Thursday, 9 March 2017

Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.

Koku. Angalia hoja ya msingi kwenye original article. Hii ninamjibu Emanuel na ukweli amehoji pembeni mwa hoja ya msingi inayojadili technical na discipline aspects of the police when handling the two issues in question. Ukiijadili kama Emma anavyoileta utaingiza watu wengi wa kujibu na kujitetea badala ya waziri, RC, RPC, DC OCD.
--------------------------------------------
On Thu, 3/9/17, 'Lutgard Kokulinda Kagaruki' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, March 9, 2017, 9:09 AM

Elisa
we vipi?
Tunaongelea
watoto/wajukuu zetu; hata kama hawakuwa na kibali, ndo
wapigwe kama majambazi?
LKK                  
                                       
                    



On Wednesday, March
8, 2017 11:42 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Unatwambia habari za marekani nchi tajii ina
polisi wenye vyombo vya akiba nakadhalika. Wewe uko marekani
itafute historia ya nchi hiyo. Katiba yao iliandikwa na
majenerali saba na wakasema jimbo litakalopinga vita. Sisi
hatujafika hapo. Unafanya lkosa kufikiri (acha kuandika)
kuwa demokrasia yetu iwe kama ilivyo ya marekani. Tungetaka
kuanzia walipoanzia je?
--------------------------------------------
On Wed, 3/8/17, Emmanuel
Muganda <emuganda@gmail.com>
wrote:

Subject: Re: [wanabidii]
MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA
ZAIDI.
To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, March 8,
2017, 11:34 PM

Polisi
hawana haki ya kuzuia
maandamano in a true democratic
country. Kuna maandamano yanaweza kufanyika
spontaneously,
hiyo ni
haki ya raia.Baadfa ya ushindi wa Trump
Wamarekani katika sehemu
mbalimbali za nchi walimiminika
mitaani kuandamana. Hawakuhitaji kibali cha
polisi.Simba
walipowafunga Yanga juzi mashabiki
wa Simba wangeandamana
isingekuwa nongwa. Polisi
hawakuhitaji kuombwa ruhusa.em
2017-03-08 15:13
GMT-05:00
'ELISA
MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Walikuwa
na haki ya kuyazuia kwa
sababu kabla hawajaandamana
walihiyaji kutoa taarifa ya kuandamana ili
walindwe. Kama

mazingira hayaruhuzu basi hawapati kibali na hivyo
hawaandamani. Sasa hawa
hawakupitia utaratibu huo.


------------------------------ --------------

On Wed, 3/8/17, Emmanuel
Muganda <emuganda@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re:
[wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI,
UNAKUHITAJI KUFANYA
ZAIDI.

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Wednesday, March
8, 2017, 10:56 PM



 Elisa,Hapo ndipo 
tunapopishana. Polisi hana

 mamlaka
yoyote ya kuzuia

maandamano ya raia, hata wanafunzi.

 Walichofanya wanafunzi
wa Simiyu ni haki yao kabisa
polisi

 hawakuwa na mamlaka ya
kuingilia katina

kuwazuia.

 Kazi yao ilikuwa ni
kuhakikisha kwamba
maandamano

 yanafanyika kwa amani
si kuyasimamisha na kuyazuia. Ni

 uvunjaji
wa haki za

  binadamu/raia.em

 2017-03-08 14:27
GMT-05:00

 'ELISA MUHINGO'
via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 Wakati

 rais akiwaapisha
watendaji wake siku moja hivi
karibuni,


 aligusia mwenendo
wa raia kutoheshimu vyombo vya dola.

 Mifano aliyotoa ni watu
kuitwa Polisi wakaongozana na
kwaya

 na wengine kuosha
magari. Nakubaliana na rais wetu kuwa

 vyombo hivi vinahitaji
kuheshimiwa. Ukaribu wa watu
Fulani

 na viongozi wetu wa juu
kwa sababu mbalimbali

ulitufikisha

 hapo. Mtu mwenye hela
alijua hata akivunja sheria
hawezi

 kukamatwa. Sasa
Tanzania hakuna mwenye uhakika huo tena.
Ni

 vibaya sana kwa raia
mmoja kujihakikishia hilo kwamba
hata

 akimuonea raia mwenzake
hakuna taasisi ya

kumshughulikia.

 Hii ndiyo huleta watu
kuchukua sheria mkononi mwao.







 Njia nyingine na muhimu
ya lazima kwa vyombo hivi


 kuheshimiwa, ni vyombo vyenyewe kujiheshimu na
kuheshimu

 nafasi zao.



 Matukio mawili hivi
karibuni yaliyotendwa na askari
polisi

 wetu ni mfano mmojawapo
wa jeshi hili kutojiheshimu na
kwa

 kweli lisitegemee
kuheshimiwa hata rais angeagiza.



 Mkoani Pwani Polisi
wamevamia kijiji cha wafugaji na
kuanza

 kuswaga ng'ombe na
kuwapeleka Polisi. Wafugaji bila

 kubisha
wakakubali ng'ombe wapelekwe. Lakini wakataka

 ng'ombe hao
wahesabiwe ili ijulikane ni ng'ombe
wangapi

 wanachukuliwa. Polisi
hawataki. Wanaamua kurusha risasi
na

 kuua. Anakuja Mkuu wa
Wilaya na kukana kuwa askari hao

 walikuwa
hawakutumwa katika eneo husika maana sio eneo
lenye

 mgogoro. Ni eneo la
wafugaji. Wananchi wanadai hatua


 zichukuliwe kwa askari hao. Hakuna hatua
zinazochukuliwa

 Mkoa mzima, mpaka
waziri wa mambo ya ndani alipofika
ndipo

 akaagiza askari hao
wakamatwe.



 Hebu tuone viashiria
hivi; na kama ndio mfumo tuone
kama

 raia wa Tanzania wako
salama kweli:



 1.      Askari
anakwenda eneo lisilo na mgogoro na
bila

 kuagizwa na wakubwa
wake wa kazi, anakamata mali za
raia.



 2.      Raia
wanakubali lakini wanataka kuhakiki
mali

 inayokamatwa. Askari
wanakataa. Wanaamua kuua raia hao.



 3.      Mkuu wa
Wilaya anadhibitisha Polisi hao
wamefanya


 kitendo cha
kihalifu; (kwa sababu hawakutumwa huko
kukamata

 mali za raia hao).



 4.      Mkoa mzima
ambao una Mkuu wa wilaya, OCD, RPC
na

 Mkuu wa Mkoa hakuna
anayeona na kutumia madaraka yake


 kuwakamata askari hao. Maana yake wako huru na wanaweza

 kufanya hivyo hata
kijiji kingine.



 5.      Amri ya
kuwakamata Polisi hao inakuja kutolewa
na

 waziri.



 Hivi katika mazingira
haya raia wajione wako salama???

 Tanzania
ina mokoa karibu 30. Mikoa kumi ikipata tatizo

 linalohitaji askari
akamatwe mpaka waziri aisungukie
yote?

 Nataka Mwigulu ajijibu
(asitangaze jibu). Sisi tunataka

 kupata
jibu kwa jambo atakalolitenda.



 Mwigulu kuagiza askari
walioua wakamatwe,

amemdhalilisha

 RPC. Kumsheshimu RPC
wake alipashwa kumtimua kazi.
Nitatoa

 mfano. Kuna tajiri
mmoja alijenga kituo cha mafuta


 barabarani Mwanza. Waziri Magufuli (alikuwa hajawa
rais),

 akamwagiza Mkuu wa mkoa
kukibomoa kituo hicho. Mkuu wa
mkoa

 akakataa. Magufuli
(Inasemekana) alimpigia simu na
kumwambia


 Mkuu wa Mkoa
asikilize taarifa ya habari ya saa kumi

 atatajwa mkuu wa Mkoa
mpya atakayefanya kazi hiyo. Simu


 ilipokatwa Mkuu wa Mkoa (inasemekana) alikwenda
kusimamia

 kituo kuvunjwa na kwa
masaa kilikuwa hakipo tena.
Tunataka


 tuone kinachotokea
ambacho inasemekana Mwigulu alifanya
(kwa

 RPC) wake; kama
Magufuli alivyofanya kwa mkuu wa Mkoa
wa

 Mwanza wakati huo.







 Kituko cha pili ni cha
wanafunzi wa Simiyu. Wanafunzi

 wanasema
shule yao ilikuwa inashindwa. Ameletwa mwalimu
kwa

 juhudi zake sasa
matokeo ya mitihani yanaonyesha
mabadiliko.


 Mwalimu huyo
anahamishwa. Wanafunzi wakaamua
kuandamana.


 Wamebeba
makaratasi. Polisi wakaja kuwazuia wasiandamane.
Ni

 haki kabisa kuwazuia.
Ilitarajiwa Polisi waweke ukanda
na

 kuwatangazia wasimame
hapohapo na kuwahoji wanataka
nini.

 Sasa wanakuja na zana
kana kwamba watu wanauana na namna
ya

 kuwatawanya ni
kuwavurunda.



 Zimetoka picha
mtandaoni zikionyesha Polisi


 "wanamdhibiti" mwanafunzi. Huyu anavuta huku, huyu

 anavuta huko, huyu
anapiga ngwara. Mtu unajiuliza
Polisi

 walikuwa wanafanya nini
hasa? Nani alikuwa anawaongoza

 wenzake
kufanya hivyo? Huyu mwanafunzi angeambiwa
"panda

 gari hilo" angepanda.
Angebisha Polisi wawili
walitosha


 kumshika na kumlaza
chini na kumuweka Pingu.
Ukiiangalia


 picha hiyo hukosi
kujiuliza kiwango cha elimu
kinachotolewa

 kwa
Polisi wetu huko chuoni! Kuna mtu aliwahi kusema
huwa

 wanafundishwa ukakamavu
na gwaride tu. Ukilinganisha
picha

 hizo na usemi huo
huwezi kumkatalia aliyesema
wanajifunza


 gwaride na
ukakamavu tu. Hakuna busara ya
kuwashugulikia

 wahalifu
inatolewa. Hakuna aina ya maandamano na namna
ya

 kuyadhibiti. Hakuna
elimu ya mahusiano na raia wema ili
kazi

 yao iwe nyepesi. Kuna
mtu anauza viroba jirani yangu.
Mpaka

 sasa najiuliza
nimwambie nani? Vituko hivi ndani ya
makala

 yangu sithubutu
kumwambia Polisi. Nakubaliana na
mengine

 yanayosemwa juu yao.
Mambo haya hayawezi kuacha
kutonesha


 vidonda myoyoni
mwetu juu ya matendo ya Polisi. Mauaji
ya

 Mwangosi; Kuburuzwa
ndani Lipumba wakati amewambia
Polisi

 kuwa anakwenda
kuwatawanya watu waliokuwa hawajui kuwa

 mkutano umekataliwa; na
mengine mengi tu.



 Ninakumbuka kusikia
radio ujerumani wakielezea elimu ya

 Polisi wao. Wanasema
Polisi akikutana na mtu amelala


 barabarani cha kwanza wanadhani ana kisukari, au kifafa
au

 magonjwa mengine, kabla
ya kufikiri ni mlevi. Polisi
wana

 vifaa vya kupima
kuhakikisha ana shida gani. Wa kwetu

 watapiga mateke na
kusema ni mlevi. Mwigulu. Kati ya
mambo

 ya kutopuuza ni elimu
inayotolewa kwa asiakri wetu.
Madaraka


 na wajibu wa Polisi
wetu. Lakini niseme; Nitashangaa
kama

 RPC wa Pwani ataendelea
na kazi.



 Elisa Muhingo



 0767 187 507



 elisamuhingo@yahoo.com







   



            --



        



           



        



      



            Send
Emails to wana...@googlegroups.com



        



           



        



      



             



        



           



        



        



          Kujiondoa
Tuma Email kwenda



        



           



        



        



         
wanabidii+...@ googlegroups.com 



        



      



           Utapata
Email ya



        



      



           
kudhibitisha ukishatuma



        



           



        



      



             



        



           



        



        



         
Disclaimer:



        



           



      



        



           
Everyone



       posting to
this Forum bears



         the sole



        



          
responsibility



        



            for
any legal



       consequences
of his or



         her
postings,



        



          and



        



      



           hence



        



           
statements and facts must be



       presented



        
responsibly.



        



      



          Your



        



           
continued membership signifies that



         you agree
to



        



          this



        



           
disclaimer and pledge to abide by



       our



         Rules
and



        



          
Guidelines.



        



           



        



        



          ---



        



           



        



            You
received this



       message
because you



         are
subscribed



        



          to



        



      



           the



        



            Google
Groups "Wanabidii"



         group.



        



           



        



        



          To
unsubscribe from this group and



        



       stop
receiving



        



        



        emails



        



           
from



       it, send an
email to wanabidii+...@



        



      
googlegroups.com.



        



        



         



        



            For
more



       options,
visit



        



           https://groups.google.com/d/



         optout.



        



           



        



        



      



        



        



        



      



         --



        



         Send Emails
to wanabidii@googlegroups.com



        



          



        



      



         Kujiondoa
Tuma Email kwenda



        



        
wanabidii+unsubscribe@



 googlegroups.com 




        Utapata
Email ya



        



       kudhibitisha
ukishatuma



        



          



        



        



       Disclaimer:



        



         Everyone



       posting to
this Forum bears the sole



      



      
responsibility



         for any
legal consequences



       of his or her
postings, and



        hence



         statements
and facts must be presented



       responsibly.
Your



         continued
membership



       signifies that
you agree to this



        



       disclaimer and
pledge to abide by our Rules
and



        
Guidelines.



        



         ---



        



        



       You received
this message because you are



   subscribed



     to



        the



         Google
Groups



      
"Wanabidii" group.



        



         To
unsubscribe from this group and stop



       receiving
emails



         from it,
send an email



       to
wanabidii+unsubscribe@



 googlegroups.com.




        



         For more
options,



       visit



      



       https://groups.google.com/d/

 optout.



        



      



         



      



    



     --



     Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



    



     Kujiondoa Tuma
Email kwenda



    
wanabidii+unsubscribe@



 googlegroups.com 




     Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma



    



     Disclaimer:



     Everyone posting
to this Forum bears the sole



    responsibility



     for any legal
consequences of his or her
postings,




   and



    hence



     statements and
facts must be presented
responsibly.



   Your



     continued
membership signifies that you agree to



   this



     disclaimer and
pledge to abide by our Rules and



    Guidelines.



     ---



     You received this
message because you are


 subscribed



   to



    the



     Google Groups
"Wanabidii" group.



     To unsubscribe
from this group and stop receiving



   emails



     from it, send an
email to

wanabidii+unsubscribe@



 googlegroups.com.




     For more options,
visit



     https://groups.google.com/d/

 optout.







 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







 Kujiondoa Tuma Email
kwenda




 wanabidii+unsubscribe@


 googlegroups.com 

Utapata Email ya kudhibitisha


 ukishatuma







 Disclaimer:



 Everyone posting to
this Forum bears the sole
responsibility

 for any
legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts
must be presented responsibly.
Your

 continued membership
signifies that you agree to this


 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this
message because you are subscribed to
the

 Google Groups
"Wanabidii" group.



 To unsubscribe from
this group and stop receiving
emails

 from it, send an email
to wanabidii+unsubscribe@


 googlegroups.com.




 For more options, visit
https://groups.google.com/d/

 optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email
kwenda




 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha
ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to
this Forum bears the sole
responsibility

 for any
legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts
must be presented responsibly.
Your

 continued membership
signifies that you agree to this


 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this
message because you are subscribed to
the

 Google Groups
"Wanabidii" group.



 To unsubscribe from
this group and stop receiving
emails

 from it, send an email
to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit
https://groups.google.com/d/
optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email
kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma




Disclaimer:

Everyone posting to this
Forum bears the sole responsibility
for any legal
consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must
be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to
this
disclaimer and
pledge to abide by our Rules and
Guidelines.


---

You received this message
because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this
group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@

googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/
optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email
kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya

kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this
Forum bears the sole responsibility
for any legal
consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must
be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to
this
disclaimer and
pledge to abide by our Rules and
Guidelines.


---

You received this message
because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this
group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this
Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

No comments:

Post a Comment