Friday, 18 March 2016

[wanabidii] Re: [Wanazuoni] Tanzania’s forests at risk as foreign aid dries up?

Akili zetu hazifanani hata na jirani zetu. Tuna kila kitu ila kujituma na utashi wa akili wa kujiuliza na kukaa kufanya kweli kupanga mikakati ya kutatua matatizo. hata ukipewa hela za TASAF ujikwamue-unakwenda kujikwamua kilabuni. Ukipewa mbuzi-unamuuza. Ukipewa ardhi ulime-unauza. Maji ya kinyesi daima ndani ya nyumba-umezoea kuhishi hapo huhami. Elimu bure-unamuaza mtoto upate mahari ua cash au mifugo. Ukiona utafungwa mtoto haendi shule-unapanga na mchumba ambake mtoto apate mimba ili afukuzwe shule au asiende hata kama amefaulu ili aolewe.

Neno mhisani ndio limekuwa sala sikuhizi kama solution ya matatizo. Au-bajeti ya serikali ila kodi wanazokusanya-wanaongeza nyumba ndogo.
Ananunua mkorogo wa mchanganyo wa maji ay betri, dawa ya kutoa madoa, sabuni ya Rungu na body lotion kwa 20,000/= kila baada ya wiki 2 na anasuka manywele ya rasta kila mwezi 50,000/= na madela juu au anakunywa pombe kiasi cha 50,000/+ kwa mwezi lakini mchango wa kuzoa taka, card ya matibabu, mtoto kwenda kutibiwa zahanati hana na wa madeski pia. Akiumwa yeye na wanae-serikali haitupendi na Mbunge hatujali.

Unakuta ofisi ya kijiji imezungukwa na misitu lakini imebomoka hata choo haina hata kukandika hawawezi maji ya mvua ya bure yapo, udongo na fito hawanunui (Angalia picha). Choo cha shule milango hakina lakini mbao msituni wanakata wanauza na magogo kuchuma mkaa. Mwalimu anakaa udongo wa nyumba umeporomoka lakini kukandika ukuta hawezi akajihifadhi.

Choo cha zahanati udongo ubebao slab unakuta umeporomoka kuna gap mkati ya slab na foundation wagonjwa na watumishi wanazunguka nyuma kukojoa na Clinical officer na bwana afya wapo hapo. Viongozi wa kijiji wapo ni zahanati ya kata catchment population 10,000 vijiji zaidi ya 5 na wageni wahamaji hamaji wanashindwa kutumia mafundi wa vijiji, nguvu kazi kuchangisha kila kaya shs 200 tu wakakarabati choo cha zahanati.-Akili za nyani!? Tunasubiri bajeti ya serikali, wahisani! Usinikumbushe siku ambayo tupo zahanati moja wilaya ya Muleba. Popo na ndege zimejenga ndani ya vyumba vya health Centre. Utandabui darini kibao. RMO ktk team pamoja nami tukaomba wazungu watupishe tuongee na wenzetu. Kila RMO alipokuwa akiuliza kwa nini hapa pachafu hivi na hayo ya juu darini niliyosema majibu-serikali; serikali na allocations za hela-hata utandabui na cleaner yupo?

RMO akapanda mori akaruka kutaka kumtukia huyo aliyekuwa akijibu. Jitunmoja refu hilo lililokuwa RMO wa Mara (Simtaji jina) alikuwa ktk timu ya kupanga SIDA District Health Support Muleba. Nami ikabidi nimrukie nianguke naye ili aache kubamiza na kumkaba huyo mjamaa maana alikuwa akijibu PUMBA. Tulitoka humo wote tumechubuka. Wazungu wakatuona tuna tofauti na michubuko wakiuliza-kulikoni? TUKALA JIWE!! Tukaendelea na kazi. Wakiuliza maswali wanajibu hovyo hao ndugu zetu kuonyesha dependence na vitu vya ajabu-wazungu wanaanza kuongea lugha ya kwao. Ikawa inatuumiza wanavyoongea kilugha chao kujadiliana hapo mezani na wengine tukiokota hiyo lugha kwa kufanyakazi nao sana tukiokota baadhi. Ninakaweka mkakati wa kuomba kwenda chooni kisha ninamuomba aingie nami chooni aliyenisindikiza tusifumwe. Ninampa kikaratasi asome kisha akirudi huko aulize hao wageni intelligent questions. Akimaliza kusoma ninamnyang'anya asije akasoma maswali kutoka karatasi hiyo. Nao wazungu wakaanza kutushitukia kuwa-mbona kote tulikopita hatukupata maswali kama haya sasa inakuwaje? Wakaanza kutubana mimi na mwenzangu tall kuwa-Hapa kazi tu, hawa wanajuaje kutuuliza vitu vya ndani? Sasa kula, kulala wote pamoja hakuna vikao na wenzao wa pongoland hata kama unakuta mlisoma pamoja-hakuna kukaa kuongea nje ya team. Nia ilikuwa wahoji ili kuwe na mpango mkakati wa kufaa sio YES tu kwa kila wanachoambiwa na kujibu YES au serikali-serikali, tunagoja-serikali!! Kazi ipo!!

Kama Kawa
--------------------------------------------
On Fri, 18/3/16, Dan babakulu@HOTMAIL.COM [Wanazuoni] <Wanazuoni@yahoogroups.com> wrote:

Subject: Re: [Wanazuoni] Tanzania's forests at risk as foreign aid dries up?
To: "Wanazuoni@yahoogroups.com" <Wanazuoni@yahoogroups.com>
Date: Friday, 18 March, 2016, 8:15


 












Do we really need to be funded to do what we ought
to be capable to do? Yaani kila kitu we sought funding!:
vyoo shule ya msingi I have seen Japan and Scandinavians
wakikata tepe choo kimoja, visima vya maji, chakula, madawa,
vifaa vya elimu, kulinda wanyama
pori, kulinda mazingira, utawala bora, uchaguzi mkuu....
What else have I forgotten?



Bado tunahadithiwa
kuletewa chandarua na Joji Kichaka!



When will a day
arrive that we will all collectively say no more
Bakulism? 



May be we should
auction Our executive and Legislative branches to Japanese,
South Koreans and Germans..!



Sent from my iPhone


On Mar 18, 2016, at 12:00 AM, Chambi Chachage
chambi78@yahoo.com [Wanazuoni] <Wanazuoni@yahoogroups.com>
wrote:





 



Mwana-REDD+
Baruani upo? H/T Thabit Jacob:



Tanzania's
forests at risk as foreign aid dries up | Climate Home -
climate change news





















Tanzania's forests at risk as foreign aid dries up |
Climate Home - climate...

NEWS: Norway's bankrolling of REDD+ scheme has ended,
leaving trees under threat from logging, mining and
farmla...




















__._,_.___










Posted by: Dan <babakulu@hotmail.com>





Reply
via web post


Reply to sender


Reply to group

Start a New
Topic

Messages in this
topic
(2)
















Visit Your Group







• Privacy • Unsubscribe • Terms of Use






















.







__,_._,___



#yiv9306710078 #yiv9306710078 --
#yiv9306710078ygrp-mkp {
border:1px solid #d8d8d8;font-family:Arial;margin:10px
0;padding:0 10px;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mkp hr {
border:1px solid #d8d8d8;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mkp #yiv9306710078hd {
color:#628c2a;font-size:85%;font-weight:700;line-height:122%;margin:10px
0;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mkp #yiv9306710078ads {
margin-bottom:10px;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mkp .yiv9306710078ad {
padding:0 0;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mkp .yiv9306710078ad p {
margin:0;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mkp .yiv9306710078ad a {
color:#0000ff;text-decoration:none;}
#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-sponsor
#yiv9306710078ygrp-lc {
font-family:Arial;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-sponsor
#yiv9306710078ygrp-lc #yiv9306710078hd {
margin:10px
0px;font-weight:700;font-size:78%;line-height:122%;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-sponsor
#yiv9306710078ygrp-lc .yiv9306710078ad {
margin-bottom:10px;padding:0 0;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078actions {
font-family:Verdana;font-size:11px;padding:10px 0;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078activity {
background-color:#e0ecee;float:left;font-family:Verdana;font-size:10px;padding:10px;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078activity span {
font-weight:700;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078activity span:first-child {
text-transform:uppercase;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078activity span a {
color:#5085b6;text-decoration:none;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078activity span span {
color:#ff7900;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078activity span
.yiv9306710078underline {
text-decoration:underline;}

#yiv9306710078 .yiv9306710078attach {
clear:both;display:table;font-family:Arial;font-size:12px;padding:10px
0;width:400px;}

#yiv9306710078 .yiv9306710078attach div a {
text-decoration:none;}

#yiv9306710078 .yiv9306710078attach img {
border:none;padding-right:5px;}

#yiv9306710078 .yiv9306710078attach label {
display:block;margin-bottom:5px;}

#yiv9306710078 .yiv9306710078attach label a {
text-decoration:none;}

#yiv9306710078 blockquote {
margin:0 0 0 4px;}

#yiv9306710078 .yiv9306710078bold {
font-family:Arial;font-size:13px;font-weight:700;}

#yiv9306710078 .yiv9306710078bold a {
text-decoration:none;}

#yiv9306710078 dd.yiv9306710078last p a {
font-family:Verdana;font-weight:700;}

#yiv9306710078 dd.yiv9306710078last p span {
margin-right:10px;font-family:Verdana;font-weight:700;}

#yiv9306710078 dd.yiv9306710078last p
span.yiv9306710078yshortcuts {
margin-right:0;}

#yiv9306710078 div.yiv9306710078attach-table div div a {
text-decoration:none;}

#yiv9306710078 div.yiv9306710078attach-table {
width:400px;}

#yiv9306710078 div.yiv9306710078file-title a, #yiv9306710078
div.yiv9306710078file-title a:active, #yiv9306710078
div.yiv9306710078file-title a:hover, #yiv9306710078
div.yiv9306710078file-title a:visited {
text-decoration:none;}

#yiv9306710078 div.yiv9306710078photo-title a,
#yiv9306710078 div.yiv9306710078photo-title a:active,
#yiv9306710078 div.yiv9306710078photo-title a:hover,
#yiv9306710078 div.yiv9306710078photo-title a:visited {
text-decoration:none;}

#yiv9306710078 div#yiv9306710078ygrp-mlmsg
#yiv9306710078ygrp-msg p a span.yiv9306710078yshortcuts {
font-family:Verdana;font-size:10px;font-weight:normal;}

#yiv9306710078 .yiv9306710078green {
color:#628c2a;}

#yiv9306710078 .yiv9306710078MsoNormal {
margin:0 0 0 0;}

#yiv9306710078 o {
font-size:0;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078photos div {
float:left;width:72px;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078photos div div {
border:1px solid
#666666;height:62px;overflow:hidden;width:62px;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078photos div label {
color:#666666;font-size:10px;overflow:hidden;text-align:center;white-space:nowrap;width:64px;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078reco-category {
font-size:77%;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078reco-desc {
font-size:77%;}

#yiv9306710078 .yiv9306710078replbq {
margin:4px;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-actbar div a:first-child {
margin-right:2px;padding-right:5px;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mlmsg {
font-size:13px;font-family:Arial, helvetica, clean,
sans-serif;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mlmsg table {
font-size:inherit;font:100%;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mlmsg select,
#yiv9306710078 input, #yiv9306710078 textarea {
font:99% Arial, Helvetica, clean, sans-serif;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mlmsg pre, #yiv9306710078
code {
font:115% monospace;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mlmsg * {
line-height:1.22em;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-mlmsg #yiv9306710078logo {
padding-bottom:10px;}


#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-msg p a {
font-family:Verdana;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-msg
p#yiv9306710078attach-count span {
color:#1E66AE;font-weight:700;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-reco
#yiv9306710078reco-head {
color:#ff7900;font-weight:700;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-reco {
margin-bottom:20px;padding:0px;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-sponsor #yiv9306710078ov
li a {
font-size:130%;text-decoration:none;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-sponsor #yiv9306710078ov
li {
font-size:77%;list-style-type:square;padding:6px 0;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-sponsor #yiv9306710078ov
ul {
margin:0;padding:0 0 0 8px;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-text {
font-family:Georgia;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-text p {
margin:0 0 1em 0;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-text tt {
font-size:120%;}

#yiv9306710078 #yiv9306710078ygrp-vital ul li:last-child {
border-right:none !important;
}
#yiv9306710078

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment