Thursday, 9 March 2017

Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.

Elisa,
Kuna kitu kinaitwa Universal declaration of human rights. We are signatory to that. Siyo Marekani peke yake. Angalia nchi zote zinazojali raia wake zikiwemo Uingereza, Sweden, Norway, Ujerumani, Ufaransa, etc.
Na sisi tunapaswa kuwa kwenye kundi hilo.
em

2017-03-08 15:42 GMT-05:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Unatwambia habari za marekani nchi tajii ina polisi wenye vyombo vya akiba nakadhalika. Wewe uko marekani itafute historia ya nchi hiyo. Katiba yao iliandikwa na majenerali saba na wakasema jimbo litakalopinga vita. Sisi hatujafika hapo. Unafanya lkosa kufikiri (acha kuandika) kuwa demokrasia yetu iwe kama ilivyo ya marekani. Tungetaka kuanzia walipoanzia je?
--------------------------------------------
On Wed, 3/8/17, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI, UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Wednesday, March 8, 2017, 11:34 PM

 Polisi
 hawana haki ya kuzuia maandamano in a true democratic
 country. Kuna maandamano yanaweza kufanyika spontaneously,
 hiyo ni haki ya raia.Baadfa ya ushindi wa Trump
 Wamarekani katika sehemu mbalimbali za nchi walimiminika
 mitaani kuandamana. Hawakuhitaji kibali cha
 polisi.Simba walipowafunga Yanga juzi mashabiki
 wa Simba wangeandamana isingekuwa nongwa. Polisi
 hawakuhitaji kuombwa ruhusa.em
 2017-03-08 15:13 GMT-05:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Walikuwa
 na haki ya kuyazuia kwa sababu kabla hawajaandamana
 walihiyaji kutoa taarifa ya kuandamana ili walindwe. Kama
 mazingira hayaruhuzu basi hawapati kibali na hivyo
 hawaandamani. Sasa hawa hawakupitia utaratibu huo.

 ------------------------------ --------------

 On Wed, 3/8/17, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
 wrote:



  Subject: Re: [wanabidii] MWIGULU: MWENDENDO HUU WA POLISI,
 UNAKUHITAJI KUFANYA ZAIDI.

  To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Wednesday, March 8, 2017, 10:56 PM



  Elisa,Hapo ndipo  tunapopishana. Polisi hana

  mamlaka yoyote ya kuzuia
 maandamano ya raia, hata wanafunzi.

  Walichofanya wanafunzi wa Simiyu ni haki yao kabisa
 polisi

  hawakuwa na mamlaka ya kuingilia katina
 kuwazuia.

  Kazi yao ilikuwa ni
 kuhakikisha kwamba maandamano

  yanafanyika kwa amani si kuyasimamisha na kuyazuia. Ni

  uvunjaji wa haki za

   binadamu/raia.em

  2017-03-08 14:27 GMT-05:00

  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

  Wakati

  rais akiwaapisha watendaji wake siku moja hivi
 karibuni,

  aligusia mwenendo wa raia kutoheshimu vyombo vya dola.

  Mifano aliyotoa ni watu kuitwa Polisi wakaongozana na
 kwaya

  na wengine kuosha magari. Nakubaliana na rais wetu kuwa

  vyombo hivi vinahitaji kuheshimiwa. Ukaribu wa watu
 Fulani

  na viongozi wetu wa juu kwa sababu mbalimbali
 ulitufikisha

  hapo. Mtu mwenye hela alijua hata akivunja sheria
 hawezi

  kukamatwa. Sasa Tanzania hakuna mwenye uhakika huo tena.
 Ni

  vibaya sana kwa raia mmoja kujihakikishia hilo kwamba
 hata

  akimuonea raia mwenzake hakuna taasisi ya
 kumshughulikia.

  Hii ndiyo huleta watu kuchukua sheria mkononi mwao.







  Njia nyingine na muhimu ya lazima kwa vyombo hivi

  kuheshimiwa, ni vyombo vyenyewe kujiheshimu na
 kuheshimu

  nafasi zao.



  Matukio mawili hivi karibuni yaliyotendwa na askari
 polisi

  wetu ni mfano mmojawapo wa jeshi hili kutojiheshimu na
 kwa

  kweli lisitegemee kuheshimiwa hata rais angeagiza.



  Mkoani Pwani Polisi wamevamia kijiji cha wafugaji na
 kuanza

  kuswaga ng'ombe na kuwapeleka Polisi. Wafugaji bila

  kubisha wakakubali ng'ombe wapelekwe. Lakini wakataka

  ng'ombe hao wahesabiwe ili ijulikane ni ng'ombe
 wangapi

  wanachukuliwa. Polisi hawataki. Wanaamua kurusha risasi
 na

  kuua. Anakuja Mkuu wa Wilaya na kukana kuwa askari hao

  walikuwa hawakutumwa katika eneo husika maana sio eneo
 lenye

  mgogoro. Ni eneo la wafugaji. Wananchi wanadai hatua

  zichukuliwe kwa askari hao. Hakuna hatua
 zinazochukuliwa

  Mkoa mzima, mpaka waziri wa mambo ya ndani alipofika
 ndipo

  akaagiza askari hao wakamatwe.



  Hebu tuone viashiria hivi; na kama ndio mfumo tuone
 kama

  raia wa Tanzania wako salama kweli:



  1.      Askari anakwenda eneo lisilo na mgogoro na
 bila

  kuagizwa na wakubwa wake wa kazi, anakamata mali za
 raia.



  2.      Raia wanakubali lakini wanataka kuhakiki
 mali

  inayokamatwa. Askari wanakataa. Wanaamua kuua raia hao.



  3.      Mkuu wa Wilaya anadhibitisha Polisi hao
 wamefanya

  kitendo cha kihalifu; (kwa sababu hawakutumwa huko
 kukamata

  mali za raia hao).



  4.      Mkoa mzima ambao una Mkuu wa wilaya, OCD, RPC
 na

  Mkuu wa Mkoa hakuna anayeona na kutumia madaraka yake

  kuwakamata askari hao. Maana yake wako huru na wanaweza

  kufanya hivyo hata kijiji kingine.



  5.      Amri ya kuwakamata Polisi hao inakuja kutolewa
 na

  waziri.



  Hivi katika mazingira haya raia wajione wako salama???

  Tanzania ina mokoa karibu 30. Mikoa kumi ikipata tatizo

  linalohitaji askari akamatwe mpaka waziri aisungukie
 yote?

  Nataka Mwigulu ajijibu (asitangaze jibu). Sisi tunataka

  kupata jibu kwa jambo atakalolitenda.



  Mwigulu kuagiza askari walioua wakamatwe,
 amemdhalilisha

  RPC. Kumsheshimu RPC wake alipashwa kumtimua kazi.
 Nitatoa

  mfano. Kuna tajiri mmoja alijenga kituo cha mafuta

  barabarani Mwanza. Waziri Magufuli (alikuwa hajawa
 rais),

  akamwagiza Mkuu wa mkoa kukibomoa kituo hicho. Mkuu wa
 mkoa

  akakataa. Magufuli (Inasemekana) alimpigia simu na
 kumwambia

  Mkuu wa Mkoa asikilize taarifa ya habari ya saa kumi

  atatajwa mkuu wa Mkoa mpya atakayefanya kazi hiyo. Simu

  ilipokatwa Mkuu wa Mkoa (inasemekana) alikwenda
 kusimamia

  kituo kuvunjwa na kwa masaa kilikuwa hakipo tena.
 Tunataka

  tuone kinachotokea ambacho inasemekana Mwigulu alifanya
 (kwa

  RPC) wake; kama Magufuli alivyofanya kwa mkuu wa Mkoa
 wa

  Mwanza wakati huo.







  Kituko cha pili ni cha wanafunzi wa Simiyu. Wanafunzi

  wanasema shule yao ilikuwa inashindwa. Ameletwa mwalimu
 kwa

  juhudi zake sasa matokeo ya mitihani yanaonyesha
 mabadiliko.

  Mwalimu huyo anahamishwa. Wanafunzi wakaamua
 kuandamana.

  Wamebeba makaratasi. Polisi wakaja kuwazuia wasiandamane.
 Ni

  haki kabisa kuwazuia. Ilitarajiwa Polisi waweke ukanda
 na

  kuwatangazia wasimame hapohapo na kuwahoji wanataka
 nini.

  Sasa wanakuja na zana kana kwamba watu wanauana na namna
 ya

  kuwatawanya ni kuwavurunda.



  Zimetoka picha mtandaoni zikionyesha Polisi

  "wanamdhibiti" mwanafunzi. Huyu anavuta huku, huyu

  anavuta huko, huyu anapiga ngwara. Mtu unajiuliza
 Polisi

  walikuwa wanafanya nini hasa? Nani alikuwa anawaongoza

  wenzake kufanya hivyo? Huyu mwanafunzi angeambiwa
 "panda

  gari hilo" angepanda. Angebisha Polisi wawili
 walitosha

  kumshika na kumlaza chini na kumuweka Pingu.
 Ukiiangalia

  picha hiyo hukosi kujiuliza kiwango cha elimu
 kinachotolewa

  kwa Polisi wetu huko chuoni! Kuna mtu aliwahi kusema
 huwa

  wanafundishwa ukakamavu na gwaride tu. Ukilinganisha
 picha

  hizo na usemi huo huwezi kumkatalia aliyesema
 wanajifunza

  gwaride na ukakamavu tu. Hakuna busara ya
 kuwashugulikia

  wahalifu inatolewa. Hakuna aina ya maandamano na namna
 ya

  kuyadhibiti. Hakuna elimu ya mahusiano na raia wema ili
 kazi

  yao iwe nyepesi. Kuna mtu anauza viroba jirani yangu.
 Mpaka

  sasa najiuliza nimwambie nani? Vituko hivi ndani ya
 makala

  yangu sithubutu kumwambia Polisi. Nakubaliana na
 mengine

  yanayosemwa juu yao. Mambo haya hayawezi kuacha
 kutonesha

  vidonda myoyoni mwetu juu ya matendo ya Polisi. Mauaji
 ya

  Mwangosi; Kuburuzwa ndani Lipumba wakati amewambia
 Polisi

  kuwa anakwenda kuwatawanya watu waliokuwa hawajui kuwa

  mkutano umekataliwa; na mengine mengi tu.



  Ninakumbuka kusikia radio ujerumani wakielezea elimu ya

  Polisi wao. Wanasema Polisi akikutana na mtu amelala

  barabarani cha kwanza wanadhani ana kisukari, au kifafa
 au

  magonjwa mengine, kabla ya kufikiri ni mlevi. Polisi
 wana

  vifaa vya kupima kuhakikisha ana shida gani. Wa kwetu

  watapiga mateke na kusema ni mlevi. Mwigulu. Kati ya
 mambo

  ya kutopuuza ni elimu inayotolewa kwa asiakri wetu.
 Madaraka

  na wajibu wa Polisi wetu. Lakini niseme; Nitashangaa
 kama

  RPC wa Pwani ataendelea na kazi.



  Elisa Muhingo



  0767 187 507



  elisamuhingo@yahoo.com







    



             --



         



            



         



       



             Send Emails to wana...@googlegroups.com



         



            



         



       



              



         



            



         



         



           Kujiondoa Tuma Email kwenda



         



            



         



         



           wanabidii+...@ googlegroups.com 



         



       



            Utapata Email ya



         



       



             kudhibitisha ukishatuma



         



            



         



       



              



         



            



         



         



           Disclaimer:



         



            



       



         



             Everyone



        posting to this Forum bears



          the sole



         



            responsibility



         



             for any legal



        consequences of his or



          her postings,



         



           and



         



       



            hence



         



             statements and facts must be



        presented



          responsibly.



         



       



           Your



         



             continued membership signifies that



          you agree to



         



           this



         



             disclaimer and pledge to abide by



        our



          Rules and



         



            Guidelines.



         



            



         



         



           ---



         



            



         



             You received this



        message because you



          are subscribed



         



           to



         



       



            the



         



             Google Groups "Wanabidii"



          group.



         



            



         



         



           To unsubscribe from this group and



         



        stop receiving



         



         



         emails



         



             from



        it, send an email to wanabidii+...@



         



        googlegroups.com.



         



         



          



         



             For more



        options, visit



         



            https://groups.google.com/d/



          optout.



         



            



         



         



       



         



         



         



       



          --



         



          Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



         



           



         



       



          Kujiondoa Tuma Email kwenda



         



          wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 



         Utapata Email ya



         



        kudhibitisha ukishatuma



         



           



         



         



        Disclaimer:



         



          Everyone



        posting to this Forum bears the sole



       



        responsibility



          for any legal consequences



        of his or her postings, and



         hence



          statements and facts must be presented



        responsibly. Your



          continued membership



        signifies that you agree to this



         



        disclaimer and pledge to abide by our Rules
 and



          Guidelines.



         



          ---



         



         



        You received this message because you are



    subscribed



      to



         the



          Google Groups



        "Wanabidii" group.



         



          To unsubscribe from this group and stop



        receiving emails



          from it, send an email



        to wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.



         



          For more options,



        visit



       



        https://groups.google.com/d/

  optout.



         



       



          



       



     



      --



      Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



     



      Kujiondoa Tuma Email kwenda



      wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 



      Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



     



      Disclaimer:



      Everyone posting to this Forum bears the sole



     responsibility



      for any legal consequences of his or her
 postings,



    and



     hence



      statements and facts must be presented
 responsibly.



    Your



      continued membership signifies that you agree to



    this



      disclaimer and pledge to abide by our Rules and



     Guidelines.



      ---



      You received this message because you are

  subscribed



    to



     the



      Google Groups "Wanabidii" group.



      To unsubscribe from this group and stop receiving



    emails



      from it, send an email to
 wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.



      For more options, visit



      https://groups.google.com/d/

  optout.







  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha

  ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/

  optout.













  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

No comments:

Post a Comment