Nakubaliana na wewe, lakini haitaitajika dini au imani inayowafundisha watu kusubiri mahajabu, dini au imani hizo ukichanganya na za waganga hao ndiyo wanaotengeneza akili za njia ya mkato.
--------------------------------------------
On Tue, 5/5/15, 'Hamisi Nkuluzi' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] ELIMU ZAIDI YATAKIWA KUBADILI JAMII KUTHAMINI MAALBINO
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, May 5, 2015, 11:21 AM
Hi !
WapendwaNatumaini
kwa Uwezo wa Mungu suala la Kuzuia mauaji ya Albino
litafanikiwa tu pale Taifa litakapomugeukia Mungu kuacha
njia za Uovu pamoja na mawazo mabaya juu ya mwingine. Nina
hakika kila mmoja kwa imani ,utii na kwa uaminifu
tukiacha njia za kibinadamu na kumtwisha Mzigo huo bila
shaka Mungu anaweza.Kumbukeni kuna roho wa tamaa ,
Ujinga(Kupofushwa akili bila kujali nafasi yako ni
tajiri,maskini au umesoma sana ) na kisasi ; roho hiyo
haitolewi kwa ngonjera, vipeperushi,nyimbo,Kampeni ,nk
;tumbuke kuna adhabu kali dhidi ya wabakaji,wauaji,wauzaji
madawa ya kulevya lakini binadamu kwa kuwa amefunikwa na
roho ya tamaa hawezi kuacha badala ya kukoma ana buni njia
nyingine .
Asante
On Tuesday, May 5,
2015 7:23 AM, zainul mzige <zainul.mzige21@gmail.com>
wrote:
Habari za
asubuhi,
Tafadhali pokea CODES
<span style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0016.jpg"><img
class="size-full wp-image-134968 aligncenter"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0016.jpg"
alt="DSC_0016" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Meneja wa Kituo
cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza
Bw. Felician Ncheye akiwakaribisha mameneja wa Redio
za jamii nchini (hawapo pichani) walioshiriki kwenye mafunzo
ya siku moja ya kutoa elimu kwa Redio za jamii nchini juu ya
kuandaa vipindi vyenye ujumbe sahihi wa masuala yanayohusu
watu wenye Albinism iliofanyika katika kituo cha Redio Jamii
Sengerema hivi karibuni. Katikati ni Afisa mtetezi na
ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye
Albinism la Under The Same Sun (UTSS), Kondo Seif
na kulia ni Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na
Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na
Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin
Yusuph.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Na <a
style="color: #000080;" href="http://www.modewjiblog.com/">modewjiblog</a>
team,
Sengerema</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Ofisa
mtetezi na ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu
wenye Albinism la Under The Same Sun (UTSS) Kondo Seif,
ameitaka jamii kuungana kupiga vita imani potofu
zinazosababisha mauaji kwa watu wenye
albinism.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Alisema
jamii ikiamka na kuamua kumaliza tatizo hilo, mauaji hayo
yatakoma.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Kauli
hiyo aliitoa katika semina ya siku moja ya elimu kwa Redio
za jamii nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye
ujumbe sahihi ya masuala yanayohusu watu wenye Albinism
iliofanyika katika kituo cha Redio Jamii Sengerema mkoani
Mwanza hivi
karibuni.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Kondo
alisema katika jamii kumekuwa na imani potofu ambapo
Albinism wamekuwa wakiitwa majina yanayolenga kunyanyapaliwa
na kusababisha kushamiri kwa vitendo vya ukatili na
mauaji dhidi
yao.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Aliitaka
jamii kutambua kuwa albinism ni hali ya ukosefu wa rangi
asilia mwilini inayoathiri ngozi, macho na nywele na ni
nadra hali hiyo kupatikana na haiambukizi kama watu wengine
wanavyodhani.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Aidha
ametaja jina sahihi la Kiswahili lililokubaliwa na baraza la
Kiswahili Tanzania kuitwa watu wenye albinism kuwa ni watu
wenye
ualbino.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Alisema
watu wenye ualbino wamekuwa wakikabiliwa na changamoto za
kukosekana kwa taarifa sahihi zinawagusa wao kama
ngozi kushindwa kuhimili jua, uoni hafifu na kupungua kwa
usalama.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Kwa
mujibu wa Takwimu za shirika hilo watu wenye Albinism
zaidi ya albino 70 nchini Tanzania wameuawa, zaidi ya
30 wamekatwa viungo vyao na makaburi ya watu wenye Albinism
20
yamefukuliwa.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Ameviomba
vyombo vya habari kushiriki kikamilifu kutoa elimu sahihi
kwa jamii ili kustawisha maisha ya watu wenye Albinisms kuwa
kufanya hivyo maendeleo yao, jamii na taifa kwa ujumla
yataimarika.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Awali
akizungumza na washiriki wa semina hiyo Ofisa Miradi ya
Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la
Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph
aliwataka waandishi wa habari kuzingatia matumizi sahihi ya
lugha wanapoandika habari na kuandaa vipindi
vinavyozungumzia masuala ya
Albinism.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Pia
amesisitiza kuandaa vipindi vinavyobeba ujumbe sahihi wa
kuelimisha jamii juu ya masuala yanayohusu Albinism ili
kubadilisha mitazamo ya jamii ili kuwathamini,
kuwalinda, kuwaheshimu na kuwashirikisha katika
maendeleo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Sambamba
na hilo amevitaka pia kubeba jukumu kubwa la
kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu zoezi la
uandikishaji katika daftari la kudumu la mpiga kura na
kutoishia kujiandikisha tu bali wajitokeze kupiga kura
kuwachagua viongozi ambao ni Madiwani, Wabunge na Raisi
October 2015 pamoja na kuipigia kura katiba
inayopendekezwa wakati
ukifika.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000080;"><strong>Ameongeza
katika matukio hayo muhimu ya kitaifa watu wenye Albinism
wahamasishwe kushiriki kikamilifu vile vile na makundi
mengine kama wanawake, vijana, watu wenye ulemavu, wazee na
makundi mengine
maalum.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0031.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-134971"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0031.jpg"
alt="DSC_0031" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Ofisa Miradi ya
Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la
Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph
akielezea dhima ya UNESCO kuwashirikisha shirika la Under
The Same Sun (UTSS) kutoa elimu kwa Redio jamii ili kupaza
sauti kwa jamii dhidi ya mauaji ya watu wenye Albinisim
pamoja na kutatua changamoto zinazowakabili walemavu wa
ngozi.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0005.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-134969"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0005.jpg"
alt="DSC_0005" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Mshauri na
Mkufunzi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu,
Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi. Rose Haji Mwalimu akitoa
mwongozo kwa washiriki wa semina
hiyo.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0199.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-134967"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0199.jpg"
alt="DSC_0199" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Afisa mtetezi na
ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye
Albinism la Under The Same Sun (UTSS), Kondo Seif
akiendesha mafunzo kwa mameneja wa Redio jamii nchini
(hawapo pichani) kwenye semina ya siku moja iliyofanyika
wilayani Sengerema mkoa wa Mwanza. Katikati ni Ofisa Miradi
ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la
Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin
Yusuph.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0055.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-134970"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0055.jpg"
alt="DSC_0055" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0071.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-134972"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0071.jpg"
alt="DSC_0071" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Meneja wa Redio
jamii Mpanda FM iliyopo mkoani Katavi, Prosper Kwigize
akichangia maoni yake kwenye semina hiyo namna ya kudhibiti
mauaji ya watu wenye Albinism iliyofanyika hivi karibuni
wilayani Sengerema mkoa wa
Mwanza.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0076.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-134973"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0076.jpg"
alt="DSC_0076" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Meneja wa kituo
cha Redio Jamii FADECO ya wilayani Karagwe, Adelina
Lweramula akielezea jitahada za kituo chake cha Redio
kinavyoshiriki katika kukemea mauaji ya watu wenye Albinism
kwa kuendesha midahalo mbalimbali pamoja na makala maalum
kuhusiana na walemavu wa
ngozi.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0013.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-134974"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0013.jpg"
alt="DSC_0013" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Baadhi ya mameneja
wa vituo vya Redio jamii nchini walioshiriki semina hiyo ya
siku moja wakifuatilia kwa umakini mafunzo yaliyokuwa
yakitolewa na Bwana Kondo Seif (hayupo pichani) wa Shirika
la Under The Same Sun
(UTSS).</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0008.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-134975"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0008.jpg"
alt="DSC_0008" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0042.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-134976"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0042.jpg"
alt="DSC_0042" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0233.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-134977"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0233.jpg"
alt="DSC_0233" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Mkufunzi wa semina
ya siku moja kwa Mameneja wa Redio jamii nchini Kondo Seif
akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa
semina
hiyo.</strong></em></span></p>
KAWAIDA
Meneja wa Kituo cha
Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani
Mwanza Bw. Felician Ncheye akiwakaribisha mameneja wa
Redio za jamii nchini (hawapo pichani) walioshiriki kwenye
mafunzo ya siku moja ya kutoa elimu kwa Redio za jamii
nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye ujumbe sahihi wa
masuala yanayohusu watu wenye Albinism iliofanyika katika
kituo cha Redio Jamii Sengerema hivi karibuni. Katikati ni
Afisa mtetezi na ushawishi kutoka shirika linaloshughulika
na watu wenye Albinism la Under The Same Sun (UTSS),
Kondo Seif na kulia ni Ofisa Miradi ya
Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la
Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin
Yusuph.Na modewjiblog team,
SengeremaOfisa mtetezi na
ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye
Albinism la Under The Same Sun (UTSS) Kondo Seif, ameitaka
jamii kuungana kupiga vita imani potofu zinazosababisha
mauaji kwa watu wenye albinism.Alisema jamii ikiamka na
kuamua kumaliza tatizo hilo, mauaji hayo
yatakoma.Kauli hiyo aliitoa
katika semina ya siku moja ya elimu kwa Redio za jamii
nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye ujumbe
sahihi ya masuala yanayohusu watu wenye Albinism iliofanyika
katika kituo cha Redio Jamii Sengerema mkoani Mwanza hivi
karibuni.Kondo alisema katika
jamii kumekuwa na imani potofu ambapo Albinism wamekuwa
wakiitwa majina yanayolenga kunyanyapaliwa na kusababisha
kushamiri kwa vitendo vya ukatili na mauaji dhidi
yao.Aliitaka jamii kutambua
kuwa albinism ni hali ya ukosefu wa rangi asilia mwilini
inayoathiri ngozi, macho na nywele na ni nadra hali hiyo
kupatikana na haiambukizi kama watu wengine
wanavyodhani.Aidha ametaja jina
sahihi la Kiswahili lililokubaliwa na baraza la Kiswahili
Tanzania kuitwa watu wenye albinism kuwa ni watu wenye
ualbino.Alisema watu wenye
ualbino wamekuwa wakikabiliwa na changamoto za kukosekana
kwa taarifa sahihi zinawagusa wao kama ngozi kushindwa
kuhimili jua, uoni hafifu na kupungua kwa
usalama.Kwa mujibu wa Takwimu za
shirika hilo watu wenye Albinism zaidi ya albino
70 nchini Tanzania wameuawa, zaidi ya 30 wamekatwa viungo
vyao na makaburi ya watu wenye Albinism 20
yamefukuliwa.Ameviomba vyombo vya
habari kushiriki kikamilifu kutoa elimu sahihi kwa jamii ili
kustawisha maisha ya watu wenye Albinisms kuwa kufanya hivyo
maendeleo yao, jamii na taifa kwa ujumla
yataimarika.Awali akizungumza na
washiriki wa semina hiyo Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari
na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na
Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph aliwataka
waandishi wa habari kuzingatia matumizi sahihi ya lugha
wanapoandika habari na kuandaa vipindi vinavyozungumzia
masuala ya Albinism.Pia amesisitiza kuandaa
vipindi vinavyobeba ujumbe sahihi wa kuelimisha jamii juu ya
masuala yanayohusu Albinism ili kubadilisha mitazamo ya
jamii ili kuwathamini, kuwalinda, kuwaheshimu na
kuwashirikisha katika maendeleo.Sambamba na hilo
amevitaka pia kubeba jukumu kubwa la kuhamasisha wananchi
kushiriki kikamilifu zoezi la uandikishaji katika daftari la
kudumu la mpiga kura na kutoishia kujiandikisha tu
bali wajitokeze kupiga kura kuwachagua viongozi ambao ni
Madiwani, Wabunge na Raisi October 2015 pamoja na
kuipigia kura katiba inayopendekezwa wakati
ukifika.Ameongeza katika matukio
hayo muhimu ya kitaifa watu wenye Albinism wahamasishwe
kushiriki kikamilifu vile vile na makundi mengine kama
wanawake, vijana, watu wenye ulemavu, wazee na makundi
mengine maalum.Ofisa Miradi ya
Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la
Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph
akielezea dhima ya UNESCO kuwashirikisha shirika la Under
The Same Sun (UTSS) kutoa elimu kwa Redio jamii ili kupaza
sauti kwa jamii dhidi ya mauaji ya watu wenye Albinisim
pamoja na kutatua changamoto zinazowakabili walemavu wa
ngozi.Mshauri na Mkufunzi
kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na
Utamaduni (UNESCO) Bi. Rose Haji Mwalimu akitoa mwongozo kwa
washiriki wa semina hiyo.Afisa mtetezi na
ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye
Albinism la Under The Same Sun (UTSS), Kondo Seif
akiendesha mafunzo kwa mameneja wa Redio jamii nchini
(hawapo pichani) kwenye semina ya siku moja iliyofanyika
wilayani Sengerema mkoa wa Mwanza. Katikati ni Ofisa
Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la
Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al
Amin Yusuph.Meneja wa Redio jamii
Mpanda FM iliyopo mkoani Katavi, Prosper Kwigize akichangia
maoni yake kwenye semina hiyo namna ya kudhibiti mauaji ya
watu wenye Albinism iliyofanyika hivi karibuni wilayani
Sengerema mkoa wa Mwanza.Meneja wa kituo cha
Redio Jamii FADECO ya wilayani Karagwe, Adelina Lweramula
akielezea jitahada za kituo chake cha Redio kinavyoshiriki
katika kukemea mauaji ya watu wenye Albinism kwa kuendesha
midahalo mbalimbali pamoja na makala maalum kuhusiana na
walemavu wa ngozi.Baadhi ya mameneja wa
vituo vya Redio jamii nchini walioshiriki semina hiyo ya
siku moja wakifuatilia kwa umakini mafunzo yaliyokuwa
yakitolewa na Bwana Kondo Seif (hayupo pichani) wa Shirika
la Under The Same Sun (UTSS).Mkufunzi wa semina ya
siku moja kwa Mameneja wa Redio jamii nchini Kondo Seif
akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa
semina hiyo.
--
Zainul A.
Mzige,Operation
Manager,MO BLOG,www.modewjiblog.com+255714940992.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment