Wednesday, 28 May 2014

[wanabidii] Re: UJUMBE WA CLEMENT OGINGA KUHUSU UNIVERSITY OF LIVERPOOL NI WA KUPOTOSHA

Mmmmmmmhhhhhhhh!
Only the paranoid survive

From: Yona Maro <oldmoshi@gmail.com>
Sender: wanakenya@googlegroups.com
Date: Wed, 28 May 2014 08:00:49 -0700
To: wanakenya@googlegroups.com<wanakenya@googlegroups.com>; wanabidii<wanabidii@googlegroups.com>; Wanazuoni<wanazuoni@yahoogroups.com>
ReplyTo: wanakenya@googlegroups.com
Subject: UJUMBE WA CLEMENT OGINGA KUHUSU UNIVERSITY OF LIVERPOOL NI WA KUPOTOSHA

UJUMBE WA CLEMENT OGINGA KUHUSU UNIVERSITY OF LIVERPOOL NI WA KUPOTOSHA 

Ndugu zangu ,

Dakika chache zilizopita nimepokea ujumbe kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kama mwanasheria wa Chuo cha LiverPool .

Huyu jamaa alikuwa amelalamika kuhusu ujumbe ulitumwa mwaka 2013 na Clement Oginga kuhusu fursa kadhaa za chuo hicho .

Imekuja kugundulika ujumbe ule ulikuwa una walakini na baadhi ya watu walishausambaza kwenye mitandao ya kijamii .

Nilivyopata ujumbe kutoka kwa Mwanasheria wa Liverpool nilitafuta post hiyo nikagundua ilitumwa na Clement Oginga .

Huyu Clement Oginga aliwahi kuwa na mtafaruku yati yake , Faiza Hassan , Felix Mwema na Maurice Oduor .

Jamani tuwe makini na Jumbe za fursa mbalimbali zinazoingizwa kwenye mitandao hii , kama ni za masomo , biashara na chochote kile .


--

Yona Fares Maro

Institut d'études de sécurité - SA


--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "WANAKENYA" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanakenya+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment