Friday, 31 March 2017

[wanabidii] KAMBI ZA KUNYIMWA CHAKULA

Na. Maj. Frank Materu – Aggressive Christianity (ACMTC) Tanzania – 0715 350 752

"Basi walipokwisha kula Yesu akamwambia Simoni Petro, Je, Simoni wa Yohana, wewe wanipenda kuliko hawa? Akamwambia, Naam, Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda. Akamwambia, Lisha kondoo wangu….". (Yohana Mtakatifu 21:15-17)

Mungu amewaita wachungaji wake wa kweli kulisha kondoo wake, kuwalisha wanakondoo wake ili kwamba wakaweze kuja kwake. Ina maana kwamba Mungu amewaita kutoa kwa bidii maneno ya uzima, maneno ya kweli kuwalisha watu wake.

Hajawaita wachungaji wake wa kweli kujenga himaya kubwa, kujijengea wenyewe majengo makubwa na kudhania kuwa wamefanya kitu kikubwa sana. Mungu amewaita kuwajenga watu wake.

Wachungaji wa kweli watawalisha kondoo wake, watawalisha wanakondoo wake, kwa kweli, kwa maneno ya uzima, kwa nguvu Mungu aitakayo kuiona katika watu wake mwenyewe.

Lakini wale waliojaa utapeli na uwongo, wale waliojaa matakwa ya uwongo na mashindano, watatafuta kujenga vitu ili kutambuliwa na dunia. Ni kwamba watajijengea wenywe makanisa makubwa, himaya kubwa ambapo watajifikiria kuwa wao ni wafalme na malkia.

Wakati huo wote wanawakondesha kondoo wa Mungu, wanawakondesha wanakondoo wake, mpaka kukosa nguvu kabisa. Mungu hajawaita wale ambao ni wachungaji wake wa kweli kujenga majengo makubwa, kujenga himaya kubwa, kuita dunia iwatambue.

Mungu amewaita kuwalisha kondoo wake kwa bidii, wanakondoo wake ili nao wakaweze kumfuata. Mungu anatamani watu wake mwenyewe walishwe mkate wa mbinguni, walishwe maneno ya uzima.

Mungu anatamani watu wake waimarishwe katika kweli, katika nuru, rehema za alivyo. Kama ulavyo maneno ya uzima unao uwezo wa kuwapa wengine hayo hayo. 

Kama huli kitu, ila kile ambacho ni plastiki na tupu, kile ambacho ni uwongo, hutakuwa na kitu cha kuwapa wenye njaa. Ninyi wenyewe mtakuwa na njaa katika roho mkitamani uzima na kuukosa kabisa.

Wachungaji wa uwongo wanaendelea kufundisha uwongo na utupu, kupagawa, ujinga na giza. Wanagawa sahani kubwa za kujifanya, za uwongo, na unafiki na hazisaidii kabisa.

Wakati wanaonyesha maonyesho ya uwongo, kujitutumua na kujigamba wenyewe, wanajilisha upepo. Wanaleta utupu, ubatili na kukatisha tamaa. Hawalishi mkate wa kweli, mkate wa mbinguni, mkate wa uzima.

Kama mtaweka macho yenu kwa Mungu kabisa, mtaona kuwa mnalishwa siku kwa siku. Ndiyo mtakuwa na chakula, kiwezesho cha kuwapa watu wengine ili kadhalika waweze kuimarishwa katika Mungu.

Ni Mungu aliye Hai ambaye ndiye mchungaji wa kweli, mchungaji mkuu alishae walio wake. Kama wanaume na wanawake wadaio kuwa ni wachungaji wa kwake, wangekwenda kwake wangelikuwa na nguvu za kuwalisha kondoo wake.

Lakini kwa sababu wanakwenda duniani, kushiriki ya dunia, kutafuta kuvutia dunia, hawawapi watu wa Mungu chochote ila utupu na plastiki. Hiyo ni kwamba wanawalisha watu kile ambacho ni tupu, kibovu na kisicho na nguvu ya virutubisho kabisa.

Watu hawarutubishwi katika Roho lakini wanaachwa kurandaranda kwa njaa na kwa maumivu na wakijaa uchafu wa dunia. Hiyo ni kwamba hawajaoshwa wala kutakaswa kwa maneno ya kweli ya uzima, bali wanaachwa wachafu.

Wakati huo wote ni hamu ya Mungu, tamaa yake kuwa  watu wakekulishwa mkate wa uzima. Hiyo ni kwamba kwa watu wake mwenyewe kulishwa kweli, nguvu, rehema ambavyo vinaweza kupatikana tu kwake.

"Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake,  mpate kulilisha kanisa lake Mungu,alilolinunua kwa damu yake mwenyewe. Najua mimi ya kuwa baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwitu wakali wataingia kwenu, wasilihurumie kundi; tena katika ninyi wenyewe watainuka watu, wakisema mapotovu, wawavute hao wanafunzi wawaandamie wao". (Matendo ya Mitume 20:28-30)

Msifanye haraka kukimbilia watumishi wa uwongo, waongo wajinga ambao watawalisha matakwa yao wenyewe, tamaa zao, kiburi chao. Watawalisha ninyi vitu ambavyo ni vya dunia, vitu ambavyo ni utupu, upumbavu na giza.

Wakati huo huo wanajipatia kipato kwa nafsi zenu, wakati wakiwaacha ninyi bila kitu cha kuwafanya kusimana katika Mungu. Tunaishi katika nyakati ambazo watumishi waovu wamezagaa wakiwinda kama mbwa mwitu atafutae kuratua.

Hawawalishi wana-kondoo, kondoo katika chochote ambacho kingewapa nguvu katika Mungu. Lakini badala yake wanawalisha vitu hivyo ambavyo vinawafanya wagonjwa na wadhaifu, walioondolewa nguvu na kuchafuliwa.

Wakati huo huo wanajipatia kipato kwa wale ambao ni mali ya Mungu na wanapenda iwe hivyo. Lakini Mungu aliye Hai atainua wanaume na wanawake ambao watamsikiliza Yeye, watamtamani Yeye na kutembea katika nuru yake.

Kama ninyi ni dhaifu kwa ajili ya kula utupu na plastiki na ubatili na uwongo ni nini muwezacho kuwapa wenye njaa? Kwa maana ninyi wenyewe mna njaa katika roho na wala hamlitambui hilo.

Siku ya leo Mungu yupo na wale ambao ni wachungaji wa kwake wa ukweli wataendelea kuja kwake. Ni kwamba kuyapokea maneno ya uzima ya kweli na ya kutia nguvu ili wakaweze kupewa wale walio na njaa na Mungu.

Msifanye haraka kuizimisha kweli na kuuchukua uwongo. Mchungaji wa kweli wa Mungu atawalisha kondoo wake, atawalisha wanakondoo wake kwa mkate wa mbinguni utokao kwa Mungu.

Hatatawalisha uwongo na upumbavu, ujinga na giza na utupu ambavyo tu vinalenga kuwakatisha tamaa. Tunaishi katika nyakati ambazo wale wanao dai kuwa ni watu wa Mungu wako katika makazi ya kambi za kunyimwa chakula.

Hii ina maana kuwa wanakwenda kwenye makaburi yao matupu yaitwayo makanisa, ambayo yanekosa neno la Mungu. Ingawaje makaburi hayo yamejaa miili ya binadamu, hawajalishwa mkate wa uzima.

Lakini wametishwa tamaa na matakwa maovu, wamelishwa dharau na kiburi, wamelishwa tamaa za makuu na kila mamna ya uovu na wale wapatao kipato kutoka kwao.

Mungu aliye Hai atakuwa na wachungaji wake wa kweli ambao watatoa mkate wa uzima. Kondoo ambao ni wa kwake, wanakondoo wamtamanio Mungu watakuja. Wala msidhanie kuwa ni lazima muwe na kile ambacho kinatoka duniani.

Kwa maana hitimisho hilo ni batili na uwongo na litawaongoza moja kwa moja kwenye shimo la ukame wa kiroho. Mungu aliye Hai amewaita kondoo wake, wana-kondoo wake kulishwa vizuri, kwa maana ni Yeye awezaye kabisa kuwajaza.

Hiki sio chakula kionekanacho cha kimwili ambacho kitawanenepesha tu kwa kuwaletea matatio. Lakini ni chakula cha kiroho ambacho kitawaongeza katika nguvu na katika uzima, katika hamasa kwake.

Iweni na shukrani kwamba Mungu aliye Hai hutoa maneno ambayo yatawafanya watu wake kuimarishwa, kutembea kwa ukamilifu, kuweza kubeba mzigo wa moyo wake kwa wale wanaopotea.

 

Kwa maelezo zaidi kuhusu ACMTC TANZANIA, au jinsi utakavyoweza kujihusisha, wasiliana na Meja Frank & Elina Materu: S.L.P. 7579 Dar es Salaam. Barua pepe: materufrank@yahoo.com

 

http://www.aggressivechristianity.net/articles/Swahili/ACMTC%20in%20Swahili.htm

Read More :- "[wanabidii] KAMBI ZA KUNYIMWA CHAKULA"

[Wanabidii Place] New comment on [wanabidii] 16 'most attractive' IT companies in I....

Read More :- "[Wanabidii Place] New comment on [wanabidii] 16 'most attractive' IT companies in I...."

Thursday, 30 March 2017

[wanabidii] Trai snubs DoT's view on revenue

Follow us:
Here are some stories that you don't want to miss today
Trai snubs DoT's view on revenue
Trai snubs DoT's view on revenue
Telecom regulator Trai has come down heavily on the department of telecom (DoT), and its former secretary J S Deepak, over the latter's concerns on declining industry revenues after the launch of services by Reliance Jio, and said affordable consumer...
READ MORE
Promote content on Times of India network
With the largest pool of premium audiences, Colombia helps your business growing. Switch to it now!
ColombiaRecommended by Colombia
MTNL to offer 2GB data per day, unlimited on-net calls at Rs 319
"On its 31st anniversary, MTNL announces new plan from April 1, 2017 that offers 2 GB of 3G data per day and unlimited calling within MTNL network for Rs 319 for Delhi and Mumbai mobile customers," the company said.
READ MORE
BookMyShow, Ola tie-up to offer users enhanced entertainment experience
After booking tickets on BookMyShow, users will either be able to 'Book an Ola' or 'Schedule an Ola', depending on the time remaining to the movie show or event.
READ MORE
Save tax upto 46,350 u/s 80C with a term plan
The good old option, which gives your family the assured sum as a lump sum amount with tax savings
HDFC LifeRecommended by Colombia
NPCI, Reliance Retail announce in-store UPI payment facility
The National Payments Corporation of India (NPCI) and the Reliance Retail announced launch of a new in-store payment solution that will enable customer payments through Unified Payments Interface (UPI) platforms, a statement said here on Thursday.
READ MORE
Reliance Jio claims nearing 50 million paid subscribers
Reliance Jio, India's newest telecom operator, is closing in on 50 million paid users, days before its free voice, free-data offer ends.
READ MORE
Ericsson, IIT-Delhi have launched '5G for India' programme: Here's what it means
With an aim to fast-track the realisation of Digital India initiative, Swedish communication technology firm Ericsson and IIT - Delhi on Thursday signed a memorandum of understanding (MoU) to jointly roll out a "5G for India" programme.
READ MORE
Microsoft to roll out Windows 10 Creators Update on April 11
Microsoft has announced that the next major update to Windows 10 -- the Windows 10 Creators Update -- will begin rolling out to the 400 million monthly active devices worldwide on April 11.
READ MORE
Here's how government took Amazon to task for insulting Indian flag
A document seen by Reuters shows the government went even further in private, asking its US and Canadian embassies to raise the matter "strongly" with Amazon's senior leadership.
READ MORE
Indian IT firms generating, not stealing, jobs in US: External affairs minister Sushma Swara
The Indian information technology (IT) companies operating in the US are generating jobs and not stealing jobs of the Americans, External Affairs Minister Sushma Swaraj said on Thursday.
READ MORE
Android users to spend more money on apps than Apple iOS customers
Users of Google's Android operating system will spend $41 billion in total on apps and subscriptions in 2017, topping $40 billion for Apple, a new report has found.
READ MORE
Unsubscribe | Manage Subscriptions
Stories | Gadgets | Reviews | compare | Slideshows | Videos | Brands
Read More :- "[wanabidii] Trai snubs DoT's view on revenue"

[wanabidii] Top Headlines: India muscles its way into global energy market's high table

Times of India
Daily Newsletter | Friday, March 31, 2017
fbtwittergoogleplus
TOP HEADLINESMORE »
India muscles its way into global energy market's high table
Prime Minister Narendra Modi’s energy plans have not only helped BJP win hearts in UP, they have now found India a spot at the global energy market's high table as well— an Associate membership of Paris-based International Energy Agency.
Promote content on Times of India network
With the largest pool of premium audiences, Colombia helps your business growing. Switch to it now!
Recommended by Colombia
March heat kills two in Maha, states on alert
The scorching conditions across the state, which has seen temperatures touch 46.5 degrees Celsius in Bhira in Raigad district and 44 degrees in Akola, was raised in the legislative council on Thursday.
SC sets May 11-19 to finish triple talaq hearings
The timeline comes amid hardening resistance from Muslim clergy, represented by the All India Muslim Personal Law Board and others, who have argued that triple talaq has the sanction of the Quran, forms part of Muslim personal law and, therefore, falls squarely outside the purview of the judiciary.
CITIESMORE »
Save tax upto 46,350 u/s 80C with a term plan
The good old option, which gives your family the assured sum as a lump sum amount with tax savings
Recommended by Colombia
Delhi Metro’s ridership crosses 1 billion mark in 2016-17
The cumulative ridership of the Delhi Metro within a financial year crossed the one billion mark (100 crores) for the first time on Wednesday.
Delhi records hottest day of March in past 7 years
Mercury in Delhi soared up to 38.3 degrees Celsius on Thursday, six notches above the normal, making it the hottest day of March in the last seven years.
Journalist molested in running bus, calls to police go unheeded
Close on the heels of molestation of a city-based Delhi University student in Rajdhani Express, a working journalist here took to the Facebook narrating how she was groped by a miscreant in a running bus between Kendrapada and Bhubaneswar on Wednesday.
TECHMORE »
BookMyShow, Ola tie-up to offer users enhanced entertainment experience
After booking tickets on BookMyShow, users will either be able to 'Book an Ola' or 'Schedule an Ola', depending on the time remaining to the movie show or event.
NPCI, Reliance Retail announce in-store UPI payment facility
The National Payments Corporation of India (NPCI) and the Reliance Retail announced launch of a new in-store payment solution that will enable customer payments through Unified Payments Interface (UPI) platforms, a statement said here on Thursday.
Reliance Jio claims nearing 50 million paid subscribers
Reliance Jio, India's newest telecom operator, is closing in on 50 million paid users, days before its free voice, free-data offer ends.
SPORTSMORE »
India Open: Sindhu, Saina to clash in blockbuster quarterfinal
India's two Olympic medalists and top shuttlers PV Sindhu and Saina Nehwal won their respective women's singles rubbers to set up a mouth-watering quarterfinal clash against each other at the Indian Open Super Series 2017 on Thursday.
Sachin Tendulkar unveils new fan engagement app, 100MB
Cricket legend Sachin Tendulkar on Thursday unveiled his latest endeavor, a mobile phone app being touted as the definitive one-stop destination for all things related to the Indian icon.
Ashwin's dig: March 30 will be known as 'World Apology Day'
Ashwin took a dig at former Australia batsman and Gujarat Lions coach Brad Hodge, who was forced to apologise to Virat Kohli for his allegation that the India captain opted out of Dharamsala Test match to keep himself fit for the cash-rich IPL.
BUSINESSMORE »
Indian telcos tower sales are credit positive, Fitch says
Indian telecom companies’ plans to sell tower assets or stakes in tower subsidiaries are credit positive, Fitch Ratings has said.
Tata Power launches online application for power supply
Now, consumers can directly fill in the relevant details, upload their self-attested supporting documents & apply for connection well within 10 minutes. Moreover, they can also track the status of their application through the company's website and have direct access to Open Access Applications.
ENTERTAINMENTMORE »
Other Newsletters from TOI:
Breaking News | Digest | Tech | Entertainment | Movie Reviews | Life & Style
Unsubscribe | To manage your newsletter subscription settings, click here.
Copyright 2017 Bennett Coleman & Co. Ltd. All rights reserved. For reprint rights: Times Syndication Service
Read More :- "[wanabidii] Top Headlines: India muscles its way into global energy market's high table"

[wanabidii] CITY FM RADIO 91.1Dar-es-Salaam Yapokea Muziki wa Ngoma Africa band aka FFU




CITY FM RADIO 91.1 Dar-es-Salaam Yapokea Muziki wa Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni

Baada ya wadau wa muziki wa dansi kutaka kusikia mdundo wa bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni inayongozwa na mwanamuziki Kamanda Ras Makunja uchezwe redioni,nyimbo hizo zimekabidhiwa katika CITY FM RADIO 91.1
ya jijini Dar-es-Salaam mapema leo,kwa sasa wadau wa muziki wa dansi
watapata burudani ya kusikia nyimbo za bendi hiyo iliyojijengea umaarufu
wa kimataifa na kuteka nyoyo za washabiki katika majukwaa ya kimataifa.
Ngoma Africa band imedumu katika medani ya muziki kwa takribani miaka 23 tangu ianzishwe mwaka 1993 na kiongozi wake Kamanda Ras Makunja.
pia unaweza kuwasikiliza at www.ngoma-africa.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] CITY FM RADIO 91.1Dar-es-Salaam Yapokea Muziki wa Ngoma Africa band aka FFU"

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Press Releases


30/03/2017 - The Board of Directors of the African Development Bank (AfDB) approved on Wednesday, May 29, 2017 a USD 450 million Trade Finance Package for the African Export–Import Bank (Afreximbank). The facility consists of a 3-year USD 150 million unfunded Risk Participation Agreement (guarantees) and a 4-year USD 300 million Trade Finance Line of Credit. This composite facility will help to expand Afreximbank's risk bearing capacity for the confirmation of letters of credit and to support more trade through the provision of increased liquidity to local financial institutions and corporates in Africa.


News


30/03/2017 - On Monday, March 27, 2017, the Nigerian Minister of Agriculture, Chief Audu Ogbeh, officially inaugurated the Agricultural Transformation Agenda Support Program, Phase 1 (ATASP-1) Youth Training Center located on the International Institute for Tropical Agriculture (IITA) premises in Kubwa, Abuja. He also kicked off the National Agribusiness Youth Training on seed production and processing technology.

Categories: Nigeria, Agriculture & Agro-industries, Youth, Employment


Vacancies

Position title Publication date Closing date
Director, Communication & External Relations Department 30/03/2017 19/04/2017

You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
Immeuble du Centre de commerce International d'Abidjan CCIA
Avenue Jean-Paul II
01 BP 1387
Abidjan 01, Côte d'Ivoire
Phone: +225 2026 3900
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Press Releases


30/03/2017 - The President of the African Development Bank Group (AfDB), Akinwumi Adesina, arrived in New Delhi on Thursday, March 30, 2017, to begin a four-day official visit to India aimed at improving relations between the Bank and India, and the country's ties with Africa.

Categories: India, Partnerships, The President


You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
Immeuble du Centre de commerce International d'Abidjan CCIA
Avenue Jean-Paul II
01 BP 1387
Abidjan 01, Côte d'Ivoire
Phone: +225 2026 3900
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"