Tuesday, 21 January 2014

Re: [wanabidii] MADENI ANAYODAIWA FREEMAN MBOWE NA CHADEMA

Mkuu JL,
Hakuna mahala nimekuita msaliti, na ni kweli kwamba siwezi kuleta ushahidi hapa kuonesha ni namna gani umemashambulia Ndg. Mbowe. Tuliza bongo yako pitia arifa zako huko juu uone ni kwa namna ipi na mimi nimefikia kukuuliza masuala hayo.

Magiri.

Dau dogo huambaa mwambao, kubwa huenda kwenye kilindi.

On Jan 21, 2014 1:06 PM, "Joseph Ludovick" <josephludovick@gmail.com> wrote:
Magiri, huwezi kuleta ushahidi hata mmoja tu wa mimi joseph ludovick
kumshambulia mbowe. Mimi nimetoa maisha yangu mara nyingi kwa ajili ya
hawa viongozi wangu. Mimi ludovick,sijawahi,na kadri nitakavyojaliwa,
sitatukana kamanda wa anga wala dk.slaa,na kwa hiyo kiongozi yeyote.
For record tu niseme tena, sina uswahiba wowote na zitto,wala masalia,
wala mtu yeyote nje ya chadema. Lakini ufisadi na media inayotumiwa
nao,wameni paint hvo unavyo nipotray. Ni sawa, sisi wanyonge Mungu ana
namna yake ya kutulinda.
   hawa akina mabadiliko chadema et. Al usinihushe nao. Bado nina
matatizo yatokanayo na siasa zenu za hovyo.kisha bila utu
wowote,mnafurahia kuniita msaliti, natumiwa,na kama hayo. Iko siku
utakuwa kwenye nafasi yangu. Utajua maana ya kubandikwa mabaya
usiyofanya.kwa sasa endelea tu

On 1/21/14, Magiri paul <kiganyi@gmail.com> wrote:
> JL,
> Sifurahii chochote katika hili lakini nataka nikukumbushe tu kuwa maumivu
> ayasikiayo Ndg. Mbowe kwa  misumari unayompiga hapa isiyokuwa na chembe ya
> ushahidi, ndiyo misumari hiyohiyo ambayo hata wewe unaweza kuadhibiwa nayo.
>
> Ye all trying to produce a rabbit out of the hat. Mnajaribu kabisa
> kutuaminisha hayo makosa ya Ndg. Mbowe kwa nguvu sana mnasahau nanyi mna
> maswali mengi sana ya kujibu.
>
> Sitegemei kuamini masuala ya media, ndio sababu nimekuuliza binafsi hapa.
> Hayo mengine ya "siasa uchwara" "ukanjanja" ni jazba tu na haisaidii kitu.
>
> Magiri.
>
> Dau dogo huambaa mwambao, kubwa huenda kwenye kilindi.
> On Jan 21, 2014 10:52 AM, "Joseph Ludovick" <josephludovick@gmail.com>
> wrote:
>
>> Wewe uko siku zote kwenye media, haukusoma maelezo niliyoandika? Si
>> mafisadi wenziyo walitaka kunitoa kafara na kunihusisha na matukio ya
>> kijinga na kusema sikupatwa na matatizo hayo huku kanjanja wakitwaliwa
>> na siasa za uharo za chama pendwa kuwa mimi ni UWT? magiri unafurahia
>> nn ktk hlo?
>>
>> On 1/21/14, Magiri paul <kiganyi@gmail.com> wrote:
>> > Nimekuuliza wewe walikuteka Sinza? Jibu swali kama halina tija kaa
>> > kimya
>> au
>> > nawe ficha "ujinga" wako.
>> >
>> > Hakuna haja ya jazba, kwani nyie wenyewe ndio mmeamua kupeleka mnakasha
>> > katika mwelekeo
>> > huu.
>> >
>> > Magiri.
>> > Dau dogo huambaa mwambao, kubwa huenda kwenye kilindi.
>> > On Jan 21, 2014 9:53 AM, "Joseph Ludovick" <josephludovick@gmail.com>
>> > wrote:
>> >
>> >> Magiri, unaweza kuficha ujinga wako. Wewe unazungumzia hayo unayosema
>> >> hauyajui. Ufisadi wenu mliniweka katikati ya ujinga wenu. Waandishi wa
>> >> hovyo wakalishwa ugoro. Sasa unataka kusema nini?
>> >>
>> >> On 1/21/14, Magiri paul <kiganyi@gmail.com> wrote:
>> >> > Na wewe walikuteka Sinza sio?
>> >> >
>> >> > Mna mbinu zako kitoto sana..
>> >> >
>> >> > Magiri.
>> >> >
>> >> > Dau dogo huambaa mwambao, kubwa huenda kwenye kilindi.
>> >> > On Jan 21, 2014 9:40 AM, "Joseph Ludovick"
>> >> > <josephludovick@gmail.com>
>> >> > wrote:
>> >> >
>> >> >> Felix, naona umeamua kuwa mkweli kati ya waandishi. Nimeona wengi
>> >> >> wametwaliwa na upofu  kiasi kwamba hawataki kusikia the mther side
>> >> >> of
>> >> >> the coin. Nakutahadharisha tu uwe makini na nyendo zako. Unaowasema
>> >> >> vibaya ni chadema,na nadhani hao kadri ya nyaronyo kicheere ni
>> >> >> malipyoto au mabaunsa. Watakupiga.
>> >> >>
>> >> >> On 1/21/14, Felix Mwakyembe <fkyembe@gmail.com> wrote:
>> >> >> > Kinachofurahisha katika mijadala ya humu jamzivini ni undumila
>> >> >> > kuwili
>> >> >> > wa
>> >> >> > Watanzania. Mbona viongozi wa vyama vingine wanajadiliwa hadi
>> >> >> > mambo
>> >> yao
>> >> >> ya
>> >> >> > chumbani watu hawatoi povu kulaani hapa, au yale ni mawe, mbona
>> >> >> > kwenye
>> >> >> > majukwaa huko hawa viongozi wa CDM ni mabingwa kutukana wenzao
>> >> >> > lakini
>> >> >> > hatusikii mkitokwa mapovu kuwalaani.
>> >> >> >
>> >> >> > Kitendo cha aibu kabisa, mbunge mmoja wa CDM aliwaita CUF
>> >> >> > maribelali,
>> >> >> tena
>> >> >> > bungeni, akiashiria maana chafu kabisa, hadi wabunge wa CUF kuja
>> >> >> > juu,
>> >> >> > mlishangilia humu na kwenye majukwaa mengine, leo wameguswa
>> >> >> > wanahangaika.
>> >> >> >
>> >> >> > Ukiona inauma, fahamu na mwezio pia anaumia unapomtukana, staha
>> >> >> mnayoitaka
>> >> >> > leo viongozi wa CDM na wapambe mliitupilia jalalani wenyewe.
>> >> >> >
>> >> >> > Jifunzeni nayi kutumia lugha ya staha kwa wenzenu, ama sivyo
>> wenzenu
>> >> >> wataja
>> >> >> > cheka mwisho, kwani nyinyi sio malaika!!!
>> >> >> >
>> >> >> >
>> >> >> > 2014/1/20 <hosea.ndaki@gmail.com>
>> >> >> >
>> >> >> >> Obama alimgusa bega waziri mkuu wa denmark kwenye msiba wa
>> >> >> >> mandela
>> >> >> >> hadi
>> >> >> >> leo wamarekani wanakijadili kitendo kile.
>> >> >> >>
>> >> >> >> Yaya alivujisha habari za ujauzito wa kamwana wa malkia si tu
>> >> alifutwa
>> >> >> >> kazi alikunywa sumu kwa kukwepa fedheha.
>> >> >> >>
>> >> >> >> Boss wa mikwanja duniani alishutumiwa kwa kuomba uroda kwa nguvu
>> >> >> alifutwa
>> >> >> >> kazi mara moja.
>> >> >> >>
>> >> >> >> Yapo mashirika mtu na mkewe au dadayake  hawaruhusiwi kuajiriwa
>> >> >> >> kampuni
>> >> >> >> moja. Kofi Anan alishutumiwa kuipatia tenda kampuni anayofanya
>> kazi
>> >> >> >> mwanae.
>> >> >> >>
>> >> >> >>
>> >> >> >>  ----------
>> >> >> >> Sent from my Nokia phone
>> >> >> >>
>> >> >> >> ------Original message------
>> >> >> >> From: Francis Kasili <Francis.Kasili@nmbtz.com>
>> >> >> >> To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
>> >> >> >> Date: Monday, January 20, 2014 3:54:23 PM GMT+0000
>> >> >> >> Subject: RE: [wanabidii] MADENI ANAYODAIWA FREEMAN MBOWE NA
>> CHADEMA
>> >> >> >>
>> >> >> >> Sioni kama mijadala kama hii inaleta faida yoyote zaidi ya
>> kupoteza
>> >> >> >> muda
>> >> >> >> tu. Hivi tukianza kuwachambua viongozi walio madarakani ni nani
>> >> >> >> atakaye
>> >> >> >> kuwa msafi isipokuwa ni wachache sana?? Mfano wapo walio wahi
>> kufia
>> >> >> gesti
>> >> >> >> wakiwa na vimwana!! Hata hivyo bado Tanzania iko level ya chini
>> >> >> >> sana
>> >> >> >> katika
>> >> >> >> kujadili mambo kama haya kwani inabidi tutoe kipaumbele kwa
>> >> >> >> mambo
>> >> >> >> nyeti
>> >> >> >> yanayoligharimu taifa moja kwa moja, kama vile Wanyama wetu
>> >> >> >> wanavyozidi
>> >> >> >> kuuawa, Suala zima la ufisadi, Kauli tatanishi za viongozi kama
>> >> waziri
>> >> >> wa
>> >> >> >> nishati na madini aliyewahi kubembea mbereko suala la umeme
>> >> >> >> kumbe
>> >> >> ilikuwa
>> >> >> >> ni ghiriba tu kwa Watanzania maan alijua anachofanya pamoja na
>> >> mengine
>> >> >> >> mengi sana yenye msingi na sio upuuzi wa kumjadili mtu na mambo
>> >> >> >> yake
>> >> >> >> ya
>> >> >> >> kibinasfi.
>> >> >> >>
>> >> >> >>
>> >> >> >>
>> >> >> >> Always darkness will never comprehend light
>> >> >> >>
>> >> >> >> ________________________________
>> >> >> >> From: wanabidii@googlegroups.com [wanabidii@googlegroups.com] on
>> >> >> >> behalf
>> >> >> >> of Uwanja wa siasa [siasatz2015@gmail.com]
>> >> >> >> Sent: Sunday, January 19, 2014 9:27 PM
>> >> >> >> To: wanabidii@googlegroups.com
>> >> >> >> Subject: Re: [wanabidii] MADENI ANAYODAIWA FREEMAN MBOWE NA
>> CHADEMA
>> >> >> >>
>> >> >> >> Humu ndani kuna watu wanapenda kusikia habari fulani tu na wala
>> >> >> >> hawaoni
>> >> >> >> shida  hata kuchangia pumba na kukosoa wanapoona chochote
>> >> >> >> wasichotaka
>> >> >> >> kukisia ... hii ni free zone tunahitaji kusikia kila kitu cha
>> >> >> >> Wanasiasa
>> >> >> >> wetu ili tujue wakoje? ni ngumu kumpa nchi mtu usijemjua ,,,
>> >> nilicheka
>> >> >> >> sana
>> >> >> >> lilipozungumziwa suala la Mbowe kuzaa na Mbunge wake  watu
>> wakaanza
>> >> >> >> kuchachamaa na kusema hilo ni suala binafsi... Binafsi kivipi
>> >> >> >> wakati
>> >> >> huyu
>> >> >> >> ni kiongozi anayetakiwa kuwa kioo cha jamii? ni yeye binafsi
>> >> >> >> ndie
>> >> >> >> anatakiwa
>> >> >> >> achambue yote anayofanya na ajue kuwa yeye ni kioo cha jamii....
>> >> >> >> jamani
>> >> >> >> hapa kama ni kujadiliwa wajadiliwe wote iwe wa CCM, CHadema,
>> >> >> >> CUF,
>> >> NCCR
>> >> >> >> Mageuzi na wanasiasa wote  bila upendeleo na kama kuna yoyote
>> anayo
>> >> >> >> habari
>> >> >> >> yoyote yenye uhakika inayomuhusu mwanasiasa yoyote anitumie
>> nirushe
>> >> >> >> huu
>> >> >> >> ni
>> >> >> >> wakati muafaka wa kujadili siasa na wanasiasa wetu wakati
>> >> >> >> tunaelekea
>> >> >> >> kwenye
>> >> >> >> uchaguzi wa 2015..... kwa habari zaidi zinazohusu siasa na
>> >> >> >> wanasiasa
>> >> >> >> watanzania fungua http://siasa-tanzania.blogspot.com/
>> >> >> >>
>> >> >> >>
>> >> >> >> 2014/1/19 MABADILIKO CHADEMA
>> >> >> >> <mabadilikochadema@gmail.com<mailto:
>> >> >> >> mabadilikochadema@gmail.com>>
>> >> >> >> MADENI YA UCHAGUZI
>> >> >> >> "Kufuatia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005, Mhe. MBOWE alitufahamisha
>> >> >> >> wanachama
>> >> >> >> kuwa alikuwa anakidai chama US $ 181,949.00 sawa na Tshs.
>> >> 218,338,546.
>> >> >> >> Mpaka sasa chama kimekwisha mlipa Tshs. 175,000,000/=Baada ya
>> >> >> >> kupata
>> >> >> >> wadhifa wa Makamu Mwenyekiti, na kwa kuzingatia takwimu
>> zionekanazo
>> >> >> >> hapo
>> >> >> >> juu katika kulinganisha matumizi ya fedha Wilayani na Makao
>> >> >> >> Makuu
>> >> >> >> niliamua
>> >> >> >> kumshauri MBOWE asitishe kujilipa deni kutokana na fedha za
>> >> >> >> ruzuku
>> >> >> >> kwani
>> >> >> >> siamini kuwa kulipa madeni yaliyopita kunaendana na utaratibu wa
>> >> >> >> usimamizi
>> >> >> >> wa fedha za ruzuku kwa vyama vya siasa toka serikalini.
>> >> >> >>
>> >> >> >> Mhe. MBOWE alichachamaa na ndipo nilipomshauri kuwa kama ni
>> >> >> >> hivyo
>> >> basi
>> >> >> >> atuthibishie pesa hizo anazodai alikikopesha chama ziliingia
>> kwenye
>> >> >> >> akaunti
>> >> >> >> gani ya CHADEMA, kupitia hundi ipi, na lini? Nilimuomba pia
>> >> >> >> kutaja
>> >> >> >> ni
>> >> >> >> kikao
>> >> >> >> gani cha chama kiliidhinisha matumizi ya fedha hizo kwani kama
>> >> >> >> hakuna
>> >> >> >> ushahidi wa maidhinisho, ni dhahiri kuwa matumizi hayo
>> >> hayakudhibitiwa
>> >> >> na
>> >> >> >> chama na kwa mantiki hiyo kuyafanya kuwa matumizi binafsi ya
>> >> >> >> Mhe.
>> >> >> >> MBOWE.Vilevile, nilimueleza kuwa matumizi ya fedha hizo alizodai
>> >> >> >> alikikopesha chama yalikuwa yakinuka harufu ya UFISADI.
>> >> >> >>
>> >> >> >> Stakabadhi zote kuhusiana na matumizi hayo zilionesha kuwa
>> >> >> >> gharama
>> >> >> >> za
>> >> >> >> aidha ununuzi na / au ukodishaji wa vifaa hivyo,
>> >> >> >> hazikutofautiana
>> >> >> >> na
>> >> >> >> viwango wanavyolipishwa watalii kwa huduma kama hizo, kwa maana
>> >> >> >> ya
>> >> >> >> gharama
>> >> >> >> ya juu sana.Na kwa kuwa hata baada ya kuwa Mhe. MBOWE amekwisha
>> >> >> >> lipwa
>> >> >> >> zaidi
>> >> >> >> ya nusu ya deni alilodai kuikopehsa CHADEMA, vifaa vyote
>> >> >> >> yakiwemo
>> >> >> magari,
>> >> >> >> vipaza sauti na kadhalika vimebakia kuwa mali yake binafsi, basi
>> >> >> >> bila
>> >> >> >> kumficha nilimueleza kuwa huko ni kukinyonya chama kwa kukigeuza
>> >> >> >> kitega
>> >> >> >> uchumi cha watu binafsi.Kuhusu suala la kulipa madeni kupitia
>> >> >> >> ruzuku
>> >> >> >> ya
>> >> >> >> serikali, nilimuomba Mhe. MBOWE afuatilie kwa Msajili wa Vyama
>> >> >> >> vya
>> >> >> >> siasa
>> >> >> >> ili tupate ufafanuzi kama kweli fedha za ruzuku ya serikali kwa
>> >> >> >> vyama
>> >> >> vya
>> >> >> >> siasa, inaweza kutumika kulipia madeni ya viongozi wa vyama
>> >> >> >> hivyo
>> >> >> >> yatokanayo na uchaguzi ili CHADEMA isiathirike kisheria.
>> >> >> >>
>> >> >> >> Niseme kweli hapa kwamba, kwa vile wanaCHADEMA wengi
>> >> >> >> walinichagua
>> >> kuwa
>> >> >> >> Makamu Mwenyekiti, na hata mimi mwenyewe tulikuwa wagombea wa
>> >> >> >> nafasi
>> >> >> >> za
>> >> >> >> ubunge, udiwani n.k katika uchaguzi wa mwaka 2005 ningefarijika
>> >> >> >> sana
>> >> >> >> iwapo
>> >> >> >> na sisi tungerejeshewa angalau chochote cha kufidia gharama
>> >> >> >> zetu,
>> >> >> >> kwa
>> >> >> >> maana
>> >> >> >> kwamba kama chama kimeamua kurudisha gharama hizo kiwalipe wote
>> >> badala
>> >> >> ya
>> >> >> >> kulipa madeni kwa wateule wachache".
>> >> >> >>
>> >> >> >> --
>> >> >> >> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com<mailto:
>> >> >> >> wanabidii@googlegroups.com>
>> >> >> >>
>> >> >> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> >> >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com<mailto:
>> >> >> >> wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com> Utapata Email ya
>> >> >> >> kudhibitisha
>> >> >> >> ukishatuma
>> >> >> >>
>> >> >> >> Disclaimer:
>> >> >> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for
>> >> >> >> any
>> >> >> >> legal
>> >> >> >> consequences of his or her postings, and hence statements and
>> facts
>> >> >> >> must
>> >> >> >> be
>> >> >> >> presented responsibly. Your continued membership signifies that
>> you
>> >> >> agree
>> >> >> >> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>> Guidelines.
>> >> >> >> ---
>> >> >> >> You received this message because you are subscribed to the
>> >> >> >> Google
>> >> >> Groups
>> >> >> >> "Wanabidii" group.
>> >> >> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from
>> >> >> >> it,
>> >> send
>> >> >> an
>> >> >> >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com<mailto:
>> >> >> >> wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com>.
>> >> >> >> For more options, visit
>> >> >> >> https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >> >>
>> >> >> >>
>> >> >> >> --
>> >> >> >> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >> >> >>
>> >> >> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> >> >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
>> >> >> >> kudhibitisha
>> >> >> >> ukishatuma
>> >> >> >>
>> >> >> >> Disclaimer:
>> >> >> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for
>> >> >> >> any
>> >> >> >> legal
>> >> >> >> consequences of his or her postings, and hence statements and
>> facts
>> >> >> >> must
>> >> >> >> be
>> >> >> >> presented responsibly. Your continued membership signifies that
>> you
>> >> >> agree
>> >> >> >> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>> Guidelines.
>> >> >> >> ---
>> >> >> >> You received this message because you are subscribed to the
>> >> >> >> Google
>> >> >> Groups
>> >> >> >> "Wanabidii" group.
>> >> >> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from
>> >> >> >> it,
>> >> send
>> >> >> an
>> >> >> >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> >> >> For more options, visit
>> >> >> >> https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >> >>
>> >> >>
>> >>
>> ***************************************************************************************
>> >> >> >>
>> >> >>
>> >>
>> ***************************************************************************************
>> >> >> >> This e-mail and any attachments are proprietary to NMB PLC. Any
>> >> >> >> unauthorized use or interception is illegal. The views and
>> opinions
>> >> >> >> expressed are those of the sender, unless clearly stated as
>> >> >> >> being
>> >> >> >> those
>> >> >> >> of
>> >> >> >> NMB PLC. This e-mail is only addressed to the addressee and NMB
>> PLC
>> >> >> shall
>> >> >> >> not be responsible for any further publication of the contents
>> >> >> >> of
>> >> this
>> >> >> >> e-mail. If this e-mail is not addressed to you, you may not
>> >> >> >> copy,
>> >> >> >> distribute or disclose the contents to anyone nor act on its
>> >> contents.
>> >> >> If
>> >> >> >> you received this in error, please inform the sender and delete
>> >> >> >> this
>> >> >> >> e-mail
>> >> >> >> from your computer.
>> >> >> >>
>> >> >> >> --
>> >> >> >> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >> >> >>
>> >> >> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> >> >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
>> >> kudhibitisha
>> >> >> >> ukishatuma
>> >> >> >>
>> >> >> >> Disclaimer:
>> >> >> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for
>> >> >> >> any
>> >> >> >> legal
>> >> >> >> consequences of his or her postings, and hence statements and
>> facts
>> >> >> >> must
>> >> >> >> be
>> >> >> >> presented responsibly. Your continued membership signifies that
>> you
>> >> >> agree
>> >> >> >> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>> Guidelines.
>> >> >> >> ---
>> >> >> >> You received this message because you are subscribed to the
>> >> >> >> Google
>> >> >> Groups
>> >> >> >> "Wanabidii" group.
>> >> >> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from
>> >> >> >> it,
>> >> send
>> >> >> an
>> >> >> >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> >> >> For more options, visit
>> >> >> >> https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >> >>
>> >> >> >> --
>> >> >> >> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >> >> >>
>> >> >> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> >> >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
>> >> kudhibitisha
>> >> >> >> ukishatuma
>> >> >> >>
>> >> >> >> Disclaimer:
>> >> >> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for
>> >> >> >> any
>> >> >> >> legal
>> >> >> >> consequences of his or her postings, and hence statements and
>> facts
>> >> >> >> must
>> >> >> >> be
>> >> >> >> presented responsibly. Your continued membership signifies that
>> you
>> >> >> agree
>> >> >> >> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>> Guidelines.
>> >> >> >> ---
>> >> >> >> You received this message because you are subscribed to the
>> >> >> >> Google
>> >> >> Groups
>> >> >> >> "Wanabidii" group.
>> >> >> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from
>> >> >> >> it,
>> >> send
>> >> >> an
>> >> >> >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> >> >> For more options, visit
>> >> >> >> https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >> >>
>> >> >> >
>> >> >> > --
>> >> >> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >> >> >
>> >> >> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> >> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
>> >> >> > kudhibitisha
>> >> >> > ukishatuma
>> >> >> >
>> >> >> > Disclaimer:
>> >> >> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for
>> any
>> >> >> legal
>> >> >> > consequences of his or her postings, and hence statements and
>> >> >> > facts
>> >> >> > must
>> >> >> be
>> >> >> > presented responsibly. Your continued membership signifies that
>> >> >> > you
>> >> >> agree to
>> >> >> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >> >> > ---
>> >> >> > You received this message because you are subscribed to the
>> >> >> > Google
>> >> >> > Groups
>> >> >> > "Wanabidii" group.
>> >> >> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it,
>> >> >> > send
>> >> >> > an
>> >> >> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> >> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >> >
>> >> >>
>> >> >> --
>> >> >> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >> >>
>> >> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
>> kudhibitisha
>> >> >> ukishatuma
>> >> >>
>> >> >> Disclaimer:
>> >> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for
>> >> >> any
>> >> >> legal
>> >> >> consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> >> >> must
>> >> >> be
>> >> >> presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> >> agree
>> >> >> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >> >> ---
>> >> >> You received this message because you are subscribed to the Google
>> >> Groups
>> >> >> "Wanabidii" group.
>> >> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it,
>> send
>> >> an
>> >> >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> >> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >>
>> >> >
>> >> > --
>> >> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >> >
>> >> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
>> >> > kudhibitisha
>> >> > ukishatuma
>> >> >
>> >> > Disclaimer:
>> >> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> >> legal
>> >> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> >> > must
>> >> be
>> >> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> >> agree to
>> >> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >> > ---
>> >> > You received this message because you are subscribed to the Google
>> >> > Groups
>> >> > "Wanabidii" group.
>> >> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it,
>> >> > send
>> >> > an
>> >> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >> >
>> >>
>> >> --
>> >> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >>
>> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> >> ukishatuma
>> >>
>> >> Disclaimer:
>> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> >> legal
>> >> consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> >> must
>> >> be
>> >> presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> agree
>> >> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >> ---
>> >> You received this message because you are subscribed to the Google
>> Groups
>> >> "Wanabidii" group.
>> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>> an
>> >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >>
>> >
>> > --
>> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>> >
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > must
>> be
>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> agree to
>> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> > ---
>> > You received this message because you are subscribed to the Google
>> > Groups
>> > "Wanabidii" group.
>> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>> > an
>> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >
>>
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment