Sunday, 17 April 2016

[wanabidii] Mawaziri wafungua machinjio ya Vingunguti

Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea CODES hapa chini


<img class=" wp-image-13104 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/f8dfac6d-dae1-44c2-8ffa-fc6be60449e0-1.jpg" alt="f8dfac6d-dae1-44c2-8ffa-fc6be60449e0" width="631" height="364" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi wa manispaa ya Ilala Isaya Mgulumi (mwenye miwani) akiwaeleza mawaziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (katikati) na Waziri wa Kilimo na Mifugo, Mwigulu Nchemba (kushoto) akiwaelezea hali ya ukarabati wa machinjio hayo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mh. Mwigulu Nchemba kwa pamoja na Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu wametembelea machinjio ya Vingunguti na kuona jinsi hali ilivyo katika eneo hilo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Pamoja na kutembelea eneo hilo ambalo lilikuwa limefungiwa kuchinja nyama, mawaziri hao wameruhusu kwa siku tatu kuchinja huku wakitoa maagizo kwa Halmshauri ya Manispaa ya Ilala kuhakikisha wanapafanyia marekebisho.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-13090 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/aa171e5b-ad5c-410d-be1b-a7c004dbf0f7.jpg" alt="aa171e5b-ad5c-410d-be1b-a7c004dbf0f7" width="1400" height="933" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkaguzi toka TFDA Dkt. Mwanga Itikija (mwenye shati la pink) akiwaonesha mawaziri hao eneo ambalo lilikua likiuzia nyama kwa reja reja kinyume na kanuni ya afya.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-13089 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/739650f0-4eb7-481c-84b2-d8ac352faaa4.jpg" alt="739650f0-4eb7-481c-84b2-d8ac352faaa4" width="1400" height="933" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya wafanyabiashara wa machinjio hayo wakifuatilia ziara hiyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-13086 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/5b8c1806-59ea-4587-b885-955346eb9298.jpg" alt="5b8c1806-59ea-4587-b885-955346eb9298" width="1400" height="933" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mbunge wa jimbo la Segerea, Bona Kalua, akiongea na wanachama wa Umoja wa Wafanyabiashara wa Ng'ombe na mazao yake (UWAMI) kwenye mkutano wa pamoja na mawaziri hao.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-13094 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/e8a001c5-d042-4f34-acc9-dfae21d50c7f.jpg" alt="e8a001c5-d042-4f34-acc9-dfae21d50c7f" width="1400" height="933" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waziri Ummy Mwalimu akiongea na Wanachama wa umoja huo, ambapo aliwasisitiza kufanya biashara kwa kuzingatia kanuni za afya na kumlinda mlaji hivyo kuwa makini na utunzaji wa mazingira pamoja na mazao wanayoyauza machinjioni hapo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-13087 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/216ecacf-c7ac-4930-8af2-2bf5770afc8a.jpg" alt="216ecacf-c7ac-4930-8af2-2bf5770afc8a" width="1400" height="1134" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waziri Mwigulu Nchemba akiongea na Umoja huo na kuwapatia siku tatu ili waendelee na uchinjaji wa ng'ombe walizonazo na baada ya hapo wataendelea na ukarabati wakati huo machinjio ya mazizini yatakua yamekamilisha ukarabati na kufunguliwa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-13091 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/b747d339-237d-4c7f-997c-bf5c30323ea8.jpg" alt="b747d339-237d-4c7f-997c-bf5c30323ea8" width="1400" height="933" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Naibu Meya wa Manispaa ya Ilaya ambaye ndio Diwani wa kata ya Vingunguti, Omary Kumbilamoto akiongea kwenye mkutano huo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-13092 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/dd1803c0-1811-4f98-bf71-78c255242dd4.jpg" alt="dd1803c0-1811-4f98-bf71-78c255242dd4" width="1400" height="933" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong><em>Mawaziri wakisoma vielelezo vilivyowasilishwa na diwani wa kata hiyo.</em></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-13088 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/806aba0d-2e1e-4a49-933d-6e032ef06ee7.jpg" alt="806aba0d-2e1e-4a49-933d-6e032ef06ee7" width="1400" height="933" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wanachama wa Umoja wa wafanyabiashara hao waliwasikikiliza mawaziri hao (Picha na Wizara ya Afya)</strong></em></span></p>




KAWAIDA

f8dfac6d-dae1-44c2-8ffa-fc6be60449e0

Mkurugenzi wa manispaa ya Ilala Isaya Mgulumi (mwenye miwani) akiwaeleza mawaziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (katikati) na Waziri wa Kilimo na Mifugo, Mwigulu Nchemba (kushoto) akiwaelezea hali ya ukarabati wa machinjio hayo.

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mh. Mwigulu Nchemba kwa pamoja na Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu wametembelea machinjio ya Vingunguti na kuona jinsi hali ilivyo katika eneo hilo.

Pamoja na kutembelea eneo hilo ambalo lilikuwa limefungiwa kuchinja nyama, mawaziri hao wameruhusu kwa siku tatu kuchinja huku wakitoa maagizo kwa Halmshauri ya Manispaa ya Ilala kuhakikisha wanapafanyia marekebisho.

aa171e5b-ad5c-410d-be1b-a7c004dbf0f7

Mkaguzi toka TFDA Dkt. Mwanga Itikija (mwenye shati la pink) akiwaonesha mawaziri hao eneo ambalo lilikua likiuzia nyama kwa reja reja kinyume na kanuni ya afya.

739650f0-4eb7-481c-84b2-d8ac352faaa4

Baadhi ya wafanyabiashara wa machinjio hayo wakifuatilia ziara hiyo.

5b8c1806-59ea-4587-b885-955346eb9298

Mbunge wa jimbo la Segerea, Bona Kalua, akiongea na wanachama wa Umoja wa Wafanyabiashara wa Ng'ombe na mazao yake (UWAMI) kwenye mkutano wa pamoja na mawaziri hao.

e8a001c5-d042-4f34-acc9-dfae21d50c7f

Waziri Ummy Mwalimu akiongea na Wanachama wa umoja huo, ambapo aliwasisitiza kufanya biashara kwa kuzingatia kanuni za afya na kumlinda mlaji hivyo kuwa makini na utunzaji wa mazingira pamoja na mazao wanayoyauza machinjioni hapo.

216ecacf-c7ac-4930-8af2-2bf5770afc8a

Waziri Mwigulu Nchemba akiongea na Umoja huo na kuwapatia siku tatu ili waendelee na uchinjaji wa ng'ombe walizonazo na baada ya hapo wataendelea na ukarabati wakati huo machinjio ya mazizini yatakua yamekamilisha ukarabati na kufunguliwa.

b747d339-237d-4c7f-997c-bf5c30323ea8

Naibu Meya wa Manispaa ya Ilaya ambaye ndio Diwani wa kata ya Vingunguti, Omary Kumbilamoto akiongea kwenye mkutano huo.

dd1803c0-1811-4f98-bf71-78c255242dd4

Mawaziri wakisoma vielelezo vilivyowasilishwa na diwani wa kata hiyo.

806aba0d-2e1e-4a49-933d-6e032ef06ee7

Wanachama wa Umoja wa wafanyabiashara hao waliwasikikiliza mawaziri hao (Picha na Wizara ya Afya)


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment