Hapa sio ubishi ila kuna mambo yafanywe na jinsia pacha iwe kuje au kiume akina dada katika saloon yakiume wanafanya nn na vipi wake zetu waoshwe nyayo na vijana wa kiume |
From: 'weston mbuba' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>;
To: wanabidii@googlegroups.com <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] WADADA KUOSHWA MIGUU NA WAPAKA RANGI
Sent: Tue, Aug 12, 2014 1:57:20 PM
Esther sasa unaleta tu ubishi usio na msingi. On Tuesday, August 12, 2014 4:30 PM, Esther Michael <mankamichael2003@gmail.com> wrote: Kama mdau katika mada tajwa na mimi naombeni mnisaidie ktk hili; je ninyi waume zetu mnajisikiaje pale ambapo mnaenda saloon kunyolewa mnanyolewa na wanaume lakini mnaoshwa vichwa na wadada? tena kwa mimi naitwa kutekenywa vichwa na shingo zenu na wadada wa saloon za kiume. Kwanini basi isitokee mtu anayekunyoa na na kukuosha ni mwanaume mwenzako?. Kwa macho yangu nimeshuhudia waume zetu wa ndoa wengi wakipakatwa vichwa vyao kwenye matiti ya kike huku akiwekewa vidole masikion eti massage, SAMAHANI na hii tuiweke kwenye kundi gani ?. Niliwahi shuhudia salaoon moja sinza mzee wa watu katoka safari nadhani mkoani ilibidi atoe gazeti alilokuwa ameweka kwenye mfuko wa Rambo na hata kufunika baadhi ya parts za mwili wake kwa ile hali aliyotengenezewa na mwosha nywele wa saloon (mhemko). Awali ya yote nakubaliana nanyi kuwa tabia hii ya sisi wanawake kupenda kuoshwa na kutengenezwa kucha na vijana wa kiume wengine tumeiita kupakatwa miguu yetu na vijana wa kiume kwa kweli si kitu cha kiungwana . Ila ni vyema pia tukaangalia both sides na kujua tusaidianaje ktk kuheshimu miili yetu especial ktk ulimwengu huu wa ushindani wa kibiashara. I submit 2014-08-12 14:55 GMT+03:00 Kilasara Fratern <kilasara.fratern@gmail.com>:
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/d/optout. |
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment