Wednesday, 2 July 2014

RE: [wanabidii] Safu ya uongozi chama cha CUF 2014

Bwana Mrema,CUF,ushauri wako hawatautendea kazi na wala chama hicho hakiwezi acha kuwa na mwegemeo wa kidini kisera na kwa jinsi hiyo kamwe haiwezi tokea kikaminika na wananchi na kushika dola ya nchi..ngupula

Herment Mrema <hmrema11@hotmail.com> wrote:

Safu Mpya ya Kamati ya Utendaji ya Taifa (Sekretarieti) ya CUF ina walakini kwa kiasi fulani.  Ningependa CUF ipanuke zaidi sehemu za Bara lakini ukiona majina ya viongozi ambayo 88% ni wa majina kutoka dini moja ya Kiislamu inatia shaka kidogo. Nilitizamia uongozi uwe ni mchanganyiko wa Kikristo, Dini nyingine na Kiislamu.  Vile vile kina mama ni wachache mno.  Ningeshauri Chama kiangalieo hili kwa siku za usoni.

Ahsante

Herment A. Mrema


Date: Tue, 1 Jul 2014 23:49:50 -0700
From: hamisznz@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Safu ya uongozi chama cha CUF 2014

  • Prof. Ibrahim Lipumba - Mwenyekiti
  • Juma Duni Haji - Makamu Mwenyekiti
  • Maalim Seif Sharif Hamad - Katibu Mkuu

SAFU MPYA YA KAMATI YA UTENDAJI YA TAIFA (SEKRETARIETI) YA CUF


  1. Naibu Katibu Mkuu (Bara), Mhe. Magdalena Sakaya.
  2. Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar), Mhe. Nassor Ahmed Mazrui.
  3. Mkurugenzi wa Mipango na Chaguzi, Mhe. Omar Ali Shehe.
  4. Naibu Mkurugenzi wa Mipango na Chaguzi, Mhe. Shaweji Mketo.
  5. Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano na Umma, Mhe. Salim Bimani.
  6. Naibu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano na Umma, Mhe. Abdul Kambaya.
  7. Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Sheria, Mhe. Kulthum Mchuchuli.
  8. Naibu Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Sheria, Mhe. Pavu Abdallah Juma.
  9. Mkurugenzi wa Uchumi na Fedha, Mhe. Joran Bashange.
  10. Naibu Mkurugenzi wa Uchumi na Fedha, Mhe. Abdallah Bakari Hassan.
  11. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama (hajateuliwa).
  12. Naibu Mkurugenzi wa Uinzi na Usalama, Mhe. Yussuf Salim Hussein.
  13. Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, Mhe. Ismail Jussa.
  14. Naibu Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, Mhe. Abdallah Mtolea.

WAJUMBE

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment