Monday, 23 February 2015

[wanabidii] Njia rahisi ya kuufikia ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia

Habari za leo!

Napenda kufahamishwa njia rahisi na nafuu (kwa basi, treni, taxi, n.k) ya kuufikia ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia kutokea uwanja wa ndege wa Kuala Lumpur.

Kama kuna mtu anafahamu hoteli nafuu zilizopo karibu na ubalozi. Pia napenda kufahamu sehemu ya karibu na ubalozi ambayo mtu anawezakukaa.

PS. Nimejaribu kutafuta kweenye "Google" lakini napata majibu yanayokinzana. Ndiyo maana ninaomba kusaidiwa, yamkini kuna mtu ameshawahi kufika hapo.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment