Friday, 25 April 2014

Re: [wanabidii] Mkataa wengi mchawi ---bunge la katiba lina mambo!!

Ukiwapa wengi utaitwa malaya. Wachache wasikilize na ujifunze wako.

On Friday, April 25, 2014 2:50 PM, Mike Zunzu <mikezunzu@yahoo.co.uk> wrote:
Of course walio wengi ni wabunge wa kundi la CCM kwenye bunge la katiba, kwa hiyo wanaowakatalia wanayotaka ni wachawi.
Wewe anzia kwenye mfumo wa nammna watakavyokuwa wanapiga kura kufikia hatua ya mwisho juu ya vipengere wanavyojadiliana, wengi wametaka kura iwe ya wazi, wachache wanapinga utaratibu huo, ukija upande wa rasimu, CCM wameingia na msimamo wao, eti wachache wanawapinga.
Labda niongezee methali hii pia, "Wengi wape."
On Friday, 25 April 2014, 10:31, Mwema Felix <mwema.felix@gmail.com> wrote:
Sasa sijui ni wengi wapi, wananchi au wabunge wa bunge la katiba?

PS. siku 70, wametumia 20+ bilioni. Sasa wameongezewa siku 60....
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


0 comments:

Post a Comment