Sunday, 27 September 2015

[wanabidii] DStv YAJA NA CHANELI YA MAISHA MAGIC BONGO, KWA AJILI YA WATANZANIA

Habari za asubuhi tena.

Tafadhali pokea CODES hapo chini.


<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D3A_5097.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-146388" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D3A_5097.jpg" alt="D3A_5097" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi M-Net  Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice hivi karibuni nchini Mauritius.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D3A_5116.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-146392" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D3A_5116.jpg" alt="D3A_5116" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi wa M-Net kwa nchi za Afrika Mashariki na SADC, Theo Erasmus akifurahi jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi mbalimbali za Afrika</strong></em></span>.</p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Na <a href="http://www.modewjiblog.com">Modewjiblog</a>, Mauritius</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Moja ya makampuni yanayoongoza katika utoaji wa vipindi vya burudani barani Afrika <span style="color: #000080;"><strong>M-Net</strong></span>  imesema kwamba itazindua chaneli maalumu kwa  ajiri ya wakazi wa Tanzania itakayojulikana kama maisha Magic Bongo.</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>MAISHA MAGIC BONGO</strong> itaruka hewani kupitia  chaneli <strong>160</strong> ya <strong>DStv</strong> kuanzia Alhamisi ya Oktoba Mosi mwaka huu na itapatikana katika vifurushi vyote vya <span style="color: #000080;"><strong>Access, Family, Compact, Compact Plus na Premium.</strong></span></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Imeelezwa kuwa ingawa mambo yametengenezwa mahsusi kwa ajili ya Watanzania mataifa jirani yaAfrika Mashariki ikiwamo <strong>Kenya, Uganda, Ethiopia na DRC wanaweza kuona</strong>.</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Uamuzi huo wa M-Net umefanyika wakati mchakato unaendelea wa kuboresha zaidi  ulaji kwa wateja wake.</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Hata hivyo wamesema kwamba <strong>MAISHA MAGIC EAST  </strong>ambayo kwa sasa inaruka kupitia chaneli <strong>158 </strong> itajiimarisha zaidi katika soko la Kenya huku ikiendelea na mara moja kwa wiki kwa ajili ya soko la Uganda ndani ya Luganda.</span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D8A_1979.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-146389" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D8A_1979.jpg" alt="D8A_1979" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Pichani ni waandishi wa habari kutoka nchi mbalimbali  za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa hilo lililoandaliwa na MultiChoice Africa hivi karibuni.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>MAISHA MAGIC BONGO</strong> imelenga kuhudumia soko la Tanzania likionesha vipindi vya Kiswahili kwa ajili ya kutimiza pia lengo la taasisi la kuhudumia soko kwa kuangalia makundi.</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Mkurugenzi wa M-Net kwa nchi za Afrika Mashariki na SADC, Theo Erasmus amesema ingawa kwa miaka mingi wamekuwa wakitoa vipindi vyenye lugha mchanganyiko kwa sasa wamepania kutoa vipindi kwa lugha ya eneo kutokana na soko kuruhusu.</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"> "Tumefanya mabadiliko kwa nchi za Afrika Mashariki kwa siku za karibuni. Kasi ya mabadiliko hayo yanaonesha kujali kwetu. Na tutaangalia mafanikio katika<strong> MAISHA MAGIC BONGO</strong>, kuona uwezekano wa kuendelea kutengeneza chaneli zinazokidhi mahitaji Fulani." Amesema Erasmus.</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Chaneli mpya itakuwa na matangazo ya saa sita ambayo yatarejewa mara tatu kwa siku na  inatarajiwa saa za vipindi kuongezeka zaidi.</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Katika chaneli hiyo kutakuwa na kipindi cha saa moja cha muziki <strong><em>Mzooka</em>,</strong> ambayo itakuwa mwishoni mwa wiki majira ya jioni  na itakuwa kipindi cha miziki ya karibuni kutoka Tanzania. Kitakuwa ni kipindi cha wapenzi wa hip hop na Bongo.</span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D3B_8767.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-146390" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D3B_8767.jpg" alt="D3B_8767" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi M-Net  Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Movie Stars wa nchini Nigeria, Rita Dominic na Desmond Elliot mara baada ya mkutano na waandishi wa habari.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Pia kutakuwa na michezo ya kuigiza ambayo ni tamthilia <strong><em>Talaaka itakayokuwa ikizungumzia  masuala ya ndoa na talaka na kupeleka ujumbe kwanini kunakuwa na talaka. Pia kutakuwa na kipindi cha mapishi cha Jikoni na Marion. Kwenye kipindi hiki tutawaona masupastaa wa Tanzania wakipika chakula huku wakizungumzia mambo yao.</em></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>MAISHA MAGIC BONGO</strong> kutakuwa na sinema za Kiswahili kama <em>Nusra</em> iliyochezwa na Ashura Iddy, Ammar Ruweth, Riyama Ally na Zuberi Mohammed. Pia kutakuwa na sinema ya <em>Hard Price</em> iliyochezwa na akina Sabrina Tamim na Jacqueline Wolper .</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;">Ikiwa imebaki mwezi mzima kabla ya <strong>MAISHA MAGIC BONGO</strong> kuingia katika runinga za watanzania kwa sasa angalia kipindi gani kipo hewani ukipendacho kupitia <span style="color: #0000ff;"><em><strong><a style="color: #0000ff;" href="http://www.dstv.com/">www.dstv.com</a>.</strong></em></span></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D3A_5080.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-146393" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D3A_5080.jpg" alt="D3A_5080" width="629" height="480" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkuu wa chaneli ya Maisha Magic, Margaret Mathore akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).</strong></em></span></p>


KAWAIDA


D3A_5097

Mkurugenzi M-Net  Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice hivi karibuni nchini Mauritius.

D3A_5116

Mkurugenzi wa M-Net kwa nchi za Afrika Mashariki na SADC, Theo Erasmus akifurahi jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi mbalimbali za Afrika.

Na Modewjiblog, Mauritius

Moja ya makampuni yanayoongoza katika utoaji wa vipindi vya burudani barani Afrika M-Net  imesema kwamba itazindua chaneli maalumu kwa  ajiri ya wakazi wa Tanzania itakayojulikana kama maisha Magic Bongo.

MAISHA MAGIC BONGO itaruka hewani kupitia  chaneli 160 ya DStv kuanzia Alhamisi ya Oktoba Mosi mwaka huu na itapatikana katika vifurushi vyote vya Access, Family, Compact, Compact Plus na Premium.

Imeelezwa kuwa ingawa mambo yametengenezwa mahsusi kwa ajili ya Watanzania mataifa jirani yaAfrika Mashariki ikiwamo Kenya, Uganda, Ethiopia na DRC wanaweza kuona.

Uamuzi huo wa M-Net umefanyika wakati mchakato unaendelea wa kuboresha zaidi  ulaji kwa wateja wake.

Hata hivyo wamesema kwamba MAISHA MAGIC EAST  ambayo kwa sasa inaruka kupitia chaneli 158  itajiimarisha zaidi katika soko la Kenya huku ikiendelea na mara moja kwa wiki kwa ajili ya soko la Uganda ndani ya Luganda.

D8A_1979

Pichani ni waandishi wa habari kutoka nchi mbalimbali  za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa hilo lililoandaliwa na MultiChoice Africa hivi karibuni.

MAISHA MAGIC BONGO imelenga kuhudumia soko la Tanzania likionesha vipindi vya Kiswahili kwa ajili ya kutimiza pia lengo la taasisi la kuhudumia soko kwa kuangalia makundi.

Mkurugenzi wa M-Net kwa nchi za Afrika Mashariki na SADC, Theo Erasmus amesema ingawa kwa miaka mingi wamekuwa wakitoa vipindi vyenye lugha mchanganyiko kwa sasa wamepania kutoa vipindi kwa lugha ya eneo kutokana na soko kuruhusu.

 "Tumefanya mabadiliko kwa nchi za Afrika Mashariki kwa siku za karibuni. Kasi ya mabadiliko hayo yanaonesha kujali kwetu. Na tutaangalia mafanikio katika MAISHA MAGIC BONGO, kuona uwezekano wa kuendelea kutengeneza chaneli zinazokidhi mahitaji Fulani." Amesema Erasmus.

Chaneli mpya itakuwa na matangazo ya saa sita ambayo yatarejewa mara tatu kwa siku na  inatarajiwa saa za vipindi kuongezeka zaidi.

Katika chaneli hiyo kutakuwa na kipindi cha saa moja cha muziki Mzooka, ambayo itakuwa mwishoni mwa wiki majira ya jioni  na itakuwa kipindi cha miziki ya karibuni kutoka Tanzania. Kitakuwa ni kipindi cha wapenzi wa hip hop na Bongo.

D3B_8767

Mkurugenzi M-Net  Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Movie Stars wa nchini Nigeria, Rita Dominic na Desmond Elliot mara baada ya mkutano na waandishi wa habari.

Pia kutakuwa na michezo ya kuigiza ambayo ni tamthilia Talaaka itakayokuwa ikizungumzia  masuala ya ndoa na talaka na kupeleka ujumbe kwanini kunakuwa na talaka. Pia kutakuwa na kipindi cha mapishi cha Jikoni na Marion. Kwenye kipindi hiki tutawaona masupastaa wa Tanzania wakipika chakula huku wakizungumzia mambo yao.

MAISHA MAGIC BONGO kutakuwa na sinema za Kiswahili kama Nusra iliyochezwa na Ashura Iddy, Ammar Ruweth, Riyama Ally na Zuberi Mohammed. Pia kutakuwa na sinema ya Hard Price iliyochezwa na akina Sabrina Tamim na Jacqueline Wolper .

Ikiwa imebaki mwezi mzima kabla ya MAISHA MAGIC BONGO kuingia katika runinga za watanzania kwa sasa angalia kipindi gani kipo hewani ukipendacho kupitia www.dstv.com.

D3A_5080

Mkuu wa chaneli ya Maisha Magic, Margaret Mathore akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment