Friday, 28 August 2015

Re: [wanabidii] LOWASA NA DIGREE YA SANAA

Kwenye siasa na zaidi kampeni haijalishi unafanya usanii au nini kama watu wanakubali usanii wako lengo ni kushinda na siasa za Tanzania yule ambaye ni mkweli na mwaminifu hapati kitu mimi nilijaribu nimeshindwa watu wanataka mkono uende kinywzni kwa hiyo kama unaye mwona ni msanii nadhani ni staili yake kwani wako mtaani wanapita nyumba kwa nyumba wakihonga na ukiwauliza wanaosimamia uchaguzi wanakuambia hakuna mtu asiyehonga bali wanazidiana mimi nilienda kumwona katibu wa chama wa mkoa Kilimanjaro ndugu Deogratius Rutta kumweleza malalamiko yangu dhidi ya rushwa ilivyotembea katika wilaya Mwanga na mwenzangu ambaye anaitwa Enea Mruttu na kulazimisha kutokufanya kampeni na kuwekwa kwamigambo kila kona kutulinda tusifanye kampeni kabisa na kutupilia pingamizi langu la kabla na baada ya uchaguzi.akanijibu kuwa alitumia ujanja lakini sio sheria na hadi sasa hajanijibu kwani rushwa imewapofusha wote mkoani kwa maana hiyo nasema kama kila kiongozi anaamini kwamba kila mtu anatoa rushwa inafikiria nini mfumo ni mbovu sana kwa hiyo kama Lowasa anaona ili apenye atumie usanii mwache kwani CCM wamekataa watu wachafu lakini hakuna pia mwema kwao kila mtu ananuka rushwa tena rushwa ya waziwazi wale wema ambao tunakipenda chama chetu wametiona hatufai bali wala rushwa na watoa rushwa ndio wema kwao mwacheni mgombea yoyote afanye atakayo kwani hakuna haki hakuna itikadi hakuna fairness bali ni jinsi gani mtu anaweza akatoboza hata kama ni kwa kuiba kura tena huyu kiongozi alienda mbali na kusema tukimwacha huyu hawa watu wake watakwenda upinzani nikamwambia hizi kura zimeibiwa sio watu lakini sikio la kufa halisikii dawa sasa nani msanii zaidi hawa ambao wananuka rushwa kila jina na vitisho na  ubabe nchi nzima au huyu anayepita kutazama wanyonge

On Aug 26, 2015 9:06 PM, "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
 Fatma
 Magufuli peke yake hawezi.
 1) Magufuli anazo element za kuweza kuthubutu kusema hili ni koleo sio kijiko kikubwa. magufuli anahitaji kuungwa mkono
 na watanzania. isingekuwa sasa tunabishania mambo cosmetics tunataka kuanza kumwambia Magufuli makosa yaliyotendeka
 mpaka tukafika hapa. nadhani tunayoandika humu na kwingine yanainfluence. Sitarajii Magufuli aunde baraza la Mawaziri la watu 60.
 Sitarajii aongeze wilaya na mikoa. Si ajabu akatumia madaraka yake kuzipunguza.

 2)Magufuli anahitaji CCM inayobadilika. mazingira yanaanza kuishawishi CCM kubadilika. Usidhani CCM haikujua kuwa
 kuondoka kwa Lowasa kungekuwa pigo. Kitendo cha kumtosa Lowasa pamoja na 'upumbavu' wa waliofikiri watampitisha 'mtu
 wao' lakini na kelele zetu zimesaidia kuishawishi CCM kukubali kuwa Lowasa hataweza kuivusha. Kwa hiyo CCM sasa
 imeamini kuwa nchi inaweza kwenda. hatuhitaji kuwaacha wakapumua. Unafikiri yale aliyobwatuka baba yako nambari 3
 ni bure? Kwa hiyo CCM inayobadilika tunayo. Angalia kampein alizozianza Kinana na Magufuli anaziendeleza. Za kuisema
 Serikali. Umemsikia kule Katavi na Rukwa. Utafikiri ni mgombea kutoka upinzani. Hii ni dalili nzuri. mabadiliko
 ndani ya CCM yalishindikana wakati wa JK kwa sababu alikuwa na mtandao mkubwa. Sasa haikuogopa mtandao wa Lowasa ambao
 ni mkubwa zaidi. Naamini CCM inayotingishwa na wahamiaji halali kuikimbia kuhamia kwingine haiwezi kuendelea kuwa ile
 ya wahafidhina. Mafisadi waliopitishwa na CCM  kuendelea kugombea ni kwa sababu CCM ilihofu watakimbia kuwafuata wenzao. CCM imewabakiza makusudi. kwenye Biblia Mungu alimwambia Musa kuwa WAyebusi, waHivi na makabila mengine usiwaue wote ngedele wasije wakala mashamba yenu.
 Mafisadi waliobaki watakosa raha. Si ajabu hutamuona Magufuli kwenye majimbo yao au hata akipita atapiga kampeni
 zake na kuwaacha wananchi waamue. Magufuli angalau hawezi kufanya alichokifanya JK kwa Mramba.

 3) Magufuli anahitaji Bunge la wapinzani. Naamini kama Magufulli angekuwa na Bunge kama alilokiwa nalo JK leo hii tusingekuwa na UKAWA. Tungekuwa na Katiba ya wananchi. Namuamini katica Reasoning capacity. Hawezi kupeperushwa kama bendera. Anajenga hoja kwenye hoja. Bunge likiwa na
 idadi ya kutosha ya wabunge hatakubaliana na ushindi wa kura bali wa hoja. Lakini najua bunge lijalo litakuwa na kura za kutosha kutoka pande zote mbili. Anahitaji Speaker wa Bunge ambaye hatakaa kwenye vikao vya CCM maana atakuwa anatoka ng'ambo nyingine.

 3) Magufuli anhitaji wananchi. Wananchi ambao watatumia fursa zilizopo kujiendeleza. Watanzania wanafikiri kuletewa chakula na serikali. Unafikiri kwa nini wanamshabikia mtoa rushwa awe mbunge, diwani au rais? Wapate Kofia Tshirt kitambaa na sahani ya pilau. Jinsi unavyoona viongozi wao walikuwa ombaomba kwa Bush na Obama. wawawabembeleza wawapatie chanjo za ugonjwa usiokuwepo kwa kubadilishana na dhahabu. ndivyo na waTZ wako wanavyobadilishana kura kwa wali. NGO zinatakiwa kuendelea kutoa elimu hapa. Wakati mzuri ni baada ya uchaguzi si kabla ya uchaguzi

 4) naomba soda nikwambie mengine. (I am kiding).
 Sasa nakuuliza Fatma: Kura yako ya urais utampa nani? Mimi ninazo kura 300 za uhakika kwa ajili ya rais na mbunge ninayemtakaq. hawatoki chama kimoja. Yako ni ya 301 au?

 --------------------------------------------
 On Wed, 8/26/15, fatma_elia via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:

  Subject: Re: [wanabidii] LOWASA NA DIGREE YA SANAA
  To: wanabidii@googlegroups.com
  Date: Wednesday, August 26, 2015, 12:34 PM

  Elisa

  Bado nataka unishawishi jinsi Magufuli atakavyoweza
 kuuvunja
  mfumo huu ambao umeshajengwa na watu ambao wamekufikisha
  hapo ulipo

  Fatma

  Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel
  Tanzania.

  -----Original Message-----
  From: "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
  Sender: wanabidii@googlegroups.com
  Date: Wed, 26 Aug 2015 00:43:29
  To: <wanabidii@googlegroups.com>
  Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
  Subject: Re: [wanabidii] LOWASA NA DIGREE YA SANAA

  Naam Kuwasila. Mpe darasa huyu kijana.
  Jingine nililolisahau ni ukubwa wa Serikali. Nyerere na
  Mwwinyi waliongoza nchi kwa mawaziri 24. Mkapa na JK
  walikuwa nao 60 kasoro. Mikoa na wilaya zimeongezeka kila
  wiki. marupurupu ya viongozi yamepaNDA kupita maelezo hii
  lichoa ya kuongeza matumizi katika uendeshaji na kupunguza
  katika miradi ya huduma na maendeleo lakini imefanya watu
  kukosa morale wa kazi kila mtu akitafuta namna ya kupata
  fedha anazopata waziri, mbunge etc. Hili nasubiri kulileta
  kama mada japo hoja zinazojadili maswala hazijadiliwi humu
  ila wewe mtukane magufuri au Lowasa uone watu
  wanavyochangia. Lakini nitaileta maana ujumbe unakuwa
  umefika kwa wahusika.
  --------------------------------------------
  On Wed, 8/26/15, 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:

   Subject: Re: [wanabidii] LOWASA NA DIGREE YA SANAA
   To: wanabidii@googlegroups.com
   Date: Wednesday, August 26, 2015, 8:00 AM
  
  
   Kinachobakia Lesian ni kumuona mgombea wako akilala
   mtaani  ubungo mataa au manzese uwanja wa fisi ili
   kuonja raha ya kulala barabarani kwenye kunuka, vumbi
 na
   mainzi. Huku ni kujidanganya.  Awe kiongozi wa
 Chadema,
   Ukawa au CCM-wala si mkakati wa kumpima kiongozi
 bora,
   mweredi, mtendakazi kwani mipango hupangwa kupitia
 mipango
   shirikishi kuanzia chini kwenda juu (O&OD)
 inapitishwa
   WDC, Full Council, kuunganishwa mawizarani na
 kuingia
   Bungeni ambako wapo. Wanayaona mainzi na kinyesi
 mtaani na
   makwao kwenye mazizi ya mifugo ya watu wao mpaka
 serikali
   inagawa madawa ya trachoma, usubi kila mwaka na
 kugawa
   madawa ya minyoo mashuleni. Leo iwe issue; wanaona
 mto
   ubungo unavyochimbwa mchanga na majumba 10 kwa mwaka
   kuanguka na wanawaona hao wa jangwani na mamantilie
   barabarani, parking ya hovyo na malori mfano mwenge
   yanapakua mbao barabarani soon mbao zitazika watu
 wapitao
   zitakapomwagika kutoka juu ya lori na kuangukia
 wapita
  njia
   au gari ndogo. Leo ndio
    akalale mwenge sokoni???
  
   Muhigo Kanena ya ukweli hasa Namba nne
 nimeipenda-UVIVU au
   Laziness. Tuache Laziness ndugu yangu Lesian.Uvivu
 kupenda
   vishuke kama mvua, kupenda kuletewa. Kula darasa
 alilokupa
   Muhigo na hili hapa ubadilike.
  
   Muhigo angeongeza-kwa sasa-desturi za
 VISASI-kulipizia,
   kukomoana. Hii huwafanya hasa viongozi vijijini na
  watumishi
   wa ugani wasitekeleze vizuri majukumu yao hasa
 kuzingatia
   sheria kwa kuogopa kufa. Hata kiongozi apande
 daladala,
   atembee kwa mguu kuonyesha anajali, apande gari ya
 abiria
   badala ya chopa hiyo yote ni geresha tu. Siku zote
  anayaona
   makorongo akitoka Mbuyuni kwenda Mswakini;
 anaomemifugo
  kwa
   mamilioni beyond land's carrying capacitu kuwa
 inaharibu
   mazingira na maji; anaona foleni mijini hasa Dar
 waishipo
   ambako hawaruki na chopa kwenda kazi. Anaona abiria
   waking'inia ktk daladala, anawaona wapiga debe na
 biashara
   barabarani watu wakiuza ktk mazingira ya uchafu.
 Anaona
   mapigano ya machinga na mgambo; anaona mafuriko ya
  jangwani
   na anajua hata mkoloni hapo hakukujengwa nyumba.
  
   Kiongozi aliyekuwa madarakani anayegombea sasa baada
 ya
   kustaafu au bado - Anaelewa mabadiliko ya uchumi
 duniani
  na
   sera za privatization na public, private partnership
 (PPP)
   za bank ya dunia na wahisani wetu ambao wameunda
 umoja wao
   wa nchi za ulaya etc. Anajua polluter pay principle
 and
  pay
   for health and educational services badala ya
 Russia,
  China,
   USA, Scandinavian countries kutulipia vyote kwa kodi
 zao.
  
   Hii ya huduma za bure za GVt kulipiwa na kodi za
 wananchi
  wa
   ulaya haipo tena. Sasa ni-Vuna raslimali zako,
 kusanya
  kodi
   zako efficiently na tumia effectively na efficiently
  mapato
   kwa ufanisi unaotakiwa.
  
   Pamoja na effectiveness yako Uangalie na kulinda
 mazingira
   sekta zote na mchafuaji mazingira alipe kwa sawa
 kupitia
   Mkuhumi (mafao kwa wanaoathirika na uchafuzi kwa
 hewa
   ukaa).Karne zile tulisomeshwa bure, kukanyaga nchi
 za
  ulaya
   bure kwa kodi zao. Tulikuwa watiifu kwa Baba wa taifa
 mzee
   Nyerere. tukapitia mgambo vijijini, magwaride ya
 vijana
   mashuleni na JKT ilikuwa lazima; shule za kijeshi
 mipakani
   na maeneo mengine wanafunzi kujifunza silaha kali
 kuilinda
   nchi. sasa hivi vijana vi vibaka, mijibaba vifua
 vibana
   kutwa vijiweni madalali wa tiketi za bus na mtu
 unalijua
   basi lako uendako yeye anapata hela bure. Mwizi wa
 mkulima
   ni mtoto wa mkulima mwenyewe anayedalalia mazao
 anapata
  hela
   yeye nyingi sio mkulima. dalali kila kona-ununuzi wa
   mchanga, kokoto, chakula sokoni etc. Na bado madalali
 hao
   wanawafundisha wakulima kuchanganya kahawa safi na
 fifi na
   pamba safi na chafu, mchele kuongeza kokoto na
 mchanga pia
   maharage na kokoto na mkaa kufunga kishungi
    cha juu ama sivyo anakataza wanunuzi wasije kwenu. na
  kila
   kilo ya juu ya kishungi kila kunia ni yake. Ni huyo
 mwanao
   anayetembea na gari ya kusotasota, kaanza kazi wizara
 ya
   ardhi leo na kila valuation ya kujenzi wa barabara
 au
   uhamishaji watu yeye anachukua mihela, viwanja
 kujigawia
   anamlalia anayetakiwa kulipwa kiuhalali.
 Akikamatwa-ni
  wewe
   unayemuwekea mawakili, kuhonga umtoe mwizi wa mali
 za
   binadamu wengine.
  
   Ni mtanzania tajiri aliyetakiwa kuchukua viwanda vya
   serikali kupunguza mzigo kwa serikali. PPP yeye
 anaweza
   kushirikiana na makampuni ya uwekezaji nje. Lakini
 mbongo
   anashirikiana na mgeni kuiibia nchi. Wamepewa viwanda
 vipo
   Dar na miji mingine, wamepewa maeneo ya kujenga
 viwanda na
   kuwekeza (Mwenge kuelekea Msasani, Kawe, Africana,
   Mtoni-Mbagala etc) wamejenga? Wamefufua vya
 serikali?
   Wamepata hati miliki, mikopo wameviacha havifanyi
 kazi ila
   wamejenga maghorofa na kupangisha kwa $. Wamegeuza
 yard za
   magari na halls za arusi. hawa wabongo wafirisiwe
 walipe
  na
   faida yote toka alipotakiwa kuanza kulipa baada ya
 grace
   period. Waliyejipa mashamba makubwa
 wanyang'anyweita 
   wapewe wakulima na wafugaji kwa lazima ya kilimo na
  ufugaji
   kiendelevu sio kulimbikiza mifugo na kuhamahama na
 kulima
   kiuharibifu wa ardhi na mazingira.
  
  
   Tatizo si sera au IMF na World Bank-tatizo ni akili
 zetu
   finyu na kukosa muono wa mbali, kulalamika na
 kupenda
   malumbano, kubweteka bila kutenda. Nchi ndogo
 tulizosaidia
   kukomboa, zinazopigana daima zitatupita kimaendeleo
 kwa
  wao
   kuwa na uthubutu. Kwani nani anaizuia Private Sector
   Foundation kuisaidia serikali kupita kiwanda hadi
 kiwanda
   kuona kulikoni na wanahela za auditing and
 evaluation
  kisha
   kuamua matajiri hao kuvichukua na kuviendesha?
 waache
  story.
   Mawaziri walipopewa nyumza za Msaijiri wa majengo na
 za
  NHC
   na magari ya GVT ili kupunguza gharama waliowengi
  wamefanya
   nini? Mh Mkapa aliona kuwa kama nyumba inakarabatiwa
 kwa
  mil
   20 kwa mwaka, gari ya kumbeba daima foleni ndefu na
   kumuhudumia-tumuuzie hiyo nyumba akae iwe yake
 mipango ya
   wizi ya ukarabati iishe ila GVT imlipe 10% ya
 mshahara
  wake
   kama kodi ya nyumba ambayo ingempangia na sasa
 anaishi ni
   yake. Gari itampa lita kadhaa za mafuta ila akijwa
 kazini
   atatumia tu ile ofisini kwa safari zote
    kupunguza gharama ya kutumia gari ya GVT kwa shughuli
  zote
   za familia. Kilichotokea majumba wamejenga viwanja
 100%
   kuweka international school; hotels (sio 40 au 60%)
   wameongeza mzigo wa maji safi, machafu na umeme
 200%+
  DAWASA
   na DAWASCO, Tanesco zinahaha. Maji hakuna WAMASAI
 wafugaji
   akina Mollel, Lesian na Wasukuma wapo  mpaka Mgeta
 juu,
   Mkulazi, Mvuha na mifugo wakiisafirisha usiku na
 wamenunua
   ardhi, wana hati miliki na maelfu ya mifugo
 milimani.
   Wamekuwa waluguru juu milimani ambako mfugo ni mbuzi
  wawili
   wa maziwa leo mbuzi, kondoo, ng'ombe milioni 2?!
  
   Pamoja na mawazo mazuri ya hao wezi wa mashirika ya
  kitaifa
   lakini tusisingizie wazungu wa IMF, World Bank kila
 wakati
   ambapo sisi hatubadiliki.  Ni PUMBA zetu wenyewe na
   tunashirikiana sana na wawekezaji wenye nia nzuri
   kuwafundisha jinsi ya kuiibia serikali na wananchi
 wetu
  wewe
   ukiwa partner wa nchini, unampangisha mpaka mchina
  nyumbani
   kwako unakula kodi kisiri na unamuuzia mchina PUNDA
 na
  MBWA
   ambao anachinja nyama na upo kibarua unaweka nyama
   kusafirisha nchi za nje au nchini kama beef. Mbwa
   unazipeleka wewe na kipato unalewea chakari daily! Ni
 wewe
   unayevua samaki kwa sumu ya panya unawauzia waannchi
   wenzako; kuua tembo na kuuzia wenzako nyanya
 ulizookota
   dampo na kuongeza kipindupindu. Ukipewa ardhi
   mabwepande-unauza unarudi tena pale pachafu. Eneo
  linapimwa
   kupanua barabara unalipwa mafao-huhami au unamuuzia
  mwingine
   kwa mamilioni kumtapeli na kiongozi wa eneo anagonga
  mihuri
   kama ni mauzo rasmi. Ikija serikali
 kubomoa-maandamano.
   Ulilipwa
    hujahama karne; ulipimiwa ukazidisha eneo ukajenga;
   ukivunjiwa-unapiga kura ya chuki kwa chama tawala
 eti
  hutaki
   sheria ichukue mkondo. Halafu unataka serikali yako
 ifanye
   nini kama hutaki kubadilika, kuzingatia sheria,
 usafi,
   utendaji kazi bora, kuacha wizi NYERERE kajihidi
 sana
   imeshindikana-ni mental revolution kwa nguvu kiboko
   matakoni, kutumia police, sheria kali za mahakama
 bila
   rushwa; kuzoa watu kuwapeleka kwenye mashamba,
 viwanda,
   bomoa bomoa mijini kote walikoziba barabara na
 kuvamia
   public places; ondoa ruksa kwa watu kutembea kutwa
 na
  mizigo
   ya nguo, midoli-hii inaruhusu uzembe. Wamejaa vituo
 vua
  basi
   kibao inaruhusu uzembe. Pool table kijijini saa 2
 watoto
   hawaendi shule, vilabu vya pombe kibao kijijini na
 bar
   mijini kila baada ya nyumba 3 na wanakunywa
  kutwa-unategemea
   nchi itakuwa na maendeleo? Kutakuwa na taifa la
 nidhamu na
   maadili. Nyumba ya makazi ina watoto ndani, wazee na
   wagonjwa nje ni moshi wa mafuta, garage, mapishi ya
 chips,
    makelele ya music na chuma inayosagwa kwenye
  welding-hayo
   ndio maisha yetu kisha-IMF, World Bank, CCM an
 Kikwete!?
  Ni
   sisi  sote.
  
   Hata ukienda machimboni kote unakuta ulevi, umalaya
 na
  pesa
   inayopatikana na matumizi ya anasa lakini mazingira
   yanaachwa hoi na tunaishia kuambukizana ukimwi na
 kufa.
   Africa nzima ina matatizo kasoro nchi chache tu. Bara
 Arab
   ndio usiseme ISIS inamaliza binadamu na majengo ya
  historia
   kisha wanakimbilia ULAYA na USA na nchi nyingine
 wkutafuta
   maisha bora na wanaona wanaonewa wakikataliwa au
  kufukuzwa.
   Wakiwa ugenini walikokimbilia-wanataka kuishi
 watakavyo
  wao
   kama ilivyokuwa kwao sio wakae kwao wabadilike
 kiakili
   waishi kwa amani. Mungu gani unayempigania wakati
 unabaka
  na
   kuvunja majengo kutafuta kuiba mali ya thamani ya
 karne
   before Christ na Mohamad? Ndio watanzania hao-kutaka
   maendeleo bila sisi wenyewe kukubali kubadilika
 kiakili
   kwanza pili kimatendo-positively!! kiongozi wa juu
   atafanikiwa tu ktk utawala wake kama wote kule chini
 na
   wananchi watawajibika ipasavyo. Kama si
 hivi-maendeleo ni
   biashara kichaa kama haya tuliyonayo. Mlo mooja
 kula,
    kunywa, oa kila baada ya mavuno, kuwa na wake kumi
  watoto
   60; lala barabarani, uza ardhi, fanya uchumi chafuzi
 kwa
   kujimaliza mwenyewe mtanzania!!
  
   --------------------------------------------
   On Wed, 26/8/15, 'Lesian Mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
   wrote:
  
    Subject: Re: [wanabidii] LOWASA NA DIGREE YA SANAA
    To: wanabidii@googlegroups.com
    Date: Wednesday, 26 August, 2015, 3:47
   
    Muhingo hata mkatembee nchi nzima ww
    na mwenzako pole pole muongee na mapovu
    yawatoke,'lowasa ni rais wako,'kila anachokifanya
    ww hutaki kukikubali
    Mtakaukaa koo na saana mtapigwa macho
    Lesian
   
    wasitara@gmail.com
   wrote:
   
    @Elisa
    Hongera kwa majibu yako.
    Mbona hutumi a/c yako ya Twitter?
    ----- Reply message -----
    From: "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii"
    <wanabidii@googlegroups.com>
    To: <wanabidii@googlegroups.com>
    Subject: [wanabidii] LOWASA NA DIGREE YA SANAA
    Date: Tue, Aug 25, 2015 22:25
    Fatma,
    Nchi yako ni changa kwa sababu mbalimbali. Ziko za
  nje na
   za
    ndani. Ziko za uzembe wa viongozi na zipo za
  mazingira
    tuliyomo. Nitaeleza kwa ufupi ninavyoamini kwa nini
  nchi
    yetu ni changa
    1) Mwanzaoni mwa uhuru wetu tulikuwa tunakabiliwa na
   tatizo
    la majirani zetu kuwa chini ya utawala ambao tuliona
    tusipowasaidia nasi hatutakuwa huru. Hivyo tukatumia
   nyenzo
    zetu nyingi kuzisaidia nchi jirani zipate uhuru.
    Katika kipindi hicho Tuliamua kuwa na mwelekeo wa
  uujamaa
   na
    kujitegemea. Bahati mbaya watekelezaji wake
  wakakazania
    ujamaa na kusahau kipengele cha kujitegemea.
  Tulizidisha
    demokrasia katika hili hivyo uchumi wetu ukakosa
  kukua
   kama
    tulivyotegemea. Ni kipindi hicho kutokana ujirani
  mbaya
    tuliamua kutwangana na jirani yetu ili kuhakikisha
  tuna
    jirani mzuri. Kipindi hicho tukakopa hela tukajenga
  miundo
    mbinu kadhaa ikiwa ni viwanda vya nguo, nyama,
  baranara,
    reli etc.
   
    2) Kipindi hicho wakati tunabadilisha uongozi
  tukakabiliwa
    na shinikizo kutoka nje WB na IMF. Tukalazimika
   kubadilisha
    mwelekeo kutoka ujamaa na kuingia unyang'au.
    Ynyang'au tukauingia bila mwelekeo. Tukauza viwanda,
    tukaondoa ruzuku kwa wakulima, kilimo kikadorora.
  Tukiwa
    tumekabiliwa na madeni makubwa uchumi wetu
  ukashindikana
    kukua.
   
    3) Tukiwa awamu ya pili na ya tatu uchumi ukiyumba
  watu
    fulani wenzetu wakaamua kujiangalia wao badala ya
    kuangaliana. Huku watu tukisema tu maskini baadhi
  yetu
    wakawa wanajilimbizia mali. Ni kipindi hicho cha
  awamu ya
    tatu tukaamua kulipa madeni ili tuweze kukopesheka.
  madeni
    yakalipwa na uchumi mkubwa ukajengwa. Uchumi mkubwa
    ukijengwa ule wa chini unaomgusa mwananchi ukawa
  haukui.
    Matumaini yetu yakawa ni kuwa kwa sababu tumelipa
  madeni
    basi ngazi ya nne uchumi utakuwa mzuri na wananchi
    watanufaika. Ndiyo maana ikaja kauli mbiu ya Ari
  mpya,
   nguvu
    mpya na Kasi mpya tanzania yenye neema inawezekana.
  lakini
    awamu hii nayo ikakabiliwa na uongozi mbovu kufuatana
  na
    upeo wa ma'dereva'.
   
    4) Uvivu umekuwa ni utamaduni wetu. hatua ya nne
  ikaingia
    kwa matumaini hayo. Huku uvivu ukistawi miongoni mwa
  watu
    wetu matumaini kuwa wanasiasa watatulisha yakastawi.
  Huku
    hayo yakijili Ubinafsi ukastawi na kufikia kubatizwa
    ufisadi. watu wachache walioko madarakani
  wakajiangalia
   wao.
    Watanzania wavivu wakasubiri kupewa kila kitu na
  serikali
    iliyojaa ubadhilifu. Makubwa.
    Tatizo jingine nchi yetu ikawa na raslimali nyingi.
    Tukazubaishwa na wahuni toka nje kuwa watatufadhili
  kumbe
    wanatuibia. Jinsi unavyoona tunabebwa kwenda kwenye
   mikutano
    kuwashangi;ia wezi wanaotaka kuwa viongozi ndivyo na
   wahuni
    wanavyotuletea vyandarua na 'soks' za kueneza ukimwi
    wakaondoka na dhahabu.
   
    Ni kutokana na hayo watu tunaoona haya tunataka kuwa
    waangalifu wa watu wanaotudanganya. wako kila mahala.
  wako
    CCM wako Chadema.
    kabla ya chadema kuwa contaminated tulikuwa
  tunaitumaini.
    tunaposema tusiitumaini tena wengine wanafikiri ni
   ushabiki
    na ushambenga wa kisiasa. Sio
    Tunaeleza tunachokijua. Tumedanganywa mara nyingi
  tunajua
    tunavyodanganywa. Tusikilizeni.
    Nyerere alisema Watanzania wanataka mabadiliko.
   Wasipoyapata
    ndani ya CCM watayapata nje. Uwezekano wa kuyapata
  nje
    ulikuwa kabla wakimbizi au wahamiaji halali
  kuiingilia
    kuivamia CHADEMA. Tulisema hivyo kwa uhakika nasasa
   tunasema
    kwa uhakika kuwa Heri kuikumbatia CCM ili a)
  Tusubiri
    tuiunde upya CHADEMA au
    b) Tunaweza kuyapata ndani ya CCM na dalili hizi
  tuzione
    Kujaribu kwenda nje sasa hivi kutafuta mabadiliko
  tutakuja
    kulia kwa kukosa hata tulichokuwa nacho.
    Fatma Mwanangu/mdogo wangu (chagua moja, nilizaliwa
  1952)
    niliyoyaandika sikuyapangilia lakini yakipangiliwa
   yanakosa
    vitu vichache kukamilisha jibu la swali lako.
    Elisa Muhingo
    --------------------------------------------
    On Tue, 8/25/15, fatma_elia via Wanabidii
    <wanabidii@googlegroups.com>
   wrote:
   
     Subject: Re: [wanabidii] LOWASA NA DIGREE YA
 SANAA
     To: wanabidii@googlegroups.com
     Date: Tuesday, August 25, 2015, 8:58 PM
    
     Elisa
    
     Naomba uniambie kwanini nchi yangu bado ni changa
   ilihali
     imepata uhuru wake miezi sita kabla sijazaliwa.
   Nakaribia
     kustaafu kwa hiari wakati nchi yangu bado ni
 changa.
     Kinachosababisha hadi leo tudumae tusikue ni kitu
     gani?  Kama ni ahadi tu kila aliekuja alikuja na
     kibwagizo kizuuuri ambacho kama kingetimia basi
   tungekuwa
     mbali. Maradhi yaliyoidumaza nchi yangu siyo ya
   individuals
     bali ni ya mfumo wa chama. Binafsi namkubali sana
   Magufuli
     kama nilivyokuwa nawakubali wenzake waliopita.
 But
   look
     where are we? Bado wachanga.... Hadi lini ndugu
   yangu?
     Naungana na wenzangu kuyakubali mabadiliko kwa
   sababu
    Mazoea
     yamewafanya wapofu hadi wanafikia kutuita
 wapumbavu
   na sisi
     tunashangilia. Wakikaa pembeni japo miaka mitano
     watazindukana na tutapata maendeleo tunayoyataka
    
     Fatma
    
     Sent from my BlackBerry® smartphone provided by
   Airtel
     Tanzania.
    
     -----Original Message-----
     From: "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii"
    <wanabidii@googlegroups.com>
     Sender: wanabidii@googlegroups.com
     Date: Tue, 25 Aug 2015 09:18:14
     To: <wanabidii@googlegroups.com>
     Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
     Subject: Re: [wanabidii] LOWASA NA DIGREE YA
 SANAA
    
     Marekani inaweza kutawaliwa hata na Shosnega
 (SP).
   Kama ni
     ndege tunaweza kusema abiria wamefungua mikanda.
 na
   rubani
     anaweza kutoka kwenye cockpit. Sio tanzania ndugu
   Emmanuel.
     Tanzania sio ya kuendeshwa kichekibob. Ni changa
 mno
   bado
     --------------------------------------------
     On Tue, 8/25/15, Emmanuel Muganda
    <emuganda@gmail.com>
     wrote:
    
      Subject: Re: [wanabidii] LOWASA NA DIGREE
   YA SANAA
      To: "wanabidii@googlegroups.com"
     <wanabidii@googlegroups.com>
      Date: Tuesday, August 25, 2015, 6:58 PM
      
      Hata Ronald Reagan
      alikuwa mwanasanaa, cowboy, radio
   broadcaster, etc. etc.
     Leo
      kuna baadhi ya Wamarekani wanamwona bado
   kuwa
      alikuwaone of the best presidents of this
      nation.em
      2015-08-25 10:29
      GMT-04:00 fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com>:
      Kwani hiyo miaka iliyopita
      unayosema lowasa alikuwa wapi?
      On Aug 25, 2015 4:52
      PM, "John Lemomo" <johnlemomo@gmail.com>
      wrote:
      Huna jipya Elisa..
      unaeleweka.
      
      Na wanaoahidi mambo ambayo yalipaswa kuwa
   yamefanyika
      tangu miaka 40 iliyopita unawaweka fungu
   gani?
      
      2015-08-25 14:35
      GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
    <wanabidii@googlegroups.com>:
       --
      
      Niliwahi kusoma mahala kuwa Digree ya
   kwanza ya Edward
      Lowasa, Mgombea urais kwa tiketi ya
   CHADEMA, ni ya sanaa.
      
      Jana 24 August 2015 yeye na mgombea mwenza
   walijitokeza
      stand ya daladala Gongo la mboto na
   wakapanda daladala na
      kulipa nauli.
      
      Ikatafsiriwa na watu kuwa hiyo ni
   kuonyesha kuwa yeye ni
     mtu
      wa watu maana amepanda daladala. Mimi
   sikuona hivyo.
      Nilitaka kufikiri kuwa anataka kuyaelewa
   matatizo ya watu.
      Nikasita kuamini hivyo. Ingekuwa hivyo
   kama angekwenda
     huko
      kabla ya kugombea ili tufikiri kuwa
   alipoyaona matatizo
      ndipo akaamua kugombea. Wakati
   nikitafakari nikasikia kuwa
      leo ameibukia sokoni Tandale. Nimeona
   picha akinywa chai
      (kama alikuwa haigizi).
      
      Nimeyajumlisha nikashindwa kukubali kuwa
   hiyo ni dalili ya
      kuonyesha kuwa huyu ni kiongozi bora.
   jambo ambalo wengi
      tunaweza kukubaliana ni kuwa anafanya
   maigizo.
      
      Dr Mwakyembe wakati anajaribu treni za dar
   Es salaam
     aliwahi
      kusafiri nayo. Rais wa Zanzibar wakati ule
   Aboud Jumbe
      aliwahi kusafiri na train nadhani kutoka
   Dar mpaka tabora.
      Alikuwa na sababu. alikuwa kazini.
      
      Hii ya Lowasa sio. Na kama kuna mtu
   akivutwa na hilo
     akaamua
      kumpa kura huyo mtu ana matatizo makubwa.
      
      Sitarajii kusikia kuwa sasa anachangamana
   na watu kwa hiyo
      anafaa. najua wasanii wengi wamejaribu
   kuingia siasa.
      Wamegombea wengi . Wengine wamekosa nafasi
   za kuendelea
      mbele. Kwa nafasi za ubunge na udiwani
   twaweza kuwajaribu
      wakachangamshe mijadala bungeni na
   mabaraza wa madiwani.
      
      
      
      Elisa
      
      
      
       Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
      
      
      
        
      
      
      
       Kujiondoa Tuma Email kwenda
      
      
      
       wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
      
        Utapata Email ya kudhibitisha
   ukishatuma
      
      
      
        
      
      
      
       Disclaimer:
      
      
      
       Everyone posting to this Forum bears the
   sole
      responsibility
      
       for any legal consequences of his or her
   postings,
    and
      hence
      
       statements and facts must be presented
   responsibly.
    Your
      
       continued membership signifies that you
   agree to
    this
      
       disclaimer and pledge to abide by our
   Rules and
      
       Guidelines.
      
      
      
       ---
      
      
      
       You received this message because you
   are subscribed
    to
      the
      
       Google Groups "Wanabidii" group.
      
      
      
       To unsubscribe from this group and stop
   receiving
    emails
      
       from it, send an email to
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
      
      
      
       For more options, visit
     https://groups.google.com/d/optout.
      
      
      
      
      
      
      
      
      
      
      
      
      
      
      
       --
      
      
      
       Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
      
      
      
        
      
      
      
       Kujiondoa Tuma Email kwenda
      
      
      
       wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
      
        Utapata Email ya kudhibitisha
   ukishatuma
      
      
      
        
      
      
      
       Disclaimer:
      
      
      
       Everyone posting to this Forum bears the
   sole
      responsibility
      
       for any legal consequences of his or her
   postings,
    and
      hence
      
       statements and facts must be presented
   responsibly.
    Your
      
       continued membership signifies that you
   agree to
    this
      
       disclaimer and pledge to abide by our
   Rules and
      
       Guidelines.
      
      
      
       ---
      
      
      
       You received this message because you
   are subscribed
    to
      the
      
       Google Groups "Wanabidii" group.
      
      
      
       To unsubscribe from this group and stop
   receiving
    emails
      
       from it, send an email to
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
      
      
      
       For more options, visit
     https://groups.google.com/d/optout.
      
      
      
      
      
      
      
      
      
      
      
       --
      
      
      
       Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
      
      
      
        
      
      
      
       Kujiondoa Tuma Email kwenda
      
      
      
       wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
      Utapata Email ya
      
       kudhibitisha ukishatuma
      
      
      
        
      
      
      
       Disclaimer:
      
      
      
       Everyone posting to this Forum bears the
   sole
      responsibility
      
       for any legal consequences of his or her
   postings,
    and
      hence
      
       statements and facts must be presented
   responsibly.
    Your
      
       continued membership signifies that you
   agree to
    this
      
       disclaimer and pledge to abide by our
   Rules and
      
       Guidelines.
      
      
      
       ---
      
      
      
       You received this message because you
   are subscribed
    to
      the
      
       Google Groups "Wanabidii" group.
      
      
      
       To unsubscribe from this group and stop
   receiving
    emails
      
       from it, send an email to
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
      
      
      
       For more options, visit
     https://groups.google.com/d/optout.
      
      
      
      
      
      --
      
      Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
      
      
      
      Kujiondoa Tuma Email kwenda
      
      wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
      Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
      
      
      
      Disclaimer:
      
      Everyone posting to this Forum bears the
   sole
     responsibility
      for any legal consequences of his or her
   postings, and
     hence
      statements and facts must be presented
   responsibly. Your
      continued membership signifies that you
   agree to this
      disclaimer and pledge to abide by our
   Rules and
     Guidelines.
      
      ---
      
      You received this message because you are
   subscribed to
     the
      Google Groups "Wanabidii" group.
      
      To unsubscribe from this group and stop
   receiving emails
      from it, send an email to
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
      
      For more options, visit
     https://groups.google.com/d/optout.
      
      
      
      
      
      
      --
      
      Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
      
       
      
      Kujiondoa Tuma Email kwenda
      
      wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
       Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
      
       
      
      Disclaimer:
      
      Everyone posting to this Forum bears the
   sole
     responsibility
      for any legal consequences of his or her
   postings, and
     hence
      statements and facts must be presented
   responsibly. Your
      continued membership signifies that you
   agree to this
      disclaimer and pledge to abide by our
   Rules and
     Guidelines.
      
      ---
      
      You received this message because you are
   subscribed to
     the
      Google Groups "Wanabidii" group.
      
      To unsubscribe from this group and stop
   receiving emails
      from it, send an email to
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
      
      For more options, visit
     https://groups.google.com/d/optout.
      
      
      
      
      
      --
      
      Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
      
       
      
      Kujiondoa Tuma Email kwenda
      
      wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
       Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
      
       
      
      Disclaimer:
      
      Everyone posting to this Forum bears the
   sole
     responsibility
      for any legal consequences of his or her
   postings, and
     hence
      statements and facts must be presented
   responsibly. Your
      continued membership signifies that you
   agree to this
      disclaimer and pledge to abide by our
   Rules and
     Guidelines.
      
      ---
      
      You received this message because you are
   subscribed to
     the
      Google Groups "Wanabidii" group.
      
      To unsubscribe from this group and stop
   receiving emails
      from it, send an email to
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
      
      For more options, visit
     https://groups.google.com/d/optout.
      
      
      
      
      
      
      --
      
      Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
      
       
      
      Kujiondoa Tuma Email kwenda
      
      wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
     Utapata Email ya
      kudhibitisha ukishatuma
      
       
      
      Disclaimer:
      
      Everyone posting to this Forum bears the
   sole
     responsibility
      for any legal consequences of his or her
   postings, and
     hence
      statements and facts must be presented
   responsibly. Your
      continued membership signifies that you
   agree to this
      disclaimer and pledge to abide by our
   Rules and
     Guidelines.
      
      ---
      
      You received this message because you are
   subscribed to
     the
      Google Groups "Wanabidii" group.
      
      To unsubscribe from this group and stop
   receiving emails
      from it, send an email to
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
      
      For more options, visit
     https://groups.google.com/d/optout.
      
    
     --
     Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
    
     Kujiondoa Tuma Email kwenda
     wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
     Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
    
     Disclaimer:
     Everyone posting to this Forum bears the sole
    responsibility
     for any legal consequences of his or her
 postings,
   and
    hence
     statements and facts must be presented
 responsibly.
   Your
     continued membership signifies that you agree to
   this
     disclaimer and pledge to abide by our Rules and
   Guidelines.
     ---
     You received this message because you are
 subscribed
   to the
     Google Groups "Wanabidii" group.
     To unsubscribe from this group and stop receiving
   emails
     from it, send an email to
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
     For more options, visit
   https://groups.google.com/d/optout.
    
     --
     Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
    
     Kujiondoa Tuma Email kwenda
     wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
     Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
    
     Disclaimer:
     Everyone posting to this Forum bears the sole
    responsibility
     for any legal consequences of his or her
 postings,
   and
    hence
     statements and facts must be presented
 responsibly.
   Your
     continued membership signifies that you agree to
   this
     disclaimer and pledge to abide by our Rules and
   Guidelines.
     ---
     You received this message because you are
 subscribed
   to the
     Google Groups "Wanabidii" group.
     To unsubscribe from this group and stop receiving
   emails
     from it, send an email to
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
     For more options, visit
     https://groups.google.com/d/optout.
   
    --
    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
   
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
   Utapata Email ya
    kudhibitisha ukishatuma
   
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole
   responsibility
    for any legal consequences of his or her postings,
  and
   hence
    statements and facts must be presented responsibly.
  Your
    continued membership signifies that you agree to
  this
    disclaimer and pledge to abide by our Rules and
   Guidelines.
    ---
    You received this message because you are subscribed
  to
   the
    Google Groups "Wanabidii" group.
    To unsubscribe from this group and stop receiving
  emails
    from it, send an email to
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
    For more options, visit
   https://groups.google.com/d/optout.
   
   
   
   
    --
   
    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
   
     
   
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
   
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
   Utapata Email ya
    kudhibitisha ukishatuma
   
     
   
    Disclaimer:
   
    Everyone posting to this Forum bears the sole
   responsibility
    for any legal consequences of his or her postings,
  and
   hence
    statements and facts must be presented responsibly.
  Your
    continued membership signifies that you agree to
  this
    disclaimer and pledge to abide by our Rules and
   Guidelines.
   
    ---
   
    You received this message because you are subscribed
  to
   the
    Google Groups "Wanabidii" group.
   
    To unsubscribe from this group and stop receiving
  emails
    from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
   
    For more options, visit
   https://groups.google.com/d/optout.
   
   
   
   
    --
   
    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
   
     
   
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
   
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
   Utapata Email ya
    kudhibitisha ukishatuma
   
     
   
    Disclaimer:
   
    Everyone posting to this Forum bears the sole
   responsibility
    for any legal consequences of his or her postings,
  and
   hence
    statements and facts must be presented responsibly.
  Your
    continued membership signifies that you agree to
  this
    disclaimer and pledge to abide by our Rules and
   Guidelines.
   
    ---
   
    You received this message because you are subscribed
  to
   the
    Google Groups "Wanabidii" group.
   
    To unsubscribe from this group and stop receiving
  emails
    from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
   
    For more options, visit
   https://groups.google.com/d/optout.
   
  
   --
   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
  
   Kujiondoa Tuma Email kwenda
   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
   Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
  
   Disclaimer:
   Everyone posting to this Forum bears the sole
  responsibility
   for any legal consequences of his or her postings,
 and
  hence
   statements and facts must be presented responsibly.
 Your
   continued membership signifies that you agree to
 this
   disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
   ---
   You received this message because you are subscribed
 to
  the
   Google Groups "Wanabidii" group.
   To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails
   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
   For more options, visit
   https://groups.google.com/d/optout.

  --
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  Kujiondoa Tuma Email kwenda
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  Disclaimer:
  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence
  statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree to this
  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
  ---
  You received this message because you are subscribed to
 the
  Google Groups "Wanabidii" group.
  To unsubscribe from this group and stop receiving emails
  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.

  --
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  Kujiondoa Tuma Email kwenda
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  Disclaimer:
  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence
  statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree to this
  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
  ---
  You received this message because you are subscribed to
 the
  Google Groups "Wanabidii" group.
  To unsubscribe from this group and stop receiving emails
  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
  https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

No comments:

Post a Comment