Tuesday, 17 February 2015

Re: [wanabidii] Wassira amvaa Membe, ni baada ya Ofisi ya Membe kumdhalilisha

Kweli kabisa hilo gazeti linastaili kuitwa gazeti la uhuni maana wamiliki na wasomaji wake ni wahuni

2015-02-17 12:06 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Hebu tuseme kilichosemwa  CUF. nimeona kwenye gazeti la Uhuni kuwa UKLAWA yapasuka
CUF wamesema katika mchakato wa kugombea urais ndani ya UKAWA CUF watampendekeza Lipumba na vyama vingine vitaleta majina yao. mchakato utapita wa kuchuja kati ya mapendekezo ya vyama. atakayepita ndiye atakayeungwa mkono na ambao hawqakupita. Hawampendekezi asipite lakini wanajua kuwa anaweza asipite.
Uhuni siwashangai kusema walichoandika lakini najiuliza itakapotokea tofauti wataandika nini? Hizi propaganda za enzi ya upigania uhuru zinastahili kuwa zimeachwa.
--------------------------------------------
On Mon, 2/16/15, 'lesian mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Wassira amvaa Membe, ni baada ya Ofisi ya Membe kumdhalilisha
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Monday, February 16, 2015, 11:29 PM

 Duh rafi
 ndio hizo ndio aaana watu hawampendi huyu jamaa nasikia ana
 rafu za kitoooto kwannn sasa.........Ila Lowasa tu ndio
 kamshindwa analia lia tu chagueni viongozi wasio mafisadi wapiiii banaa.
 ana issue ya kujibu kuna hela za Gadaffi cjui zimeendaga
 wapi aulizweHafu jamani
 sijui naota naskia CUF wamem[itisha mzeee prof Lipumba
 agombee URAIS tena kwa ticket ya CUF na UKAWA sijui
 ....itakua kituko kama ni kweli......Namshaur akomae na
 Ubunge TEMEKE atapata si URAISI nae huyu mzee miaka 20
 anakomaa tu

 From:
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com>
  To:
 wanabidii@googlegroups.com
  Sent: Monday, February
 16, 2015 2:06 AM
  Subject: Re:
 [wanabidii] Wassira amvaa Membe, ni baada ya Ofisi ya Membe
 kumdhalilisha

 Picha
 unayoeleza sijaiona. Mimi niliona ambayo Wasira na Membe
 wako kwenye picha ya pamoja na viongozi wa Kanisa la Sabato
 ukumbini. Kama kuna nyingine  hatujaiona hiyo
 --------------------------------------------
 On Sun, 2/15/15, 'Fred Hans Kipamila'
 via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:

  Subject: Re:
 [wanabidii] Wassira amvaa Membe, ni baada ya Ofisi ya Membe
 kumdhalilisha
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Sunday, February 15, 2015, 7:54 AM

  Kama ofisi

 ya Membe ndiyo inasambaza hizi picha za Wasira basi ina
 watu
  hatari sana wanaingia hata nyumbani
 kwa Wasira kumpiga picha
  akiwakapumzika na
 wajukuu huku vifungo vya shati vikiwa

 havijafungwa! Ni hatari.Mbaya
  waWasira yumo
 nyumbani mwake
  
  
     From: 'ELISA

 MUHINGO' via Wanabidii
  <wanabidii@googlegroups.com>
   To:
  wanabidii@googlegroups.com

   Sent: Friday, February

 13, 2015 1:10 AM
   Subject: Re:
  [wanabidii] Wassira amvaa Membe, ni baada ya
 Ofisi ya Membe
  kumdhalilisha
    
  Ukiangalia sana picha
 hii utagudua kuwa watu
  hawa walikuwa
 wanajipanga kupigwa picha.
  Maana yake Mzee
 Wasira alikuwa hajagundua hili
  toka
 nyumbani akiagana na familia yake, Dreva wake, waumini
  wenzake mpaka anajipanga kupigwa picha? Huyu
 mtu ana
  mahusiano gani na wote waliomuona.
 Siku moja Chakubanga
  alimuuliza mkewe
 akisema Nimepata kura moja ya kwangu maana

 yake hata wewe Mke wangu hukunipigia kura?

 mkewe akajibu: Wasiokujua hawakukupigia mimi
  ninayekujua ndiye nikupigie kweli mume
 wangu?
  Sasa nisichokiona ninachotaka
 kusaidiwa ni
  kuonyeshwa kosa la Membe.
 Kujipanga naye kupigwa picha au
  kutomuonya
 baada ya kutoonywa na mkewe nyumbani? nafikiri
  aliyestahili kumuonya ni mke wa Rais wa
 ujerumani maana
  ndiye alikuwa karibu naye.
 Au wapiga picha kama hawakusita
  kuingilia
 kazi ya mke wa Wasira au dereva wake.

 --------------------------------------------
  On Thu, 2/12/15, Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>
  wrote:

  
 Subject:
  [wanabidii] Wassira amvaa Membe,
 ni baada ya Ofisi ya Membe
  kumdhalilisha
   To: wanabidii@googlegroups.com
   Date: Thursday, February 12, 2015, 7:51
 AM
  
   WASIRA AMVAA
 MEMBE
  
       * Ni
 baada ya ofisi ya
  Membe
  
 kumdhalilisha
  
   Wakuu
 Salamaa....
  
   Katika
 hali isiyokuwa ya kawaida waziri wa
  
 kilimo Ndugu Wassira amemvaa Membe kwa kile

 kinachoonekana
   ofisi ya Membe
  kumdhalilisha....
  
   Kwa
  muda wa siku mbili
 sasa, picha za Wassira


 zinazomdhalilisha zimekuwa zikisambazwa katika mitandao
   mbali mbali na wahusika wakubwa wakiwa ni
  waandishi na
   wapiga picha
 kutoka ofisi ya
  waziri huyo wa mambo ya
 nje.
   Kumbuka tarehe
  7.
 2. 2015 katika mkutano wa injili la

  dhehebu la wasabato, Membe ndiyo alikuwa mgeni
 rasmi na
   Wassira alihudhuria kama muumini
 wa kawaida wa
  dhehebu
  
 hilo..
  
   "Ni
 kweli kipindi cha mwanzo sikuweka
   vizuri
 vifungo vya koti langu, ila baada ya

 kuambiwa hilo na
   mzee Kuboja
 nililiweka
  sawa, sasa saizi nashangaa ofisi
 ya
   huyo
  jamaa yangu
 inasambaza picha ya awali ili tu
  
 kunidhalilisha; kwa kweli nimeuzunika sana,

 nimefadhaika
   sana, na nimejua kwamba
 hizi
  mbio za urais wengine
   wanazitumia kama
  nafasi ya
 kuwachafua wenzao" wassira

  amesikika akisema
  
   Katika
  hatua nyingine
 mpambe wake (Wassira)


 amesikika pia akisema "Kama ni vita vya urais kwa
  kweli
   pamefikia pabaya
 sana. Kilichofanywa
  na ofisi ya waziri
   Membe siyo ubinadamu

 kabisa, na ni unyama wa hali ya juu.
  
 Ila
  Membe ndiyo kawaida yake ni mtu wa
 siasa chafu, majungu,
   chuki, fitina na
 visasi, "....
  
  
 Wakuu, ni jambo la wazi
  kwamba Wassira
   personally alitakiwa

 kujiangalia kwanza kabla ya picha,

  ukizingatia ni kiongozi tena mwenye nafasi ya
 juu, waziri
   mwandamizi. However kwa
 upande mwingine pia
  ofisi ya Waziri
   Membe wakishirikiana na

 Membe mwenyewe walichokifanya siyo
  
 uungwana
  hata kidogo, na siyo ubinadamu
 ukizingatia wote ni
   watumishi katika
 serikali mmoja....
  
  
 Kama ingekuwa Nchi za
  wenzetu
 wasingevumilia huu
   uhuni

 uliyofanywa na ofisi ya Membe...
  
   NB: kadri siku zinavyozidi kusogea ni
 jambo
  jema
   msaliti wa
 muda mrefu na mpanga mbinu
  hasi ndani ya
 serikali
   na kwa watumishi
  wenzake anazidi kujulikana....
  
   Membe ni wa kuogopwa
 kama ukoma..
  
  
 Asanteni

  Agwambo
  
   http://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=802058
  
   Chanzo: JF


  
  
  
   --

  
   Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
  
    
  

   Kujiondoa Tuma Email kwenda


  
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
  
 kudhibitisha ukishatuma
  
    
  
  
 Disclaimer:
  

  Everyone posting to this Forum bears the
 sole
  responsibility
   for
 any legal consequences
  of his or her
 postings, and hence


 statements and facts must be presented responsibly. Your
   continued membership signifies that you
 agree
  to this
   disclaimer
 and pledge to abide by
  our Rules and
 Guidelines.
  

  ---
  
  
 You received this
  message because you are
 subscribed to the

  Google
 Groups "Wanabidii" group.


   To unsubscribe from this
 group and stop
  receiving emails
   from it, send an email to

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  
   For more options,
 visit

 https://groups.google.com/d/optout.


  

  --
  Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com

  Kujiondoa Tuma Email
 kwenda

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  Disclaimer:

 Everyone posting to
  this Forum bears the
 sole responsibility for any legal

 consequences of his or her postings, and hence statements
  and facts must be presented responsibly. Your
 continued
  membership signifies that you
 agree to this disclaimer and
  pledge to
 abide by our Rules and Guidelines.
  ---
  You received this message

 because you are subscribed to the Google Groups
  "Wanabidii" group.

 To unsubscribe
  from this group and stop
 receiving emails from it, send an
  email to
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit

 https://groups.google.com/d/optout.

    


  --

  Send
 Emails to wanabidii@googlegroups.com

   

  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma

   

  Disclaimer:


 Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
  for any legal consequences
 of his or her postings, and hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
 to this
  disclaimer and pledge to abide by
 our Rules and
  Guidelines.


  ---


 You received this message because you are subscribed to
 the
  Google Groups "Wanabidii"
 group.

  To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.


 --
 Send
 Emails to wanabidii@googlegroups.com

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 Disclaimer:
 Everyone posting to
 this Forum bears the sole responsibility for any legal
 consequences of his or her postings, and hence statements
 and facts must be presented responsibly. Your continued
 membership signifies that you agree to this disclaimer and
 pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message
 because you are subscribed to the Google Groups
 "Wanabidii" group.
 To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails from it, send an
 email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.




 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

No comments:

Post a Comment