Friday, 18 March 2016

Re: [wanabidii] UAMUZI WA RAIS MAGUFULI KUTOA ELIMU BURE UTACHOCHEA USAWA WA KIJINSIA NCHINI – UMMY MWALIMU

Kutoa Elimu Bure-wazazi wamewaoza watoto waliopasi wana mimba ili wasiendelee kusoma. Kazi ipo.


--------------------------------------------
On Fri, 18/3/16, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com> wrote:

Subject: [wanabidii] UAMUZI WA RAIS MAGUFULI KUTOA ELIMU BURE UTACHOCHEA USAWA WA KIJINSIA NCHINI – UMMY MWALIMU
To:
Date: Friday, 18 March, 2016, 9:03

Habari za
asubuhi,
Tafadhali pokea CODES hapa chini.
<p style="text-align:
center;"><span style="color:
#000000;"><strong>Hayo yalisemwa na Waziri wa
Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,
Mheshimiwa Ummy Mwalimu (Mb.)wakati akitoa taarifa ya nchi
katika Mkutano wa 60 wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu
Hali ya Wanawake Duniani (CSW).
</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Mhe Ummy
alieleza kuwa Adhma ya Mheshimiwa Dkt John Pombe Magufuli,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kutoa Elimu bure
kwa shule za Msingi na Sekondari itakuwa na matokeo makubwa
ya kuongeza udahili wa wanafunzi katika Elimu ya msingi,
Sekondari na Elimu ya
juu.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Akaongeza
kwamba uimarishwaji wa upatikananaji wa elimu kwa wanawake
ni msingi mkubwa wa kuwezesha wanawake kiuchumi, kwakuwa
elimu hutoa ujuzi, maarifa na hali ya kujiamini kwa wanawake
kuendea fursa za
kiuchumi.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class="size-full wp-image-8561 aligncenter"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/Ummy-3.jpg"
alt="Ummy Mwalimu -CSW" width="528"
height="458" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Afya
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,  Ummy Mwalimu
( Mb) akizungumza wakati wa majadiliano kuhusu dhima ya
 uwezeshwaji wa wanawake na uhusiano wake na utekelezaji wa
Agenda 2030. katika mchango wake  Waziri anayeongoza ujumbe
wa Tanzania katika mkutano  huu wa Kamisheni  ya Umoja wa
Mataifa kuhusu hali ya Wanawake amesema Serikali inatambua
umuhimu wa mwanamke katika utekelezaji wa ajenda mpya ya
maendeleo endelevu ( Agenda 2030) na kwamba itaendelea
kumwezesha.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Katika
Taarifa hiyo, Mheshimiwa Waziri, alieleza kuwa Serikali ya
Tanzania inatambua kuwa uwezeshaji wa wanawake na Usawa wa
jinsia unachangia kwa kiasi kikubwa  kufikiwa kwa wepesi
kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu ( Sustainable Development
Goals). Kwa kutambua hilo Tanzania imejipanga kuhuisha
Ajenda 2030 katika Sera, Sheria na Mipango ya nchi kwa
kuhakikisha kunakuwa wa sheria zinazolenga kuleta Usawa wa
Jinsia na uwezeshaji wa wanawake, ambapo pamoja na mambo
mengine utekelezaji wa Mikakati, Sera na Sheria utaendelea
kuzingatia haki ya kielimu kwa Wanawake na
Wasichana.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Mheshimiwa Ummy, aliongelea
pia umuhimu wa Afya kwa wanawake na Wasichana (ikiwa ni
pamoja kupunguza vifo vya wajawazito na watoto) kama njia ya
kumuwezesha mwanamke kushiriki kikamilifu katika uzalishaji
mali.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Mkutano
huo wa wiki mbili unafanyika NewYork, Marekani kuanzia
tarehe 14-24 Machi 2016, ukihusisha wawakilishi kutoka
serikali mbalimbali duniani na Asasi za Kiraia ambapo
hujadiliana na kubadilishana uzoefu na kuelimishana kuhusu
hatua mbalimbali ambazo Serikali zao zinachukua katika
kuboresha maisha ya mwanamke na mtoto wa
kike.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class=" wp-image-8560 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/ummy-2.jpg"
alt="Ummy Mwalimu - CSW" width="542"
height="964" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Mheshimiwa Ummy
Mwalimu akiwa pamoja na Mhe. Balozi Tuvako Manongi na Mhe
Peter Serukamba (Mb.), mara baada ya kuwasilisha taarifa ya
Tanzania kuhusu Masuala ya Maendeleo ya
Wanawake.</strong></em></span></p>
KAWAIDA
Hayo
yalisemwa na Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu (Mb.)wakati akitoa
taarifa ya nchi katika Mkutano wa 60 wa Kamisheni ya Umoja
wa Mataifa kuhusu Hali ya Wanawake Duniani
(CSW). Mhe
Ummy alieleza kuwa Adhma ya Mheshimiwa Dkt John Pombe
Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kutoa
Elimu bure kwa shule za Msingi na Sekondari itakuwa na
matokeo makubwa ya kuongeza udahili wa wanafunzi katika
Elimu ya msingi, Sekondari na Elimu ya
juu.Akaongeza
kwamba uimarishwaji wa upatikananaji wa elimu kwa wanawake
ni msingi mkubwa wa kuwezesha wanawake kiuchumi, kwakuwa
elimu hutoa ujuzi, maarifa na hali ya kujiamini kwa wanawake
kuendea fursa za kiuchumi.Waziri
wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,  Ummy
Mwalimu ( Mb) akizungumza wakati wa majadiliano kuhusu dhima
ya  uwezeshwaji wa wanawake na uhusiano wake na utekelezaji
wa Agenda 2030. katika mchango wake  Waziri anayeongoza
ujumbe wa Tanzania katika mkutano  huu wa Kamisheni  ya
Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya Wanawake amesema Serikali
inatambua umuhimu wa mwanamke katika utekelezaji wa ajenda
mpya ya maendeleo endelevu ( Agenda 2030) na kwamba
itaendelea kumwezesha.Katika
Taarifa hiyo, Mheshimiwa Waziri, alieleza kuwa Serikali ya
Tanzania inatambua kuwa uwezeshaji wa wanawake na Usawa wa
jinsia unachangia kwa kiasi kikubwa  kufikiwa kwa wepesi
kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu ( Sustainable Development
Goals). Kwa kutambua hilo Tanzania imejipanga kuhuisha
Ajenda 2030 katika Sera, Sheria na Mipango ya nchi kwa
kuhakikisha kunakuwa wa sheria zinazolenga kuleta Usawa wa
Jinsia na uwezeshaji wa wanawake, ambapo pamoja na mambo
mengine utekelezaji wa Mikakati, Sera na Sheria utaendelea
kuzingatia haki ya kielimu kwa Wanawake na
Wasichana.Mheshimiwa
Ummy, aliongelea pia umuhimu wa Afya kwa wanawake na
Wasichana (ikiwa ni pamoja kupunguza vifo vya wajawazito na
watoto) kama njia ya kumuwezesha mwanamke kushiriki
kikamilifu katika uzalishaji mali.Mkutano
huo wa wiki mbili unafanyika NewYork, Marekani kuanzia
tarehe 14-24 Machi 2016, ukihusisha wawakilishi kutoka
serikali mbalimbali duniani na Asasi za Kiraia ambapo
hujadiliana na kubadilishana uzoefu na kuelimishana kuhusu
hatua mbalimbali ambazo Serikali zao zinachukua katika
kuboresha maisha ya mwanamke na mtoto wa
kike.Mheshimiwa
Ummy Mwalimu akiwa pamoja na Mhe. Balozi Tuvako Manongi na
Mhe Peter Serukamba (Mb.), mara baada ya kuwasilisha taarifa
ya Tanzania kuhusu Masuala ya Maendeleo ya
Wanawake.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

No comments:

Post a Comment