Wanabidii Place
Tuesday, 8 November 2016
[wanabidii] Wapi kuna semina au kozi za Ujasiria mali?
Waheshimiwa wanabidii
Naomba kama kuna anayejua sehemu au chuo kunakotolewa semina au Kozi za Ujasiriamali anijuze. Nina kundi la akina mama nataka wasaidia.
Natanguliza shukrani
sylvanus
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment