Monday, 21 April 2014

Re: [wanabidii] NILICHOONGEA NA WAANDISHI WA HABARI LEO JUMATATU 21/4/2014

Mi nafikir wajumbe wa bunge la katiba wanaounga mkono serikali 2...waache kutumia nguvu...bali watumie muda wao mwingi kuonyesha ni kwa jinsi gani muundo wa serilali mbili itaweza tatua kero za muungano...na pia...ni kwa jinsi gani tunaweza ishi na kuendelea na muungano huku tukiwa na nchi 2 na serikal 2...

lucsyo <lucsyo@gmail.com> wrote:

Sio baphoon tu ni intarahamwe kijana, hana lolote naye pia ni njaa inamsumbua....tumekusikia ila hatujakuelewa, WaTz wa leo sio wa kudanganywa tena, enzi yenu iko tamati


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
Date: 21/04/2014 15:03 (GMT+03:00)
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] NILICHOONGEA NA WAANDISHI WA HABARI LEO JUMATATU 21/4/2014


Huyu ndiye buffoon kabisa. Hajui kuwa hata kanuni za TANU ni motibund? 
em

Sent from my iPhone

On Apr 21, 2014, at 7:51 AM, Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com> wrote:

NILICHOONGEA NA WAANDISHI WA HABARI LEO JUMATATU 21/4/2014

Leo Nitatumia maneno makali kidogo ili tuelewane kiurahisi. Wapinzani wa Nchi hii ni "BAPHOON". Maana ya BAPHOON ni Watu au Kundi la Watu linalotumika Kwa Maslahi ya Mataifa Mengine Kuangamiza Taifa Lao. Wako Tayari Hata Kuchukua Mabomu na kulipua Nchi yao Wenyewe. Hawa ndio wanaojiita UKAWA (THE BAPHOON)

Imani namba Tano na namba nane za Chama Cha Mapinduzi kwa pamoja zinasema:

Cheo ni Dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu na Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko.

Kwa tafsiri ya Imani ya Chama tunakubaliana na maneno ya Mwanahistoria wa zamani wa Uingereza Lord Acton aliyewahi kusema;

"Power tends to Corrupt, and absolute power corrupts absolutely. Great men are almost always bad men"

Yakimaanisha kuwa;

"Madaraka yana tabia ya kuwaharibu walio nayo, na wenye madaraka makubwa Zaidi huharibika Zaidi kwa kuwa hata watu wema hugeuka kuwa wabaya wakishakuwa na madaraka"

Na sisi Vijana Wazalendo tunasema;
"Watu wenye Madaraka Makubwa Wakiharibiwa na hayo madaraka hulewa hayo madaraka na kuanza hata kutukana kudharau waliowapa madaraka hayo. Lakini wenye madaraka makubwa wanaojua kuwa madaraka yao ni dhamana, kwanza huwa wapore na wanyenyekevu na hubeba dhamana kubwa ambayo wao huona madaraka hayo ni Mzigo wala si zawadi."

Wapo wanaodhani kuwa Vyama vya Upinzani vipo kwa ajili ya Maslahi ya Taifa. Wapo wanaodhani Vyama vya Upinzani ndio mkombozi wao. Na wapo wanaodhani muarobaini wa matatizo ya taifa hili ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ni vyama vya Upinzani. Ukweli halisi wamepotoka sana. Vyama vya Upinzani v

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment