Saturday, 20 July 2013

RE: [wanabidii] SUALA LA NGO KUFUNGUA KAMPUNI ZA MIKOPO

Nchi zilizo endelea zinahama toka kutoa msaada na sasa zinafanya biashara,iwe kwenye kilimo,miundombinu.Umesikia Obama uwekezaji kwenye umeme sio msaada bali wanayawezesha makampuni ya kimarekani kufanya biashara,sisi tunachotakiwa kufanya ni kuhakikisha tunakusanya kodi ilikujiletea maendeleo yetu,wao lengo ni faida.Mleongo huo sasa umehamia kwenye sekta zote.
 

Date: Fri, 19 Jul 2013 15:33:19 +0300
Subject: [wanabidii] SUALA LA NGO KUFUNGUA KAMPUNI ZA MIKOPO
From: oldmoshi@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com; wanazuoni@yahoogroups.com

Ndugu zangu 

Katika siku za karibuni tumeona zile NGO kubwa zilizokuwa zinatoa huduma mbalimbali kwa jamii zikifungua kampuni za kutoa mikopo kwa wananchi mbalimbali au zenyewe kuanza kutoa mikopo moja kwa moja kwenye zile jamii wanazozihudumia .

Kwa mfano halisi ni World Vision ambayo ina kampuni inayoitwa Vision Fund international kwa ajili ya masuala ya fedha na mikopo , kuna CHAI ambayo ni ya rais wa zamani wa Marekani ambayo imeanzisha programu za mikopo kwa nchi ya tanzania na malawi .

Hili suala mimi silielewi kwa NGO kujiingiza kwenye biashara haswa za mikopo kwa wananchi maskini walalahoi , ina maana sasa wanarudisha zile fedha zao walizotoa kwenye jamii hizi .

--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Kenya


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

No comments:

Post a Comment