Thursday, 19 March 2015

[wanabidii] MAMA WA MITINDO ASIA IDAROUS KUPAMBA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI ZANZIBAR MACHI 22

Good morning tena, Tafadhali pokea CODES.


<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/11072283_933753296658934_392071823375109477_n.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-131279" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/11072283_933753296658934_392071823375109477_n.jpg" alt="11072283_933753296658934_392071823375109477_n" width="480" height="480" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><strong>..burudani kutolewa na Baby J, Coconut na Zanzibar One Modern taarab</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na Andrew Chale wa <span style="color: #800080;"><em><a style="color: #800080;" href="http://www.modewjiblog.com/">Modewji blog</a></em></span></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Machi 22 mwaka huu Kisiwa cha Unguja, Zanzibar kinatarajiwa kuwa na tukio moja kubwa litakalowakutanisha Wanawake mbalimbali na kusheherekea siku ya Mwanamke Dunia, ndani ya ukumbi wa Bwawani Hoteli.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Katika tukio hilo, linatarajiwa kuwa pia na shamra shamra ikiwemo za mitindo ya mavazi kutoka kwa gwiji wa mitindo Nchini, Mama Asia Idarous Khamsin atakaye onesha mavazi mbalimbali siku hiyo  akiwa sambamba na  Mbunifu wa mavazi wa Zanzibar, Matilda Revelian wa Matty Designs.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Sherehe hizo zimeandaliwa na kikundi cha akina mama cha Zanzibalicious Women Group,  chenye maendeleo makubwa kwa sasa hapa nchini.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_9704.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-131280" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_9704.jpg" alt="IMG_9704" width="426" height="640" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Usiku huo utapambwa na burudani mbalimbali akiwemo mwanamuziki Baby J. Wengine ni bendi ya Coconut na Zanzibar One Modern taarab.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha, Asia Idarous Khamisin amekisifia kikundi kilichoandaa halfa hiyo ya siku ya Mwanamke Duniani kwa Zanzibar, kwani ndio kwa mara ya kwanza  Zanzibar wanawake na kusheherekea siku hiyo ya mwanamke duniani.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Usiku huo kiingilio kinatarajia kuwa sh. 35,000 kwa viti vya kawaida  na sh 50,000 kwa upande wa V.I.P.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha, kwa wadau wanaotaka tiketi wanaweza kutembelea katika maduka yaliyopo Mlandege Al Bashaer Tour, Magereza Ms Saloon, Michenzani Sas Saloon au kupitia mawasiliano ya simu ya namba:  <span style="color: #800080;">0777418324</span>, au <span style="color: #800080;">0777868766, 0715080399</span></strong></span></p>

KAWAIDA

11072283_933753296658934_392071823375109477_n

..burudani kutolewa na Baby J, Coconut na Zanzibar One Modern taarab

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Machi 22 mwaka huu Kisiwa cha Unguja, Zanzibar kinatarajiwa kuwa na tukio moja kubwa litakalowakutanisha Wanawake mbalimbali na kusheherekea siku ya Mwanamke Dunia, ndani ya ukumbi wa Bwawani Hoteli.

Katika tukio hilo, linatarajiwa kuwa pia na shamra shamra ikiwemo za mitindo ya mavazi kutoka kwa gwiji wa mitindo Nchini, Mama Asia Idarous Khamsin atakaye onesha mavazi mbalimbali siku hiyo  akiwa sambamba na  Mbunifu wa mavazi wa Zanzibar, Matilda Revelian wa Matty Designs.

Sherehe hizo zimeandaliwa na kikundi cha akina mama cha Zanzibalicious Women Group,  chenye maendeleo makubwa kwa sasa hapa nchini.

IMG_9704

Usiku huo utapambwa na burudani mbalimbali akiwemo mwanamuziki Baby J. Wengine ni bendi ya Coconut na Zanzibar One Modern taarab.

Aidha, Asia Idarous Khamisin amekisifia kikundi kilichoandaa halfa hiyo ya siku ya Mwanamke Duniani kwa Zanzibar, kwani ndio kwa mara ya kwanza  Zanzibar wanawake na kusheherekea siku hiyo ya mwanamke duniani.

Usiku huo kiingilio kinatarajia kuwa sh. 35,000 kwa viti vya kawaida  na sh 50,000 kwa upande wa V.I.P.

Aidha, kwa wadau wanaotaka tiketi wanaweza kutembelea katika maduka yaliyopo Mlandege Al Bashaer Tour, Magereza Ms Saloon, Michenzani Sas Saloon au kupitia mawasiliano ya simu ya namba:  0777418324, au 0777868766, 0715080399


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment