Friday, 1 April 2016

[wanabidii] JOKATE NA MO DEWJI FOUNDATION KUJENGA KIWANJA CHA MICHEZO SEKONDARI YA JANGWANI

Habari za mchana,

Tafadhali pokea CODES hapa chini

<img class=" wp-image-10927 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_3886-1.jpg" alt="Jokate" width="631" height="382" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwanzilishi wa ujenzi huo, Jokate Mwegelo akiandika jambo wakati ujenzi wa kiwanja ukiendelea.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="font-family: Arial, sans-serif; color: #000000;">Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani wanataraji kunufaika kwa kupata uwanja wa michezo ambao unajegwa kwa ushirikiano wa Mwanamitindo Jokate Mwegelo na Taasisi ya Mo Dewji.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="font-family: Arial, sans-serif; color: #000000;">Akizungumza na <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com" target="_blank">Mo Blog</a></span>, Jokate amesema ujenzi wa kiwanja hicho cha michezo ni sehemu ya mipango aliyokuwa nayo baada ya kuanzisha mwaka jana bonanza la Kidoti ambalo lilikuwa na malengo ya kuhamasisha wanafunzi kufanya vizuri kimasomo na kushiriki katika michezo ili kukuza vipaji vyao.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="font-family: Arial, sans-serif; color: #000000;">Jokate amesema ameamua kuanza na shule ya Jangwani kwa kutambua kuwa shule hiyo ina hosteli za wanafunzi walemavu na wamekuwa wakipata shida kupata viwanja vya michezo hivyo kupitia kiwanja hicho wataweza kushiriki michezo kwa urahisi zaidi.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="font-family: Arial, sans-serif; color: #000000;">"Pale Shule ya Jangwani kuna wanafunzi walio na ulemavu na kama unavyojua mlemavu anatakiwa kufanya mazoezi ili kuweka afya yake vizuri na kama wakitaka kushiriki michezo hadi waende Gymkhana lakini tunawajengea uwanja wa Basketball na Netball," amesema Jokate wakati akifanya mahojiano na <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com" target="_blank">Mo Blog</a></span>.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="font-family: Arial, sans-serif; color: #000000;">Ameongeza kuwa ili kufanikisha ujenzi huo alizungumza na Mohammed Dewji ambaye alikubali kutoa Milioni 10 kupitia Taasisi yake ya Mo Dewji na hivyo kuanza kufanyika kwa ujenzi huo ambao utawawezesha wanafunzi wa Jangwani kushiriki michezo tofauti na hapo awali.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="font-family: Arial, sans-serif; color: #000000;">Aidha amesema kuwa ujenzi wa viwanja vya michezo utakuwa endelevu katika shule za serikali ambazo bado hazijawa na viwanja na baada ya kukamilika kwa ujenzi katika shule ya Jangwani amepanga kufanya ujenzi wa viwanja vya michezo katika Shule ya Sekondari Kinyerezi na Shule ya Sekondari Maposeni iliyopo wilayani Peramiho, Ruvuma.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10915 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/14581134867112.jpg" alt="14581134867112" width="628" height="837" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Ujenzi wa kiwanja cha michezo katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani ukiendelea</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10916 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_3708.jpg" alt="IMG_3708" width="630" height="472" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10917 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_3868.jpg" alt="IMG_3868" width="630" height="378" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10918 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_3869.jpg" alt="IMG_3869" width="627" height="376" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10919 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_3872.jpg" alt="IMG_3872" width="632" height="1053" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10920 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_3875.jpg" alt="IMG_3875" width="636" height="353" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10921 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_3878.jpg" alt="IMG_3878" width="631" height="352" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10923 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_3883.jpg" alt="IMG_3883" width="626" height="347" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10924 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_3884.jpg" alt="IMG_3884" width="630" height="351" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10922 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_3880.jpg" alt="IMG_3880" width="627" height="348" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Jokate Mwegelo akibadilishana mawazo na fundi anayejenga uwanja huo wa michezo.</strong></em></span></p>

KAWAIDA


Jokate

Mwanzilishi wa ujenzi huo, Jokate Mwegelo akiandika jambo wakati ujenzi wa kiwanja ukiendelea.

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani wanataraji kunufaika kwa kupata uwanja wa michezo ambao unajegwa kwa ushirikiano wa Mwanamitindo Jokate Mwegelo na Taasisi ya Mo Dewji.

Akizungumza na Mo Blog, Jokate amesema ujenzi wa kiwanja hicho cha michezo ni sehemu ya mipango aliyokuwa nayo baada ya kuanzisha mwaka jana bonanza la Kidoti ambalo lilikuwa na malengo ya kuhamasisha wanafunzi kufanya vizuri kimasomo na kushiriki katika michezo ili kukuza vipaji vyao.

Jokate amesema ameamua kuanza na shule ya Jangwani kwa kutambua kuwa shule hiyo ina hosteli za wanafunzi walemavu na wamekuwa wakipata shida kupata viwanja vya michezo hivyo kupitia kiwanja hicho wataweza kushiriki michezo kwa urahisi zaidi.

"Pale Shule ya Jangwani kuna wanafunzi walio na ulemavu na kama unavyojua mlemavu anatakiwa kufanya mazoezi ili kuweka afya yake vizuri na kama wakitaka kushiriki michezo hadi waende Gymkhana lakini tunawajengea uwanja wa Basketball na Netball," amesema Jokate wakati akifanya mahojiano na Mo Blog.

Ameongeza kuwa ili kufanikisha ujenzi huo alizungumza na Mohammed Dewji ambaye alikubali kutoa Milioni 10 kupitia Taasisi yake ya Mo Dewji na hivyo kuanza kufanyika kwa ujenzi huo ambao utawawezesha wanafunzi wa Jangwani kushiriki michezo tofauti na hapo awali.

Aidha amesema kuwa ujenzi wa viwanja vya michezo utakuwa endelevu katika shule za serikali ambazo bado hazijawa na viwanja na baada ya kukamilika kwa ujenzi katika shule ya Jangwani amepanga kufanya ujenzi wa viwanja vya michezo katika Shule ya Sekondari Kinyerezi na Shule ya Sekondari Maposeni iliyopo wilayani Peramiho, Ruvuma.

14581134867112

Ujenzi wa kiwanja cha michezo katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani ukiendelea

IMG_3708

IMG_3868

IMG_3869

IMG_3872

IMG_3875

IMG_3878

IMG_3883

IMG_3884

IMG_3880

Jokate Mwegelo akibadilishana mawazo na fundi anayejenga uwanja huo wa michezo.


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] JOKATE NA MO DEWJI FOUNDATION KUJENGA KIWANJA CHA MICHEZO SEKONDARI YA JANGWANI"

[wanabidii] News Digest: Maruti sales rise 16% in March at 1,29,345 units

THE TIMES OF INDIA
Friday, April 01, 2016
Today's Headlines

Maruti sales rise 16% in March at 1,29,345 units
Country's largest car maker Maruti Suzuki India (MSI) has posted a 15.9 per cent rise in total sales in March at 1,29,345 units as against 1,11,555 units in the same month last year. Sales of mini segment cars, including, Alto and WagonR, however declined 8.7 per cent.

India to stay on high growth path for 10-20 years: FM
India will continue on the current path of growth for a couple of decades more, bringing benefits of liberalisation to its people and eliminating the curse of poverty, finance minister Arun Jaitley said on Friday.

Bhel commissions thermal power unit in Maharashtra
New Delhi, Apr 1 () State-owned power equipment maker Bhel today said it has commissioned its 5th 500 MW unit at Chandrapur Super Thermal Power Project (STPP) in Maharashtra.

More Business News»

World's first 'White Tiger Safari' in MP from April 3

Ban on big cars remains, no relief for auto majors
Automobile giants like Mercedes, Toyota, Mahindra and General Motors on Thursday failed to get any relief from the Supreme Court, which extended till April 30 the bar on registration of diesel-run SUVs and high-end cars with engine capacity of 2000 CC and above in the National Capital Region.

Lakes that supply Panama Canal battered by drought
Water levels in the two artificial lakes, Gatun and Alhajuela, that nourish the Panama Canal and supply more than half the country's households are at historic lows and likely to continue receding over the next two months, the Panama Canal Authority, or ACP, said on Wednesday.

More Environment News»

North Korea fires projectile into sea: Report
North Korea has fired a suspected ballistic missile into the sea on Friday, a news report said, hours after US President Barack Obama urged closer security ties among its Asian allies and increased cooperation with China to discourage Pyongyang from further advances in nuclear weapons.

Japan struck by 6.0-magnitude quake
A strong 6.0-magnitude earthquake struck off Japan's southwest coast on Friday, the US Geological Survey said, but local authorities said there was no danger of a tsunami. The quake was measured at a relatively shallow depth of 10 kilometres.

Hadid, architect famed for futuristic curves, dead
Zaha Hadid, the world's most famous female architect who attracted plaudits for works of sweeping curves and controversy for huge cost overruns, died at the age of 65. Hadid was the first woman to win the prestigious Pritzker Prize for architecture.

More World News»

One-two cup of coffee daily may cut colorectal cancer risk
"We found that drinking black, decaf or even instant coffee is associated with lower risk of colorectal cancer and the more coffee consumed, the lower the risk," said lead researcher Stephen Gruber from University Of Southern California.

Next-gen contact lenses could have it all

Zika linked to fetal brain damage: Finnish study
infectious Zika virus from fetal tissue in cell culture.The virus.

More Science News»

8 tech moguls who made it big without a degree
Though education is very important in today’s world, here are 8 tech heads who are doing exceptionally well without a degree.

Build 2016: Windows 10 anniversary update, AI, UWP and bots
Microsoft on Wednesday kicked off its annual Build developer conference in San Francisco with its first keynote spearheaded by CEO Satya Nadella.

Xiaomi launches Mi 5 smartphone, priced at Rs 24,999
Xiaomi Mi 5 comes with 5.15-inch HD display, uad-core Qualcomm Snapdragon 820 processor and 16MP rear camera with LED flash

More Technology News»

Time for DPUE to junk old system and follow other boards
While its question papers are being leaked through WhatsApp, the Department of Pre-university Education (DPUE) is still following the age-old method of dispatching question papers on four-wheelers and safeguarding them at treasury offices in districts.

PU paper leak: Experts see insider role, multiple question papers an eyewash

Students livid as II PU paper leaks second time in 10 days
More than 1.75 lakh II PUC students across Karnataka woke up to a rude shock on Thursday.The question paper for the chemistry re-examination that they were to write later in the day had been leaked.

More Education News»

Make in India Week fire: CII pays Rs 8.06 lakh to BMC
Mumbai, Apr 1 () Confederation of Indian Industries (CII) has made a payment of Rs 8.06 lakh to Solid Waste Management department of Brihanmumbai Municipal Corporation as cost incurred in clearing of debris after a fire broke out at a 'Make In India Week' programme in South Mumbai in February.

Will ensure bromance with Nagarjuna continues in real life: Karthi
Mumbai, April 1 (IANS) Actor Karthi, who has shared an astounding chemistry with Nagarjuna in the film "Thozha" ("Oopiri" in Telugu), hopes their "bromance" continues for years to come as they hit it off very well on the film's set.

High jumper Tejaswin Shankar signed by JSW Sports
Mumbai, Apr 1 () JSW Sports have signed young Delhi high jumper Tejaswin Shankar, who recently won silver at the South Asian Games, under the company's flagship Sports Excellence Programme.

More Mumbai News»

Pathankot attack: Pak JIT winds up probe in India
New Delhi, Apr 1 () The Pakistani JIT today concluded its six-day discussions with NIA on the probe into the Pathankot terror attack even as the visiting officials recorded statements of witnesses and collected DNA report of slain terrorists.

For a spinner to bowl a no ball is unacceptable: Gavaskar
New Delhi, Apr 1 () Criticising the Indian bowlers for conceding no balls at crucial juncture of the semifinal match against West Indies, former captain Sunil Gavaskar today said it is "unacceptable for a spinner to bowl a no ball". "The spinners are really not expected to bowl a no ball.

VW suspends sale of select Vento model; recalls 3,877 units
New Delhi, Apr 1 () Beleaguered German auto maker Volkswagen (VW) is halting sales of a select version of its mid-sized sedan Vento in India with immediate effect due to inconsistent Carbon Monoxide (CO) emissions and is recalling 3,877 units of the car. Emissions of Vento equipped with 1.

More Delhi News»

Flipkart acquires payment firm PhonePe
Bengaluru, Apr 1 () Flipkart today announced the acquisition of PhonePe, a city-based mobile payments company co-founded by the e-commerce giant's two former employees. PhonePe, co-founded by Sameer Nigam and Rahul Chari, is building India's first Unified Payments Interface (UPI) based product.

30-yr-old IBM call centre staffer stabbed 8 times, dies in hospital
A 30-year-old IBM call centre employee returning from work was stabbed to death in front of his house in southwest Bengaluru on Thursday morning.

PU paper leak: Experts see insider role, multiple question papers an eyewash

More Bangalore News»

IVRCL dubs Kolkata flyover collapse as an 'accident'
The Hyderabad-based IVRCL which was constructing the flyover in Kolkata, a portion of which collapsed on Thursday killing 24 people, on Friday described the incident as an "accident", a day after another official of the company had dubbed it as an "act of God".

IVRCL dubs flyover collapse as an "accident"
Hyderabad, Apr 01 () The city-based IVRCL which was constructing the flyover in Kolkata, a portion of which collapsed yesterday killing 24 people, today described the incident as an "accident", a day after another official of the company had dubbed it as an "act of God".

IVRCL to join police probe, denies wrong-doing
The authorities of IVRCL, the contracting firm responsible for the construction of the ill-fated under construction Vivekananda Flyover project which collapsed in Kolkata on Wednesday, denied using sub-standard material in the construction of flyover.

More Hyderabad News»

Six get jail for defrauding Indian Bank of Rs 5.51 crore
A CBI court in Chennai on Friday sentenced six people to jail for submitting forged documents and defrauding the Indian Bank of Rs 5.51 crore.

HC gives clean chit to MIOT Hospital on building construction
Chennai, Apr 1 () Giving a clean chit to the private MIOT Hospital here, the Madras High Court today observed that it has taken all requisite permission for construction and the building is in conformity with regulations and there has been no violation.

Tamil Nadu election: AIADMK, DMK promoting liquor and sand mafias, Union Minister Prakash Javadekar says
 Union minister for environment, forests and climate change Prakash Javadekar on Friday accused Tamil Nadu’s two major political parties – AIADMK and DMK-- of supporting sand and liquor mafias.

More Chennai News»

CAG holds mirror to 'Gujarat Model'
Comptroller and Auditor General’s report for 2014-15 drills many holes in Anandiben Patel’s first year in office as Gujarat chief minister. Auditor’s report shows state needs better financial discipline, security with more teeth, robust health infrastructure.

Karnavati Club election: Power Panel set to win control
44.81% Of Members Cast Their Votes

AMC demolishes illegal buildings in Maktampura
The demolition team of the civic body's New West Zone has embarked on an encroachment removal drive since Wednesday.In Maktampura, AMC targeted 12 illegal shops on Juhapura road.

More Ahmedabad News»

Villagers hold chaupal to revive ninth century Sun temple

HC seeks response from UP government on Yash Bharti awards
Lucknow, April 1 (IANS) The Lucknow bench of Allahabad High Court on Friday took a grim view of the state-level Yash Bharti awards given to 46 persons and sought the Uttar Pradesh government's response on the issue.

Stoppages of trains change
There is bad news for Allahabad-bound passengers as trains Howrah-Mumbai Mail and Patliputra ( Patna) -Pune Express will not halt at Allahabad and Naini junction and will be diverted to Chheoki station.

More Allahabad News»

Dal prices up as traders stick to no-import stand
Traders hiked the price of dal by around Rs 15 per kg to pressurise the government to accept their demand of waiver of value added tax (VAT) on essential commodities.

ED moves court over Seashore property
The enforcement directorate (ED) on Thursday moved the Khurda sessions court here, seeking confiscation of Seashore Groups assets worth nearly Rs 242 crore.

4-year-old boy branded with iron rod in Malkangiri dies
After Nabarangpur, a child died in tribal-dominated Malkangiri district on Thursday after he was branded with a hot iron rod to cure his ailments.

More Bhubaneswar News»

Girl commits suicide after India's loss to West Indies
A B.Tech student of Gwalior allegedly committed suicide after India lost to West Indies in the semifinal of World Twenty20 on Thursday.

Dacoits kill one in Dhar village, decamp with jewellery and cash

MP CM announces ministry of happiness

More Bhopal News»

Another FIR registered on alleged gangrapes by Jat agitators
Chandigarh, Apr 1 () Another FIR was registered today against unknown persons following a complaint by a Delhi-based resident on the alleged gangrape by Jat agitators in Sonipat district of Haryana in February.

Amarinder welcomes pruning of Sikhs' black list

BJP councilors attack their own mayor in MC meeting
Even as the budget of Rs 603 crores was passed in the meeting of the Jalandhar Municipal Corporation, SAD and BJP councillors not only cornered the mayor on different issues but they leveled serious allegations of prevailing corruption in the Municipal Corporation.

More Chandigarh News»

Unsubscribe | To manage your newsletter subscription settings, click hereOther Newsletters from TOI :
Breaking News | Top Headlines | Tech | Entertainment | Movie Reviews | Life & Style
Read More :- "[wanabidii] News Digest: Maruti sales rise 16% in March at 1,29,345 units"

Re: [wanabidii] REA: Kujitoa MCC hakuathiri miradi

tumekusoma vema
 
Mt. B; Bukoba Municipal, Tanzania - East Africa.


On Friday, April 1, 2016 9:44 AM, fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com> wrote:


WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) umesema miradi yake, haitaathirika na kusitishwa kwa misaada ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC), kwa kuwa Serikali ya Tanzania imejipanga kutoa fedha nyingi zaidi kuwezesha miradi hiyo.
Kumekuwapo hofu miongoni mwa wananchi kwamba miradi ya REA itakwama, mara baada ya taarifa za Bodi ya MCC kusitisha msaada wa kiasi cha Dola za Marekani milioni 472 (takribani Sh trilioni moja) kutokana na suala la uchaguzi wa marudio wa Zanzibar.
Uamuzi huo ulifanywa Machi 28 mwaka huu na Bodi ya shirika hilo, iliyoundwa na Bunge la Marekani kusaidia nchi zinazoendelea, ikiwamo Tanzania. Mkurugenzi Mkuu wa REA, Dk Lutengano Mwakahesya aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa miradi ya REA ipo salama na haiwezi kuathirika na hatua hiyo ya MCC.
Alisema usalama wa miradi hiyo, unatokana na ukweli kwamba, tangu REA ianze haijawahi kupokea fedha za msaada kutoka MCC na badala yake ni Serikali ya Tanzania na mashirika mengine, ndio imewasaidia katika kukamilisha miradi yao.
Dk Mwakahesya alisema kuwa awamu zote za fedha kutoka MCC zilizokuwa zinatolewa, hawakuwahi kuzipokea, isipokuwa wanasaidiwa na mashirika mengine. Aliyataja mashirika hayo kuwa ni Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA), Shirika la Maendeleo la Uingereza (DFID), Shirika la Maendeleo la Norway, Umoja wa Ulaya (EU) na Serikali ya Tanzania, ambao wamesaidia kukamilika kwa miradi ya awamu ya kwanza na ya pili kwa asilimia 90.
Alisema kutokana na hali hiyo, REA haiwezi kuathirika kwa namna yoyote ile kwa kuwa serikali imejipanga kutoa fedha nyingi zaidi kusaidia miradi hiyo kwa awamu inayofuata. "REA haijawahi kupata fedha za MCC bali ni jitihada za Serikali ya Tanzania na msaada kutoka mashirika ya Sweden na Uingereza.
Hata miaka iliyopita hatukuwahi kupokea fedha hizo na kwamba hatutaathirika,'' alisema Dk Mwakahesya. Alisema kuwa fedha hizo, hazikujumuishwa katika bajeti yao na ndio maana hawakuzipata na kwamba miradi yote inayoendeshwa na REA, inaendelea kufanya vizuri.
Alisema wanategemea mpaka Juni mwaka huu, mradi wa pili utakamilika na kuanza mradi wa tatu. "Mradi wa kwanza REA na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wa kusambaza umeme, umegharimia Shilingi bilioni 120 toka kwenye mfuko wa mradi. Tulikubaliana na Tanesco kushughulikia unununuzi,'' alisema Dk Mwakahesya.
Akizungumzia madeni wanayoidai serikali, Dk Mwakahesya alisema kuwa wanatambua kwamba serikali ina shughuli nyingi, ambazo wanazifanya na kwamba itakamilisha madai yao taratibu. Alisema kuanzia Novemba mwaka jana, serikali imeanza kulipa fedha hizo kama walivyokuwa wanatarajia.
Akizungumzia kushuka kwa gharama za huduma, Meneja wa REA, Elineema Mkumbo alisema Tanesco ilikuwa inachangia asilimia tano na kwamba kwa sasa inachangia asilimia tatu kutoka mauzo yote ya umeme.
Mkumbo alisema kuwa endapo gharama za huduma zitashuka, haitawahusu kwa kuwa wataendelea kupata asilimia tatu za mauzo ya umeme wao. Pia alisema kuwa mpaka sasa wamefikia wateja 75,000 kati ya wateja 250,000 ambao walitegemea kuwafikia.
"Tumeshatengeneza miundombinu 14,000 ya msongo wa kati, transfoma 5,000 katika mikoa yote,'' alisema Mkumbo. Aliongeza kuwa wanashirikiana na sekta binafsi katika kukamilisha miradi hiyo, ikiwemo Rift Valley ya Mufindi ambayo imesaidia kusambaza umeme katika vijiji 14, Lumama ambayo imesambaza umeme katika vijiji sita, Chicole Sisters inayozalisha megawati tano na kuingiza katika Gridi ya Taifa na Taasisi ya Mbinga ambazo zote zimesaidia kupunguza matumizi ya mafuta ya dizel.
Uchaguzi wa marudio, ulifanyika Machi 20 mwaka huu visiwani Zanzibar baada ya ule wa awali wa Oktoba 25 mwaka jana, matokeo yake kufutwa baada ya kubaini kuwapo kwa ukiukwaji mkubwa katika uchaguzi, ikiwamo aliyekuwa mgombea urais wa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, kujitangazia ushindi.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


Read More :- "Re: [wanabidii] REA: Kujitoa MCC hakuathiri miradi"

Re: [wanabidii] REA: Kujitoa MCC hakuathiri miradi

Huku ni kujiliwaza tu. Kama kukosekana kwa hela za MCC hakutaathiri utekelezaji wa miradi ya umeme, kwa nini tuli'apply' tuzipate? Ilikuwa ni kwa ajili gani? Pili, hali hii ya kujiliwaza si sawa na wakati wa Mwalimu Nyerere, ambapo hali ya uchumi ilikuwa mbaya na yeye akasema ingedumu kwa muda wa miezi 18 tu na kila mtu aliamini hivyo, lakini hadi sasa miezi hiyo haijatimia?

2016-04-01 9:43 GMT+03:00 fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com>:

WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) umesema miradi yake, haitaathirika na kusitishwa kwa misaada ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC), kwa kuwa Serikali ya Tanzania imejipanga kutoa fedha nyingi zaidi kuwezesha miradi hiyo.

Kumekuwapo hofu miongoni mwa wananchi kwamba miradi ya REA itakwama, mara baada ya taarifa za Bodi ya MCC kusitisha msaada wa kiasi cha Dola za Marekani milioni 472 (takribani Sh trilioni moja) kutokana na suala la uchaguzi wa marudio wa Zanzibar.

Uamuzi huo ulifanywa Machi 28 mwaka huu na Bodi ya shirika hilo, iliyoundwa na Bunge la Marekani kusaidia nchi zinazoendelea, ikiwamo Tanzania. Mkurugenzi Mkuu wa REA, Dk Lutengano Mwakahesya aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa miradi ya REA ipo salama na haiwezi kuathirika na hatua hiyo ya MCC.

Alisema usalama wa miradi hiyo, unatokana na ukweli kwamba, tangu REA ianze haijawahi kupokea fedha za msaada kutoka MCC na badala yake ni Serikali ya Tanzania na mashirika mengine, ndio imewasaidia katika kukamilisha miradi yao.

Dk Mwakahesya alisema kuwa awamu zote za fedha kutoka MCC zilizokuwa zinatolewa, hawakuwahi kuzipokea, isipokuwa wanasaidiwa na mashirika mengine. Aliyataja mashirika hayo kuwa ni Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA), Shirika la Maendeleo la Uingereza (DFID), Shirika la Maendeleo la Norway, Umoja wa Ulaya (EU) na Serikali ya Tanzania, ambao wamesaidia kukamilika kwa miradi ya awamu ya kwanza na ya pili kwa asilimia 90.

Alisema kutokana na hali hiyo, REA haiwezi kuathirika kwa namna yoyote ile kwa kuwa serikali imejipanga kutoa fedha nyingi zaidi kusaidia miradi hiyo kwa awamu inayofuata. "REA haijawahi kupata fedha za MCC bali ni jitihada za Serikali ya Tanzania na msaada kutoka mashirika ya Sweden na Uingereza.

Hata miaka iliyopita hatukuwahi kupokea fedha hizo na kwamba hatutaathirika,'' alisema Dk Mwakahesya. Alisema kuwa fedha hizo, hazikujumuishwa katika bajeti yao na ndio maana hawakuzipata na kwamba miradi yote inayoendeshwa na REA, inaendelea kufanya vizuri.

Alisema wanategemea mpaka Juni mwaka huu, mradi wa pili utakamilika na kuanza mradi wa tatu. "Mradi wa kwanza REA na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wa kusambaza umeme, umegharimia Shilingi bilioni 120 toka kwenye mfuko wa mradi. Tulikubaliana na Tanesco kushughulikia unununuzi,'' alisema Dk Mwakahesya.

Akizungumzia madeni wanayoidai serikali, Dk Mwakahesya alisema kuwa wanatambua kwamba serikali ina shughuli nyingi, ambazo wanazifanya na kwamba itakamilisha madai yao taratibu. Alisema kuanzia Novemba mwaka jana, serikali imeanza kulipa fedha hizo kama walivyokuwa wanatarajia.

Akizungumzia kushuka kwa gharama za huduma, Meneja wa REA, Elineema Mkumbo alisema Tanesco ilikuwa inachangia asilimia tano na kwamba kwa sasa inachangia asilimia tatu kutoka mauzo yote ya umeme.

Mkumbo alisema kuwa endapo gharama za huduma zitashuka, haitawahusu kwa kuwa wataendelea kupata asilimia tatu za mauzo ya umeme wao. Pia alisema kuwa mpaka sasa wamefikia wateja 75,000 kati ya wateja 250,000 ambao walitegemea kuwafikia.

"Tumeshatengeneza miundombinu 14,000 ya msongo wa kati, transfoma 5,000 katika mikoa yote,'' alisema Mkumbo. Aliongeza kuwa wanashirikiana na sekta binafsi katika kukamilisha miradi hiyo, ikiwemo Rift Valley ya Mufindi ambayo imesaidia kusambaza umeme katika vijiji 14, Lumama ambayo imesambaza umeme katika vijiji sita, Chicole Sisters inayozalisha megawati tano na kuingiza katika Gridi ya Taifa na Taasisi ya Mbinga ambazo zote zimesaidia kupunguza matumizi ya mafuta ya dizel.

Uchaguzi wa marudio, ulifanyika Machi 20 mwaka huu visiwani Zanzibar baada ya ule wa awali wa Oktoba 25 mwaka jana, matokeo yake kufutwa baada ya kubaini kuwapo kwa ukiukwaji mkubwa katika uchaguzi, ikiwamo aliyekuwa mgombea urais wa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, kujitangazia ushindi.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] REA: Kujitoa MCC hakuathiri miradi"

Re: [wanabidii] Kusitishwa Msaada wa Marekani Uwe Mwanzo wa Kusitishwa Mingine

Kama hivyo ndivyo vigezo:
1. Je, sisi tunaamini demokrasia ilifanyika uchaguzi wa ZNZ?
2. Kama waziri wa fedha anasema "walikuwa wameshajipanga" kwa nini wao kusitisha msaada kuwe gumzo kwetu?
3. Kama tunaweza kujitegemea kwa kila watakaositisha msaada wao shida iko wapi? Si na wao wana uhuru kutokana na matakwa ya wapiga kura wao wanataka kuona misaada hiyo inakwenda tu kwa wale wanaotekeleza demokrasia?

On Thu, Mar 31, 2016 at 9:28 PM, De kleinson kim <dekleinson@gmail.com> wrote:

Magobe,

1. Msaada umesitishwa kwa madai kwamba Demokrasia haikufanyika uchaguzi wa ZNZ. (Demokrasia ni moja ya vigezo vya kupata msaada huo)
2. Waziri wa fedha Dr Mpango ameshasema walijipanga na hilo mapema maana walijua litatokea.
3. Wanajua sisi ni wanyenyekevu kwao siku zote. Labda tuseme walitaka tuendelee kunyenyekea.
4. Mambo yepi yanapindishwa?

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] Kusitishwa Msaada wa Marekani Uwe Mwanzo wa Kusitishwa Mingine"