Mimi nafikiri niwashauri wasiofurahishwa na mchakato huu waondoke tu warudi nyumbani kuliko kuppiga kelele za hovyo hovyo tu.
Watu wazima waanajitahidi kuzimisha ukweli kuwa CCM ndio yenye nchi na kwamba bado inapendwa na watu wengi (ukweli wa Kalenga unathibitisha hili). Kwa hiyo madai kuwa inahodhi Bunge ni kweli lakini siyo kosa kwa kuwa ndio wengi sasa utapingaje hapo.
Wala hapo hakuna demokrasia ya kuachiaana nafasi eti wapinzani nao wasikike. Hiyo siyo demokrasia vinginevyo wabbadirishe kanuni ili ziruhusu kupewa nafasi kwa upendeleo.
Mimi nafikiri siyo sahihi hata kidogo kufikiria kwamba upinzani Bungeni una hoja ya msingi katika uchaguzi huo ila huenda wengi wao wana asilli ya kutaka kuvuruga mambo tu. Pili wengine wapo kwenye kampaini tayari wanatafuta kujulikana ili wakirudi wahakikishiwe kura na wananchi jambo ambalo si rahisi kuzipata. Kama hawaamini hili wasubirri matokeo ya kura za Ubunge Chalinze.
Kura mpige.nyie.au msusie kama nilivyosikia wengine kujitoa kkisha mlalamike weenyewe sielewi mimi. Labda watufafanulie zaidi.
Sent: Wed, Mar 26, 2014 7:53:56 AM
From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>;
To: wanabidii@googlegroups.com <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] Bunge la Katiba: Kamati, Wenyeviti na Makamu
Ndio maana niliuliza. Inakuwaje washiriki wawachague kisa walalamike. Mtanzania wa ajabu! Unamuona anapiga makofi kwa kuruka na furaha anabamiza meza kushangilia Rais alipokuwa anahutumia. Kisha anaanza kujitoa gazetini eti anapinga hotuba etc. Ni kupinga tu na vurugu hata kama jambo ni zuri kimantiki!! Mnachagua, kisha mnalalamika. Wawape uhuru kujitoa wanaoona bunge na uongozi wake haufai. Wenye njaa ya kazi ya kutetea uma na njaa ya hela tupo wengi.
Wamechaguliwa na wajumbe wenyewe wa Kamati husika. Ajabu ninayoiona ni kwa nini wanalalamikka kwamba ni CCM tu.?
From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>;
To: wanabidii@googlegroups.com <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] Bunge la Katiba: Kamati, Wenyeviti na Makamu
Sent: Wed, Mar 26, 2014 6:29:15 AM
Kwani hawa wenyeviji wa kamati na makatibu wamechaguliwa na nani?
On Wednesday, 26 March 2014, 0:10, Juma Mzuri <jumamzuri@gmail.com> wrote:
Wenyeviti wa kamati za bunge waliochaguliwa leo hawa hapa:1. Hamad Rashid2: Christopher ole sendeka3: Shamsi vuai nahodha4: Anna Abdallah5: Job Ndugai6: Anne Kilango malecela=========Kamati Namba Moja:Mwenyekiti ni Ummy Mwalimu, Makamu Mwenyekiti ni Profesa Makame Mnyaa Mbarawa.
Kamati Namba Mbili:Mwenyekiti ni Shamshi Vuai Nahodha, Makamu Mwenyekiti ni Shamsha Mwangunga.Kamati namba tatu:M/kiti ni Francis Michael, Makamu ni Fatma Musa Juma.Kamati namba nne:Mwenyekiti ni Christopher ole Sendeka na Makamu ni Dk. Sita Mamboya.Kamati namba tano:Mwenyekiti ni Hamad Rashid Mohamed na Makamu ni Assumpter MshamaKamati namba sita:Mwenyekiti ni Stephen Wassira na Makamu ni Dk. Maua Dftari.Kamati namba saba:Mwenyekiti ni Brigedia Jenerali (mstaafu) Hassan Ngwilizi na Makamu ni Waride Bakar Jabu.Kamati namba nane:Mwenyekiti ni Job Ndugai, Makamu ni Biubwa Yahya Othman.Kamati namba tisa:Mwenyekiti ni Kidawa Hamid Salehe na Makamu ni William Ngelleja.
Kamati namba 10:Mwenyekiti ni Anna Abdallah, Makamu ni Salim Hawadhi Salim.Kamati namba 11:Mwenyekiti ni Anne Killango, Makamu ni Yusuf Hamad Masauni.Kamati namba 12:Mwenyekiti ni Paul Kimiti na Makamu ni Thuwayba Edington Kisasi.
On Tuesday, March 25, 2014 3:28:01 PM UTC+3, ELISA MUHINGO wrote:Nisaidiwe: Kamatihizi amechagua mzee wa viwango??
On Tuesday, March 25, 2014 1:15 PM, Joseph Ludovick <josephl...@gmail.com> wrote:
Wanasubiri nini kujitoa? Huko walitumia kura za wazi au za siri? Ccm ni walewale. Hata katika mengine watachagua ccm yao.nani bado anawaamini hawa maccm eti wakipiga kura ya siri watapigia serikali tatu?On Mar 25, 2014 1:00 PM, "Vincent Mhangwa" <vmhangwa@gmail.com> wrote:--Chadema hakuna hata mmoja?!!!! Duh!On 25 Mar 2014 09:08, "Bariki Mwasaga" <bmwasaga@gmail.com> wrote:--Tumaini Bakobi
Kwani hujamsoma Mzee Kimiti, Francis Michael na Shamsa Mwangunga??--On 25 March 2014 11:12, tumaini bakobi <tumainibakobi@yahoo.com> wrote:
Ina maana wale wateule 201 hakuna hata mmoja alionekana anafaa kuongoza kamati au!
On Tuesday, 25 March 2014, 11:08, Ipyana L <ipyanalwinga@gmail.com> wrote:
Ili tupate katiba inayoendana na ILANI ya chama chetu cha Mapinduzi!--On Tue, Mar 25, 2014 at 9:51 AM, Neatness Msemo <nmuzeh@gmail.com> wrote:
wote ni mrengo mmoja why?--On Tue, Mar 25, 2014 at 8:40 AM, Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com> wrote:
--Kamati namba 1: Mwenyekiti ni Ummy Mwalimu, Makamu Mwenyekiti ni Profesa Makame Mnyaa Mbarawa.Kamati namba 2: Mwenyekiti ni Shamshi Vuai Nahodha, Makamu Mwenyekiti ni Shamsha Mwangunga.Kamati namba 3: M/kiti ni Francis Michael, Makamu ni Fatma Musa Juma.
Kamati namba 4: Mwenyekiti ni Christopher ole Sendeka na Makamu ni Dk Sita Mamboya.Kamati namba 5:Mwenyekiti ni Hamad Rashid Mohamed na Makamu ni Assumpter MshamaKamati namba 6: Mwenyekiti ni Stephen Wassira na Makamu ni Dk Maua Daftari.Kamati namba 7:Mwenyekiti ni Brigedia Jenerali (mstaafu) Hassan Ngwilizi na Makamu ni Waride Bakar Jabu.Kamati namba 8:Mwenyekiti ni Job Ndugai, Makamu ni Biubwa Yahya Othman.Kamati namba 9 Mwenyekiti ni Kidawa Hamid Salehe na Makamu ni William Ngeleja.
Kamati namba 10:Mwenyekiti ni Anna Abdallah, Makamu ni Salim Hawadhi Salim.Kamati namba 11:Mwenyekiti ni Anna Killango, Makamu ni Yusuf Hamad Masauni.Kamati namba 12:Mwenyekiti ni Paul Kimiti na Makamu ni Thuwayba Edington Kisasi.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/ optout.
"In accepting the trusteeship of our wildlife we solemnly declare that we will do everything in our power to make sure that our children's grand-children will be able to enjoy this rich and precious inheritance."- Dr. Julius K. Nyerere--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/ optout.
--
Ipyana Lwinga
Email: ipyanalwinga@gmail.com
"Mpende Jirani yako kama nafsi yako..."
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/ optout.--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/ optout.
--
Bariki G. Mwasaga,
P.O. Box 3021,
Dar es Salaam, Tanzania
+255 754 812 387
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/ optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/ optout.
Send Emails to wana...@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@ googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/ optout.--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
"In accepting the trusteeship of our wildlife we solemnly declare that we will do everything in our power to make sure that our children's grand-children will be able to enjoy this rich and precious inheritance."- Dr. Julius K. Nyerere
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment