Hii itadhoofisha Ujasiliamali aliotuhamasisha mzee Mkapa. Halafu watumishi wa uma wataoathirika zaidi ni wale wadogo kama vile wahudumu maofisini Walinzi Walimu nk wenye vipato vidogo. Tatizo ni maadili.
On 4 Jan 2014 18:09, "Gaston Kikuwi" <kikuwigg@gmail.com> wrote:
-- Naungana na wachangiaji kwa kuwa kwa sasa uchumi unamilikiwa na sekta binafsi. Kwa mtumishi wa umma ambae nae anafanyabiashara ataweza kuishauri serikali na yeye akiwemo katika kuboresha mazingira ya biashara. Cha msingi ni kufuaata miiko ya utumishi" code of conduct and ethics
On Jan 4, 2014 7:07 PM, "Herment Mrema" <hmrema11@hotmail.com> wrote:----Ndugu Fares et al,
Naomba tukubali tatizo hapa sio wafanyabiashara kuwa wanasiasa au wanasiasa kuwa waanyabiashara au mfanyakazi kuwa mfanyabiashara au vinginevyo ila ni mfumo au utaratibu wa kuhakikisha mtanzania anazo fursa za kutenda lolote lile bila kuvunja sheria mojawapo kuwa fisadi, mla au mtoa rushwa.
Ninafikiri tatizo hapa ni kutenganisha namna maamuzi yanavyofanywa kutunga sheria. kusimamia sheria na kuhakikisha sheria inafanya kazi na inaheshimiwa.
Lingine ni mfumo wa washiriki katika kufanya maamuzi kwa hatua na nyanja tofauti wakiwa wana malengo yanayofana. Kwa mfano wale wote walio kwenye ngazi za uongozi ni maofisa wa usalama wa taifa kwenye eneo liwe la mahakama, liwe ni bunge au liwe upande wa serikali kuu. Kwa maana hiyo kutenganisha hawa watu ni jambo gumu sana kwa kuwa katika kufanya maamuzi wataangalia usalama wa taifa kwanza ambao ni maslahi yao binafsi kwanza.
Hili ni tatizo la mfumo ambalo unaweza kuangaliwa wakati wa kutengeneza katiba mpya. Tatizo ni ubinafsi, umimi, kutokuwa na uzalendo, kutokujali na kuwa mamluki wa mataifa makubwa ambao kwa kiasi fulani ndio wadau na watawala wa nchi ya Tanzania.
Haya ni maoni yangu binafsi
Herment A. Mrema> Subject: Re: [wanabidii] Watumishi wa umma kutokuwa wamiliki au wafanya biashara
> To: wanabidii@googlegroups.com
> CC: rkasesela@gmail.com; issamichuzi@gmail.com; johnbukuku@gmail.com; mjengwamaggid@gmail.com; haki.yako@gmail.com; wanataaluma@googlegroups.com; m_mbura@yahoo.co.uk; mhegera@hotmail.com; masaoe@hotmail.com; oswald_urassa@hotmail.com; innojg@me.com; jjnyella@hotmail.com; tmuganyizi@tra.go.tz; stmrema@hq.bot-tz.org; lextlm@hotmail.com; gokkibaga@gmail.com; dakifile@simbanet.net; geoffkasambula@yahoo.com; edwinfulltime@yahoo.com; dgtenga@hq.bot-tz.org; aamdimu@gmail.com; hkitenge@yahoo.com; salumm@hotmail.com; kfairom@gmail.com; askk@excite.com; jeffnsemwa@yahoo.co.uk; ericshitindi@utumishi.go.tz; mwakalinga@hotmail.com; amani37@yahoo.com; nyoxterie@yahoo.com; maponde59@yahoo.com; yetongola@hq.bot-tz.org
> From: magesa@tanzaniaports.com
> Date: Sat, 4 Jan 2014 14:45:32 +0000
>
> Dr. Olomi,
>
> Nakubaliana na wewe asilimia 100, nadhani kuna tatizo katika baadhi ya mapendekezo kwenye rasimu hii moja wapo ni hilo ulilolisema la watumishi wa umma kutokuwa wafanya biasha, jingine ni la muundo wa serikali, mahakama n.k. Nadhani kuna mambo mengi yanahitaji tafakari za kina.
>
> Nakubali kabisa kuwa tusipokuwa makini katiba ikatumika kuweka mambo ambayo kimsingi sio ya kikatiba bali ni ya kisera na kikanuni basi tutakuwa na katiba ambayo itabomoa na kuturudisha nyuma badala ya kutupeleka mbele.
>
> Naomba tujadili haya mambo kwa kina na tutoe maoni sahihi yenye nia ya kutupeleka mbele.
>
> Phares Magesa
>
> Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
>
> -----Original Message-----
> From: "Donath R.Olomi" <olomi@imedtz.org>
> Sender: wanabidii@googlegroups.com
> Date: Sat, 4 Jan 2014 08:47:54
> To: <magesa@tanzaniaports.com>
> Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
> Cc: 'Richard Kasesela'<rkasesela@gmail.com>; <issamichuzi@gmail.com>; <johnbukuku@gmail.com>; <mjengwamaggid@gmail.com>; <haki.yako@gmail.com>; <wanataaluma@googlegroups.com>; <m_mbura@yahoo.co.uk>; <mhegera@hotmail.com>; <masaoe@hotmail.com>; <oswald_urassa@hotmail.com>; <innojg@me.com>; <jjnyella@hotmail.com>; <tmuganyizi@tra.go.tz>; <stmrema@hq.bot-tz.org>; <lextlm@hotmail.com>; <gokkibaga@gmail.com>; <dakifile@simbanet.net>; <geoffkasambula@yahoo.com>; <edwinfulltime@yahoo.com>; <dgtenga@hq.bot-tz.org>; <aamdimu@gmail.com>; <hkitenge@yahoo.com>; <salumm@hotmail.com>; <kfairom@gmail.com>; <askk@excite.com>; <jeffnsemwa@yahoo.co.uk>; <ericshitindi@utumishi.go.tz>; <mwakalinga@hotmail.com>; <amani37@yahoo.com>; <nyoxterie@yahoo.com>; <maponde59@yahoo.com>; <yetongola@hq.bot-tz.org>; <josephatsanda@yahoo.com>; <jrmsaki@yahoo.com>; <msafiri_1965@yahoo.com>; <ed@hakielimu.org>; 'CC:'<josseysteve@yahoo.com>; <hkitenge@hotmail.com>; <rlwakatare@yahoo.com>; <jnjau@cresta-attorneys.com>; <hutoldu@yahoo.com>; <magai@immma.co.tz>; <masha@immma.co.tz>; <killpests@gmail.com>; <gonza30@hotmail.com>; <glwakatare@nwb.or.tz>; <lkanijo@gmail.com>; <clement@samcatgroup.com>; <iyennsemwa@gmail.com>; <bkaissy@tra.go.tz>; <e_maseke@yahoo.co.uk>; <emapesa@yahoo.com>; <fmwaisela@yahoo.com>; <ekakuyu@ppftz.org>; <ikalumuna@hotmail.com>; <csabuni@tra.go.tz>; <skimaro@tra.go.tz>; <singili@intafrica.com>; <hasner_8@hotmail.com>; <atumwa@yahoo.com>; <chandosophia@hotmail.com>; <mas_jirabi@hotmail.com>; <mas_jirabi@yahoo.com>; <j_haule@hotmail.com>; <void_k@yahoo.com>; <taiyoerasto@yahoo.com>; <gmagulu@yahoo.com>; <sittir@stanbic.com>; <smsangi@mail.com>; <kiafrema@yahoo.com>; <ikushoka@yahoo.com>; <asimwe@eiq.net.au>; <e.ombaka@gmail.com>; <akavishe@bancabc.com>; <anna@cartrack.co.tz>; <ansimmasi@barakasolar.co.tz>; <stideslyte05@yahoo.com>; <bosco@infoconsultancy.com>; <butamop@yahoo.co.uk>; <daniel@technologyconcepts.co.tz>; <management@trust.co.tz>; <dennisfrancis2010@yahoo.com>; <dicksonhyera@yahoo.com>; <olomi@udbs.udsm.ac.tz>; <mayoinsuranceltd@gmail.com>; <yobu@udbs.udsm.ac.tz>; <tzasili@yahoo.com>; <eric.duplessis@theprofingroup.com>; <bdm@skylinktanzania.com>; <magadytz@yahoo.com>; <godmosha@yahoo.com>; <principal@ud.co.tz>; <hopeofhelen@yahoo.com>; <hildegardmziray@gmail.com>; <kwigaya@yahoo.com>; <oosir@resolution.co.tz>; <rtemba@yahoo.com>; <skeeter24emma23@yahoo.com>; <tq@datavision.co.tz>; <viv@bizonlineafrica.com>; <wonyango@resolution.co.tz>; <md@pmc.co.tz>; <ovacado@hotmail.com>; <muraguri@bnieastafrica.com>; <gkatulamahendeka@yahoo.com>; <bmunisi05@yahoo.com>; <dshambwe@nhctz.com>; <machangaanna@yahoo.com>; ASED KIPEPE<sdkipepe@gmail.com>; <samsimpilu@tanzaniaports.com>; <mobinsons@yahoo.com>; <hmwamsyani@yahoo.com>; <cnazi2002@yahoo.com>; <j99cgum@yahoo.com>; <s.muhongo@bol.co.tz>; 'President - TPN'<president@tpn.co.tz>; 'Method Bakuza'<mayoelectf@yahoo.com>; <a.nguluma@rexattorneys.co.tz>; <abckowero@yahoo.co.uk>; <wanabidii@googlegroups.com>; <adelaidan@gmail.com>; <admin@kongoi.com>; <adrianngasi@yahoo.com>; <afaraji@hotmail.com>; <akilonge@yahoo.co.uk>; <albertsozzy@yahoo.com>; <ali_seif@yahoo.com>; <ally.mzava@natnets.org>; <allymzava@yahoo.com>; <almkindi@gmail.com>; <amarco.marco0@gmail.com>; <amidelo@hotmail.com>; <anaelm@resolute-ltd.com.au>; <andrew.kwayu@kilimo.go.tz>; <angelinaballart@yahoo.com>; <asaguti@mkapahivfoundation.org>; <atemu@calder-systems.com>; <bahati.geuzye@tz.ey.com>; <bandaobed@yahoo.com>; <bastectz@hotmail.com>; <beatuslm@yahoo.com>; <bertharita2002@yahoo.co.uk>; <bin_yakub@hotmail.com>; <bmbambe@gmail.com>; <bmwasonga@hotmail.com>; <bnjau@interconsult-tz.com>; <bnjau@uccmail.co.tz>; <bonitakilama@yahoo.com>; <bosser13@yahoo.com>; <brighton.chiza@aku.edu>; <bubelwa.kaiza@fordia.org>; <buseejj@yahoo.com>; <carolmchome@gmail.com>; <cdnkassala2002@yahoo.co.uk>; <cgeleja@yahoo.com>; <chaddy@tacaids.go.tz>; <chami296@hotmai.com>; <charles.nkondola@tz.sabmiller.com>; <christopher.makombe@sc.com>; <ckabunga@iom.int>; <clementmm88@yahoo.com>; <consomaimu@yahoo.co.uk>; <cuthbertswai2003@yahoo.co.uk>; <daftaridr@yahoo.com>; <danisteph2001@yahoo.com>; <dataworks02@yahoo.co.uk>; <ddjumbe@yahoo.co.uk>; <ddmwaka@yahoo.com>; <devotamdachi@yahoo.com>; <dignaisaya@yahoo.com>; <dkipeja@hotmail.com>; <dnps@hq.bot-tz.org>; <e.sinare@rexattorneys.co.tz>; <ebaruti@yahoo.com>; <edwinfulltime@yahoo.ca>; <ehongoli@yahoo.com>; <ekwanama@hotmail.com>; <emaige@parliament.go.tz>; <emmammbaga@hotmail.com>; <emmanuel.nnko@gmail.com>; <emmylaugh@yahoo.com>; <emnyawami@emarongroup.com>; <emsenkoro@mkapahivfoundation.org>; <emshunga@hotmail.com>; <enamunisi2@yahoo.co.uk>; <endeleanorbert@gmail.com>; <eongogo@yahoo.co.uk>; <erwejuna@vodacom.co.tz>; <esalla@barrick.com>; <fadhilimatimbwi@yahoo.com>; <faustine@dr.com>; <fbundala@hotmail.com>; <flyimo@vodacom.co.tz>; <fmasau@hotmail.com>; <fmrisho@gmail.com>; <frank@goyayi.com>; <freddmsemwa@yahoo.com>; <frederickmandara@yahoo.com>; <fredmsemwa@yahoo.com>; <fresh@freshjumbe.com>; <fridolinewilibard@yahoo.com>; <garetrace@hotmail.com>; <geofrey.mwapongwe@tanzaniaparks.com>; <gkigolla@yahoo.com>; <gmalisa@costech.or.tz>; <gwahe@yahoo.com>; <hamisi_pazi@yahoo.com>; <happymchomvu@yahoo.co.uk>; <hasham.salim@gmail.com>; <hassan.mhelela@bbc.co.uk>; <hildebrandshayo@googlemail.com>; <hmshinda@costech.or.tz>; <hokapanya@yahoo.com>; <hom@tanzania-online.gov.uk>; <hswai@csir.co.za>; <iddyrashy@yahoo.com>; <imma@kaale.co.tz>; <imma_mmari@yahoo.com>; <info@ssc.co.tz>; <infoff@raha.com>; <j.mowo@cgiar.org>; <j.w.olotu@gmail.com>; <j_luponel@yahoo.com>; <j_mayunga@yahoo.com>; <j_nyanza@yahoo.com>; <james.bokela@tz.sabmiller.com>; <jgervas@hotmail.com>; <jkisyeli@yahoo.com>; <jmomburi@mof.go.tz>; <jmomburi@yahoo.com>; <jmwangakala@yahoo.com>; <jmwankemwa@yahoo.com>; <joemasala@gmail.com>; <johnwambura@yahoo.com>; <josephkusaga@yahoo.com>; <joshu3m@gmail.com>; <jparess@yahoo.com>; <jrmasenga@yahoo.com>; <jubilate.muro@newfrontiers.co.tz>; <jumanne_magiri@yahoo.com>; <kachuchura@yahoo.com>; <kelandschool@gmail.com>; <ketronique@gmail.com>; <kiyenjeo@gmail.com>; <kpaul@agumba.biz>; <kranmilis@yahoo.com>; <laizerpn@yahoo.com>; <lillianmwinuka@yahoo.com>; <lilyutouh@yahoo.com>; <lkiamba@gmail.com>; <lunguyam@tz.cdc.gov>; <lupilya2002@yahoo.com>; <lwimmy@yahoo.com>; <lyimo@yahoo.com>; 'Dr.david'<dmruhago@yahoo.com>; 'itika kisunga'<itikam22@yahoo.com>; <drnyagawa@hotmail.com>; <yipuge@gmail.com>; 'DANNY MWASANDUBE'<dmwasandube@btinternet.com>; <boaz.kitaja@sgs.com>; <jmwakasyuka@parliament.go.tz>; <maige_e@hotmail.com>; <mansour.hamdun@swissport.co.tz>; <maorchid@gmail.com>; <mariammasasi@hotmail.com>; <marina@dapad.org>; <maxence.melo@jamiimedia.com>; <mayoelecf@yahoo.com>; <mchaula@iaa.ac.tz>; <mchirangi@hotmail.com>; <me@mikemushi.com>; <mercyktz@yahoo.com>; <mfunguo@yahoo.com>; <mgmbowe@hotmail.com>; <michaeltarimo@yahoo.co.uk>; <mkinanga2001@yahoo.com>; <mmahiga@professionalapproach.co.tz>; <mmasenga@tasaf.org>; <mmatui@yahoo.co.uk>; <mngatwa@yahoo.com>; <mnyirenda@tea.or.tz>; <mohameds@raha.com>; <mollelgodson@yahoo.com>; <mpambalioto@gmail.com>; <mpembe99@yahoo.com>; <mpomabiva@raha.com>; <msadoti@yahoo.co.uk>; <msagati@ukzn.ac.za>; <msamatie@yahoo.com>; <mshana1978@yahoo.com>; <mtambwe@dailynews-tsn.com>; <mukama@erb.go.tz>; <mustafahassanali@gmail.com>; <mwasandendek@yahoo.com>; <mwavangila@hotmail.com>; <mwemamm@yahoo.com>; <mwitondi@yahoo.com>; <mwombeki.fabian@gmail.com>; <mzeerahim@yahoo.com>; <naasemaasante@yahoo.com>; <nangelmwa@yahoo.com>; <nasemaasante@yahoo.com>; <nazir@natoil.co.tz>; <ngemera.ndibalema@songas.com>; <oigogo@yahoo.com>; <oliver22ngolle@hotmail.com>; <olnexchillo@yahoo.co.uk>; <olnexchillo@yahoo.com>; <olomi@yahoo.com>; <paulinekimollo@yahoo.co.uk>; <pav@mwanzoparklodges.co.tz>; <peter.mwakabwale@heifertz.org>; <petermkumbo@yahoo.com>; <pharesmagesa@yahoo.com>; <planwelltz@yahoo.com>; <pmagesa@hotmail.com>; <pmrosso@bol.co.tz>; <pmziray@hotmail.com>; <premi@ikulu.go.tz>; <ptesha@airports.go.tz>; <pwitule@yahoo.com>; <rachel.mwalukasa@barclays.com>; <rafii@bmtelecomms.co.tz>; <ray.menard@cheetahdevelopment.org>; <restymushy@yahoo.com>; <ringogl@gmail.com>; <rjiwani@hydrovision.us>; <rmtingwa@vodacom.co.tz>; <robert@ngalomba.com>; <robertm@nbctz.com>; <roselyne@habari.co.tz>; <rosemarymwakitwange@gmail.com>; <rotts76@yahoo.co.uk>; <rswai@saedf.com>; <ruhago@hotmail.com>; <rukiko2007@yahoo.com>; <sadakitchen@yahoo.com>; <sambaa00@yahoo.co.uk>; <sawadh@ssc.co.tz>; <senanews@hotmail.com>; <seronga.wangwe@bcx.co.tz>; <shabbah99@yahoo.com>; <sinarezu@yahoo.com>; <sjmwanri2003@yahoo.com>; <solartz@yahoo.com>; <stezura@emec.co.tz>; <swaisr@yahoo.com>; <t.husna@gmail.com>; <tamongsco@yahoo.com>; <tanlaptz@gmail.com>; <taskmgt@gmail.com>; <telvintz@yahoo.com>; <tobyswai@yahoo.com>; <tom@retom.com>; <triphosa.mutakyahwa@nmbtz.com>; <tsambwette@yahoo.com>; <tza_jmeena@gdlnmail.org>; <vera.ngowi@gmail.com>; <victoria.elangwa@tanesco.co.tz>; <wachira.mureithi@ultravetis.com>; <wamburaj@tz.cdc.gov>; <yase.ngwandu@yahoo.co.uk>; <ymshana2003@gmail.com>; <yonah.samo@undp.org>; <zoumingneng@huawei.com>; <dmujemula@yahoo.com>; <gerald.jeremiah@dawasco.com>; <lkasilima@nhctz.com>; <linda_mkaitte@yahoo.co.uk>; <rose.tesha@yahoo.com>; <belindaringo@lycos.com>; <ulitsakholzunova@gmail.com>; <johannesjovin@yahoo.co.uk>; <doromanka@yahoo.com>; <bmukama@yahoo.com>; <emarontz@gmail.com>; <mbazij@unaids.org>; <pricekelly@yahoo.com>; <mwasikilithom@yahoo.com>; <eqnungu@yahoo.com>; <ndekia@gmail.com>; <fmshahara@yahoo.com>; <empallano@gmail.com>; <islam662002@yahoo.com>; <kwemishuza@yahoo.com>; <saidmdee@yahoo.com>; <piuskaheshi@yahoo.com>; <merindafm@hotmail.com>; <pkajiba@yahoo.com>; <nrutabasibwa@yahoo.co.uk>; <akacuth@gmail.com>; <lucydalu@yahoo.com>; <info@emec.co.tz>; <info@rexsolarenergy.com>; <louismlingi@hotmail.com>; 'judith.charles'<judith.charles@aku.edu>; 'Emmanuel Mmari'<emmammari@gmail.com>; <kazael.elangwa@hrct.co.tz>; 'Eng. Kimaka.'<mkimaka@yahoo.com>; 'ali mzige'<amzigetz@yahoo.com>; 'palmaram aloyce'<pamlaone@yahoo.com>; <marco.makanyaga@tz.bp.com>; <jucharl@yahoo.com>; <vidah_b127adn@yahoo.com>; 'Vera Mugittu'<vera@muvek.co.tz>; 'Mzee Mwanakijiji'<mwanakijiji@jamiiforums.com>; <mwanakijiji@mwanakijiji.com>; <bmahenya@yahoo.com>; <magesa@hotmail.com>; <mkmziya@yahoo.com>; <mmahiga@pa.co.tz>; <mmwenda@wia.co.tz>; <thomas.ngwandu@siemens.com>; <sam@danimex.com>; <hlawere@yahoo.com>; <info@dewjiblog.com>; <amichuzi@gmail.com>; <salimtzr@yahoo.co.uk>; <salimfomari@hotmail.com>; <imanikajula@hotmail.com>; <dg@nhctz.com>; <marwajr@gmail.com>; <lawrence.mafuru@nbctz.com>; <ictstaff@tanzaniaports.com>; <pamela@ramaniequipment.com>; <pkisamo@peakperformance-int.com>; <kyando.mchechu@nhctz.com>; <vmtemi@nhctz.com>; <iwatoedwin@hotmail.com>; Mobhare Matinyi<matinyi@hotmail.com>; <sawadhi@randrtz.com>; <chami296@hotmail.com>; <wineaster@yahoo.com>; <echiume@gmail.com>; <dmwanyika@barrick.com>; <maryam_marambo@yahoo.com>; <maryam.marambo75@gmail.com>
> Subject: [wanabidii] Watumishi wa umma kutokuwa wamiliki au wafanya biashara
>
>
> Waz
>
> Heri ya mwaka mpya.
>
> Katika rasimu ya pili ya Katiba yetu kuna kusudio la kuzuia watumishi wa
> umma kujishughulisha na shughuli za kibiashara, ikiwa ni lengo la
> kupambana na rushwa.
>
> Nashauri sana tufikiri na kuchangia mjadala utakaowezesha kufanyika
> maamuzi ya busara kwenye hili jambo. Tunaweza tukawa tunafikiri tunajenga
> kumbe tunabomoa.
>
> Je, tatizo la msingi ni watumishi wanaomiliki biashara au ni kushindwa
> kusimamia uadilifu wa watumishi? Kama tatizo la msingi ni kukosekana kwa
> usimamizi wa uadilifu wa utumishi kuwazuia kumiliki au kufanya biashara
> kwa majina yao kutasaidia nini?
>
> Je, kuwa mfanya biashara maana yake ni nini? Nikiwa na kishamba, vikuku,
> nyumba ya kupangisha, kuduka ni mfanya biashara? Au kikiwa kikubwa namna
> gani? Mke wangu rasmi au mtoto akiwa nayo je. Mke asiye rasmi je? Ndugu wa
> kuzaliwa? Nikiwa namiliki hisa kwa jina la mtu mwingine je? Hapo utakuta
> ni watumishi wachache wa umma, watabakia wanastahili
>
> Je, kubagua wafanya biashara (na kuwashetanisha - demonising) kwa namna
> hiyo kutaleta madhara gani katika tasnia hiyo mbele ya watoto, vijana na
> jamii
>
>
> Je, kule kuwakataza wafanya biashara wasiwe watumishi wa umma hakutaunyima
> umma vipaji na uwezo wa kijasiriamali unaohitajika katika kutafuta
> maendeleo kwenye nyanja zote?
>
> Kuna mifano ya nchi zenye kufuata mfumo wa soko huria ambazo zimefuata
> sera kama hiyo kwa mafanikio?
>
>
> % Wazalendo,
> %
> % Napanda kuchukua nafasi hii kuwafahamisha kuwa kutokana na maombi ya
> % wanataaluma wengi kuwa mwishoni mwa mwezi desemba wanakuwa likizo.
> % Hivyo basi TPN imesikiliza maoni hayo na tumeamua kuisogeza mbele siku
> % hii
> % ya wanataaluma Tanzania hadi mapema mwaka 2013.
> %
> % Siku na Mahali tutawajulisha hapo baadae, mambo yote yaliyopangwa
> % yatafanyika.
> %
> % Kutokana na kusogezwa mbele nachukua fursa hii kuwafahamisha kuwa bado
> % tunapokea maombi ya wanaotaka kutunikiwa tuzo; unaweza ukampendekeza mtu
> % au
> % ukajipendekeza mwenyewe , ambatanisha CV na ueleze ni kwa nini upewe au
> % unayempendekeza apewe tuzo husika (soma email ya chin kwa maelezo zaidi).
> %
> % Naomba tuendelee kushirikiana na kupeana ushauri kufanikisha siku hii.
> %
> % Nawashukuru wote waliojitokeza kudhamini tukio hili na pia walijitokeza
> % kuchangia mawazo kufanikisha siku hii.
> %
> % Makampuni yaliyojitokeza kudhamini ni pamopja na ya umma na binafsi.
> %
> % tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaosababishwa na kuahirishwa kwa
> % tukio
> % hili ,naomba tuendelee kushirikiana.
> %
> % Nawatakia wote kila heri ya kipindi hiki cha siku kuu za Krismasi,
> % mapumziko na Mwaka mpya mwema 2013.
> %
> % Wanataaluma tuna nafasi ya kutumia taaluma zetu kuleta mabadiliko chanya
> % kwa
> % faida ya Taifa letu.
> %
> % Mungu awabariki wote, Mungu ibariki Tanzania.
> %
> % Phares Magesa
> % Rais- TPN
> % +255 784 618320
> %
> %
> ----------------------------------------------------------------------------
> %
> ----------------------------------------------------------------------------
> % -----
> %
> % Wazalendo,
> %
> % Napenda kuchukua nafasi hii kuwafahamisha kuwa siku ya wanataaluma
> % Tanzania
> % itakuwa 28 Dec, 2012 kuanzia saa 8 mchana hadi usiku..
> %
> % Tunatarajia itafanyika katika moja ya hotel maarufu katikati ya jiji la
> % Dar
> % Es Salaam, ukumbi tutawajulisha baadae mara baada ya taratibu za awali
> % kukamilika .
> %
> % Siku hii kutakuwa na mambo yafuatayo:
> %
> % 1. Mkutano wa mwaka wa wanachama wote ( wanachama wetu wote wa ndani na
> % walio nje ya nchi mnakaribishwa sana kushiriki maana wengi kipindi hiki
> % wanakuwa likizo, wale mnaopenda kujiunga na TPN pia karibuni)
> % 2. Kongamano la wanataaluma wote kujadili mambo mbali mbali kuhusu
> % Taifa letu na mwaka huu mad azote zitahusu Ujasiriamali na maendeleo ya
> % Taifa, wasemaji watakuwa ni wafanyabiashara,
> % viongozi wa kijamii na kiserikali, wanataaluma walio
> % ndani
> % nan je ya nchi, mnakaribishwa kama una taka kuwa msemaji.
> % 3. Tuzo za mwaka kwa wanataaluma walio ndani na nje ya nchi waliofanya
> % vizuri katika fani zao (Tiba, Elimu,Sheria, Sayansi na Teknolojia, Habari,
> % Uchumi, Sanaa, Siasa n.k) na tuzo kuu ya
> % Mwanataaluma wa Mwaka (Professional of the year Award)
> % ambaye ataingie katika Hall of Fame ya wanataaluma wa Tanzania, mwaka Jana
> % 2011 tuzo hii ilienda kwa Baba wa Taifa Mwl. Nyerere.
> % 4. Pia kutakuwa chakula cha usiku na burudani ya kumaliza mwaka 2012
> % na kuukaribisha mwaka mpya 2012 wanataaluma wote tujumuike pamoja
> % tafadhali
> % thibitisha ushiriki kwa kutuma ujumbe
> % mfupi (sms au email) wenye jina lako kwa mratibu au Rais.
> %
> % Nawakaribisha wote tujumuike na kushiriki kikamilifu kwa hali na mali
> % katika
> % maandalizi ili kufanikisha siku hii kubwa ya wanataaluma Tanzania.
> %
> % Wale ambao mnaodhani mna sifa za kupewa tuzo mnaweza mkawasiliana na nasi
> % moja kwa moja au kama kuna mtu unadhani ana sifa za kupewa tuzo hizo pia
> % tutumie mapendekezo yako na wasifu wake. Mapendekezo haya yafike kabla ya
> % tarehe 15, Dec 2012 ili kamati ya utendaji ya TPN iyapitie na kutoa uamuzi
> % wa watakaotunikiwa tuzo hizo.
> %
> % Maoni na ushauri vyote vinakaribishwa, mnaweza kuwasiliana na walitajwa
> % hapo
> % chini.
> %
> % Nachukua nafasi hii kuwaomba wadau wetu wote mtakaopenda kushirikiana nasi
> % katika kufanikisha siku hii kwa kudhamini au kufadhili matukio ya siku
> % hii
> % muwasiliane nasi .
> %
> % Mratibu Mkuu wa shughuli hii ni Bi. Maryam Marambo 0689 288919 , 0716 350
> % 650 email: maryam_marambo@yahoo.com ; Maryam.marambo75@gmail.com
> %
> % Nawatakia wote kila la heri.
> %
> % Phares Magesa,
> % Rais- TPN,
> % +255 (0784/0713/0767) 618 320
> % magesa@hotmail.com
> %
> % Richard Kasesera,
> % Makamu wa Rais- TPN
> % +255 767 777151
> % rkasesela@gmail.com
> %
> % Mhe. Bi. Janet Mbene (MB),
> % Katibu Mkuu - TPN
> % +255 784 596 444
> % maorchid@gmail.com
> %
> % Gervas Lufingo
> % Mhazini- TPN
> % +255 784 482597
> % nasemaasante@yahoo.com
> %
> % Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (TPN),
> % Url: www.tpntz.org
> % Email: president@tpn.co.tz
> %
> %
> %
> ----------------------------------------------------------------------------
> % ----------------------------------------
> %
> %
> %
>
>
> --
> "Give your energy to things that give you energy.",
>
> "Learn enough to begin and then learn as you go."
>
>
> Dr. Donath R.Olomi
> Chief Executive Officer
> Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED)
> Mwalimu House 7th Floor, Ilala
> P.O. Box 35036 Dar es Salaam, Tanzania E-mail: info@imedtz.org, website:
> www.imedtz.org
> Mobile +255-754-296660
>
> Publications available on the Internet
>
> http://www.repoa.or.tz/documents/RR_12-2.pdf
>
> http://www.businessenvironment.org/dyn/be/docs/31/BETanzania02.pdf
>
> http://www.tanzaniagateway.org/docs/EnhancingSMEcontributiontoempandpovertyreduction.pdf
>
> http://econpapers.repec.org/article/wsijecxxx/v_3a17_3ay_3a2009_3ai_3a01_3ap_3a103-125.htm
>
> http://www.fek.umu.se/forskning/pub/Business.Studies/babsonpaperversion.pdf
>
> http://www.sbaer.uca.edu/research/icsb/2011/763.pdf
>
> http://fusionmx.babson.edu/entrep/fer/babson2001/I/I-R/I-R/i-r.htm
>
> http://www.theigc.org/sites/default/files/EnterpriseMapofTanzania.pdf
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment