|
Tuesday, 28 February 2017
[wanabidii] New content updates
[wanabidii] New content updates
|
[wanabidii] TMA yatoa utabiri wa mvua za masika kuanzia mwezi Machi hadi Mei 2017

- Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agnes Kijazi akizungumza na waandishi wa habari leo makao makuu ya ofisi hizo jijini Dar es Salaam akitoa utabiri wa msimu wa mvua za masika kuanzia mwezi Machi hadi Mei 2017.

- Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agnes Kijazi akizungumza na waandishi wa habari leo makao makuu ya ofisi hizo jijini Dar es Salaam akitoa utabiri wa msimu wa mvua za masika kuanzia mwezi Machi hadi Mei 2017. Kushoto ni Meneja Kituo Kikuu cha Utabiri Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Samwel Mbuya pamoja na Mkurugenzi wa Utafiti wa TMA, Dk. Ladislaus Chang'a (kulia).

- Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agnes Kijazi (kushoto na meza kuu) wakizungumza na waandishi wa habari leo makao makuu ya ofisi hizo jijini Dar es Salaam kutoa utabiri wa msimu wa mvua za masika kuanzia mwezi Machi hadi Mei 2017.
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agnes Kijazi leo ametoa utabiri wa msimu wa mvua za masika kuanzia mwezi Machi hadi Mei 2017, huku utabiri huo ukionesha uwezekano mkubwa wa mvua za wastani katika maeneo mengi ya nchi. Dk. Kijazi ameongeza ya kuwa kutakuwa na mtawanyiko hafifu wa mvua na vipindi virefu vya ukavu baadhi ya maeneo katika kipindi cha msimu wa mvua wa Machi hadi Mei, 2017 hususan Nyanda za Juu Kaskazini mashariki na Pwani ya Kaskazini.
Akizungumza na wanahabari leo ofisi za TMA Dar es Salaam, Dk. Kijazi alisema maeneo ya Nyanda za Juu Kaskazini-mashariki, Pwani ya Kaskazini na visiwa vya unguja na Pemba ukanda wa ziwa Victoria pamoja na Kaskazini mwa Mkoa wa Kigoma, kunatarajiwa kuwa na mvua za wastani hadi Juu ya Wastani.
Kwa maeneo ya Pwani ya Kaskazini na Nyanda za Juu Kaskazini -Mashariki yanatarajiwa kuwa na mvua za wastani hadi chini ya wastani, huku mvua zinazoendelea kunyesha kwa sasa katika baadhi ya maeneo ya ukanda wa Ziwa Victoria na Pwani ya Kaskazini zinatarajiwa kuungana na mvua za msimu kabla ya kusambaa katika maeneo mengine wiki 1-2 ya mwezi Machi.
"..Vipindi virefu vya ukavu vinatarajiwa kujitokeza baadhi ya maeneo ya Pwani ya Kaskazini na nyanda za juu kaskazini mashariki. Matukio ya vimbunga katika bahari ya Hindi yanatarajia kuchangia katika mwenendo wa msimu wa mvua nchini.

- Baadhi ya wanahabari na maofisa wa TMA wakiwa katika mkutano na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agnes Kijazi leo makao makuu ya ofisi hizo jijini Dar es Salaam alipokuwa akitoa utabiri wa msimu wa mvua za masika kuanzia mwezi Machi hadi Mei 2017.

- Meneja Kituo Kikuu cha Utabiri Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Samwel Mbuya (katikati) akifafanua jambo katika mkutano na waandishi wa habari leo makao makuu ya ofisi hizo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dk. Kijazi pamoja na Mkurugenzi wa Utafiti wa TMA, Dk. Ladislaus Chang'a (kulia).
Kwa upande wa Kanda ya Ziwa Victoria kwenye mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza, Geita, Simiyu pamoja na Shinyanga mvua zinazoendelea baadhi ya maeneo ya Kagera na Mwanza zinatarajia kuungana na mvua za msimu na kusambaa katika mikoa ya Geita, Mara, Simiyu na Shinyanga katika wiki ya 1-2 ya mwezi Machi, 2017.
Mkurugenzi huyo mkuu wa TMA, alisema maeneo ya Ukanda wa Pwani ya Kaskazini mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Pwani ya Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na kaskazini mwa mkoa wa Morogoro mvua zinazoendelea kwa sasa (kwa Dar/Pwani) zinatarajia kuungana na mvua za msimu na kusambaa katika maeneo mengine ya Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba na kaskazini mwa mkoa wa Morogoro wiki ya 1 na 2 ya mwezi Machi.
Alisema kwa Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki inayojumuisha Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara mvua katika maeneo haya zinatarajia kuanza katika wiki 1-2 ya Mwezi Machi, 2017 huku zikiwa za wastani hadi chini ya wastani. Pia vipindi virefu vya ukavu na mtawanyiko hafifu wa mvua unatarajia katika baadhi ya maeneo.
Maeneo yanayopata mvua za msimu mmoja, Magharibi mwa nchi, Kanda ya Kati, Nyanda za Juu Kusini -Magharibi kusini mwa nchini na pwani ya Kusini; kunatarajiwa kuwa na mvua za wastani katika maeneo mengi na juu ya wastani katika maeneo ya mikoa ya Njombe, Songwe, Ruvuma, Mtwara na Lindi pamoja na maeneo ya Morogoro Kusini Mahenge.
Kanda ya Magharibi Mikoa ya Kigoma, Tabora, Katavi na Rukwa kwa ujumla inataraji kuwa na mvua za wastani hadi juu ya wastani na zitaishia Mwezi wa Aprili. Maeneo ya Kanda ya Kati mikoa ya Singida na Dodoma mvua za msimu zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani katika maeneo mengi huku zikitegemewa kuishia wiki ya 2-3 ya mwezi Aprili, 2017.

- Baadhi ya wanahabari na maofisa wa TMA wakiwa katika mkutano na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agnes Kijazi leo makao makuu ya ofisi hizo jijini Dar es Salaam alipokuwa akitoa utabiri wa msimu wa mvua za masika kuanzia mwezi Machi hadi Mei 2017.
Maeneo ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi, mikoa ya Mbeya, Songwe, Irinda, Njombe na Morogoro Kusini mvua zinatarajiwa kuisha wiki ya nne ya mwezi Aprili, Huku maeneo ya Kusini na Pwani ya Kusini, mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara mvua zinatarajiwa kuwa za juu ya wastani hadi wastani katika maeneo mengi isipokuwa maeneo ya kaskazini mwa mkoa wa Lindi yatakuwa na mvua za wastani hadi juu ya wastani.
Aidha akitoa ushauri katika sekta ya afya, Dk. Kijazi alisema huenda kukawa na uhaba wa maji salama kwa shughuli za binadamu ikiwemo usafi, hivyo wananchi wanashauriwa kuchukua hatua stahiki ili kuzuia milipuko ya magonjwa. Hata hivyo amewashauri wadau wa sekta ya afya pamoja na umma kuchukua hatua kupunguza athari zinazoweza kujitokeza.
Mail address:- mushi@thehabari.com/ jomushi79@yahoo.com/ info@thehabari.com
Mobile:- 0717 030066 / 0756 469470
Web:- www.thehabari.com
http://joemushi.blogspot.com
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
[wanabidii] New content updates
|
Re: [wanabidii] KIFO CHA UPINZANI TANZANIA: ZAMU HII NANI MCHAWI?
--------------------------------------------
On Tue, 2/28/17, 'Jovi kamuntu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] KIFO CHA UPINZANI TANZANIA: ZAMU HII NANI MCHAWI?
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, February 28, 2017, 9:53 AM
Mimi
nilikuwa nakurejesha kwenye madhumuni ya vyama. ukweli
unabaki kuwa ukweli "kufa kwa chama cha upinzani ni
furaha kwa chama tawala" popote duniani. Hila, fitina
na viroja viko duniani kote. Sijawahi kusikia CCM wakisifia
CHADEMA kuhusu JAMBO LOLOTE. Huo ndio ukweli vinginevyo
utakuwa na lengo la tofauti na vyama vya siasa.
Hii
haina maana kwamba watu au wanasiasa wasiongee au
wasisalimiane. Hapa nazungumzia mikakati ya vyama ndiyo
maana CCM Arusha wametimua wanachama 1500 kisa hawakuwaunga
mkono kutimiza malengo ya chama chao. Hii haina maana kuwa
wana CCM Arusha hawasalimiani na Wana CHADEMA.
Nadhani
umenielewa. Huenda ambaye hakula ndizi siyo mimi ni yule
ambaye haelewi ninachosema.
Jovin
Bifabusha
DIRECTOR
KWFF LTD
P. O. Box 313
Skype:
jovin.bifabusha
+255-765-010235
Karagwe,
Tanzania
On Tuesday, February
28, 2017 9:06 AM, 'Fred Hans Kipamila' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:
fredhanskipamila@gmail.com
Sent
from Yahoo Mail on Android
On Thu, 23 Feb 2017 at
21:32, Emmanuel Muganda<emuganda@gmail.com>
wrote: Huwa nafurahi kuona ushauri kwa Chadema kutoka
kwa watu wasio wa Chadema.em
2017-02-23 5:27 GMT-05:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Kama kuna
nchi iliwahi kunufaika na siasa za vyama vingi vya siasa,
Tanzania ni moja kati ya hizo.
Nchi hii imekuwa chini ya Chama kimoja toka miaka ya 60 hadi
92 vyama vya siasa viliporuhusiwa. Chama Cha Mapinduzi,
chama chenye sera nzuri kiliharibika kwa sababu ya viongozi
wake kujisahau na kudhani hakuna wa kuking'oa madarakani.
Ufisadi ulilelewa na kujisahau huko, Upendeleo, Rushwa,
matumizi mabaya ya mali za umma na pengine kuhalalisha jinai
vilijitokeza hapa nchini na viongozi wa CCM hawakuonekana
kushtuka.
Watu walichoka. Watu waliamua. Bahati nzuri kikajitokeza
Chama cha Demokrasia na Maendeleo na kuonekana kuaminiwa na
wananchi kiasi cha kuamua kukikabidhiwa taifa kuliongoza
kupitia uchaguzi.
Huenda kiogozi wa kwanza kushtuka alikuwa Speaker wa Bunge
Samwel Sitta. Katika bunge la 2007 alijaribu kubeza hoja
zilizotolewaa na wabunge wa Chama hiki (CHADEMA). Hoja moja
ilitolewa na Zitto Kabwe ikihusu Kashfa ya Buzwagi. Hoja ya
List of shame ikitolewa na Dr. Slaa iliondolewa bungeni
baada ya Sitta kuibeza. Baaada ya bunge hilo kuahirishwa
wananchi walionekana wazi kuwakandia wabunge wa CCM na
kuwatukuza wabunge wa Upinzani. Hapo ndipo Sitta
alipoonyesha ukomavu kwa kuhakikisha wabunge wachache wa
upinzani wanasikilizwa. Sikumbuki vizuri kama hakuna wabunge
wa CCM waliotupiwa mayai mabovu. Watu waliamua. Wananchi
walizielewa hoja za CHADEMA na wakaziona ni mtetezi wao.
Hasira za wananchi zilijionyesha uchaguzi uliofuata 2010.
Idadi ya wabunge wa upinzani iliongezeka; na wanaojua siri
za matokeo halali ya urais sina uhakika kama wako huru
kusema ukweli na kuendelea kuwa huru.
Kipindi chote cha 2010 hadi 2015 ilidhihirika kuwa hata
wahafidhina walioamini kuwa rais Tanzania lazima atoke CCM
walikuwa wamepungua na kuwa rais angeweza kutoka nje ya CCM
katika uchaguzi wa 2015 kwa mara ya kwanza. Chama Cha
Mapinduzi kilishtuka. Yale mategemeo kuwa kila mteule wake
atashinda yalitoswa na kuamua kwenda na mabadiliko. Ndiyo
mabadiliko tunayoyaona sasa. Mabadiliko ambayo kutokana na
udhaifu wa Rais hayajaeleweka kwa wengi (Hili nalo
naliandalia makala maalum).
Toka vyama vingi vya siasa vianze hapa nchini tumeshuhudia
vyama vya siasa vikiibuka na kuzama. Tunakumbuka jinsi
ambavyo NCCR Mageuzi kilivyotetemesha siasa za vyama vingi
1995. Mwaka ule ilibidi kutumia nguvu ya akiba kuhakikisha
CCM inashinda. Baadaye NCCR mageuzi iliyeyuka na kuishia.
Kikaibuka chama cha Wananchi-CUF. Hata kama hakikufika
ilipofika NCCR Mageuzi lakini inafahamika kazi yake Bungeni
na mitaani. Vyama hivi kwa jinsi vilivyodhoofika, CCM
haiwezi kujifanya takatifu. Kuna hisia baina ya watanzania
kuwa CCM imetumia hata vyombo vya dola kudhoofisha nguvu ya
vyama hivi. Nakubaliana na hisia hizo na nilipendekeza
katiba mpya iliangalie hilo, (la taasisi moja kudhoofisha
nyingine). Bado natafakari na sijaamini kuwa mgogoro
unaoendelea ndani ya CUF ni njama za kupindisha agenda ya
CUF kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.
CHADEMA sasa inadhoofika. Udhaifu wake unaonekana wazi kwa
wanaotaka kuuona. Kitu kimoja tunachokubaliana haraka ni
hiki: CHADEMA haina inaloliongea linalohusu wananchi.
Imejikita katika kutetea maslahi ya viongozi wa chama, na
kujitahidi kulumbana na uongozi (serikali) uliopo kazini
(madarakani). Huu ni udhaifu mkubwa sana. Lakini ni hujuma
kutoka wapi? Ni CCM inaihujumu CHADEMA? Ni vizuri
kutoharakisha kujibu swali hili ila kwa hoja makini.
Lakini ninataka kujielekeza mahala ninapoona CHADEMA
imeanzia kuteleza. Toka 2010 mpaka muda mfupi kabla ya
uchaguzi CHADEMA ilionekana kama chama chenye raslimali watu
wenye uwezo wa kuliongoza taifa. Kitendo cha kujitokeza
kumchukua mgombea urais kutoka nje ya Chama katika uchaguzi
wa 2015; tena mgombea ambaye chama chenyewe kiliwahi
kumshtaki kama mmoja wa mafisadi wakubwa. Na sababu hiyo
ikawa sababu ya CCM kumuendua. Sasa CHADEMA kumchukua;
ilikuwa ishara kuwa chama hicho hakikiwa na mtu aliyestahili
kugombea urais. Kwa siasa za Tanzania hili ni tatizo kubwa
sana. Wakati uvumi ukipita kuwa CHADEMA inaweza kumtawaza
mtu nje ya wanachama wake kugombea urais tulijitahidi bila
mafanikio kuzuia janga hilo. Nakumbuka kuandika mahala kuwa
CHADEMA iliyoshindwa ikiwa imemsimika Dr. Slaa itakuwa imara
kuliko ile itakayoshindwa ikiwa imemsimika mgombea kutoka
CCM. Sijui viongozi walilewa nini? Hawakusikia.
Katika kampeni za uchaguzi, watu walikuwa wanakusanyika
kusikiliza sera. CHADEMA iliyokuwa imevuma kwa kuongelea
matatizo yanayogusa hisia za watu ilikosa hicho. Ikafika
mahala watu wakawa wanaangalia wingi wa watu kwenye mikutano
kuwa tumaini la ushindi, badala ya nini kimeongelewa kwenye
mikutano hiyo. CHADEMA ikashindwa. Kulikuwa na hoja zisemazo
kiongozi Fulani wa CHADEMA ameuza chama kwa shilingi bilioni
kumi. Badala ya kujibu hoja zikawa zinaachwa. Hii
ikakigarimu chama kushindwa na kama kawaida kuanza kelele za
'nimeibiwa'.
Baada ya uchaguzi CHADEMA tuliyoizoea hatuioni tena. Busara
ya kujua watu wanataka nini na kusemea hilo haionekani tena.
Mikutano ambayo baadaye ilizuiliwa wala haikulenga kuongelea
wananchi wana shida gani. Bungeni mpaka linaacha kuonekana
live viongozi wetu walionekana kuikandia serikali badala ya
kuikosoa na kuisahoihisha. Wengine tukawa tunauliza kama
kuikashfu na kuishambulia serikali ni sehemu ya kuishauri na
kuisimamia? Mfano mmojawapo ni hali ya chakula nchini.
CHADEMA inaona nchi itangaze janga na taifa liombe msaada wa
chakula baada ya ukame wa mwaka mmoja katika sehemu za
taifa. Sudan Kusini ina myaka mitatu ya ukame ndipo
inatangaza janga. Tanzania inao upungufu mkubwa wa chakula.
Kutokana na ukame. Mvua zinanyesha sehemu kubwa ya nchi hii.
Mvua hizi zinaweza kuwa chache. Serikali imesema na
inahimiza watu walime mazao ya muda mfupi. Upinzani ulikuwa
na wajibu wa kuibana serikali kutoa mbegu. Hii ingeepusha
taifa kukabiliwa na njaa ambayo sasa haipo. Haya. Kwa sasa
viongozi Fulani wa CHADEMA wanaona fahari kukamatwa na
Polisi na kuhojiwa. Matamshi yao ni wazi kuwa wana chuki
binafsi na watu Fulani ndani ya serikali. Kwa herufi kubwa
KAMWE HUU HAUWEZI KUWA NDIO UPINZANI.
Kama CHADEMA si mali ya mtu inatarajiwa kuwa itakaa chini na
kufanya tathmini. Mwisho wake tutaona mabadiliko makubwa
katika safu za uongozi wa chama hiki. Vingine basi huu ndio
mwisho wake. Hivi ni CCM kweli inahihujumu? Kama jibu ni
ndiyo basi ni ukaidi wa CHADEMA kukaidi ushauri wetu
kutopokea wakimbizi. Nani anajua kama kati yao kuna
waliotumwa kwa kazi maalum? Vinginevyo Mchawi wa zamu hii ni
njaa ya viongozi wake wakuu.
Elisa Muhingo
0767 187 507
--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@ googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone
posting to this Forum bears
the sole
responsibility
for any legal
consequences of his or
her postings,
and
hence
statements and facts must be
presented
responsibly.
Your
continued membership signifies that
you agree to
this
disclaimer and pledge to abide by
our
Rules and
Guidelines.
---
You received this
message because you
are subscribed
to
the
Google Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe from this group and
stop receiving
emails
from
it, send an email to wanabidii+...@
googlegroups.com.
For more
options, visit
https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone
posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented
responsibly. Your
continued membership
signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed
to
the
Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop
receiving emails
from it, send an email
to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
[wanabidii] New content updates
|
[wanabidii] News Digest: Bank strike may hit transactions over Rs 1 lakh cr: Assocham
| THE TIMES OF INDIA | |||||
| Tuesday, February 28, 2017 | |||||
| Today's Headlines | |||||
Bank strike may hit transactions over Rs 1 lakh cr: Assocham Starbucks CEO says chain ready to enter Italy after 35 years March may see cos raising up to Rs 6,000 crore via IPOs | |||||
Peculiar tie between warm climate, slow snowmelt: Study How a misunderstood order is fuelling forest fire Soon, a database of all zoo animals across the country | |||||
Quake hits off Japan's Fukushima, no tsunami risk Afghan policeman turns gun on colleagues, kills 11 Russia pledges to veto UN sanctions on Syria | |||||
New tool to reduce risk of triggering man-made earthquakes SpaceX to send first paying tourists around moon next year | |||||
WhatsApp accepts its new status feature is not a 'hit' MWC 2017 Day 1: Gadget roundup How Indian IT companies are reworking their business models | |||||
Despite opposition Stephen's decides to seek autonomous status Makarand Paranjape emerges as front runner for top post at IIAS | |||||
WHO frets over 12 drug-resistant bacteria besides TB 'Burns patients should get disability benefits' Mumbai's heart transplant program gets a push | |||||
Ramjas violence: NHRC issues notice to Delhi Police Delhi Metro smart cards to be non-refundable from April 1 Country's first integrated heliport inaugurated in Delhi | |||||
Passengers stranded as IndiGo cancels flight to Bengaluru Dial 100 and cops will soon speak to you in English and Hindi too Fake diary caused more damage to Congress: MLC Lahar Singh Siroya | |||||
Last rites of alleged hate-crime victim Kuchibhotla performed India hails Ian Grillot's heroism, external affairs minister Sushma Swaraj leads chorus | |||||
Textiles showroom salesman found dead in Chennai 12 AIADMK MPs meet Pranab, seek CBI probe into Jayalalithaa death Girl suffers injuries after portion of ceiling falls on her in Chennai | |||||
IS brothers give cops names of 40 operatives Businessman's nephew reveals Dawood man's Pak no. | |||||
Decline in voters' turnout in Amethi from 58% to 56% SP, BSP want hung Assembly to have bargain power: PM Yuvraj: This buffalo is worth Rs 9.25 crore | |||||
Independent to decide Kandhamal district's future Singer Usha Uthup enthralls Berhampur Bhubaneswar Municipal Corporation flush with 2.5 crore pending tax | |||||
Interstate gang that broke into eight houses in one night busted Raids on illegal 'investment advisers' across Madhya Pradesh | |||||
Punjabi varsity holds 2-day folk festival Digital ration cards in Himachal from April 1 War veterans line up in Gurmehar Kaur's support | |||||
| Unsubscribe | To manage your newsletter subscription settings, click here | Other Newsletters from TOI : Breaking News | Top Headlines | Tech | Entertainment | Movie Reviews | Life & Style | ||||
