Thursday, 14 August 2014

Re: [wanabidii] Tundu Lissu: Nitawania Urais kupitia CHADEMA 2015

These blanket statements don't mean anything!


2014-08-14 1:15 GMT+03:00 'lesian mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Lissu uishie hapo hapo kwenye ubungu kaka, ndoto zako za urais hizo  zibakie kua ndoto za alinacha, ukigombea labda utapata kura 3......huna sifa hata tone za urais mzee, una hasira,jazba na unapenda conflicts...watanzania hawataki mtu mwenye sifa hizo esp kwenye institution muhimu kama hii....ila chukua form ili mh Lowasa asipate kupingwa kama wewe ndio utapitishwa.......hauna  madhara kwake saana utaishia kuibua kashfa mfu while yeye anaweka strategic plan....aaah sorry gombea lissu ni haki yako
Duh namie ntatangaza kugombea kwa private candidate aisee, kila mtu anautaka urais nchi hii, hivi ni kwanini? is not such cheap desk to stay jamani
--------------------------------------------
On Wed, 8/13/14, Yona Fares Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Tundu Lissu: Nitawania Urais kupitia CHADEMA 2015
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Wednesday, August 13, 2014, 4:51 AM

 Kwenye ngazi ya
 Ubunge tu amethibutu kumpa dadake viti maalum je urais
 itakuwaje ?

 On Wednesday, August 13, 2014 2:48:50 PM UTC+3, Method
 Francis Ngonge wrote:Bariki
 Pamoja na kwamba hatuna uhakika kama habari hiyo ni ya
 kweli lakini staili waliyotumia wengine siyo sawa na ya
 Lissu.



 2014-08-13 14:18 GMT+03:00 Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com>:

 Tatizo ni double standards na huu ndiyo
 unafiki wa Vyama vya Siasa. Kwa wengine wanasemwa wametumwa
 ila wengine hawatumwi hahah kazi ipo kwa kweli na Tanzania
 yetu




 2014-08-13 14:12 GMT+03:00 mngonge franco <mngonge@gmail.com>:


 Kwa vyovyote vile, iwe ya kutungwa au ya
 kweli, mimi ninamkubali sana Lissu anafaa kuwa mkuu wa nchi
 kama hii ya kwetu. Ninamuona kuwa na sifa zote za kugombea
 nafasi hiyo achilia mbali akina Shibuda, Zitto na wengineo
 ambao kutangaza kwao kuna picha nyingine nyuma yake





 2014-08-13 13:59
 GMT+03:00 Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com>:



 Hii habari ya kutungwa


 2014-08-13 12:26
 GMT+03:00 Fakhi Karume <fkarume@gmail.com>:




 NA ELIZABETH HOMBO, Dar es Salaam
 MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu
 (Chadema), kwa mara ya kwanza amefunguka na kusema ana nia
 ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 iwapo chama
 chake kitaridhia.




 Ametoa kauli hiyo ikiwa ni miaka miwili tangu
 Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema),
 alipojitokeza hadharani akisema kwamba hatawania tena ubunge
 katika jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu ujao na badala yake
 atajitosa kwenye urais.




 Hata hivyo, kauli hiyo ya Zitto ilisababisha
 mvutano mkubwa kati yake na viongozi wenzake ndani ya chama
 hicho, huku mmoja wa waasisi wake, Edwin Mtei, akipinga
 uamuzi wa mwanasiasa huyo na akidai hakuutoa wakati
 mwafaka.




 Mtei alisema hatua ya Zitto kutangaza kutaka
 kuwania urais wa mwaka 2015 haikuwa na shida kwa sababu
 alionyesha hisia zake lakini alikuwa ikitengeneza mzozo
 ndani ya chama.
 Mwanasiasa huyo alimshauri Zitto kuhakikisha
 anakiunganisha chama na si kukigawa na kukivuruga.




 Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA
 mwishoni mwa wiki iliyopita, Lissu alisema ana uzoefu wa
 uongozi hivyo yuko tayari kuwania urais iwapo vikao vya
 chama chake vitaridhia.




 "Mimi ni Mwenyekiti wa Movement For Change
 Kanda ya Kati, pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya chama, vile
 vile ni mwanasheria mkuu wa chama.
 "Kwa kuwa nina uzoefu mzuri wa uongozi,
 nitakuwa tayari kugombea urais iwapo vikao vya chama
 vitaamua," alisema Lissu.




 Huku akitabasamu, Lissu alimtania mwandishi wa
 habari hizi na hata kumhoji kama kauli yake itapewa nafasi
 ya juu katika gazeti lake.
 "Tena hiyo kesho inaweza kuwa headline eeh!"
 alisema Lissu huku akitabasamu.




 Lissu alisema kazi ya ubunge imempa fursa ya
 kuwatumikia wananchi katika kutatua matatizo yao, kuibua
 hoja na masuala yanayolitatiza taifa.
 Alisema katika kipindi chote cha ubunge, pia
 alitumia utaalamu wa sheria kuboresha mfumo mzima wa ubunge
 ikiwa ni pamoja na kulifanya Bunge la 10 la Jamhuri ya
 Muungano kuwa bora na machachari kuliko Bunge la Tisa.




 Lissu, ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Sheria na
 Katiba, alisema hana hofu na watu wanaotaka kugombea ubunge
 katika Jimbo la Singida Mashariki ambako aliwakaribisha kwa
 mikono miwili.




 "Sina wasiwasi. Ninawakaribisha sana Singida
 Mashariki waje tupambane kwenye uchaguzi mkuu unaokuja,"
 alisema.
 Akizungumzia uamuzi huo wa Lissu, Mwenyekiti wa
 Chadema, Freeman Mbowe, alisema kauli ya mwanasiasa huyo
 haina tatizo.




 "Sioni tatizo la Lissu kutangaza nia kwa sababu
 kila mtu anao uhuru wa kutamka na kugombea urais," alisema
 Mbowe.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.





 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.




 --
 Bariki G. Mwasaga,
 P.O. Box 3021,
 Dar es Salaam, Tanzania
 +255 754 812 387








 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.




 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.



 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.




 --
 Bariki G. Mwasaga,
 P.O. Box 3021,
 Dar es Salaam, Tanzania
 +255 754 812 387






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.







 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment