Ameshiba nini? Kaiba katosheka? Basi anastahili kurudisha alivyoiba. Kama unaamini unachokisema basi nasubiri manifesto yake ikiwaeleza waTanzania kuwa yeye ameiba ametosheka sasa amehonga watu wampigie kampeni ashinde awe rais lakini hatakuwa na mpango wq kurudisha fedha alizotumia. Awaeleze watanzania hivyo
--------------------------------------------
On Thu, 3/26/15, 'lesian mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, March 26, 2015, 1:54 AM
Elisa unatumiwaaaaaaaa
na
watanzania hawatakusikia hata kidogo ni lowasa tu kama ni
fisadi nadhani kashiba basi hataiba tena kuliko kuliweka
lijitu lenye njaa atakwiba shibe lowasa wanadai yeye hana
njaaa tena anahitaji tu kutusaidiaaaaa, hili nalo
unasemajeeeeee
From: 'ELISA
MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
To:
wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, March
25, 2015 11:12 AM
Subject: Re:
[wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO
Maximilian mimi nimefanya hivyo. Sijajua kama
niweke humu njia niliyotumia kushawishi niliyefikiri anafaa
kuliongoza Taifa hili.
Nilitumia njia ambayo
watu wenye akili wanatumia.
Hawa walikuwa
hawashawishi huyu walikuwa wamelipwa kufanya hivyo.
Kuwaalika waandishi wa habari, kufanya
maandamano, wakakuta kumeandaliwa soda huko sio
kushawishi.
Siku moja nitaweka humu document
niliyowahi kuitoa kutaka kushawishi mtu ninayefikiri anafaa
kuliongoza taifa hili.
Ni document ya kurasa
sita. Ukiisoma utakubali kuwa hawa ni wasanii.
--------------------------------------------
On Wed, 3/25/15, 'shedrack maximilian'
via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: Re:
[wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wednesday, March 25, 2015, 5:03 PM
Kila mwenye uwezo na sifa
ajitokeze
au ashawishiwe .Hata wewe Elisa
tumia nafasi hiyo
kumshawishi unayefikiri
anafaa!!!
--------------------------------------------
On Wed, 25/3/15, 'eid omari' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: Re: [wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS
TUSIPOKUWA MACHO
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wednesday, 25 March, 2015, 9:12
Safi Elisa kwa
mtazamo
wako, i like
that........................
Omary Iddy,DAGROFORESTRY RESEARCH TANZANIA
FORESTY RESEARCH INSTITUTE(TAFORI)P.O BOX
1257,SHINYANGATANZANIA.Tel:+255 28 276
3249MOBILE:+255 713
728 672FAX:+255 28
276 2198EMAIL:eidomari@yahoo.com
--------------------------------------------
On Wed, 3/25/15, 'Reuben
Mwandumbya'
via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: Re:
[wanabidii] RICHMOND
ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO
To:
"wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, March 25, 2015, 7:49 AM
Elisa
&
Chamani;You have
said it all.Thanks Reuben
On
Tuesday, March
24, 2015 6:38 PM, amour
chamani <abachamani@gmail.com>
wrote:
Unapata tabu ya
bure.
Bagamoyo iwe na Mashehe
80 bado tu hujaelewa?
Walewale.
On Mar 24, 2015 11:35 PM,
"'ELISA MUHINGO' via
Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
TUSIPOANGALIA
RICHMOND
ITATUCHAGULIA RAIS
Ambaye hakijui kisa
cha mtoto mdogo kumuumbua
mfalme kuwa
anatembea uchi mbele ya watu
wazima waliokuwa wanaogopa
kumsema
'vibaya' mfalme anisamehe
maana sitakieleza.
Lakini ningependa
kusema mimi katika utoto
wangu
nawaonyesha
watu wazima habari za
mfalme anayetembea uchi mbele zetu.
Nadhibitisha kuwa mimi
ni mtoto mdogo sana nilizaliwa saa
9
usiku wa kuamkia 5 September 1952 katika
zahanati ya
Kashasha. I
am a young boy of
63 years now.
Mfalme mwenyewe ni watu hawa
wazima walioitikia kwa
kupotosha wito wa
Rais wetu Dr. Jakaya
Kikwete kuwa
Inawezekana kumpata rais kwa kumshawishi mmoja wetu
ambaye
hata kama hataki
lakini kama anaweza
kunamshawishi.
Watanzania wote tunajua kuwa
wapo wanachama wa CCM ambao
wanatumikia
adhabu ya kuangaliwa
mwenendo wao baada ya
kuonekana wanapiga kampeni ya kugombea uRais kabla ya
wakati. Waliofungiwa kufanya hivyo ni
pamoja
na waziri Mkuu
aliyejiuzuru kwa Kashfa
Mpendwa wetu
Edward Lowasa, Benard
Membe,
January Makamba, Wasira na kadhalika.
Moja kati
ya matendo
waliyokuwa wanafanya ni kujipitisha
kwenye makanisa na misikiti kujidai wanatoa
michango. Watu
wenye
akili wakatafsiri
matendo hayo kuwa ni
rushwa ya
kutaka
waungwe mkono wakati wa kugombea urais
Tamko la rais kuwa tunaweza kumshawishi
mmoja
wetu ambaye
japo hajajitokeza na labda
hataki
kujitokeza bila shaka
yoyote kwa mtu
mwenye akili za kawaida (kila mtu ana
akili
lakini si kila
mtu anzo za kawaida) anajua kuwa rais
aliowasema sio wale waliokwisha kujitokeza na
kuonyesha nia
ya kuutaka
urais mpaka
kufikia hatua ya kufungiwa
kuutaka
urais.
Haiingii akilini.
Kitu
cha ajabu na cha kushangaza watu
wazima, viongozi wa
dini eti wameenda
kumshawishi mwenzetu Edward
Lowasa,
'kumuomba' 'akubali'
kugombea urais. Haiingii
akilini katika
maeneo mengi.
Tuanzia
hapa:
i Yapo
maazimio ya Bunge
kuhusu
kashfa ya Richmond
ambayo nadhani hayajatekelezwa na
serikali.
Kama
yakitekelezwa huwezi kujua kama hayawezi
kudhibitisha uchafu wa wahusika akilwemo
Lowasa wetu.
ii
Kashfa muhimu na kubwa ni kuwa
capacity
charges
zilizotamkwa ndani ya ripoti ya tume ya
bunge ina mgao wa wahusika na haijulikani kama
EL hayumo
iii
Katika
michango ambayo EL alikuwa
akitoa
makanisani misikitini na kwingineko
inadhaniwa kuwa
huenda sehemu yake
inatokana na mgao huo.
iv Kulionekana
dalili kuwa
kuna mambo
tume ya Bunge chini
ya Dr. Mwakyembe ilibakiza mambo fulani
ambayo ingeyatoa kuna
watu wangepata shida. Tunakumbuka
aliposema aliwahi kufuatwa na mke wa mtu
fulani kumsihi
afiche ukweli wa ripoti.
EL
hakuacha kutajwa katika hilo.
V Na
kadhalika.
Taifa letu
lina matatizo makubwa sana. Mengine ni
nyufa
alizozieleza Mwalimu Nyerere mwaka
1995. Sasa
zimemeguka na
kuwa kubwa zaidi. Rushwa sasa
imezidi
na kupata jina
advanced tunaiita
UFISADI.
Kila mwenye
akili timamu
yuko anaumiza kichwa akitaka kujua
tufanyeje ili tupate kiongozi bora na tumjueje
ambaye si
fisadi. Kila
mwenye akili
sawasawa anajua kuwa
aliyekwisha
tajwa kwa
hilo hafai hata akitaka kutumia njia zake kuupata
urais.
Sasa
katika
mazingira hayo:
1. Viongozi wetu ambao walikuwa
wakipokea michango hiyo
haramu wajisafisheje mtu akisema
walinunuliwa na kuandaliwa kwa wakati kama
huu?
2. Viongozi
wetu hao wana upeo
kiasi
gani kukubali
kutumiwa kihuni namna hii? Kweli walilenga
kwenda kumshawishi
Lowasa agombee kwa sababu wameona
amekaa
kimya yaani hafurukuti
kugombea?
Yaani viongozi wetu
walidhani
hawatajulikana
kuwa lazima wamehongwa kufanya kazi
hiyo?
3.
Wanaweza kusimama na kujitetea
mbele
ya waumini wao
kuwa walifikiri Lowasa hatajitokeza
kugombea
ndiyo maana waliamua
kumshawishi
na kumchangia fedha?
Wameona wamejitokeza
wangapi mpaka wakahofu kuwa huenda
asijitokeze?
4.
Wanataka
Lowasa aje alisaidie taifa
hili
kufanya nini? Wanaona taifa halina nini?
Wengine
tunaona taifa ni tajiri, Lina
raslimali, lina
watu wapole
waelekevu. Shida linakosa
kiongozi wa kuukabili ulafi na
kujilimbikiza mali ili
mali iliyopo itumike vizuri. Kweli
mtu
mwenye kashfa ya namna iliyo kwenye ripoti
ya Tume ya
Bunge anaweza
kupendekezwa na
viongozi wa dini? Hii
balaa.
Viongozi hao
ambao ni waombezi wa Taifa hili kweli wana
dhamira njema?
Siwaelewi.
Viongozi hawa wamejua jinsi ambavyo
Lowasa
ameleta
mgogoro katika viongozi wa kimila wa kimasai? Na
kuwa mgogoro huo ni uimla wa kutaka
kuwabambikizia
wanaMonduli mtu anayetaka
amrithi ubunge
yeye atakapo kuwa
rais?
Ndiye wanayetaka aongoze taifa hili?
Lowasa
anaweza kuwa
rais lakini nafikiri viongozi wa dini
wasingependa kuwa sehemu ya waliomsaidia.
Lowasa amesemwa
sana. Kwa hiyo anaweza
kuwa
rais na akawa mzuri sana hivyo
kutukomesha
tunaomsema.
Lakini akiwa mbaya kuna
atakayeshangaa?
Rais Kikwete alipoupata
urais wakati watu
wakitabiri nani
atakuwa
waziri Mkuu wapo waliomtaja Lowasa. Wako
waliosema
haiwezekani akawa Lowasa.
Sababu zilikuwa kwa
sababu ni
rafiki wa JK basi (JK) atashindwa
kumdhibiti. Waliosema
anaweza kuwa Lowasa
walisema atajitahidi
kutomudhalilisha
rafiki yake? Nini kilitokea? Unawezaje kumwamini Lowasa?
Mimi nawashangaa viongozi wa dini . si
viongozi wa siasa wa
chama chake. Hayo
tumeyazoea. Mitandao
ilikotufikisha ni wao
hakuna zaidi. Siwashangai wanafunzi. Wao ndivyo
wameelekezwa
na
wanamtandao na ni haki yao.
Wanakomea
hapo. Siwashangai
vijana wa
bodaboda. Hao tumewazoea. Tunawakuta
wakishajaziwa
mafuta ya pikipiki zao
basi. Nini zaidi.
Lakini viongozi wa
dini???? Nitaendelea
kuwashangaa.
Elisa Muhingo
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone
posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any
legal consequences of his or her postings,
and
hence
statements and facts
must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to
this
disclaimer and pledge
to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You
received this message because you are
subscribed
to the
Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop
receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this
Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts
must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and
pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You
received this
message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from
this
group and stop receiving emails
from it,
send an email
to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the
sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her
postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you
agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our
Rules and
Guidelines.
---
You
received this message because you are subscribed to
the
Google Groups
"Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email
to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the
sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her
postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you
agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our
Rules and Guidelines.
---
You received this
message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe from this group and stop
receiving emails
from
it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this
Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and
hence statements
and facts must be
presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer
and
pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You
received this message
because you are
subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To
unsubscribe
from this group and stop
receiving emails from it, send an
email
to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are
subscribed to the
Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment