Pater, nilishughudia mwaka 1975 wanandoa wakigombana hadharani kijiji fulani kilosa. Mwanaume alimfungua miguu mkewe na kulikuwa nyakati hizo chupi utata. Eti mwangalieni huyu alivyo huku! Picha hiyo haijanitoka hadi leo. Kesho yake tuliwaona wakitembea pamoja wamreelewana! Jiulize.
Ilitolewa ktk gazeti mume alimfumania mkewe (mwalimu) na bwana akamtembeza huyo mgoni na mkewe uchi hadharani. Watoto na umma wamewaona na kutolewa gazetini. Afisa ustawi jamii hayupo kumkamata huyu baba aliyefanya hivyo. Tunapiga picha tunauza magazeti. Tunaona kawaida.
Kwa sasa-boti inazama, gari imepata ajali watu wanaungua au wanaruka-tunapiga picha tuwe wakwanza kuposti mitandaoni Hatupo kuwahi kuokoa bali kuokoa masanduku tuibe.
Nimefanya study ya kuenea kwa sodomy (ulawiti TZ). Nimekuta mipango ya kumfanya mtu afumaniwe na msichana mtu anajidai ni wake na kisha kumfanyizia kama ulivyosema. Anavalishwa shanga, anafanyiwa uchafu (ulawiti) anapigwa picha na gazeti linaandika alivyofanyiziwa. Lakini ilikuwa mpango wa kumkomesha mshindani kibiashara au mnagombea msichana au chuki nyingine binafsi. Ikaja kuonekana ktk tafiti kuwa-wabakaji waliowengi ambao hubaka wanaume wenzao na kulawiti wanawake ni baadhi (waliowengi) waliotendewa uovu huo anakuambia-akifanya hivyo hupata nafuu kichwani. Mashoga hulalamikia aina ya watu wa namna hiyo na mateso wanayopata sexually, kupigwa na kutokupewa pesa baada ya mateso yote hayo.
Picha niliyoipata ni hiyo-kujihadhari fumanizi nazo huandaliwa uaibike Profesa, Mchungaji, Padri, Mume au kijana mashuhuri me au ke. Watu hulipwa pia akupate akuambukize mission complete. Shoga anakupiga picha usingizi umekupitia-anaweka ktk blog yao unaadhirika.
Idara ya mawasiliano pia ustawi wa jamii ianglie haya. Kumfumania na kumtembeza uchi mkeo, mumeo wewe partner uchukuliwe hatua sheria inakataza mtu mwenye akili timamu kutembea uchi. Tusikimbilie kununua magazeti tu na kufurahia matukie vingine vimeandaliwa. Tunafedhehesha taifa letu na media ya uovu.
Kama kawa
--------------------------------------------
On Mon, 22/2/16, Pater Patrick ppaternus1@gmail.com [Wanazuoni] <Wanazuoni@yahoogroups.com> wrote:
Subject: Re: [Wanazuoni] Re: [wanabidii] "WATANZANIA WAZINGATIE SHERIA ZA MTANDAO, KIFUNGO NI MIAKA 30 AU ZAIDI" – KITWANGA
To: Wanazuoni@yahoogroups.com
Date: Monday, 22 February, 2016, 8:09
Hildegarda
Haswa umenena vilivyo. Kinachoendelea ni kipana
zaidi kuliko tunavyo kiona. Utamaduni wa uovu ndiyo maisha
ya sasa kwa walio wengi. Kumejaa uchafu wa ukosefu wa
maadili kupindukia na wakati mwingine hata sie wasomi na
watu wa namna ya fikra tofauti tuna yapigia makofi.
Ukitofautiana nawenzako katika kundi, katika chama na katika
siasa tena katika siasa ndo husiseme utaandikwa na maisha
yako binafsi ya upenzi yote yatawekwa hadharani. Ndicho
tulicho amua kama njia na namna ya kumaliza matatizo
yetu.
Wakati mwingine majibu ya kumaliza tatizo hili
yanakuwa magumu sana! Tizama mtu kafumaniwa katika kile
kinacho tafsiriwa OFM, mwingine katika kile ambacho
nitofauti na OFM wote watavuliwa nguo na kuwatembeza mtaani
na wakati mwingine kuwafanyia vitendo.vya dhihaka zaidi ya
kuwatembeza mtaani wakinagali utupu. Si hilo tu wengine wana
mlawiti mwanaume etc etc. Sasa vitendo hivi vitamalizwa na
sheria ya makosa a mtandao? Picha za utupu na mengine kama
ulivyo ya eleza ndo tatizo halisi? Tufikiri zaidi kidogo
tizama umefanya upenzi na mtu Y mna kosana na kuachana
mwinzio anapeleka picha zote na matukio yote katika social
media na vyombo mbali mbali huo ni ukosefu wa sheria ya
mtandaoni kweli? Kunatatizo binafsi zaidi kati ya mtu na
mtu. Kikubwa zaidi ninacho kiona ambacho nawe ni sahihishe
ni kuwa kuna tafsiri mpya ya Baba imeingia mainashani,
kunatafsiri mpya ya mama imeingia maishani, kunatafsiri mpya
ya maisha na namna ya kuishi imeingia maishani na hii yote
inachamgiwa na vyombo na mamlaka tofauti nchini za kisiasa,
kidini na kijamii. Kile tunacho kiita maendeleo, haki za
binadami, uhuru wa fikra na kuabudu, sexual orientation,
pleasure than pain, utajiri, fedha kama sehemu ya muhimili
wa maisha ya furaha ya mwanadamu, kupanuka kwa mahitaji ya
mwanadamu na raslimali zilizo tuzunguka, itikadi za siasa na
tafsiri ya falsafa, imani, maana ya maneo furaha, heshima,
utamaduni na mengine mengi ya meathiriwa kwa kiasi kikubwa
na kile tukihitacho mabadiliko na ile kutaka kufanana na
mataifa mengine. Hatuna tena mifumo ya kistaarabu ktk
uchumi, katika siasa za utawala, katika mifumo ya malezi na
makuzi, katika sheria tena siku hizi sheria zinatengenezwa
si tu kwa mahitaji ya maendeleo bali ili kumuepuka fulani!
Na hii ni hatari maana falsafa tawala ni kuwa hakuna
mwingine zaidi yangu! Chanzo cha haya yote. Ubinafsi na
majivuno yaliyo komaaa.
Bado inanipa shida kama sheria ya makosa ya
mtandao itaondoa hili kwano hili ni dalili si ugonjwa
ugonjwa ni zaidi, ni uovu ndani ya mtu. Je sheria zetu
zinatengenezwa kwa makusudi ya maendeleo na ulinzi wa kila
mmoja au dhidi ya kundi fulani na dhidi ya kulinda upande
utengenezao sheria? Sheria zinatokana na falsafa ambayo
inajikita katika kulinda na kutetea sera ambayo chimbuko
lake ni chama cha kisiasa! Kwa pamoja hayo yatajenga sura
pana ya maadili, utamaduni etc. Familia kama taasisi ya
kwanza itakuwa na sura tofauti yenye lengo la kukuza familia
kuendana na falsafa ya njii. Jiulize hivi falsafa yetu kama
watanzania ni ipi? Utamaduni wetu ni upi? Sisi tuna mfumo
gani wa kiuchumi? Sisi ni akina nani? Sisi ni upi
utambulisho wetu? Mambo haya ni mepesi kusema ila tafakari
yake ni pana. Je intelligensia yetu inayaona na kueleza
anguko lijalo? Tunawajengaje wababa kusimia taasisi ya
familia? Na sema akina baba sana kwasababu behavioural
scientistics walisha sema kutoka kwa tafiti yao kuwa the
number one problem in national development is the lack of
fathers! Nina hakika tutakubaliana kuwa hili ulilo leta ndg
Hildegarda ni jambo la kufanyiwa mjadala maana tatizo ni
pana kulilo maelezo!
Hivyo nani ni baba?
........... loading
Wasalaaam
Pater
On Feb 22, 2016 7:14 AM,
"Hildegarda Kiwasila khildegarda@yahoo.co.uk
[Wanazuoni]" <Wanazuoni@yahoogroups.com>
wrote:
Safi. Kwani wapo wanaotuma picha za matusi mitandaoni.
Alikuwa na mtu alikokuwa huko kampiga picha akiwa utupu
halafu anazituma mtandaoni. Kama waligombana wayamalize sio
kumdhalilisha. Wengine ambao ni Gays wana mtandao wao au
blog yao lakini mtu anaomba kujiunga nawe au na mtu ambae
yupo ktk facebook yako na unaanza kupata picha za wabongo
gays kufanya uchafu, mara mtu anatenda uchafu na kuku, mbwa
ambao ni watanzania. Kwa nini wahusika wasizuie vitu hivi
visizagae? Wengine hatujui utaalamu wa kuzuia hili au lile
ktk mitandao.
Magazeti: Inakuwaje nchi inaruhusu masuala binafsi katika
magazeti.Wizara ya Habari ielimishe sheria ya Habari. Mtu
akitaka kuuza gazeti anaanza kumvamia mtu katika masuala
binafsi-Story ya Kanumba na Lulu miaka ile kabla ya Kanumba
kufariki; Mara Wema na masuala binafsi ya kubadili mabwana;
pardi au mchungaji miaka 2000 lilipotokea leo ni 2016. Hii
nayo ipoje inachefua. Kuona Diamond au Wema Hazai, mtot
aliyenaye si wake wa mwanaume mwingine-jee hawa owners wa
magazeti na waandishi wao wa habari, bloggers na wapiga
picha za magazeti mnawapa semina na mafunzo waelewe sheria
hizi. Pia hawa wasanii-wanahitaji sana semina hizo ili wajue
au kufahamu Study za Maisha na kujenga uwezo wa kujitambua
na kujithamini.
Kichefuchefu kingine ni pale mwanamke anapotongozwa kisha
anapanga mpango afumaniwe na huyo mtu na magazeti kurusha
mazuala haya kuongeza kipato. Operesheni Fichua Maovu (OFM).
Hii ni kitu gani kijamii? Inaawezekana kuna mtu amenilipa
hela ana chuki na fulani. Anataka niende kujitongozesha kwa
huyo mbaba na nikaamua kumzonga mpaka akaona ngoja
anishughulikie ninamsumbua. Ninapanga na OFM na
aliyenituma. Libaba linaaibika-mission complete. Kwani
msichana au mwanamke akitongozwa hawezi kukataa na akatumia
ofisi au jamaa wa huyo mtu kumuonya? Kwa nini akubali halafu
aende lodging kisha aandae OFM waje wamuaibishe. Unakubali
ili umuaibishe halafu wewe unaachwa hukamatwi na kupigwa na
hao wanaovamia kufumania! Huu ni uonevu wa kijinsia kwamba
anatumiwa mwanamke kwa faida ya Waandishi wa Habari
kumuaibisha mtu. Aulizwe kwa nini hakukataa na akatumia
marafiki, jamaa wengine au Ofisi kumuonya huyo mtu badala
yake kutumia vyombo vya habari? Naye yupo responsible. Kisha
watoto na mke au ndugui wa jamaa huyo wanaishi ktk stigma na
inaathiri mahudhurio ya watoto shuleni. Hii ndio concern
yangu watoto wanapohusishwa indirectly. Sheria ya habari
iseme hawa nao wa OFM ktk mipango ya kuaibisha watu na kuuza
magazeti na binti husika wafanywe nini maana suala na
kufedheheshana ktk vyombo vya habari na magazeti mengine
kuweka picha zisizofaa mdada na kichupi inakuwaje? Bado zile
TV sio mitandao pekee-inaonyesha akina mama watu wazima
wanakata viuno matusi ya nguoni dansi za khanga moko! Kwa
nini TV zetu zinapenda kuonyesha hizi dansi za akina mama,
kaka, dada wanacheza dansi za matusi? Wizara husika watoe
mafunzo kwa wasanii wacheza dansi, waimbaji kuhusi
utamaduni na maadili ya kiafrika. Msanii au watu wa music
wanaweza kucheza vizuri tu na kupendeza hasa wanawake bila
ya kuvaa kikaptura na bila kucheza traditional sexual rythm.
Kichwa kikiwa kitupu juu ndio utafanya hivi na kuliaibisha
taifa. Unajiuliza-huyu mama au msichana hana wazazi, mume,
boyfriend na watoto? Atawaelimisha nini watoto au jamii yake
anavyocheza matusi ya nguoni vile? Na halafu TV nyingine
zinajiita-Kioo cha Jamii lakini zinaonyesha dansi ya matusi
ya nguoni na tunafurahia!
Tusipong'ang'ana kuweka mwelekeo wa maadili kwa sasa
katika sekta ya Habari, Mitandao na Music tunakokwenda
kitaifa kubaya. Wizara husika ionyeshe mfano hata ule wa
kuvamia dansi za Khanga Moko na kuwaweka ndani, kuwavunga
hao wanamtandao na wanaoposti picha chafu na wanaocheza
dansi wakiwa wamevaa nguo za kuonyesha utupu wao; wanaoweka
masuala binafsi ya wengine magazetini. Iwafundishe waandishi
wa habari jinsi ya kuhoji ili wawe scientific wanapofanya
kazi zao. Huwezi ukawa unaona mataka yamejaa ndani ya mtaro
wazi, watu wanauza chakula hapo na maji ya choo yanaingia
mtarono kuna bomba kutoka nyumba jirani au za wananchi kisha
ukawa unauliza tu-huu uchafu unawasumbua vipi; unaiambia
nini serikali? Huu ni ufara hasa!!
Kama Kawa
--------------------------------------------
On Mon, 22/2/16, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com>
wrote:
Subject: [wanabidii] "WATANZANIA WAZINGATIE SHERIA ZA
MTANDAO, KIFUNGO NI MIAKA 30 AU ZAIDI" – KITWANGA
To:
Date: Monday, 22 February, 2016, 6:30
Habari za
asubuhi,
Tafadhali pokea CODES hapa chini.
<iframe src="http://www.audiomack.com/embed4-large/mo-dewji-blog/waziri-wa-mambo-ya-ndani-ya-nchi-kitwanga-akizungumzia-makosa-ya-mtandao"
width="100%" height="250"
frameborder="0"
scrolling="no"></iframe><p
style="text-align: center;"><a
href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kitwanga.jpg"
rel="attachment wp-att-5109"><img
class="alignnone size-full wp-image-5109"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kitwanga.jpg"
alt="Charles Kitwanga" width="702"
height="320" /></a><span
style="color: #000000;"><strong>Waziri
wa
Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Charles Kitwanga (pichani)
amewataka Watanzania kuzingatia sheria za mtandao ambazo
zilitungwa mwaka jana kufuatia kuonekana kuwepo kwa
baadhi
ya watumiaji ambao wamekuwa hawafati
sheria.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Mhe.
Kitwanga alisema wanaotumia mtandao wanawajibu wa
kutumia
mtandao kwa matumizi ambayo hayatavunja sheria na ambao
watakuwa wakikiuka sheria hiyo serikali haitawavumilia
na
watawachukulia hatua za
kisheria.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><a
href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/bulimba1.jpg"
rel="attachment wp-att-5110"><img
class="size-full wp-image-5110 aligncenter"
src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/bulimba1.jpg"
alt="Advera Bulimba" width="640"
height="425"
/></a></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Msemaji wa
Jeshi
la Polisi Advera John
Bulimba.</strong></em></span></p><iframe
src="http://www.audiomack.com/embed4-large/mo-dewji-blog/msemeji-wa-polisi-advera-bulimba-kuhusu-makosa-ya-mtandao"
width="100%" height="250"
frameborder="0"
scrolling="no"></iframe><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>
"Adhabu ya kuvunja sheria hii ya makosa ya mtandao ni
mbaya sana na ninataka kuwambia Watanzania wazingatie
sheria
za mtandao … kifungo ni miaka 30 au hata zaidi,"
alisema
Kitwanga.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Aidha
aliwataka ambao wamekuwa wakitukanwa katika mitandao ya
kijamii wapeleke malalamiko Polisi na serikali
imejipanga
kuwachukulia hatua watumiaji ambao wamekuwa hawafati
sheria
za
mtandao.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Kwa
upande wa Jeshi la Polisi kupitia kwa msemaji wa jeshi
hilo,
Advera Bulimba alisema kuwa jeshi hilo limekuwa
likiwachukulia hatua watumiaji wote wa mitandao ambao
wamekuwa wakikutwa na hatia ya kufanya matumizi
mabaya.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Alisema
tangu imetungwa sheria hiyo wameshafungwa baadhi ya
watumiaji na kesi saba zikiwa mahakamani na bado
wanaendelea
kufatilia watumiaji wengine ili wawachukulie
hatua.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>"Polisi
tunaendelea kuwachukulia hatua watumiaji ambao wanakuwa
na
makosa na kwasasa kuna kesi saba zipo mahakamani …
tangu
sheria imetungwa kesi tunazopokea zinazohusu mitandao
zimepungua kutoka 25 hadi 30 kwa siku ila siku hizi
zinakuwa
10 au chini ya hapo," alisema
Bulinda.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Nae
mmoja
wa watumiaji wa mtandao, Grace Mwanga aliwashauri
Watanzania
wenzake kudumisha maadili ya kitanzania na kuifanya
mitandao
kama njia ya mawasiliano kama jinsi lilivyo kusudiwa na
waanzilishi wa mitandao
hiyo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>"Watanzania tudumishe
maadili yetu ya zamani, mitandao isitufanye tusahau
asili
yetu … tutumie mitandao kuwasiliana na hata kufanya
matangazo ya biashara zetu," alisema
Grace.</strong></span></p><iframe
src="http://www.audiomack.com/embed4-large/mo-dewji-blog/mtanzania-grace-mwanga-akielezea-kuhusu-matumizi-ya-mitandao"
width="100%" height="250"
frameborder="0"
scrolling="no"></iframe>
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
__._,_.___
Posted by: Pater Patrick
<ppaternus1@gmail.com>
Reply
via web post
•
Reply to sender
•
Reply to group
•
Start a New
Topic
•
Messages in this
topic
(2)
Visit Your Group
• Privacy • Unsubscribe • Terms of Use
.
__,_._,___
#yiv8776943082 #yiv8776943082 --
#yiv8776943082ygrp-mkp {
border:1px solid #d8d8d8;font-family:Arial;margin:10px
0;padding:0 10px;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mkp hr {
border:1px solid #d8d8d8;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mkp #yiv8776943082hd {
color:#628c2a;font-size:85%;font-weight:700;line-height:122%;margin:10px
0;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mkp #yiv8776943082ads {
margin-bottom:10px;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mkp .yiv8776943082ad {
padding:0 0;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mkp .yiv8776943082ad p {
margin:0;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mkp .yiv8776943082ad a {
color:#0000ff;text-decoration:none;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-sponsor
#yiv8776943082ygrp-lc {
font-family:Arial;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-sponsor
#yiv8776943082ygrp-lc #yiv8776943082hd {
margin:10px
0px;font-weight:700;font-size:78%;line-height:122%;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-sponsor
#yiv8776943082ygrp-lc .yiv8776943082ad {
margin-bottom:10px;padding:0 0;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082actions {
font-family:Verdana;font-size:11px;padding:10px 0;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082activity {
background-color:#e0ecee;float:left;font-family:Verdana;font-size:10px;padding:10px;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082activity span {
font-weight:700;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082activity span:first-child {
text-transform:uppercase;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082activity span a {
color:#5085b6;text-decoration:none;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082activity span span {
color:#ff7900;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082activity span
.yiv8776943082underline {
text-decoration:underline;}
#yiv8776943082 .yiv8776943082attach {
clear:both;display:table;font-family:Arial;font-size:12px;padding:10px
0;width:400px;}
#yiv8776943082 .yiv8776943082attach div a {
text-decoration:none;}
#yiv8776943082 .yiv8776943082attach img {
border:none;padding-right:5px;}
#yiv8776943082 .yiv8776943082attach label {
display:block;margin-bottom:5px;}
#yiv8776943082 .yiv8776943082attach label a {
text-decoration:none;}
#yiv8776943082 blockquote {
margin:0 0 0 4px;}
#yiv8776943082 .yiv8776943082bold {
font-family:Arial;font-size:13px;font-weight:700;}
#yiv8776943082 .yiv8776943082bold a {
text-decoration:none;}
#yiv8776943082 dd.yiv8776943082last p a {
font-family:Verdana;font-weight:700;}
#yiv8776943082 dd.yiv8776943082last p span {
margin-right:10px;font-family:Verdana;font-weight:700;}
#yiv8776943082 dd.yiv8776943082last p
span.yiv8776943082yshortcuts {
margin-right:0;}
#yiv8776943082 div.yiv8776943082attach-table div div a {
text-decoration:none;}
#yiv8776943082 div.yiv8776943082attach-table {
width:400px;}
#yiv8776943082 div.yiv8776943082file-title a, #yiv8776943082
div.yiv8776943082file-title a:active, #yiv8776943082
div.yiv8776943082file-title a:hover, #yiv8776943082
div.yiv8776943082file-title a:visited {
text-decoration:none;}
#yiv8776943082 div.yiv8776943082photo-title a,
#yiv8776943082 div.yiv8776943082photo-title a:active,
#yiv8776943082 div.yiv8776943082photo-title a:hover,
#yiv8776943082 div.yiv8776943082photo-title a:visited {
text-decoration:none;}
#yiv8776943082 div#yiv8776943082ygrp-mlmsg
#yiv8776943082ygrp-msg p a span.yiv8776943082yshortcuts {
font-family:Verdana;font-size:10px;font-weight:normal;}
#yiv8776943082 .yiv8776943082green {
color:#628c2a;}
#yiv8776943082 .yiv8776943082MsoNormal {
margin:0 0 0 0;}
#yiv8776943082 o {
font-size:0;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082photos div {
float:left;width:72px;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082photos div div {
border:1px solid
#666666;height:62px;overflow:hidden;width:62px;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082photos div label {
color:#666666;font-size:10px;overflow:hidden;text-align:center;white-space:nowrap;width:64px;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082reco-category {
font-size:77%;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082reco-desc {
font-size:77%;}
#yiv8776943082 .yiv8776943082replbq {
margin:4px;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-actbar div a:first-child {
margin-right:2px;padding-right:5px;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mlmsg {
font-size:13px;font-family:Arial, helvetica, clean,
sans-serif;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mlmsg table {
font-size:inherit;font:100%;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mlmsg select,
#yiv8776943082 input, #yiv8776943082 textarea {
font:99% Arial, Helvetica, clean, sans-serif;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mlmsg pre, #yiv8776943082
code {
font:115% monospace;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mlmsg * {
line-height:1.22em;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-mlmsg #yiv8776943082logo {
padding-bottom:10px;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-msg p a {
font-family:Verdana;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-msg
p#yiv8776943082attach-count span {
color:#1E66AE;font-weight:700;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-reco
#yiv8776943082reco-head {
color:#ff7900;font-weight:700;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-reco {
margin-bottom:20px;padding:0px;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-sponsor #yiv8776943082ov
li a {
font-size:130%;text-decoration:none;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-sponsor #yiv8776943082ov
li {
font-size:77%;list-style-type:square;padding:6px 0;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-sponsor #yiv8776943082ov
ul {
margin:0;padding:0 0 0 8px;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-text {
font-family:Georgia;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-text p {
margin:0 0 1em 0;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-text tt {
font-size:120%;}
#yiv8776943082 #yiv8776943082ygrp-vital ul li:last-child {
border-right:none !important;
}
#yiv8776943082
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment