Wednesday, 28 October 2015

RE: [wanabidii] Re: [Wanazuoni] Re: [TPN] UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR KURUDIWA

Kama nimemuelewa Mwenyekiti wa NEC sawa sawa hakuna tatizo la upigaji kura za Raisi na Wabunge wa Jamhuri ambao ni pamoja na wabunge kutoka Zanzibar na Pemba.  Ina maana uchaguzi kwa maono ya NEC umekuwa kwa upande wa Rais wa muungano na wabunge haukuwa na kasoro.  Kama kweli mmojawapo wa kasoro za kusitisha uchaguzi uliosimamiwa na ZEC ni kuwa kulikuwa na watu waliopiga kura wengi zaidi ya waliojiandikisha kwa upande wa Pemba inanipa tatizo kulielewa.

Labda tutapata taarifa za nyongeza baadae kuhusu utata huu

Herment A. Mrema


Date: Wed, 28 Oct 2015 16:49:21 +0300
Subject: Re: [wanabidii] Re: [Wanazuoni] Re: [TPN] UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR KURUDIWA
From: tmagobe@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com

Mwenyekiti wa NEC amesema kufutwa huko hakutaathiri matokeo ya kura za urais Tanzania Bara. Nimechanganyikiwa!

On Wed, Oct 28, 2015 at 4:42 PM, fatma_elia via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Kama nimewaelewa vizuri uchaguzi wote uliofanyika Zanzibar umefutwa

Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Elias Mhegera <mhegera@gmail.com>
Date: Wed, 28 Oct 2015 15:57:35 +0300
Subject: [wanabidii] Re: [Wanazuoni] Re: [TPN] UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR KURUDIWA

Implicitly ni kwamba uchaguzi wote wa urais unarudiwa ikiwemo ule wa rais wa Jamhuri ya Tanzania kwa sababu kama umevurugwa kwa rais wa Zanzibar tutaaminije kwa ule wa Rais wa Muugano?

Elias Mhegera
Pan African Human Rights Defender
Director of Research and Investigations
Tanzania Journalists for Human Rights (Journorights)
Journalist & Counselor 
255-(0) 754-826272
255-(0) 715-076272

On Wed, Oct 28, 2015 at 3:49 PM, Camillus Kassala cdnkassala2002@yahoo.co.uk [Wanazuoni] <Wanazuoni@yahoogroups.com> wrote:
 

The more interesting question is: Suppose Lowasa's votes from Zanzibari electorate more than compensate the deficit he has from Mainland electorate compared to Magufuli's votes, what will beoth NEC and ZEC do?

CDNKassala



On Wednesday, 28 October 2015, 15:21, Emmanuel Mmari <emmammari@gmail.com> wrote:


Tusubiri wataalum watutafsirie sheria ya uchaguzi kama itakua na effects gani na matokeo ya Tanzania Bara, Je nayo itabidi yasitishwe ama kusubiri mpaka ya zanzibar yatoke ndio aapishwe au gap litakalokuwepo kati ya mshindi wa kiti cha uraisi na anaemfuata litakua less than idadi ya watu waliojiandikisha Zanzibar? Najaribu kufikiria kwa mapana yake lakini kimsingi nasubiria wanaotafsiri sheria.

On Wed, Oct 28, 2015 at 2:01 PM, Mowo, Jeremias (ICRAF) <j.mowo@cgiar.org> wrote:
And why should ZEC members be paid for shoddy work. 

Sent from my iPhone

On 28 Oct 2015, at 13:51, "Yona Maro" <oldmoshi@gmail.com> wrote:

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA ZANZIBAR YAMEFUTWA KWAHIYO UCHAGUZI UTARUDIWA 

--

Yona Fares Maro

Institut d'études de sécurité - SA


--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanataaluma wa Tanzania" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanataaluma+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanataaluma wa Tanzania" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanataaluma+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanataaluma wa Tanzania" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanataaluma+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



__._,_.___

Posted by: Camillus Kassala <cdnkassala2002@yahoo.co.uk>
Reply via web post Reply to sender Reply to group Start a New Topic Messages in this topic (1)

.

__,_._,___


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

No comments:

Post a Comment