Gikaro;
Umefikiria kuhusu gharama hizo kwa Mawaziri wote; Wabunge wote na makatibu wakuu wote (Serikali ya Muungano + hizo za washirika) kwa idadi yao na hasa ukitegemea ni kodi za wananchi haohao? Unadhani itakuwa nafuu? Hii ukiacha na hizo figure zisizo sahihi ulizoweka!
"I work in the shade to bring out the LIGHT to my Country. Shade means Patriotism, Loyalty and Integrity."
Wakiingia msituni mbona ndio itakuwa nafuu yetu
On 4/23/14, 'Gikaro Ryoba <gikaroryoba@yahoo.com>' via Mabadiliko
Forum <mabadilikotanzania@googlegroups.com> wrote:Ushahidimdogo tu unaoonyesha kwamba serikali 3 ni rahisi kuziendesha kuliko serikali2unapatikana katika rasimu ya katiba inayojadiliwa sasa hivi Dodoma, ambayoinapigwa vita na kundi la wengi kwa nguvu zao zote (na hata ikibidi wakotayarikuingia msituni kutetea serikali 2). Sura zifuatazo zinadhihirisha gharamahizi:USHAHIDIWA KWANZASuraya saba, ibara ya 98(2). Kifungu hiki kinasomeka ifuatavyo:"Kwamadhumuni ya ibara ndogo ya 98(1), idadi ya mawaziri na manaibu waziri waserikali ya Jamhuri ya Muungano, haitazidi 15". Mwisho wa kunukuu.Idadiya mawaziri na manaibu waziri katika serikali ya sasa ni zaidi ya 60! Kilawazirianalipwa mshahara (excluding gharama za nyumba, gari, mafuta, safari naanasazingine) wa Tsh 20,000,000. Jumla ya mshahara kwa mawaziri 60 wa serikali 2niTsh 20,000,000×60= 1,200,000,000. Hizi ni Tsh 1.2 billion (sawa na Tsh 14.4bilion kwa mwaka).Mshaharawa mawaziri 15 wanaopendekezwa katika serikali 3 ni Tsh20,000,000×15=300,000,000.Hizi ni Tsh million 300 (sawa na Tsh 3.6 billion).Kwahivyo mtaona kwamba gharama ya kuendesha mawaziri 15 wa serikali 3 nirahisikwa Tsh billion 10.8 sawa na 75%. Haya, sasa wale mnaodai kwamba serikali 3nighali huwa mnatumia kigezo gani? Msidhani kila mtanzania ni zuzu. Mnaposemaughaliau urahsi sharti muoneshe mnakokotoaje hizo gharama, sio watuwanakaririshwamajibu kwenye vikao halafu wanakuja kupayuka hadharani bila takwimu. Huo niujuha!USHAHIDIWA PILIKwamujibu wa rasimu ya katiba ibara ya 113(1) na (2) idadi ya wabungeinayopendekezwa kwenye rasimu ni wabunge 70 wa kuchaguliwa (50 kutokaTanganyikana 20 kutoka Zanzibar) na 5 walemavu watakaoteuliwa na rais. Hawa ni sawa najumlaya wabunge 75. Bunge la sasa lina jumla ya wabunge 389 wa kuchaguliwa na 10wakuteuliwa, sawa na wabunge 399. Kila mbunge hulipwa Tsh 11,000,000(+5,000,000za jimbo)=16,000,000. Wabunge wote 399 wanalipwa jumla ya Tsh399×16,000,000=6,384,000,000(sawa na billion 6.4). Gharama ya wabunge hawa kwa mwaka ni Tsh 76.4bilion.Gharamakwa wabunge 75 wa serikali 3 ni Tsh 16,000,000×75=1,200,000,000(sawa na Tsh14.4 bilion kwa mwaka).Tofautiya gharama za kuendesha bunge la serikali 2 ukilinganisha na bunge laseriakli3 ni Tsh 62 bilion. Sasa hawa waongo wanaosema kwamba kuendesha serikali 3nighali wanatumia kigezo kipi hawa vilaza?KUMBUKA:Ukokotoziwa gharama uliofanywa hapo juu haujumuishi gharama za mishahara,marupurupu,mafuta, safari, anasa, nk za makatibu wakuu, makamishina, wakurugenzi nawakuuwa idara katika wizara husika. Ukijumlisha na gharama za kuwalipa viongozihawapesa zitakuwa nyingi zaidi ya mara mbili ya hizo zilizokotolewa hapo juu.Huu ushahidiunatosha kabisa kuonyesha kwamba serikali 3 ni rahisi kuliko serikali 2. Kwahiyo,ule uongo mnaoambiwa na wanasiasa kwamba serikali 3 ni ghali kuliko 2mnapaswakuupuuzilia mbali. Wanakudanganyeni kwa maslahi yao binafsi ya kisiasa iliwaendelee kukukandamizeni, kukumasikinisha na kukuchukulieni kama mazuzu wakupandia ngazi za madaraka na kujichumia mali kwa ajili ya matumbo yaobinafsi.TAHADHARIKwaupande mwingine, ifungu hivyo nilivyonukuu hapo juu ni mwiba mkali kwa CCMkwani vinawanyima uhuru wa kujitungia wizara na kuwapa uwaziri makada waokamazawadi kwa kazi nzuri ya kukitumikia chama. Wanapenda tuendelee na mfumoghaliwa serikali 2 ili wananchi waendelee kubebeshwa gharama za kuendeshaserikalikwa manufaa yao binafsi. Mwenye macho haambiwa tazama. Kila mtanzaniaanapaswakufunguka macho na kuhoji hizo gharama wanazodai wanazikokotoa kwa kutumiakigezo kipi. Sio mtu unakaririshwa kwamba serikali 3 ni ghali kuliko 2unakubali tu kama zuzu. Unatakiwa kuhoji. Ujinga wa watanzania kutohojimambo ndiounaosababisha wanasiasa waendelee kutudanganya na kutufanya ngazi zakupandiana kuning'inia madarakani kwa manufaa yao binafsi.N.BUchambuzizaidi kuhusu gharama kubwa za kuendesha serikali 2 ukilinganisha na serikali3utafuata baadaye. Nataka wale waongo wanaowadanganya raia kwamba serikali 3nighali kuliko 2 waumbuke mchana kweupe.--Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.comFor more options, visit this group at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en---You received this message because you are subscribed to the Google Groups"Mabadiliko Forum" group.To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send anemail to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.To view this discussion on the web visithttps://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/1398266789.47389.YahooMailNeo%40web163103.mail.bf1.yahoo.com.For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
mission without implementation is hallucination
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment