Wednesday, 8 March 2017

Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.

Polisi hawana haki ya kuzuia maandamano in a true democratic country. Kuna maandamano yanaweza kufanyika spontaneously, hiyo ni haki ya raia.
Baadfa ya ushindi wa Trump Wamarekani katika sehemu mbalimbali za nchi walimiminika mitaani kuandamana. Hawakuhitaji kibali cha polisi.
Simba walipowafunga Yanga juzi mashabiki wa Simba wangeandamana isingekuwa nongwa. Polisi hawakuhitaji kuombwa ruhusa.
em

2017-03-08 15:13 GMT-05:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Walikuwa na haki ya kuyazuia kwa sababu kabla hawajaandamana walihiyaji kutoa taarifa ya kuandamana ili walindwe. Kama mazingira hayaruhuzu basi hawapati kibali na hivyo hawaandamani. Sasa hawa hawakupitia utaratibu huo.
--------------------------------------------
On Wed, 3/8/17, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Wednesday, March 8, 2017, 10:56 PM

 Elisa,Hapo ndipo tunapopishana. Polisi hana
 mamlaka yoyote ya kuzuia maandamano ya raia, hata wanafunzi.
 Walichofanya wanafunzi wa Simiyu ni haki yao kabisa polisi
 hawakuwa na mamlaka ya kuingilia katina kuwazuia.
 Kazi yao ilikuwa ni kuhakikisha kwamba maandamano
 yanafanyika kwa amani si kuyasimamisha na kuyazuia. Ni
 uvunjaji wa haki za
  binadamu/raia.em
 2017-03-08 14:27 GMT-05:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Wakati
 rais akiwaapisha watendaji wake siku moja hivi karibuni,
 aligusia mwenendo wa raia kutoheshimu vyombo vya dola.
 Mifano aliyotoa ni watu kuitwa Polisi wakaongozana na kwaya
 na wengine kuosha magari. Nakubaliana na rais wetu kuwa
 vyombo hivi vinahitaji kuheshimiwa. Ukaribu wa watu Fulani
 na viongozi wetu wa juu kwa sababu mbalimbali ulitufikisha
 hapo. Mtu mwenye hela alijua hata akivunja sheria hawezi
 kukamatwa. Sasa Tanzania hakuna mwenye uhakika huo tena. Ni
 vibaya sana kwa raia mmoja kujihakikishia hilo kwamba hata
 akimuonea raia mwenzake hakuna taasisi ya kumshughulikia.
 Hii ndiyo huleta watu kuchukua sheria mkononi mwao.



 Njia nyingine na muhimu ya lazima kwa vyombo hivi
 kuheshimiwa, ni vyombo vyenyewe kujiheshimu na kuheshimu
 nafasi zao.

 Matukio mawili hivi karibuni yaliyotendwa na askari polisi
 wetu ni mfano mmojawapo wa jeshi hili kutojiheshimu na kwa
 kweli lisitegemee kuheshimiwa hata rais angeagiza.

 Mkoani Pwani Polisi wamevamia kijiji cha wafugaji na kuanza
 kuswaga ng'ombe na kuwapeleka Polisi. Wafugaji bila
 kubisha wakakubali ng'ombe wapelekwe. Lakini wakataka
 ng'ombe hao wahesabiwe ili ijulikane ni ng'ombe wangapi
 wanachukuliwa. Polisi hawataki. Wanaamua kurusha risasi na
 kuua. Anakuja Mkuu wa Wilaya na kukana kuwa askari hao
 walikuwa hawakutumwa katika eneo husika maana sio eneo lenye
 mgogoro. Ni eneo la wafugaji. Wananchi wanadai hatua
 zichukuliwe kwa askari hao. Hakuna hatua zinazochukuliwa
 Mkoa mzima, mpaka waziri wa mambo ya ndani alipofika ndipo
 akaagiza askari hao wakamatwe.

 Hebu tuone viashiria hivi; na kama ndio mfumo tuone kama
 raia wa Tanzania wako salama kweli:

 1.      Askari anakwenda eneo lisilo na mgogoro na bila
 kuagizwa na wakubwa wake wa kazi, anakamata mali za raia.

 2.      Raia wanakubali lakini wanataka kuhakiki mali
 inayokamatwa. Askari wanakataa. Wanaamua kuua raia hao.

 3.      Mkuu wa Wilaya anadhibitisha Polisi hao wamefanya
 kitendo cha kihalifu; (kwa sababu hawakutumwa huko kukamata
 mali za raia hao).

 4.      Mkoa mzima ambao una Mkuu wa wilaya, OCD, RPC na
 Mkuu wa Mkoa hakuna anayeona na kutumia madaraka yake
 kuwakamata askari hao. Maana yake wako huru na wanaweza
 kufanya hivyo hata kijiji kingine.

 5.      Amri ya kuwakamata Polisi hao inakuja kutolewa na
 waziri.

 Hivi katika mazingira haya raia wajione wako salama???
 Tanzania ina mokoa karibu 30. Mikoa kumi ikipata tatizo
 linalohitaji askari akamatwe mpaka waziri aisungukie yote?
 Nataka Mwigulu ajijibu (asitangaze jibu). Sisi tunataka
 kupata jibu kwa jambo atakalolitenda.

 Mwigulu kuagiza askari walioua wakamatwe, amemdhalilisha
 RPC. Kumsheshimu RPC wake alipashwa kumtimua kazi. Nitatoa
 mfano. Kuna tajiri mmoja alijenga kituo cha mafuta
 barabarani Mwanza. Waziri Magufuli (alikuwa hajawa rais),
 akamwagiza Mkuu wa mkoa kukibomoa kituo hicho. Mkuu wa mkoa
 akakataa. Magufuli (Inasemekana) alimpigia simu na kumwambia
 Mkuu wa Mkoa asikilize taarifa ya habari ya saa kumi
 atatajwa mkuu wa Mkoa mpya atakayefanya kazi hiyo. Simu
 ilipokatwa Mkuu wa Mkoa (inasemekana) alikwenda kusimamia
 kituo kuvunjwa na kwa masaa kilikuwa hakipo tena. Tunataka
 tuone kinachotokea ambacho inasemekana Mwigulu alifanya (kwa
 RPC) wake; kama Magufuli alivyofanya kwa mkuu wa Mkoa wa
 Mwanza wakati huo.



 Kituko cha pili ni cha wanafunzi wa Simiyu. Wanafunzi
 wanasema shule yao ilikuwa inashindwa. Ameletwa mwalimu kwa
 juhudi zake sasa matokeo ya mitihani yanaonyesha mabadiliko.
 Mwalimu huyo anahamishwa. Wanafunzi wakaamua kuandamana.
 Wamebeba makaratasi. Polisi wakaja kuwazuia wasiandamane. Ni
 haki kabisa kuwazuia. Ilitarajiwa Polisi waweke ukanda na
 kuwatangazia wasimame hapohapo na kuwahoji wanataka nini.
 Sasa wanakuja na zana kana kwamba watu wanauana na namna ya
 kuwatawanya ni kuwavurunda.

 Zimetoka picha mtandaoni zikionyesha Polisi
 "wanamdhibiti" mwanafunzi. Huyu anavuta huku, huyu
 anavuta huko, huyu anapiga ngwara. Mtu unajiuliza Polisi
 walikuwa wanafanya nini hasa? Nani alikuwa anawaongoza
 wenzake kufanya hivyo? Huyu mwanafunzi angeambiwa "panda
 gari hilo" angepanda. Angebisha Polisi wawili walitosha
 kumshika na kumlaza chini na kumuweka Pingu. Ukiiangalia
 picha hiyo hukosi kujiuliza kiwango cha elimu kinachotolewa
 kwa Polisi wetu huko chuoni! Kuna mtu aliwahi kusema huwa
 wanafundishwa ukakamavu na gwaride tu. Ukilinganisha picha
 hizo na usemi huo huwezi kumkatalia aliyesema wanajifunza
 gwaride na ukakamavu tu. Hakuna busara ya kuwashugulikia
 wahalifu inatolewa. Hakuna aina ya maandamano na namna ya
 kuyadhibiti. Hakuna elimu ya mahusiano na raia wema ili kazi
 yao iwe nyepesi. Kuna mtu anauza viroba jirani yangu. Mpaka
 sasa najiuliza nimwambie nani? Vituko hivi ndani ya makala
 yangu sithubutu kumwambia Polisi. Nakubaliana na mengine
 yanayosemwa juu yao. Mambo haya hayawezi kuacha kutonesha
 vidonda myoyoni mwetu juu ya matendo ya Polisi. Mauaji ya
 Mwangosi; Kuburuzwa ndani Lipumba wakati amewambia Polisi
 kuwa anakwenda kuwatawanya watu waliokuwa hawajui kuwa
 mkutano umekataliwa; na mengine mengi tu.

 Ninakumbuka kusikia radio ujerumani wakielezea elimu ya
 Polisi wao. Wanasema Polisi akikutana na mtu amelala
 barabarani cha kwanza wanadhani ana kisukari, au kifafa au
 magonjwa mengine, kabla ya kufikiri ni mlevi. Polisi wana
 vifaa vya kupima kuhakikisha ana shida gani. Wa kwetu
 watapiga mateke na kusema ni mlevi. Mwigulu. Kati ya mambo
 ya kutopuuza ni elimu inayotolewa kwa asiakri wetu. Madaraka
 na wajibu wa Polisi wetu. Lakini niseme; Nitashangaa kama
 RPC wa Pwani ataendelea na kazi.

 Elisa Muhingo

 0767 187 507

 elisamuhingo@yahoo.com



   

            --

        

           

        

      

            Send Emails to wana...@googlegroups.com

        

           

        

      

             

        

           

        

        

          Kujiondoa Tuma Email kwenda

        

           

        

        

          wanabidii+...@ googlegroups.com 

        

      

           Utapata Email ya

        

      

            kudhibitisha ukishatuma

        

           

        

      

             

        

           

        

        

          Disclaimer:

        

           

      

        

            Everyone

       posting to this Forum bears

         the sole

        

           responsibility

        

            for any legal

       consequences of his or

         her postings,

        

          and

        

      

           hence

        

            statements and facts must be

       presented

         responsibly.

        

      

          Your

        

            continued membership signifies that

         you agree to

        

          this

        

            disclaimer and pledge to abide by

       our

         Rules and

        

           Guidelines.

        

           

        

        

          ---

        

           

        

            You received this

       message because you

         are subscribed

        

          to

        

      

           the

        

            Google Groups "Wanabidii"

         group.

        

           

        

        

          To unsubscribe from this group and

        

       stop receiving

        

        

        emails

        

            from

       it, send an email to wanabidii+...@

        

       googlegroups.com.

        

        

         

        

            For more

       options, visit

        

           https://groups.google.com/d/

         optout.

        

           

        

        

      

        

        

        

      

         --

        

         Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

        

          

        

      

         Kujiondoa Tuma Email kwenda

        

         wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com 

        Utapata Email ya

        

       kudhibitisha ukishatuma

        

          

        

        

       Disclaimer:

        

         Everyone

       posting to this Forum bears the sole

      

       responsibility

         for any legal consequences

       of his or her postings, and

        hence

         statements and facts must be presented

       responsibly. Your

         continued membership

       signifies that you agree to this

        

       disclaimer and pledge to abide by our Rules and

         Guidelines.

        

         ---

        

        

       You received this message because you are

   subscribed

     to

        the

         Google Groups

       "Wanabidii" group.

        

         To unsubscribe from this group and stop

       receiving emails

         from it, send an email

       to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

        

         For more options,

       visit

      

       https://groups.google.com/d/
 optout.

        

      

         

      

    

     --

     Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

    

     Kujiondoa Tuma Email kwenda

     wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com 

     Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

    

     Disclaimer:

     Everyone posting to this Forum bears the sole

    responsibility

     for any legal consequences of his or her postings,

   and

    hence

     statements and facts must be presented responsibly.

   Your

     continued membership signifies that you agree to

   this

     disclaimer and pledge to abide by our Rules and

    Guidelines.

     ---

     You received this message because you are
 subscribed

   to

    the

     Google Groups "Wanabidii" group.

     To unsubscribe from this group and stop receiving

   emails

     from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

     For more options, visit

     https://groups.google.com/d/
 optout.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment