Tuesday, 6 November 2012

Re: [wanabidii] Serikali Yakili, TPI ya "Kina" Madabida Ilitengeneza ARV Bandia - Mwanzo

ccm ina wenyewe hata wakifanya madudu hawataguswa hadi kiama

--- On Tue, 6/11/12, godfred mbanyi <mbanyibg@yahoo.com> wrote:

From: godfred mbanyi <mbanyibg@yahoo.com>
Subject: Re: [wanabidii] Serikali Yakili, TPI ya "Kina" Madabida Ilitengeneza ARV Bandia - Mwanzo
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, 6 November, 2012, 18:05

Nchi hii bwana, watu ni wapole kweli! Yaani mtu anazalisha dawa feki halafu anazawadiwa madaraka ndani ya chama tawala?? hahahaaahaaaa
 
Halafu ulimsikia tamko alilotoa  siku kadhaa baada ya tukio?? Alisema wizara haina ubavu wa kumzuia asiendelee na uzalishaji wa dawa!!! Yeye leseni yake ni kutoka TFDA na siyo wizarani!!!! Jamani, jamani, hivi kweli jeuri hii ni ya kawaida????



--- On Tue, 11/6/12, tikooza@yahoo.com <tikooza@yahoo.com> wrote:

From: tikooza@yahoo.com <tikooza@yahoo.com>
Subject: Re: [wanabidii] Serikali Yakili, TPI ya "Kina" Madabida Ilitengeneza ARV Bandia - Mwanzo
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, November 6, 2012, 7:30 AM


Msishangae ndugu zangu kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa CCM wanaenda kujificha humo na madhambi yao.

Walafi wamevamia chama

Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Abdul Karim <abdul_m_karim@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tue, 6 Nov 2012 07:09:05 -0800 (PST)
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Serikali Yakili, TPI ya "Kina" Madabida Ilitengeneza ARV Bandia - Mwanzo

La kushangaza CCM bado wamemzawadia Uenyekiti wa CCM wa mkoa wa Dar es salaam. Ingekuwa China wangeshamnyonga siku nyingi!


From: Magiri paul <kiganyi@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Tuesday, November 6, 2012 12:34 PM
Subject: [wanabidii] Serikali Yakili, TPI ya "Kina" Madabida Ilitengeneza ARV Bandia - Mwanzo

LICHA ya wamiliki wa kiwanda cha Tanzania Pharmaceutical Industries Limited (TPI) kukana kutengeneza na kusambaza dawa bandia za kupunguza makali ya UKIMWI, serikali imethibitisha kuwa kiwanda hicho ndicho kilitengeneza dawa hizo aina ya TT-VIR 30 yenye toleo Na OC.01.85.
http://wotepamoja.com/archives/10112#.UJjZTzATP6o.gmail
--
Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/
Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment