Friday, 16 May 2014

Re: [wanabidii] HEKO JAJI WEREMA

Si mmeona sasa, muungano haupo sawa, ni vyema watu tukae sasa hv turekebishe hz kasoro, thAT means serikali 3 ni lazima, haikwepeki.......unless tunatafuta matatizo mengine mbeleni
On Friday, May 16, 2014 3:52 PM, Nicomedes Kajungu <nicomedes76@gmail.com> wrote:


Mbunge mmoja kutoka Tanzania Visiwani aliuliza swali, Werema kichuri kikapanda akamwambia aende akaulize swali hilo kwenye Bunge la Zanzibar.
Majibu hayo yalimfanya muuliza swali na baadhi ya Wabunge kutoka Zanzibar kuondoka Bungeni. (Kususia Bunge).
On May 16, 2014 3:43 PM, "Lucas" <lucsyo@gmail.com> wrote:
Wadau kwani Jaji Werema amesemaje....mwenye clip ya statement yake atuwekee humu please

On May 16, 2014, at 12:12 PM, Selemani Swalehe <semkiwas@gmail.com> wrote:

Boxbe This message is eligible for Automatic Cleanup! (semkiwas@gmail.com) Add cleanup rule | More info
Wote hawa wanaoshupaa na kutoa matusi na kejeli kwa wananchi watakapotoka madarakani wataomba radhi tu
 


2014-05-16 2:06 GMT-07:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Katika historia ya Taifa hili huenda huyu ni mtu wa Tatu.
Namkumbuka Samwel malecela akiwa waziri wa usafirishaji.
Namkumbuka Benjamin Mkapa alipounda baraza la Mawaziri la kwanza wananchi wakaonyesha kutoridhika. Na sasa Werema. Naungana na wanaompongeza.
On Friday, May 16, 2014 11:45 AM, Erick Maro <rikmaro@gmail.com> wrote:


Lingonet umenena wewe uliona, wakuwajibika ni Spika Anne Makinda.
On May 16, 2014 8:22 AM, "'Ngupula GW' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Mtu akiomba radhi ni aina ya uwajibikaji pia. Jamani,jamii yetu tusiwatrain watu kuwa wagumu wa mioyo na wasiojua hata kuomba hata samahani. Yapo makosa ambayo mtu akiomba tu samahani tutamwambia haitoshi. Ngupula

'James Riwa' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

AJIUZULU  Jaji werema AENDE WAPI, ATAKULA NINI MAANA HAWA JAMAA TOKA wa graduate CHUO KIKUU HAWAJAWAHI HATA KUKAA MTAANI KUTAFUTA KAZI

wANABADILI TU VYEO NAMADARAKA
IKALAKHA BHAHO!


On Thursday, May 15, 2014 9:20 PM, "'marcuskabwella@yahoo.com' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Naomba nitumieni maneni ya kibaguzi aliyitumia na jinsi alivyoomba radhi!


From: 'tumaini bakobi' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>;
To: wanabidii@googlegroups.com <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] HEKO JAJI WEREMA
Sent: Fri, May 16, 2014 4:11:33 AM

Kuomba msamaha tu hakutoshi, anatakiwa ajiuzuru kuonyesha uwajibikaji! 

On Friday, 16 May 2014, 0:07, Erick Maro <rikmaro@gmail.com> wrote:


Napenda kumpongeza sana Mwanasheria mkuu wa Serekali Jaji Frederick Werema kwa weledi wa hali ya juu aliouonyesha kwa kuomba --
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


0 comments:

Post a Comment