Thursday, 12 July 2012

Re: [wanabidii] Dr Slaa Kushitakiwa kwa Kutelekeza Familia na Kutaka Kufunga Ndoa

Nikweli ''katelekeza" nadhani umetumia neno sio sahii.Rose Kamili anachopinga ni Dr Slaa kufunga ndoa nyingine nasio kutelekeza familia usipoteshe ukweli
Pia hayo nimambo yao binafsi zaidi maana kama nikutengana nimda mrefu walitengana huyu mama hajawahi kulalamika
--- On Thu, 7/12/12, Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com> wrote:

From: Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>
Subject: [wanabidii] Dr Slaa Kushitakiwa kwa Kutelekeza Familia na Kutaka Kufunga Ndoa
To: "Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, July 12, 2012, 6:30 AM

Katibu mkuu wa Chadema Dr Slaa anatarajiwa kupandishwa kizimbani na
Mkewe wa zamani mhe rose kamili baada ya kutelekeza familia hiyo na
kutaka kufunga ndoa na mwanamke mwingine anayeitwa joseph Mushumbusi .

Taarifa zaidi zasema ndoa hiyo ilitakiwa kufungwa julai 21 mwaka huu
lakini pingamizi limeshafikishwa mahakamani

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

0 comments:

Post a Comment