kashfa ya Richmond na nyingine nyingi bado hata mtuhumiwa mmola hajafikishwa mahakamani. Hawa CCM wakuwa na kigugumizi  kila panapo tokeakashfa za Ufisadi na ieleweke wazi kuwa hawa Mafisadi wana mtandao wa kutumia fedha nyingi ktk kuchelewesha na kuzuia mkondo wa sheria.

Nadhani wote tunakumbuka kuwa ktk kashfa ya Mramba na Yona hata mwanasheria alikuwa ni mzee Chenge! Ambaye ana tahwa ktk maeneo mengi ya ufisadi.

Hawa mafisadi wasitumie kabisa kigezo cha kutopelekwa mahakamani kama ndio kigezo cha usafi wa vitendo vyao. 


Hata Wazee Mramba na Yona walifikishwa mahakamani baada ya kipindi kirefu kupita


Sent from my LG Mobile


------ Original message------

From: 'ananilea nkya' via Wanabidii

Date: Fri, 31 Jul 2015 1:59 PM

To: wanabidii@googlegroups.com;

Subject:Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI


Mwalimu wangu Kitila sijakuelewa unanilaumu kwa lipi. Maana kwenye hitimisho lako umeungana na mawazo yangu--kwamba kama ukweli wa kashfa ya Richmond ndio huo alioutoa Lowassa maana hakuna aliyejitokeza hadi sasa kukanusha alichokisema Lowassa, inabidi baadhi yetu tuliompaka kwamba ni fisadi wa Richmond kwa kutumia taarifa nunu nusu tulizopewa na ripoti ya Mwakyembe ambayo haikumhoji Luwassa, basi inapaswa tumuombe radhi. Kumbuka ukweli wa kashfa ya Richmond tumeupata  miaka minane baadaye--baada ya Lowassa kuchomoka kwenye mfumo wa utawala unaonufaisha wachache huku ukifukarisha wananchi walio wengi. Mimi naendelea kuomba Mungu mfumo uendelee kupasuka ili watawala watambue ni kwa nini wananchi  walipendekeza ile Rasimu ya Katiba ambayo CCM iliizika kisanii pale Dodoma. Laana ile ya kudharau wananchi haitaicha CCM  salama. Tusubiri. Ananilea Nkya E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com--------------------------------------------On Fri, 7/31/15, Emmanuel Muganda  wrote: Subject: Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI To: "wanabidii@googlegroups.com"  Date: Friday, July 31, 2015, 9:35 AM  Kitila,Hivi kutubu maana yake nini? Zitto alimaanisha nini alipomkaribisha Lowassa ACT ili mradi ataje mali zake? Unafiki ni part and parcel of politics.em Sent from my iPhone On Jul 31, 2015, at 2:37 AM, Kitila Mkumbo  wrote:  This is what we call flip flopping or dithering au kwa Kiswahili rahisi UNAFIKI!   Eti vyama vya siasa siku hizi ni sehemu ya watu kutubu? Hii nayo anaunga mkono dada Nkya? Yaani dada nilijua ushabiki umekukaba lakini sikujua kama utashuka kwa kiwango hiki! Hata hivyo, lazima nikuhurumie angalau kidogo,  lazima useme hivyo utafanyeje tena kwa sababu wewe ni moja ya watu mlioaminishwa kwamba hawa watu ni malaika na kila mtu asiyekubaliana nao ni shetani!! Mkakubali na kukumbatia kika upuuzi waliwaletea na kuutembeza barabarani. Lazima sasa mle matamishi yenu, hakuna namna!  Hii itukumbushe kwamba Siasa za maji taka hazina mwisho mzuri. Watu badala kuhubiri sera mchana - usiku kutwa wanatukana watu na kujivika umalaika. Liwe fundisho kwetu sote. Chuki na siasa za maji taka mbaya. Nasi tunaojiita 'neutral' tujifunze kuona uzuri na ubaya wa pande zote. Haiwezekani ubaya ukawa sehemu A lakini ukihamia upande B ghafla unakuwa mzuri. Mantiki inakataa. Again, hakuna namna ya kulielezea hili zaidi ya UNAFIKI tu!  So, nakubaliana kabisa na mtoa hoja kwamba ni uungwana tu kwa watu waliotembea barabarani nchi nzima kumtukana EL wakamuomba msamaha kabla hawajaanza tena kumtembeza barabarani kama mgombea.  Vinginevyo mie napongeza ujasiri wa EL wa kushinda majaribu na kuhamia upinzani. Napongeza ujasiri wa CHADEMA wa kuwa na roho ngumu na kutoa uso wa soni. Nampongeza JK kwa ujasiri wake wa kukata jina la EL kibabe na kichuki, jambo ambalo litaisaidia Tanzania kuwa na ushindani wa kweli wa kisiasa katika mfumo wa vyama vingi.  Kila jambo lina upande wake mwema.  Kitila  2015-07-29 9:04 GMT+03:00 emmbaga :      Hakumtuhumu Kikwete lolote alimwambia mda wake bado. lakini alimtuhumu Lowassa. haitafutika kamwe labda angejitetea kipindi kile tungemwelewa labda lkin sasa anatumia advantage ya Baba wa Taifa hatunae tena!!!   mizimu itazungumza. Ernest              Sent from Samsung mobile    fatma_elia via Wanabidii  wrote:   Ernest    Baba wa Taifa alimkataa Lowassa na Kikwete. Mbona mlimtakasa Kikwete mnamkataa Lowassa?    Fatma  Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.  From: Ernest Philemon   Sender: wanabidii@googlegroups.com  Date: Thu, 30 Jul 2015 04:54:38 +0000 To: wanabidii ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com  Subject: RE: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI    Tuache  unafiki,  Baba  wa  taifa  alimkataa  Lowassa   hata  mambo  ya  Richmond  hayakuwepo,  nae  Lowassa  hajawahi  kanusha chochote  alichosema  baba  wa   taifa  marehemu Mwalimu Julius  Nyerere,   leo  hii  we  Mama  unasema  aombwe  radhi   !!!! duuu  kweli  hizi  njaa    zinapoteza  hata  utu  wa  mtu.      ernest    Date: Thu, 30 Jul 2015 04:22:00 +0000  From: wanabidii@googlegroups.com  To: wanabidii@googlegroups.com  Subject: Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI     Kila anayetubu kwa dhati husamehewa Nkya. Lakini uwe mwangalifu na siasa. Umesikiliza upande mmoja tu kwamba EL alipewa amri ya simu, kutoka juu, kupitia  kwa Katibu Mkuu kwamba mkataba usivunjwe. Haingii akilini katika taratibu za utawala kupokea maagizo na kutekeleza katika mtiririko huu! Agizo haliendi hivyo, na mimi binafsi siwezi kutekeleza agizo la jinsi hii. Je anayesemekana alitoa agizo akisema hajawahi  kupiga simu kuzuia kuvunja mkataba? Na hii inawezekana sana katika hali ya mambo sasa hivi - kurukana! Nani atakuwa mkweli? Ni kupakana matope, tupate upande mwingine wa shilingi, kwamba ni kweli lilikuwa agizo? Kwa nini EL haku test authenticity ya agizo  hilo? Unaridhika na maelezo/maagizo ya subordinate wako?     Please       From: 'ananilea nkya' via Wanabidii   To: mabadilikotanzania@googlegroups.com   Cc: WANA BIDII    Sent: Wednesday, July 29, 2015 4:43 PM  Subject: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI       Nimemsikiliza Edward  Lowassa  kwenye you tube tuliyowekewa humu jukwaani akiulizwa maswali na wanahabari kuhusu kashfa ya Richmond iliyotokea alipokuwa Waziri Mkuu miaka minane iliyopita. Kulingana na  majibu aliyoyatoa hata mimi kama mwanahabari niliwahi  kumwita fisadi kwa sababu ya  kashfa hiyo. Lakini kulingana na maelezo aliyoyatoa ninakiri nilifanya dhambi maana kumsingizia mtu uongo ni dhambi na binafsi baada ya kusikia upande wake mimi kwa upande wangu namuomba radhi.      Kumbe kinara wa  kashfa ya Richmond alikuwa bosi wake. Lo!  Sasa inaingia akilini ni kwa nini TOR za Mwakyembe hakikumuweka Lowassa kama sample ya kuhojiwa kashfa ya Richmond ilipotokea. Lakini kwa unyenyekevu Lowassa alijiuzulu kuinusuru serikali nzima  isianguke.  Mungu mwema miaka minane  baadaye ukweli kamili wa Richmond unajulikana. Kama ulichokisema ni kweli Lowassa, Mungu atakupigania kwa sababu ni wewe  na Mzee Mwinyi peke yenu mna rekodi ya kujiuzulu kuonyesha uwajibikaji kutokana na nafasi zenu na siyo kosa  mlilolitenda  ninyi wenyewe. Viongozi wengine mpaka umma upige kelele sana ndipo wajibaraguze kujiuzulu mfano kashfa ya escrow 2014. Sasa ninaelewa ni kwa nini baadhi ya watu wana hofu baada ya LOwassa  kukubaliwa na UKAWA kuwa mgombea Urais.    Namshukuru sana aliyetuwekea hii you-tube huku jukwaani maana baadhi yetu ambao hatuko site tungeweza kuendelea kufanya uchambuzi wetu kwa kutumia habari nusu nusu tulizopewa miaka iliyopita kuhusu kashfa ya Richmond.    Ananilea Nkya   E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com    --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com    Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma    Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.          --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit  https://groups.google.com/d/optout.     --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.   --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.        --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.       --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.    --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout. -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.comKujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatumaDisclaimer:Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.--- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI"

Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI

Mkuu Mnzava2 ni kweli kwamba kutopeleka mahakamani siyo kuwa mtu hana makosa. Lakini kwa aina ya tuhuma alizo nazo Lowassa (ufisadi wa kuisababishia serikali na walipa kodi hasara ya mabilioni ya shilingi) kutopelekwa mahakamani (shtakiwa) kunaweza kuwa sababu kuwa hakuna ushahidi Lowassa kama yeye alihusika. Hivyo, huwezi kusema pia kwa vile Lowassa hajapelekwa mahakamani/shtakiwa kwa hivyo ni fisadi. Lazima tuwe na ushahidi unaomtia hatiani na kama hadi leo hii hakuna, mimi naona pia hakuna sababu ya kuendelea kumtaja yeye binafsi kama fisadi. Kama kutajitokeza ushahidi utakaoonyesha kuwa ni fisadi, mimi nitakuwa na sababu za kusema Lowassa ni fisadi. But for the time being sina sababu hizo na hivyo hata mimi nimeamua on this basis kutomwita fisadi.


2015-08-01 8:21 GMT+03:00 'mnzava2@yahoo.com' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

Kutopelekwa Mahakamani siyo kuwa mtu hana makosa. . . . Kashfa ya Richmond na nyingine nyingi bado hata mtuhumiwa mmola hajafikishwa mahakamani. Hawa CCM wakuwa na kigugumizi  kila panapo tokeakashfa za Ufisadi na ieleweke wazi kuwa hawa Mafisadi wana mtandao wa kutumia fedha nyingi ktk kuchelewesha na kuzuia mkondo wa sheria.

Nadhani wote tunakumbuka kuwa ktk kashfa ya Mramba na Yona hata mwanasheria alikuwa ni mzee Chenge! Ambaye ana tahwa ktk maeneo mengi ya ufisadi.

Hawa mafisadi wasitumie kabisa kigezo cha kutopelekwa mahakamani kama ndio kigezo cha usafi wa vitendo vyao. 


Hata Wazee Mramba na Yona walifikishwa mahakamani baada ya kipindi kirefu kupita


Sent from my LG Mobile


------ Original message------

From: 'ananilea nkya' via Wanabidii

Date: Fri, 31 Jul 2015 1:59 PM

To: wanabidii@googlegroups.com;

Subject:Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI


Mwalimu wangu Kitila sijakuelewa unanilaumu kwa lipi. Maana kwenye hitimisho lako umeungana na mawazo yangu--kwamba kama ukweli wa kashfa ya Richmond ndio huo alioutoa Lowassa maana hakuna aliyejitokeza hadi sasa kukanusha alichokisema Lowassa, inabidi baadhi yetu tuliompaka kwamba ni fisadi wa Richmond kwa kutumia taarifa nunu nusu tulizopewa na ripoti ya Mwakyembe ambayo haikumhoji Luwassa, basi inapaswa tumuombe radhi. Kumbuka ukweli wa kashfa ya Richmond tumeupata  miaka minane baadaye--baada ya Lowassa kuchomoka kwenye mfumo wa utawala unaonufaisha wachache huku ukifukarisha wananchi walio wengi. Mimi naendelea kuomba Mungu mfumo uendelee kupasuka ili watawala watambue ni kwa nini wananchi  walipendekeza ile Rasimu ya Katiba ambayo CCM iliizika kisanii pale Dodoma. Laana ile ya kudharau wananchi haitaicha CCM  salama. Tusubiri. Ananilea Nkya E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com--------------------------------------------On Fri, 7/31/15, Emmanuel Muganda  wrote: Subject: Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI To: "wanabidii@googlegroups.com"  Date: Friday, July 31, 2015, 9:35 AM  Kitila,Hivi kutubu maana yake nini? Zitto alimaanisha nini alipomkaribisha Lowassa ACT ili mradi ataje mali zake? Unafiki ni part and parcel of politics.em Sent from my iPhone On Jul 31, 2015, at 2:37 AM, Kitila Mkumbo  wrote:  This is what we call flip flopping or dithering au kwa Kiswahili rahisi UNAFIKI!   Eti vyama vya siasa siku hizi ni sehemu ya watu kutubu? Hii nayo anaunga mkono dada Nkya? Yaani dada nilijua ushabiki umekukaba lakini sikujua kama utashuka kwa kiwango hiki! Hata hivyo, lazima nikuhurumie angalau kidogo,  lazima useme hivyo utafanyeje tena kwa sababu wewe ni moja ya watu mlioaminishwa kwamba hawa watu ni malaika na kila mtu asiyekubaliana nao ni shetani!! Mkakubali na kukumbatia kika upuuzi waliwaletea na kuutembeza barabarani. Lazima sasa mle matamishi yenu, hakuna namna!  Hii itukumbushe kwamba Siasa za maji taka hazina mwisho mzuri. Watu badala kuhubiri sera mchana - usiku kutwa wanatukana watu na kujivika umalaika. Liwe fundisho kwetu sote. Chuki na siasa za maji taka mbaya. Nasi tunaojiita 'neutral' tujifunze kuona uzuri na ubaya wa pande zote. Haiwezekani ubaya ukawa sehemu A lakini ukihamia upande B ghafla unakuwa mzuri. Mantiki inakataa. Again, hakuna namna ya kulielezea hili zaidi ya UNAFIKI tu!  So, nakubaliana kabisa na mtoa hoja kwamba ni uungwana tu kwa watu waliotembea barabarani nchi nzima kumtukana EL wakamuomba msamaha kabla hawajaanza tena kumtembeza barabarani kama mgombea.  Vinginevyo mie napongeza ujasiri wa EL wa kushinda majaribu na kuhamia upinzani. Napongeza ujasiri wa CHADEMA wa kuwa na roho ngumu na kutoa uso wa soni. Nampongeza JK kwa ujasiri wake wa kukata jina la EL kibabe na kichuki, jambo ambalo litaisaidia Tanzania kuwa na ushindani wa kweli wa kisiasa katika mfumo wa vyama vingi.  Kila jambo lina upande wake mwema.  Kitila  2015-07-29 9:04 GMT+03:00 emmbaga :      Hakumtuhumu Kikwete lolote alimwambia mda wake bado. lakini alimtuhumu Lowassa. haitafutika kamwe labda angejitetea kipindi kile tungemwelewa labda lkin sasa anatumia advantage ya Baba wa Taifa hatunae tena!!!   mizimu itazungumza. Ernest              Sent from Samsung mobile    fatma_elia via Wanabidii  wrote:   Ernest    Baba wa Taifa alimkataa Lowassa na Kikwete. Mbona mlimtakasa Kikwete mnamkataa Lowassa?    Fatma  Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.  From: Ernest Philemon   Sender: wanabidii@googlegroups.com  Date: Thu, 30 Jul 2015 04:54:38 +0000 To: wanabidii ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com  Subject: RE: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI    Tuache  unafiki,  Baba  wa  taifa  alimkataa  Lowassa   hata  mambo  ya  Richmond  hayakuwepo,  nae  Lowassa  hajawahi  kanusha chochote  alichosema  baba  wa   taifa  marehemu Mwalimu Julius  Nyerere,   leo  hii  we  Mama  unasema  aombwe  radhi   !!!! duuu  kweli  hizi  njaa    zinapoteza  hata  utu  wa  mtu.      ernest    Date: Thu, 30 Jul 2015 04:22:00 +0000  From: wanabidii@googlegroups.com  To: wanabidii@googlegroups.com  Subject: Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI     Kila anayetubu kwa dhati husamehewa Nkya. Lakini uwe mwangalifu na siasa. Umesikiliza upande mmoja tu kwamba EL alipewa amri ya simu, kutoka juu, kupitia  kwa Katibu Mkuu kwamba mkataba usivunjwe. Haingii akilini katika taratibu za utawala kupokea maagizo na kutekeleza katika mtiririko huu! Agizo haliendi hivyo, na mimi binafsi siwezi kutekeleza agizo la jinsi hii. Je anayesemekana alitoa agizo akisema hajawahi  kupiga simu kuzuia kuvunja mkataba? Na hii inawezekana sana katika hali ya mambo sasa hivi - kurukana! Nani atakuwa mkweli? Ni kupakana matope, tupate upande mwingine wa shilingi, kwamba ni kweli lilikuwa agizo? Kwa nini EL haku test authenticity ya agizo  hilo? Unaridhika na maelezo/maagizo ya subordinate wako?     Please       From: 'ananilea nkya' via Wanabidii   To: mabadilikotanzania@googlegroups.com   Cc: WANA BIDII    Sent: Wednesday, July 29, 2015 4:43 PM  Subject: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI       Nimemsikiliza Edward  Lowassa  kwenye you tube tuliyowekewa humu jukwaani akiulizwa maswali na wanahabari kuhusu kashfa ya Richmond iliyotokea alipokuwa Waziri Mkuu miaka minane iliyopita. Kulingana na  majibu aliyoyatoa hata mimi kama mwanahabari niliwahi  kumwita fisadi kwa sababu ya  kashfa hiyo. Lakini kulingana na maelezo aliyoyatoa ninakiri nilifanya dhambi maana kumsingizia mtu uongo ni dhambi na binafsi baada ya kusikia upande wake mimi kwa upande wangu namuomba radhi.      Kumbe kinara wa  kashfa ya Richmond alikuwa bosi wake. Lo!  Sasa inaingia akilini ni kwa nini TOR za Mwakyembe hakikumuweka Lowassa kama sample ya kuhojiwa kashfa ya Richmond ilipotokea. Lakini kwa unyenyekevu Lowassa alijiuzulu kuinusuru serikali nzima  isianguke.  Mungu mwema miaka minane  baadaye ukweli kamili wa Richmond unajulikana. Kama ulichokisema ni kweli Lowassa, Mungu atakupigania kwa sababu ni wewe  na Mzee Mwinyi peke yenu mna rekodi ya kujiuzulu kuonyesha uwajibikaji kutokana na nafasi zenu na siyo kosa  mlilolitenda  ninyi wenyewe. Viongozi wengine mpaka umma upige kelele sana ndipo wajibaraguze kujiuzulu mfano kashfa ya escrow 2014. Sasa ninaelewa ni kwa nini baadhi ya watu wana hofu baada ya LOwassa  kukubaliwa na UKAWA kuwa mgombea Urais.    Namshukuru sana aliyetuwekea hii you-tube huku jukwaani maana baadhi yetu ambao hatuko site tungeweza kuendelea kufanya uchambuzi wetu kwa kutumia habari nusu nusu tulizopewa miaka iliyopita kuhusu kashfa ya Richmond.    Ananilea Nkya   E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com    --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com    Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma    Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.          --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit  https://groups.google.com/d/optout.     --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.   --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.        --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.       --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.    --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout. -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.comKujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatumaDisclaimer:Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.--- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI"

Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS

Magobe

Unasema wahusika wamekubaliana. Kwani in kwa faida yao au umma wa Watanzania?
Alafu haya mashairi ya kusubiri mahakama kumtia hatiani mnayapata wapi?
Mahakama gani ilimtia hatiani IDD Amin mpaka tukaingia vitani?
Mahakama gani ilimtia hatiani Sadam, Gadafi nk.
Sidhani kwamba kila kitu ni lazima tusubiri mahakama maana hats hao CCM na matendo yao ni mahakama gani imewatia hatiani?
Potelea kwa mbali hata kama inaongozwa na akina Ramadhani.


Walewale.

On Aug 1, 2015 11:37 AM, "Telesphor Magobe" <tmagobe@gmail.com> wrote:
1. Cha muhimu kwangu ni kwamba kutokana na sababu na mazingira ya wakati ule viongozi wa Chadema walimsema Lowassa fisadi kwa nguvu zao zote.
2. Pamoja na haya yote, Lowassa na viongozi wa Chadema na Ukawa wameyamaliza kwa kukubaliana Lowassa awe mgombea Chadema na Ukawa.
3. Hivyo, kama wahusika wenyewe wame'reconcile' sisi tunataka nini? After all, Lowassa hajawalalamikia hao viongozi wa Chadema na Ukawa na inaonekana wameamua kuanza maisha upya (kama ilivyo pia kwa familia yenye mzozo wa muda mrefu inapoamua kubadilika na kuanza maisha mapya/ya heri).
4. Hata warring parties zinapo reconcile na kuacha mapigano huwa zinasaini a joint peace accord. Ni kitu cha ajabu kwa watu wengine kuanza kuhoji kwa nini hizo warring parties zimecha mapigano na ku'reconcile'.
5. Hali kadhalika ndivyo ninavyoona kwa Lowassa na Chadema na hata viongozi wengine wa Ukawa na Watanzania, ambao pia walimwona Lowassa fisadi.
6. Kama kwa miaka yote hii hajawahi kutiwa hatiani, je tuendelee tu kuimba kuwa Lowassa ni fisadi bila ushahidi? According to me, kwa vile a reasonable time has elapsed na kwa vile hakuna chombo chochote cha dola kimeshamshtaki au cha kutoa haki kutoa hukumu kuwa Lowassa ni fisadi, sioni sababu yoyote ya kuendeleza allegations. Maana kama hatutafika mwisho tuamue kama tuna ushahidi kuwa ni fisadi tuutoe na vyombo husika vichukue hatua na kama hatuna, basi tusiendelee kuimba ni fisadi maana hatuwezi kuendelea ku'allege' indefinitely. Inabidi after a reasonable time, tujiridhishe na tuamue jambo moja. Na kwa facts zilivyo kwa sasa hatuna sababu yoyote ya msingi kuendelea kuimba kuwa Lowassa ni fisadi.

2015-08-01 10:59 GMT+03:00 amour chamani <abachamani@gmail.com>:

Mushongi

Asante kwa ujumbe murua. Asante sana.
Kama vichwa vyetu vinaongozwa na hisia in hatari. Hivi hakika Leo CHADEMA wamefikia hapa?
Leo Lowasa in kila kitu.
Nakumbuka ile hadithi ya Mwenyenyumba alie msaidia tembo Mwishowe akatolewa nje.
Hivi Lowasa atakubali kuwa rais kwenye chama asiwe mwenyekiti?
Usalama wake utatoka wapi?
Hakumbuki ya Mrema na akina Marando Tanga?
Kama naona mwisho wa CHADEMA wakiwafuata wenzao NCCR na CUF.
Hili ni sawa na jaribio la mapinduzi ambalo likifeli ni kifo.

Walewale.

On Aug 1, 2015 10:46 AM, "Ireneus Mushongi" <ireneuskakurumushongi@gmail.com> wrote:
Mama Nkya
Haya yote Ni marudio Tu. Tumeshayasikia tokea vinywa mbali mbali.

Kwanini mnapindisha ukweli? Huyu huyu Dr Slaa alisema kuwa Ana ushahidi kuhusu Richmond Na Yuko tayari kuuwasilisha  mahakamani kama tu ENL atapelekwa kwa pilato.

Mbona hamuhoji hayo tena au siyo ya msingi sababu Mkaskazini huyu keshakuwa malaika na automatically msafi kwa kubadili jezi? Hawa jamaa ni wajanja wamecheza na nyakati wamehit kwenye msumari wa moto ukiwa haujapoa. Watu wamecheza na fursa adimu. Kimsingi wana malengo tofauti. Huyu ana hasira ya kuikomoa CCM hawa wanacheza na akili hiyo kujijenga kisiasa zaidi kwani popularity itaongezeka, status itapanda, watavuna wafuasi wengi at ago na si lazima waingie ikulu but watakuwa wamegain sana hata kuongeza wabunge 50 from the current number.

Next move atakuja Chenge. Ukihama CCM si unatakasika automatic? Huyu bwana ana team oliyojiuzuru naye. Sijawasikia wao kuhama au wanapima upepo bado hadi ufanyike uchaguzi. Hawa wote ndani ya Ukawa ni watukufu na wasafi hivi karibuni watajoin majeshi na kubadili jezi. Hawa hawa waliokuwa wanawaponda watawashangilia sana na kuwaita majembe!

Ninaamini Mbowe, Slaa, Lipumba, Mbatia,  na UKAWA top yote hawampendi ENL ila wametumia fursa hii kuachieve strategy zao za kisiasa. Time will tell. Kumsafisha au kutomsafisha haihusu sana. Washasema ilikuwa ni mambo ya kisiasa zaidi so watapima matokeo baadaye! Muhimu ni kugain tu kwa sasa kabla ENL hajarudi kwenye normal senses.

Tutaona mwisho wa haya... Heri sisi tusiofungamana na kipande yoyote.... Tunahitaji mabadiliko ya kweli sio ya kinafiki. Msituchanganye! Jana mlikuja kivingine, Leo mnakuja hivi kesho hatujui mtakuja na lipi. Tuonyeshe dira na dhamira sio mikakati ya fursa za zimamoto.
Umesababisha mke wa mtu aachwe,  alipopewa talaka tu, eti ndio na wewe unatangaza ndoa halafu eti tukuchangie. Tutafika? Siasa mchezo mchafu!

From: 'ananilea nkya' via Mabadiliko Forum
Sent: ‎01/‎08/‎2015 01:21
To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Cc: WANA BIDII
Subject: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS

Mimi Ananilea Nkya tatizo langu kubwa kwa Lowassa lilikuwa ni ufisadi wa Richmond uliotafuna zaidi ya shilingi bilion 172 za wananchi. Baada ya kusikia kauli yake alipohojiwa na wanahabari siku alipojiunga na CHADEMA, na baada ya kujiridhisha kuwa kama alikuwa amehusika na ufisadi wa Richmond leo angelikuwa jela kama Yona na Mramba, namuunga mkono kugombea Urais. Naamini hata Dr Slaa amemkubali Lowassa kuwa mgombea Urais wa vyama vinanyounda UKAWA baada ya kujiridhisha kuwa mamlaka ya juu ilimbebesha Lowassa kashfa ya Richmond ili kunusuru serikali nzima kuanguka.

Lakini zaidi nimeongeza imani yangu kwa Lowassa baada ya kubaini kuwa hata Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere alimuona kama kijana makini mwenye maono na dhamira safi ya kuwatumikia Watanzania. Mwaka 1995 wakati Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi anamaliza muda wake  mwandishi wa habari Mwita Matinyi alimuliza Mwalimu Nyerere alikuwa anafikiri ni nani angeweza kumrithi Mwinyi kuiongoza Tanzania. Mwalimu alijibu Matinyi hivi. Nanukuu:
Ni kweli Mzee Mwinyi anaondoka lakini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wenye sifa za kuwaongoza Watanzania, kikubwa tu awe na dhamira kwa mfano wapo wakina Warioba, Mzee Msuya na Mark Bomani na wapo vijana hodari na wenye upeo mkubwa sana kama Mkapa, Kikwete na Lowassa ni jambo la heri sana CCM kuwa na watu kama hawa (Majira 26/5/1995) ukurasa wa 3; na Nipashe 26/5/95 ukurasa wa 3).

Pia nikiwa ripota Radio Tanzania Dar es Salaam niliwahi kufanya kazi na Lowassa katika miaka ya 90. Nilivyouona utendaji wake wa kazi zama hizo nashawishika kwamba anafaa kuwa kiongozi wa nchi yetu. Nilishuhudia akijituma kweli kweli kwenye kazi za umma zama hizo.

Kadhalika namuunga mkono Lowassa kwa sababu hagombei Urais kupitia chama cha CCM ambacho kinakumbatia mfumo wa kuwadhawau na kuwafukarisha wananchi huku watawala wachache wakineemeka kwa kutumia rasilimali za nchi kama vile nchi hii ni mali ya watawala, familia zao na marafiki za. Ninaamini kwa kugombea Urais kupitia UKAWA, CCM itapunguziwa dharau na jeuri yake dhidi ya wananchi ambao ndio wenye mamlaka ya mwisho kuhusu hatma ya nchi yetu. Mfano CCM mwaka jana 2014 ilionyesha dharau kubwa sana kwa wananchi kwa kuizika Rasimu ya Katiba iliyotengenezwa kwa kutumia maoni ya wananchi wakati fedha zaidi ya bilioni 130 zilitumika. Kwa kutumia mabilioni hayo bila Katiba Mpya kupatikana ni kufisadi mali za wananchi mchana kweupe. Haikubaliki.

Vile vile namuunga mkono Lowassa kwa kwa sababu anaukataa hadharani umaskini wa kuchongwa ambao watawala wanautumia kwa faida yao ili waendelee kuwanunua wananchi mafukara wakati wa uchaguzi na wakishapata madaraka waendelee kujineemesha na mali za nchi.

Nchi yetu siyo maskini bali watawala wanaendekeza matakwa ya wawekezaji (wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi) ambao wanaliibia taifa rasilimali nyingi na na hatimaye nchi za wawekezaji hao (donors)wanawapoza watawala kwa vijimisaadaa uchwara. Ni aibu sana kwa kiongozi wa Tanzania kijipitisha nchi moja hadi nyingine Marekani, Ulaya, China, India na Ausralia n.k kutembeza bakuli (omba omba kama matonya vile) huku nchi yetu ikiwa na rasilimali tele. Tena wakati watawala wanakwenda kuomba eti wanapanda ndege daraja la kwanza. Huu ni wenda wazimu. Ni kuiaibisha Tanzania na Afrika.

Sina chama cha siasa ninachofungamana nacho kwa sasa, lakini namuunga mkono Lowassa kugombea Urais kupitia UKAWA kwa sababu naamini akiwa Rais wa nchi yetu upuuzi huu wa kuendekeza umaskini kwa kuomba omba nchi za nje huku tukitoa mali za nchi honyo hovyo kwa wageni na kuamini kuwa maendeleo ya nchi yetu yataletwa kwa misaada kutoka nje, kutakomeshwa. Naamini hata hao wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi wanajua Lowassa hatachekacheka nao.

Lakini zaidi namuunga mkono Lowassa kwa sababu Watanzania wakiridhia kwenye sanduku huru la kura hapo Oktoba awe Rais wa Tanzania, vyama vinavyounda UKAWA vitasimamia kuhakikisha kuwa mamlaka ya wanannchi hayaporwi hivyo hovyo tena. Kwa hiyo Rasimu ya Katiba ya wananchi itaheshimiwa na nchi yetu itapata Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi. Kwa kufanya hivyo taifa hili litaanza kupiga hatua kubwa ya kuondoa ufukarishwaji wa wananchi walio wengi unaofanya na watawala wa CCM kwa kushirikiana na wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi.

Naridhia andiko langu hili lichapishwe na yeyote anayetaka
Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com


For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/1438381307.95951.YahooMailBasic%40web121006.mail.ne1.yahoo.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS"

[wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS

Hata kama asingekuwa amehusishwa na hiyo kashfa ya Richmond, kashfa hii mpya ya kununua wapiga kura ktk mchato wa wa uteuzi ndani ya CCM inatosha kumwondolea sifa and the evidence is still fresh! Je, watampeleka mahakamani kwa hili? Jibu ni ndiyo au hapana. Itakuwa  ndiyo kama hajatumwa na ikionekana anelekea kuathiri maslahi ya system na jibu ni hapana kama ametumwa na kama malengo mahsusi,yaani kusambaratisha yatakuwa yametimia.

Madoshi Kimotoli

On 1 Aug 2015 10:45, "Ireneus Mushongi" <ireneuskakurumushongi@gmail.com> wrote:
Mama Nkya
Haya yote Ni marudio Tu. Tumeshayasikia tokea vinywa mbali mbali.

Kwanini mnapindisha ukweli? Huyu huyu Dr Slaa alisema kuwa Ana ushahidi kuhusu Richmond Na Yuko tayari kuuwasilisha  mahakamani kama tu ENL atapelekwa kwa pilato.

Mbona hamuhoji hayo tena au siyo ya msingi sababu Mkaskazini huyu keshakuwa malaika na automatically msafi kwa kubadili jezi? Hawa jamaa ni wajanja wamecheza na nyakati wamehit kwenye msumari wa moto ukiwa haujapoa. Watu wamecheza na fursa adimu. Kimsingi wana malengo tofauti. Huyu ana hasira ya kuikomoa CCM hawa wanacheza na akili hiyo kujijenga kisiasa zaidi kwani popularity itaongezeka, status itapanda, watavuna wafuasi wengi at ago na si lazima waingie ikulu but watakuwa wamegain sana hata kuongeza wabunge 50 from the current number.

Next move atakuja Chenge. Ukihama CCM si unatakasika automatic? Huyu bwana ana team oliyojiuzuru naye. Sijawasikia wao kuhama au wanapima upepo bado hadi ufanyike uchaguzi. Hawa wote ndani ya Ukawa ni watukufu na wasafi hivi karibuni watajoin majeshi na kubadili jezi. Hawa hawa waliokuwa wanawaponda watawashangilia sana na kuwaita majembe!

Ninaamini Mbowe, Slaa, Lipumba, Mbatia,  na UKAWA top yote hawampendi ENL ila wametumia fursa hii kuachieve strategy zao za kisiasa. Time will tell. Kumsafisha au kutomsafisha haihusu sana. Washasema ilikuwa ni mambo ya kisiasa zaidi so watapima matokeo baadaye! Muhimu ni kugain tu kwa sasa kabla ENL hajarudi kwenye normal senses.

Tutaona mwisho wa haya... Heri sisi tusiofungamana na kipande yoyote.... Tunahitaji mabadiliko ya kweli sio ya kinafiki. Msituchanganye! Jana mlikuja kivingine, Leo mnakuja hivi kesho hatujui mtakuja na lipi. Tuonyeshe dira na dhamira sio mikakati ya fursa za zimamoto.
Umesababisha mke wa mtu aachwe,  alipopewa talaka tu, eti ndio na wewe unatangaza ndoa halafu eti tukuchangie. Tutafika? Siasa mchezo mchafu!

From: 'ananilea nkya' via Mabadiliko Forum
Sent: ‎01/‎08/‎2015 01:21
To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Cc: WANA BIDII
Subject: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS

Mimi Ananilea Nkya tatizo langu kubwa kwa Lowassa lilikuwa ni ufisadi wa Richmond uliotafuna zaidi ya shilingi bilion 172 za wananchi. Baada ya kusikia kauli yake alipohojiwa na wanahabari siku alipojiunga na CHADEMA, na baada ya kujiridhisha kuwa kama alikuwa amehusika na ufisadi wa Richmond leo angelikuwa jela kama Yona na Mramba, namuunga mkono kugombea Urais. Naamini hata Dr Slaa amemkubali Lowassa kuwa mgombea Urais wa vyama vinanyounda UKAWA baada ya kujiridhisha kuwa mamlaka ya juu ilimbebesha Lowassa kashfa ya Richmond ili kunusuru serikali nzima kuanguka.

Lakini zaidi nimeongeza imani yangu kwa Lowassa baada ya kubaini kuwa hata Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere alimuona kama kijana makini mwenye maono na dhamira safi ya kuwatumikia Watanzania. Mwaka 1995 wakati Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi anamaliza muda wake  mwandishi wa habari Mwita Matinyi alimuliza Mwalimu Nyerere alikuwa anafikiri ni nani angeweza kumrithi Mwinyi kuiongoza Tanzania. Mwalimu alijibu Matinyi hivi. Nanukuu:
Ni kweli Mzee Mwinyi anaondoka lakini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wenye sifa za kuwaongoza Watanzania, kikubwa tu awe na dhamira kwa mfano wapo wakina Warioba, Mzee Msuya na Mark Bomani na wapo vijana hodari na wenye upeo mkubwa sana kama Mkapa, Kikwete na Lowassa ni jambo la heri sana CCM kuwa na watu kama hawa (Majira 26/5/1995) ukurasa wa 3; na Nipashe 26/5/95 ukurasa wa 3).

Pia nikiwa ripota Radio Tanzania Dar es Salaam niliwahi kufanya kazi na Lowassa katika miaka ya 90. Nilivyouona utendaji wake wa kazi zama hizo nashawishika kwamba anafaa kuwa kiongozi wa nchi yetu. Nilishuhudia akijituma kweli kweli kwenye kazi za umma zama hizo.

Kadhalika namuunga mkono Lowassa kwa sababu hagombei Urais kupitia chama cha CCM ambacho kinakumbatia mfumo wa kuwadhawau na kuwafukarisha wananchi huku watawala wachache wakineemeka kwa kutumia rasilimali za nchi kama vile nchi hii ni mali ya watawala, familia zao na marafiki za. Ninaamini kwa kugombea Urais kupitia UKAWA, CCM itapunguziwa dharau na jeuri yake dhidi ya wananchi ambao ndio wenye mamlaka ya mwisho kuhusu hatma ya nchi yetu. Mfano CCM mwaka jana 2014 ilionyesha dharau kubwa sana kwa wananchi kwa kuizika Rasimu ya Katiba iliyotengenezwa kwa kutumia maoni ya wananchi wakati fedha zaidi ya bilioni 130 zilitumika. Kwa kutumia mabilioni hayo bila Katiba Mpya kupatikana ni kufisadi mali za wananchi mchana kweupe. Haikubaliki.

Vile vile namuunga mkono Lowassa kwa kwa sababu anaukataa hadharani umaskini wa kuchongwa ambao watawala wanautumia kwa faida yao ili waendelee kuwanunua wananchi mafukara wakati wa uchaguzi na wakishapata madaraka waendelee kujineemesha na mali za nchi.

Nchi yetu siyo maskini bali watawala wanaendekeza matakwa ya wawekezaji (wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi) ambao wanaliibia taifa rasilimali nyingi na na hatimaye nchi za wawekezaji hao (donors)wanawapoza watawala kwa vijimisaadaa uchwara. Ni aibu sana kwa kiongozi wa Tanzania kijipitisha nchi moja hadi nyingine Marekani, Ulaya, China, India na Ausralia n.k kutembeza bakuli (omba omba kama matonya vile) huku nchi yetu ikiwa na rasilimali tele. Tena wakati watawala wanakwenda kuomba eti wanapanda ndege daraja la kwanza. Huu ni wenda wazimu. Ni kuiaibisha Tanzania na Afrika.

Sina chama cha siasa ninachofungamana nacho kwa sasa, lakini namuunga mkono Lowassa kugombea Urais kupitia UKAWA kwa sababu naamini akiwa Rais wa nchi yetu upuuzi huu wa kuendekeza umaskini kwa kuomba omba nchi za nje huku tukitoa mali za nchi honyo hovyo kwa wageni na kuamini kuwa maendeleo ya nchi yetu yataletwa kwa misaada kutoka nje, kutakomeshwa. Naamini hata hao wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi wanajua Lowassa hatachekacheka nao.

Lakini zaidi namuunga mkono Lowassa kwa sababu Watanzania wakiridhia kwenye sanduku huru la kura hapo Oktoba awe Rais wa Tanzania, vyama vinavyounda UKAWA vitasimamia kuhakikisha kuwa mamlaka ya wanannchi hayaporwi hivyo hovyo tena. Kwa hiyo Rasimu ya Katiba ya wananchi itaheshimiwa na nchi yetu itapata Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi. Kwa kufanya hivyo taifa hili litaanza kupiga hatua kubwa ya kuondoa ufukarishwaji wa wananchi walio wengi unaofanya na watawala wa CCM kwa kushirikiana na wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi.

Naridhia andiko langu hili lichapishwe na yeyote anayetaka
Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com


For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/1438381307.95951.YahooMailBasic%40web121006.mail.ne1.yahoo.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/55bc7932.ee39c20a.537c4.ffff841d%40mx.google.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS"

Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS

1. Cha muhimu kwangu ni kwamba kutokana na sababu na mazingira ya wakati ule viongozi wa Chadema walimsema Lowassa fisadi kwa nguvu zao zote.
2. Pamoja na haya yote, Lowassa na viongozi wa Chadema na Ukawa wameyamaliza kwa kukubaliana Lowassa awe mgombea Chadema na Ukawa.
3. Hivyo, kama wahusika wenyewe wame'reconcile' sisi tunataka nini? After all, Lowassa hajawalalamikia hao viongozi wa Chadema na Ukawa na inaonekana wameamua kuanza maisha upya (kama ilivyo pia kwa familia yenye mzozo wa muda mrefu inapoamua kubadilika na kuanza maisha mapya/ya heri).
4. Hata warring parties zinapo reconcile na kuacha mapigano huwa zinasaini a joint peace accord. Ni kitu cha ajabu kwa watu wengine kuanza kuhoji kwa nini hizo warring parties zimecha mapigano na ku'reconcile'.
5. Hali kadhalika ndivyo ninavyoona kwa Lowassa na Chadema na hata viongozi wengine wa Ukawa na Watanzania, ambao pia walimwona Lowassa fisadi.
6. Kama kwa miaka yote hii hajawahi kutiwa hatiani, je tuendelee tu kuimba kuwa Lowassa ni fisadi bila ushahidi? According to me, kwa vile a reasonable time has elapsed na kwa vile hakuna chombo chochote cha dola kimeshamshtaki au cha kutoa haki kutoa hukumu kuwa Lowassa ni fisadi, sioni sababu yoyote ya kuendeleza allegations. Maana kama hatutafika mwisho tuamue kama tuna ushahidi kuwa ni fisadi tuutoe na vyombo husika vichukue hatua na kama hatuna, basi tusiendelee kuimba ni fisadi maana hatuwezi kuendelea ku'allege' indefinitely. Inabidi after a reasonable time, tujiridhishe na tuamue jambo moja. Na kwa facts zilivyo kwa sasa hatuna sababu yoyote ya msingi kuendelea kuimba kuwa Lowassa ni fisadi.

2015-08-01 10:59 GMT+03:00 amour chamani <abachamani@gmail.com>:

Mushongi

Asante kwa ujumbe murua. Asante sana.
Kama vichwa vyetu vinaongozwa na hisia in hatari. Hivi hakika Leo CHADEMA wamefikia hapa?
Leo Lowasa in kila kitu.
Nakumbuka ile hadithi ya Mwenyenyumba alie msaidia tembo Mwishowe akatolewa nje.
Hivi Lowasa atakubali kuwa rais kwenye chama asiwe mwenyekiti?
Usalama wake utatoka wapi?
Hakumbuki ya Mrema na akina Marando Tanga?
Kama naona mwisho wa CHADEMA wakiwafuata wenzao NCCR na CUF.
Hili ni sawa na jaribio la mapinduzi ambalo likifeli ni kifo.

Walewale.

On Aug 1, 2015 10:46 AM, "Ireneus Mushongi" <ireneuskakurumushongi@gmail.com> wrote:
Mama Nkya
Haya yote Ni marudio Tu. Tumeshayasikia tokea vinywa mbali mbali.

Kwanini mnapindisha ukweli? Huyu huyu Dr Slaa alisema kuwa Ana ushahidi kuhusu Richmond Na Yuko tayari kuuwasilisha  mahakamani kama tu ENL atapelekwa kwa pilato.

Mbona hamuhoji hayo tena au siyo ya msingi sababu Mkaskazini huyu keshakuwa malaika na automatically msafi kwa kubadili jezi? Hawa jamaa ni wajanja wamecheza na nyakati wamehit kwenye msumari wa moto ukiwa haujapoa. Watu wamecheza na fursa adimu. Kimsingi wana malengo tofauti. Huyu ana hasira ya kuikomoa CCM hawa wanacheza na akili hiyo kujijenga kisiasa zaidi kwani popularity itaongezeka, status itapanda, watavuna wafuasi wengi at ago na si lazima waingie ikulu but watakuwa wamegain sana hata kuongeza wabunge 50 from the current number.

Next move atakuja Chenge. Ukihama CCM si unatakasika automatic? Huyu bwana ana team oliyojiuzuru naye. Sijawasikia wao kuhama au wanapima upepo bado hadi ufanyike uchaguzi. Hawa wote ndani ya Ukawa ni watukufu na wasafi hivi karibuni watajoin majeshi na kubadili jezi. Hawa hawa waliokuwa wanawaponda watawashangilia sana na kuwaita majembe!

Ninaamini Mbowe, Slaa, Lipumba, Mbatia,  na UKAWA top yote hawampendi ENL ila wametumia fursa hii kuachieve strategy zao za kisiasa. Time will tell. Kumsafisha au kutomsafisha haihusu sana. Washasema ilikuwa ni mambo ya kisiasa zaidi so watapima matokeo baadaye! Muhimu ni kugain tu kwa sasa kabla ENL hajarudi kwenye normal senses.

Tutaona mwisho wa haya... Heri sisi tusiofungamana na kipande yoyote.... Tunahitaji mabadiliko ya kweli sio ya kinafiki. Msituchanganye! Jana mlikuja kivingine, Leo mnakuja hivi kesho hatujui mtakuja na lipi. Tuonyeshe dira na dhamira sio mikakati ya fursa za zimamoto.
Umesababisha mke wa mtu aachwe,  alipopewa talaka tu, eti ndio na wewe unatangaza ndoa halafu eti tukuchangie. Tutafika? Siasa mchezo mchafu!

From: 'ananilea nkya' via Mabadiliko Forum
Sent: ‎01/‎08/‎2015 01:21
To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Cc: WANA BIDII
Subject: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS

Mimi Ananilea Nkya tatizo langu kubwa kwa Lowassa lilikuwa ni ufisadi wa Richmond uliotafuna zaidi ya shilingi bilion 172 za wananchi. Baada ya kusikia kauli yake alipohojiwa na wanahabari siku alipojiunga na CHADEMA, na baada ya kujiridhisha kuwa kama alikuwa amehusika na ufisadi wa Richmond leo angelikuwa jela kama Yona na Mramba, namuunga mkono kugombea Urais. Naamini hata Dr Slaa amemkubali Lowassa kuwa mgombea Urais wa vyama vinanyounda UKAWA baada ya kujiridhisha kuwa mamlaka ya juu ilimbebesha Lowassa kashfa ya Richmond ili kunusuru serikali nzima kuanguka.

Lakini zaidi nimeongeza imani yangu kwa Lowassa baada ya kubaini kuwa hata Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere alimuona kama kijana makini mwenye maono na dhamira safi ya kuwatumikia Watanzania. Mwaka 1995 wakati Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi anamaliza muda wake  mwandishi wa habari Mwita Matinyi alimuliza Mwalimu Nyerere alikuwa anafikiri ni nani angeweza kumrithi Mwinyi kuiongoza Tanzania. Mwalimu alijibu Matinyi hivi. Nanukuu:
Ni kweli Mzee Mwinyi anaondoka lakini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wenye sifa za kuwaongoza Watanzania, kikubwa tu awe na dhamira kwa mfano wapo wakina Warioba, Mzee Msuya na Mark Bomani na wapo vijana hodari na wenye upeo mkubwa sana kama Mkapa, Kikwete na Lowassa ni jambo la heri sana CCM kuwa na watu kama hawa (Majira 26/5/1995) ukurasa wa 3; na Nipashe 26/5/95 ukurasa wa 3).

Pia nikiwa ripota Radio Tanzania Dar es Salaam niliwahi kufanya kazi na Lowassa katika miaka ya 90. Nilivyouona utendaji wake wa kazi zama hizo nashawishika kwamba anafaa kuwa kiongozi wa nchi yetu. Nilishuhudia akijituma kweli kweli kwenye kazi za umma zama hizo.

Kadhalika namuunga mkono Lowassa kwa sababu hagombei Urais kupitia chama cha CCM ambacho kinakumbatia mfumo wa kuwadhawau na kuwafukarisha wananchi huku watawala wachache wakineemeka kwa kutumia rasilimali za nchi kama vile nchi hii ni mali ya watawala, familia zao na marafiki za. Ninaamini kwa kugombea Urais kupitia UKAWA, CCM itapunguziwa dharau na jeuri yake dhidi ya wananchi ambao ndio wenye mamlaka ya mwisho kuhusu hatma ya nchi yetu. Mfano CCM mwaka jana 2014 ilionyesha dharau kubwa sana kwa wananchi kwa kuizika Rasimu ya Katiba iliyotengenezwa kwa kutumia maoni ya wananchi wakati fedha zaidi ya bilioni 130 zilitumika. Kwa kutumia mabilioni hayo bila Katiba Mpya kupatikana ni kufisadi mali za wananchi mchana kweupe. Haikubaliki.

Vile vile namuunga mkono Lowassa kwa kwa sababu anaukataa hadharani umaskini wa kuchongwa ambao watawala wanautumia kwa faida yao ili waendelee kuwanunua wananchi mafukara wakati wa uchaguzi na wakishapata madaraka waendelee kujineemesha na mali za nchi.

Nchi yetu siyo maskini bali watawala wanaendekeza matakwa ya wawekezaji (wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi) ambao wanaliibia taifa rasilimali nyingi na na hatimaye nchi za wawekezaji hao (donors)wanawapoza watawala kwa vijimisaadaa uchwara. Ni aibu sana kwa kiongozi wa Tanzania kijipitisha nchi moja hadi nyingine Marekani, Ulaya, China, India na Ausralia n.k kutembeza bakuli (omba omba kama matonya vile) huku nchi yetu ikiwa na rasilimali tele. Tena wakati watawala wanakwenda kuomba eti wanapanda ndege daraja la kwanza. Huu ni wenda wazimu. Ni kuiaibisha Tanzania na Afrika.

Sina chama cha siasa ninachofungamana nacho kwa sasa, lakini namuunga mkono Lowassa kugombea Urais kupitia UKAWA kwa sababu naamini akiwa Rais wa nchi yetu upuuzi huu wa kuendekeza umaskini kwa kuomba omba nchi za nje huku tukitoa mali za nchi honyo hovyo kwa wageni na kuamini kuwa maendeleo ya nchi yetu yataletwa kwa misaada kutoka nje, kutakomeshwa. Naamini hata hao wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi wanajua Lowassa hatachekacheka nao.

Lakini zaidi namuunga mkono Lowassa kwa sababu Watanzania wakiridhia kwenye sanduku huru la kura hapo Oktoba awe Rais wa Tanzania, vyama vinavyounda UKAWA vitasimamia kuhakikisha kuwa mamlaka ya wanannchi hayaporwi hivyo hovyo tena. Kwa hiyo Rasimu ya Katiba ya wananchi itaheshimiwa na nchi yetu itapata Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi. Kwa kufanya hivyo taifa hili litaanza kupiga hatua kubwa ya kuondoa ufukarishwaji wa wananchi walio wengi unaofanya na watawala wa CCM kwa kushirikiana na wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi.

Naridhia andiko langu hili lichapishwe na yeyote anayetaka
Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com


For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/1438381307.95951.YahooMailBasic%40web121006.mail.ne1.yahoo.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS"

Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS

Mushongi

Asante kwa ujumbe murua. Asante sana.
Kama vichwa vyetu vinaongozwa na hisia in hatari. Hivi hakika Leo CHADEMA wamefikia hapa?
Leo Lowasa in kila kitu.
Nakumbuka ile hadithi ya Mwenyenyumba alie msaidia tembo Mwishowe akatolewa nje.
Hivi Lowasa atakubali kuwa rais kwenye chama asiwe mwenyekiti?
Usalama wake utatoka wapi?
Hakumbuki ya Mrema na akina Marando Tanga?
Kama naona mwisho wa CHADEMA wakiwafuata wenzao NCCR na CUF.
Hili ni sawa na jaribio la mapinduzi ambalo likifeli ni kifo.

Walewale.

On Aug 1, 2015 10:46 AM, "Ireneus Mushongi" <ireneuskakurumushongi@gmail.com> wrote:
Mama Nkya
Haya yote Ni marudio Tu. Tumeshayasikia tokea vinywa mbali mbali.

Kwanini mnapindisha ukweli? Huyu huyu Dr Slaa alisema kuwa Ana ushahidi kuhusu Richmond Na Yuko tayari kuuwasilisha  mahakamani kama tu ENL atapelekwa kwa pilato.

Mbona hamuhoji hayo tena au siyo ya msingi sababu Mkaskazini huyu keshakuwa malaika na automatically msafi kwa kubadili jezi? Hawa jamaa ni wajanja wamecheza na nyakati wamehit kwenye msumari wa moto ukiwa haujapoa. Watu wamecheza na fursa adimu. Kimsingi wana malengo tofauti. Huyu ana hasira ya kuikomoa CCM hawa wanacheza na akili hiyo kujijenga kisiasa zaidi kwani popularity itaongezeka, status itapanda, watavuna wafuasi wengi at ago na si lazima waingie ikulu but watakuwa wamegain sana hata kuongeza wabunge 50 from the current number.

Next move atakuja Chenge. Ukihama CCM si unatakasika automatic? Huyu bwana ana team oliyojiuzuru naye. Sijawasikia wao kuhama au wanapima upepo bado hadi ufanyike uchaguzi. Hawa wote ndani ya Ukawa ni watukufu na wasafi hivi karibuni watajoin majeshi na kubadili jezi. Hawa hawa waliokuwa wanawaponda watawashangilia sana na kuwaita majembe!

Ninaamini Mbowe, Slaa, Lipumba, Mbatia,  na UKAWA top yote hawampendi ENL ila wametumia fursa hii kuachieve strategy zao za kisiasa. Time will tell. Kumsafisha au kutomsafisha haihusu sana. Washasema ilikuwa ni mambo ya kisiasa zaidi so watapima matokeo baadaye! Muhimu ni kugain tu kwa sasa kabla ENL hajarudi kwenye normal senses.

Tutaona mwisho wa haya... Heri sisi tusiofungamana na kipande yoyote.... Tunahitaji mabadiliko ya kweli sio ya kinafiki. Msituchanganye! Jana mlikuja kivingine, Leo mnakuja hivi kesho hatujui mtakuja na lipi. Tuonyeshe dira na dhamira sio mikakati ya fursa za zimamoto.
Umesababisha mke wa mtu aachwe,  alipopewa talaka tu, eti ndio na wewe unatangaza ndoa halafu eti tukuchangie. Tutafika? Siasa mchezo mchafu!

From: 'ananilea nkya' via Mabadiliko Forum
Sent: ‎01/‎08/‎2015 01:21
To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Cc: WANA BIDII
Subject: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS

Mimi Ananilea Nkya tatizo langu kubwa kwa Lowassa lilikuwa ni ufisadi wa Richmond uliotafuna zaidi ya shilingi bilion 172 za wananchi. Baada ya kusikia kauli yake alipohojiwa na wanahabari siku alipojiunga na CHADEMA, na baada ya kujiridhisha kuwa kama alikuwa amehusika na ufisadi wa Richmond leo angelikuwa jela kama Yona na Mramba, namuunga mkono kugombea Urais. Naamini hata Dr Slaa amemkubali Lowassa kuwa mgombea Urais wa vyama vinanyounda UKAWA baada ya kujiridhisha kuwa mamlaka ya juu ilimbebesha Lowassa kashfa ya Richmond ili kunusuru serikali nzima kuanguka.

Lakini zaidi nimeongeza imani yangu kwa Lowassa baada ya kubaini kuwa hata Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere alimuona kama kijana makini mwenye maono na dhamira safi ya kuwatumikia Watanzania. Mwaka 1995 wakati Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi anamaliza muda wake  mwandishi wa habari Mwita Matinyi alimuliza Mwalimu Nyerere alikuwa anafikiri ni nani angeweza kumrithi Mwinyi kuiongoza Tanzania. Mwalimu alijibu Matinyi hivi. Nanukuu:
Ni kweli Mzee Mwinyi anaondoka lakini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wenye sifa za kuwaongoza Watanzania, kikubwa tu awe na dhamira kwa mfano wapo wakina Warioba, Mzee Msuya na Mark Bomani na wapo vijana hodari na wenye upeo mkubwa sana kama Mkapa, Kikwete na Lowassa ni jambo la heri sana CCM kuwa na watu kama hawa (Majira 26/5/1995) ukurasa wa 3; na Nipashe 26/5/95 ukurasa wa 3).

Pia nikiwa ripota Radio Tanzania Dar es Salaam niliwahi kufanya kazi na Lowassa katika miaka ya 90. Nilivyouona utendaji wake wa kazi zama hizo nashawishika kwamba anafaa kuwa kiongozi wa nchi yetu. Nilishuhudia akijituma kweli kweli kwenye kazi za umma zama hizo.

Kadhalika namuunga mkono Lowassa kwa sababu hagombei Urais kupitia chama cha CCM ambacho kinakumbatia mfumo wa kuwadhawau na kuwafukarisha wananchi huku watawala wachache wakineemeka kwa kutumia rasilimali za nchi kama vile nchi hii ni mali ya watawala, familia zao na marafiki za. Ninaamini kwa kugombea Urais kupitia UKAWA, CCM itapunguziwa dharau na jeuri yake dhidi ya wananchi ambao ndio wenye mamlaka ya mwisho kuhusu hatma ya nchi yetu. Mfano CCM mwaka jana 2014 ilionyesha dharau kubwa sana kwa wananchi kwa kuizika Rasimu ya Katiba iliyotengenezwa kwa kutumia maoni ya wananchi wakati fedha zaidi ya bilioni 130 zilitumika. Kwa kutumia mabilioni hayo bila Katiba Mpya kupatikana ni kufisadi mali za wananchi mchana kweupe. Haikubaliki.

Vile vile namuunga mkono Lowassa kwa kwa sababu anaukataa hadharani umaskini wa kuchongwa ambao watawala wanautumia kwa faida yao ili waendelee kuwanunua wananchi mafukara wakati wa uchaguzi na wakishapata madaraka waendelee kujineemesha na mali za nchi.

Nchi yetu siyo maskini bali watawala wanaendekeza matakwa ya wawekezaji (wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi) ambao wanaliibia taifa rasilimali nyingi na na hatimaye nchi za wawekezaji hao (donors)wanawapoza watawala kwa vijimisaadaa uchwara. Ni aibu sana kwa kiongozi wa Tanzania kijipitisha nchi moja hadi nyingine Marekani, Ulaya, China, India na Ausralia n.k kutembeza bakuli (omba omba kama matonya vile) huku nchi yetu ikiwa na rasilimali tele. Tena wakati watawala wanakwenda kuomba eti wanapanda ndege daraja la kwanza. Huu ni wenda wazimu. Ni kuiaibisha Tanzania na Afrika.

Sina chama cha siasa ninachofungamana nacho kwa sasa, lakini namuunga mkono Lowassa kugombea Urais kupitia UKAWA kwa sababu naamini akiwa Rais wa nchi yetu upuuzi huu wa kuendekeza umaskini kwa kuomba omba nchi za nje huku tukitoa mali za nchi honyo hovyo kwa wageni na kuamini kuwa maendeleo ya nchi yetu yataletwa kwa misaada kutoka nje, kutakomeshwa. Naamini hata hao wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi wanajua Lowassa hatachekacheka nao.

Lakini zaidi namuunga mkono Lowassa kwa sababu Watanzania wakiridhia kwenye sanduku huru la kura hapo Oktoba awe Rais wa Tanzania, vyama vinavyounda UKAWA vitasimamia kuhakikisha kuwa mamlaka ya wanannchi hayaporwi hivyo hovyo tena. Kwa hiyo Rasimu ya Katiba ya wananchi itaheshimiwa na nchi yetu itapata Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi. Kwa kufanya hivyo taifa hili litaanza kupiga hatua kubwa ya kuondoa ufukarishwaji wa wananchi walio wengi unaofanya na watawala wa CCM kwa kushirikiana na wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi.

Naridhia andiko langu hili lichapishwe na yeyote anayetaka
Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com


For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/1438381307.95951.YahooMailBasic%40web121006.mail.ne1.yahoo.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS"

[wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS

Mama Nkya
Haya yote Ni marudio Tu. Tumeshayasikia tokea vinywa mbali mbali.

Kwanini mnapindisha ukweli? Huyu huyu Dr Slaa alisema kuwa Ana ushahidi kuhusu Richmond Na Yuko tayari kuuwasilisha  mahakamani kama tu ENL atapelekwa kwa pilato.

Mbona hamuhoji hayo tena au siyo ya msingi sababu Mkaskazini huyu keshakuwa malaika na automatically msafi kwa kubadili jezi? Hawa jamaa ni wajanja wamecheza na nyakati wamehit kwenye msumari wa moto ukiwa haujapoa. Watu wamecheza na fursa adimu. Kimsingi wana malengo tofauti. Huyu ana hasira ya kuikomoa CCM hawa wanacheza na akili hiyo kujijenga kisiasa zaidi kwani popularity itaongezeka, status itapanda, watavuna wafuasi wengi at ago na si lazima waingie ikulu but watakuwa wamegain sana hata kuongeza wabunge 50 from the current number.

Next move atakuja Chenge. Ukihama CCM si unatakasika automatic? Huyu bwana ana team oliyojiuzuru naye. Sijawasikia wao kuhama au wanapima upepo bado hadi ufanyike uchaguzi. Hawa wote ndani ya Ukawa ni watukufu na wasafi hivi karibuni watajoin majeshi na kubadili jezi. Hawa hawa waliokuwa wanawaponda watawashangilia sana na kuwaita majembe!

Ninaamini Mbowe, Slaa, Lipumba, Mbatia,  na UKAWA top yote hawampendi ENL ila wametumia fursa hii kuachieve strategy zao za kisiasa. Time will tell. Kumsafisha au kutomsafisha haihusu sana. Washasema ilikuwa ni mambo ya kisiasa zaidi so watapima matokeo baadaye! Muhimu ni kugain tu kwa sasa kabla ENL hajarudi kwenye normal senses.

Tutaona mwisho wa haya... Heri sisi tusiofungamana na kipande yoyote.... Tunahitaji mabadiliko ya kweli sio ya kinafiki. Msituchanganye! Jana mlikuja kivingine, Leo mnakuja hivi kesho hatujui mtakuja na lipi. Tuonyeshe dira na dhamira sio mikakati ya fursa za zimamoto.
Umesababisha mke wa mtu aachwe,  alipopewa talaka tu, eti ndio na wewe unatangaza ndoa halafu eti tukuchangie. Tutafika? Siasa mchezo mchafu!

From: 'ananilea nkya' via Mabadiliko Forum
Sent: ‎01/‎08/‎2015 01:21
To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Cc: WANA BIDII
Subject: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS

Mimi Ananilea Nkya tatizo langu kubwa kwa Lowassa lilikuwa ni ufisadi wa Richmond uliotafuna zaidi ya shilingi bilion 172 za wananchi. Baada ya kusikia kauli yake alipohojiwa na wanahabari siku alipojiunga na CHADEMA, na baada ya kujiridhisha kuwa kama alikuwa amehusika na ufisadi wa Richmond leo angelikuwa jela kama Yona na Mramba, namuunga mkono kugombea Urais. Naamini hata Dr Slaa amemkubali Lowassa kuwa mgombea Urais wa vyama vinanyounda UKAWA baada ya kujiridhisha kuwa mamlaka ya juu ilimbebesha Lowassa kashfa ya Richmond ili kunusuru serikali nzima kuanguka.

Lakini zaidi nimeongeza imani yangu kwa Lowassa baada ya kubaini kuwa hata Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere alimuona kama kijana makini mwenye maono na dhamira safi ya kuwatumikia Watanzania. Mwaka 1995 wakati Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi anamaliza muda wake  mwandishi wa habari Mwita Matinyi alimuliza Mwalimu Nyerere alikuwa anafikiri ni nani angeweza kumrithi Mwinyi kuiongoza Tanzania. Mwalimu alijibu Matinyi hivi. Nanukuu:
Ni kweli Mzee Mwinyi anaondoka lakini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wenye sifa za kuwaongoza Watanzania, kikubwa tu awe na dhamira kwa mfano wapo wakina Warioba, Mzee Msuya na Mark Bomani na wapo vijana hodari na wenye upeo mkubwa sana kama Mkapa, Kikwete na Lowassa ni jambo la heri sana CCM kuwa na watu kama hawa (Majira 26/5/1995) ukurasa wa 3; na Nipashe 26/5/95 ukurasa wa 3).

Pia nikiwa ripota Radio Tanzania Dar es Salaam niliwahi kufanya kazi na Lowassa katika miaka ya 90. Nilivyouona utendaji wake wa kazi zama hizo nashawishika kwamba anafaa kuwa kiongozi wa nchi yetu. Nilishuhudia akijituma kweli kweli kwenye kazi za umma zama hizo.

Kadhalika namuunga mkono Lowassa kwa sababu hagombei Urais kupitia chama cha CCM ambacho kinakumbatia mfumo wa kuwadhawau na kuwafukarisha wananchi huku watawala wachache wakineemeka kwa kutumia rasilimali za nchi kama vile nchi hii ni mali ya watawala, familia zao na marafiki za. Ninaamini kwa kugombea Urais kupitia UKAWA, CCM itapunguziwa dharau na jeuri yake dhidi ya wananchi ambao ndio wenye mamlaka ya mwisho kuhusu hatma ya nchi yetu. Mfano CCM mwaka jana 2014 ilionyesha dharau kubwa sana kwa wananchi kwa kuizika Rasimu ya Katiba iliyotengenezwa kwa kutumia maoni ya wananchi wakati fedha zaidi ya bilioni 130 zilitumika. Kwa kutumia mabilioni hayo bila Katiba Mpya kupatikana ni kufisadi mali za wananchi mchana kweupe. Haikubaliki.

Vile vile namuunga mkono Lowassa kwa kwa sababu anaukataa hadharani umaskini wa kuchongwa ambao watawala wanautumia kwa faida yao ili waendelee kuwanunua wananchi mafukara wakati wa uchaguzi na wakishapata madaraka waendelee kujineemesha na mali za nchi.

Nchi yetu siyo maskini bali watawala wanaendekeza matakwa ya wawekezaji (wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi) ambao wanaliibia taifa rasilimali nyingi na na hatimaye nchi za wawekezaji hao (donors)wanawapoza watawala kwa vijimisaadaa uchwara. Ni aibu sana kwa kiongozi wa Tanzania kijipitisha nchi moja hadi nyingine Marekani, Ulaya, China, India na Ausralia n.k kutembeza bakuli (omba omba kama matonya vile) huku nchi yetu ikiwa na rasilimali tele. Tena wakati watawala wanakwenda kuomba eti wanapanda ndege daraja la kwanza. Huu ni wenda wazimu. Ni kuiaibisha Tanzania na Afrika.

Sina chama cha siasa ninachofungamana nacho kwa sasa, lakini namuunga mkono Lowassa kugombea Urais kupitia UKAWA kwa sababu naamini akiwa Rais wa nchi yetu upuuzi huu wa kuendekeza umaskini kwa kuomba omba nchi za nje huku tukitoa mali za nchi honyo hovyo kwa wageni na kuamini kuwa maendeleo ya nchi yetu yataletwa kwa misaada kutoka nje, kutakomeshwa. Naamini hata hao wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi wanajua Lowassa hatachekacheka nao.

Lakini zaidi namuunga mkono Lowassa kwa sababu Watanzania wakiridhia kwenye sanduku huru la kura hapo Oktoba awe Rais wa Tanzania, vyama vinavyounda UKAWA vitasimamia kuhakikisha kuwa mamlaka ya wanannchi hayaporwi hivyo hovyo tena. Kwa hiyo Rasimu ya Katiba ya wananchi itaheshimiwa na nchi yetu itapata Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi. Kwa kufanya hivyo taifa hili litaanza kupiga hatua kubwa ya kuondoa ufukarishwaji wa wananchi walio wengi unaofanya na watawala wa CCM kwa kushirikiana na wakoloni wa zama hizi za utandawazi wizi.

Naridhia andiko langu hili lichapishwe na yeyote anayetaka
Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com


For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/1438381307.95951.YahooMailBasic%40web121006.mail.ne1.yahoo.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] RE: [Mabadiliko] NINAMUUNGA MKONO LOWASSA KUGOMBEA URAIS"