Tuesday, 25 November 2014

Re: [wanabidii] Re: KAMPUNI YA IPTL YAFUNGUA SHAURI MAHAKAMA KUU

Meseji ilikuwa haijaisha.

Kwa jinsi hali ilivyo, nashindwa kuona jinsi mahakama itakavyoamua kwamba jambo hilo lisijadiliwe kwa kuzingatia mazingira ya nchi yalivyo hivi sasa, au mahakama ifanye kazi usiku na mchana ili jambo hilo limalizike mara moja.

Lakini kwa upande mwingine, Mahakama inaweza "ikaua"mpango huu mwovu, kama inavyoua baadhi ya mashauri yanayofunguliwa dhidi ya serikali, kwa kukataa kusiliza maombi ya upande mmoja(ex parte), na ikaamua kwamba walalamikiwa waitwe na jambo lisikilizwe na pande mbili zikiwepo(inter partes), bila ya kutoa amri yoyote ya kizuizi(interim injunction), halafu ikapanga shauri/maombi kwa pande mbili yasikilizwe Ijumaa chana na kupanga kutoa uamuzi siku ya Jumatatu. Hilo likitokea, ina maana siku iliyopangwa kujadiliwa Bungeni, kutakuwa hakujatolewa kizuizi chochote!!!

Mahakama huwa haifanyi kazi hewani. Majaji ni watanzania wanaowatumikia watanzania wenzao. Wataweza kutoa amri zitakazo sababisha maumivu kwa ndugu na jamaa zao walio katika shida kubwa na mateso, mojawapo ya sababu ikiwa ni ukosefu wa hela za kutoa huduma km madawa kwa sababu wafadhili wameshikilia hela za GBS?

Kwa upande wa pili, hao wanaotajwa kuwa Respondents, ni ama watuhumiwa, au ni watu ambao wameonesha kutokuwa tayari kuona hoja ya taarifa hii inaingizwa Bungeni. Je watafurahia kwamba kesi hii itawanusuru na suluba, japo kwa muda?

Ngoja tusubiri.

MJL

2014-11-25 1:41 GMT-08:00 Lugaziya Mutabaazi <mjlugaziya1@gmail.com>:
Bwana Yona,

1.Kuhusu habari ambazo zimeishasambaa, haiwezekani kuingiza mtu yeyote matatani kwa kuwa amri za mahakama hazifanyi kazi kwa kuanzia nyuma(retrospectively)

2014-11-25 1:29 GMT-08:00 'lucas haule' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

Wanatakiwa kupitia mitaa ya Tandika, Tandale na sehemu kama hizo halafu waone vibaka wanavyo heshimiwa na wao watoke huko mahakamani waje mtaani watapata kuhendhiwa.
--------------------------------------------
On Tue, 11/25/14, Yona Fares Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:

 Subject: [wanabidii] Re: KAMPUNI YA IPTL YAFUNGUA SHAURI MAHAKAMA KUU
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Tuesday, November 25, 2014, 11:40 AM

 Kutokana
 na kesi hii msishangae baadhi ya watu kwenye mitandao ya
 kijamii kufikishwa mahakamani haswa kuhusu suala la
 kuchapisha orodha ya malipo toka ya benki ya Mkombizi kwenda
 kwa watu kadhaa - Hakuna benki inayoweza kuhatarisha wateja
 wake kwa kutoa taarifa kama zile hata kama ni za kweli
 .

 On Tuesday, November 25, 2014 11:36:49 AM UTC+3, Yona Fares
 Maro wrote:Kampuni ya IPTL
 imefungua shauri mahakama kuu na haya ni mambo
 wanayolalamika .
 1 - wanataka tafsiri ya kwanini CAG amewakagua (
 Uhalali )
 2 - Kwamba wao hawana muwakilishi bungeni wa
 kuwasemea na kujibu mashambulizi yanayotolewa dhidi yao
 .
 3 - Baadhi ya viongozi kuanzia mwanasheria mkuu ,
 waziri mkuu kama wasimamizi wakuu wa shuguli za serikali
 bungeni wameshindwa kusimamia suala hilo bungeni hata maeneo
 mengine kwa makusudi huku wakijua IPTL ni kampuni huru ,
 inauwezo wa kumlipa mtu au kundi lolote la watu
 .



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

No comments:

Post a Comment