Koku. Angalia hoja ya msingi kwenye original article. Hii ninamjibu Emanuel na ukweli amehoji pembeni mwa hoja ya msingi inayojadili technical na discipline aspects of the police when handling the two issues in question. Ukiijadili kama Emma anavyoileta utaingiza watu wengi wa kujibu na kujitetea badala ya waziri, RC, RPC, DC OCD.
--------------------------------------------
On Thu, 3/9/17, 'Lutgard Kokulinda Kagaruki' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, March 9, 2017, 9:09 AM
Elisa
we vipi?
Tunaongelea
watoto/wajukuu zetu; hata kama hawakuwa na kibali, ndo
wapigwe kama majambazi?
LKK
On Wednesday, March
8, 2017 11:42 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Unatwambia habari za marekani nchi tajii ina
polisi wenye vyombo vya akiba nakadhalika. Wewe uko marekani
itafute historia ya nchi hiyo. Katiba yao iliandikwa na
majenerali saba na wakasema jimbo litakalopinga vita. Sisi
hatujafika hapo. Unafanya lkosa kufikiri (acha kuandika)
kuwa demokrasia yetu iwe kama ilivyo ya marekani. Tungetaka
kuanzia walipoanzia je?
--------------------------------------------
On Wed, 3/8/17, Emmanuel
Muganda <emuganda@gmail.com>
wrote:
Subject: Re: [wanabidii]
MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA
ZAIDI.
To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, March 8,
2017, 11:34 PM
Polisi
hawana haki ya kuzuia
maandamano in a true democratic
country. Kuna maandamano yanaweza kufanyika
spontaneously,
hiyo ni
haki ya raia.Baadfa ya ushindi wa Trump
Wamarekani katika sehemu
mbalimbali za nchi walimiminika
mitaani kuandamana. Hawakuhitaji kibali cha
polisi.Simba
walipowafunga Yanga juzi mashabiki
wa Simba wangeandamana
isingekuwa nongwa. Polisi
hawakuhitaji kuombwa ruhusa.em
2017-03-08 15:13
GMT-05:00
'ELISA
MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Walikuwa
na haki ya kuyazuia kwa
sababu kabla hawajaandamana
walihiyaji kutoa taarifa ya kuandamana ili
walindwe. Kama
mazingira hayaruhuzu basi hawapati kibali na hivyo
hawaandamani. Sasa hawa
hawakupitia utaratibu huo.
------------------------------ --------------
On Wed, 3/8/17, Emmanuel
Muganda <emuganda@gmail.com>
wrote:
Subject: Re:
[wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI,
UNAKUHITAJI KUFANYA
ZAIDI.
To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, March
8, 2017, 10:56 PM
Elisa,Hapo ndipo
tunapopishana. Polisi hana
mamlaka
yoyote ya kuzuia
maandamano ya raia, hata wanafunzi.
Walichofanya wanafunzi
wa Simiyu ni haki yao kabisa
polisi
hawakuwa na mamlaka ya
kuingilia katina
kuwazuia.
Kazi yao ilikuwa ni
kuhakikisha kwamba
maandamano
yanafanyika kwa amani
si kuyasimamisha na kuyazuia. Ni
uvunjaji
wa haki za
binadamu/raia.em
2017-03-08 14:27
GMT-05:00
'ELISA MUHINGO'
via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Wakati
rais akiwaapisha
watendaji wake siku moja hivi
karibuni,
aligusia mwenendo
wa raia kutoheshimu vyombo vya dola.
Mifano aliyotoa ni watu
kuitwa Polisi wakaongozana na
kwaya
na wengine kuosha
magari. Nakubaliana na rais wetu kuwa
vyombo hivi vinahitaji
kuheshimiwa. Ukaribu wa watu
Fulani
na viongozi wetu wa juu
kwa sababu mbalimbali
ulitufikisha
hapo. Mtu mwenye hela
alijua hata akivunja sheria
hawezi
kukamatwa. Sasa
Tanzania hakuna mwenye uhakika huo tena.
Ni
vibaya sana kwa raia
mmoja kujihakikishia hilo kwamba
hata
akimuonea raia mwenzake
hakuna taasisi ya
kumshughulikia.
Hii ndiyo huleta watu
kuchukua sheria mkononi mwao.
Njia nyingine na muhimu
ya lazima kwa vyombo hivi
kuheshimiwa, ni vyombo vyenyewe kujiheshimu na
kuheshimu
nafasi zao.
Matukio mawili hivi
karibuni yaliyotendwa na askari
polisi
wetu ni mfano mmojawapo
wa jeshi hili kutojiheshimu na
kwa
kweli lisitegemee
kuheshimiwa hata rais angeagiza.
Mkoani Pwani Polisi
wamevamia kijiji cha wafugaji na
kuanza
kuswaga ng'ombe na
kuwapeleka Polisi. Wafugaji bila
kubisha
wakakubali ng'ombe wapelekwe. Lakini wakataka
ng'ombe hao
wahesabiwe ili ijulikane ni ng'ombe
wangapi
wanachukuliwa. Polisi
hawataki. Wanaamua kurusha risasi
na
kuua. Anakuja Mkuu wa
Wilaya na kukana kuwa askari hao
walikuwa
hawakutumwa katika eneo husika maana sio eneo
lenye
mgogoro. Ni eneo la
wafugaji. Wananchi wanadai hatua
zichukuliwe kwa askari hao. Hakuna hatua
zinazochukuliwa
Mkoa mzima, mpaka
waziri wa mambo ya ndani alipofika
ndipo
akaagiza askari hao
wakamatwe.
Hebu tuone viashiria
hivi; na kama ndio mfumo tuone
kama
raia wa Tanzania wako
salama kweli:
1. Askari
anakwenda eneo lisilo na mgogoro na
bila
kuagizwa na wakubwa
wake wa kazi, anakamata mali za
raia.
2. Raia
wanakubali lakini wanataka kuhakiki
mali
inayokamatwa. Askari
wanakataa. Wanaamua kuua raia hao.
3. Mkuu wa
Wilaya anadhibitisha Polisi hao
wamefanya
kitendo cha
kihalifu; (kwa sababu hawakutumwa huko
kukamata
mali za raia hao).
4. Mkoa mzima
ambao una Mkuu wa wilaya, OCD, RPC
na
Mkuu wa Mkoa hakuna
anayeona na kutumia madaraka yake
kuwakamata askari hao. Maana yake wako huru na wanaweza
kufanya hivyo hata
kijiji kingine.
5. Amri ya
kuwakamata Polisi hao inakuja kutolewa
na
waziri.
Hivi katika mazingira
haya raia wajione wako salama???
Tanzania
ina mokoa karibu 30. Mikoa kumi ikipata tatizo
linalohitaji askari
akamatwe mpaka waziri aisungukie
yote?
Nataka Mwigulu ajijibu
(asitangaze jibu). Sisi tunataka
kupata
jibu kwa jambo atakalolitenda.
Mwigulu kuagiza askari
walioua wakamatwe,
amemdhalilisha
RPC. Kumsheshimu RPC
wake alipashwa kumtimua kazi.
Nitatoa
mfano. Kuna tajiri
mmoja alijenga kituo cha mafuta
barabarani Mwanza. Waziri Magufuli (alikuwa hajawa
rais),
akamwagiza Mkuu wa mkoa
kukibomoa kituo hicho. Mkuu wa
mkoa
akakataa. Magufuli
(Inasemekana) alimpigia simu na
kumwambia
Mkuu wa Mkoa
asikilize taarifa ya habari ya saa kumi
atatajwa mkuu wa Mkoa
mpya atakayefanya kazi hiyo. Simu
ilipokatwa Mkuu wa Mkoa (inasemekana) alikwenda
kusimamia
kituo kuvunjwa na kwa
masaa kilikuwa hakipo tena.
Tunataka
tuone kinachotokea
ambacho inasemekana Mwigulu alifanya
(kwa
RPC) wake; kama
Magufuli alivyofanya kwa mkuu wa Mkoa
wa
Mwanza wakati huo.
Kituko cha pili ni cha
wanafunzi wa Simiyu. Wanafunzi
wanasema
shule yao ilikuwa inashindwa. Ameletwa mwalimu
kwa
juhudi zake sasa
matokeo ya mitihani yanaonyesha
mabadiliko.
Mwalimu huyo
anahamishwa. Wanafunzi wakaamua
kuandamana.
Wamebeba
makaratasi. Polisi wakaja kuwazuia wasiandamane.
Ni
haki kabisa kuwazuia.
Ilitarajiwa Polisi waweke ukanda
na
kuwatangazia wasimame
hapohapo na kuwahoji wanataka
nini.
Sasa wanakuja na zana
kana kwamba watu wanauana na namna
ya
kuwatawanya ni
kuwavurunda.
Zimetoka picha
mtandaoni zikionyesha Polisi
"wanamdhibiti" mwanafunzi. Huyu anavuta huku, huyu
anavuta huko, huyu
anapiga ngwara. Mtu unajiuliza
Polisi
walikuwa wanafanya nini
hasa? Nani alikuwa anawaongoza
wenzake
kufanya hivyo? Huyu mwanafunzi angeambiwa
"panda
gari hilo" angepanda.
Angebisha Polisi wawili
walitosha
kumshika na kumlaza
chini na kumuweka Pingu.
Ukiiangalia
picha hiyo hukosi
kujiuliza kiwango cha elimu
kinachotolewa
kwa
Polisi wetu huko chuoni! Kuna mtu aliwahi kusema
huwa
wanafundishwa ukakamavu
na gwaride tu. Ukilinganisha
picha
hizo na usemi huo
huwezi kumkatalia aliyesema
wanajifunza
gwaride na
ukakamavu tu. Hakuna busara ya
kuwashugulikia
wahalifu
inatolewa. Hakuna aina ya maandamano na namna
ya
kuyadhibiti. Hakuna
elimu ya mahusiano na raia wema ili
kazi
yao iwe nyepesi. Kuna
mtu anauza viroba jirani yangu.
Mpaka
sasa najiuliza
nimwambie nani? Vituko hivi ndani ya
makala
yangu sithubutu
kumwambia Polisi. Nakubaliana na
mengine
yanayosemwa juu yao.
Mambo haya hayawezi kuacha
kutonesha
vidonda myoyoni
mwetu juu ya matendo ya Polisi. Mauaji
ya
Mwangosi; Kuburuzwa
ndani Lipumba wakati amewambia
Polisi
kuwa anakwenda
kuwatawanya watu waliokuwa hawajui kuwa
mkutano umekataliwa; na
mengine mengi tu.
Ninakumbuka kusikia
radio ujerumani wakielezea elimu ya
Polisi wao. Wanasema
Polisi akikutana na mtu amelala
barabarani cha kwanza wanadhani ana kisukari, au kifafa
au
magonjwa mengine, kabla
ya kufikiri ni mlevi. Polisi
wana
vifaa vya kupima
kuhakikisha ana shida gani. Wa kwetu
watapiga mateke na
kusema ni mlevi. Mwigulu. Kati ya
mambo
ya kutopuuza ni elimu
inayotolewa kwa asiakri wetu.
Madaraka
na wajibu wa Polisi
wetu. Lakini niseme; Nitashangaa
kama
RPC wa Pwani ataendelea
na kazi.
Elisa Muhingo
0767 187 507
elisamuhingo@yahoo.com
--
Send
Emails to wana...@googlegroups.com
Kujiondoa
Tuma Email kwenda
wanabidii+...@ googlegroups.com
Utapata
Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone
posting to
this Forum bears
the sole
responsibility
for
any legal
consequences
of his or
her
postings,
and
hence
statements and facts must be
presented
responsibly.
Your
continued membership signifies that
you agree
to
this
disclaimer and pledge to abide by
our
Rules
and
Guidelines.
---
You
received this
message
because you
are
subscribed
to
the
Google
Groups "Wanabidii"
group.
To
unsubscribe from this group and
stop
receiving
emails
from
it, send an
email to wanabidii+...@
googlegroups.com.
For
more
options,
visit
https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails
to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa
Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com
Utapata
Email ya
kudhibitisha
ukishatuma
Disclaimer:
Everyone
posting to
this Forum bears the sole
responsibility
for any
legal consequences
of his or her
postings, and
hence
statements
and facts must be presented
responsibly.
Your
continued
membership
signifies that
you agree to this
disclaimer and
pledge to abide by our Rules
and
Guidelines.
---
You received
this message because you are
subscribed
to
the
Google
Groups
"Wanabidii" group.
To
unsubscribe from this group and stop
receiving
emails
from it,
send an email
to
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more
options,
visit
https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma
Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting
to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal
consequences of his or her
postings,
and
hence
statements and
facts must be presented
responsibly.
Your
continued
membership signifies that you agree to
this
disclaimer and
pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this
message because you are
subscribed
to
the
Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving
emails
from it, send an
email to
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole
responsibility
for any
legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts
must be presented responsibly.
Your
continued membership
signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this
message because you are subscribed to
the
Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe from
this group and stop receiving
emails
from it, send an email
to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha
ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole
responsibility
for any
legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts
must be presented responsibly.
Your
continued membership
signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this
message because you are subscribed to
the
Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe from
this group and stop receiving
emails
from it, send an email
to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this
Forum bears the sole responsibility
for any legal
consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must
be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to
this
disclaimer and
pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this
group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this
Forum bears the sole responsibility
for any legal
consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must
be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to
this
disclaimer and
pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this
group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this
Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
No comments:
Post a Comment