Nikweli ''katelekeza" nadhani umetumia neno sio sahii.Rose Kamili anachopinga ni Dr Slaa kufunga ndoa nyingine nasio kutelekeza familia usipoteshe ukweli
Pia hayo nimambo yao binafsi zaidi maana kama nikutengana nimda mrefu walitengana huyu mama hajawahi kulalamika --- On Thu, 7/12/12, Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com> wrote:
From: Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com> Subject: [wanabidii] Dr Slaa Kushitakiwa kwa Kutelekeza Familia na Kutaka Kufunga Ndoa To: "Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> Date: Thursday, July 12, 2012, 6:30 AM
Katibu mkuu wa Chadema Dr Slaa anatarajiwa kupandishwa kizimbani na Mkewe wa zamani mhe rose kamili baada ya kutelekeza familia hiyo na kutaka kufunga ndoa na mwanamke mwingine anayeitwa joseph Mushumbusi . Taarifa zaidi zasema ndoa hiyo ilitakiwa kufungwa julai 21 mwaka huu lakini pingamizi limeshafikishwa mahakamani -- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+ unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
|
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment