Takwimu alizotuwekea Gikaro hata kama si sahihi sana lakini ndo frame ya mambo yaliyotakiwa kujadiliwa bungeni. Heko ndugu Gikaro kwa kuonyesha njia kwa wenye mioyo migumu.
Naona wanajamvi wanaweza kuwa wajumbe wazuri wa bunge la katiba badala ya hao walioteuliwa. Kama kuna mbunge yupo humu jamvini namuomba akajitahidi kupata hoja zenye mashiko humu humu jamvini zimsaidie kutetea msimamo wake kama anajua kwamba wapo watanzania wenye akili timamu kama yeye au zaidi yake wanaohitaji katiba safi. Tofauti na hapo tutaendelea kuwaona kama ndege walio mtini wameshiba na kuanza kupiga kelele ovyo. Mambo ya mtu kuongea mimi ni muumini wa serikali 2 ambazo hata hazimo kwenye rasimu ni dalili ya utapeli na kupoteza fedha za walalahoi bure na mwisho kututungia katiba itakayodumu kwa miaka miezi au miaka michache sana.
Ebu jitahidi kutuonyesha kwa takwimu na hoja zenye mwelekeo wa kutufanya tuamini kwamba pendekezo letu la serikali tatu halifai. Hoja zisizo na mashiko hazitatufanya kubadili msimamo na badala yake zinatufanya tuendelee kujikita kwenye serikali tatu na kuanza kuhoji kama kweli nyinyi wabunge ni chaguo sahihi la wananchi wa majimbo munayowakilisha Naona wanajamvi wanaweza kuwa wajumbe wazuri wa bunge la katiba badala ya hao walioteuliwa. Kama kuna mbunge yupo humu jamvini namuomba akajitahidi kupata hoja zenye mashiko humu humu jamvini zimsaidie kutetea msimamo wake kama anajua kwamba wapo watanzania wenye akili timamu kama yeye au zaidi yake wanaohitaji katiba safi. Tofauti na hapo tutaendelea kuwaona kama ndege walio mtini wameshiba na kuanza kupiga kelele ovyo. Mambo ya mtu kuongea mimi ni muumini wa serikali 2 ambazo hata hazimo kwenye rasimu ni dalili ya utapeli na kupoteza fedha za walalahoi bure na mwisho kututungia katiba itakayodumu kwa miaka miezi au miaka michache sana.
2014-04-24 5:54 GMT+03:00 Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com>:
Fred
Kuna mtu kauliza Vipi gharama za Serikali washirika? Inawezekana nazo zikaongezekaa tofauti na sasa
On Apr 24, 2014 5:21 AM, "'Fred Hans Kipamila <fhkipamila@yahoo.com>' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:--
Ndugu zangu mbona tunabishana bila sababu?
kwa heasabu za Gikaro serikali 3 ni rahisi kuliko serikali 2 hata kama mshahara wa waheshimiwa hao anaowataja utakuwa shilingi 100.000
--------------------------------------------
On Wed, 4/23/14, herirashid@yahoo.com via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: RE: [wanabidii] USHAHIDI KWAMBA SERIKALI 3 NI RAHISI KULIKO SERIKALI 2
To: wanabidii@googlegroups.com, "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, April 23, 2014, 9:47 AM
Bariki kama unauhakika toa
uthibitisho. Kubisha bila uthibitisho ni kujiaibisha tu!
Hata hivyo, hata kama viwango vya mshahara civyo
vilivyotolewa, gharama haiwezi lingana.
-----Original Message-----
From: "'Gikaro Ryoba
Sent: 23/04/2014, 19:15
To: "wanabidii@googlegroups.com"
Subject: Re: [wanabidii] USHAHIDI KWAMBA SERIKALI 3 NI
RAHISI KULIKO SERIKALI 2
Mkuu, kwani makatibu wakuu katika wizara 15 watakuwa
wakilipwa pesa nyingi zaidi kuliko hawa wa wizara ya 27? ina
maana kwamba hao wa wizara 15 watakuwa wanalipwa mshahara
mkubwa zaidi ya hawa wa sasa kwenye wizara 27?
hoja hapa ni wingi wa wizara na gharama. kama umeona kwamba
huo mshahara ni mdogo kuliko watakaolipwa mawaziri 15 wa
serikali 3 ukilinganisha na hawa 60 wa serikali 2, basi toa
takwimu. usibishe tu kama vile upo kwenye kijiwe cha
kahawa.
On Wednesday, April 23, 2014 6:35 PM, Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com>
wrote:
Gikaro
Hivyo viwango vya mishahara na posho za mawaziri ulizo
ziweka (ukiacha maelezo mengine) ni vya uongo. Hakuna Waziri
mwenye kulipwa mshahara huo wa 20m kwa mwezi. Pia kwa upande
wa hao Makatibu wakuu (ambao hawazidi 27) nao hawana
mishahara mikubwa ya anasa kama unavyoweka hapa, nina
uhakika na haya.
2014-04-23 18:26 GMT+03:00 'Gikaro Ryoba <gikaroryoba@yahoo.com>'
via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Ushahidi
mdogo tu unaoonyesha kwamba serikali 3 ni rahisi kuziendesha
kuliko serikali 2
unapatikana katika rasimu ya katiba inayojadiliwa sasa hivi
Dodoma, ambayo
inapigwa vita na kundi la wengi kwa nguvu zao zote (na hata
ikibidi wako tayari
kuingia msituni kutetea serikali 2). Sura zifuatazo
zinadhihirisha gharama
hizi:
>
>USHAHIDI
WA KWANZA
>Sura
ya saba, ibara ya 98(2). Kifungu hiki kinasomeka ifuatavyo:
>
>"Kwa
madhumuni ya ibara ndogo ya 98(1), idadi ya mawaziri na
manaibu waziri wa
serikali ya Jamhuri ya Muungano, haitazidi 15". Mwisho wa
kunukuu.
>
>Idadi
ya mawaziri na manaibu waziri katika serikali ya sasa ni
zaidi ya 60! Kila waziri
analipwa mshahara (excluding gharama za nyumba, gari,
mafuta, safari na anasa
zingine) wa Tsh 20,000,000. Jumla ya mshahara kwa mawaziri
60 wa serikali 2 ni
Tsh 20,000,000×60= 1,200,000,000. Hizi ni Tsh 1.2 billion
(sawa na Tsh 14.4
bilion kwa mwaka).
>
>Mshahara
wa mawaziri 15 wanaopendekezwa katika serikali 3 ni Tsh
20,000,000×15=300,000,000.
Hizi ni Tsh million 300 (sawa na Tsh 3.6 billion).
>
>Kwa
hivyo mtaona kwamba gharama ya kuendesha mawaziri 15 wa
serikali 3 ni rahisi
kwa Tsh billion 10.8 sawa na 75%. Haya, sasa wale mnaodai
kwamba serikali 3 ni
ghali huwa mnatumia kigezo gani? Msidhani kila mtanzania ni
zuzu. Mnaposema ughali
au urahsi sharti muoneshe mnakokotoaje hizo gharama, sio
watu wanakaririshwa
majibu kwenye vikao halafu wanakuja kupayuka hadharani bila
takwimu. Huo ni
ujuha!
>
>USHAHIDI
WA PILI
>Kwa
mujibu wa rasimu ya katiba ibara ya 113(1) na (2) idadi ya
wabunge
inayopendekezwa kwenye rasimu ni wabunge 70 wa kuchaguliwa
(50 kutoka Tanganyika
na 20 kutoka Zanzibar) na 5 walemavu watakaoteuliwa na rais.
Hawa ni sawa na jumla
ya wabunge 75. Bunge la sasa lina jumla ya wabunge 389 wa
kuchaguliwa na 10 wa
kuteuliwa, sawa na wabunge 399. Kila mbunge hulipwa Tsh
11,000,000 (+5,000,000
za jimbo)=16,000,000. Wabunge wote 399 wanalipwa jumla ya
Tsh 399×16,000,000=6,384,000,000
(sawa na billion 6.4). Gharama ya wabunge hawa kwa mwaka ni
Tsh 76.4 bilion.
>
>Gharama
kwa wabunge 75 wa serikali 3 ni Tsh
16,000,000×75=1,200,000,000(sawa na Tsh
14.4 bilion kwa mwaka).
>Tofauti
ya gharama za kuendesha bunge la serikali 2 ukilinganisha na
bunge la seriakli
3 ni Tsh 62 bilion. Sasa hawa waongo wanaosema kwamba
kuendesha serikali 3 ni
ghali wanatumia kigezo kipi hawa vilaza?
>
>KUMBUKA:
>Ukokotozi
wa gharama uliofanywa hapo juu haujumuishi gharama za
mishahara, marupurupu,
mafuta, safari, anasa, nk za makatibu wakuu, makamishina,
wakurugenzi na wakuu
wa idara katika wizara husika. Ukijumlisha na gharama za
kuwalipa viongozi hawa
pesa zitakuwa nyingi zaidi ya mara mbili ya hizo
zilizokotolewa hapo juu. Huu ushahidi
unatosha kabisa kuonyesha kwamba serikali 3 ni rahisi kuliko
serikali 2. Kwa hiyo,
ule uongo mnaoambiwa na wanasiasa kwamba serikali 3 ni ghali
kuliko 2 mnapaswa
kuupuuzilia mbali. Wanakudanganyeni kwa maslahi yao binafsi
ya kisiasa ili
waendelee kukukandamizeni, kukumasikinisha na kukuchukulieni
kama mazuzu wa
kupandia ngazi za madaraka na kujichumia mali kwa ajili ya
matumbo yao binafsi.
>
>
>TAHADHARI
>Kwa
upande mwingine, ifungu hivyo nilivyonukuu hapo juu ni mwiba
mkali kwa CCM
kwani vinawanyima uhuru wa kujitungia wizara na kuwapa
uwaziri makada wao kama
zawadi kwa kazi nzuri ya kukitumikia chama. Wanapenda
tuendelee na mfumo ghali
wa serikali 2 ili wananchi waendelee kubebeshwa gharama za
kuendesha serikali
kwa manufaa yao binafsi. Mwenye macho haambiwa tazama. Kila
mtanzania anapaswa
kufunguka macho na kuhoji hizo gharama wanazodai
wanazikokotoa kwa kutumia
kigezo kipi. Sio mtu unakaririshwa kwamba serikali 3 ni
ghali kuliko 2
unakubali tu kama zuzu. Unatakiwa kuhoji. Ujinga wa
watanzania kutohoji mambo ndio
unaosababisha wanasiasa waendelee kutudanganya na kutufanya
ngazi za kupandia
na kuning'inia madarakani kwa manufaa yao binafsi.
>
>
>N.B
>Uchambuzi
zaidi kuhusu gharama kubwa za kuendesha serikali 2
ukilinganisha na serikali 3
utafuata baadaye. Nataka wale waongo wanaowadanganya raia
kwamba serikali 3 ni
ghali kuliko 2 waumbuke mchana kweupe.
>
> --
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility for any legal consequences of his or her
postings, and hence statements and facts must be presented
responsibly. Your continued membership signifies that you
agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules
and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to
the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
--
Bariki G. Mwasaga,
P.O. Box 3021,
Dar es Salaam, Tanzania
+255 754 812 387
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment