Vijana Wapendwa:
Mjitokeze kupata elimu ya uhakika na nafasi hizi 20 lazima tuzitumie na endeni mkasome China (MSc & PhD).
Kwenye tovuti ya Wizara mtapata nafasi nyingine 10 za kwenda kusoma (MSc & PhD) nchini Brazil.
Tafadahali sambaza ujumbe huu kwa Watanzania wengi zaidi. Lazima tujipende kwanza ili tuweze kushindana
na mataifa mengine.
Naomba kuwakumbusha:
1. Aristotle (384-322 BC): "The roots of education are bitter, but the fruit is sweet."
2. Benjamin Disrael (1804-1881): "A University should be a place of light, of liberty, and of learning."
Vijana wa Tanzania: njia pekee ya kufuta umaskini ni kupata elimu bora inayochangia ukuaji wa uchumi imara wenye kutoa
matumaini kwa wote na hasa kwa wanyonge na maskini. Uchumi usiobagua watu na mikoa yao. Tutavuka salama.
Full Professor of Geology, University of Dar Es Salaam
Editor-in-Chief, Journal of African Earth Sciences, Elsevier
Vice President, Commission for the Geological Map of the World
Honorary Fellow, Geological Society of America
Honorary Fellow, Geological Society of London
Honorary Research Fellow, Chinese Academy of Geological Sciences
Prof Dr Sospeter M. Muhongo
FGSAf, FAAS, FASSAf, FGIGE, FASI, FTWAS, HonFCAGS, HonFGSA, HonFGS, CGeol, EurGeol.
(Officier,Ordre des Palmes Académiques)
Mobile: +255 754 400 800
No comments:
Post a Comment