Thursday, 9 March 2017

Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.

Haule-kutumia sheria ni muhimu katika kujenga nidhamu. Hapa kwetu sheria imetawaliwa na rushwa kuanzia nyumbani (mkosaji kuhonga familia isitokee mahakamani), police hadi mahakamani. Utashangaa kezi za ubakaji mtu kakamatwa mubashara lakini ktk kesi 150 za namna hiyokiwilaya ni 4 tu zilizokamilika. Utafika kijijini utaonyeshwa karatasi za watu kukatwa mapanga kutokana na magomvi yaardhi au wakulima na wafugaji na ukakuta mtuhumiwa katorokea polisi alikowekwa ndani.

Kama upo maeneo ya wafugaji tuseme Naberera-Manyara au Kijiji cha Kwaba-Moro Rural na wote mnalima, wewe mluguru au Mha-watalishia shamba lako wewe si mfugaji wa Kimasai au Kimang'ati. Wanaoishi Engerosambu Loliondo ambao ni non-Maa wanakwenda mbali kulima kwa Wasonjo ili kukwepa adhabu hii nao ni walimu wa shule ya Msingi.

Nimeshuhudia mauaji kati ya Waikoma na wamasai wa kutoka Serengeti ambao walikuwa wanaingia Ikoma Robanda kuiba mifugo. Mnakuta mholore tu asubuhi fisi amekwisha kula mfugaji wa kutoka NCAA na maeneo ya vijiji vingine vya serengeti kuja kuiba mifugo Ikoma Robanda. Wananchi kwa wananchi wakiuana kwa mishale ya sumu na Mikuki ktk kupambana na wizi wa mifugo. Hapo hakuwa askari polisi hata na waikoma wakiuawa walipokuwa wakifuatilia mifugo yao kuikamata kuirudisha nyumbani. Sio tu serikali kuonea-Sisi wenyewe tunabaguana na kuoneana kichizi. Ila kamakila mtu atazingatia sheria, maadili na kukaa kwake afanye ya maendeleo yake bila bugdha kwawengine-hakutokuwa na haja ya kutumiapilisi kupiga watu. Huyo panya road wako anza kuwajibika nawe mwenyewe badala ya kumfuga na kutaka serikali imshughulikie. Akipigwa na watu wenye hasira auawe-muuaji afungwe wakati yeye naye ameuliwa mtu, ameporwa mali na mke na watoto kubakwa mbele ya macho yake na iliyowatokea hivyo kesi inachukua karne! Unaua!! Mama yangu anapigwa bakora nimuache aliyemchapa bakora shambani kwake-ninaweka mazao yangu shambani sumu ya panya mifugo ikijakula mazao inapukutika! nikienda police na mahakamani-kesi kaiendi wamepewa pesa-hawazingatii haki na sheria!! Tunajimaliza wenyewe. Kwa jinsi hiyo basi-Rais wa Ufilipino ameamua kuua wauza madawa ya kulevya ili kukomesha ujinga huo. Sisi hapa tunawaweka jela, kuwapa dawa ya kutuliza athari na kuwalisha bure! Na bado daily tunakamata wengine na toni za unga huo. wanajua hatari yake, inakatazwa na sheria kali lakini-Bado wanaendelea!


Wakati wa kampeni za ubunge jimbo la Mikumi-usiku baadhi ya wagombea wakifanya vikao vya siri na wafugaji kuwaahidi kuwapa wayatakayo wakipewa kura. Utakuta viongozi wanapewa mifugo halafu wafugaji wanaichunga na kuingia mahala pasiporuhusiwa. Wakiulizwa wanasema-hii ni ya kiongozi fulani. Ndio maana unakuta-hawachukui hatua na wanaokiuka sheria kwani vitambi vyao baadhi yao vinatokana na rushwa in cash and inkind ndio maanakutoamatamko hawataki. Baadhi ya vituo askari wa chini hawaridhishwi na kiongozi wa juu kwa kuwa ni mla rushwa hivyo wao hujiamulia wenyewe wanapoona utata bosi wao hataki kuutatua.


Tabia ya bongoland ya Kauli mbiu ndio utendaji uwepo kama vile suala hilo ni geni! Nchi ya Viwanda ina ugeni gani, au kujiajiri ufanye kazi ni geni? Kufanya mazoezi mpaka uambiwe pia usafi uondoe taka zinazoziba mifereji ya maji pamoja na maji kufurika mpaka kitandani kwako ;lakini bado uambiwe kwa kauli ya Rais. kampeni za mtu ni afya, kazi ni uhai, kial mtu afanye kazi, ulinzi mazingira panda mti ndio ukate mti na mambo mengi sana nchi hii-Sera, Mikakati yake hakuna mfano-utekelezaji tu ndio tata na Unduma kuwili kibao!

Watoto wa shule kuna elimu rika, wanaelimishwa mpaka vipindi vya TV kuhusu ubaya wa mimba za utotoni na vipeperushi, mabango yanagawiwa na gender NGOs. mnatoka semina za stadi za maisha barabarani music unalia-wanacheza matusi ya nguoni barabarani! Katika siku ya Wanawake Duniani-kituko mbele ya mkutano wa hadhara mshehereshaji kupiga nyimbo kukaribisha watu kucheza-wanawake watu wazima hawakuinuka kucheza bali wanafunzi wa sekondari ba chuo cha ufundi-aibu watoto wakike walivyokuwa wakicheza mbele wa wageni waheshimiwa, wazazi wao na watu wengine-viuno mpaka kukaa chini. Fedhehakubwa. Simu walizokuwa nazo wakitumia kupiga picha ni zile za bei kali sana! hawajui nini na wanaona athari kwa wenzao waliofikuzwa shule. wanapata mafunzo shuleni kuliko wazee wa zamani wao wliyapata jandoni wao kona zote wanasoma ubaya na uzuri wa hili na lile. Ni sawa na wale wa Jangwani-maji mpaka juu ya paa kila mwaka anapata athari mbaya eti bado anataka aelimishwe ubaya wa kuishi bondeni. Lakinipia-kazoea kuishi hali ya namna hiyo!

Hebu angalia zonal livestock units, vyuo vya kilimo na vijiji ambako wana mashamba ya mfano. angalia juhudi za miradi ya extension kuanzia Training and Visit System kama approach ya ukulima bora unamuelimisha darasani kisha kumuoonyesha shambani mashamba ya mfano na zawadi kwa wakulima bora, mpaka bustani za kata na mashamba ya ujamaa ya vijiji; mpaka ikaja Shamba Darasa la vikundi wanalima bustani za mfano mpaka kuvuna halafu kila mmoja anatakiwa kufanya hivyo shambani kwake, vijitabu, picha na kwengine video zinaonyeshwa. Wakitoka hapo wanaiga-imeishia hapo hapo na akilima mwaka huu kama alivyofundishwa-haendelei tena mwaka kesho eti inachukua muda sana unapotea. Lakini mavuno anapata haba na anataka msaadawa chakula! Ndio maana wengine tunaona -badala ya mapigano na wananchi-sheriakali itekelezwe kilimo na ufugaji na uvuvi endelevu iwe sheria badala ya mapambano. Hakuna vibali vya mbao, mkaa kama mtu hana shamba lake la miti. No kibali cha nyama ya punda kama mwekezaji wa nyama hiyo hana ranch ya mifugo hiyo-punda. Ukiwawekea namba za nyumba, huduma na kukufanya kodi kutoka kwa hao walihamia mabondeni-unarasimisha uwepo wao. Usiweke huduma ya aina yoyote au kukusanya kodi bali BOMOA makazi yao!! Pale mtu alipo rasmi au kisheria-achangie huduma husika-miongozo ipo mizuri ay kila sekta kama ni Maji, Mifugo, Kilimo etc. TASAF ipo mnachangia Bwawa au mradi wa Maji na Jumuiya yenu ya Watumia maji inasimamia mradi wenu; wahudumu au volunteers wa mifugo, wakilimo, Village Health Workers, mafundi maji wa vijiji (village water technicians) wanafundishwa. Hakuna lisilokuwepo bongoland! Utekelezaji umefanyika wa mambo mengi lakini uendelevu ndio NIL kutokana na tamaa binafsi, undumakuwili ktk tabia zetu na miono ya umimi na tumboni street kwa raia wa kawaida, wasomi wanasiasa na wamaofisini! Tupo nyumba kutokana na hulka zetu. Ndio unaona eti-Rais kasema, tunatekelewa wito wa Rais na kulaumu uongozi wote uliopita.

Ameanza baba wa Taifa hakuna alilobakiza kuongoza na la kusema-Tupo pale pale. Mpaka liberalization of the Economy wakati wa Mh Mkapa tumepewa ardhi na hati kujenga viwanda na mikopo juu-Tumefanya maeneo yard za magari, karakana, kujenga nyumba za sherehe na shule international. Tanganyika packers ipo wapi? Canvas Industry ya morogoro ipo wapi? Majengo ya viwanda tumeweka frame za biashara tumepangisha! kisha tunakimbilia kuleta vipodozi haram na tunajua vinakatazwa na tunaleta kuharibu taifa! Biashara za mitumba tunajaza hapo kiwandani magunia kibao na used cars ndio yard yake. Ukifirisiwa mali ulipe deni-unajipiga risasi!

Huyo mtu mzima ndio anachukua mahari mtoto wa miaka 12 aolewe asiende shule, ana nyumba anapangisha mashoga, anaficha wahamiaji haram. Mama mtu mzima ndio anacheza ngomamatusi yanguoni anaitwa "Chura" eti mpaka serikali ikataze Chura! Mume, baba, ndugu wa damu, mama, majirani-wanashangiliaChura na kumtunza. watoto wapo wanamwangalia mama anacheza chura hadharani! halafu wanawake-Tunadai haki sawa ila jukwaani tupo na vichupi wanaume wamevaa kamilifu. Tunagojea tusombwe na serikali kama hao wabwia unga halafu-Siasa itaingia-Tundu Lissu kuja kuwa wakili kuikomoa CCM kwani mtu ana haki ya kuvaa na kucheza atakavyo. Chura si kosa-Siasa ndani against maadili ya kiafrika!

Sisi tu watu wa ajabu, hata ajapo huyo Mnyarwanda, Burundi, Mkenya-tunamuabudu-tunamwoza na kumpa ardhi, tunamchagua kuwa kiongozi wa kijiji, tunamtafutia makaratasi ya uraia daily tupo kwake kujipendekeza na kuombaomba-wanatucheka!







--------------------------------------------
On Fri, 10/3/17, 'lucas haule' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, 10 March, 2017, 8:09

Hakuna nchi iliyofanikiwa
kwa ulinzi ulinzi wake wa ndani kwa kutumia mitutu ya
bunduki au ukali na ukatili wa askari wake.Ulinzi
ni mfumo na siyo mabunduki na maderaya, mfumo huu hujengwa
kupitia mila na desturi zetu, pale tunapo jenga stadi za
maisha taratibu hupenyesheshwa mambo haya.Yale
yote tunayoyaona sasa, ni zao la kizazi fulani katika jamii
yetu.Tumeibuka
na katabia ka hajabu sana sasa hivi, tunakwepa kujadili kitu
husika na kukimbilia kutaja tuliyokuwa tumeyahifadhi
moyoni.Jamii
inajengewa ubaguzi ( kiafya, kielimu, kiuchumi, kitabaka,
kikabila, kikanda,kicheo, kivyama, kirika
n.k.)Watoto wetu hawajui mipaka yao( wanasubiriwa
wakosee ndiyo wakanywe na mambo kama hayo)Mtindo
wetu wa kurekebisha/ kukosoana umekosa upendo ( imekuwa ni
uadui, kutiana aibu-- yaani hatuja acha kuimbiana kikojozi
kakojoa na ngua kaitia moto)Hatuna
sera ya kitaifa tunayoweza kusema wote tunaelekea huko( tuna
sera za vyama au za watawala kwa vipindi vyao, hata
ukiwauliza mbona unau au kukandamiza wananchi, watakwambia
sisi tuna nafuu sana, angalia rwanda, uganda? Sasa sisi
tunaishi kusudi tuwafikie hao kwa ukatili na kuhadhri UTU?
)Matatizo
madogo madogo ya wafanya kazi, wakulima, wafugaji, wafanya
biashara hayashughulikiwa kwa ufasaha na kwa wakati. (
yanakuja kushughulikiwa kidharula)Wanasiasa
wenye upeo mdogo au hawajui siasa( wapo tayari wakati wa
kampeni kuunga mkono makundi haramu)Sisi
siyo watanzania kamili na wala siyo wa hayo mataifa mengine(
tunaigaiga tu, mara china, mara India na singapol, mara
umarekani- Uchumi wa kibepari, siasa ya ujamaa, elimu ya
kijima)Watu
wazima/wazee, viongozi wa dini, viongozi wa nchi, viongozi
wa michezo na wengine. Hawana aibu ( Viongozi wa dini wapo
kwa ajili ya kuendesha ibada za mazishi tu, viongozi wa
kiserikali wanajitahidi kufuta historia za watangulizi wao,
bila kujali uzuri au ubaya wa hizo historia, wa vyama vyote
na michezo, hawajiamini, wanajilinda na kilekisichokuwepo,
wanabadili sheria zao kila kukicha, walafi, hawafii itikadi
zao)



From: 'Hildegarda
Kiwasila' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
To:
wanabidii@googlegroups.com
Cc:
Wanazuoni@yahoogroups.com
Sent: Friday, March 10,
2017 7:25 AM
Subject: Re:
[wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI
KUFANYA ZAIDI.


USA
kwenyewe pamoja na demokrasia tunaona katika TV-CNN
wanabondana na police. Wanaandamana kumpinga Trump lakini
kama inavyotokea bongoland-wanavunja maduka na kuiba (watu
weusikibao ktk kuvunja maduka hayokama tulivyo hapa bongo!).
Nani haoni hii ktk TV? Wanapigana na police na police kuua
au kuuawa.  Police amevaa vivalo utadhania  ni jeshi la
taifa kama JWTZ kwetu, wana mbwa waliofundishwa jinsi ya
kumkamata mtu wanamkamata, wana magari mazito ajabu kama ya
kivita ila ya maji ya washawasha wanawamwagia wanaoandamana
wasiotii sheria. Tunaiona hii pia ktk mitandao ya magazeti.
Iiatoke si USA pekee na nchi za Europe lakini USA ndio
kiboko. Na wapo police wanaoua kiuonevu mfano mauaji ya
black people. Kesi hizo zinaonekana kwetu pia.

Inashangaza TZ-wananchi
wanapovamia na wanapochoma kituo cha polisi kumtoa
mtuhumiwa, kuua polisi- wananchi sisi hatuandamani. Wakulima
Kilosa na Moro Rural wanavyopigwa mapanga na kuuawa ila
wakimuua mfugaji ni issue mpaka magazeti ya ulaya. Ila
wakilosa-wafe tu! Bibi kalima mashama yake miaka 70 leo hii
anakuja kuchapwa bakora asifukuze mifugo isile na kesi zipo
kibao haziendi wala fidia  ya kuchapwa na gharama zao za
matibabu hawalipwi!
Mume kafa Mikumi (babu mtu mzima) kwa shock ya
mkewe (bibi mtu mzima) kubakwa shambani akifukuza mifugo
isile mpunga wake. Morani katorokea police station (rushwa)
bibi kilema hadi leo mume alipoambia kuhusu bibi kulazwa St
Kizito kwa kubakwa akifukuza mifugo-kapata shock akaanguka
na akafa. Fidia ipo wapi. Hakieleweki hadi leo!

Waliotoa taarifa za
ujambazi wanapofuatwa na majambazi husika au ndugu zao,
washirika wao hukatwa mapanga na kuchomwa moto kuuawa au
kuumizwa-Mbona hatuandamani kamwe kama ile ya Ulimboka
kuweka semina, makongamano kujadili haya kama inavyokuwa hao
ambayo hufanywa kisiasa?

Game scout
ndani ya wildlife protected area wanapolinda na kufukuza
wavamizi humo hukuta wahusika hao wana mishale ya sumu,
mikuki na silaha kali za kivita kuliko walizo nao askari hao
wa wanyama pori au wa protected forests. Wao wana SR au G3
wenzao wana LMG na mkanda mrefu wa risasi silaha walizonunua
toka wakimbizi na ujambazi mwingine. Akijihami game scout
aue raia hao-maandamano, media lawama juu kwa serikali,
makongamano donor funded hapo ndio NGO hupata ulaji!

Wakikamata wanaolima
bhangi humo, kulima mazao na kujaza mifugo na kuipeleka
mifugo vituo husika na wakifuatiliwa na husika askari hao
kupigwa vibaya-hakuna lawama ila lawama askari hao
wanapopiga raia kujitetea au kuua kutokana na hayo. Lazima
tuheshimu sheria pia sio kutetea upande mmoja tu.

Kama nchi hii inataka iwe
salama-ni kwa serikali sasa kuacha SIASA kutumia sheria.
Mwana SIASA anayetetea ujinga-atumbuliwe. Pamoja na kuweka
hela za mabasi na dreni sa mwendokasi, ndege za bombadier na
barabara za fast train etc-kipaumbele pia kiwe
katika-Participatory Land Use Planning Vijijini na
kukamilisha upimaji mijini na ramani zake. Pia, kuhakikisha
kulikopimwa zamani ramani inakaa sawa kwa KUBOMOA bila ya
FIDIA wale waliobadili mchoro kwa maeneo yao kwa kufunga
barabara, kuvamia public open land na ROW ya barabara, Reli.
Sheria kali iwekwe na kulazimisha sustainable fishing,
farming, livestock keeping iwe SHERIA. Na upande wa
uchimbaji madini yaaina yoyote mpaka mawe na kokoto, mchanga
Mining Act izingatiwe na Land Recovery ifanyike kwa lazima
na mchimbaji aliyepewa leseni. Hii itaepusha kuwepo na
mashimo ambayo watu huvamia, kujenga nyumba na mvua ikija
wanatesa watoto kwani mashimo yanajaa maji. Wengine
huyatumia  kuyafanya sewage dumping site bila ya kuzingatia
viwango vya liquid waste stabilization pond.

Wizara ya Mambo ya Ndani
na ya Ardhi, Mali Asili na Mazingira wahakikishe kuwa vita
haitotokea kati ya Raia na Askari wa aina yoyote ile kwa
kuhakikisha Land Use Planning na kuwapa hati miliki wahusika
iliyopigwa chapa-Haihamishiki inakamilika na kupiga marufuku
migratory farming and livestock keeping. Kaa kwako utumie
ardhi yako kiendelevu. Hii itapunguza hayo ya kupigana na
wafukaji na kutumia muda mwingi wa kazi ktk kukata mazao
yaluyolimwa ndani ya misitu ya hifadhi pamoja na bhangi. 
Kila mmoja TZ akae pale alipopewa ardhi na serikali au
aliporithi kutoka ukoo/wazazi wake au aliponunua na kupata
hati miliki. Mbona Ulaya wameweza sisi tuna ardhi kubwa sana
na matumizi hayajafika hata 50% ya arable land tuliyonayo?
Kulazimisha ufugaji endelevu ni mpaka kuwafanya wafugaji
wapande mahindi na majani ya lishe ya mifugo ambayo
huyafuata maeneo mbali mbali. Kama mahindi, kunde ni chakula
cha mifugo akila anatoamaziwa mengi-ktk ekari kumi za boma
laki panga ekari5 mahindi na majani ya mifugo badala ya
kuweka mifugo elfu 2 katika ekari 5 weka sustainable level
na walishe chakula na pumba za mazao uliyopanda na mabua,
vigunzi vyake watoe maziwa sana! Sio uhamehame-Kilosa,
Lindi, ndani ya vituo vya serikali vya kilimo na mifugo
upeleke vurugu kisha mkipambana na askari wa serikali iwe
sababu. Ulifikaje hapo? Serikali nayo isitake kufumbia macho
mambo yanayoonekana kwa kuitetea jamii yenye makosa. Mwisho
askari wetu watakaa tu kuangalia wakulima na wafugaji
wakiharibu protected areas, wakiuana kwa kuogopa
kuwa-akienda akitupiwa mkuki, akirusha risasi itaua mtu na
yeye kufungwa maisha! Hivyo-wakiona wataangalia tu,
wakipigiwa simu-watasema tunakuja-hawatotokea. Kama vile
inavyotokea barabarani na wafanya biashara ndogo ndogo.
Wanajua hawatakiwi wawe hapo, askari wakienda kuwaondoa
wanawarushia mawe kugoma kuondoka nao askari/mgambo hutumia
virugu. Kisha tunalalama-lack of democracy! Ndio wanawaacha
wanaanika na kutandika nguo, chupi an sidiria ning'inia
mpaka nje ya majengo ya serikali na porivate sector, viatu
vimetandazwa njia za waenda kwa miguu Independence Avenue
yote na mapishi marabarani mpaka kando ya barabara za kwenda
Ikulu! Waache usiwaonee wanaganga njaa!

Huu ndio wakati wa kujenga
nidhamu kila kona. wakati wa kulinda mazingiza ili tupunguze
athari za climate change; kuweza kuzalisha mazao ya
mashambani,  mifugo na samaki ili kulisha viwanda. Utalii
ukue na sio kuachia mifugo na kilimo kinakua ndani ya 
wildlife protected areas. Wanalima kiwango kikubwa sana
ndani ya NCAA na Loliondo. Wageni wafugaji na mifugo kutoka
Kenya wamejaa. IRA-UDSM wakurugenzi wake ndio waliokuwa
Chairperson wa Board ya NCAA wanalijua hili; Socio-economic
studies za NCAA za Planning for Conservation with
Development wamezifanya na hayo yamedhirika na pichaza
mashamba makubwa sio siri. Thesisza wanafunzi wa kwa mfano
UDSM Geography, IRA za conservation areas zipo na statistics
za wingi wa mifugo na ukubwa wa mashamba ndani ya NCAA;
evaluation ya  benefits za kutoka NCAA, hoteli za ndani ya
Serengeti na awwekezaji zinaonyesha mafao zipo na
kinachoendelea na hao wafaidika ni kinyume na kinachotakiwa
katika ulinzi wa mazingira. Pamoja na miradi mingi ya
mazingira kila kona iliyohusisha wananchi kuanzia Pwani yote
hadi bara kwa misaada ya donors-bado uharibifu ni mkubwa
kwani sisi ni SIKIO la KUFA na kulalamika ndio TIJA, ukweli
kwetu ni Kivuri cha Giza ila uongo ndio Sifa. Kwa sasa tuna
Waziri ambae Culture ya Kabila lake ni Kiboko katika Ulinzi
wa Mazingira-ardhi, misitu, wanyamapori, maji! Na mifugo
kwao  na kilimo vina sheria kali!! Sasa imebaki kula Dawa
tu akili zikae sawa-hatokubali uzushi na ujinga atazingatia
sheria za nchi. Mh Mwigulu ana akili timamu na anatoka jamii
ya wafugaji pia naye alifuga kuanzia utoto kachunga
ng'ombe! Sasa hapa Kazi tu. Kuwafunga hao askari walioua
si Kibali kuwa uovu na ujinga uendelee wa kuvamia usiko
ruhusiwa (mwananchi).

Wengine
hujifanya mchana wapo kijijini kwao wametulia. Lakini usiku
huvamia misitu kukata miti, kujaza malori na kusafirisha
magogo. Pengine hao askari waliovamia kijiji cha wafugaji
walilifuata hili. tatizo hawakutoa taarifa na kupata kibali
cha uvamizi. Viongozi wengine wa juu hupewa rushwa mpaka ya
mifugo wakamezea na kunyamazia mengi-atoe kibali cha kuvamia
eneo!  Tuna kesi Mikumi Police Station ya Wakala wa TIGO
kufanya wizi wa Mtandaoni kuhamisha hela kutoka TigoPesa
ssimu ya muhusika kupeleka Airtel money na kufuta maelezo au
message zote ktk simu ya jamaa muhusika alipompa amsaidie
kutoa hizo hela. Vidhibiti vya Tigo, M-Pesa ilikotoka hela
vimepelekwa na zina mihuri ya ofisi husika kuonyeshahela
zilipotoka, kuingia na kuhamishwa na muda pia. Lakini Wakala
anapeta-anatoa taarifa zake za mkono ndio zinaaminiwa.
Ameshaibia hivyo wengi wasio naufahamu wa wapi pa kwenda
kuanziakuiba laki 3 mpaka milioni na bado anapeta
(Rushwa!).

Hivyo basi-wafugaji
wengine hutulia na mifugo mchana usiku huhana aukuisafirisha
kulishia mashamba ya wenzao kucha asubuhi wanarudi kijijini
kwao tuli wametumia. Iangaliwe-hata kama askari waliingia
kijiji cha wafugaji-kuna sababu tu lazima ambapo 
haijagunduliwa! Maeneo ay Kilosa, Morogoro rural hukuta
wamelishia mashamba usiku na kuwafanya wenye mashamba kulala
porini/mashambani juu ya miti kulinda mashamba yao. Fikiria
vijana wa kiume, baba mwenye mke alale shambani mbali mpaka
mavuno (angalia picha ya wanavyokaa mitini usiku, nimeipiga
mwenyewe). Familia inaathirika kiasi gani kwa baba
kutokuwepo nao kwa usalama wao home?

Askari mwonevu kuchukuliwa
hatua ni safi kabisa. Mwingine atatakakulipiza kisasi
(askari) mahala pasipohusu kabisa kuonea pia ili apate
vijisenti toka mtu huyo ili amwachie. Mwingine anatafuta
sifa tu aonyeshe ubabe kwa kumbonda mtu kupita kiasi hata
kama amegoma kuondoka alipoambiwa afanye hivyo. Lakini
unapofika Mahakamani ukaanza maandamano hapo, kukosha magari
na kupiga deki mshitakiwa apite ulipodeki-ni nidhamu
potofu-Upigwe tu na utumbuliwe kama ni mtumishi wa Umma!!
ila tufahamu, tunapokuwa na maelewano madogo na walinzi kama
police, FFU kupigana nao, majambazi watatumianafasi hiyo
kuja kuwavamia kwani wanajua askari hao wakiitwa hawatakuja.
Halafu ni kulalamika eti simu zilipigwa hawakuja au
zilizimwa hawapatikani. Unapochoma kituo cha polisi-unachoma
mpaka faili za kesi za nduguzo na jirani zako! halafu
ukiporwa njia jina panya Road unakwenda wapi na kituo cha
polisi umekichoma na kupiga askari? Kuna haja ya kujenga
upya nidhamu binafsi ya Raia wa Bongoland au sisi wa TZ.

Mapigano na askari na
mauaji yaja-serikali itakapoanza kuvunja majengo
yaliyojengwa mabondeni na katika right of way ya barabara,
nguzo za umeme, open space zake mijini na vijijini. Iandae
JWTZ kusaidia police. waandae maeneo ya magereza ya
kuwapeleka raia haokulala na kuamka kufanyakazi za kuzalisha
mali huko badala ya kuwaacha wajenge vibanda mabondeni
kachumba kamoja familia yote kulala humo kuongeza jamii
yenye utovu wa maadili!! Jenga nyumbaza manamba kwa kutumia
NHC bosi Mchechu anayaweza ajenge ktk mashamba ya mamlaka za
serikali (minazi, sisal, cotton farms) ili watakaovunjiwa
wasio na ajira mjini wakalime kuzalisha mazao ya kulisha
viwanda tufikie uchumi wa viwanda!!

Kama Kawa

--------------------------------------------
On Thu, 9/3/17, 'ELISA
MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

Subject: Re: [wanabidii]
MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA
ZAIDI.
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thursday, 9 March,
2017, 12:25

Koku. Angalia hoja ya
msingi kwenye
original
article. Hii ninamjibu Emanuel na ukweli amehoji
pembeni mwa hoja ya
msingi inayojadili technical na
discipline aspects of the police when handling
the two
issues in
question. Ukiijadili kama Emma anavyoileta
utaingiza watu wengi wa
kujibu na kujitetea badala ya
waziri, RC, RPC, DC OCD.

--------------------------------------------
On Thu, 3/9/17,
'Lutgard Kokulinda Kagaruki' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

  Subject: Re:
[wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI,
UNAKUHITAJI KUFANYA
ZAIDI.
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Thursday, March
9, 2017, 9:09 AM
 
  Elisa
  we vipi?
  Tunaongelea
  watoto/wajukuu zetu;
hata kama hawakuwa na kibali, ndo
  wapigwe kama majambazi?
  LKK            
     
         
                             
 
                 
    
 
 
 
    On Wednesday,
March
  8, 2017 11:42
PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
  <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
   
 
  Unatwambia habari za
marekani nchi tajii ina
  polisi wenye vyombo vya akiba nakadhalika. Wewe
uko
marekani
  itafute historia ya
nchi hiyo. Katiba yao iliandikwa na
  majenerali saba na
wakasema jimbo litakalopinga vita. Sisi
  hatujafika hapo.
Unafanya lkosa kufikiri (acha kuandika)
  kuwa demokrasia yetu
iwe kama ilivyo ya marekani.
Tungetaka
 
kuanzia walipoanzia je?
  --------------------------------------------
  On Wed, 3/8/17,
Emmanuel
  Muganda
<emuganda@gmail.com>
  wrote:
 
  Subject: Re:
[wanabidii]
  MWIGULU:
MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA
  ZAIDI.
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
  <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Wednesday, March
8,
  2017, 11:34 PM
 
  Polisi
  hawana haki ya
kuzuia
  maandamano in
a true democratic
 
country. Kuna maandamano yanaweza kufanyika
  spontaneously,
  hiyo ni
  haki ya raia.Baadfa ya
ushindi wa Trump
 
Wamarekani katika sehemu
  mbalimbali za nchi walimiminika
  mitaani kuandamana.
Hawakuhitaji kibali cha
  polisi.Simba
  walipowafunga Yanga juzi mashabiki
  wa Simba
wangeandamana
 
isingekuwa nongwa. Polisi
  hawakuhitaji kuombwa ruhusa.em
  2017-03-08 15:13
  GMT-05:00
  'ELISA
  MUHINGO' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
  Walikuwa
  na haki ya kuyazuia
kwa
  sababu kabla
hawajaandamana
 
walihiyaji kutoa taarifa ya kuandamana ili
  walindwe. Kama
 
  mazingira hayaruhuzu
basi hawapati kibali na hivyo
  hawaandamani. Sasa hawa
  hawakupitia utaratibu
huo.
 
 
 
------------------------------ --------------
 
  On Wed, 3/8/17,
Emmanuel
  Muganda
<emuganda@gmail.com>
  wrote:
 
 
 
   Subject: Re:
  [wanabidii] MWIGULU:
MWENDENDO HUU WA POLISI,
  UNAKUHITAJI KUFANYA
  ZAIDI.
 

   To: "wanabidii@googlegroups.com"
  <wanabidii@googlegroups.com>
 
   Date: Wednesday,
March
  8, 2017, 10:56
PM
 
 
 
 
 Elisa,Hapo ndipo 
  tunapopishana. Polisi hana
 
   mamlaka
  yoyote ya kuzuia
 
  maandamano ya raia,
hata wanafunzi.
 
   Walichofanya
wanafunzi
  wa Simiyu
ni haki yao kabisa
 
polisi
 
   hawakuwa na mamlaka
ya
  kuingilia
katina
 
  kuwazuia.
 
   Kazi yao ilikuwa
ni
  kuhakikisha
kwamba
  maandamano
 
   yanafanyika kwa
amani
  si
kuyasimamisha na kuyazuia. Ni
 
 
 uvunjaji
  wa haki
za
 
 
  binadamu/raia.em

 
   2017-03-08
14:27
  GMT-05:00
 
   'ELISA
MUHINGO'
  via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 
   Wakati
 
   rais akiwaapisha
  watendaji wake siku
moja hivi
 
karibuni,
 
 
   aligusia mwenendo
  wa raia kutoheshimu
vyombo vya dola.
 

   Mifano aliyotoa
ni watu
  kuitwa
Polisi wakaongozana na

  kwaya
 
   na wengine kuosha
  magari. Nakubaliana na
rais wetu kuwa
 
   vyombo hivi
vinahitaji
 
kuheshimiwa. Ukaribu wa watu
  Fulani

 
   na viongozi
wetu wa juu
  kwa
sababu mbalimbali
 

  ulitufikisha
 
   hapo. Mtu mwenye
hela
  alijua hata
akivunja sheria
 
hawezi
 
   kukamatwa. Sasa
  Tanzania hakuna mwenye
uhakika huo tena.
 
Ni
 
   vibaya sana kwa
raia
  mmoja
kujihakikishia hilo kwamba
  hata
 

   akimuonea raia
mwenzake
  hakuna
taasisi ya
 
  kumshughulikia.
 
   Hii ndiyo huleta
watu
  kuchukua sheria
mkononi mwao.
 
 
 
 
 
 
 
   Njia nyingine na
muhimu
  ya lazima kwa
vyombo hivi
 
 
   kuheshimiwa, ni
vyombo vyenyewe kujiheshimu na
  kuheshimu
 
 
 nafasi zao.
 
 
 
   Matukio mawili
hivi
  karibuni
yaliyotendwa na askari

  polisi
 
   wetu ni mfano
mmojawapo
  wa jeshi
hili kutojiheshimu na

  kwa
 
   kweli lisitegemee
  kuheshimiwa hata rais
angeagiza.
 
 
 
   Mkoani Pwani
Polisi
  wamevamia
kijiji cha wafugaji na

  kuanza
 
   kuswaga ng'ombe
na
  kuwapeleka
Polisi. Wafugaji bila

 
   kubisha
  wakakubali ng'ombe
wapelekwe. Lakini wakataka
 
 
 ng'ombe hao
 
wahesabiwe ili ijulikane ni ng'ombe
  wangapi
 
   wanachukuliwa.
Polisi
  hawataki.
Wanaamua kurusha risasi
  na
 

   kuua. Anakuja
Mkuu wa
  Wilaya na
kukana kuwa askari hao

 
   walikuwa
  hawakutumwa katika eneo
husika maana sio eneo

  lenye
 
   mgogoro. Ni eneo
la
  wafugaji.
Wananchi wanadai hatua

 
 
   zichukuliwe kwa
askari hao. Hakuna hatua
  zinazochukuliwa
 
 
 Mkoa mzima, mpaka
 
waziri wa mambo ya ndani alipofika
  ndipo
 
   akaagiza askari
hao
  wakamatwe.
 
 
 
   Hebu tuone
viashiria
  hivi; na
kama ndio mfumo tuone

  kama
 
   raia wa Tanzania
wako
  salama
kweli:
 
 
 
   1.      Askari
  anakwenda eneo lisilo
na mgogoro na
 
bila
 
   kuagizwa na
wakubwa
  wake wa
kazi, anakamata mali za
  raia.
 

 
 
   2.      Raia
  wanakubali lakini
wanataka kuhakiki
 
mali
 
   inayokamatwa.
Askari
  wanakataa.
Wanaamua kuua raia hao.
 
 
 
   3.      Mkuu
wa
  Wilaya
anadhibitisha Polisi hao
  wamefanya
 
 
   kitendo cha
  kihalifu; (kwa sababu
hawakutumwa huko
 
kukamata
 
   mali za raia
hao).
 
 
 
   4.      Mkoa
mzima
  ambao una Mkuu
wa wilaya, OCD, RPC
 
na
 
   Mkuu wa Mkoa
hakuna
  anayeona na
kutumia madaraka yake

 
 
   kuwakamata askari
hao. Maana yake wako huru na wanaweza
 
   kufanya hivyo
hata
  kijiji
kingine.
 
 
 
   5.      Amri
ya
  kuwakamata Polisi
hao inakuja kutolewa

  na
 
   waziri.
 
 
 
   Hivi katika
mazingira
  haya raia
wajione wako salama???

 
   Tanzania
  ina mokoa karibu 30.
Mikoa kumi ikipata tatizo
 
 
 linalohitaji askari
  akamatwe mpaka waziri aisungukie
  yote?
 
   Nataka Mwigulu
ajijibu
  (asitangaze
jibu). Sisi tunataka

 
   kupata
  jibu kwa jambo
atakalolitenda.
 
 
 
   Mwigulu kuagiza
askari
  walioua
wakamatwe,
 
  amemdhalilisha
 
   RPC. Kumsheshimu
RPC
  wake alipashwa
kumtimua kazi.
 
Nitatoa
 
   mfano. Kuna
tajiri
  mmoja
alijenga kituo cha mafuta
 
 
   barabarani Mwanza.
Waziri Magufuli (alikuwa hajawa
  rais),

 
   akamwagiza
Mkuu wa mkoa
 
kukibomoa kituo hicho. Mkuu wa
  mkoa
 

   akakataa.
Magufuli
 
(Inasemekana) alimpigia simu na
  kumwambia
 
 
   Mkuu wa Mkoa
  asikilize taarifa ya
habari ya saa kumi
 

   atatajwa mkuu wa
Mkoa
  mpya
atakayefanya kazi hiyo. Simu
 
 
   ilipokatwa Mkuu wa
Mkoa (inasemekana) alikwenda
  kusimamia
 
 
 kituo kuvunjwa na kwa
  masaa kilikuwa hakipo tena.
  Tunataka
 
 
   tuone
kinachotokea
  ambacho
inasemekana Mwigulu alifanya
  (kwa
 

   RPC) wake;
kama
  Magufuli
alivyofanya kwa mkuu wa Mkoa
  wa
 

   Mwanza wakati
huo.
 
 
 
 
 
 
 
   Kituko cha pili ni
cha
  wanafunzi wa
Simiyu. Wanafunzi
 

   wanasema
  shule yao ilikuwa
inashindwa. Ameletwa mwalimu
  kwa
 

   juhudi zake
sasa
  matokeo ya
mitihani yanaonyesha

  mabadiliko.
 
 
   Mwalimu huyo
  anahamishwa. Wanafunzi
wakaamua
 
kuandamana.
 
 
   Wamebeba
  makaratasi. Polisi
wakaja kuwazuia wasiandamane.
  Ni
 

   haki kabisa
kuwazuia.
 
Ilitarajiwa Polisi waweke ukanda
  na
 

   kuwatangazia
wasimame
  hapohapo na
kuwahoji wanataka
 
nini.
 
   Sasa wanakuja na
zana
  kana kwamba
watu wanauana na namna

  ya
 
   kuwatawanya ni
  kuwavurunda.
 
 
 
   Zimetoka picha
  mtandaoni zikionyesha
Polisi
 
 
   "wanamdhibiti"
mwanafunzi. Huyu anavuta huku, huyu
 
   anavuta huko,
huyu
  anapiga ngwara.
Mtu unajiuliza
 
Polisi
 
   walikuwa wanafanya
nini
  hasa? Nani
alikuwa anawaongoza
 

   wenzake
  kufanya hivyo? Huyu
mwanafunzi angeambiwa

  "panda
 
   gari hilo"
angepanda.
  Angebisha
Polisi wawili
 
walitosha
 
 
   kumshika na
kumlaza
  chini na
kumuweka Pingu.
 
Ukiiangalia
 
 
   picha hiyo hukosi
  kujiuliza kiwango cha
elimu
 
kinachotolewa
 
   kwa
  Polisi wetu huko
chuoni! Kuna mtu aliwahi kusema
  huwa
 

   wanafundishwa
ukakamavu
  na gwaride
tu. Ukilinganisha
 
picha
 
   hizo na usemi huo
  huwezi kumkatalia
aliyesema
 
wanajifunza
 
 
   gwaride na
  ukakamavu tu. Hakuna
busara ya
 
kuwashugulikia
 
   wahalifu
  inatolewa. Hakuna aina
ya maandamano na namna

  ya
 
   kuyadhibiti.
Hakuna
  elimu ya
mahusiano na raia wema ili
  kazi
 

   yao iwe nyepesi.
Kuna
  mtu anauza
viroba jirani yangu.

  Mpaka
 
   sasa najiuliza
  nimwambie nani? Vituko
hivi ndani ya
 
makala
 
   yangu sithubutu
  kumwambia Polisi.
Nakubaliana na
 
mengine
 
   yanayosemwa juu
yao.
  Mambo haya
hayawezi kuacha
 
kutonesha
 
 
   vidonda myoyoni
  mwetu juu ya matendo ya
Polisi. Mauaji
 
ya
 
   Mwangosi;
Kuburuzwa
  ndani
Lipumba wakati amewambia
  Polisi

 
   kuwa
anakwenda
 
kuwatawanya watu waliokuwa hawajui kuwa
 
   mkutano umekataliwa;
na
  mengine mengi
tu.
 
 
 
   Ninakumbuka
kusikia
  radio
ujerumani wakielezea elimu ya
 
 
 Polisi wao. Wanasema
  Polisi akikutana na mtu amelala
 
 
   barabarani cha kwanza
wanadhani ana kisukari, au kifafa
  au
 

   magonjwa
mengine, kabla
  ya
kufikiri ni mlevi. Polisi
  wana
 

   vifaa vya
kupima
  kuhakikisha
ana shida gani. Wa kwetu
 
 
 watapiga mateke na
 
kusema ni mlevi. Mwigulu. Kati ya
  mambo
 

   ya kutopuuza ni
elimu
  inayotolewa
kwa asiakri wetu.
 
Madaraka
 
 
   na wajibu wa
Polisi
  wetu. Lakini
niseme; Nitashangaa
 
kama
 
   RPC wa Pwani
ataendelea
  na
kazi.
 
 
 
   Elisa Muhingo
 
 
 
   0767 187 507
 
 
 
   elisamuhingo@yahoo.com
 
 
 
 
 
 
 
     
 
 
 
             
--
 
 
 
          
 
 
 
             
 
 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
             
Send
  Emails to wana...@googlegroups.com
 
 
 
          
 
 
 
             
 
 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
             
 
 
 
 
          
 
 
 
             
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
           
Kujiondoa
  Tuma Email
kwenda
 
 
 
          
 
 
 
             
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
           
  wanabidii+...@
googlegroups.com 
 

 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
            
Utapata
  Email ya
 
 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
             
  kudhibitisha
ukishatuma
 
 
 
          
 
 
 
             
 
 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
             
 
 
 
 
          
 
 
 
             
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
           
  Disclaimer:
 
 
 
          
 
 
 
             
 
 
 
        
 
 
 
          
 
 
 
             
  Everyone
 
 
 
         posting
to
  this Forum
bears
 
 
 
           the
sole
 
 
 
          
 
 
 
            
  responsibility
 
 
 
          
 
 
 
             
for
  any legal
 
 
 
        
consequences
  of his
or
 
 
 
           her
  postings,
 
 
 
          
 
 
 
            and
 
 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
            
hence
 
 
 
          
 
 
 
             
  statements and facts
must be
 
 
 
        
presented
 
 
 
          
  responsibly.
 
 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
          
 Your
 
 
 
          
 
 
 
             
  continued membership
signifies that
 
 
 
           you
agree
  to
 
 
 
          
 
 
 
          
 this
 
 
 
          
 
 
 
             
  disclaimer and pledge
to abide by
 
 
 
         our
 
 
 
           Rules
  and
 
 
 
          
 
 
 
            
  Guidelines.
 
 
 
          
 
 
 
             
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
            ---
 
 
 
          
 
 
 
             
 
 
 
          
 
 
 
             
You
  received this
 
 
 
         message
  because you
 
 
 
           are
  subscribed
 
 
 
          
 
 
 
            to
 
 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
            
the
 
 
 
          
 
 
 
             
Google
  Groups
"Wanabidii"

 
 
 
          
group.
 
 
 
          
 
 
 
             
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
            To
  unsubscribe from this
group and
 
 
 
          
 
 
 
         stop
  receiving
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
          emails
 
 
 
          
 
 
 
             
  from
 
 
 
         it, send
an
  email to
wanabidii+...@
 
 
 
          
 
 
 
        
  googlegroups.com.
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
           
 
 
 
          
 
 
 
             
For
  more
 
 
 
         options,
  visit
 
 
 
          
 
 
 
             https://groups.google.com/d/
 
 
 
          
optout.
 
 
 
          
 
 
 
             
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
           --
 
 
 
          
 
 
 
           Send
Emails
  to wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
          
 
 
 
            
 
 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
          
Kujiondoa
  Tuma Email
kwenda
 
 
 
          
 
 
 
          
 
wanabidii+unsubscribe@
 
 
 
   googlegroups.com 
 
 
 
 
         
Utapata
  Email ya
 
 
 
          
 
 
 
        
kudhibitisha
 
ukishatuma
 
 
 
          
 
 
 
            
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
        
Disclaimer:
 
 
 
          
 
 
 
          
Everyone
 
 
 
         posting
to
  this Forum bears
the sole
 
 
 
        
 
 
 
        
  responsibility
 
 
 
           for
any
  legal
consequences
 
 
 
         of his or
her
  postings, and
 
 
 
          hence
 
 
 
          
statements
  and facts
must be presented
 

 
 
        
responsibly.
  Your
 
 
 
          
continued
 
membership
 
 
 
         signifies
that
  you agree to
this
 
 
 
          
 
 
 
         disclaimer
and
  pledge to abide
by our Rules
  and
 
 
 
          
  Guidelines.
 
 
 
          
 
 
 
           ---
 
 
 
          
 
 
 
          
 
 
 
         You
received
  this
message because you are
 
 
 
     subscribed
 
 
 
       to
 
 
 
          the
 
 
 
          
Google
  Groups
 
 
 
        
  "Wanabidii"
group.
 
 
 
          
 
 
 
           To
  unsubscribe from this
group and stop
 
 
 
        
receiving
  emails
 
 
 
           from
it,
  send an email
 
 
 
         to
 
wanabidii+unsubscribe@
 
 
 
   googlegroups.com.
 
 
 
 
          
 
 
 
           For
more
  options,
 
 
 
         visit
 
 
 
        
 
 
 
         https://groups.google.com/d/
 
   optout.
 
 
 
          
 
 
 
        
 
 
 
           
 
 
 
        
 
 
 
      
 
 
 
       --
 
 
 
       Send Emails to
wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
      
 
 
 
       Kujiondoa
Tuma
  Email kwenda
 
 
 
      
 
wanabidii+unsubscribe@
 
 
 
   googlegroups.com 
 
 
 
 
       Utapata Email
ya
  kudhibitisha
ukishatuma
 
 
 
      
 
 
 
       Disclaimer:
 
 
 
       Everyone
posting
  to this
Forum bears the sole

 
 
 
     
responsibility
 
 
 
       for any
legal
  consequences
of his or her
 
postings,
 
 
 
 
     and
 
 
 
      hence
 
 
 
       statements
and
  facts must be
presented
 
responsibly.
 
 
 
     Your
 
 
 
       continued
  membership signifies
that you agree to
 

 
 
     this
 
 
 
       disclaimer
and
  pledge to abide
by our Rules and
 

 
 
      Guidelines.
 
 
 
       ---
 
 
 
       You received
this
  message because
you are
 
 
   subscribed
 
 
 
     to
 
 
 
      the
 
 
 
       Google
Groups
 
"Wanabidii" group.
 
 
 
       To
unsubscribe
  from
this group and stop receiving
 
 
 
     emails
 
 
 
       from it, send
an
  email to
 
 
wanabidii+unsubscribe@
 
 
 
   googlegroups.com.
 
 
 
 
       For more
options,
  visit
 
 
 
       https://groups.google.com/d/
 
   optout.
 
 
 
 
 
 
 
   --
 
 
 
   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
 
 
 
 
   Kujiondoa Tuma
Email
  kwenda
 
 
 
 
 
 wanabidii+unsubscribe@
 
 
   googlegroups.com 
 
  Utapata Email ya
kudhibitisha
 
 
   ukishatuma
 
 
 
 
 
 
 
   Disclaimer:
 
 
 
   Everyone posting
to
  this Forum bears
the sole
 
responsibility
 
   for any
  legal consequences of
his or her postings, and
  hence
 

   statements and
facts
  must be
presented responsibly.

  Your
 
   continued
membership
  signifies
that you agree to this

 
 
   disclaimer and pledge
to abide by our Rules and
 
 
 Guidelines.
 
 
 
   ---
 
 
 
   You received this
  message because you are
subscribed to
 
the
 
   Google Groups
  "Wanabidii"
group.
 
 
 
   To unsubscribe
from
  this group and
stop receiving
 
emails
 
   from it, send an
email
  to
wanabidii+unsubscribe@

 
 
   googlegroups.com.
 
 
 
 
   For more options,
visit
  https://groups.google.com/d/
 
   optout.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
   --
 
 
 
   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
    
 
 
 
   Kujiondoa Tuma
Email
  kwenda
 
 
 
 
 
 wanabidii+unsubscribe@
  googlegroups.com  Utapata Email ya
 
   kudhibitisha
  ukishatuma
 
 
 
    
 
 
 
   Disclaimer:
 
 
 
   Everyone posting
to
  this Forum bears
the sole
 
responsibility
 
   for any
  legal consequences of
his or her postings, and
  hence
 

   statements and
facts
  must be
presented responsibly.

  Your
 
   continued
membership
  signifies
that you agree to this

 
 
   disclaimer and pledge
to abide by our Rules and
 
 
 Guidelines.
 
 
 
   ---
 
 
 
   You received this
  message because you are
subscribed to
 
the
 
   Google Groups
  "Wanabidii"
group.
 
 
 
   To unsubscribe
from
  this group and
stop receiving
 
emails
 
   from it, send an
email
  to
wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.

 
 
 
   For more options,
visit
  https://groups.google.com/d/
  optout.
 
 
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
  Kujiondoa Tuma
Email
  kwenda
 
 
wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha
  ukishatuma
 
 
 
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to
this
  Forum bears the
sole responsibility
 
for any legal
 
consequences of his or her postings, and hence
  statements and facts
must
  be presented
responsibly. Your
 
continued membership signifies that you agree to
  this
  disclaimer and
  pledge to abide by our
Rules and
 
Guidelines.
 
 
  ---
 
  You received this
message
  because you
are subscribed to the

  Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from
this
  group and stop
receiving emails
 
from it, send an email to
  wanabidii+unsubscribe@
 
  googlegroups.com.
 
  For more options,
visit
  https://groups.google.com/d/
  optout.
 
 
 
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma
Email
  kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
 
  kudhibitisha
ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to
this
  Forum bears the
sole responsibility
 
for any legal
 
consequences of his or her postings, and hence
  statements and facts
must
  be presented
responsibly. Your
 
continued membership signifies that you agree to
  this
  disclaimer and
  pledge to abide by our
Rules and
 
Guidelines.
 
 
  ---
 
  You received this
message
  because you
are subscribed to the

  Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from
this
  group and stop
receiving emails
 
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options,
visit
 
https://groups.google.com/d/optout.
 
 
  --
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  Kujiondoa Tuma Email
  kwenda
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
 
 
Disclaimer:
  Everyone
posting to this
 
Forum bears the sole responsibility for any legal
  consequences of his or
her postings, and hence statements
  and facts must be
presented responsibly. Your continued
  membership signifies
that you agree to this disclaimer and
  pledge to abide by our
Rules and Guidelines.
  ---
 
You received this message
  because you are subscribed to the Google
Groups
 
"Wanabidii" group.
  To unsubscribe from this group and stop
receiving
  emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options,
visit
 
https://groups.google.com/d/optout.
 
     
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email
kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
  kudhibitisha
ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to
this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences of his or her
postings, and
hence
  statements and facts
must be presented responsibly. Your
  continued membership
signifies that you agree to this
  disclaimer and pledge to abide by our Rules
and
  Guidelines.
 
  ---
 
  You received this
message because you are subscribed to
the
  Google Groups
"Wanabidii" group.
 
  To
unsubscribe from this group and stop receiving emails
  from it, send an email
to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options,
visit

https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma


Disclaimer:
Everyone
posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal
consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must
be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to
this
disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this
group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit

https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this
Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

No comments:

Post a Comment