Saturday, 7 July 2012

Re: [wanabidii] RE: MUWAZA YAPONGEZA MSIMAMO WA JUMIKI KUHUSU KATIBA/2

Kwa sasa ni Dr Mohammed Salim, yeye anakuwa chair kwa muda.

From: Salim Himidi <bwanatosha@hotmail.com>
To: Wanabidii Jukwa la Uhariri <wanabidii@googlegroups.com>
Cc: Abdalah Hamis Mzalendo/Znz <hamisznz@gmail.com>; Taasisi za Uamsho na Dawa Uislamu Znz/Mkunazini <jumiki@hotmail.com>
Sent: Saturday, 7 July 2012, 4:42
Subject: [wanabidii] RE: MUWAZA YAPONGEZA MSIMAMO WA JUMIKI KUHUSU KATIBA/2

Pongezeni wa MUWAZA
Kwa mengi yanotuwaza
Kuongeza MUANGAZA
Na kustawisha Baraza!
---
Bwanatosha
+33-6-33071051.
P. S. Nimesikitika kwa kutokuona jina la Mwenyekiti wa MUWAZA,
baada ya kutoweka kwa mwenzetu, tunaemkumbuka kwa wema
na busara zake: Marehemu Dokta Yussouf S. Saleh.
Hivi nitaweza kulipata jina hilo, pamoja na anuwani-pepe yake?


Kwa Uongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu( JUMIKI)
S.L.P 1266
Mkunazini-Zanzibar
E-Mail: jumiki@hotmail.com
------

Assalama Aleikum,
Kuhusu:
Mkakati
Kwa niaba ya Wanachama wa Jumuiya ya Mustakbal wa Zanzibar (MUWAZA),
Muungano wa Wazanzibari Ng'ambo, tunaipongeza Jumuiya ya JUMIKI
kwa uamuzi wa kijasiri na kishujaa wa Viongozi wake, kushiriki pamoja na
Wazanzibari wenziwao wote, katika mchakato wa kutafuta katiba mpya ya
Tanzania na kukataa katakata suala zima la kususia zoezi hilo.

MUWAZA inakubaliana kwamba ususiaji wa namna yeyote wa zoezi hilo utatoa mwanya
unaotakiwa na Watu wasioitakia mema Zanzibar, na ambao wanaweza
kuutumia mwanya huo kujifanya wao ndio wasemaji pekee halali wa
Wazanzibari.

Ni kushiriki kwa wingi na kikamilifu katika kutoa maoni mbele ya
tume hiyo ya Jaji Warioba ndipo wananchi wa Zanzibar wataweza kudhihirisha
hadharani chaguo gani wanalitaka kuhusu mustakbali wa maisha yao ya
baadae ndani ya Zanzibar. Hii ni fursa nzuri na ya nadra ambapo Wazanzibari
wataweza kurejesha heshima ya nchi yao na ya Viongozi wao.
Hata hivyo, MUWAZA inawashauri Viongozi wa JUMIKI, kama inavowashauri
ndugu zetu Wazanzibari, kwamba fursa hii ya mchakato wa katiba
mpya itumike kwa amani na ustaarabu wa kizanzibari unaothaminiwa duniani
kote wa kustahamilia kila mmoja wetu maoni ya mwenzake, hata kama
hakubaliani nayo, kikubwa kabisa ni kuweka maslahi ya juu kabisa ya visiwa
vya Zanzibar na wengi wa watu wake.
MUWAZA, kama ilivyo JUMIKI, pamoja na Wazanzibari wote wanaopenda
amani na maendeleo ya visiwa vyao, kwa nguvu zote unapinga kabisa
matumizi ya nguvu na mabavu dhidi ya wananchi, bila ya kujali kama vitendo
hivyo vinafanywa na taasisi za dola, vyama vya kisiasa, jumuiya yeyote au
mtu mmoja mmoja binafsi. Tunasisitiza haja ya vyombo vya dola, Vyama
vya kisiasa, Jumuiya za kiraia na Wananchi kwa jumla kutetea na kuheshimu
amani ya nchi, uhuru wa watu wote kuweza kutoa maoni yao na kukusanyika
kwa njia huru, bila ya vizuwizi na vikwazo, mradi wanaambatana na sheria na
kulinda amani.
MUWAZA inaamini zoezi la kuwaelimisha Wananchi juu ya haki zao za
kikatiba na kuwazindua juu ya sheria ambazo hazitekelezwi vilivyo kama
ilivokusudiwa, hivyo kupelekea wananchi kukandamizwa na kupoteza haki
zao za kimsingi, ni harakati endelevu isiokuwa na kiwango cha wakati
na kipindi. Hivyo, tunakubali kwamba ni juu ya dola kuweka mazingira
mazuri kwa jambo hilo kufanyika. Ni imani ya MUWAZA kwamba wananchi
wanapozidi kuwa na mwamko zaidi wa kutambua haki zao na kuelewa
namna ya kuzipigania kwa njia ya amani, pamoja na kuelewa namna nchi yao
inavotawaliwa na inavofaa kutawaliwa siku za mbele ni faida kwa nchi yetu na
maendeleo yake.
MUWAZA inakubaliana nanyi kwamba kuna mambo kadha ya dhuluma ndani
ya Muungano, kama ulivo sasa, kwamba Muungano huo umekuwa zaidi
wa kiserikali. Hivyo iko haja ya kuuimarisha zaidi Muungano wa Kijamii na
kuondosha dhuluma zilizokuweko mnamo miaka 48 iliopita.
Kama ilivyo JUMIKI, MUWAZA imelikaribisha kwa tamko la Mheshimiwa
Jaji Warioba alilolitoa mbele ya Waandishi wa habari alipoizindua Tume ya
kukusanya maoni juu ya katiba mpya mjini Dar es Salaam tarehe 18/06/
2012 kwamba maoni yote yataheshimiwa na kuzingatiwa, likiwemo suala la
Muungano ambalo kwa Wazanzibari ndilo suala muhimu.
Pia MUWAZA inatarajia, kutokana na watu waliomo ndani ya Tume ya
Jaji Warioba, kwamba uadilifu, haki na uwazi utaoneshwa katika zoezi
la kukusanya maoni ya Wananchi, maoni ya wananchi walio wengi
yataheshimiwa na tume na baadae na Serikali ya Muungano wa Tanzania
na ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Tunaitarajia Tume ya Warioba na
Serikali zote mbili zitahakikisha watu wanatoa maoni yao bila ya kutishwa
waseme nini mbele ya Tume, kwamba hawataadhibiwa kwa namna yeyote
juu ya usalama na ajira zao baada ya kutoa maoni yao mbele ya tume.
Tunawahimiza Wazanzibari waseme wazi, tena kwa midomo mipana, pindi
wanatiwa hofu ya aina yeyote wakati wa zoezi hilo.
Kama ilivyo JUMIKA, MUWAZA inatoa mwito kwa Wazanzibari wote waungane
kwa kauli moja ya kurejesha heshima ya rais wa Zanzibar na nchi yao, na
kwamba chimbuko la mamlaka maisha libakie ndani ya mikono ya wananchi.
MUWAZA inapinga vikali vitendo vyovyote vya kuwabeza Wazanzibari
wanaopinga mfumo ulioibakisha nchi yao nyuma kwa miaka na kuwabakisha
wananchi wake wengi katika ufukara na maendeleo duni katika nyanja za
elimu, afya na huduma nyingine za kijamii.
Tunawatakia Wazanzibari kila la kheri, amani na maendeleo, na hayo
yatafikiwa tu ikiwa wenyewe Wazanzibari, katika mazingira yalio huru na ya
amani, watafanya maamuzi sahihi kwa pamoja katika kipindi hiki muhimu cha
historia ya nchi yao.
Iiishi Zanzibar.
Mwenyekiti
Jumuiya ya MUWAZA

--

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


Read More :- "Re: [wanabidii] RE: MUWAZA YAPONGEZA MSIMAMO WA JUMIKI KUHUSU KATIBA/2"

Re: [wanabidii] Re: 21% ya ajira za muungano kwenda visiwani

Bwana Richard sina uhakika sana na hili uliloliwazia kwa mazingira ya zanzibari na wazanzinzari we kwenda kule na ukajifanya mzanzibara si rahisi kihivyo. Ile jamii ni ndogo nakila mtu ni binamu wa fulani si kama bara kwa ufupi ni kugumu kidogo. Waulize dada zetu waliooolewa kule watakuambia

2012/7/7 richard bahati <ribahati@gmail.com>
Hivi kuna Mtanganyika aliyewahi kuomba kazi Zanzibar akanyimwa? Hivi kuna Mtanganyika ailiyewahi kujaribu kuchukua fomu ya Kugombea Urais kule Zanzibar akanyimwa? Wazanzibar wamechukua fomu na wameshika nafasi nyeti za uongozi huku Tanganyika. Sasa sisi tunaongea tuuuuuu! Tujaribu kuomba kazi, kuomba nafasi za uongozi..... Si nchi moja jamani? Kuna Mtanganyika ameenda kufungua shule au zahanati, au duka kule pemba akafukuzwa? Twende na sisi tutafute hivo fursa maana zipo! Tusilalamike tu wakati wenyewe ajira hatuna, ... wenzetu wamechangamkia nyanja zote kuanzia elimu, siasa, maduka .... kwa mpemba kwa mpemba kariakoo hadi tegeta hadi mbagala hadi bagamoyo hadi morogoro , ifakara, mahenge, dodoma, mwanza, shinyanga, kondoa, mtwara, muzoma,  kagera...... kote. Bungeni ........... Wizarani.....................
Tuzoee kusikia pia "nafanya kazi pale kiembe madafu......., nasoma sekondary ya .. pemba.... niko kwenye kikaao za la wawakilishi, niko wizara ya fedhzibar, narudi dar weekend kusalimia ndugu.  USILALAMIKE. Chukua fomu ya urais gombea. nafasi za kazi zikitangazwa tuma maombi na ninaamini utapata. USILALAMIKE TU. FURSA ZIPO SAWA KWA WOTE


2012/7/5 Pius Makomelelo <makomelelopius@yahoo.co.uk>
dawa nzuri ni kuuondoa uzanzibari kama tulivyoupoteza utanganyika!!

From: Godfrey Ngupula <ngupula@yahoo.co.uk>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Friday, 6 July 2012, 12:33
Subject: Re: [wanabidii] Re: 21% ya ajira za muungano kwenda visiwani

Hayo mengine yote uliyouliza yako hivyohivyo.Lakini,kwa kadri nilivyoisikia taarifa ile inaonekama kana kwamba serikali itahakikisha kuwa however mtu kumeet  vigezo vingine,lakini eneo la mtu anakotoka kwa maana ya mzanzibar au...litazingatiwa

From: Arbo <akihaule@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Friday, 6 July 2012, 11:22
Subject: [wanabidii] Re: 21% ya ajira za muungano kwenda visiwani

Sijaelewa sawa sawa , maana ya hii asilimia 21.   Je kwa sasa hivi , kuna kipengele chochote kinachowazuia Wazanzibar kushindania nafasi za ajira katika serikali ya Muungano?  Kama hakuna ,kuna sababu ya hili kuwekwa?  Je sera ya ajira inasemaje katika kupata kigezo cha kumuajili mtu katika utumishi wa Umma , uwezo wake au katoka sehemu ipi ya Jamhuri ya Muungano?

On Wednesday, July 4, 2012 8:41:48 PM UTC+1, Godfrey Ngupula wrote:

Nimesikia kwenye taarifa ya habari ya saa 2.00 usiku radio one kuwa 21% ya ajira zote za serikali ya muungano kupewa wanzanzibar.Nikajiuliza maswali kiasi huku nikitafakari.Kama 100% ya ajira zote za serikali ya visiwani ni ya wanzanzibari and ontop of that,wamehakikishiwe ajira nyingine za burebure huku bara.Mnaonaje.imekaa vizuri hiyo? Ngupula
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "Re: [wanabidii] Re: 21% ya ajira za muungano kwenda visiwani"

Re: [wanabidii] Ushauri wa mbowe juu ya msongamano wa magari

It makes sense ila nafikiri sasa labda turudi kwa jiji na utaratibu wa usamamizi wa jiji la dar es salaam mfano huu uuzaji magazeti na karanga pamoja na mafundi viatu usiokuwa na mipangilio hasa kati kati ya jiji ni uchafuaji wa jiji na unapunguza creativity kwa mtazamo wangu. Najua kuna watu watasema hawa jamaa wanapata kipato chao lakini zingetengewa sehemu maalum za kufanyia shuguli hizio hata jiji lingepata mapato na usafi ungeimarika

2012/7/7 Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com>
Mwesiga, njia za watembea kwa miguu zimezibwa na wauza magazeti na mafundi viatu hasa mitaa ya posta, hakuna magari yanayoegeshwa kwenye walkways, yanayoegeshwa na yono hawayavuti basi ni ya polisi au wanasiasa wabishi. Hata ukiegesha kwa bahati mbaya watu wa parking fees huwa wanatwambia na anakuelekeza mahali salama pa kuegesha, tatizo hizo parking ndo chache.
 
Yapo mambo yasiyohitaji fedha kwa mfano, tukianzisha "walk to work for health program", watu wanaweza tembea au kutumia baiskeli hasa wakazi wa upanga na Oysterbay hivyo wataacha magari nyumbani.

 
2012/7/7 Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>
Kama unapinga kuachwa njia za watembea kwa miguu kwa kigezo cha huwezi tembea toka mwenge hadi posta mchango wako umekosa ka umakini kidogo kidogoo labda ufafanue zaidi mkuu

2012/7/7 Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com>
Nimesoma katika magazeti kuwa Mbowe katoa mapendekezo kadhaa juu ya kupunguza msongamano wa magari dar, baadhi ya point nilizoona ni;
1. Kuwekwa ada za magari kuingia mjini
 
2. Ziachwe njia za watembea kwa miguu
 
3. Yajengwe madaraja ya watembea kwa miguu.
 
Labda namie niseme;
1. Kuwekwa ada za magari kuingia mjini
Tayari ada zipo kwa jina la "parking fee" lakini haijasaidia, kuiongeza ni kumuumiza binti anaetumia usafiri wake kwenda kazini achilia ka mkopo ka benki anakokalipa kwa shida. Kwa maana nyingine anasema watu wanaendesha magari kwenda mjini kwa ufahari, la hasha adha za daladala ndo zinasukuma, wengine ni wafanyabiashara hubeba mauzo. labda angeshauri makampuni kama NSSF na PPF waache kujenga business complex katikati ya mji. maeneo ya mlimani city na mawasiliano house hayapo azikiwe mbona yanafanya biashara vizuri tu.
 
2. Ziachwe njia za watembea kwa miguu
Sidhani kama unaweza egesha gari yono watalifunga mnyororo na kuliburuza. hata hivyo hakuna mtu anaweza tembea kwa miguu kutoka mwenge hadi posta kama tukiondoa haya magari anayozungumzia bwana mkubwa. Ningeshauri sumatra waweke madaraja ya usafiri yenye nauli tofauti mfano economy coaches (nauli 300/=) business coaches (nauli 1000/=) executive coaches (nauli 5000/=) mkazi wa makongo juu anaweza kuegesha gari mlimani city then anapanda bus hadi posta.
 
3. Kujenga madaraja ya watembea kwa miguu
Bado viwete na wasukuma toroli hawataweza kuvuka barabara kwa kutumia hayo madaraja kama ya manzese, labda wakati waupanuzi wa barabara tufikirie kujenga subways ambazo hata viwete na wasukuma toroli na guta watatumia kuvuka barabara. Tuangalie uwezekano wa Tanroad kushirikiana na sekta binafsi kujenga parking yards, mfano mtu anaweza egesha gari mbezi mwisho akapanda basi hadi kariakoo au posta, jioni akalipitia kwenda nyumbani.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Read More :- "Re: [wanabidii] Ushauri wa mbowe juu ya msongamano wa magari"

[wanabidii] Inakuja Ramadhaan, Viumbe Tuwe Tayari Mashairi

:Abdallah Bin Eifan(Jeddah, Saudi Arabia)
Bismillahi naanza, salaamu zipokeeni,
Mungu Atatuongoza, Atutoe mashakani,
Azidi Kutuongoza, Atunawiri machoni,
Inakuja Ramadhani, viumbe tuwe tayari.

Viumbe tuwe tayari, inakuja Ramadhani,
Tukae tukifikiri, ikija tufanye nini?
Tufanye mengi ya kheri, na tusome Qur-ani,
Inakuja Ramadhani, viumbe tuwe tayari.

Tusipoteze wakati, kuzurura mitaani,
Au kusoma gazeti, asubuhi na jioni,
Au nyumbani kuketi, kuona televisheni,
Inakuja Ramadhani, viumbe tuwe tayari.

Tusibaki kukoroma, kujibwaga vitandani,
Au kwenda kwenye ngoma, mchezo wa mashetani,
Au kwenye masenema, kwenye picha za kigeni,
Inakuja Ramadhani, viumbe tuwe tayari.

Mwezi huo mtukufu, tayari upo njiani,
Kula chakula khafifu, acha nafasi tumboni,
Hapana ubadhirifu, Anaupinga Manani,
Inakuja Ramadhani, viumbe tuwe tayari.

Omba dua omba sana, mwezi huu wa imani,
Fursa kupata tena, hiyo haijulikani,
Leo upo twakuona, kesho upo kaburini,
Inakuja Ramadhani, viumbe tuwe tayari.

Kwenda kucheza karata, ni madhambi ikhwani,
Faida hautopata, ni upuuzi kwa yakini,
Mwisho wake ni matata, na ugomvi barazani,
Inakuja Ramadhani, viumbe tuwe tayari.

Kwenda kufuata mpira, mpaka kule uwanjani,
Jambo hili linakera, zindukeni Waumini,
Wakati unatupora, majuto huja mwishoni,
Inakuja Ramadhani, viumbe tuwe tayari.

Tusigombane na watu, kwa matusi hadharani,
Tazama Mtume wetu, ifikapo Ramadhani,
Huwa mpole wa watu, na mwingi wa ihsani,
Inakuja Ramadhani, viumbe tuwe tayari.

Mwezi mmoja sio mwingi, ndugu zangu kumbukeni,
Mema tufanye kwa wingi, iwe akiba mbeleni,
Tarawihi ni msingi, wa mwezi wa Ramadhani,
Inakuja Ramadhani, viumbe tuwe tayari.

Mungu Atupe subira, asitushinde shetani,
Mungu Atupe sitara, akhera na duniani,
Tunaomba maghfira, na ridha Za Rahmani,
Inakuja Ramadhani, viumbe tuwe tayari.

Worship the Creator, not His creations.
 
.
Read More :- "[wanabidii] Inakuja Ramadhaan, Viumbe Tuwe Tayari Mashairi"

[wanabidii] THE AGA KHAN HOSPITAL (DSM) - ENTER AT YOUR OWN RISK!!!!!!

  "Saeeda KM
THE AGA KHAN HOSPITAL (DSM) - ENTER AT YOUR OWN RISK!!!!!! 




Posted by: "Emma Ringo" emmaringo79
 
It is alleged that the AK Hospital reaps huge profits in providing medical services to the Tanzanian Government Public Servants and their families under a National Health Insurance Fund Scheme. The Public Servants are members of the Fund which has accumulated substantial amounts of money. The Hospital has allegedly increased its fees considerably for all and invoices the Fund accordingly and enriches itself.
 
Patients from the Ismaili community is said to have services at reduced fees. Other private patients have opted to patronise other private hospitals.
 
It is further alleged that patients have to bribe some nurses in the form of generous tips to get them to pay a better attention.
 
It is time now that the authorities investigated the allegation of unnecessary resort to maternity delivery through costly caesarian procedures..
 
Kindly (Asap) have a concious, fruitful environmental freindly day.

Patrick Kamotho.
Fahamu Pan -African Fellow[FPAF]
Interim Co-ordinator East Africa Alliance of  Inhabitants.
"When injustice becomes law, resistance become duty".Ernesto Che Guavara.
 

This is a network of Human / Environmental Campaigners Rights Activists (HECRAs) based in  East Africa.
Read More :- "[wanabidii] THE AGA KHAN HOSPITAL (DSM) - ENTER AT YOUR OWN RISK!!!!!!"

Friday, 18 February 2011

RE: [wanabidii] [GazaArk] for Gaza's kids: Join the mini-Ark Twitter campaign

Mambo

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "RE: [wanabidii] [GazaArk] for Gaza's kids: Join the mini-Ark Twitter campaign"

Tuesday, 18 July 2006

[wanabidii] RE: [TPN] Miaka hii ya maumivu

Tatizo bado tunasema  na kuimba tuchague kiongozi Bora……..ukweli tunatakiwa tuanze na kuchague serikali BORA… hayaa kazi kwenu.

 

From: wanataaluma@googlegroups.com [mailto:wanataaluma@googlegroups.com] On Behalf Of Bubelwa E. Kaiza
Sent: Thursday, May 28, 2015 12:35 AM
To: wanataaluma@googlegroups.com
Cc: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [TPN] Miaka hii ya maumivu

 

Ndugu Watanzania,

Mmeona hiyo barua iliyoamtanishwa katika barua-pepe hii? Tafadhali someni. Tafuna na kuchambua ujumbe uliomo. Kama ni mimba, mama hajifungui; mtoto hazaliwi salama. Hakuna mtoto, hakuna mama. The country is done, Serikali is gone. Waswahili wanasema kwishnei.

Ngago.

Kaiza

 

 

 

--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanataaluma wa Tanzania" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanataaluma+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Read More :- "[wanabidii] RE: [TPN] Miaka hii ya maumivu"