Sunday, 21 February 2016

Re: [wanabidii] “WATANZANIA WAZINGATIE SHERIA ZA MTANDAO, KIFUNGO NI MIAKA 30 AU ZAIDI” – KITWANGA

 . . .   Ni muhimu watu waelewe kuwa Uhalifu ktk sheria za mtandao unajumuisha Jinai karibu zote (Wizi, Udhalilishaji, Uhaini, Uongo, Uhujumu uchumi nk) pamoja na makosa ya madai . . .  na kila aina ya kosa lina hukumu ya aina yake, . . . . Utumiaji mbaya wa mtandao unaweza kuwa katika mwelekeo wa makosa ya aina nyingi sana, . . .  .mengine yenye uzito sana kuliko uhujumu uchumi, . . .  . kwa hiyo kulinganisha hukumu ya kosa la uhujumu uchumi na Jinai za mtandaoni si sahihi


On Monday, February 22, 2016 8:38 AM, Ezekiel Massanja <ezekielmassanja@gmail.com> wrote:




Hukumu ya kosa la mtandao ni kubwa kuliko la uhujumu uchumi, na bado watu wanashangilia. Kazi tunayo.

2016-02-22 7:11 GMT+03:00 Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>:


Safi. Kwani wapo wanaotuma picha za matusi mitandaoni. Alikuwa na mtu  alikokuwa huko kampiga picha akiwa utupu halafu anazituma mtandaoni. Kama waligombana wayamalize sio kumdhalilisha. Wengine ambao ni Gays wana mtandao wao au blog yao lakini mtu anaomba kujiunga nawe au na mtu ambae yupo ktk facebook yako na unaanza kupata picha za wabongo gays kufanya uchafu, mara mtu anatenda uchafu na kuku, mbwa ambao ni watanzania. Kwa nini wahusika wasizuie vitu hivi visizagae? Wengine hatujui utaalamu wa kuzuia hili au lile ktk mitandao.

Magazeti: Inakuwaje nchi inaruhusu masuala binafsi katika magazeti.Wizara ya Habari ielimishe sheria ya Habari. Mtu akitaka kuuza gazeti anaanza kumvamia mtu katika masuala binafsi-Story ya Kanumba na Lulu miaka ile kabla ya Kanumba kufariki; Mara Wema na masuala binafsi ya kubadili mabwana; pardi au mchungaji miaka 2000 lilipotokea leo ni 2016. Hii nayo ipoje inachefua. Kuona Diamond au Wema Hazai, mtot aliyenaye si wake wa mwanaume mwingine-jee hawa owners wa magazeti na waandishi wao wa habari,  bloggers na wapiga picha za magazeti mnawapa semina na mafunzo waelewe sheria hizi. Pia hawa wasanii-wanahitaji sana semina hizo ili wajue au kufahamu Study za Maisha na kujenga uwezo wa kujitambua na kujithamini.

Kichefuchefu kingine ni pale mwanamke anapotongozwa kisha anapanga mpango afumaniwe na huyo mtu na magazeti kurusha mazuala haya kuongeza kipato. Operesheni Fichua Maovu (OFM). Hii ni kitu gani kijamii? Inaawezekana kuna mtu amenilipa hela ana chuki na fulani. Anataka niende kujitongozesha kwa huyo mbaba na nikaamua kumzonga mpaka akaona ngoja anishughulikie ninamsumbua. Ninapanga na OFM  na aliyenituma. Libaba linaaibika-mission complete. Kwani msichana au mwanamke akitongozwa hawezi kukataa na akatumia ofisi au jamaa wa huyo mtu kumuonya? Kwa nini akubali halafu aende lodging kisha aandae OFM waje wamuaibishe. Unakubali ili umuaibishe halafu wewe unaachwa hukamatwi na kupigwa na hao wanaovamia kufumania! Huu ni uonevu wa kijinsia kwamba anatumiwa mwanamke kwa faida ya Waandishi wa Habari kumuaibisha mtu. Aulizwe kwa nini hakukataa na akatumia marafiki, jamaa wengine au Ofisi kumuonya huyo mtu badala yake kutumia vyombo vya habari? Naye yupo responsible. Kisha watoto na mke au ndugui wa jamaa huyo wanaishi ktk stigma na inaathiri mahudhurio ya watoto shuleni. Hii ndio concern yangu watoto wanapohusishwa indirectly. Sheria ya habari iseme hawa nao wa OFM ktk mipango ya kuaibisha watu na kuuza magazeti na binti husika wafanywe nini maana suala na kufedheheshana ktk vyombo vya habari na magazeti mengine kuweka picha zisizofaa mdada na kichupi inakuwaje? Bado zile TV sio mitandao pekee-inaonyesha akina mama watu wazima wanakata viuno matusi ya nguoni dansi za khanga moko! Kwa nini TV zetu zinapenda kuonyesha hizi dansi za akina mama, kaka, dada wanacheza dansi za matusi? Wizara husika watoe mafunzo kwa wasanii wacheza dansi, waimbaji  kuhusi utamaduni na maadili ya kiafrika. Msanii au watu wa music wanaweza kucheza vizuri tu na kupendeza hasa wanawake bila ya kuvaa kikaptura na bila kucheza traditional sexual rythm. Kichwa kikiwa kitupu juu ndio utafanya hivi na kuliaibisha taifa. Unajiuliza-huyu mama au msichana hana wazazi, mume, boyfriend na watoto? Atawaelimisha nini watoto au jamii yake anavyocheza matusi ya nguoni vile? Na halafu TV nyingine zinajiita-Kioo cha Jamii lakini zinaonyesha dansi ya matusi ya nguoni na tunafurahia!

Tusipong'ang'ana kuweka mwelekeo wa maadili kwa sasa katika sekta ya Habari, Mitandao na Music tunakokwenda kitaifa kubaya. Wizara husika  ionyeshe mfano hata ule wa kuvamia dansi za Khanga Moko na kuwaweka ndani, kuwavunga hao wanamtandao na wanaoposti picha chafu na wanaocheza dansi wakiwa wamevaa nguo za kuonyesha utupu wao; wanaoweka masuala binafsi ya wengine magazetini. Iwafundishe waandishi wa habari jinsi ya kuhoji ili wawe scientific wanapofanya kazi zao. Huwezi ukawa unaona mataka yamejaa ndani ya mtaro wazi, watu wanauza chakula hapo na maji ya choo yanaingia mtarono kuna bomba kutoka nyumba jirani au za wananchi kisha ukawa unauliza tu-huu uchafu unawasumbua vipi; unaiambia nini serikali? Huu ni ufara hasa!!

Kama Kawa
--------------------------------------------
On Mon, 22/2/16, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com> wrote:

 Subject: [wanabidii] "WATANZANIA WAZINGATIE SHERIA ZA MTANDAO, KIFUNGO NI MIAKA 30 AU ZAIDI" – KITWANGA
 To:
 Date: Monday, 22 February, 2016, 6:30

 Habari za
 asubuhi,
 Tafadhali pokea CODES hapa chini.

 <iframe src="http://www.audiomack.com/embed4-large/mo-dewji-blog/waziri-wa-mambo-ya-ndani-ya-nchi-kitwanga-akizungumzia-makosa-ya-mtandao"
 width="100%" height="250"
 frameborder="0"
 scrolling="no"></iframe><p
 style="text-align: center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kitwanga.jpg"
 rel="attachment wp-att-5109"><img
 class="alignnone size-full wp-image-5109"
 src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/kitwanga.jpg"
 alt="Charles Kitwanga" width="702"
 height="320" /></a><span
 style="color: #000000;"><strong>Waziri wa
 Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Charles Kitwanga (pichani)
 amewataka Watanzania kuzingatia sheria za mtandao ambazo
 zilitungwa mwaka jana kufuatia kuonekana kuwepo kwa baadhi
 ya watumiaji ambao wamekuwa hawafati
 sheria.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Mhe.
 Kitwanga alisema wanaotumia mtandao wanawajibu wa kutumia
 mtandao kwa matumizi ambayo hayatavunja sheria na ambao
 watakuwa wakikiuka sheria hiyo serikali haitawavumilia na
 watawachukulia hatua za
 kisheria.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/bulimba1.jpg"
 rel="attachment wp-att-5110"><img
 class="size-full wp-image-5110 aligncenter"
 src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/bulimba1.jpg"
 alt="Advera Bulimba" width="640"
 height="425"
 /></a></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color:
 #000080;"><em><strong>Msemaji wa Jeshi
 la Polisi Advera John
 Bulimba.</strong></em></span></p><iframe
 src="http://www.audiomack.com/embed4-large/mo-dewji-blog/msemeji-wa-polisi-advera-bulimba-kuhusu-makosa-ya-mtandao"
 width="100%" height="250"
 frameborder="0"
 scrolling="no"></iframe><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>
 "Adhabu ya kuvunja sheria hii ya makosa ya mtandao ni
 mbaya sana na ninataka kuwambia Watanzania wazingatie sheria
 za mtandao … kifungo ni miaka 30 au hata zaidi," alisema
 Kitwanga.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Aidha
 aliwataka ambao wamekuwa wakitukanwa katika mitandao ya
 kijamii wapeleke malalamiko Polisi na serikali imejipanga
 kuwachukulia hatua watumiaji ambao wamekuwa hawafati sheria
 za
 mtandao.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Kwa
 upande wa Jeshi la Polisi kupitia kwa msemaji wa jeshi hilo,
 Advera Bulimba alisema kuwa jeshi hilo limekuwa
 likiwachukulia hatua watumiaji wote wa mitandao ambao
 wamekuwa wakikutwa na hatia ya kufanya matumizi
 mabaya.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Alisema
 tangu imetungwa sheria hiyo wameshafungwa baadhi ya
 watumiaji na kesi saba zikiwa mahakamani na bado wanaendelea
 kufatilia watumiaji wengine ili wawachukulie
 hatua.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>"Polisi
 tunaendelea kuwachukulia hatua watumiaji ambao wanakuwa na
 makosa na kwasasa kuna kesi saba zipo mahakamani … tangu
 sheria imetungwa kesi tunazopokea zinazohusu mitandao
 zimepungua kutoka 25 hadi 30 kwa siku ila siku hizi zinakuwa
 10 au chini ya hapo," alisema
 Bulinda.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color: #000000;"><strong>Nae mmoja
 wa watumiaji wa mtandao, Grace Mwanga aliwashauri Watanzania
 wenzake kudumisha maadili ya kitanzania na kuifanya mitandao
 kama njia ya mawasiliano kama jinsi lilivyo kusudiwa na
 waanzilishi wa mitandao
 hiyo.</strong></span></p><p
 style="text-align: center;"><span
 style="color:
 #000000;"><strong>"Watanzania tudumishe
 maadili yetu ya zamani, mitandao isitufanye tusahau asili
 yetu … tutumie mitandao kuwasiliana na hata kufanya
 matangazo ya biashara zetu," alisema
 Grace.</strong></span></p><iframe
 src="http://www.audiomack.com/embed4-large/mo-dewji-blog/mtanzania-grace-mwanga-akielezea-kuhusu-matumizi-ya-mitandao"
 width="100%" height="250"
 frameborder="0"
 scrolling="no"></iframe>



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.




--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


No comments:

Post a Comment