Wednesday, 8 March 2017

Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.

Unatwambia habari za marekani nchi tajii ina polisi wenye vyombo vya akiba nakadhalika. Wewe uko marekani itafute historia ya nchi hiyo. Katiba yao iliandikwa na majenerali saba na wakasema jimbo litakalopinga vita. Sisi hatujafika hapo. Unafanya lkosa kufikiri (acha kuandika) kuwa demokrasia yetu iwe kama ilivyo ya marekani. Tungetaka kuanzia walipoanzia je?
--------------------------------------------
On Wed, 3/8/17, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, March 8, 2017, 11:34 PM

Polisi
hawana haki ya kuzuia maandamano in a true democratic
country. Kuna maandamano yanaweza kufanyika spontaneously,
hiyo ni haki ya raia.Baadfa ya ushindi wa Trump
Wamarekani katika sehemu mbalimbali za nchi walimiminika
mitaani kuandamana. Hawakuhitaji kibali cha
polisi.Simba walipowafunga Yanga juzi mashabiki
wa Simba wangeandamana isingekuwa nongwa. Polisi
hawakuhitaji kuombwa ruhusa.em
2017-03-08 15:13 GMT-05:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Walikuwa
na haki ya kuyazuia kwa sababu kabla hawajaandamana
walihiyaji kutoa taarifa ya kuandamana ili walindwe. Kama
mazingira hayaruhuzu basi hawapati kibali na hivyo
hawaandamani. Sasa hawa hawakupitia utaratibu huo.

------------------------------ --------------

On Wed, 3/8/17, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI,
UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Wednesday, March 8, 2017, 10:56 PM



 Elisa,Hapo ndipo  tunapopishana. Polisi hana

 mamlaka yoyote ya kuzuia
maandamano ya raia, hata wanafunzi.

 Walichofanya wanafunzi wa Simiyu ni haki yao kabisa
polisi

 hawakuwa na mamlaka ya kuingilia katina
kuwazuia.

 Kazi yao ilikuwa ni
kuhakikisha kwamba maandamano

 yanafanyika kwa amani si kuyasimamisha na kuyazuia. Ni

 uvunjaji wa haki za

  binadamu/raia.em

 2017-03-08 14:27 GMT-05:00

 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 Wakati

 rais akiwaapisha watendaji wake siku moja hivi
karibuni,

 aligusia mwenendo wa raia kutoheshimu vyombo vya dola.

 Mifano aliyotoa ni watu kuitwa Polisi wakaongozana na
kwaya

 na wengine kuosha magari. Nakubaliana na rais wetu kuwa

 vyombo hivi vinahitaji kuheshimiwa. Ukaribu wa watu
Fulani

 na viongozi wetu wa juu kwa sababu mbalimbali
ulitufikisha

 hapo. Mtu mwenye hela alijua hata akivunja sheria
hawezi

 kukamatwa. Sasa Tanzania hakuna mwenye uhakika huo tena.
Ni

 vibaya sana kwa raia mmoja kujihakikishia hilo kwamba
hata

 akimuonea raia mwenzake hakuna taasisi ya
kumshughulikia.

 Hii ndiyo huleta watu kuchukua sheria mkononi mwao.







 Njia nyingine na muhimu ya lazima kwa vyombo hivi

 kuheshimiwa, ni vyombo vyenyewe kujiheshimu na
kuheshimu

 nafasi zao.



 Matukio mawili hivi karibuni yaliyotendwa na askari
polisi

 wetu ni mfano mmojawapo wa jeshi hili kutojiheshimu na
kwa

 kweli lisitegemee kuheshimiwa hata rais angeagiza.



 Mkoani Pwani Polisi wamevamia kijiji cha wafugaji na
kuanza

 kuswaga ng'ombe na kuwapeleka Polisi. Wafugaji bila

 kubisha wakakubali ng'ombe wapelekwe. Lakini wakataka

 ng'ombe hao wahesabiwe ili ijulikane ni ng'ombe
wangapi

 wanachukuliwa. Polisi hawataki. Wanaamua kurusha risasi
na

 kuua. Anakuja Mkuu wa Wilaya na kukana kuwa askari hao

 walikuwa hawakutumwa katika eneo husika maana sio eneo
lenye

 mgogoro. Ni eneo la wafugaji. Wananchi wanadai hatua

 zichukuliwe kwa askari hao. Hakuna hatua
zinazochukuliwa

 Mkoa mzima, mpaka waziri wa mambo ya ndani alipofika
ndipo

 akaagiza askari hao wakamatwe.



 Hebu tuone viashiria hivi; na kama ndio mfumo tuone
kama

 raia wa Tanzania wako salama kweli:



 1.      Askari anakwenda eneo lisilo na mgogoro na
bila

 kuagizwa na wakubwa wake wa kazi, anakamata mali za
raia.



 2.      Raia wanakubali lakini wanataka kuhakiki
mali

 inayokamatwa. Askari wanakataa. Wanaamua kuua raia hao.



 3.      Mkuu wa Wilaya anadhibitisha Polisi hao
wamefanya

 kitendo cha kihalifu; (kwa sababu hawakutumwa huko
kukamata

 mali za raia hao).



 4.      Mkoa mzima ambao una Mkuu wa wilaya, OCD, RPC
na

 Mkuu wa Mkoa hakuna anayeona na kutumia madaraka yake

 kuwakamata askari hao. Maana yake wako huru na wanaweza

 kufanya hivyo hata kijiji kingine.



 5.      Amri ya kuwakamata Polisi hao inakuja kutolewa
na

 waziri.



 Hivi katika mazingira haya raia wajione wako salama???

 Tanzania ina mokoa karibu 30. Mikoa kumi ikipata tatizo

 linalohitaji askari akamatwe mpaka waziri aisungukie
yote?

 Nataka Mwigulu ajijibu (asitangaze jibu). Sisi tunataka

 kupata jibu kwa jambo atakalolitenda.



 Mwigulu kuagiza askari walioua wakamatwe,
amemdhalilisha

 RPC. Kumsheshimu RPC wake alipashwa kumtimua kazi.
Nitatoa

 mfano. Kuna tajiri mmoja alijenga kituo cha mafuta

 barabarani Mwanza. Waziri Magufuli (alikuwa hajawa
rais),

 akamwagiza Mkuu wa mkoa kukibomoa kituo hicho. Mkuu wa
mkoa

 akakataa. Magufuli (Inasemekana) alimpigia simu na
kumwambia

 Mkuu wa Mkoa asikilize taarifa ya habari ya saa kumi

 atatajwa mkuu wa Mkoa mpya atakayefanya kazi hiyo. Simu

 ilipokatwa Mkuu wa Mkoa (inasemekana) alikwenda
kusimamia

 kituo kuvunjwa na kwa masaa kilikuwa hakipo tena.
Tunataka

 tuone kinachotokea ambacho inasemekana Mwigulu alifanya
(kwa

 RPC) wake; kama Magufuli alivyofanya kwa mkuu wa Mkoa
wa

 Mwanza wakati huo.







 Kituko cha pili ni cha wanafunzi wa Simiyu. Wanafunzi

 wanasema shule yao ilikuwa inashindwa. Ameletwa mwalimu
kwa

 juhudi zake sasa matokeo ya mitihani yanaonyesha
mabadiliko.

 Mwalimu huyo anahamishwa. Wanafunzi wakaamua
kuandamana.

 Wamebeba makaratasi. Polisi wakaja kuwazuia wasiandamane.
Ni

 haki kabisa kuwazuia. Ilitarajiwa Polisi waweke ukanda
na

 kuwatangazia wasimame hapohapo na kuwahoji wanataka
nini.

 Sasa wanakuja na zana kana kwamba watu wanauana na namna
ya

 kuwatawanya ni kuwavurunda.



 Zimetoka picha mtandaoni zikionyesha Polisi

 "wanamdhibiti" mwanafunzi. Huyu anavuta huku, huyu

 anavuta huko, huyu anapiga ngwara. Mtu unajiuliza
Polisi

 walikuwa wanafanya nini hasa? Nani alikuwa anawaongoza

 wenzake kufanya hivyo? Huyu mwanafunzi angeambiwa
"panda

 gari hilo" angepanda. Angebisha Polisi wawili
walitosha

 kumshika na kumlaza chini na kumuweka Pingu.
Ukiiangalia

 picha hiyo hukosi kujiuliza kiwango cha elimu
kinachotolewa

 kwa Polisi wetu huko chuoni! Kuna mtu aliwahi kusema
huwa

 wanafundishwa ukakamavu na gwaride tu. Ukilinganisha
picha

 hizo na usemi huo huwezi kumkatalia aliyesema
wanajifunza

 gwaride na ukakamavu tu. Hakuna busara ya
kuwashugulikia

 wahalifu inatolewa. Hakuna aina ya maandamano na namna
ya

 kuyadhibiti. Hakuna elimu ya mahusiano na raia wema ili
kazi

 yao iwe nyepesi. Kuna mtu anauza viroba jirani yangu.
Mpaka

 sasa najiuliza nimwambie nani? Vituko hivi ndani ya
makala

 yangu sithubutu kumwambia Polisi. Nakubaliana na
mengine

 yanayosemwa juu yao. Mambo haya hayawezi kuacha
kutonesha

 vidonda myoyoni mwetu juu ya matendo ya Polisi. Mauaji
ya

 Mwangosi; Kuburuzwa ndani Lipumba wakati amewambia
Polisi

 kuwa anakwenda kuwatawanya watu waliokuwa hawajui kuwa

 mkutano umekataliwa; na mengine mengi tu.



 Ninakumbuka kusikia radio ujerumani wakielezea elimu ya

 Polisi wao. Wanasema Polisi akikutana na mtu amelala

 barabarani cha kwanza wanadhani ana kisukari, au kifafa
au

 magonjwa mengine, kabla ya kufikiri ni mlevi. Polisi
wana

 vifaa vya kupima kuhakikisha ana shida gani. Wa kwetu

 watapiga mateke na kusema ni mlevi. Mwigulu. Kati ya
mambo

 ya kutopuuza ni elimu inayotolewa kwa asiakri wetu.
Madaraka

 na wajibu wa Polisi wetu. Lakini niseme; Nitashangaa
kama

 RPC wa Pwani ataendelea na kazi.



 Elisa Muhingo



 0767 187 507



 elisamuhingo@yahoo.com







   



            --



        



           



        



      



            Send Emails to wana...@googlegroups.com



        



           



        



      



             



        



           



        



        



          Kujiondoa Tuma Email kwenda



        



           



        



        



          wanabidii+...@ googlegroups.com 



        



      



           Utapata Email ya



        



      



            kudhibitisha ukishatuma



        



           



        



      



             



        



           



        



        



          Disclaimer:



        



           



      



        



            Everyone



       posting to this Forum bears



         the sole



        



           responsibility



        



            for any legal



       consequences of his or



         her postings,



        



          and



        



      



           hence



        



            statements and facts must be



       presented



         responsibly.



        



      



          Your



        



            continued membership signifies that



         you agree to



        



          this



        



            disclaimer and pledge to abide by



       our



         Rules and



        



           Guidelines.



        



           



        



        



          ---



        



           



        



            You received this



       message because you



         are subscribed



        



          to



        



      



           the



        



            Google Groups "Wanabidii"



         group.



        



           



        



        



          To unsubscribe from this group and



        



       stop receiving



        



        



        emails



        



            from



       it, send an email to wanabidii+...@



        



       googlegroups.com.



        



        



         



        



            For more



       options, visit



        



           https://groups.google.com/d/



         optout.



        



           



        



        



      



        



        



        



      



         --



        



         Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



        



          



        



      



         Kujiondoa Tuma Email kwenda



        



         wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 



        Utapata Email ya



        



       kudhibitisha ukishatuma



        



          



        



        



       Disclaimer:



        



         Everyone



       posting to this Forum bears the sole



      



       responsibility



         for any legal consequences



       of his or her postings, and



        hence



         statements and facts must be presented



       responsibly. Your



         continued membership



       signifies that you agree to this



        



       disclaimer and pledge to abide by our Rules
and



         Guidelines.



        



         ---



        



        



       You received this message because you are



   subscribed



     to



        the



         Google Groups



       "Wanabidii" group.



        



         To unsubscribe from this group and stop



       receiving emails



         from it, send an email



       to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



        



         For more options,



       visit



      



       https://groups.google.com/d/

 optout.



        



      



         



      



    



     --



     Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



    



     Kujiondoa Tuma Email kwenda



     wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 



     Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



    



     Disclaimer:



     Everyone posting to this Forum bears the sole



    responsibility



     for any legal consequences of his or her
postings,



   and



    hence



     statements and facts must be presented
responsibly.



   Your



     continued membership signifies that you agree to



   this



     disclaimer and pledge to abide by our Rules and



    Guidelines.



     ---



     You received this message because you are

 subscribed



   to



    the



     Google Groups "Wanabidii" group.



     To unsubscribe from this group and stop receiving



   emails



     from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



     For more options, visit



     https://groups.google.com/d/

 optout.







 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma







 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment