Tuesday, 29 November 2016

[wanabidii] ESRF YAFANIKISHA MKUTANO WA 5 WA MWAKA, WAJADILI UCHUMI

Habari za asubuhi tena,

Tafadhali pokea CODES hapa chini

<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, &quot;Times New Roman&quot;, serif;">Imeleezwa kuwa ili kumwezesha kila mwananchi wa Tanzania kupata maendeleo na kuondokana na janga la umaskini, Serikali haina budi kutunga sera ambazo zitamgusa kila mwananchi na kuwa na faida jambo ambalo litawasadia kukuza uchumi wao binafasi na taifa kwa ujumla.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Hayo yamesemwa katika mkutano wa tano wa mwaka wa kujadili sera za jamii na mahusiano yake kwenye mabadiliko ya kiuchumi nchini Tanzania na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Kijamii (ESRF), Philemon Luhanjo katika mkutano wa siku moja wa kujadili sera za kijamii zinavyoweza kusaidia kubadilisha uchumi wa Tanzania, mkutano ambao uliandaliwa na ESRF.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Luhanjo alisema ni vyema Serikali inapokuwa inatunga sera ihakikishe zinakuwa na faida kwa wananchi ili ziweze kuwasaidia kupata maendeleo na kuboresha maisha yao na hata wakati nchi ikielekea katika uchumi wa kati kila mwananchi ahusike na mabadiliko hayo.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">"Sera zipo nyingi, zipo za maendeleo ya jumla, elimu, afya, kilimo, viwanda na kila kitu, sisi tunajaribu kuangalia tunapotengeneza sera mbalimbali tuhakikishe kwamba sera hizo zitamnufaisha binadamu, kwamba chochote unachofanya kiwe nikwa faida ya mwanadamu, mipango na malengo yote yawe yanamlenga binadamu kuondoa matatizo yake,</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <a href="https://1.bp.blogspot.com/-ChlkEPmk9mk/WD5fIHb5EPI/AAAAAAABqI4/NG2po8G-Hk4btWjh--Vl3TaHQcM3dRb6QCLcB/s1600/5R5A4193-3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img border="0" height="432" src="https://1.bp.blogspot.com/-ChlkEPmk9mk/WD5fIHb5EPI/AAAAAAABqI4/NG2po8G-Hk4btWjh--Vl3TaHQcM3dRb6QCLcB/s640/5R5A4193-3.jpg" width="640" /></a></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji akihutubia katika mkutano wa tano wa mwaka wa ESRF wa kujadili sera za jamii na mahusiano yake kwenye mabadiliko ya kiuchumi nchini Tanzania ulioandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) jijini Dar es Salaam.(Picha na Said Khalfan wa KVS Blog)</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">"Serikali inapofanya mipango inatakiwa kupanga mipango ambayo inajaribu kujibu kero za mwananchi, kama ni elimu, kama ni afyaa au kama ni kilimo cha kisasa, tunapotengeneza sera tuwe tunauwianisha, hizo sera zikitekelezeka na mteja wa bidhaa awe ameandaliwa ili mkulima asiwe amepoteza nguvu bure," alisema Luhanjo na kuongeza.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">"Tunazungumzia nchi ya viwanda, viwanda gani? na nchi yetu niya kilimo kwahiyo tunatarajia viwanda vingi vitakuwa ni vya kilimo, kwahiyo tunataraji mkulima mdogo aimalishwe ili aweze kuzalisha mazao yanayokwenda kiwandani ni lazima sera ziwe na uwiano mzuri."</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Nae Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji alisema Serikali inafahamu kuwa nchi haiwezi kupiga hatua bila kuhusisha mwananchi mmoja mmoja na inachofanya kwa sasa na kuwashawishi watu wenye viwanda kutumia malighafi ambazo zinazalishwa nchini ili wakulima nchini wafaidike na uwepo wa viwanda nchini.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><i><br /></i></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><i>"Tunaamini hatuwezi kuwa na uchumi unaokua kama hali ya kijamii ya wananchi haikui na hata Rais Magufuli alikuwa akisema tangu akiwa katika kampeni kwamba Tanzania ya Magufuli niya viwanda, na viwanda hivi ni kwa ajili ya watu wetu,</i></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini wa ESRF, Philemon Luhanjo, akizungumza katika mkutano wa tano wa mwaka wa kujadili sera za jamii na mahusiano yake kwenye mabadiliko ya kiuchumi nchini Tanzania ulioandaliwa na ESRF.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">"Kwenye mpango wetu wa miaka mitano tumesisitiza maendeleo ya viwanda lakini vinavyotumia malighafi zinazozalishwa hapa nchini katika kilimo chetu, kwahiyo hatuwezi kuwa na viwanda kama kilimo hakijaendelea, hatuwezi kuwa maendelo ya kijamii kama kilimo chetu hakijaendelea, kilimo ndiyo uti wa mgongo wa taifa letu, kwahiyo tumejadili hilo ili kuona wananchi wetu wananufaika vipi," alisema Kijaji. Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa ESRF, Dk. Tausi Kida alizungumza kuhusu mkutano huo ambao umedhaminiwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) na kusema,"ESRF kwasasa hivi tupo kwenye mchakato wa kutengeneza Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu ya mwaka 2017, "Katika hiyo ripoti tumeweza kutaharisha ripoti 11 ambazo zitachangia katika utayarishishaji wa hiyo ripoti na dhumuni kubwa ni kuweza kuzijadili hizo ripoti na kupata uelewa mpana ni kwa kiasi gani sera za kijamii zina mchango mkubwa katika kuleta mageuzi ya kiuchumi hapa Tanzania." <img height="403" src="https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2016%2F11%2F5R5A3995.jpg&amp;container=blogger&amp;gadget=a&amp;rewriteMime=image%2F*" width="640" /> </span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akitoa maelezo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi katika mkutano huo.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mkuu wa Programu, Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP, Amon Manyama akizungumza katika mkutano wa tano wa mwaka wa kujadili sera za jamii na mahusiano yake kwenye mabadiliko ya kiuchumi nchini Tanzania.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mtafiti mshiriki mwandamizi wa ESRF, na mashauri wa ufundi wa mradi wa THDR Profesa Marc Wuyts, akiwasilisha mada Situating social policy transformation: A conceptual framework, kwenye mkutano wa tano wa mwaka wa kujadili sera za jamii na mahusiano yake kwenye mabadiliko ya kiuchumi nchini Tanzania.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mhadhiri wa Masuala ya Afrika na Maendeleo katika Chuo Kikuu cha Edinburgh, Shule ya Sayansi ya Siasa nchini Uingereza Dk.Hazel Gray, akiwasilisha mada yake kuhusu mabadiliko katika sera za kijamii kwenye mkutano wa tano wa mwaka wa ESRF.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mchokoza mada kutoka taasisi ya Daima na Mtafiti mwandamizi mshiriki ESRF, Profesa Samwel Wangwe, akitoa maelezo yake kuhusu mada iliyowasilishwa mezani kwa wajumbe.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Profesa wa uchumi DoE, Chuo kikuu cha Dar es Salaam Profesa Humphrey Mushi, akiwasilisha mada kuhusu historia ya sera ya jamii katika mkutano huo.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mgeni rasmi Dk. Kijaji, (wa pili kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa ESRF, Dk. Tausi Kida, (wa kwanza kushoto), Bi Anna, na mwenyekiti wa bodi ya udhamini ya ESRF, Bw Philemon Luhanjo, Mkurugenzi wa Kupunguza Umaskini na Kuinua Uchumi kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Anna Mwasha (wa pili kulia) wakipongeza wakati wa mkutano huo.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Wageni waalikwa wakifuatilia mada mbalimbali kwa makini katika mkutano wa tano wa mwaka wa ESRF wa kujadili sera za jamii na mahusiano yake kwenye mabadiliko ya kiuchumi nchini Tanzania</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img height="431" src="https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2016%2F11%2F5R5A4067.jpg&amp;container=blogger&amp;gadget=a&amp;rewriteMime=image%2F*" width="640" /> <img height="426" src="https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2016%2F11%2F5R5A4203.jpg&amp;container=blogger&amp;gadget=a&amp;rewriteMime=image%2F*" width="640" /> <img height="426" src="https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2016%2F11%2F5R5A4213.jpg&amp;container=blogger&amp;gadget=a&amp;rewriteMime=image%2F*" width="640" /> <img height="392" src="https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2016%2F11%2F5R5A4437.jpg&amp;container=blogger&amp;gadget=a&amp;rewriteMime=image%2F*" width="640" /> </span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Picha ya pamoja ya washiriki, wakuu ESRF, wakiwa na mgeni wa heshima Dk. Kijaji.</span></div>




--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] ESRF YAFANIKISHA MKUTANO WA 5 WA MWAKA, WAJADILI UCHUMI"

[wanabidii] UN NA EU YAWANOA MABALOZI 50 WA MALENGO YA DUNIA IRINGA

Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea CODES hapa chini

<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">UMOJA wa Ulaya (EU) na Umoja wa Mataifa (UN) wameweka nguvu ya pamoja kuendesha kampeni ya uelewa wa malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) nchini Tanzania. Wakiwa Mkoani Iringa wamepata nafasi ya kuzungumza na wanachuo 1,000 kutoka vyuo vikuu vya Iringa na Ruaha kwenye semina iliyoelezea malengo ya dunia ambayo ni sehemu ya ajenda 2030 ya maendeleo endelevu duniani ambapo kati ya hao, vijana 50 wamepata semina ya mwongozo wa kuwa mabalozi wa malengo hayo (Global Goals Champions). Kampeni hiyo imelenga kuwafanya vijana waelewe malengo 17 ya dunia ambayo kwa sasa yana mwaka mmoja tangu yapitishwe na kuwatanabaisha wajibu wao katika kufanikisha utekelezaji wake ndani ya mazingira ya Tanzania.&nbsp;</span></div>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><a href="https://2.bp.blogspot.com/-b-L9MpKFN8Y/WD5VyeWUx_I/AAAAAAABqIo/p9gjPgG3n0cFxyX7gNrK3MVII03C4DdeACLcB/s1600/IMG_2479.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img border="0" height="426" src="https://2.bp.blogspot.com/-b-L9MpKFN8Y/WD5VyeWUx_I/AAAAAAABqIo/p9gjPgG3n0cFxyX7gNrK3MVII03C4DdeACLcB/s640/IMG_2479.jpg" width="640" /></a></span><div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akimkabidhi Ripoti ya Umoja wa Mataifa ya mpango wa misaada ya maendeleo UNDAP II 2016-2021 Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU) Iringa, Dr. Cephas Mgimwa alipomtembelea ofisini kwake mjini Iringa.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akifafanua jambo juu ya ripoti ya Umoja wa Mataifa ya Mpango wa misaada ya Maendeleo 2016-2021 (UNDAP II) kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU) Iringa, Dr. Cephas Mgimwa alipomtembelea ofisini kwake mjini Iringa</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mwanasheria wa Chuo Kikuu cha Ruaha Iringa, Martin Noel akiwa ameongozana Mtaalam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano chuoni hapo sambamba Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez aliyeambatana na Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini ambaye pia ni Afisa Miradi, Anna Muro.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akiendesha semina ya malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) kwa vijana 50 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha ambao watakuwa ni mabalozi wa malengo hayo ya dunia huku lengo la UN ni kuwaelimisha vijana zaidi ya 30,000 ifikapo mwaka ujao kuhusu malengo hayo ya dunia.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini ambaye pia ni Afisa Miradi, Anna Muro akielezea fursa za ufadhili wa masomo nje ya nchi katika tovuti ya <a href="https://eeas.europa.eu/delegations/tanzania_en">Umoja wa Ulaya Tanzania</a> wakati wa semina ya malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) kwa vijana 50 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha ambao watakuwa ni mabalozi wa malengo hayo ya dunia (Global Goals Champions) huku lengo la UN ni kuwaelimisha vijana zaidi ya 30,000 ifikapo mwaka ujao kuhusu malengo hayo ya dunia iliyofadhiliwa na EU.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mkufunzi wa Malengo ya Dunia ambaye pia ni Mtaalam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu akiwapiga msasa vijana 50 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha ambao watakuwa ni mabalozi wa malengo hayo ya dunia (Global Goals Champions) huku lengo la UN ni kuwaelimisha vijana zaidi ya 30,000 ifikapo mwaka ujao kuhusu malengo hayo ya dunia kwenye semina hiyo iliyofadhiliwa na EU.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini ambaye pia ni Afisa Miradi, Anna Muro akiwa amejumuika na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha wakati wa semina ya malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) kwa vijana 50 ambao watakuwa ni mabalozi wa malengo hayo ya dunia (Global Goals Champions) huku lengo la UN ni kuwaelimisha vijana zaidi ya 30,000 ifikapo mwaka ujao kuhusu malengo hayo ya dunia ambapo semina hiyo imefadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) nchini.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Pichani juu na chini ni vijana 50 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha walioshiriki semina maalum ya kuwa mabalozi wa malengo ya dunia (Global Goals Champions) iliyoandaliwa na UN na kufadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) mjini Iringa.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez (kulia) akimkabidhi cheti Rais wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU) Iringa Athman Waziri aliyehitimu kuwa balozi wa Malengo ya Dunia (Global Goals Champion).</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Picha juu na chini Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akiendelea na zoezi la kutunuku vyeti kwa mabalozi wa malengo ya dunia kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez katika picha ya pamoja na Mabalozi wa Malengo ya Dunia (Global Goals Champions) baada ya kuhitimisha semina maalum iliyoshirikisha vijana 50 kutoka Chuo Kikuu cha Iringa na Ruaha.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez katika picha ya pamoja na Mwanasheria wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU) Iringa, Martin Noel baada ya kuhitimisha semina ya malengo ya dunia mjini Iringa.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez katika picha ya pamoja na Afisa Habari wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU), Muazarau Matola</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Baadhi ya Global Goals Champions katika picha ya kumbukumbu na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez na Mtaalam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu.</span></div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mkufunzi wa Malengo ya Dunia ambaye pia ni Mtaalam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu akibadilishana mawazo na wahitimu wa semina malengo ya dunia (Global Goals Champions) mara baada ya kuhitimisha semina hiyo iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Ruaha mjini Iringa ambapo imefadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU).</span></div>
<div style="text-align: center;">
</div>

--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] UN NA EU YAWANOA MABALOZI 50 WA MALENGO YA DUNIA IRINGA"

[wanabidii] Fw: Thank you for taking action, Ludovick Simon - now please share



 




From: Amnesty International UK <sct@amnesty.org.uk>
Sent: Wednesday, November 30, 2016 4:10 AM
To: bugabo18@hotmail.com
Subject: Thank you for taking action, Ludovick Simon - now please share
 
Dear Ludovick Simon,

Thank you for your message of support to Nazanin Zaghari-Ratcliffe.

Please ask as many others as possible to also lend their support.

Share the link


Share on Twitter


Post on Facebook




Many thanks again.

Rebecca Dallison
Campaigner Manager - Write for Rights
Amnesty International UK

----------




I'm thinking of you and join the many people calling for your release. Stay strong, you're not alone.
----------
Read More :- "[wanabidii] Fw: Thank you for taking action, Ludovick Simon - now please share"

[wanabidii] Top Headlines: Income Tax Act amendments upset calculations of cash hoarders

Times of India
Daily Newsletter | Wednesday, November 30, 2016
fbtwittergoogleplus
TOP HEADLINESMORE »
Income Tax Act amendments upset calculations of cash hoarders
The proposed amendments to the I-T Act shut out one attractive option that holders of undeclared income had — of declaring the cash with them as income for the year and get away by paying 35.5% of tax.
New Hyundai Tucson—2.0L diesel & petrol
Introductory price starting at INR 18.99/- lakh. Test drive today. *T&C apply
Recommended by Colombia
Rahul, not Nitish, to be alliance’s PM choice: Cong
According to Congress insiders, Nitish Kumar has donned the role of a maverick as he is angling for the pole position for the Lok Sabha elections. But Congress would not brook any challenge to its lead position in the next parliamentary polls.
In blow to Oppn, Lalu now says he backs note ban
RJD chief Lalu Prasad left the anti-demonetisation camp on Tuesday, telling legislators that he only opposed the way the decision was implemented and not the rationale behind it.Nitish had visited Lalu at his residence on Tuesday,
CITIESMORE »
Presenting The New SKODA Rapid
Own the mesmerizing new SKODA Rapid & rejuvenate yourself everytime you drive.
Recommended by Colombia
Jisha murder: CBI opposes plea for probe
CBI has opposed the demand raised by Jisha’s father before the Kerala High Court for a probe by it into his daughter’s brutal murder at her home at Perumbavoor in April.
ATS sees 'links' between Jameel Ahmad and IS
Forty-one-year-old Jameel Ahmad, who was arrested by the ATS for his alleged links with IS, was in touch with some Pakistani nationals and was preparing himself for some mission. ATS officials investigating the case on Tuesday said that excerpts of various details of his laptop and other gadgets have given them incriminating evidences against the accused to prove his association with IS.
Toddler slips from mother's arms, dies after falling three floors in Mumbai
A 14-day-old boy reportedly slipped from his mother's arms and fell three floors in Bhayander on Sunday. The infant died of severe head injuries hours later.
TECHMORE »
Apple iPhone 7, iPhone 7 Plus price details revealed, goes up to Rs 92,000
The iPhone 7 Plus 32GB, 128GB and 256GB will cost Rs 72,000, Rs 82,000 and Rs 92,000 respectively
Apple slashes prices of iPhone 6s and iPhone 6s Plus by up to Rs 22,000
Apple has announced biggest-ever price drop for its smartphones in India. Under the new pricing, iPhone 6S (128GB), carying an MRP of Rs 82,000, will now be available at an MRP of Rs 60,000. iPhone 6s Plus (128GB) will now be available at an MRP of Rs 70,000, the smartphone too has received a price cut of Rs 22,000. Apple's 4-inch smartphone iPhone SE, too has got a price cut. The 64GB version of iPhone SE will now be available at Rs 44,000.
WhatsApp privacy policy challenged in Delhi High Court: 5 things to know
A public interest litigation in the Delhi High Court (HC) challenges the change in WhatsApp's privacy policy.
SPORTSMORE »
Mohali Test: India beat England by 8 wickets to take 2-0 series lead
India sealed a rather comfortable victory in Mohali and achieved the 103-run target England had set them after being bowled out for 238 in their second innings. Parthiv Patel played an entertaining knock and remained unbeaten on 67.
Parthiv brilliant, but Saha is our No. 1 wicketkeeper: MSK
"Parthiv's statistics speak volumes about the way he has performed for Gujarat in the last few years. He has been very good with the bat, and more importantly, Parthiv's glove work is much better than before. But Saha remains our No. 1 keeper," Prasad mentioned.
'I was more focused during New Zealand Tests': Rohit Sharma
Rohit Sharma, the India batsman on the mend from thigh surgery this month, believes he was more focused during the Test series against New Zealand in Oct, in which he scored 238 runs at an average 79.33 with 3 half-centuries. Rohit's injury will keep him on the sideline for an estimated 10-12 weeks.
BUSINESSMORE »
Paytm claims 35 million online recharges done on platform since demonetisation
Digital payment company Paytm on Tuesday said it has seen 35 million transactions for mobile and DTH recharges on its platform post the government's move to scrap Rs 500 and 1,000 notes. It claimed that over 70% of online mobile and DTH recharges done in the country are now being conducted on Paytm.
Fitch Ratings cuts India's FY17 growth forecast to 6.9%
"Indian growth has been revised down to reflect temporary disruptions to activity related to the RBI's surprise demonetisation of large-denomination bank notes," Fitch said, as it revised real GDP growth forecast down to 6.9 per cent for 2016-17, from 7.4 per cent projected earlier.
ENTERTAINMENTMORE »
Pic: Yuvraj Singh and Hazel Keech’s adorable pre-wedding selfie
Cricketer Yuvraj Singh and actress Hazel Keech will tie the knot tomorrow.
Vidya Balan: I don’t want to be judged anymore
Vidya Balan is super excited as her film 'Kahaani 2: Durga Rani Singh' is all set to release this week.
What makes 'Kahaani 2' ‘wanted’ in theatres
As Kahaani 2 nears its dates with cinemas, here's looking at what makes it an interesting watch this weekend...
Other Newsletters from TOI:
Breaking News | Digest | Tech | Entertainment | Movie Reviews | Life & Style
Unsubscribe | To manage your newsletter subscription settings, click here.
Copyright 2016 Bennett Coleman & Co. Ltd. All rights reserved. For reprint rights: Times Syndication Service
Read More :- "[wanabidii] Top Headlines: Income Tax Act amendments upset calculations of cash hoarders"