Tuesday, 22 April 2014

Re: [wanabidii] MNEC Magesa ahutubia mkutano wa hadhara Kigamboni

Uhalali hapo inategemea na chama ulichomo.

2014-04-22 16:24 GMT+02:00 'Deodatus Balile <deobalile@yahoo.com>' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Hivi siku hizi watumishi wa umma ni halali kwao kuwa wanasiasa na kuendelea kushikilia ofisi za umma?
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: "'ELISA MUHINGO <elisamuhingo@yahoo.com>' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tue, 22 Apr 2014 07:01:23 -0700 (PDT)
Subject: Re: [wanabidii] MNEC Magesa ahutubia mkutano wa hadhara Kigamboni

Hizo kero zinazowasumbua wananchi ambazo amezisikia leo ZILIANZA WAKATI WA UTAWALA WA CHAMA GANI? ANAZIPELEKA WAPI AMBAKO KIONGOZI HUYO NI MPYA HAZIJUI?
On Tuesday, April 22, 2014 3:49 PM, Kenneth Masuki <kennymasuki@gmail.com> wrote:

Ndugu Magesa katika kero hizo ukizosikiliza na kuahidi kuzitatua,je zilikuwepo za muungano?



On Apr 22, 2014, at 3:13 PM, Phares Magesa <magesa@hotmail.com> wrote:

Chama cha Mapinduzi CCM jana tarehe 21/4/2014 kilifanya mkutano mkubwa wa
hadhara katika viwanja vya tuo moyo Kigamboni, mgeni rasmi katika mkutano
huo alikuwa ni Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) Ndg. Phares Magesa
. Mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi wengine wa chama na serikali pamoja
kutoka bara na visiwani.

Katika mkutano huo Ndg. Magesa aligawa kadi za CCM kwa wanachama wapya zaidi
ya 350 pamoja na kugawa hundi kwa vikundi vya vikoba zaidi ya 30, yote haya
ni katika kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM. Pia MNEC Magesa alisikiliza
kero za wananchi na kuahidi kuzifikisha katika vikao vya juu kwa hatua za
utekelezaji na amehidi kurudi tena na kutoa majibu ya kero zilizowashilihwa
kwake. Wakati akihutubia mkutano huo Ndg. Magesa aliwaasa wananchi kuendelea
kufanya kazi kwa bidii, na kila mmoja ashiriki kikmilifu katika shuguli zote
za kuichumi na kijamii ili kujihakikishia maisha bora.

Ndg. Magesa pia aliwaomba wananchi wote waunge mkono mapendekezo ya wengi
katika mchakato wa katiba ya kuendelea na muundo uliopo wa serikali 2 na
kupitia mchakato huu wa katiba basi kero zilizojitokeza zipatiwe ufumbuzi na
wananchi watapata nafasi ya kutoa uamuzi kupitia kura ya maoni.

Pic 1. Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya Taifa (NEC) Ndg. Phares Magesa
akihutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Tua Moyo Kigamboni 

Pic. 2 Ndg. Magesa akishindikizwa na wanachama na wapenzi wa CCM wakati
anawasili katika viwanja Kigamboni kuhutubia mkutano wa hadhara..


-- 
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda 
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
--- 
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email towanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
<Pic 2.jpg><Pic 1.jpg>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment