Herment Mrema <hmrema11@hotmail.com> wrote:
Safu Mpya ya Kamati ya Utendaji ya Taifa (Sekretarieti) ya CUF ina walakini kwa kiasi fulani. Ningependa CUF ipanuke zaidi sehemu za Bara lakini ukiona majina ya viongozi ambayo 88% ni wa majina kutoka dini moja ya Kiislamu inatia shaka kidogo. Nilitizamia uongozi uwe ni mchanganyiko wa Kikristo, Dini nyingine na Kiislamu. Vile vile kina mama ni wachache mno. Ningeshauri Chama kiangalieo hili kwa siku za usoni.
Ahsante
Herment A. Mrema
Date: Tue, 1 Jul 2014 23:49:50 -0700
From: hamisznz@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Safu ya uongozi chama cha CUF 2014
WAJUMBE
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Ahsante
Herment A. Mrema
Date: Tue, 1 Jul 2014 23:49:50 -0700
From: hamisznz@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Safu ya uongozi chama cha CUF 2014
- Prof. Ibrahim Lipumba - Mwenyekiti
- Juma Duni Haji - Makamu Mwenyekiti
- Maalim Seif Sharif Hamad - Katibu Mkuu
SAFU MPYA YA KAMATI YA UTENDAJI YA TAIFA (SEKRETARIETI) YA CUF
- Naibu Katibu Mkuu (Bara), Mhe. Magdalena Sakaya.
- Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar), Mhe. Nassor Ahmed Mazrui.
- Mkurugenzi wa Mipango na Chaguzi, Mhe. Omar Ali Shehe.
- Naibu Mkurugenzi wa Mipango na Chaguzi, Mhe. Shaweji Mketo.
- Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano na Umma, Mhe. Salim Bimani.
- Naibu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano na Umma, Mhe. Abdul Kambaya.
- Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Sheria, Mhe. Kulthum Mchuchuli.
- Naibu Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Sheria, Mhe. Pavu Abdallah Juma.
- Mkurugenzi wa Uchumi na Fedha, Mhe. Joran Bashange.
- Naibu Mkurugenzi wa Uchumi na Fedha, Mhe. Abdallah Bakari Hassan.
- Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama (hajateuliwa).
- Naibu Mkurugenzi wa Uinzi na Usalama, Mhe. Yussuf Salim Hussein.
- Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, Mhe. Ismail Jussa.
- Naibu Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, Mhe. Abdallah Mtolea.
WAJUMBE
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment