Nico
Wapi imeandikwa
On Jul 4, 2014 1:01 PM, "Nicomedes Kajungu" <nicomedes76@gmail.com> wrote:
-- BarikiKwenye kikao cha utatu mtakatifu kilichopeleklea Yesu kluja duniani si ilitolewa hoja kwamba nani aende duniaini kuwakomboa wanadamu Yesu akasema nitakwenda mmi?--2014-07-04 12:45 GMT+03:00 Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com>:
Nico
Wapi Yesu alisema nitume mimi? Nabii Isaya ndiye alisema
On Jul 4, 2014 12:07 PM, "'lucas haule' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Kama kuna mchezo mwepesi kucheza ni mdako na bao. Ndiyo maana wengi wameucheza. Mfumo wa uongozi wa kipindi cha miaka 20 umesababisha watu fulani kuona ah, kuwa rais ni kama mjumbe wa nyumba kumi tu.
Makamba na haki zote alizonazo za kugombea lakini wapi uwezo wa kimaamuzi ya mwisho. Na kama alilelewa na huyu aliyepo madarakani ni si bora nchi iende bila ya kuwa na mtu aitwae rais.
--------------------------------------------
On Fri, 7/4/14, Nicomedes Kajungu <nicomedes76@gmail.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] January: Nagombea urais 2015 kutekeleza vipaumbele vinne
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, July 4, 2014, 1:48 AM
K.E.M.S
Nakujbalijana naye. Hata Yesu alijitolea akasema unitume
mimi.
Uongozi ni utumishi,. hakuna atakayekuibua ili kuwatumikia
watu, niazima useme unaiwa kuwatumikija watu.
2014-07-04 11:31 GMT+03:00
'ezekiel kunyaranyara' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
--Kajungu,
Rais
mmoja wa Marekani wakati anawania nafasi ya uongozi katika
nchi hiyo aliwahi kusema sifa moja ya kuwa rais ni kupenda
kuwa Rais na watu wajue kuwa unapenda kuwa rais. kwa mantiki
hiyo kujiibua kwa Januari nafikiri siyo vibaya.
K.E.M.S.
On Friday, 4 July 2014, 10:07, Nicomedes
Kajungu <nicomedes76@gmail.com>
wrote:
Mashaka
Mfumo wa uongozi nchini unatoa fursa ya kuibuliwa au
kujiibua?
On Jul 4, 2014 9:58 AM, "'Mashaka Mgeta'
via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Kiongozi bora huibuliwa kama Yesu alivyowaibua Simon, Petro
na Andrea wakivua samaki akawafanya kuwa wavuvi wa watu
kwa maana ya viongozi wa watu. Ujana ama uzee si kigezo cha
kuwa kiongozi bora. Makamba anapotoka hata kama nia ni
njema.
------------------------------
On Thu, Jul 3, 2014 11:38 PM PDT Nicomedes Kajungu wrote:
>Sawa sawa.
>
>
>
>
>2014-07-04 9:27 GMT+03:00 Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>:
>
>> *Vipaumbele vyake*
>>
>> Makamba alibainisha vipaumbele vyake endapo
atateuliwa na CCM kugombea
>> nafasi hiyo kuwa ni pamoja na kushughulikia tatizo
la ajira, huduma za
>> jamii, uchumi imara na utawala bora.
>>
>> Akifafanua vipaumbele hivyo alisema, watu wamekuwa
wakizungumzia suala la
>> kutatua tatizo la ajira kwa wembamba na sio kwa
mapana, lakini yote haya
>> yanatokana na kipato chao kuwa chini.
>>
>> “Mazingira katika uchumi bado siyo mazuri,
nitahakikisha kila mtu mwenye
>> kipato cha chini anakuwa na kipato cha kati na
mwenye kipato cha kati
>> anakuwa na kipato cha juu kwa hali hii vijana wetu
hawatakimbilia
>> kuajiriwa, bali watataka kujiajiri wao kwani
watakuwa na mitaji kutoka
>> katika vipato vyao,” alisema.
>>
>> “Kuhusu huduma za jamii kama elimu, afya na
maji... na zenyewe yapo mawazo
>> ya kuboresha kwani huwezi kuendesha taifa
lisilokuwa na huduma nzuri kwa
>> wananchi.”
>>
>> Kuhusu suala la uchumi alisema, utaimarika endapo
huduma za umeme,
>> usafirishaji na mawasiliano zitaimarika kwani
zitawasaidia wananchi kufanya
>> shughuli zao kikamilifu.
>>
>> “Huwezi kuongoza nchi kama utawala bora haupo.
Hapa tutaangalia namna
>> ambavyo tutaendesha Serikali... namna ambavyo haki
zinatolewa kwa wananchi
>> kwa wakati,” alisema Makamba.
>>
>> Aliongeza: “Haya ndio mambo ambayo nimeyawaza na
kuona kama changamoto
>> kwangu. Nitakayafanyia kazi kuona Tanzania, kama ni
katika ngumi, katika
>> uongozi wangu (Tanzania) iwe inapigana katika uzito
wa juu kabisa.”
>>
>> *Awamu ya vijana*
>>
>> Katika mahojiano hayo, Makamba alisema umefika
wakati vijana wakashika
>> dola kutokana na mabadiliko yaliyojitokeza katika
awamu nne za utawala wa
>> chama chake cha CCM.
>>
>> Alisema marais wote wanne, Mwalimu Julius Nyerere,
Ali Hassan Mwinyi,
>> Benjamini Mkapa na Jakaya Kikwete wamefanya kazi
nzuri na kuitambulisha
>> nchi kimataifa, hivyo zinahitajika fikra mpya
kuendeleza raslimali nyingi
>> zilizopo.
>>
>> *Kuhusu uzoefu wake*
>>
>> Akizungumzia uzoefu, Makamba alisema hakuna
ushahidi wowote kwamba miaka
>> mingi kwenye siasa ndiyo inatengeneza kiongozi
mzuri.
>>
>> “Uongozi mzuri unatengenezwa na haiba, wajihi,
dhamira, uwezo, maadili,
>> uhodari, hekima na maarifa. Sifa hizi hazipatikani
kutokana na uzoefu wa
>> miaka mingi kwenye siasa hata baadhi ya vijana
wanazo,” alisema.
>>
>> Alitoa mifano mingi duniani ambako vijana ambao
hawakuwa na uzoefu kabisa
>> katika nafasi za siasa wameshinda na kubadilisha
nchi kama Tony Blair
>> aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza.
>>
>> “(Rais wa Marekani,) Barack Obama alikuwa seneta
kwa miaka mitatu tu,
>> Julius Nyerere alikuwa mwalimu akaingia siasa akaja
kupewa uongozi wa nchi
>> akiwa na umri miaka 39 tu,” alisema Makamba.
“Kama sasa hivi tuna
>> malalamiko mengi kuhusu jinsi mambo yanavyokwenda,
je, tunahitaji kiongozi
>> ambaye kwa miaka 30 amekuwa sehemu ya mfumo
tunaoulalamikia? Jibu ni
>> hapana.”
>>
>> Je, CCM ipo tayari kuwaachia vijana? Akijibu swali
hilo, Makamba alisema
>> chama hicho kipo tayari na kimeshatoa fursa kwa
vijana kushika nyadhifa za
>> uongozi wa juu, akiwamo yeye.
>>
>> “Chama chetu (CCM) kinasikiliza umma wa
Watanzania na mahitaji yao. Umma
>> wa Watanzania unahitaji mabadiliko makubwa na CCM
itaongoza mabadiliko hayo
>> kwa kulipatia Taifa hili uongozi mpya wa kizazi
kipya,” alisema Makamba.
>>
>> Akizungumzia uwezekano wa chama hicho kuamua kutoa
fursa hiyo ya juu kwa
>> mwanamke, Makamba alijibu, “Kila mtu anaruhusiwa
kugombea.”
>>
>>
>> http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/January--Nagombea-urais-2015-kutekeleza-vipaumbele-vinne/-/1597296/2371534/-/item/3/-/14c8waqz/-/index.html
>>
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility for any legal
>> consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be
>> presented responsibly. Your continued membership
signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules
and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are
subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving
emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>>
>
>
>
>--
>*_________________________________________________*
>Nicomedes M. Kajungu
>P.O.Box 7733, Mwanza.
> +255 782 315 688,
+255 767 48 32 71,
> +255 719 451 850
>Skype add: nkajungu
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility for any legal consequences of his or her
postings, and hence statements and facts must be presented
responsibly. Your continued membership signifies that you
agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules
and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to
the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
_________________________________________________
Nicomedes M. Kajungu
P.O.Box
7733, Mwanza.
+255 782 315 688,
+255 767 48 32 71, +255 719 451 850
Skype add: nkajungu
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--_________________________________________________
Nicomedes M. Kajungu
P.O.Box 7733, Mwanza.
+255 719 451 850
Skype add: nkajungu
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment