Saturday, 2 April 2016

Re: [wanabidii] Magufuli na wanyonge vs UKAWA na wahisani

Muhingo acha uongo unachosema siyo kweli. Kila chama cha siasa kina lengo la kushika dola. Kwahiyo hata CCM wanataka kuendelea na dola. Kwahiyo vyote ni vyama vya siasa na shida ni kwamba mazingira ya kutaka kushika dola siyo sawa kwa vyama vyote. Kuna chama kimoja kinataka kupangia vyama vingine ndio tatizo.


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Date:
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Magufuli na wanyonge vs UKAWA na wahisani


Mam Nkya kweli tnahitaji upinzani wa kweli; wenye uadilifu; Makini; adilifu nk.
hatuhitaji upinzani tunaoutilia mashaka kuwa una lengo la kuvuruga au hata kuvunja muungano wetu. Tumeshuhudia Tanzania ikipata shida ya upinzani wake kuvurugika, tena bahati mbaya muda mfupi kabla ya uchaguzi. Tumeshuhudia upinzani ukiingiliwa na wale waliokuwa wakiongoza yale yaliyopingwa na upinzani. wakauingilia upinzani na kuugeuza mwelekeo kama kirui kinavyogeuza seli. Tunahitaji kuwa makini kuhakikisha umakini unakuwa makini adilifu na na makini. Na ndicho kilichofanyika. kikaishia kurudia uchaguzi. Moja kati ya kazi zilizo mbele yetu ni kuujenga upya.
--------------------------------------------
On Fri, 4/1/16, 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Magufuli na wanyonge vs UKAWA na wahisani
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, April 1, 2016, 11:47 PM


Tatizo la Watanzania tunapenda sana kujidanganya na zaidi
tunadanganyika  kirahisi.
Hakika, hata kama nchi yetu ingekuwa haiitaji msaada kutoka
nchi yoyote kwa ajili ya kugharamia miradi yake ya
maendeleo, kama taifa, hatuwezi kupiga hatua kubwa ya kuleta
maendeleo endelevu yanayowanufaisha wananchi wote na siyo
kikundi kidogo cha watawala, kama  nchi haitakuwa na
UPINZANI WA KWELI, MADHUBUTI, MAKINI, ADILIFU  NA WENYE
MAONO.  Kitendo cha watawala kutaka kuuwa upinzani
Zanzibar, maana yake ni kukataa nchi isipate maendeleo
yanayonufaisha wananchi wote. Ni jipu kubwa.

Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--------------------------------------------
On Wed, 3/30/16, 'Ansbert Ngurumo' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

  Subject: Re: [wanabidii] Magufuli na wanyonge vs UKAWA na
wahisani
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Wednesday, March 30, 2016, 10:33 AM
 
  Huu
  ni ujinga! Wakati wewe unajaribu kupotosha hoja ya MCC,
  msikilize Waziri wa Mambo ya Nje, Dk. Augustine Mahiga
  anavyosema:
 
  "Kitendo
  hiki ni kibaya. Unamuumiza mtu pale panapouma katika suala
  la maendeleo. Kitendo hicho kinafuta imani na uelewano
kati
  yetu (Marekani na Tanzania) kwa sababu suala la nishati ni
  nyenzo ya maendeleo. Fedha hizo zingesaidia miradi ya
umeme
  vijijini, kwa hiyo, watoto wetu wangesoma, wangepata elimu
  bora na zingeboresha huduma za afya. Walitutamanisha kuwa
  watatupa hizo fedha, lakini lakini wanafuta pale ambapo
  maendeleo yetu yamejikita.
  SWALI:
  Unataka kusema kwamba Balozi Mahiga ni mwana UKAWA?
Ametumwa
  na UKAWA kusema hayo? Kama hujajipanga vema, acha
  propaganda. Zitakuaibisha. UKAWA hawalili misaada ya nje.
  Wanasisitiza kuwa jeuri ya watawala ndiyo imesababisha
hayo.
  Rais Magufuli alisema ya Zanzibar hayamhusu. Ona sasa
  kinachotokea. Kinaathiri Tanzania nzima. Tulipiga kelele
  dhidi ya Sheria ya Makosa ya Mtandaoni kwamba ni ya
  kikatili, ni dhalimu, ni ya kikoloni. Watawala wakafunika
  nyuso zao kwa viganja kama nyani. Wakaficha vichwa
mchangani
  kama mbuni,, kumbe mwili mzima upo nje nje. Fedha hizi
  zilikuwa zinaelekezwa katika kuboresha huduma kwa
wanyonge.
  Atahri zitawapata wanyonge, si Magufuli na wenzake.
   Ansbert Ngurumo
  Managing
  EditorFree
  Media
 
  P.O. Box 15261Dar es Salaam
  Tanzania
 
  Mobile    +255 767 172
  665www.freemedia.co.tzwww.voxmediatz.com
  www.ngurumo.wordpress.com
  www.ngurumo.blogspot.com
 
 
 
 
    On Wednesday, March
  30, 2016 10:35 AM, 'lang'itomoni lokomoi' via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
   
 
  Magufuli
  na wanyonge vs UKAWA na wahisani
      Hatimaye UKAWA
  wamejipambanua katika rangi yao halisi ya kutaka kuuza
uhuru
  kamili wa
  nchi...kwa kuwalilia na kuwashabikia wazungu!!   

  Reference iko humu humu jamvini.
      Ni ukweli usio na shaka kwamba
  UKAWA walipambana sana hata kabla ya matokeo ya uchaguzi
wa
  Rais Nov 2015...
      Ukawa walipambana vilivyo
  kuwaonesha wazungu kuwa Tanzania hakuna amani...
      Ukawa kwa mara ya kwanza Tanzania
walihakikisha kuwa
  vyombo vya
  habari vya kimagharibi vinaonesha Tanzania kuna tension
  kiasi cha amani
  kutoweka....   
  Ila kwa weledi mkubwa na uzalendo uliokithiri
  vyombo vyetu vya kiuongozi na kiusalama vikashinda jaribio
  hilo ovu la
  UKAWA na wananchi wa Tanzania wakamaliza uchaguzi kwa
amani
  na ustaarabu
  kama ikivyo desturi yetu.
      UKAWA waliandaa maandamano UK
  na
  USA na sio Manzese,Magomeni au Tandahimba ili kuonesha
kuwa
  nchi hii
  haina demokrasia kisa CCM ilikuwa imeshinda na inaendelea
  kushinda...huku wakisahau kuwa ndani ya vyama vyao
wanacheza
  tikitaka na
  kugeuza gia za angani ili tu viongozi wao wawe wa
kudumu
  yaani
  wanahubiri demokrasia ambayo ndani ya vyama vyao
  haipo.
      UKAWA wako tayari kuomba
  majeshi nje ili tukupambana na CCM(REFERENCE: Vijana wa IT
  na mabodyguard kutoka nje ya nchi)
 
      UKAWA inaendelea kujidhihirisha kwa
sera
  zake za utegemezi kwa
  mataifa ya nje...yaani UKAWA inaachana na dhana ya kutumia
  resource
  nyingi tulizonazo kukwamua wananchi kutoka kwenye matatizo
  na badala
  yake inajikita kwenye kuamini kuwa maendeleo yatakuja kwa
  msaada na
  hisani ya watu wa marekani.   
  UKAWA inatukumbusha vikundi vya miaka ile ya kudai uhuru
  ...vikundi tulivyoviita vibaraka wa wakoloni.
      HII NI HULKA CHAFU YA UKAWA
  iliyotubadilishia gia angani!!
      UKAWA hii ya sasa ni UKAWA inayonukia
kinyesi cha
  UFISADI PAPA
  baada ya kukiokota na kujipaka yenyewe karibia na uchaguzi
  wa 2015.
 
      Hii ni UKAWA iliyopoteza agenda muhimu
za
  kitaifa kama vile vita
  dhidi ya ufisadi,ukosefu wa ajira,ukosefu wa
uadilifu,elimu
  duni na afya
  isiyoridhisha....UKAWA inahaha kutafuta Agenda ya
kubakia
  kwenye ulingo
  wa siasa kwa gharama yoyote baada ya kuvurunda
  ...!
      UKAWA inajitenga rasmi na hoja
  za wananchi na badala yake inachukua mrengo wa kunyenyekea
  wakoloni!
 
      UKAWA inaanzisha mapambano upya ya
sisi
  wazalendo dhidi ya Ukoloni
  wa kisasa na kwa nguvu zetu,adabu,uvumilivu na msimamo
  tutashinda tu...!
      UKAWA haisikiki kwebye vita dhidi ya
mauaji ya albino
  lakini
  inataka isikike kwenye msaada wa MCC...HUU NI UNAFIKI WA
  KUTUPWA!!
      SHAME UPON UKAWA ILIYOAMINIWA
  NA KUJIGEUZIA GIA ANGANI...!   
  KWA MAGUFULI HAKIKA MTAISOMA NAMBA....KWANI AGENDA YETU NI
  KAZI TU KAZI TU KAZI TU!
     
  iliwahi kusemwa kuwa 'NGUO YA KUAZIMA
  HAISITIRI.....Tufanye kazi na tulipe kodi!   
  KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences of his or her postings, and
hence
  statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree to this
  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 
  You received this message because you are subscribed to
the
  Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this group and stop receiving emails
  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
   
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences of his or her postings, and
hence
  statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree to this
  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 
  You received this message because you are subscribed to
the
  Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this group and stop receiving emails
  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment