Sijawahi kuchangia humu ila kwa hili naomba kutoa mawazo yangu kutokana na email hapo chini.
Sheria ikishasainiwa na Rais kuna majadiliano gani yanayoendelea kwa kuwa ishapitishwa na kinachofuata ni kuitangaza kwenye gazeti la serikali ili ianze kutumika.
Majadiliano yalitakiwa yafanyike kabla ya kupelekwa bungeni wakati inajadiliwa katika hatua zote tatu au ndo kusema wanakeuka sheria? Na hata kama wanataka mabadiliko ina maaana gani kubadili wakati kitu kilikuwa na utaratibu wake.
Tufanye kazi kwa makini na tusiwaibile wananchi wa chini bila sababu na kujinyonya wenyewe kwa kuwa uchapishaji mpya kama kutakuwa na mabadiliko na kuyapitisha ....
Naomba niwatakie kazi njema katika kujenga taifa.
Mdau
Upendo
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
From: Yona Maro <oldmoshi@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tue, 24 Jul 2012 08:48:24 +0300
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] KUCHUKUA HELA KWENYE MIFUKO YA JAMII SASA HADI UFIKISHE MIAKA 55
Tuwe makini na taarifa fupi fupi kama hizi .
-- 2012/7/24 Jonas Kiwia <jonaskiwia39@gmail.com>
Jamani hii sheria imepitishwa lini kama sio kutukandamiza wanyonge.Eti sasa kuchukua mafao yako baada ya kuacha kazi au kusimama kazi kwa sababu yoyote ile huwez kuchukua hela zako mpaka ufikishe miaka 55.This is too much jamani sasa wanakaba kila mahali.
Regards,Jonas Kiwia | DirectorSpeedy ComputersTel:+255 754882825 | Cell: +255 715882825 |
P.O.Box: 55133 | Dar esSalaam | Tanzania
Email:jonaskiwia39@gmail.com URL:www.speedycomputersonline.com
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
No comments:
Post a Comment